MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''

Ойын-сауық

MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 204

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa42212 жыл бұрын

    Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear

  • @tallyfa05saeed67
    @tallyfa05saeed672 жыл бұрын

    As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa

  • @cecyliamhando7156
    @cecyliamhando71562 жыл бұрын

    Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie

  • @user-fd2so2tz5o
    @user-fd2so2tz5o2 ай бұрын

    Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu

  • @shaloboy3861
    @shaloboy38612 жыл бұрын

    Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako

  • @btylove1870
    @btylove18702 жыл бұрын

    I just love Dida wallah.😅😅

  • @rukyiakimolo4564
    @rukyiakimolo45642 жыл бұрын

    Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto

  • @rosediana6327
    @rosediana63272 жыл бұрын

    Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @happynescostat7420
    @happynescostat74202 жыл бұрын

    Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,

  • @hanifalyembela2716
    @hanifalyembela27162 жыл бұрын

    Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa

  • @zainaabdallah809

    @zainaabdallah809

    2 жыл бұрын

    Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa

  • @zeyananasser625
    @zeyananasser6252 жыл бұрын

    Lovely 🌹 Da dida

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika172 жыл бұрын

    Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @loganpoul
    @loganpoul2 жыл бұрын

    Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka

  • @jorgettemwajuma5428
    @jorgettemwajuma54282 жыл бұрын

    Nice

  • @yusrasalum
    @yusrasalum2 жыл бұрын

    Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako

  • @leylaiddy5815
    @leylaiddy58152 жыл бұрын

    Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Yaan ni hatari sana

  • @aliabdullah8819

    @aliabdullah8819

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @maryamalli9090
    @maryamalli90902 жыл бұрын

    Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my

  • @africano98.
    @africano98.2 жыл бұрын

    Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu

  • @mahmoudukusso4488

    @mahmoudukusso4488

    2 жыл бұрын

    Swadakta

  • @merianhalibunyoha2629
    @merianhalibunyoha26292 жыл бұрын

    Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada

  • @abelmipwa9854
    @abelmipwa98542 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣

  • @rehemaothman2200

    @rehemaothman2200

    2 жыл бұрын

    sanaaaa amevurugwa

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai97652 жыл бұрын

    Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia10242 жыл бұрын

    Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂

  • @ashuraomar4935

    @ashuraomar4935

    2 жыл бұрын

    Sanaa hidari wa kusema ya wenzake

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto72122 жыл бұрын

    Partner😄😄😄

  • @samehewaliokukoseya2605
    @samehewaliokukoseya26052 жыл бұрын

    Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed86372 жыл бұрын

    Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo

  • @sophiamohamed3116
    @sophiamohamed31162 жыл бұрын

    Dida kacharuka huyooo😁😁😁

  • @AminaAthuman-ub6zd
    @AminaAthuman-ub6zd5 ай бұрын

    Nakupenda sna my sista

  • @fatmaabdi8813
    @fatmaabdi88132 жыл бұрын

    Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂

  • @omanmuscat1459
    @omanmuscat14592 жыл бұрын

    Dada dii💓

  • @dellynevermlanga2772
    @dellynevermlanga27725 ай бұрын

    Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako

  • @princesszai9925
    @princesszai99252 жыл бұрын

    Juma mungu anakuona walah 😄😄

  • @husseingabo5497
    @husseingabo54972 жыл бұрын

    Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki

  • @husseingabo5497

    @husseingabo5497

    2 жыл бұрын

    @@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini

  • @dorismwakabenga4392
    @dorismwakabenga4392 Жыл бұрын

    Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa

  • @halimaoman8726
    @halimaoman87264 ай бұрын

    Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali

  • @judythasiko8648
    @judythasiko86482 жыл бұрын

    akili za Dida nazipendaaaaa😂

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    2 жыл бұрын

    Saaana

  • @janebihagala5848
    @janebihagala58482 жыл бұрын

    dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio

  • @njokake6775

    @njokake6775

    2 жыл бұрын

    HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya kzread.info/dash/bejne/m4SNrtyAoLiboKg.html

  • @jenipherkavusha1661

    @jenipherkavusha1661

    2 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @maryjkiosa3380

    @maryjkiosa3380

    2 жыл бұрын

    😅😅

  • @saumuimeda5181

    @saumuimeda5181

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure

  • @salimabakari8617

    @salimabakari8617

    2 жыл бұрын

    Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.

  • @user-cy1eb2lh6l
    @user-cy1eb2lh6l6 ай бұрын

    Mtihan

  • @najuf8021
    @najuf80212 жыл бұрын

    Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    alisema miaka saba

  • @Assam8885

    @Assam8885

    2 жыл бұрын

    Alisema miaka saba😂

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salmahabdallah7203

    @salmahabdallah7203

    2 жыл бұрын

    @@heyumi2340 😂😂😂😂

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha91222 жыл бұрын

    Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu

  • @ahmadjuma5229
    @ahmadjuma52292 жыл бұрын

    Ndoa yako ipo kwangu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed86372 жыл бұрын

    Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha83872 жыл бұрын

    Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24232 жыл бұрын

    ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂

  • @habibaa9503
    @habibaa95032 жыл бұрын

    Yamemfika leo Dida🤣🤣

  • @mariamuharubu6577
    @mariamuharubu65772 жыл бұрын

    Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed86372 жыл бұрын

    Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶

  • @saudamayowela7636
    @saudamayowela76362 жыл бұрын

    Suruali ya Juma tu mie hoi

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 жыл бұрын

    Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣

  • @michealnige8871
    @michealnige88712 жыл бұрын

    Dida pole dada ake ndio kazi

  • @pendondossy4181
    @pendondossy41812 жыл бұрын

    Duuuuuh mitambo hiiiiiii

  • @omanwoman6713
    @omanwoman67132 жыл бұрын

    Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!

  • @joycehaule9717

    @joycehaule9717

    2 жыл бұрын

    Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!

  • @alsam4881
    @alsam48812 жыл бұрын

    Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar49352 жыл бұрын

    Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?

  • @joanmbunda1669

    @joanmbunda1669

    2 жыл бұрын

    🤔👀

  • @najmaulaya8819

    @najmaulaya8819

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine

  • @prochecyprotacy9847
    @prochecyprotacy98472 жыл бұрын

    Leo wakwanza ❤️🤣

  • @zawadimasula6253
    @zawadimasula62532 жыл бұрын

    Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu

  • @mariamuharubu6577
    @mariamuharubu65772 жыл бұрын

    Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika

  • @odiliamathias5424
    @odiliamathias54242 жыл бұрын

    Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno

  • @user-yp7lh7pm3o
    @user-yp7lh7pm3o6 ай бұрын

    Dida Mimi nakupenda sana

  • @lailaoman3856
    @lailaoman38562 жыл бұрын

    Naili uwachike lazima uwe nataraka

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38692 жыл бұрын

    Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅

  • @dorismwakabenga4392
    @dorismwakabenga4392 Жыл бұрын

    Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai97652 жыл бұрын

    Did katulia kama.maji ya mvua

  • @nishuuuameee8695
    @nishuuuameee86952 жыл бұрын

    Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha

  • @mishimwarabu1824
    @mishimwarabu18242 жыл бұрын

    😂😀😁😀 wallai hawa

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai97652 жыл бұрын

    Juma mnafiki

  • @luciamaduga4208
    @luciamaduga42082 жыл бұрын

    Juma jamamiii

  • @christinaonditi9341
    @christinaonditi93412 жыл бұрын

    🙄

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Жыл бұрын

    Dida ❤️

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph26202 жыл бұрын

    Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s5 ай бұрын

    Dida leo😂😂😂

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Жыл бұрын

    WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE

  • @merrycharles2972
    @merrycharles29722 жыл бұрын

    Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣

  • @alicekatondo5940
    @alicekatondo59402 жыл бұрын

    Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie

  • @demicratia4071
    @demicratia40712 жыл бұрын

    Yuuu tubuuuu hahahaaa

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini91102 жыл бұрын

    Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke

  • @aishahaji3128
    @aishahaji31282 жыл бұрын

    Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww

  • @catheplatnumz7833
    @catheplatnumz78332 жыл бұрын

    Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp

  • @rukyiakimolo4564
    @rukyiakimolo45642 жыл бұрын

    Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation2 жыл бұрын

    Mbona mkali km ndimu kaliiii

  • @catherinekessy3107
    @catherinekessy31072 жыл бұрын

    hahahahahah

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed86372 жыл бұрын

    Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣

  • @ashuraomar4935
    @ashuraomar49352 жыл бұрын

    WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI

  • @gadafinazarigadafinazariga2939
    @gadafinazarigadafinazariga29392 жыл бұрын

    mikucha 😅😅😅😅😅😅😅

  • @jokhamote9993
    @jokhamote99932 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani ukichelewa kufa utaona mengi

  • @sofisofisanatuwamezidikumf884

    @sofisofisanatuwamezidikumf884

    2 жыл бұрын

    Haswaa

  • @mwanaishaali5338
    @mwanaishaali53382 жыл бұрын

    Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣

  • @abrahama2756
    @abrahama27562 жыл бұрын

    Lokole bana

  • @mauwarashid4823
    @mauwarashid48232 жыл бұрын

    atari mnachekesha

  • @omanwoman6713
    @omanwoman67132 жыл бұрын

    Mdomo huo km birika ya kahawa

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud7632 жыл бұрын

    Ndoa ni kher

  • @hagarbills4023
    @hagarbills40232 жыл бұрын

    ahsante dida shaibu😁😁😁

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa9733 ай бұрын

    😂😂😂😂😂naceka miye pole dida

  • @hadijamshimbula7616
    @hadijamshimbula76162 жыл бұрын

    Kumbe dida aliolewa mke wa4

  • @user-yp7lh7pm3o
    @user-yp7lh7pm3o6 ай бұрын

    Dida kama makaka umepata SEMA lingine

  • @sululuzungu9587
    @sululuzungu95872 жыл бұрын

    Yn dada libaya xn ili sjuw huko chini kupoje mana ilo domo nahuko chini ndo kupo pwaaaaa km ilo domo mfyuu

  • @hawakajoli3927
    @hawakajoli39272 жыл бұрын

    Ikija posa hatupokeii unatusumbuaa

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha16612 жыл бұрын

    Taraka sio lazima swala ni kuachana tu kama mmeshindwana

  • @lailaoman3856

    @lailaoman3856

    2 жыл бұрын

    Jeni uelewi uislam,taraka razima nandowa aifungwi nyengine bira yataraka,yeye iyo ndoa aliyo ifungwa yapili lazima awenataraka kwaivyo ndowa yake yapili ilikuwa patiri

  • @aminasaid4174

    @aminasaid4174

    2 жыл бұрын

    Kama kitu ujuwi bora yake kimya tu wewe wajuwa nini kuhusu swala la talaka 😏

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@lailaoman3856 talaka hata akisema kwa mdomo bila kuandika inaswihi

  • @sikukuuchuo3093

    @sikukuuchuo3093

    2 жыл бұрын

    Talaka lazima bila talaka hata aende wapi haolewi

  • @heyumi2340

    @heyumi2340

    2 жыл бұрын

    @@sikukuuchuo3093 talaka sio lazima iandikwe hata akisema kws mdomo nimekuachs instosha iwe mwanamke au mwanaume akitamka ty umeachika au umemuacha

  • @user-wf3dm9vj7s
    @user-wf3dm9vj7s2 ай бұрын

    Wasafi tupopamoja

  • @nervnerv470
    @nervnerv4702 жыл бұрын

    Dida

  • @hemedchuma9603
    @hemedchuma9603 Жыл бұрын

    Dida weee

Келесі