DIDA SHAIBU ATHIBITISHA KUWA KWENYE MAHUSIANO MAPYA, TUNA ZAIDI YA MIEZI SITA KWENYE MAHUSIANO YETU

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 148

  • @joycemfuru4752
    @joycemfuru475211 ай бұрын

    Siyo kweli ana wivu sana na roho mbaya anajificha kwa kucheka cheka soon ataumbuka

  • @user-yo3yy7fx1i
    @user-yo3yy7fx1i11 ай бұрын

    Hongera Dida❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @candy9969
    @candy996911 ай бұрын

    Hatari sana watu wazima na watoto wa mikorogo😂

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂duh,,,

  • @ulimwenguswed6394
    @ulimwenguswed639411 ай бұрын

    Tumechoka na michango ya dida jamani

  • @evaemil856
    @evaemil85610 ай бұрын

    Dida naona wamependeza na Mr. Nana. Mungu alibariki penzi lenu. Watunze na kuwaheshimu wakwe na nduguzo. Na kamwe usigombane na ex-wife km yupo Bali muheshimiane. Mwisho wapende na kuwatunza watoto wake. Mungu awajalie mema.

  • @user-yd9dw1cn6x
    @user-yd9dw1cn6x11 ай бұрын

    Mashavu sasa ya dada ungepumzika tu na hawa wakaka wa mjini watakuzalilisha mtu mzima wezangu 😢

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    11 ай бұрын

    Yn huyu ajuza mwenzetu jaman khaa 😳😳😳mwisho wa ck hawa wavulana ndio wale kina konde 😂

  • @judyngowi391

    @judyngowi391

    11 ай бұрын

    Kwakweli mzee mwenzangu ungepumzika tu,

  • @teychriss3248

    @teychriss3248

    11 ай бұрын

    Upwiru atamtoa nani

  • @fatmaahmed972

    @fatmaahmed972

    11 ай бұрын

    Kweli

  • @sisifaty9183

    @sisifaty9183

    11 ай бұрын

    Ao wamfwate binti yake awe tuu makini ,mapenzi ni hatari msimuingiliye

  • @MerryElias
    @MerryElias11 ай бұрын

    Babu wee dida nakuombee kila la her nakupenda sana

  • @alfridamapunda6344
    @alfridamapunda634411 ай бұрын

    Dida weeee nakupenda mie

  • @dignakanje4508
    @dignakanje450811 ай бұрын

    Upele umemkuta mkunaji.Juma lokole acha kusifia upele usiokuwasha.Juma hilo nipenzi jipya tu.Hta lamweshimiwa ulisema hyo hyo ,leo yakwapi juma

  • @umfahad2609
    @umfahad260911 ай бұрын

    Wewe unasema huogopi maneno. Mbona na nyie mnasema wenzenu.? Au mkuki kwa ngurue tu.?

  • @Fatma-wi2co
    @Fatma-wi2co11 ай бұрын

    Wenziwe huwachamba ila yeye kawa mpole , mdogo kama piriton😂😂😂

  • @hafswahamisi9685

    @hafswahamisi9685

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @cdeleo9336
    @cdeleo933611 ай бұрын

    Ila dida nilikuwa naona ana akili kumbe 😂😂. Ungetafuta mtu mzima mwenzako huyo kaka mikorogo kama shoga

  • @IreneIsack-qp9ns

    @IreneIsack-qp9ns

    11 ай бұрын

    Dida mwenyew mkorogo

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud402511 ай бұрын

    Jumaaaaaaaaaaaa eti kakaa nae karibu kamjua ni mtu wa aina gani😂😂Didah anajazwaa bichwaa

  • @chemstry409
    @chemstry40911 ай бұрын

    Yasije yakawa kama ya yule MGANGA WA MAJINI....😅😅

  • @tushuhassan3809
    @tushuhassan380911 ай бұрын

    Dida muongo amemfanyisha interview akampenda apo apo .

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    11 ай бұрын

    Ndio hapo hapo nae anapenda Yale mambo ye2

  • @umfahad2609
    @umfahad260911 ай бұрын

    Safari hii ukiolewa Dida punguza mdomo. Udumu kwenye ndoa. Aibu kuolewa kl cku.

  • @omanmct135

    @omanmct135

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    11 ай бұрын

    ​@@omanmct135Kwani kaachwa sababu ya mdomo? 😂😂

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas11 ай бұрын

    Akiingia kwenye ndoa atatuambia kama hayo yanafanywa tena wanaume ni masimba tena wawindaji haswa tukilitaka letu tutazingatia had mda wakunywa maji kwa wakati ila ukiingia kwenye ndoa ndo utajua km unapendwa kweli au ulikua kitoweo unawindwa tu.😂😂

  • @charabudochar4987
    @charabudochar498711 ай бұрын

    Boa noite

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma520911 ай бұрын

    Leo mmemuweza Dida 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @patriciousnjau7792
    @patriciousnjau779211 ай бұрын

    😂😂 dida leo kapatikana

  • @monadinadi5295
    @monadinadi529511 ай бұрын

    Pesa amempa hyo dida ili asijulikane analelewa 😂😂😂

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😂

  • @user-ex1ld4ee2f
    @user-ex1ld4ee2f11 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia227911 ай бұрын

    Jibu maswali viziribkm wew unavyouliza wenziee

  • @ibrahimibra-ol8tc
    @ibrahimibra-ol8tc8 ай бұрын

    dida love u so much

  • @AminaAmina-pc5ke
    @AminaAmina-pc5ke10 ай бұрын

    Jamani natamani kuonana nadida nampeda sana kweli nitakupataje

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma520911 ай бұрын

    Dida na bwanayako mliyenda wapi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ahammedmahruki8708
    @ahammedmahruki870811 ай бұрын

    Apo alivutwa akuingiya kwa ridhaa yake siunaona hapo wakati anamvuta acheni uwongo kumanina zenu😂

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😁

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss968711 ай бұрын

    HII INADHIHIRISHA KUWA DIAMOND YUKO VIZURI KIMAISHA ...KIMUZIKI...KIMAENDELEO... NA PIA KATIKA BUSARA NA HEKIMA...ila ilipita kipindi kigumu ambacho SIKUMUELEWA...BAADAYE NIKAMUELWA KUWA ..MAPENZI NDIYO YALIYOMCHANGANYA... Ila kwa mtazamo wangu ...KWA SASA SIMBA AMEBADILIKA SAAANA ..SIO SIMBA YULEEEE... ILA WATU WANASAHAU NA WANAKWEPA KUTAFAKARI KWAMBA :::#ZUCHU YUPO KATIKA MAISHA YA SIMBA....NA WENGI HAWAJUI KWAMBA ..ZUCHU ANAMBADILISHA DIAMOND KWA MAMBO MENGI TU....ALL THE BEST...

  • @eduwadylelya
    @eduwadylelya11 ай бұрын

    Haya mambo ni kubadilishana leo Dida yamemkuta mpaka kapanick

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws11 ай бұрын

    Yn ili dada libaya huko usoni km nyoka aitwayo cobra

  • @bellogregory7175
    @bellogregory717511 ай бұрын

    Da Dida leo aona haya 😂

  • @tausiathumani9408
    @tausiathumani940811 ай бұрын

    Mmm dida jamani

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950611 ай бұрын

    Aibu aki 😢😢😢 kakimbia ndoa anatoa uroda kwa watoto

  • @sporastica7174
    @sporastica717411 ай бұрын

    Mtu akisema miezi sita hapo ujue ni uongo 😂😂😂 dida amekutana nae hapo hapo mashamsham asitutie jamba jamba wambea

  • @najathtemo3908
    @najathtemo390811 ай бұрын

    Juma jaman😂😂eti mr nana nimtu wanamna gan😂😂 uwiii nakojoa mimi

  • @zenachuo2963
    @zenachuo296311 ай бұрын

    Dida usitudanganye huyu dogo hakai south africa ni mtt wa kitanga tena mwanzo alikuwa anaitwa b baloz baadae akaja kubadilisha jina ndo akajiita mr nana mamaake alikuwa anauza genge mtaani kwetu u

  • @amanimanase8798

    @amanimanase8798

    11 ай бұрын

    😅😅

  • @MaryNgoi-

    @MaryNgoi-

    11 ай бұрын

    Asante😂

  • @cdeleo9336
    @cdeleo933611 ай бұрын

    Wewe dida yatakukuta ya diva kujua kwingi umedondokea pabaya 🤣🤣🤣

  • @ConstantineCoscardrov-wb6ih
    @ConstantineCoscardrov-wb6ih11 ай бұрын

    Sema kufirana mmeanza lini

  • @user-uo6bo3ph6g

    @user-uo6bo3ph6g

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂jmn

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    Kumbe wanaf,,,,,trnaa😂😂😂😂😂

  • @milley7185
    @milley718511 ай бұрын

    😅😂😂😂😂😂 wqnemtqhiri dida kapiga kimya apigi nduruuuu ..wambea haoooo

  • @khatibmako3500
    @khatibmako350011 ай бұрын

    Aliekuwacha mlikutana dubai hy South heeee didaa

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo843211 ай бұрын

    Dida leo kavaa mawani Mazuri c yale anavaaga n leo kapendeza mapenzi yanabadilisha jamani 😂

  • @leahzuu6468
    @leahzuu646811 ай бұрын

    Kazi ipo wote wapaka vitaulo tena konki😂😂

  • @frankngoloka2589

    @frankngoloka2589

    11 ай бұрын

    Wote wanajikoboa usoni,washea vipondozi

  • @Mutubure
    @Mutubure11 ай бұрын

    Na Mzee Yusufu tena ndo basi Dida au?😂

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g11 ай бұрын

    Dida hyo pua sasa😂😂😂😂😂yaan nipo busy kuchek pua yko tu😅😅😅😅😅

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah770911 ай бұрын

    Huo mkorogo shogangu badala kuwa mweupe umekuwa kijani😂😂

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    11 ай бұрын

    Lakini didia mweupe labda kaongeza naten anamanywele Malayn sie ndo tunamjua dida hapo namtete

  • @onanarosse9657
    @onanarosse965711 ай бұрын

    Dida Leo 😂😂😂

  • @omanmct135
    @omanmct13511 ай бұрын

    Mnachekesha😂😂😂 sana

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed34511 ай бұрын

    Huyu ajuza mwenzangu ( dida ) anavyopenda vivulana vya mikorogo 😳😳

  • @officialbntrasool5223

    @officialbntrasool5223

    11 ай бұрын

    Et ajuza

  • @officialbntrasool5223

    @officialbntrasool5223

    11 ай бұрын

    , 😂😂😂

  • @ruqaiamohammed345

    @ruqaiamohammed345

    11 ай бұрын

    @@officialbntrasool5223 😆

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @spreadlove5300
    @spreadlove530011 ай бұрын

    Juma mpambe nux ndo kapewa kazi ya kumuelezea mista nana 😂😂😂

  • @khatibmako3500
    @khatibmako350011 ай бұрын

    Alikuwa znz kweupeee

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani926411 ай бұрын

    Watu na nyota zao, naye huyo akikuzingua piga teke na vitasa.

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn907011 ай бұрын

    Yaani mtu katoka Sauz Africa kaja kutongoza Bibi Tanzania 😆😆kwanza kijana mwenyewe mdogo,,halafu dida we ni mtu mzima jitulize na wazee wenzio

  • @user-pp8qb3bb9r

    @user-pp8qb3bb9r

    11 ай бұрын

    Mapenzi ana umri

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂we uzee mwisho chalinze😂😂😂😂

  • @michaeljohn9070

    @michaeljohn9070

    11 ай бұрын

    @@user-uc8ei8kn3l mmh dida kazeeka sana bwana😆

  • @bebebebe5677
    @bebebebe567711 ай бұрын

    Mkuki kwa nguruwe dida kwa wenzio mdomo mlefu na ututaki michango

  • @dianazambi2447
    @dianazambi244711 ай бұрын

    😂😂😂usiolewe aibuuu 😅

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😂 3:52

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki271611 ай бұрын

    Utazalilishwa

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani926411 ай бұрын

    DIDA FANYA MAMBO KWA FURAHA YAKO DIA, HAPANA CHEZEA WATU WENYE NYOTA ZAO

  • @salomewandya7257
    @salomewandya725711 ай бұрын

    Hahaha hatari 😅😅

  • @baysuraoman7910
    @baysuraoman791011 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tz yangu siami lamda kifo

  • @allyfatma7359
    @allyfatma735911 ай бұрын

    Walikuwa nzanibar.nafanya kazi airport Zanzibar,nilmuona😅😅😅.na siku aliyopanda ndege kurudi alivaa suruali nyeupe.this is dida.😅😅😅😂

  • @maggieandrew995
    @maggieandrew99511 ай бұрын

    Khaaaaaa dida unamajibu pambe

  • @rahmalovelymakeup-xy1qp
    @rahmalovelymakeup-xy1qp11 ай бұрын

    Eji gooo 😂😅

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo847611 ай бұрын

    Sura imekomaaa

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul11 ай бұрын

    Wamama wakware

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah770911 ай бұрын

    Hilo bag limeganda begani?!😂😂

  • @Liamtribalchief
    @Liamtribalchief11 ай бұрын

    Duu ni kibovu

  • @ahmedmohd3907
    @ahmedmohd390711 ай бұрын

    Wataachana tu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-qs4fb5fo5f
    @user-qs4fb5fo5f11 ай бұрын

    Jitu zima halikuwi baada kutafuta wazee wizio,Mange uko wapi

  • @AshaMakame-zg9xi

    @AshaMakame-zg9xi

    11 ай бұрын

    Mwenzangu mmmh shida

  • @dorcaskidoti249

    @dorcaskidoti249

    11 ай бұрын

    Na mishavu ilivyo mlegea sasa napoda leo kazidisha kama kanguka kutoka kwenye ungo ugani hadi aridhini😂😂

  • @gracekenan4665

    @gracekenan4665

    11 ай бұрын

    @@dorcaskidoti249 ila wewe Yani nimecheka hatari

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    ​@@dorcaskidoti249😂

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph189211 ай бұрын

    Dida nakuoenda una msimamo mzuri sana.

  • @sadickjuma7264
    @sadickjuma726411 ай бұрын

    Mke wa mtu huyo hajapewa taraka

  • @ulimwenguswed6394
    @ulimwenguswed639411 ай бұрын

    Safari hii iwe Doa ya mkeka inatosha

  • @zuwenasalim2794

    @zuwenasalim2794

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @masikasimba-hy2cm

    @masikasimba-hy2cm

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @joycemageta4876

    @joycemageta4876

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    11 ай бұрын

    Ww km nani labda

  • @sultanjey479
    @sultanjey47911 ай бұрын

    Kimemramba

  • @dalyat3537
    @dalyat353711 ай бұрын

    Wawenzenu wataka kuyajua yenu mwayaficha

  • @halimasaid3246
    @halimasaid324611 ай бұрын

    Dida kawa mdogoooooooo ahahahahahahaha

  • @khadijakimana8809

    @khadijakimana8809

    11 ай бұрын

    😅😅😅

  • @user-yo3yy7fx1i
    @user-yo3yy7fx1i11 ай бұрын

    Waongo nyie😂😂😂roho mchafu kashindwa kuishi Na wanawake wake

  • @svt3

    @svt3

    11 ай бұрын

    Hata Alikiba unaye fikiria ana roho nzuri ana baby mama kibao usisahau hiyo na Amina kaomba talaka hadharani kutokaa na mke haimaanishe hauna roho nzuri

  • @sofiasophia9018
    @sofiasophia901811 ай бұрын

    Dida leo lake kimya lakini yawenzake anaongea sana

  • @khadijakimana8809

    @khadijakimana8809

    11 ай бұрын

    😂

  • @jescamhagama3458
    @jescamhagama345811 ай бұрын

    Duuuu shida

  • @deboramartin8111
    @deboramartin811111 ай бұрын

    Upwiruu unafulumia dida

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😭

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki979111 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Mnamsakama dida jmn

  • @joycemageta4876

    @joycemageta4876

    11 ай бұрын

    Kama anavyo wasakama wenzie

  • @umfahad2609

    @umfahad2609

    11 ай бұрын

    Na yeye pia husakama wenzie. Wacha tu yamkute na yeye.

  • @fatumamahoiga3978

    @fatumamahoiga3978

    11 ай бұрын

    Kivumbi na jasho leo

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo723611 ай бұрын

    Hivi kwanini wadada watu wazima mnapenda wavulana?hebu tafuteni magentleman

  • @allyhamad3113
    @allyhamad311311 ай бұрын

    ❤️❤️❤️❤️❤️🤲🤲👌

  • @lelaiddy6856
    @lelaiddy685611 ай бұрын

    Dida kimemramba...

  • @salmatanza8133
    @salmatanza813311 ай бұрын

    Mganga tipping and delete

  • @user-ds9gc3wx4n
    @user-ds9gc3wx4n11 ай бұрын

    Kusem y wengine unachangmuk ivi yako unakua bubu

  • @zeyanakhamis4826
    @zeyanakhamis482610 ай бұрын

    hhhh zam yak leo 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud600111 ай бұрын

    Inawezekana walikutana kwenye biashara zao za ngada..!..Shauri zenu

  • @jimmyangela5717

    @jimmyangela5717

    11 ай бұрын

    Kwan dadi ndo inshu zake ngadaaaaa

  • @ismailmasoud6001

    @ismailmasoud6001

    11 ай бұрын

    @@jimmyangela5717 ...Mji una mambo mengi mjomba..!

  • @AshaMakame-zg9xi

    @AshaMakame-zg9xi

    11 ай бұрын

    😴😴😴😴😴

  • @ZINDUKAMUISILAMU30

    @ZINDUKAMUISILAMU30

    11 ай бұрын

    🤗🤗🤗🤗🤗

  • @merinankullua5874
    @merinankullua587411 ай бұрын

    Dida jibu maswali kama ambavyo unawauliza wengine

  • @user-uc8ei8kn3l

    @user-uc8ei8kn3l

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂anakuwa mkali

  • @theresechristensen8190
    @theresechristensen819011 ай бұрын

    😂😂😂❤🇩🇰

  • @aishatest4451
    @aishatest445111 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma520911 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @DianaMacha-jf8gw
    @DianaMacha-jf8gw11 ай бұрын

    Jamn dida akisutw anakuja mpole

  • @SafiyaaaSofi-uy3nk
    @SafiyaaaSofi-uy3nk11 ай бұрын

    alikuwa znz mm nimemuona forozani natulionana tenahoteli mmoja kweye tarab

  • @theresechristensen8190
    @theresechristensen819011 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂🇩🇰

  • @joycemageta4876
    @joycemageta487611 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 so anakuaga na upwiru ndo maana mkali

  • @issambonde1469
    @issambonde146911 ай бұрын

    Dida ni zawadi yako nzr kwa upendo t na msimamo wako dadangu nipee kwa kazi nzr zawadi ntaka nkupe ml 30

  • @user-sd2kx2iv1v

    @user-sd2kx2iv1v

    11 ай бұрын

    😀😀

  • @hellenkumbuka2764
    @hellenkumbuka276411 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @omanmct135
    @omanmct13511 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-je5wd1uo6r
    @user-je5wd1uo6r11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

Келесі