MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA
Ойын-сауық
𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 580
Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.
@sophiakassim6784
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo
Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪
I applaud him for standing by his woman period!
Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI) Pole sana kaka Ricardo Momo Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.
Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi
@Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@Mina.15
Жыл бұрын
Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid
Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi
Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo
Ricardo you are a real man. May God bless your marriage
@janethndial5759
3 жыл бұрын
Yaan huyu kaka ni mwanaume zaidi ya wanaume daa
@winskitchen.602
3 жыл бұрын
Amin
Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa
Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.
37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@siahfrednand670
3 жыл бұрын
Hamisi omary una uhakika kama kaliwa
@lilianrichard2298
3 жыл бұрын
Kaliwa uyu
@rashidaly4179
3 жыл бұрын
Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie
@cocobae5172
3 жыл бұрын
True body language tells it all
Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....
Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo
Hongera dada...umepata mume💓
@salmaseif8755
3 жыл бұрын
Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao
Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....). Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo. Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo
@omaryally5555
3 жыл бұрын
Alizungumza kwa lugha ya kizungu?
Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.
Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤
@janethndial5759
3 жыл бұрын
Saaaaana
Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂
@vaestkusten6041
Жыл бұрын
hahahahah
Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.
Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae
@olive-jaysilasofficial
3 жыл бұрын
Acha umbea
@mymunamymuna4807
3 жыл бұрын
Aliliwa huyo demu, acha kuhepahepa
@rafaeliezekieli7685
3 жыл бұрын
@@olive-jaysilasofficial xo udea mzee dam mwenyewe anaunyesha hajatulia yan anavyo ongea2 hajiamin
@florabaruti8032
3 жыл бұрын
@@olive-jaysilasofficial kwani uongo
Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁
Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako
Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu
😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii
@omakywazamani6696
3 жыл бұрын
Sana tena hapo anajikaza
@jeysenbenedict
3 жыл бұрын
Anajikaza lakin ni kweli🤣😂
@hamisingeruko8576
3 жыл бұрын
Umeona ee,kusoma hujui hata picha huiyoni
Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲
Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa
Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa
@agnessbenedict3043
3 жыл бұрын
Cheee😂😂jicho la momo aki nmeliona
Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa
ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza
Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.
@jemimahaloyce4740
3 жыл бұрын
Sanaaa
Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema... Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua
Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah
Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi
@divinebernard1047
3 жыл бұрын
Kabisa
Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee
Msizwa kapita hapo,
Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..
Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂
@fatmasaid1911
3 жыл бұрын
Niko pamoja Na wewe
@ashaally6993
3 жыл бұрын
@@fatmasaid1911 👌
@magangashaban3835
3 жыл бұрын
Duu kaliwa tena huyo dada itakuwa wagombea bwana
Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.
@magrethjunior8557
3 жыл бұрын
Yanga
Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe
Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent
Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea
Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂
@swaummussa1272
3 жыл бұрын
Kabisa😂
@shaibumahanda5190
3 жыл бұрын
Hahahahaha
@ayshabayun9014
3 жыл бұрын
Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.
@abdallahsaidi2942
3 жыл бұрын
Momo ameshikwa na mkewe
Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa
@leonardjaphety7104
3 жыл бұрын
Kwel kabisa
@gerry_macopper3808
3 жыл бұрын
Haha haha ikowazi hyo
@husnamfuko6136
3 жыл бұрын
Ndio Ana chachawa
@getrudemwangonelah5873
3 жыл бұрын
Hata maelezo yake tu kaliwa😂😂😂
@annaeriksson8555
3 жыл бұрын
Sana tu maneno mengi
Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.
Nobody wins when the family feuds
Ikiwa ni Wasagi su mwenye jina,HAKUNA MALAIKA BINADAMU 🤝
Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa
Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!
@missannevwtvvvip1576
3 жыл бұрын
Esma mnafiki! Mwivu tu YUDA huyo!
@maria_mutondioriginal5
3 жыл бұрын
She go back to his baby daddy
@janethndial5759
3 жыл бұрын
Yaan esma anachokitafuta siku at akipata tu
Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote
Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂
Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.
@Mina.15
Жыл бұрын
Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱
Kapigwa huyo hana jipya
Ricadomomo anaakilisana namuunga mkono malaika unaweza zushiwa mambo hataambayo hujawahi kuwaza, mm nilizushiwa nadadaangu natembea nashemeji nawatu wakaamini nilimuomba Mungu ikajulikana siyokweli , Dada malaika Mungu atakulipa nyamazatuu
Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza
Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii
Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Ata mie nimeona ilo
@separatebetres5315
3 жыл бұрын
Kweli wamefanana sn
@mamukassim4075
3 жыл бұрын
Ata mtoto wa tanasha zaidi kafanana na momo
Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.
@cheedvevo
3 жыл бұрын
Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike
Demu wa momo kaliwa haha
Mhhh kazi.... Kweli kweli
No problem nyingii... Msizwa alijuaje kama una duka kama mkewe hajui!!!
Hajatembea nae ila anaongea kwa vile ana hasira ndyo maana inaonekana anajigongagonga
Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂
@zaerajuma9159
3 жыл бұрын
Ata wy unaliwaga pia
@oyay2821
3 жыл бұрын
Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu
Daah bongo sihami asee maalim zingizii mkeo wamemkulaa🤣🤣
Tatizo la kuowa wanawake wazuri sana ndo hili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe mzuri Sana mungu akulinde dada achana na huyo yuda
Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!
@Mina.15
Жыл бұрын
Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.
Go to the point!!! Umetembea na Msizwa au hujazembea naye ????
Strong man
Umeharibu ndowa yako Sasa unataka kuharibu ya wengine wewe wenyewe mchafu
emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa
@janethndial5759
3 жыл бұрын
Na atayumba saaana
Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani
@thisiszai2045
3 жыл бұрын
Jamani masikio Masha'Allah
Pole mariam ndo duniha hy
Mungu akujalie uwe namungu hivyo
Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa
Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu
Poleni Sana Esma, Familia ya momo, msamaha muhimu
@Mina.15
Жыл бұрын
For what she's lie and making it up story's
Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo
ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya
Momo uko. Na mke mzuri sana malaika malaika kweli si mchezo
Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe
nimalizie kwa kusema tumuachieni mungu kama yapo hayo Allah aje ayabainishe bayana bayanuna mchana kweupeee tuseme insha allah
Hawa wote hakili hawana adi hii media pia mambo yakishamba wamekosa story pumbavu sana hawaheleweki wote
Maraika umeliwa bana kwa maelezo yako
Waswahili tukiona manyoyaaa Tunajua kitoweo kimesha liwa Ila jamaa hana Momo moyo wake haunaga kusema basi Na akili yake imevaa nepi😂😂😂
DUUH mmefanana ,sauti na brother yako Diamond
Msizwa nyauuu duh,kwa kujipamba😂😂🔥
Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.
@abedkarume9088
3 жыл бұрын
Kweli anaongea kama diamond umeonaeee
@mariammwakimbi4439
3 жыл бұрын
Yaani wamefanana mpak kuongea..
@nancywamimi2168
3 жыл бұрын
Sanaaa Yan nmeliona hilo
@abdulmtausi8327
3 жыл бұрын
Hilo nililijua siku nyingi wanafanana wanavyozungumza
@bahatimawalla9476
3 жыл бұрын
Yan wanafanana Sautii jmnnn uwiiii
Wanamake tunasiri Mariam anajitetea ila kuna walakin.
Hizi drama zimeibuliwa baada ya wasaf tv kufungiw Ili warudishe hela zilizopotea baada ya kupata watazamaji wengi wa hii series
Kelele sana iyo nyimbo
Kumtaja wolper inahusu 😂😂😂😂 shoga angu wew umeliwa tyu..
Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salamamohammed5446
3 жыл бұрын
Wapo
Hìi family ikona kazi balaa laana sielewe.
Ukweli ASA huyu dada katembea Na mswiza, ila momo anaogopa kumuacha mana mzurii hahahahhahahahaha
Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!
@victoriasiwonike9509
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@chibalichilongola1648
3 жыл бұрын
Hahaaaaa
Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii
@priscamlyuka5531
3 жыл бұрын
Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh
Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂
@fidianishimwe4035
3 жыл бұрын
Kabisa 😂😂👏👏👏
@medaihatungimana107
3 жыл бұрын
Wallah😂😂😂
@asiliyakechuma4319
3 жыл бұрын
🤣
@healthchoicewithluciebern8741
3 жыл бұрын
😄😄😄 kweli, movie zinakosa soko
Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio
@chrispinimkanda7127
3 жыл бұрын
Kitu Kama hicho bingwa!!