DIDA SHAIBU ATHIBITISHA KUWA KWENYE MAHUSIANO MAPYA, TUNA ZAIDI YA MIEZI SITA KWENYE MAHUSIANO YETU
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 148
Siyo kweli ana wivu sana na roho mbaya anajificha kwa kucheka cheka soon ataumbuka
Hongera Dida❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hatari sana watu wazima na watoto wa mikorogo😂
@user-uc8ei8kn3l
11 ай бұрын
😂😂😂😂duh,,,
Tumechoka na michango ya dida jamani
Dida naona wamependeza na Mr. Nana. Mungu alibariki penzi lenu. Watunze na kuwaheshimu wakwe na nduguzo. Na kamwe usigombane na ex-wife km yupo Bali muheshimiane. Mwisho wapende na kuwatunza watoto wake. Mungu awajalie mema.
Mashavu sasa ya dada ungepumzika tu na hawa wakaka wa mjini watakuzalilisha mtu mzima wezangu 😢
@ruqaiamohammed345
11 ай бұрын
Yn huyu ajuza mwenzetu jaman khaa 😳😳😳mwisho wa ck hawa wavulana ndio wale kina konde 😂
@judyngowi391
11 ай бұрын
Kwakweli mzee mwenzangu ungepumzika tu,
@teychriss3248
11 ай бұрын
Upwiru atamtoa nani
@fatmaahmed972
11 ай бұрын
Kweli
@sisifaty9183
11 ай бұрын
Ao wamfwate binti yake awe tuu makini ,mapenzi ni hatari msimuingiliye
Babu wee dida nakuombee kila la her nakupenda sana
Dida weeee nakupenda mie
Upele umemkuta mkunaji.Juma lokole acha kusifia upele usiokuwasha.Juma hilo nipenzi jipya tu.Hta lamweshimiwa ulisema hyo hyo ,leo yakwapi juma
Wewe unasema huogopi maneno. Mbona na nyie mnasema wenzenu.? Au mkuki kwa ngurue tu.?
Wenziwe huwachamba ila yeye kawa mpole , mdogo kama piriton😂😂😂
@hafswahamisi9685
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
Ila dida nilikuwa naona ana akili kumbe 😂😂. Ungetafuta mtu mzima mwenzako huyo kaka mikorogo kama shoga
@IreneIsack-qp9ns
11 ай бұрын
Dida mwenyew mkorogo
Jumaaaaaaaaaaaa eti kakaa nae karibu kamjua ni mtu wa aina gani😂😂Didah anajazwaa bichwaa
Yasije yakawa kama ya yule MGANGA WA MAJINI....😅😅
Dida muongo amemfanyisha interview akampenda apo apo .
@user-uc8ei8kn3l
11 ай бұрын
Ndio hapo hapo nae anapenda Yale mambo ye2
Safari hii ukiolewa Dida punguza mdomo. Udumu kwenye ndoa. Aibu kuolewa kl cku.
@omanmct135
11 ай бұрын
😂😂😂
@fatmazullu4933
11 ай бұрын
@@omanmct135Kwani kaachwa sababu ya mdomo? 😂😂
Akiingia kwenye ndoa atatuambia kama hayo yanafanywa tena wanaume ni masimba tena wawindaji haswa tukilitaka letu tutazingatia had mda wakunywa maji kwa wakati ila ukiingia kwenye ndoa ndo utajua km unapendwa kweli au ulikua kitoweo unawindwa tu.😂😂
Boa noite
Leo mmemuweza Dida 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂 dida leo kapatikana
Pesa amempa hyo dida ili asijulikane analelewa 😂😂😂
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😂
❤❤❤❤
Jibu maswali viziribkm wew unavyouliza wenziee
dida love u so much
Jamani natamani kuonana nadida nampeda sana kweli nitakupataje
Dida na bwanayako mliyenda wapi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Apo alivutwa akuingiya kwa ridhaa yake siunaona hapo wakati anamvuta acheni uwongo kumanina zenu😂
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😁
HII INADHIHIRISHA KUWA DIAMOND YUKO VIZURI KIMAISHA ...KIMUZIKI...KIMAENDELEO... NA PIA KATIKA BUSARA NA HEKIMA...ila ilipita kipindi kigumu ambacho SIKUMUELEWA...BAADAYE NIKAMUELWA KUWA ..MAPENZI NDIYO YALIYOMCHANGANYA... Ila kwa mtazamo wangu ...KWA SASA SIMBA AMEBADILIKA SAAANA ..SIO SIMBA YULEEEE... ILA WATU WANASAHAU NA WANAKWEPA KUTAFAKARI KWAMBA :::#ZUCHU YUPO KATIKA MAISHA YA SIMBA....NA WENGI HAWAJUI KWAMBA ..ZUCHU ANAMBADILISHA DIAMOND KWA MAMBO MENGI TU....ALL THE BEST...
Haya mambo ni kubadilishana leo Dida yamemkuta mpaka kapanick
Yn ili dada libaya huko usoni km nyoka aitwayo cobra
Da Dida leo aona haya 😂
Mmm dida jamani
Aibu aki 😢😢😢 kakimbia ndoa anatoa uroda kwa watoto
Mtu akisema miezi sita hapo ujue ni uongo 😂😂😂 dida amekutana nae hapo hapo mashamsham asitutie jamba jamba wambea
Juma jaman😂😂eti mr nana nimtu wanamna gan😂😂 uwiii nakojoa mimi
Dida usitudanganye huyu dogo hakai south africa ni mtt wa kitanga tena mwanzo alikuwa anaitwa b baloz baadae akaja kubadilisha jina ndo akajiita mr nana mamaake alikuwa anauza genge mtaani kwetu u
@amanimanase8798
11 ай бұрын
😅😅
@MaryNgoi-
11 ай бұрын
Asante😂
Wewe dida yatakukuta ya diva kujua kwingi umedondokea pabaya 🤣🤣🤣
Sema kufirana mmeanza lini
@user-uo6bo3ph6g
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂jmn
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
Kumbe wanaf,,,,,trnaa😂😂😂😂😂
😅😂😂😂😂😂 wqnemtqhiri dida kapiga kimya apigi nduruuuu ..wambea haoooo
Aliekuwacha mlikutana dubai hy South heeee didaa
Dida leo kavaa mawani Mazuri c yale anavaaga n leo kapendeza mapenzi yanabadilisha jamani 😂
Kazi ipo wote wapaka vitaulo tena konki😂😂
@frankngoloka2589
11 ай бұрын
Wote wanajikoboa usoni,washea vipondozi
Na Mzee Yusufu tena ndo basi Dida au?😂
Dida hyo pua sasa😂😂😂😂😂yaan nipo busy kuchek pua yko tu😅😅😅😅😅
Huo mkorogo shogangu badala kuwa mweupe umekuwa kijani😂😂
@ukhtyrayyan7884
11 ай бұрын
Lakini didia mweupe labda kaongeza naten anamanywele Malayn sie ndo tunamjua dida hapo namtete
Dida Leo 😂😂😂
Mnachekesha😂😂😂 sana
Huyu ajuza mwenzangu ( dida ) anavyopenda vivulana vya mikorogo 😳😳
@officialbntrasool5223
11 ай бұрын
Et ajuza
@officialbntrasool5223
11 ай бұрын
, 😂😂😂
@ruqaiamohammed345
11 ай бұрын
@@officialbntrasool5223 😆
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Juma mpambe nux ndo kapewa kazi ya kumuelezea mista nana 😂😂😂
Alikuwa znz kweupeee
Watu na nyota zao, naye huyo akikuzingua piga teke na vitasa.
Yaani mtu katoka Sauz Africa kaja kutongoza Bibi Tanzania 😆😆kwanza kijana mwenyewe mdogo,,halafu dida we ni mtu mzima jitulize na wazee wenzio
@user-pp8qb3bb9r
11 ай бұрын
Mapenzi ana umri
@user-uc8ei8kn3l
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂we uzee mwisho chalinze😂😂😂😂
@michaeljohn9070
11 ай бұрын
@@user-uc8ei8kn3l mmh dida kazeeka sana bwana😆
Mkuki kwa nguruwe dida kwa wenzio mdomo mlefu na ututaki michango
😂😂😂usiolewe aibuuu 😅
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😂 3:52
Utazalilishwa
DIDA FANYA MAMBO KWA FURAHA YAKO DIA, HAPANA CHEZEA WATU WENYE NYOTA ZAO
Hahaha hatari 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tz yangu siami lamda kifo
Walikuwa nzanibar.nafanya kazi airport Zanzibar,nilmuona😅😅😅.na siku aliyopanda ndege kurudi alivaa suruali nyeupe.this is dida.😅😅😅😂
Khaaaaaa dida unamajibu pambe
Eji gooo 😂😅
Sura imekomaaa
Wamama wakware
Hilo bag limeganda begani?!😂😂
Duu ni kibovu
Wataachana tu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Jitu zima halikuwi baada kutafuta wazee wizio,Mange uko wapi
@AshaMakame-zg9xi
11 ай бұрын
Mwenzangu mmmh shida
@dorcaskidoti249
11 ай бұрын
Na mishavu ilivyo mlegea sasa napoda leo kazidisha kama kanguka kutoka kwenye ungo ugani hadi aridhini😂😂
@gracekenan4665
11 ай бұрын
@@dorcaskidoti249 ila wewe Yani nimecheka hatari
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
@@dorcaskidoti249😂
Dida nakuoenda una msimamo mzuri sana.
Mke wa mtu huyo hajapewa taraka
Safari hii iwe Doa ya mkeka inatosha
@zuwenasalim2794
11 ай бұрын
😂😂😂
@masikasimba-hy2cm
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@joycemageta4876
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ZINDUKAMUISILAMU30
11 ай бұрын
Ww km nani labda
Kimemramba
Wawenzenu wataka kuyajua yenu mwayaficha
Dida kawa mdogoooooooo ahahahahahahaha
@khadijakimana8809
11 ай бұрын
😅😅😅
Waongo nyie😂😂😂roho mchafu kashindwa kuishi Na wanawake wake
@svt3
11 ай бұрын
Hata Alikiba unaye fikiria ana roho nzuri ana baby mama kibao usisahau hiyo na Amina kaomba talaka hadharani kutokaa na mke haimaanishe hauna roho nzuri
Dida leo lake kimya lakini yawenzake anaongea sana
@khadijakimana8809
11 ай бұрын
😂
Duuuu shida
Upwiruu unafulumia dida
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😭
😂😂😂😂😂 Mnamsakama dida jmn
@joycemageta4876
11 ай бұрын
Kama anavyo wasakama wenzie
@umfahad2609
11 ай бұрын
Na yeye pia husakama wenzie. Wacha tu yamkute na yeye.
@fatumamahoiga3978
11 ай бұрын
Kivumbi na jasho leo
Hivi kwanini wadada watu wazima mnapenda wavulana?hebu tafuteni magentleman
❤️❤️❤️❤️❤️🤲🤲👌
Dida kimemramba...
Mganga tipping and delete
Kusem y wengine unachangmuk ivi yako unakua bubu
hhhh zam yak leo 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Inawezekana walikutana kwenye biashara zao za ngada..!..Shauri zenu
@jimmyangela5717
11 ай бұрын
Kwan dadi ndo inshu zake ngadaaaaa
@ismailmasoud6001
11 ай бұрын
@@jimmyangela5717 ...Mji una mambo mengi mjomba..!
@AshaMakame-zg9xi
11 ай бұрын
😴😴😴😴😴
@ZINDUKAMUISILAMU30
11 ай бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗
Dida jibu maswali kama ambavyo unawauliza wengine
@user-uc8ei8kn3l
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂anakuwa mkali
😂😂😂❤🇩🇰
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamn dida akisutw anakuja mpole
alikuwa znz mm nimemuona forozani natulionana tenahoteli mmoja kweye tarab
😂😂😂😂😂😂😂🇩🇰
😂😂😂😂😂😂 so anakuaga na upwiru ndo maana mkali
Dida ni zawadi yako nzr kwa upendo t na msimamo wako dadangu nipee kwa kazi nzr zawadi ntaka nkupe ml 30
@user-sd2kx2iv1v
11 ай бұрын
😀😀
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂