Pole sana Esma kwa matatizoo. Pia tunashukuru kwa story, hiyi ni fundisho kwa sisi wanawakee. Asante Da Zama❤️❤️❤️ that why we love ur Tv💥💥💥🥰. Esma mungu atakusahidiyaaa 🙏🏽
@vailetjulius4782
3 жыл бұрын
Wengi tunaangamia
@mirarajabu3099
3 жыл бұрын
Nimenifunza sana jamani
@elizalwakatare80703 жыл бұрын
Wanawake hasa wenye vipato kuweni makini Sana 💗💗hili ni somo, hongera esma kwa kusimama imara 💪
@jacquelinepallanjo2988
3 жыл бұрын
Yaani nimejifunza kitu
@zaitunmtinange3453
2 жыл бұрын
Mh... kweli usilolijua Ni sawa na usiku wa Giza!! Hongera kwa msimamo esma!! Hongera Zamararad....una hekima, Allah akulinde
@xbdbdgdgsbdbbxx42543 жыл бұрын
Esma ni mkweli. Big up Esma. Bora umeongea 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
@mariamfaith99143 жыл бұрын
Wah never judge book by its cover. I learn something from you girl🤔
@queenwesthilson60093 жыл бұрын
Zama unajuw unahoji vzr wey na millard ayo Allah awabariki😍😍
@zahrathomary18053 жыл бұрын
Zamaradi your so cleverrr, I like you so much! Your the real meaning of being a presenter, ❤️💕 nimeenjoy na nimejifunzaaa mengi! Big respect
@daimavlog
3 жыл бұрын
Yaani Me nikionaga mtu amehojiwa na Zama nateganga muda wangu kabisa nifahidi.
@winniegloriance81073 жыл бұрын
This a very good lesson and I trust Esma kuna most men that think life is easy like ABC God saved you.pole sana
@njerigithara36933 жыл бұрын
I LOVE YOUR COURAGE TO WALK AWAY ESMA, ALOT OF WOMEN ARE SUFFERING WITH SUCH NARCISSISTIC MEN AND THEY KEEP PROTECTING THEM, YOU ARE SO BEAUTIFUL GOD WILL BE WITH YOU ❤️
@slayingtee6044
3 жыл бұрын
I agree
@jacklinengozi1122
3 жыл бұрын
Come down esma is a lier, I don't believe anything she says. She's nothing but a joke.
@ladysalimkabora9952
3 жыл бұрын
@@jacklinengozi1122 you won't believe something that you haven't experience. People who have been through this do believe her
@lovvy854
3 жыл бұрын
All in all but abortion is a Crime
@narindwashaidi3528
3 жыл бұрын
📌💯💯
@hismahseid89923 жыл бұрын
Me binafsi kama mwanamke nimekuelewa esma 🙌
@upendokimario8988
3 жыл бұрын
Nmekuelewa sana afu ww n mkwel
@veronicadaniel1122
3 жыл бұрын
Wanaume wasumbufu
@washwash6723
3 жыл бұрын
@@veronicadaniel1122 llpl
@hellokittylover7641
3 жыл бұрын
Kweli ninavo elewa na izo surprise zake mpaka kuowa unashindwa kumwambia muhusika unamwambia mama yake alihofia wasijui mabaya yake na ndo mana alikua anapitia kwa mama
@naimanaima4715
3 жыл бұрын
Ata me
@vickynyanda97483 жыл бұрын
LOVE YOU ESMA. BORA UENDELEE KUWA KIBURI HIVO HIVO. KWELI DIAMOND AMEPATA DADA MWENYE AKILI. NDIO MAANA DIAMOND ANAKUPENDA.
@evarnyanduku7933 жыл бұрын
Ambao tunamuombea esma mema like
@fatumadaudponecadaaah1886
3 жыл бұрын
Pole Esma
@zuhuraakida59323 жыл бұрын
Wanawake tuwe waangalifu jmani.😔😔😔💔💔..NDOA SIO PESA NI MAPENZ YA DHATI...YA ALLAH TUNUSURU WANAWAKE TUPE WANAUME WENYE KHERY INSH'ALLAH🤲🤲🙏...THANX ESMA UMETUPA FUNDISHO...SHUKRAN SANA ESMA WANGU 🙏
@aishajuma5079
3 жыл бұрын
Ameen yarabilaalamiin
@zuhuraakida5932
3 жыл бұрын
@@aishajuma5079 🙏 Allah ummah ameeyn yaraby 🙏
@naramwarabu5096
3 жыл бұрын
@@zuhuraakida5932 is a e. 9.30am
@regineniyonzima53403 жыл бұрын
Nafatilia zamaradi tv nikiwa Burundi Bujumbura 🇧🇮pole da esma,watu wanaongea wasiyo yajuwa.njo maana katika dini yetu ya kiislam,tunashauriwa ukipata mwanaume anataka kukuowa,sali kwanza sala ya istikhara,njo ukubali kuolewa,ukishapewa majibu na Allah,proud to be Muslim.
@ghulamjuma2883
3 жыл бұрын
Hapana sala apo yupo mbali na sala
@saalm2105
3 жыл бұрын
🇧🇮
@sissykhadija5343
3 жыл бұрын
Komeraaaaa👊🤝
@shaaqlassique66443 жыл бұрын
I love your interviews zamaradi...... If you could also get esmas husband it could be much bettter
@hokororoflora5639
3 жыл бұрын
Umesema ukweli umejifunza nini? Jinsi umetoa funzo kwa Wanawake wengne ata kwa wasichana wengne
@ziggykole20283 жыл бұрын
Duh! Esma umejua kufumbua madada wengi macho..hiki kisa kimenikumbusha mengi..ila Mungu mkubwa🙏🙏
@deboraibrahim3368
3 жыл бұрын
👏
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Wengine ndo kwanza wanadanganywa
@fridambwiliza1903 жыл бұрын
Unaongea vizuri sana una akili sana fanya mambo yako mungu atakujalia
@annamakalo4345
3 жыл бұрын
Ahsante
@kautharmkali39573 жыл бұрын
Tunajifunza hapa kuwa, mzazi unaruhusiwa kumshauri mtoto wako juu ya machaguzi yake ya maisha ila sio kumlazimisha mtoto wako kuolewa kwa sababu ya uwezo wa kifedha,, kwa msizwa amefake life ila wapo ambao hawajafake na wananyanyasa na kudharau wake zao kwasababu ya pesa zao Ladies: tusigeuke watumwa wa pesa za waume, na kuona aibu kutoka matesoni kisa jamii itakuchukulia wewe si mwanamke uliyefunzwa na wazazi wako kabla ya ndoa. It's okay kuitwa jeuri ama kiburi kwasababu ya kuwa sahihi na kutafuta furaha
@sarafinapeter31633 жыл бұрын
Wanawake tujifunze wallah 🙌 pole Esma
@veronicascottmollel7897
3 жыл бұрын
Kabisaa
@finamustafa6459
3 жыл бұрын
Atari sana
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kabisaaa hili ni funzo kwetu
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Duh hakuwa na amani kwenye ndoa,wanawake wengi wanapata mateso lkn kutoka haiwezekani😥😥😥
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
@@salomewandya7257 inawezekana sana ukijitambua
@tabithanjeri58063 жыл бұрын
Pole Esma.....I have a feeling that they planned it all with his South African wife.....I said it on your wedding day live chat that Msizwa ni mkora wa Tanzania wakani attack....Am happy that you left that devil
@morineakinyi1116
3 жыл бұрын
Very true
@maryaida9417
3 жыл бұрын
That man he's a big evil
@remmyfadhil18093 жыл бұрын
Nimtumiaji sana.... good that you Did whatever you did!!!! Mbona me nakuelewa sana Esma
@vailethseth90363 жыл бұрын
Hongera esma kwa maamuz magumu wanawake tunapitia mengi magumu sana hongera kwa ushindi bigup
@firstdanah84093 жыл бұрын
Sasa nimejua esma ni mwanamke mwelewa sanaaaa big up esma❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
@marynduta77583 жыл бұрын
I love your courage esma am a mother of 2 gals na siezi kumbali kuingisha watoi wangu kwa shinda juu ya fame'God will give you the Wright man who will love you n your kids n accept you for whom you are
@seriejessy8878
3 жыл бұрын
What happened to her marriage? I don't understand swahili yet am eager to know this story. I remember she had a nice wedding some months ago.
@gudagladys73833 жыл бұрын
Awesome interview good job Esma you answered all well
@arafambaruku38023 жыл бұрын
Kweli huyo Msizwa ni jipu Wallah Wabillah duuh Esma ujeuri wako ndio umekuokoa 😂😂😂 endelea kuwa kiburi tu
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Wewe atukuwezi akya mungu😂😂
@abdallahhenku5573 жыл бұрын
Thank you so much my daughter; Zamaradi. This was a fantastic interview. Kudooos. I am proud of you my "daughter" Student. Keep the Star shinning. The Sky is the limit!!
@arafaally28953 жыл бұрын
Leo nimemuelewa Esma kweli aliolewa na taperi
@mjney20213 жыл бұрын
Interview nzuri sana. Esma nimekuelewa sana
@sifamugwaneza87743 жыл бұрын
Wangapi walimuelewa #esmaplatunmz jmn me nimemuelew cz ndoa hizi zina mambo mengi san 🙏
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
💪
@polinahkilunju65293 жыл бұрын
Siku zote tusiwe haraka ku judge. Pole Esma i feel you as a woman. You made the right decision. The society will always talk about you no matter what you do. Live your life sweetheart. Thanx Zamaradi
@annymunezero55643 жыл бұрын
Daaah interview tamu afu yenye mafunzo asante da Zama
@mwanaidrashid8752
3 жыл бұрын
Asima nimekupenda sana mdogoangu wanaume niwajanja sana
@annymunezero5564
3 жыл бұрын
Nikuwa makini nao maana mwanzo atajifanya anakupnd San akuwek ndani ssa utayaona makucha yake Heee Mwenyezi Mungu tusaidiy sis wanawake
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Tamu mnooo
@khalossalim2133 жыл бұрын
Nasibu akikumbuka alivyomchamba petii siku ya harus ya dada ake, mwili wote wacheza jeje
@liliankidahyap7257
3 жыл бұрын
😃😃😃 hapo anawaza atamface vipi, coz anajua lazma esma atamrudia petit
@salamagat4784
3 жыл бұрын
😂😂😂😂umejua kunifurahisha snaa eti mwili wote unacheza jeje jamani
@ngoshaachaula7152
3 жыл бұрын
Hahahaha
@pamelapesce8445
3 жыл бұрын
Khalos Salim 😂😂😂😂
@faridaabdallah3913
3 жыл бұрын
😅😅😅
@jeniphachristian21313 жыл бұрын
GOD may you pliz continus to protect this girls💞
@wangmeili3303 жыл бұрын
Mimi huyu dada nampenda sana kiukwel anapendeza kuwa na baba taraj
@faridaally12803 жыл бұрын
Aisee esma nimekupenda sana kwa hili aisee,sku zote mwanamke akikataa ujinga ujinga wa mwanaume huonekana jeuri
@mutwalesylvie74433 жыл бұрын
Zamaradi mketema ongera kwa inteview nzuri uko wakipeke mashallah
@agathadawson59493 жыл бұрын
Hongera sana Esma Ila ushauri Wang kaa utulie uleee watoto wako ndio faida yako mungu amekutoa kwenye dimbwi
@jamilahathumani42223 жыл бұрын
Mim namuelewa sana esma wanaume wengi wapo kimaslahi matapeli wamapenzi,,,esma pole tena ushukuru mungu kakuonyesha bado mapema bila ya ivo angekukopea angekuachia bonge la deni alafu angesepa
@halima238623 жыл бұрын
Wow Zamaradi ni hodari ya sana kwa kuzungumza huna uchochozi or sides
@yasminmustafa22823 жыл бұрын
Great interview, Poor lighting kindly improve on that... Everything else..kudos👏👏👏👏👏also get some nice wall paper and cosy couches your setting look is so basic
@veldaonyango5856
3 жыл бұрын
Jamani ndio
@martinmakobz6225
3 жыл бұрын
Very true,at first i thought my settings were in night mode
@lidilid4403
3 жыл бұрын
@@veldaonyango5856 àaaaààaaasa
@josephinekajugusi9829
3 жыл бұрын
yaaa
@irenemonte49163 жыл бұрын
All the best Esma, I love you
@maryswai6253 жыл бұрын
Nimejifunza jambo Haya mambo yanatokea kwenu ili sisi tujifunze Pole na asante kwa kutufunza my dada Keep going 💪 👊
@fatmaalhabs69393 жыл бұрын
Alikuja kwenu kwa masilahi tuu
@naomimassawe56253 жыл бұрын
Nimekupenda, maisha ya sasa ni kujipenda na kujali furaha yako, haijalishi watu wanasema nini, kuishi ni bahati usitumie vibaya bahati yako, Kwan tunaishi mara moja
@kipipakipipa5050
3 жыл бұрын
Being free and happy ni kitu cha msingi ambacho kina Naomi tunazingatia mno😀
@advocatekarama4917
3 жыл бұрын
Word 🥂”kuishi ni bahati “
@evajonathan2623
3 жыл бұрын
Big point my dada naomi
@naomimassawe5625
3 жыл бұрын
@@kipipakipipa5050 sanaaa yani
@arthakasiba43603 жыл бұрын
Dah! Dada kaongea vema sana.na Zamaradi that's the best interview..
@mamunote35073 жыл бұрын
Pole sana Asma Nimekupenda sana kuwa mkweli Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu akupe kila la kheri na akuondolee kila zito ligeuke liwe Jepesi kwako Ameen
@videlialabeka48993 жыл бұрын
Esma ni Yuda ndio lakini sio mwongo
@salmanyitu2379
3 жыл бұрын
ni kweli kabisa
@scolanalle75033 жыл бұрын
Pole"ESMA live your life let him go
@elhammahamuod42483 жыл бұрын
Duh pole sana aisee mimi kuwaamini tena hao wanaume hapana kwakweli🙏
@jovovichmedia9424
3 жыл бұрын
Nyie mnaaminika
@safiasaleh6693 жыл бұрын
Nampenda Esma akiongea kama mzungu anaejifunza Kiswahili 😁😁
@salmanyitu2379
3 жыл бұрын
ila me kiukweli napenda anavoongea kama hawezi hivi ila inampendezea
@salamamohammed5446
3 жыл бұрын
Mapoz meng sanwhy
@annakattoa75023 жыл бұрын
Sikuzote Mwanamke katika Afrika akionyesha ujasiri, na ukakamavu, na kujua thamani yake bila kuteteleka, na kufanya maamuzi magumu katika wakati jamii haitarajii ,HUITWA JEURI NA KIBURI😊🤣🤣. WEAK MEN IN AFRIKA ARE INTIMIDATED WITH INDEPENDENT WOMEN. ESMA YO A REALL WOMEN. ENJOY YO LIFE BBY♥️♥️♥️♥️
@marryjames1784
3 жыл бұрын
Apriciate u🙌🙌
@rebekantiha4131
3 жыл бұрын
Kabsa mamy ukiw na msimam unaoksn yamekushinda yaan mm namsif maan ndan tunamatatz makubwa ila huf ya kipat ndo inatufany tynavumilia ujinga my dear 🥰😍
@mariamramadhani3860
3 жыл бұрын
@@rebekantiha4131 hakika kipato mamii tunavumilia basi tu
@mercyndujilo5363
3 жыл бұрын
My ex told me that buh i knew i was his competition
@yerthmwabusilah6743 жыл бұрын
Maisha ya ndoa bila penzi la kweli ni upuuz mtupu mungu tusaidie sisi ambao tunatarajia ndoa🙏🙏🙏🙏🙏
@zaerajuma9159
3 жыл бұрын
Unaitaji mume kumbe karibu kwng
@wardaabdala5229
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa Mimi naona nimateso tu dah
@miriamkashaija66403 жыл бұрын
This is so painful jamani, pole sana @Esmaplatnumz. No woman deserves this. Yaani unamfanya hivi mtoto wa mtu.
@thomasmangenya52783 жыл бұрын
Pole Dada Leo ndo kwanza nimekuelewa😀😀Hujawai Kukutana na wtt Mjini wanapo taka lao🙌Me nilishangaa we Dada Yake Dangote una olewaje mke 3💯Hela si Mnazo
@rukiamohammed5494
3 жыл бұрын
hata mie leo ndio ni mekuelewa
@zuhuragwanko53733 жыл бұрын
Nampenda esma❤️😍💙💫💗
@chollogangstar31833 жыл бұрын
Gonga like kama unaamin peti anakula mzigo mpaka now
@salamaisayas8281 Жыл бұрын
Pole sana ESMA yaliyokukuta kwenye safari ya matumaini ukiona umechambua ukashindwa BC tilia uwalee wanao Kwa kicho na Mungu atakusaidia zaidi !
@abdoman67293 жыл бұрын
Pole jamani mshukuru mungu Kwa kila Jambo wache waseme mpaka watachoka bora uko salama,Kwa uwezo wake Allah atakupa aliye sahihi insha'Allah nakupenda sana
@rehemajoseph63973 жыл бұрын
Kuanzia Leo naanza kukupenda bureeee unaakili nyingi sana
@thefarahatlifestyle3 жыл бұрын
Sasa nimeelewa maana ya vurugu iyo yote. Nakupenda Sana Esma. Toxic relation just move out..
@rachelmukazayire82933 жыл бұрын
Asante sana kwa hii show, kiukweli wasichana tuweni makeni kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
@lizyjacob96333 жыл бұрын
Nimemuelewa Sana esma mshukuru mungu kwa kukuepushaa
@Kidotii3 жыл бұрын
I like your courage to walk a way!
@florencekaranja87363 жыл бұрын
Kwangu kama.msichana mwenye natarajia kuolewa nimejifunza kitu kwako Esma,,,,
@salomempwage9331
3 жыл бұрын
Umeona
@sakinamarjebi22063 жыл бұрын
Pole Esma kumbe maskini unahuruma sana nawatoto naulikuwa unamshauli msinzwa aijali familia yke pia nakupa hongera kwa ujasili ulikuwa nao m.mungu bado anakupenda naunajitambua vzr tu ludi kwa barafu wa moyo wko P wakuacheeee😃
@maryamshabani55713 жыл бұрын
duuhh pole sana ddada yngu, kweli hii ya kujifunza. alitaka kupitia mgongo wa familia yako hasa super star wetu wa bongo dai ndio awatapeli. alafu anaonekana misifa mingiiii
@naimaali56383 жыл бұрын
Dah pole sana Esma jamaa hafai kumbe
@jacquelinembanda3 жыл бұрын
Esma amenitoa machozi Mungu akubariki
@sammyahaji35413 жыл бұрын
Story ya Esma inafanana na yangu jamani😂😂 some wanaume ni matapeli kila kitu kama mimi ila mimi huyo wangu alishawapiga ndugu zangu ndoa ilidumu miezi minne tu halafu hawataki kuwaonyesha familia zao loooohhhh🙌🙌 nimekuelewa sana Esma hiyo situation yako😭😭
@veronicabiaka47303 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali Esma daah! Wanaume wa kukupenda kwaajili ya vitu wapo wengi sana... MUNGU ATUNUSURU WANAWAKE
@wardamasoud40613 жыл бұрын
Mimi nimekuelewa sana esma ..pole mpenzi
@estarkapinga61263 жыл бұрын
Dah pole sanaa
@salomewandya72573 жыл бұрын
Pole sana Esma mshukuru Mungu amekuonyesha mapema,na hili ni fundisho kwetu sisi wanawake,Yahya ni tapeli na alitaka kujulikana
@asnathmwaipopo68773 жыл бұрын
Pole sana dear esmar MUNGU amekunusuru. Heri uwolewe na lijanaume baya ila listarabu. Na linaupendo pia. Ila hawa wanao jiita h.b wanajifanyaga smart kumbe mterezo. Kwanza lina laana hilo likaka ajui mzazi ndiyo MUNGU wa pili wa dunia
@ninaclaudia19903 жыл бұрын
Safi sana kuvumilia vituko kama hivyo kwenye ndoa imekuwa zamani
@asmaliana24193 жыл бұрын
Yaani nimekuelewa saaaaana Esma mpaka umepitiliza.
@naimanaima47153 жыл бұрын
🤣🤣🤣 Msizwa anaonesha ni mnyanyasaj Ata uyo mama Melo wa sauzi yupo kma Sukule wallah
@neemaswai4130
3 жыл бұрын
😂😂
@naimanaima4715
3 жыл бұрын
@@neemaswai4130 wallah
@juliusfelister894
3 жыл бұрын
Hata sura yake tu inaonekana ni muigizaji tu 😂😂
@blasidajulius2240
3 жыл бұрын
Hahahahahaha
@pendojeremiah9111
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@beevee60523 жыл бұрын
Pole sema Alhamdulilah
@najma32683 жыл бұрын
Asante sana da zama interview zako zimamashiko Na tunajifunza vingi mno
@a.8563 жыл бұрын
Asante Zama
@PerulynKokyLastborn3 жыл бұрын
Pole Esma, ila nmejifunza mengi kupitia hii, pongezi sana our legend interviewer Zama❤️❤️❤️
@mwanamgenimwamzandi19413 жыл бұрын
This man was an opportunist,he married u for 💰 money .. Hakua na upendo wote kwako
@zenamohamedi9003 жыл бұрын
Msizwa mtoto wa mjini bora ulivongundua mapema angekubebesha sembe ungeozea jera ila mama enu ndo chanzo cha aya yotee
@sadamrisho8810
3 жыл бұрын
Mmmh! Wazazi nao jaman changamoto
@rehemamsambila6820
3 жыл бұрын
Mamake ndo chanzo sawa kwani alimtuma msizwa amfanyie hayo matatizo
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
@@rehemamsambila6820 Swali zuri .
@nshonabdll9363
3 жыл бұрын
Ht mama pia hn kosa ni kuto kujuwa tu
@yasinyahaya9004
3 жыл бұрын
Thanks
@hamedabashir93 жыл бұрын
Ko esima uliingia choo cha kike🤣🤣🤣😂pole ila nimejifunza
@KatuniDigital
3 жыл бұрын
Aliingia kwa kaka jambazi 😂😂
@sekelamwangosi3289
3 жыл бұрын
Ewaaaaaah cha kike🤣🤣🤣🤣
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
Yaan bora alivyotoka wacha watu waseme tu lol 😂😂😂
@atotaalbalushi7943
3 жыл бұрын
Pole sn ila esma ulishawai kuwambiwa Instagram uyo mwanaume sio mtu mzuri ukaona km watu wanakuonea wivu sasa umejionea mwenyewe angekubebesha madawa
@hapinesphilimon8127
3 жыл бұрын
@@sekelamwangosi3289 🤣🤣🤣
@salhamrisho81383 жыл бұрын
Kuwa makini esma msinzwa siyo m2 mzuri atakufanyia mbaya
@hassanajiruu77933 жыл бұрын
ESMA Mtoto Bomba Akili Kaiva...Jama Alitaka Kumtapeli SIMBA Kupitia Kwako . .ALIJUA AJUI Mbele Ya Esma Bby.
@maireshsaid16283 жыл бұрын
Ml 200 kisa ushemej???? Msizwa nomaa🤣🤣🤣alikuwa na hesabu kali sana bora Esmah ulivyojitoa kwake....begi tena kampe mpakistani??😳😳😳😳
@neemakella437
3 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
😂😂😂
@hellenmwangi5414
3 жыл бұрын
Hapo kwenye begi Esma kaamua kufunika kombe,ingekua mwingine angefanya waaaaah
@aidahtimothy9052
3 жыл бұрын
Yaan alikuw ametegemea ishu imetiki na beg nao ulikuw mtego kama ni madaw yakulevya angempa then angemcholesha akikamatwa yy angepata hela coz diamond asingekubali dadaake aende jela dah,msizwa co mtu mzr aliingia cha kike eee wah!!🤣🤣🤣
@lissamsalu12345
3 жыл бұрын
Hahahahhaahah tapeli msizwa hahahhaha
@skylerrose91623 жыл бұрын
Go do you Esma! Be with your daughters .. you free.
@nadrahassan52413 жыл бұрын
😂😂😂 nadhani leo mme elewa kuongea kwa Mange ali mshauri Esma kama huyo mwanaume ni muuza madawa yakulevya baadhi ya watu mapovu yaliwatoka
@khushipyaar77703 жыл бұрын
Maa Shaa Allah, you said it all esma Congrats ❤️
@theceefamily77643 жыл бұрын
Esmah wen the deal is tooooooo gd think TWICE PLZ🌞🙏@Kenya.
@happinessmalali6382
3 жыл бұрын
Apa ndo namuelewa mange kimambi. Aiseee lisemwalo lipoo
@salmasaid7058
3 жыл бұрын
On point Kenya
@beatricemollel62653 жыл бұрын
Kuna wakati unaweza kufikiri mume wako nimbaya ukikutana na kama hayo sasa ndo unamkumbuka e-husband.
@batulimakame7947
3 жыл бұрын
Kabisa
@josephmanyama435
3 жыл бұрын
Jamani mapenzi yqko na mambo mengi sana aiseee
@mpendwaabinery73543 жыл бұрын
Pole my sear Esma. Wanaume wanapendaga sana fursa. Heri ulistuka mapema.
@natashaally1923 жыл бұрын
I am so sorry Esma...He is such a bastard. Mungu atamlipa cha kumlipa. Glad you had the strength kuondoka
@bettymassanja8813 жыл бұрын
Aliyesikia "....TV za kuiba South Africa...." agonge "like". Hahaaaa.
Пікірлер: 2 300
Chama Cha wasoma comments Tanzania CHAWACOTA ✔️
@farhenfaris88
3 жыл бұрын
Nimeipenda hii🤣
@veronicafrancis4253
3 жыл бұрын
Hatari sana
@salamanauthartanzania6301
3 жыл бұрын
Tupo kaka
@mercianacharles1360
3 жыл бұрын
Hahahaaaa nipo hapaa
@rehemakingu2266
3 жыл бұрын
Kidumu chama
Zamaradi is such a host👏.... Love from Kenya❤️
@bizimanasal
2 жыл бұрын
Kabisa esmas apo niko sahihi ukija tajiri inabidi nijishushe niwe maskini 🥳
Dah! Esma kwa Sasa I love unyang'anyang'a maana nimekuelewa mpaka nimekuelewa tenaaa♥️♥️♥️♥️😘😘😘
Esma pole sana nduguu.nimekuelewa sana bora ulivyoondoka zako mwaya.
Very nice 👍👌 interview zamaradi ,Esma nimekupenda bure fata moyo wako
Pole sana Esma kwa matatizoo. Pia tunashukuru kwa story, hiyi ni fundisho kwa sisi wanawakee. Asante Da Zama❤️❤️❤️ that why we love ur Tv💥💥💥🥰. Esma mungu atakusahidiyaaa 🙏🏽
@vailetjulius4782
3 жыл бұрын
Wengi tunaangamia
@mirarajabu3099
3 жыл бұрын
Nimenifunza sana jamani
Wanawake hasa wenye vipato kuweni makini Sana 💗💗hili ni somo, hongera esma kwa kusimama imara 💪
@jacquelinepallanjo2988
3 жыл бұрын
Yaani nimejifunza kitu
@zaitunmtinange3453
2 жыл бұрын
Mh... kweli usilolijua Ni sawa na usiku wa Giza!! Hongera kwa msimamo esma!! Hongera Zamararad....una hekima, Allah akulinde
Esma ni mkweli. Big up Esma. Bora umeongea 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Wah never judge book by its cover. I learn something from you girl🤔
Zama unajuw unahoji vzr wey na millard ayo Allah awabariki😍😍
Zamaradi your so cleverrr, I like you so much! Your the real meaning of being a presenter, ❤️💕 nimeenjoy na nimejifunzaaa mengi! Big respect
@daimavlog
3 жыл бұрын
Yaani Me nikionaga mtu amehojiwa na Zama nateganga muda wangu kabisa nifahidi.
This a very good lesson and I trust Esma kuna most men that think life is easy like ABC God saved you.pole sana
I LOVE YOUR COURAGE TO WALK AWAY ESMA, ALOT OF WOMEN ARE SUFFERING WITH SUCH NARCISSISTIC MEN AND THEY KEEP PROTECTING THEM, YOU ARE SO BEAUTIFUL GOD WILL BE WITH YOU ❤️
@slayingtee6044
3 жыл бұрын
I agree
@jacklinengozi1122
3 жыл бұрын
Come down esma is a lier, I don't believe anything she says. She's nothing but a joke.
@ladysalimkabora9952
3 жыл бұрын
@@jacklinengozi1122 you won't believe something that you haven't experience. People who have been through this do believe her
@lovvy854
3 жыл бұрын
All in all but abortion is a Crime
@narindwashaidi3528
3 жыл бұрын
📌💯💯
Me binafsi kama mwanamke nimekuelewa esma 🙌
@upendokimario8988
3 жыл бұрын
Nmekuelewa sana afu ww n mkwel
@veronicadaniel1122
3 жыл бұрын
Wanaume wasumbufu
@washwash6723
3 жыл бұрын
@@veronicadaniel1122 llpl
@hellokittylover7641
3 жыл бұрын
Kweli ninavo elewa na izo surprise zake mpaka kuowa unashindwa kumwambia muhusika unamwambia mama yake alihofia wasijui mabaya yake na ndo mana alikua anapitia kwa mama
@naimanaima4715
3 жыл бұрын
Ata me
LOVE YOU ESMA. BORA UENDELEE KUWA KIBURI HIVO HIVO. KWELI DIAMOND AMEPATA DADA MWENYE AKILI. NDIO MAANA DIAMOND ANAKUPENDA.
Ambao tunamuombea esma mema like
@fatumadaudponecadaaah1886
3 жыл бұрын
Pole Esma
Wanawake tuwe waangalifu jmani.😔😔😔💔💔..NDOA SIO PESA NI MAPENZ YA DHATI...YA ALLAH TUNUSURU WANAWAKE TUPE WANAUME WENYE KHERY INSH'ALLAH🤲🤲🙏...THANX ESMA UMETUPA FUNDISHO...SHUKRAN SANA ESMA WANGU 🙏
@aishajuma5079
3 жыл бұрын
Ameen yarabilaalamiin
@zuhuraakida5932
3 жыл бұрын
@@aishajuma5079 🙏 Allah ummah ameeyn yaraby 🙏
@naramwarabu5096
3 жыл бұрын
@@zuhuraakida5932 is a e. 9.30am
Nafatilia zamaradi tv nikiwa Burundi Bujumbura 🇧🇮pole da esma,watu wanaongea wasiyo yajuwa.njo maana katika dini yetu ya kiislam,tunashauriwa ukipata mwanaume anataka kukuowa,sali kwanza sala ya istikhara,njo ukubali kuolewa,ukishapewa majibu na Allah,proud to be Muslim.
@ghulamjuma2883
3 жыл бұрын
Hapana sala apo yupo mbali na sala
@saalm2105
3 жыл бұрын
🇧🇮
@sissykhadija5343
3 жыл бұрын
Komeraaaaa👊🤝
I love your interviews zamaradi...... If you could also get esmas husband it could be much bettter
@hokororoflora5639
3 жыл бұрын
Umesema ukweli umejifunza nini? Jinsi umetoa funzo kwa Wanawake wengne ata kwa wasichana wengne
Duh! Esma umejua kufumbua madada wengi macho..hiki kisa kimenikumbusha mengi..ila Mungu mkubwa🙏🙏
@deboraibrahim3368
3 жыл бұрын
👏
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Wengine ndo kwanza wanadanganywa
Unaongea vizuri sana una akili sana fanya mambo yako mungu atakujalia
@annamakalo4345
3 жыл бұрын
Ahsante
Tunajifunza hapa kuwa, mzazi unaruhusiwa kumshauri mtoto wako juu ya machaguzi yake ya maisha ila sio kumlazimisha mtoto wako kuolewa kwa sababu ya uwezo wa kifedha,, kwa msizwa amefake life ila wapo ambao hawajafake na wananyanyasa na kudharau wake zao kwasababu ya pesa zao Ladies: tusigeuke watumwa wa pesa za waume, na kuona aibu kutoka matesoni kisa jamii itakuchukulia wewe si mwanamke uliyefunzwa na wazazi wako kabla ya ndoa. It's okay kuitwa jeuri ama kiburi kwasababu ya kuwa sahihi na kutafuta furaha
Wanawake tujifunze wallah 🙌 pole Esma
@veronicascottmollel7897
3 жыл бұрын
Kabisaa
@finamustafa6459
3 жыл бұрын
Atari sana
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Kabisaaa hili ni funzo kwetu
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Duh hakuwa na amani kwenye ndoa,wanawake wengi wanapata mateso lkn kutoka haiwezekani😥😥😥
@maloomaalmnsj5111
3 жыл бұрын
@@salomewandya7257 inawezekana sana ukijitambua
Pole Esma.....I have a feeling that they planned it all with his South African wife.....I said it on your wedding day live chat that Msizwa ni mkora wa Tanzania wakani attack....Am happy that you left that devil
@morineakinyi1116
3 жыл бұрын
Very true
@maryaida9417
3 жыл бұрын
That man he's a big evil
Nimtumiaji sana.... good that you Did whatever you did!!!! Mbona me nakuelewa sana Esma
Hongera esma kwa maamuz magumu wanawake tunapitia mengi magumu sana hongera kwa ushindi bigup
Sasa nimejua esma ni mwanamke mwelewa sanaaaa big up esma❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️❣️
I love your courage esma am a mother of 2 gals na siezi kumbali kuingisha watoi wangu kwa shinda juu ya fame'God will give you the Wright man who will love you n your kids n accept you for whom you are
@seriejessy8878
3 жыл бұрын
What happened to her marriage? I don't understand swahili yet am eager to know this story. I remember she had a nice wedding some months ago.
Awesome interview good job Esma you answered all well
Kweli huyo Msizwa ni jipu Wallah Wabillah duuh Esma ujeuri wako ndio umekuokoa 😂😂😂 endelea kuwa kiburi tu
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Wewe atukuwezi akya mungu😂😂
Thank you so much my daughter; Zamaradi. This was a fantastic interview. Kudooos. I am proud of you my "daughter" Student. Keep the Star shinning. The Sky is the limit!!
Leo nimemuelewa Esma kweli aliolewa na taperi
Interview nzuri sana. Esma nimekuelewa sana
Wangapi walimuelewa #esmaplatunmz jmn me nimemuelew cz ndoa hizi zina mambo mengi san 🙏
@fatmasaid9400
3 жыл бұрын
💪
Siku zote tusiwe haraka ku judge. Pole Esma i feel you as a woman. You made the right decision. The society will always talk about you no matter what you do. Live your life sweetheart. Thanx Zamaradi
Daaah interview tamu afu yenye mafunzo asante da Zama
@mwanaidrashid8752
3 жыл бұрын
Asima nimekupenda sana mdogoangu wanaume niwajanja sana
@annymunezero5564
3 жыл бұрын
Nikuwa makini nao maana mwanzo atajifanya anakupnd San akuwek ndani ssa utayaona makucha yake Heee Mwenyezi Mungu tusaidiy sis wanawake
@salomewandya7257
3 жыл бұрын
Tamu mnooo
Nasibu akikumbuka alivyomchamba petii siku ya harus ya dada ake, mwili wote wacheza jeje
@liliankidahyap7257
3 жыл бұрын
😃😃😃 hapo anawaza atamface vipi, coz anajua lazma esma atamrudia petit
@salamagat4784
3 жыл бұрын
😂😂😂😂umejua kunifurahisha snaa eti mwili wote unacheza jeje jamani
@ngoshaachaula7152
3 жыл бұрын
Hahahaha
@pamelapesce8445
3 жыл бұрын
Khalos Salim 😂😂😂😂
@faridaabdallah3913
3 жыл бұрын
😅😅😅
GOD may you pliz continus to protect this girls💞
Mimi huyu dada nampenda sana kiukwel anapendeza kuwa na baba taraj
Aisee esma nimekupenda sana kwa hili aisee,sku zote mwanamke akikataa ujinga ujinga wa mwanaume huonekana jeuri
Zamaradi mketema ongera kwa inteview nzuri uko wakipeke mashallah
Hongera sana Esma Ila ushauri Wang kaa utulie uleee watoto wako ndio faida yako mungu amekutoa kwenye dimbwi
Mim namuelewa sana esma wanaume wengi wapo kimaslahi matapeli wamapenzi,,,esma pole tena ushukuru mungu kakuonyesha bado mapema bila ya ivo angekukopea angekuachia bonge la deni alafu angesepa
Wow Zamaradi ni hodari ya sana kwa kuzungumza huna uchochozi or sides
Great interview, Poor lighting kindly improve on that... Everything else..kudos👏👏👏👏👏also get some nice wall paper and cosy couches your setting look is so basic
@veldaonyango5856
3 жыл бұрын
Jamani ndio
@martinmakobz6225
3 жыл бұрын
Very true,at first i thought my settings were in night mode
@lidilid4403
3 жыл бұрын
@@veldaonyango5856 àaaaààaaasa
@josephinekajugusi9829
3 жыл бұрын
yaaa
All the best Esma, I love you
Nimejifunza jambo Haya mambo yanatokea kwenu ili sisi tujifunze Pole na asante kwa kutufunza my dada Keep going 💪 👊
Alikuja kwenu kwa masilahi tuu
Nimekupenda, maisha ya sasa ni kujipenda na kujali furaha yako, haijalishi watu wanasema nini, kuishi ni bahati usitumie vibaya bahati yako, Kwan tunaishi mara moja
@kipipakipipa5050
3 жыл бұрын
Being free and happy ni kitu cha msingi ambacho kina Naomi tunazingatia mno😀
@advocatekarama4917
3 жыл бұрын
Word 🥂”kuishi ni bahati “
@evajonathan2623
3 жыл бұрын
Big point my dada naomi
@naomimassawe5625
3 жыл бұрын
@@kipipakipipa5050 sanaaa yani
Dah! Dada kaongea vema sana.na Zamaradi that's the best interview..
Pole sana Asma Nimekupenda sana kuwa mkweli Alhamdulilah Alhamdulilah M.mungu akupe kila la kheri na akuondolee kila zito ligeuke liwe Jepesi kwako Ameen
Esma ni Yuda ndio lakini sio mwongo
@salmanyitu2379
3 жыл бұрын
ni kweli kabisa
Pole"ESMA live your life let him go
Duh pole sana aisee mimi kuwaamini tena hao wanaume hapana kwakweli🙏
@jovovichmedia9424
3 жыл бұрын
Nyie mnaaminika
Nampenda Esma akiongea kama mzungu anaejifunza Kiswahili 😁😁
@salmanyitu2379
3 жыл бұрын
ila me kiukweli napenda anavoongea kama hawezi hivi ila inampendezea
@salamamohammed5446
3 жыл бұрын
Mapoz meng sanwhy
Sikuzote Mwanamke katika Afrika akionyesha ujasiri, na ukakamavu, na kujua thamani yake bila kuteteleka, na kufanya maamuzi magumu katika wakati jamii haitarajii ,HUITWA JEURI NA KIBURI😊🤣🤣. WEAK MEN IN AFRIKA ARE INTIMIDATED WITH INDEPENDENT WOMEN. ESMA YO A REALL WOMEN. ENJOY YO LIFE BBY♥️♥️♥️♥️
@marryjames1784
3 жыл бұрын
Apriciate u🙌🙌
@rebekantiha4131
3 жыл бұрын
Kabsa mamy ukiw na msimam unaoksn yamekushinda yaan mm namsif maan ndan tunamatatz makubwa ila huf ya kipat ndo inatufany tynavumilia ujinga my dear 🥰😍
@mariamramadhani3860
3 жыл бұрын
@@rebekantiha4131 hakika kipato mamii tunavumilia basi tu
@mercyndujilo5363
3 жыл бұрын
My ex told me that buh i knew i was his competition
Maisha ya ndoa bila penzi la kweli ni upuuz mtupu mungu tusaidie sisi ambao tunatarajia ndoa🙏🙏🙏🙏🙏
@zaerajuma9159
3 жыл бұрын
Unaitaji mume kumbe karibu kwng
@wardaabdala5229
3 жыл бұрын
Nikweli kabisa Mimi naona nimateso tu dah
This is so painful jamani, pole sana @Esmaplatnumz. No woman deserves this. Yaani unamfanya hivi mtoto wa mtu.
Pole Dada Leo ndo kwanza nimekuelewa😀😀Hujawai Kukutana na wtt Mjini wanapo taka lao🙌Me nilishangaa we Dada Yake Dangote una olewaje mke 3💯Hela si Mnazo
@rukiamohammed5494
3 жыл бұрын
hata mie leo ndio ni mekuelewa
Nampenda esma❤️😍💙💫💗
Gonga like kama unaamin peti anakula mzigo mpaka now
Pole sana ESMA yaliyokukuta kwenye safari ya matumaini ukiona umechambua ukashindwa BC tilia uwalee wanao Kwa kicho na Mungu atakusaidia zaidi !
Pole jamani mshukuru mungu Kwa kila Jambo wache waseme mpaka watachoka bora uko salama,Kwa uwezo wake Allah atakupa aliye sahihi insha'Allah nakupenda sana
Kuanzia Leo naanza kukupenda bureeee unaakili nyingi sana
Sasa nimeelewa maana ya vurugu iyo yote. Nakupenda Sana Esma. Toxic relation just move out..
Asante sana kwa hii show, kiukweli wasichana tuweni makeni kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa.
Nimemuelewa Sana esma mshukuru mungu kwa kukuepushaa
I like your courage to walk a way!
Kwangu kama.msichana mwenye natarajia kuolewa nimejifunza kitu kwako Esma,,,,
@salomempwage9331
3 жыл бұрын
Umeona
Pole Esma kumbe maskini unahuruma sana nawatoto naulikuwa unamshauli msinzwa aijali familia yke pia nakupa hongera kwa ujasili ulikuwa nao m.mungu bado anakupenda naunajitambua vzr tu ludi kwa barafu wa moyo wko P wakuacheeee😃
duuhh pole sana ddada yngu, kweli hii ya kujifunza. alitaka kupitia mgongo wa familia yako hasa super star wetu wa bongo dai ndio awatapeli. alafu anaonekana misifa mingiiii
Dah pole sana Esma jamaa hafai kumbe
Esma amenitoa machozi Mungu akubariki
Story ya Esma inafanana na yangu jamani😂😂 some wanaume ni matapeli kila kitu kama mimi ila mimi huyo wangu alishawapiga ndugu zangu ndoa ilidumu miezi minne tu halafu hawataki kuwaonyesha familia zao loooohhhh🙌🙌 nimekuelewa sana Esma hiyo situation yako😭😭
Umenikumbusha mbali Esma daah! Wanaume wa kukupenda kwaajili ya vitu wapo wengi sana... MUNGU ATUNUSURU WANAWAKE
Mimi nimekuelewa sana esma ..pole mpenzi
Dah pole sanaa
Pole sana Esma mshukuru Mungu amekuonyesha mapema,na hili ni fundisho kwetu sisi wanawake,Yahya ni tapeli na alitaka kujulikana
Pole sana dear esmar MUNGU amekunusuru. Heri uwolewe na lijanaume baya ila listarabu. Na linaupendo pia. Ila hawa wanao jiita h.b wanajifanyaga smart kumbe mterezo. Kwanza lina laana hilo likaka ajui mzazi ndiyo MUNGU wa pili wa dunia
Safi sana kuvumilia vituko kama hivyo kwenye ndoa imekuwa zamani
Yaani nimekuelewa saaaaana Esma mpaka umepitiliza.
🤣🤣🤣 Msizwa anaonesha ni mnyanyasaj Ata uyo mama Melo wa sauzi yupo kma Sukule wallah
@neemaswai4130
3 жыл бұрын
😂😂
@naimanaima4715
3 жыл бұрын
@@neemaswai4130 wallah
@juliusfelister894
3 жыл бұрын
Hata sura yake tu inaonekana ni muigizaji tu 😂😂
@blasidajulius2240
3 жыл бұрын
Hahahahahaha
@pendojeremiah9111
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
Pole sema Alhamdulilah
Asante sana da zama interview zako zimamashiko Na tunajifunza vingi mno
Asante Zama
Pole Esma, ila nmejifunza mengi kupitia hii, pongezi sana our legend interviewer Zama❤️❤️❤️
This man was an opportunist,he married u for 💰 money .. Hakua na upendo wote kwako
Msizwa mtoto wa mjini bora ulivongundua mapema angekubebesha sembe ungeozea jera ila mama enu ndo chanzo cha aya yotee
@sadamrisho8810
3 жыл бұрын
Mmmh! Wazazi nao jaman changamoto
@rehemamsambila6820
3 жыл бұрын
Mamake ndo chanzo sawa kwani alimtuma msizwa amfanyie hayo matatizo
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
@@rehemamsambila6820 Swali zuri .
@nshonabdll9363
3 жыл бұрын
Ht mama pia hn kosa ni kuto kujuwa tu
@yasinyahaya9004
3 жыл бұрын
Thanks
Ko esima uliingia choo cha kike🤣🤣🤣😂pole ila nimejifunza
@KatuniDigital
3 жыл бұрын
Aliingia kwa kaka jambazi 😂😂
@sekelamwangosi3289
3 жыл бұрын
Ewaaaaaah cha kike🤣🤣🤣🤣
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
Yaan bora alivyotoka wacha watu waseme tu lol 😂😂😂
@atotaalbalushi7943
3 жыл бұрын
Pole sn ila esma ulishawai kuwambiwa Instagram uyo mwanaume sio mtu mzuri ukaona km watu wanakuonea wivu sasa umejionea mwenyewe angekubebesha madawa
@hapinesphilimon8127
3 жыл бұрын
@@sekelamwangosi3289 🤣🤣🤣
Kuwa makini esma msinzwa siyo m2 mzuri atakufanyia mbaya
ESMA Mtoto Bomba Akili Kaiva...Jama Alitaka Kumtapeli SIMBA Kupitia Kwako . .ALIJUA AJUI Mbele Ya Esma Bby.
Ml 200 kisa ushemej???? Msizwa nomaa🤣🤣🤣alikuwa na hesabu kali sana bora Esmah ulivyojitoa kwake....begi tena kampe mpakistani??😳😳😳😳
@neemakella437
3 жыл бұрын
😂😂😂🙌
@hanifaally4694
3 жыл бұрын
😂😂😂
@hellenmwangi5414
3 жыл бұрын
Hapo kwenye begi Esma kaamua kufunika kombe,ingekua mwingine angefanya waaaaah
@aidahtimothy9052
3 жыл бұрын
Yaan alikuw ametegemea ishu imetiki na beg nao ulikuw mtego kama ni madaw yakulevya angempa then angemcholesha akikamatwa yy angepata hela coz diamond asingekubali dadaake aende jela dah,msizwa co mtu mzr aliingia cha kike eee wah!!🤣🤣🤣
@lissamsalu12345
3 жыл бұрын
Hahahahhaahah tapeli msizwa hahahhaha
Go do you Esma! Be with your daughters .. you free.
😂😂😂 nadhani leo mme elewa kuongea kwa Mange ali mshauri Esma kama huyo mwanaume ni muuza madawa yakulevya baadhi ya watu mapovu yaliwatoka
Maa Shaa Allah, you said it all esma Congrats ❤️
Esmah wen the deal is tooooooo gd think TWICE PLZ🌞🙏@Kenya.
@happinessmalali6382
3 жыл бұрын
Apa ndo namuelewa mange kimambi. Aiseee lisemwalo lipoo
@salmasaid7058
3 жыл бұрын
On point Kenya
Kuna wakati unaweza kufikiri mume wako nimbaya ukikutana na kama hayo sasa ndo unamkumbuka e-husband.
@batulimakame7947
3 жыл бұрын
Kabisa
@josephmanyama435
3 жыл бұрын
Jamani mapenzi yqko na mambo mengi sana aiseee
Pole my sear Esma. Wanaume wanapendaga sana fursa. Heri ulistuka mapema.
I am so sorry Esma...He is such a bastard. Mungu atamlipa cha kumlipa. Glad you had the strength kuondoka
Aliyesikia "....TV za kuiba South Africa...." agonge "like". Hahaaaa.
@luciesheriya7635
3 жыл бұрын
Pole Esma ❤❤