MKE WA MWIJAKU AFUNGUKA MAISHA YA NDOA/MENINA NI MDOGO WANGU/TULIJENGA TUKAACHA

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 96

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima28806 ай бұрын

    Mwijaku unamke...Hongera Kaka...anajua kujibu unajua kujieleza Dada...shikilia hapo hapo...❤

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k6 ай бұрын

    Yaan Tz jifanye taila ili utoboe🎉❤yaan mwijaku kuna wa2 huwa wanampa maokoto kama chizi kumbe wengne anawazdi mafanikio duh😂❤❤hongera sana washakusema sana leo umetufunga mdomo 🤐🤐Allah awabariki katika ndoa yenu na kazi zenu🤲🤲🙏🙏

  • @baimarrajahbuayan6237

    @baimarrajahbuayan6237

    6 ай бұрын

    Kabisa yaan 😅😅😅suprise kubwa mno

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62376 ай бұрын

    Mashallah mabrouq mwijaku😅❤🎉Una mke mzur, mstaarabu

  • @hamisiomari7624
    @hamisiomari76246 ай бұрын

    Mwandishi upo vizur sana kwenye kaz yako hongera kk

  • @omanmct135
    @omanmct1356 ай бұрын

    Mashalllah❤❤❤❤

  • @user-el8gu5bs3u
    @user-el8gu5bs3u6 ай бұрын

    Swalehe unacontent nzuri sana ya kuhoji congratulations broo🎉❤

  • @lightnessabdallah2340
    @lightnessabdallah23406 ай бұрын

    Nimekupenda dada mpole pia unajielewa hongera xana Mungu azidi kuitunza ndoa yako

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11546 ай бұрын

    Mashallah dada mpole wewe mhhh hongera sana

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11716 ай бұрын

    Huyu mtangazaji sijui anataka jibu gani wanapendana kikweli sio zuchu huyo

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e6 ай бұрын

    Sauti km Aisha mashauzi

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35386 ай бұрын

    Hongera dada beauty with brain ❤❤❤ strong woman

  • @julianapeason6254

    @julianapeason6254

    5 ай бұрын

    Not only beauty with brain huyo ni CPA(T), iyo inaitwa weka mbali na watoto, na ni mchaga

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud5656 ай бұрын

    Natamani siku Mathias ahojiwe

  • @user-ih4rt6cw3p
    @user-ih4rt6cw3p6 ай бұрын

    Dada hakika unajielewa sana Sina mengi hongera sana

  • @rajabukude-pi6mf
    @rajabukude-pi6mf6 ай бұрын

    NICE 👍

  • @user-cd8ge8mx7p
    @user-cd8ge8mx7p6 ай бұрын

    ❤❤mke wa mwijaku

  • @husseinjongo7588
    @husseinjongo75886 ай бұрын

    Ana akili sana💪

  • @zoab2699
    @zoab26996 ай бұрын

    Mashallah dada mstarabu si kama dada zetu hawaa

  • @user-yp5wq9ow5o
    @user-yp5wq9ow5o6 ай бұрын

    hongereni sn kwel uvumilivu unsitajika kwenye maixhs

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro85826 ай бұрын

    Ongezeni watoto mpo poa sana hàdi raha

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza39406 ай бұрын

    🔥🤝

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w6 ай бұрын

    wewe ni mwamke wa kipekee hongera dada

  • @user-wf2ni5yl1h
    @user-wf2ni5yl1h5 ай бұрын

    Nipenda alivyosema sitaki mtu amuelezee mume wangu nimeenda sana kwann mtu amuelezee mume wangu

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19996 ай бұрын

    Natamani huyu dada angekuwa rafiki yangu tufanye wote mambo ya maendeleo nimemu admire mno I wish angekuwa rafiki yangu hongereni sana hapa kazi tu

  • @salmamussa8240

    @salmamussa8240

    5 ай бұрын

    Niwe mim rafik yako wajina

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    5 ай бұрын

    Urafiki unakuja na kuondoka siku hizi hakuna. Urafiki wa ukweli wengi ni wanafki. Siri zako unakaa nayo mwenyewe na mungu

  • @HalimaJuma-de5gc
    @HalimaJuma-de5gc6 ай бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata73294 ай бұрын

    Mwijaku amepata mke muelewa xana mungu amibariki inshallah

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel6 ай бұрын

    Mwijakuw si basi umuzalishe mkewo starehe hazina mwisho

  • @faridadumasalhathoseni
    @faridadumasalhathoseni5 ай бұрын

    Mke anae na mwijaku anaakiri sana

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania97436 ай бұрын

    Umewakomesha mashabiki sasa ndo nini tulikuwa tunakuonea huruma kumbe unaenjoi umetukomesha mama

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26206 ай бұрын

    Kajibu vizur kwenye swari la menina kajibu vizur sana

  • @daimondelfina5689
    @daimondelfina56895 ай бұрын

    Kwa mfano mimi ndo Mama yake huyu binti,siku yamshinde afu aje kwangu kuniulizia mama mama nishauri😏yaani unajitapa kwenye mitandao hakuna anaweza documents kuhusu mume wangu NOT EVEN MY PARENTS 😳😳😳 siku akina na shida zake za ulimwengu wa ndoa unamkumbusha tu,I HAVE NOTHING TO SAY,or simply NO COMMENT😂😂😂

  • @Official83640
    @Official836406 ай бұрын

    Hivi huyu c ndy alikuwa miss Shinyanga alizaa na Elli Kingu Mbunge au sio huyu?

  • @badifundi6089

    @badifundi6089

    6 ай бұрын

    Alizaa na babangu uyu

  • @Official83640

    @Official83640

    6 ай бұрын

    @@badifundi6089 Baba yupi?

  • @fahyma46
    @fahyma466 ай бұрын

    W❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-vj7fx4bh2t
    @user-vj7fx4bh2t6 ай бұрын

    Mtangazaji Hajui kuongea

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    5 ай бұрын

    Anajua kuongea kwani yy ni mtoto

  • @ummahmed3354
    @ummahmed33545 ай бұрын

    Allah awape ndoa imara na yenye mafanikio...

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    5 ай бұрын

    Ameen

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge5 ай бұрын

    Hiyo cio ndoa mlinyonga kisha mkachinja mwaishi kimada tu.

  • @IshaManugwa
    @IshaManugwa6 ай бұрын

    Swalehe zamu ya maisha yko

  • @RayyanRayyan-rt9cg

    @RayyanRayyan-rt9cg

    6 ай бұрын

    😂😂nani ata muhoji

  • @WemaOmary-of6to

    @WemaOmary-of6to

    5 ай бұрын

    Atamuhoji mzeee wa ngengaa😂😂😂😂😂

  • @Lu-zw9we
    @Lu-zw9we6 ай бұрын

    Huyo mwijaku mbona mke wake katoboa ulimi kama malaya .

  • @Mamodel-Park

    @Mamodel-Park

    6 ай бұрын

    Kila mtu na starehe zake na ww heee! Kama mumewe ndo kampeleka kutobolewa

  • @badifundi6089

    @badifundi6089

    6 ай бұрын

    Mpaka mtu anafanya kitu na yuko kwenye ndoa hio sio Shida ya waja tena ata atoboe kisigino maadam mumewe amependa ww shida iko API..ndo maana mwana FA alisema usihuku sio Kazi yako we ni mwenzangu na mm na Una dhambi kama mm😂😂

  • @maryamtanzania9743

    @maryamtanzania9743

    6 ай бұрын

    Ni urembo wa mwanmke kwa mme wake

  • @user-qn2hq1nb2b
    @user-qn2hq1nb2b5 ай бұрын

    Hivi wamezaa mtoto?

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24236 ай бұрын

    Na mtoto ni mmoja, miaka 9 na 5 ndoa😮

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    6 ай бұрын

    Wazae na wengine wafike wannnne

  • @user-qn2hq1nb2b

    @user-qn2hq1nb2b

    5 ай бұрын

    Hujaelewa jumla wana miaka14 kwhy ni hak kuw na mtoto wa miaka 9

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11546 ай бұрын

    Daaaaaa UVUMILIVU unao dada miaka 9 kwenye mausiano ndoa miaka5 unastahiri maua yako

  • @fatmamansour676

    @fatmamansour676

    6 ай бұрын

    Ndoa subra tu mmi uchumba miaka 5 ndoa naingia miaka 12 na mtto Wa mwanzo jana kaingia miaka 11 tena nimeishiwa mbali na mume miaka 7 sahv Ndo tupo pamoja ni miaka 4

  • @sophsoph4740

    @sophsoph4740

    6 ай бұрын

    ​@fatmamansouru676 umeishi na mmeo miak 7 mbali ulikua wap

  • @Kabwela776
    @Kabwela7766 ай бұрын

    Mara nyingi mke anayesamehe usaliti wa mume wake ujue na yeye mke ana tabia za usaliti kwenye ndoa yake.

  • @HhhTt-vl9ct

    @HhhTt-vl9ct

    6 ай бұрын

    Sio kweli hayo ni maoni yko

  • @Kabwela776

    @Kabwela776

    6 ай бұрын

    @@HhhTt-vl9ct ndio Iko hivyo ukiwa msaliti utaweza kusamehe ule uchafu wa Mwijaku wa video za porno na hukute mume wa huyo menina alikuwa anamfira mke wa mwinjaku kwa hiyo wote watu wa kuchepuka

  • @Zainab_salat

    @Zainab_salat

    5 ай бұрын

    ​@@Kabwela776ninacheka translate to English 😂😂😂😂Kiswahili kwa English unacheka

  • @user-vj7fx4bh2t
    @user-vj7fx4bh2t6 ай бұрын

    Mtangazaji huyu hajuagi Kuhoji

  • @HhhTt-vl9ct

    @HhhTt-vl9ct

    6 ай бұрын

    Ingekuwa wewe ungehoji maswali gani?

  • @aktwabimuli2511
    @aktwabimuli25116 ай бұрын

    Wadada wa siku hzi mapenzi leo kesho kutwa mnataka ndoa dada alivumilia ndani ya miaka 9

  • @khadijerabdallah8703

    @khadijerabdallah8703

    6 ай бұрын

    Ni bahati tu Maan Ata mim nilivumilia miaka 9 Mwaka Huu ingekuw wa 10 Lakin Mwaka 2023 Tena mwishoni kabisa Ameniacha bila Sababu ya Aina yoyote Tulianza mahusiano nikiwa na Miaka 18 Anakuja kuniacha na Miaka 26

  • @gracepatric4371

    @gracepatric4371

    6 ай бұрын

    Duuu pole mahi

  • @aktwabimuli2511

    @aktwabimuli2511

    6 ай бұрын

    ​@@khadijerabdallah8703pole sana kwahiyo hauna mchumba 😂😂😂

  • @shamsahaji6202

    @shamsahaji6202

    6 ай бұрын

    Kweli ni bahati mana mi sijakaa kwenye mahusiano na mume wangu kaja kwetu kaniowa na tupo mwaka wa 28 na km tumeowana jana life is good ..alhamdulillah fresh tu​@@khadijerabdallah8703

  • @user-fo2on5rg6t

    @user-fo2on5rg6t

    6 ай бұрын

    Miaka yote hyo lihusianoo​@@khadijerabdallah8703

  • @KibiduGeorge-kv2mr
    @KibiduGeorge-kv2mr6 ай бұрын

    btts

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel6 ай бұрын

    Hawezi sema kama ililetaga shida ju sanajuwa anatiya mazifu ya ndoa yake inje?? Hakuna mwanaume anaweza kutoka inje ya ndoa tena vitoke kwa mitandao eti visivuruge kichwa wala nyumba yako .

  • @abdiabdi-ec9ib
    @abdiabdi-ec9ib6 ай бұрын

    Mwijaku limepata mke dar hongera zao

  • @user-zi3lo4yp4x
    @user-zi3lo4yp4x6 ай бұрын

    Mumeo. Achae mdomo🎉

  • @estermahenge-ks3dr

    @estermahenge-ks3dr

    5 ай бұрын

    ndio kazi yake😅

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai11316 ай бұрын

    Sasa miaka 9 mulikua mnazini haoni aibu

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    6 ай бұрын

    Wewe unazini mwaka wa ngapi ... acheni kuhukumu maisha ya watu

  • @fatmamansour676

    @fatmamansour676

    6 ай бұрын

    Sio rafiki wote ni kuzini mi nimekaa uchumba miaka 5 yye yupo mbali na mie na mpk sahv kwa ndoa. Nina 11 naingia 12

  • @mouldykomba1852

    @mouldykomba1852

    6 ай бұрын

    Utafikiri ww umekamilika

  • @AminiMsellem-gk3yy

    @AminiMsellem-gk3yy

    6 ай бұрын

    Wameshatubu kwa Allah na Allah ni mwingi wa kusamehe tofauti na binadamu🙏🙏🙏

  • @user-zi7vp7wy1v
    @user-zi7vp7wy1v5 ай бұрын

    Manywele funika

  • @salmakassim402
    @salmakassim4026 ай бұрын

    Dada alikuwa mbaya huyu uwiiiii pesa sabuni halafu chembamba mno asa iv Mashaallah

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    6 ай бұрын

    Wewe je mzuri toa picha yako Tuione na wewe tukujaji

  • @mwitaagness455

    @mwitaagness455

    6 ай бұрын

    Huoni haya, ringia nyota dada, wewe mzuri ebu tuambie sasa hivi upo wapi ndugu.

  • @ashaali7154
    @ashaali71546 ай бұрын

    Miaka 9 ya kuzini miaka5 ya ndoa.

  • @aminathaabubakarmasoud565

    @aminathaabubakarmasoud565

    6 ай бұрын

    Kwaiyo wewe ulitakaje kwa mfano😮

  • @sophsoph4740

    @sophsoph4740

    6 ай бұрын

    Wee mwenyewe humezini mpk umezaliwa

  • @zeyanaalgheithy6561

    @zeyanaalgheithy6561

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @fatmaalnabhani3609

    @fatmaalnabhani3609

    6 ай бұрын

    Subhanallah, yarabbi salama

  • @AminiMsellem-gk3yy

    @AminiMsellem-gk3yy

    6 ай бұрын

    Wameshatubu kwa Allah na Allah ni mwingi wa kusamehe tofauti na binadamu 🙏🙏🙏

  • @HalimaSalym-jl2ui
    @HalimaSalym-jl2ui6 ай бұрын

    Mwanamke wa KIISLAM nywele ni haram kuonekana. Mali isiwatie KIBURI kila mmoja atakwenda kaburini peke yake

  • @badifundi6089

    @badifundi6089

    6 ай бұрын

    Ndio maana upo hapa wahukumu kila mtu na life yake ww kaa Ivo Ivo bila dhambi tuone utaenda wapi😂

  • @mwajumakitoro8582
    @mwajumakitoro85826 ай бұрын

    Ongezeni watoto mpo poa sana hàdi raha

Келесі