MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
Ойын-сауық
MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 204
Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear
As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie
Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu
Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako
I just love Dida wallah.😅😅
Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto
Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
@zainaabdallah809
2 жыл бұрын
Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa
Lovely 🌹 Da dida
Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka
Nice
Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu
Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Yaan ni hatari sana
@aliabdullah8819
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my
Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu
@mahmoudukusso4488
2 жыл бұрын
Swadakta
Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada
🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣
@rehemaothman2200
2 жыл бұрын
sanaaaa amevurugwa
Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣
Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂
@ashuraomar4935
2 жыл бұрын
Sanaa hidari wa kusema ya wenzake
Partner😄😄😄
Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜
Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo
Dida kacharuka huyooo😁😁😁
Nakupenda sna my sista
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂
Dada dii💓
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
Juma mungu anakuona walah 😄😄
Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki
@husseingabo5497
2 жыл бұрын
@@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini
Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa
Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali
akili za Dida nazipendaaaaa😂
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
Saaana
dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio
@njokake6775
2 жыл бұрын
HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya kzread.info/dash/bejne/m4SNrtyAoLiboKg.html
@jenipherkavusha1661
2 жыл бұрын
Hahahaha
@maryjkiosa3380
2 жыл бұрын
😅😅
@saumuimeda5181
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure
@salimabakari8617
2 жыл бұрын
Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.
Mtihan
Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁
@heyumi2340
2 жыл бұрын
alisema miaka saba
@Assam8885
2 жыл бұрын
Alisema miaka saba😂
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salmahabdallah7203
2 жыл бұрын
@@heyumi2340 😂😂😂😂
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii
Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu
Ndoa yako ipo kwangu
Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃
Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM
ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂
Yamemfika leo Dida🤣🤣
Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima
Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶
Suruali ya Juma tu mie hoi
Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣
Dida pole dada ake ndio kazi
Duuuuuh mitambo hiiiiiii
Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!
@joycehaule9717
2 жыл бұрын
Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!
Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
@joanmbunda1669
2 жыл бұрын
🤔👀
@najmaulaya8819
2 жыл бұрын
😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine
Leo wakwanza ❤️🤣
Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu
Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika
Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno
Dida Mimi nakupenda sana
Naili uwachike lazima uwe nataraka
Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅
Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao
Did katulia kama.maji ya mvua
Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha
😂😀😁😀 wallai hawa
Juma mnafiki
Juma jamamiii
🙄
Dida ❤️
Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dida leo😂😂😂
WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE
Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣
Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie
Yuuu tubuuuu hahahaaa
Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke
Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww
Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp
Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu
Mbona mkali km ndimu kaliiii
hahahahahah
Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣
WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI
mikucha 😅😅😅😅😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ukichelewa kufa utaona mengi
@sofisofisanatuwamezidikumf884
2 жыл бұрын
Haswaa
Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣
Lokole bana
atari mnachekesha
Mdomo huo km birika ya kahawa
Ndoa ni kher
ahsante dida shaibu😁😁😁
😂😂😂😂😂naceka miye pole dida
Kumbe dida aliolewa mke wa4
Dida kama makaka umepata SEMA lingine
Yn dada libaya xn ili sjuw huko chini kupoje mana ilo domo nahuko chini ndo kupo pwaaaaa km ilo domo mfyuu
Ikija posa hatupokeii unatusumbuaa
Taraka sio lazima swala ni kuachana tu kama mmeshindwana
@lailaoman3856
2 жыл бұрын
Jeni uelewi uislam,taraka razima nandowa aifungwi nyengine bira yataraka,yeye iyo ndoa aliyo ifungwa yapili lazima awenataraka kwaivyo ndowa yake yapili ilikuwa patiri
@aminasaid4174
2 жыл бұрын
Kama kitu ujuwi bora yake kimya tu wewe wajuwa nini kuhusu swala la talaka 😏
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@lailaoman3856 talaka hata akisema kwa mdomo bila kuandika inaswihi
@sikukuuchuo3093
2 жыл бұрын
Talaka lazima bila talaka hata aende wapi haolewi
@heyumi2340
2 жыл бұрын
@@sikukuuchuo3093 talaka sio lazima iandikwe hata akisema kws mdomo nimekuachs instosha iwe mwanamke au mwanaume akitamka ty umeachika au umemuacha
Wasafi tupopamoja
Dida
Dida weee