NI KUFURU YA PESA FAMILIA MBILI ZAONESHANA UBABE / DIAMOND NI BALAAA ZAIDI

Ойын-сауық

#wasafi

Пікірлер: 1 400

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga22004 жыл бұрын

    Naomba sanaaaa Nasib ubaki na hizo nywele unakua sawa sana

  • @elizabethmagambo9785

    @elizabethmagambo9785

    4 жыл бұрын

    Kafanana na nilan

  • @geofreylucas9469

    @geofreylucas9469

    4 жыл бұрын

    Akusikii huyo

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    4 жыл бұрын

    Kapendeza Diamond

  • @goldgrace7773

    @goldgrace7773

    4 жыл бұрын

    Kabsa

  • @hbh3436
    @hbh34364 жыл бұрын

    Allah anampa mja mali vile anataka yeye mwenyewe Mungu. Mashallah, nasisi Allah atujalie tupate pesä. Aameen

  • @nafisaabdalla2599

    @nafisaabdalla2599

    4 жыл бұрын

    amin ss wengine twazipata kwa shida izo lkni wenzetu wanazipata vizuri tu ndio maana kuzitumia hawazionei uchungu

  • @khamishabas2402

    @khamishabas2402

    4 жыл бұрын

    @@nafisaabdalla2599 una muomb mungu akup pesa kaziufny unazan utaziokt

  • @salmaseif8755

    @salmaseif8755

    4 жыл бұрын

    Amiiin

  • @amneynuhu7462

    @amneynuhu7462

    4 жыл бұрын

    Ameen inshaallah

  • @agukagospel

    @agukagospel

    4 жыл бұрын

    ebony what >? kzread.info/dash/bejne/p2qCqrSQYZbIfpc.html

  • @nuraabdi1379
    @nuraabdi13794 жыл бұрын

    Nasibu ukiwa na nywele hizo unapendeza zaidi mashallah

  • @pillykupaza1098

    @pillykupaza1098

    4 жыл бұрын

    Kweli hata mimi napenda akiwa na nywele hizo

  • @mariamkissiwa2549

    @mariamkissiwa2549

    4 жыл бұрын

    Exactly

  • @brobabuu3973

    @brobabuu3973

    4 жыл бұрын

    Mnaona mbali sana,... nyie n wakali...

  • @daimually4865

    @daimually4865

    4 жыл бұрын

    Huwa anajichanganya tuu lkn mbona yupo pw naanajielewa kbs

  • @iammusic3404

    @iammusic3404

    4 жыл бұрын

    HB🔥😘

  • @Mammymuhamed
    @MammymuhamedКүн бұрын

    Ukiwa na pesa ni mtihani usipokuwa nazo pia ni mtihani. Allah atupe kila.lenye kheri na sisi.

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky97243 жыл бұрын

    Kama umerudi kusebu zile pesa zilitajwa kwenye enteviw ya zamaradi gonga like😂🤣🤣👊

  • @irenemjema3895

    @irenemjema3895

    3 жыл бұрын

    Hahhahahahhaaha

  • @minzageorge1417
    @minzageorge14174 жыл бұрын

    Mung nisamehe mm nimasikin baado naweka baando kila siku kuangalia ujinga namafanikio ya wenzang nakuzid kujitia umaskn zaid bola niwe natowa sadak ela yang Wenda nami mung ataniinuwa inshallah

  • @nyambogosunday9030

    @nyambogosunday9030

    3 жыл бұрын

    Ameen..

  • @rachelmbeyu4385
    @rachelmbeyu43854 жыл бұрын

    Diamond style ya nywele imekutoa vizuri sana umependeza

  • @gloriaatupele9090

    @gloriaatupele9090

    4 жыл бұрын

    Kampuni zinazofirisika kaombeni msaada kwa mondi anachezea pesa kama karata huku nyie mwafunga ofc

  • @nawal3104

    @nawal3104

    4 жыл бұрын

    Gloria ATUPELE has I’ll oop p

  • @princessnthenya6151

    @princessnthenya6151

    4 жыл бұрын

    Tena sana

  • @dorislema1814

    @dorislema1814

    4 жыл бұрын

    kwel kuliko yale marac

  • @mwanahamisirashidi3439

    @mwanahamisirashidi3439

    3 жыл бұрын

    Mwenyewe pesa sio mwenzenu jamani

  • @zuwenaalamini4158
    @zuwenaalamini41583 жыл бұрын

    Jaman mm narudia baada ndoa kuvunjika ngonga like Kama na wewe mbea Kama mimi

  • @dorcasarakaza3406

    @dorcasarakaza3406

    Жыл бұрын

    Mm hapa😂😂😂

  • @thomaschristian769
    @thomaschristian7694 жыл бұрын

    Dah eeh Mungu nione na mimi baba walau nipate tu hata kodi tu na pesa ya kuendesha maisha 😭😭😭 Nisingependa niwe na utajiri mwingi kama wa Nasibu mimi nipate tu zile za kuendeshea maisha

  • @prossonassoro525

    @prossonassoro525

    Жыл бұрын

    Uhakika

  • @monicapeter9065

    @monicapeter9065

    8 ай бұрын

    Achana nao tuu hapo ni kufuru tuu maana Kuna maskin hawana hata ya kununua unganwa uji wenyew wanatamba nazo ujinga tuuu

  • @tabikanini2920
    @tabikanini29204 жыл бұрын

    Waaa bibi harusi anapenda pesa waaa ona anavyotabasamu hadi anashika pesa

  • @chidybizz8684

    @chidybizz8684

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @officialmrtop1018

    @officialmrtop1018

    4 жыл бұрын

    Nani asopenda pesa?

  • @ALIALI618

    @ALIALI618

    4 жыл бұрын

    Wewe hupendi pesa jamani

  • @msetikebwasi6895

    @msetikebwasi6895

    4 жыл бұрын

    Sasa unataka ashike nini?

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    4 жыл бұрын

    Nilijua nimeona peke yangu

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane54214 жыл бұрын

    Esmaa una kiherehere Kama vilee wachagua mitumba soko kuu tulia bibii utachokwa pesa sio kituu utajiri sio kituu ulizaliwa ukavikuta na utaviacha muombee munguu akufanyie wepes wa ndoa na usiende kutixhia wake wenzaa na izo malii wahexhimu na uwe mwanamkee wa mfanoo

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Hee kumbe kuna wake wenzie waliotangulia wala hatakaa huyo kaenda kuwa kivuruge

  • @issangyabertha5741
    @issangyabertha57414 жыл бұрын

    Mwanamke anatamaa yapesa sanaaaaa

  • @ramadhanmbalamulah6787
    @ramadhanmbalamulah67874 жыл бұрын

    Jamani punguzeni sifaa mm natafta hata elfu 5 nyi mnachezea yaan duh: Inshahalah

  • @jafariramadhani3264

    @jafariramadhani3264

    3 жыл бұрын

    Freemason ndg yangu

  • @hashimhashimmuimbehadimoyo1164

    @hashimhashimmuimbehadimoyo1164

    3 жыл бұрын

    Angalieni msijikweze msije kwezwa

  • @mzalendomzalendo2567
    @mzalendomzalendo25674 жыл бұрын

    Daah bibi harusi yuko kwenye pesa tuu anachunga pesa

  • @aisaonlinetv8809

    @aisaonlinetv8809

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @rehellongo9125

    @rehellongo9125

    3 жыл бұрын

    Naombeni elfu moja tuuuu

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo61053 жыл бұрын

    Diamond Brother mzuri sana,ajua kuchangisha pesa za harus zirudi kimpango.. good Job Diamond

  • @T5Gold
    @T5Gold4 жыл бұрын

    this is the original diamond we used to see in ''mbagala'' and ''kamwambie''

  • @maestrojayysule5660
    @maestrojayysule56604 жыл бұрын

    Jana mm hapa tunagombana na Bos wangu kwa elfu tano .angalau nipate kula .wenzetu pesa wanazifanya kama karata

  • @johncavishe353

    @johncavishe353

    4 жыл бұрын

    Hahahaha noma sanaaa

  • @brobabuu3973

    @brobabuu3973

    4 жыл бұрын

    tupambane kutafuta pesa bana..

  • @happynessmarki2780

    @happynessmarki2780

    4 жыл бұрын

    maestro jayysule daaaa achaaaaa tu maisha hayaa

  • @brobabuu3973

    @brobabuu3973

    4 жыл бұрын

    @@happynessmarki2780 balaa tupu dada

  • @eurozbsimoniz6866

    @eurozbsimoniz6866

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki9804 жыл бұрын

    Nashauri wasiwasahau pia YATIMA na WAJANE pamoja na WAGONJWA wasiojiweza MUNGU ATAWABARIKI ZAIDI

  • @barakabahati4315

    @barakabahati4315

    4 жыл бұрын

    Bt mond anasaidia sana

  • @vanessastafford5120

    @vanessastafford5120

    4 жыл бұрын

    Sio siku yao

  • @charleskimanzi3818
    @charleskimanzi38184 жыл бұрын

    Hairstyle ya mondi imeweza.,anakaa fiti sana na hiyo hair cut......

  • @zaitunikweka979
    @zaitunikweka9794 жыл бұрын

    Daimond nyoa ivyo ivyo u akuwa smat vizur good🤝

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    4 жыл бұрын

    Kweli anapendeza sana

  • @zaitunikweka979

    @zaitunikweka979

    4 жыл бұрын

    @@m.mmarckus6298 sana

  • @mwambafamily

    @mwambafamily

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/gI2CuqyAqsasYMY.html

  • @kulwapeleka1163

    @kulwapeleka1163

    4 жыл бұрын

    SANAAA

  • @heraldloshi1864

    @heraldloshi1864

    4 жыл бұрын

    Zaituni Kweka ,Ni kweli👍🏾👍🏾

  • @stellambeca5913
    @stellambeca59134 жыл бұрын

    Wow it's so colorful,,, D..... ana look fyn with those outfit,, classy 😍😍

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta7744 жыл бұрын

    Kumependeza sana na mmependeza sana pia. Wenye wivu wajinyongeeeee

  • @monicapeter9065

    @monicapeter9065

    8 ай бұрын

    Mfyuuuuuu we mwenyew chawa tuuu

  • @barrysulty1756
    @barrysulty17564 жыл бұрын

    Mashallah mungu awape zaidi na maelewano pia ndio muhimu awape na watoto wenye hekima na kufuata njia zilizonyoka, nangaalia nikiwa udachini!

  • @bjzee1981
    @bjzee19813 жыл бұрын

    Huyu jamaa hakua fala kumbe Alisha wasoma namba kitambo. Mwanamke alitaka mipesa apite hivi. Nani mwingine ana angalia baada ya Esma kuachwa. Kamati roho chafu tujuane 😂

  • @sailatobias4343
    @sailatobias43434 жыл бұрын

    Kama mungu angekua anagombaniwa hivi ingekuwa laha sana 💞🙏🤲🤲

  • @witomsafiri
    @witomsafiri4 жыл бұрын

    Kama na wewe umesikia current badala ya currency gonga like.

  • @rizlambajuni

    @rizlambajuni

    4 жыл бұрын

    😂wengine wamelike bila kujua unaamaanisha nini🙄

  • @rizlambajuni

    @rizlambajuni

    4 жыл бұрын

    Ila me nimekuelewa😂😂😂

  • @khadijamzee2739

    @khadijamzee2739

    4 жыл бұрын

    Nilifikiri nimesikia peke yangu

  • @rizlambajuni

    @rizlambajuni

    4 жыл бұрын

    Khadija Mzee 😂😂😂

  • @eppiemodest

    @eppiemodest

    4 жыл бұрын

    Una like bila kujua kama yuko kwenye grammar. English anaijua Mond juuuuu

  • @popoweumambo8057
    @popoweumambo80574 жыл бұрын

    Kindly put some English Subtitles pliz we love u bt language is a barrier !!I still watched to the end bt cant understand wat u saying to yo sis and inlaw

  • @NiraSaire

    @NiraSaire

    4 жыл бұрын

    Its a money battle, Simba started by putting on some foreign money, The pound, the USD, the Indian Rupia, and he was complaining that the opponent is only putting Randi which is not as valuable.. at last they agreed that when Simba puts they should provide Randi of the same amount! At last they gave up! But the last guy came and say he is ready for Tanzanian shillings battle

  • @gracegenadio8291

    @gracegenadio8291

    4 жыл бұрын

    Very sorry dear

  • @tasianaantoni6477

    @tasianaantoni6477

    4 жыл бұрын

    Unatisha simba

  • @mtimkavu6062

    @mtimkavu6062

    4 жыл бұрын

    Bora ulivyokosa kuelewa maana ungeingiwa na Tamaa bure

  • @mohamednoti7119
    @mohamednoti71194 жыл бұрын

    Wanaume wenzangu tutafute pesa aisee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bigbossmanbossman6946
    @bigbossmanbossman69464 жыл бұрын

    Nikiskia million nimeshtuka nilidhani ni mita ya hapa kwetu kumbe mita huko ni 46k za hapa home 😂😂😂😂

  • @allymngwaya1369

    @allymngwaya1369

    4 жыл бұрын

    Sasa hizo 46K za hapo kwako wewe unazo?.

  • @iammusic3404
    @iammusic34044 жыл бұрын

    Kula pesa mama kaka unae ila respect mmeo napunguza macho kwenye pesa😂😂😂🔥😘

  • @nasramakau6139

    @nasramakau6139

    4 жыл бұрын

    Kwakweli jamani mana bi harusu macho kodo

  • @farajajuddy4391

    @farajajuddy4391

    3 жыл бұрын

    Kwakweli macho kwenye pesa

  • @imanimussa4076
    @imanimussa40764 жыл бұрын

    Bi harus acha kuonesha hisia zko ktk pesa

  • @siaammo1104

    @siaammo1104

    4 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @salmaseif8755

    @salmaseif8755

    4 жыл бұрын

    Kweli kbs

  • @salumabdallah6680

    @salumabdallah6680

    4 жыл бұрын

    Wee hujui kua pesa ni sabuni ya roho😂😂

  • @naomimabula2660
    @naomimabula26604 жыл бұрын

    Rizika na chako ulichonacho, uctamani vya watu, cz hujui asili yake.

  • @tanzaniatouristsattraction1622

    @tanzaniatouristsattraction1622

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa ukijua zinapotoka unaweza tapika

  • @thomasponera6018

    @thomasponera6018

    4 жыл бұрын

    Umeongea vizur, sema huyu aliyekuja kusema kutapika. Ni wivu unamsumbua

  • @m.mmarckus6298

    @m.mmarckus6298

    4 жыл бұрын

    Hata maandiko yanasema hivyo

  • @dukeofkisii

    @dukeofkisii

    4 жыл бұрын

    True

  • @njemasaid581

    @njemasaid581

    4 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo3794 жыл бұрын

    Jmn diamond ana sifa hd anatia hasira kha!!!🤦🤦🤦🙆🙄. Hela hz mweh

  • @zabronadamsony870

    @zabronadamsony870

    4 жыл бұрын

    umeona we anaona anajifananishaa na wezake

  • @shabanjuma3145

    @shabanjuma3145

    3 жыл бұрын

    Here yaan mpako nimechoka cc kupata laki ni kaz jaman hasa wanaume tutafutane pesa

  • @ummoislam4832
    @ummoislam48324 жыл бұрын

    Bi harusi nae anapenda pesa kama mcheza kamare

  • @aminamarie2387

    @aminamarie2387

    4 жыл бұрын

    🙆😂😂😂😂

  • @brobabuu3973

    @brobabuu3973

    4 жыл бұрын

    @@aminamarie2387 Hahhah ata mimi pesa nazipenda kwa kweli

  • @aishatanzania1194

    @aishatanzania1194

    4 жыл бұрын

    @@brobabuu3973 😋😋😋🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @brobabuu3973

    @brobabuu3973

    4 жыл бұрын

    @@aishatanzania1194 ww hupendi naona 😂

  • @janemusumba820

    @janemusumba820

    4 жыл бұрын

    Kabisa na kiherehere

  • @user-xh7vw4kk7o
    @user-xh7vw4kk7o3 жыл бұрын

    Nice sherehe japo jini mkata kamba alingiya kati from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦❤️❤️❤️❤️

  • @juliethgervas3194
    @juliethgervas31944 жыл бұрын

    Bi harusi alikuwa na wengee😂😂😂hatulii

  • @iammusic3404
    @iammusic34044 жыл бұрын

    Isipoingia on trending hii ki2 utube wachawi👌 Trust me

  • @shancyskitchen3044
    @shancyskitchen30444 жыл бұрын

    Diamond Ni Mjanja Sana😁Anamtafutia Dada Yake Mtaji Wa Kwa Shemeji

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @VibextazSports

    @VibextazSports

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lnpozLlvcbLVebA.html

  • @kondeboyplatnumz1770

    @kondeboyplatnumz1770

    4 жыл бұрын

    vf

  • @jizomontana1899

    @jizomontana1899

    3 жыл бұрын

    😆😆😆 mamae

  • @jafariramadhani3264

    @jafariramadhani3264

    3 жыл бұрын

    Kwelii kabisa

  • @japhetalex971
    @japhetalex9714 жыл бұрын

    Mwenyez mungu n mwema hakika ipo sku tulio chini tutainuliwa kama hawa alivyo kwisha wainua inshallah

  • @rommyabduly6036

    @rommyabduly6036

    4 жыл бұрын

    Inshaaalaah

  • @aishatanzania1194

    @aishatanzania1194

    4 жыл бұрын

    Daaa😭😭😭 inshallah habib mungu wetu sote🙏🙏🙏🤦🏿‍♂️🤦🏿‍♂️

  • @japhetalex971

    @japhetalex971

    4 жыл бұрын

    Hakika hana hiyana

  • @zainathcuwimigishazchelsea2113
    @zainathcuwimigishazchelsea21134 жыл бұрын

    MashaAllah M MUNGU awazidishie, nasi ALLAH aturuzuku pia

  • @chulitolove6648
    @chulitolove66484 жыл бұрын

    Bando lenyewe ninalo tumia kuangalia aya mamilioni yanayomwagwa apa shida... Nikalale tu.... Congratulations esma😍

  • @hawaomary4084

    @hawaomary4084

    2 жыл бұрын

    Hahahahaaaaaa! Nimekupenda buleee

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62374 жыл бұрын

    Kufuru Kwa wenye nazo, wengine walala njaaa, mungu jamaniii 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @allyhussein5192

    @allyhussein5192

    3 жыл бұрын

    Naomba kuuliza hivi hili sebene linalopigwa hapa mwanzo ni la msanii gani

  • @khazinak9083
    @khazinak90833 жыл бұрын

    Amjengee babaake nyumba nzuri pesa mwisho zitayayuka km moto kuwa na mapenzi na watu wote unawasaidia maskini msaidie baba yko m.mungu atakupa kher zsidi

  • @josephinejoseph9702
    @josephinejoseph97024 жыл бұрын

    Diamond nibalaa kiukweli nimependa pia umetokelezea sana gonga like kama unaona katokelezeaa

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi68954 жыл бұрын

    Akili kichwani,Mungu rohoni, pesa mfukoni alafu makaratasi.

  • @monicapeter9065

    @monicapeter9065

    8 ай бұрын

    Kikubwa napata ya kula na kunywa zngne hzo ztaishia kutuzwa bank tuu Afu yang hata iwe ndog inanitosha na inanifarij maana naitafuta kwa njia sahihi ya KUMPENDEZA mungu

  • @nuraabdi1379
    @nuraabdi13794 жыл бұрын

    Diamond naomba unifundishie mwanangu shule ameanza fom1 uwezo sina fungu lako utalikuta Kwa Allah anania ya kusoma sana naomba msg hii ikufikie ulipo inshaallah

  • @D-Man.B-Free

    @D-Man.B-Free

    4 жыл бұрын

    Mtafute in DM Instagram au upige simu kwenye the switch show...

  • @partnersah8802

    @partnersah8802

    4 жыл бұрын

    Mfuate insta pia dada yangu. Mpaka Tiktok utume ujumbe huu kila siku. Naamini atauona dada yangu. Ata shule ya mil 1 kwa mwaka anaweza msaidia. Mwenyezi Mungu akuongoze na ufanikiwe na afanikiwe mwanao pia

  • @teychriss3248

    @teychriss3248

    4 жыл бұрын

    Safi!

  • @aminamarie2387

    @aminamarie2387

    4 жыл бұрын

    Mwenyezi mungu atakujaaliya umpate akusaidiye Kwa uwezo wa Allhah

  • @augustinomwamasinga2200

    @augustinomwamasinga2200

    4 жыл бұрын

    Naamin inawezekana mond anajitoa sana

  • @moshiomarymnyeda8907
    @moshiomarymnyeda89074 жыл бұрын

    Mwamke kaolewa ana kiherehere na hela za kaka yake 😂 😂 wanawake wanapenda hela aisee ckuizi nomaa kama huna hela usioe 😂😂😂

  • @Abrahamem4

    @Abrahamem4

    4 жыл бұрын

    Aibu sana

  • @juliuskulokhoma8020

    @juliuskulokhoma8020

    3 жыл бұрын

    Haahaa ukweli

  • @nassorsada213
    @nassorsada2134 жыл бұрын

    Mwenzio akipat muombee kwa mung Chuk haz saidii chochot

  • @lilylily435

    @lilylily435

    4 жыл бұрын

    Umeona alie pewa kapewa

  • @yuveshangaikoyuveshangaiko7687

    @yuveshangaikoyuveshangaiko7687

    3 жыл бұрын

    K P

  • @yuveshangaikoyuveshangaiko7687

    @yuveshangaikoyuveshangaiko7687

    3 жыл бұрын

    N

  • @Wilma2975
    @Wilma29753 жыл бұрын

    Who else is here after Esma’s interview? 😆

  • @nicholauspeter9454

    @nicholauspeter9454

    3 жыл бұрын

    me baby

  • @reuben9380

    @reuben9380

    3 жыл бұрын

    Me tooo🤠🤠🤠🤠🤠🤠

  • @elizabethsakina9987

    @elizabethsakina9987

    3 жыл бұрын

    Here I am

  • @agnesmwanzia7795

    @agnesmwanzia7795

    3 жыл бұрын

    Me

  • @jospinlionel.832

    @jospinlionel.832

    3 жыл бұрын

    Hahahah

  • @peterokalo9632
    @peterokalo96324 жыл бұрын

    I always like diamond for one thing his original smiley 😃 always showing truly happiness face

  • @hahmadhabibu2076

    @hahmadhabibu2076

    4 жыл бұрын

    This man is rich rich...that's why..see how they are battling with money

  • @franksichula2662

    @franksichula2662

    4 жыл бұрын

    P

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    4 жыл бұрын

    Kwanza hii siyo sahihi tambueni kwamba kuna watu wana wtt hawajui kesho watakula nini??mambo ya kutunza pesa kwa style hiyo ipigwe marufuku watafute njia nyingine ya kutunzana angalieni nchi jirani za kiafrika hakuna mambo hayo, kama unayo hela au huna maisha yanaenda kuliko hivi kuonyesha mashindano badala ya kuomba uje uishi vema kwenye ndoa

  • @margarethsaramaki3966

    @margarethsaramaki3966

    4 жыл бұрын

    Ni nani asiyejua kuwa Diamond ana hela na anasaidia watu wengi na Mungu ampe zaidi na zaidi

  • @nelsonkalengamulunda1891

    @nelsonkalengamulunda1891

    2 жыл бұрын

    @@hahmadhabibu2076 BYE

  • @enockmaige8936
    @enockmaige89362 ай бұрын

    Mungu nitumiku na mm walau niwe na uhakika tu a kula hata chakula Cha kawaida

  • @zainabwage4658
    @zainabwage46584 жыл бұрын

    Biharus kaz akuna anabwebwe km atakaa na mume duh!😏

  • @infinitemixentertainment53

    @infinitemixentertainment53

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @fatumakadenge7696

    @fatumakadenge7696

    3 жыл бұрын

    Haha

  • @sophiemwanina5979

    @sophiemwanina5979

    3 жыл бұрын

    Lishatokea😂

  • @suleimanhasan5055

    @suleimanhasan5055

    3 жыл бұрын

    Diamondy nishida

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Zainabu huyo kenda toa mkosi kwani wenzie siyo wanawake aliowakuta

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu56584 жыл бұрын

    Mond nakukubali lakini hichokitendo Alla akipendez jifunze kabra mwenyezimungu aja zaririsha. Take care

  • @annthecook9427
    @annthecook94273 жыл бұрын

    Am here after Esma interview

  • @elizabethsakina9987

    @elizabethsakina9987

    3 жыл бұрын

    Same🤣🤣🤣🤣😭

  • @getrudemusimbi6115

    @getrudemusimbi6115

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 after break up

  • @marysaituni4584

    @marysaituni4584

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elizabethcharzy7175

    @elizabethcharzy7175

    3 жыл бұрын

    😂😂😂oh my god

  • @joslinmalongo4662

    @joslinmalongo4662

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu26764 жыл бұрын

    Jaman tafuteni hela, ooh saidia watto yatima Kwan amesaidia wangp ad leo???? Acha wafanye Kama wamepewa hela jmn,Shda zk wew n familia yk, Omba Mungu akupe hekima n pumzi yote tutayaacha apa duniani.......

  • @iyanivan5457

    @iyanivan5457

    4 жыл бұрын

    Jamni naomben namba za Diamond....

  • @Nelly_Kifano..2014
    @Nelly_Kifano..20144 жыл бұрын

    Esma anaziokota zikianguka 😂😂😂😂😂

  • @mwambafamily

    @mwambafamily

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/gI2CuqyAqsasYMY.html

  • @gloryshimi9644

    @gloryshimi9644

    4 жыл бұрын

    Mama Tee 😁😁😁😁😁😁😁

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin89852 жыл бұрын

    Jmn wote tuliorudia hii 2022 tujuane gonga like

  • @janeshigami8769
    @janeshigami87694 ай бұрын

    Esma.... pole sana.

  • @siriyangu4724
    @siriyangu47244 жыл бұрын

    Mashallah yani leo nacbu umependeza kiukweli na izo nywele wacha mambo ya kusonga

  • @mamafloraofficial4315
    @mamafloraofficial43154 жыл бұрын

    Kodi ya nyumba inanizingua, wengine wanamwaga pesa kama makaratasi

  • @emmanuelletema6165

    @emmanuelletema6165

    4 жыл бұрын

    😆😆😆

  • @gloriouslameck6909

    @gloriouslameck6909

    4 жыл бұрын

    Yaan acha tuu

  • @mamafloraofficial4315

    @mamafloraofficial4315

    4 жыл бұрын

    @@gloriouslameck6909 nakesha nasali usiku kucha, Mungu nibariki ,Mungu nibariki nipate kodi.

  • @salmaseif8755

    @salmaseif8755

    4 жыл бұрын

    Hatarii Sana'a

  • @whatif..6961
    @whatif..69614 жыл бұрын

    Mi nimemuona Aristote tu hapo😂😂😂😂

  • @francisruambothetechnician
    @francisruambothetechnician4 жыл бұрын

    Tatizo wabongo wengi humu kwenye comment mna wivu, kila mtu anafuraahi kwa alichonacho ww kama huna uwezo kama wao usihumie roho acha maneno mabaya, acha hisia mbaya, waache wafanye walichojaariwa, wengine wanasema wanakufuru mara kuna masikini sasa yy ashindwe kuishi maisha yake sababu ya maisha ya watu wengine. Acheni ushamba wabongo.

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa57764 жыл бұрын

    Wanaume wenzangu,tutafute ela

  • @victortarimo1943

    @victortarimo1943

    4 жыл бұрын

    Tuzitafute kakaangu

  • @auntiemylee3157

    @auntiemylee3157

    4 жыл бұрын

    Ongeza volume hawajackia

  • @gloriouslameck6909

    @gloriouslameck6909

    4 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @anitamwehonge8287

    @anitamwehonge8287

    4 жыл бұрын

    😂😂😂👍

  • @rosedesdery7026

    @rosedesdery7026

    4 жыл бұрын

    @@auntiemylee3157 mi nimesikia natafuta wa kubatle nae

  • @leonardpeter9827
    @leonardpeter98273 жыл бұрын

    Walikuja kurudia kuangalia baada ya kusikia maji yamezidi unga

  • @standfortherefugeeafrica
    @standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын

    Mr. Simba Diamond naomba kabisa uweze kiimarisha my talents please kwakuwa wewe ndie BABA LAO Tanzania and beyond.

  • @standfortherefugeeafrica
    @standfortherefugeeafrica4 жыл бұрын

    Watali Tanzania Mr. Simba Mungu aweze kukurefushia misha ndugu yangu, kweli wewe huwa unani kuna kwa kweli Maisha yako kwako Mungu kwisha kupasulia njia kabisa. CEO and Film Producer Alex Bucunga Mr. Inzi Fly.

  • @tubiajuma1542
    @tubiajuma15424 жыл бұрын

    Like zenu kwa aliemuona msimulizi wa story book jamal april

  • @Lamecksultan

    @Lamecksultan

    4 жыл бұрын

    Mm bro namtafuta 😂😂

  • @VibextazSports

    @VibextazSports

    4 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/lnpozLlvcbLVebA.html

  • @frankmnale1900
    @frankmnale19004 жыл бұрын

    Bob Utafirisika, achana na Mond ni kiwango kingine

  • @msetikebwasi6895

    @msetikebwasi6895

    4 жыл бұрын

    kwani mond ana pesa nyingi sana.

  • @boazchibudenga7827

    @boazchibudenga7827

    4 жыл бұрын

    Cham kubwa

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    4 жыл бұрын

    @@msetikebwasi6895 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    4 жыл бұрын

    Frank umeongea ataka kushndana na Mondi na hyo akilala akiamka hela injaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @calvinloveambroce842

    @calvinloveambroce842

    4 жыл бұрын

    yes diamond ni tajiri mkubwa sana kwasasa

  • @dorisfabian3703
    @dorisfabian37034 жыл бұрын

    Kwa raha zaooo hadi raha jamaniii na kawivu kamenijia tutafute pesa jamaniiiii

  • @hildascorner2327

    @hildascorner2327

    4 жыл бұрын

    😃😃

  • @daughterofziontv530
    @daughterofziontv5304 жыл бұрын

    I love this family nasib baba Lao 😍😍😍😍

  • @happykimaya2762
    @happykimaya27624 жыл бұрын

    Mbona Bi harusi ni km comedy hapo mbele

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    3 жыл бұрын

    Happy kapagawa na hizo pesa anatamani bi harusi huyo azichukue hapo

  • @youareoneinamilliontv1950
    @youareoneinamilliontv19504 жыл бұрын

    Simba Kama Simba bip up to Diamond platnumz you are always on point. All the way from Zambia Western province

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta7744 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 yuda kwa ela balaa anachekelea hadi mwisho. Umejua kunifurahisha

  • @zuhurakilua7163
    @zuhurakilua71634 жыл бұрын

    Bi harusi ana kihele hele jamani

  • @lugosemary33
    @lugosemary334 жыл бұрын

    Ni harusi ama kubeti mbona sielewi 😆😆

  • @ashuuyusuf3978
    @ashuuyusuf39784 жыл бұрын

    Mashallah raha

  • @saumuhassan3796
    @saumuhassan37964 жыл бұрын

    Izo pesa Daimond ungeli nipa japo kidogo usingeli jutia ningekumwagia madua usiku kucha Mungu akazibarikiwallahi

  • @jacksonebrahim7961

    @jacksonebrahim7961

    4 жыл бұрын

    Hahaha

  • @sarahmawby9224
    @sarahmawby92244 жыл бұрын

    Leo family imependeza Sana yaani kuvaa dangote family Leo mmevaa vizuri hadi queen Darleen mtaalam wa kuchapia mavazi Leo katoboa. .mama D umependeeee saana na wanao wote... Sijamuona Mzee Abdul jamani

  • @mgayaatanas9493
    @mgayaatanas94934 жыл бұрын

    Ume nyowa vizuri sana safi

  • @snapboytz3287
    @snapboytz32873 жыл бұрын

    Appreciated bro mondi, amini kwamba

  • @maelezomaelezo9057
    @maelezomaelezo90574 жыл бұрын

    Kama kuna mtu ametaman awe kama simba like zake

  • @elizabethkavishe8850
    @elizabethkavishe88504 жыл бұрын

    Ndo kwanza namuona bi harusi was hivi kihele hele mno

  • @shukurudeo7563

    @shukurudeo7563

    4 жыл бұрын

    Anaboa sana bhn

  • @hasheemabby2583
    @hasheemabby25834 жыл бұрын

    😄😄😄 coment zetu maskini utazijua tu hoo mungu atawa onyesha hoo kasaidie wasio jiweza hoo hana heshima acheni hayo mambo tutafute pesa acheni mawazo mafupi

  • @yunaisamir2099

    @yunaisamir2099

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @dg2459

    @dg2459

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @hahmadhabibu2076

    @hahmadhabibu2076

    4 жыл бұрын

    Bwahaha

  • @chancehoffmann9083

    @chancehoffmann9083

    4 жыл бұрын

    Umenena

  • @lucialeonard2675
    @lucialeonard26754 жыл бұрын

    Kwan hii shereh ya ngap maana hela zilizo mwangwa kwenye shereh zilizopita n nying

  • @sadickrajabu297
    @sadickrajabu2974 жыл бұрын

    Naungana na nei kweli mungu yupo na nikweli watu wote no sawa ,dini ni zaukweli au nazo uongo nashindwa pata jibu mungu gawa liziki sawa kunawatu wanalala nje wanateseka kwa kukosa pesa ila kunawatu unawabariki mpaka watu wanashindwa kuamini km mungu yupo kweli

  • @mariamkassim5345
    @mariamkassim53453 жыл бұрын

    😂😂keeping up with the Danyange's

  • @sophiemwanina5979

    @sophiemwanina5979

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @ramadhanijuma4204
    @ramadhanijuma42044 жыл бұрын

    Hayakuwa maisha ya dunia ila ni starehe idanganyayo.

  • @hadijasalum6373

    @hadijasalum6373

    4 жыл бұрын

    Exactly

  • @nurathissa1422

    @nurathissa1422

    4 жыл бұрын

    Naam na maisha ya dunia nimafupi sana

  • @ramadhanikasim7485

    @ramadhanikasim7485

    4 жыл бұрын

    Unapo patanafac itumie

  • @hasheemabby2583

    @hasheemabby2583

    4 жыл бұрын

    Ukitafuta pesa ukazipata hauta pata muda hata waku coment kwenye maisha ya wengine wala huwezi jua kama wanamkosea mungu tutafute pesa ndugu yangu

  • @vincentngesa7925

    @vincentngesa7925

    4 жыл бұрын

    Nani kakudanganya Kuna maisha mengine hehehe ama ni waarabu

  • @lilianpaulbaganda2971
    @lilianpaulbaganda29714 жыл бұрын

    Nassibu mwenzio cna hata unga we unachezea hela kama karatas jmn

  • @user-ke9bg1dm9c

    @user-ke9bg1dm9c

    2 ай бұрын

    😂

  • @victorkivuyo6126
    @victorkivuyo61263 жыл бұрын

    HELA ZA WASANII HAZINA JASHO NDIYO SABABU WAKAFANYA MCHEZO NA HELA NA BIBI HARUSI ANAONYESHA NI MPENDA HELA SASA BASI MUME KUWA MAKINI USIFILISIKE,. MR BOB SOSY A,K,A, KATIA WA ARUSHA MURIETI KARIBU KABISA NA MHESHIWA GAMBO

  • @danielromario5183
    @danielromario51834 жыл бұрын

    Utapata wapi hii jeuri Kama umeajiriwa🤣🤣

  • @dadon8623

    @dadon8623

    4 жыл бұрын

    Mamae huwez pataaa

  • @siaammo1104

    @siaammo1104

    4 жыл бұрын

    Hahahahahahhaah huweziii

  • @KhadijaNAlly

    @KhadijaNAlly

    4 жыл бұрын

    tutazionea kwa wenzetu

  • @hassanmsipi4094

    @hassanmsipi4094

    4 жыл бұрын

    Hahahahhhh!!! Wallah ninawaza sana hiki kitu nikiona gar nzuri mjini ninasema mfanyabiashara huyooo

  • @BeaconTvKE

    @BeaconTvKE

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤭

  • @happyneslugutu316
    @happyneslugutu316 Жыл бұрын

    Mhhhhhhhhh jaman wapo vzr

  • @valeriachipeta774
    @valeriachipeta7744 жыл бұрын

    Jamani wenye midomo, walizitafuta pesa ili wazitumieee ndio maana ukiwa huna unaona ni kufuru. Jaman ipate pesa ili ujue matumiz yake. Ninyi inawauma nn hata wakizitupa chooni ni za kwao walizitafuta kwa jasho lao msiwapangie matumizi. Tafuten na nyie zakwenu tuje tuwasikie mkiwa nazo.

  • @Rosetemba97

    @Rosetemba97

    4 жыл бұрын

    Umenena

  • @siaammo1104

    @siaammo1104

    4 жыл бұрын

    Vizuri sanaaaa

  • @exaverymakoyebatromeo3257

    @exaverymakoyebatromeo3257

    4 жыл бұрын

    Sahihi

  • @chancehoffmann9083

    @chancehoffmann9083

    4 жыл бұрын

    Una ongeya ukweli sana

  • @banoramachannel1371
    @banoramachannel13714 жыл бұрын

    Waaw Diamond

  • @happymushi8197
    @happymushi81974 жыл бұрын

    Diamond umenyoa nywele umependeza sana

  • @aadam722
    @aadam7224 жыл бұрын

    mtapasuka msambwa Mondi in a diffrent level. Simba mwacheni.

  • @ayshaayush8539
    @ayshaayush85394 жыл бұрын

    Bi harusi kiherehere huyo mmmh

  • @khdijaahmed8458

    @khdijaahmed8458

    4 жыл бұрын

    Umeonaeeh

  • @esthermkala4217
    @esthermkala42174 жыл бұрын

    Diamond 💎 that hair style makes you look too, the braid's are ok with you 😂

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku77832 жыл бұрын

    Onesmo anabeba begi la pesa la kichwani ana mawazo anawaza kodi ya baba mwenye nyumba anailipaje mitihani hiii begi la bossi lina mapesa mimi mshahara mdogo

  • @noelamilambo9595
    @noelamilambo95954 жыл бұрын

    Wanaume tafuteni pesa Jmn ohooo😂😂🤸🤸🤸🤸

  • @mariumpius9014

    @mariumpius9014

    4 жыл бұрын

    Kwel waambie😅😏

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum4 жыл бұрын

    Party Kubwa Lakini Naona Mic 1 tu, Inakaaje hii😂

  • @nabilnyundo1891

    @nabilnyundo1891

    4 жыл бұрын

    Dj hajajipanga

  • @mohamedmalango8497

    @mohamedmalango8497

    4 жыл бұрын

    Tatizo lenu hamuangalii mpak mwisho angalia dakik ya 12:21 .

  • @Sharlen_

    @Sharlen_

    4 жыл бұрын

    Corona says hi

  • @saumsalim9966

    @saumsalim9966

    4 жыл бұрын

    @@mohamedmalango8497 kwel kabxa

  • @Kizito11

    @Kizito11

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂🤣

Келесі