MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA

Ойын-сауық

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 580

  • @olomweneabongela1717
    @olomweneabongela17173 жыл бұрын

    Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.

  • @sophiakassim6784

    @sophiakassim6784

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @salmaseif8755
    @salmaseif87553 жыл бұрын

    Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo

  • @salmaseif8755
    @salmaseif87553 жыл бұрын

    Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪

  • @leolaganira8679
    @leolaganira86793 жыл бұрын

    I applaud him for standing by his woman period!

  • @christophernsemwa8185
    @christophernsemwa81853 жыл бұрын

    Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI) Pole sana kaka Ricardo Momo Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.

  • @rashidaly4179
    @rashidaly41793 жыл бұрын

    Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi

  • @khalifapaul2543
    @khalifapaul25433 жыл бұрын

    @Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid

  • @siamollel9725
    @siamollel97253 жыл бұрын

    Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed71103 жыл бұрын

    Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo

  • @shankim3416
    @shankim34163 жыл бұрын

    Ricardo you are a real man. May God bless your marriage

  • @janethndial5759

    @janethndial5759

    3 жыл бұрын

    Yaan huyu kaka ni mwanaume zaidi ya wanaume daa

  • @winskitchen.602

    @winskitchen.602

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @mrthreesix280
    @mrthreesix2803 жыл бұрын

    Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Жыл бұрын

    Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.

  • @hamisomarykumba5877
    @hamisomarykumba58773 жыл бұрын

    37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...

  • @aishaarusha894

    @aishaarusha894

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @siahfrednand670

    @siahfrednand670

    3 жыл бұрын

    Hamisi omary una uhakika kama kaliwa

  • @lilianrichard2298

    @lilianrichard2298

    3 жыл бұрын

    Kaliwa uyu

  • @rashidaly4179

    @rashidaly4179

    3 жыл бұрын

    Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie

  • @cocobae5172

    @cocobae5172

    3 жыл бұрын

    True body language tells it all

  • @lucamartin6584
    @lucamartin65843 жыл бұрын

    Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan62373 жыл бұрын

    Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo

  • @miriamlaurean2226
    @miriamlaurean22263 жыл бұрын

    Hongera dada...umepata mume💓

  • @salmaseif8755

    @salmaseif8755

    3 жыл бұрын

    Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao

  • @jamalmageser9390
    @jamalmageser93903 жыл бұрын

    Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....). Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo. Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo

  • @omaryally5555

    @omaryally5555

    3 жыл бұрын

    Alizungumza kwa lugha ya kizungu?

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto82313 жыл бұрын

    Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.

  • @malongosalim6826
    @malongosalim68263 жыл бұрын

    Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤

  • @janethndial5759

    @janethndial5759

    3 жыл бұрын

    Saaaaana

  • @lama6310
    @lama63102 жыл бұрын

    Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂

  • @vaestkusten6041

    @vaestkusten6041

    Жыл бұрын

    hahahahah

  • @ahmadshomali4206
    @ahmadshomali42063 жыл бұрын

    Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.

  • @rafaeliezekieli7685
    @rafaeliezekieli76853 жыл бұрын

    Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae

  • @olive-jaysilasofficial

    @olive-jaysilasofficial

    3 жыл бұрын

    Acha umbea

  • @mymunamymuna4807

    @mymunamymuna4807

    3 жыл бұрын

    Aliliwa huyo demu, acha kuhepahepa

  • @rafaeliezekieli7685

    @rafaeliezekieli7685

    3 жыл бұрын

    @@olive-jaysilasofficial xo udea mzee dam mwenyewe anaunyesha hajatulia yan anavyo ongea2 hajiamin

  • @florabaruti8032

    @florabaruti8032

    3 жыл бұрын

    @@olive-jaysilasofficial kwani uongo

  • @josephvenus3259
    @josephvenus32593 жыл бұрын

    Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Жыл бұрын

    Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako

  • @habibamhina9075
    @habibamhina90756 ай бұрын

    Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu

  • @sikudhanhaule8879
    @sikudhanhaule88793 жыл бұрын

    😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii

  • @omakywazamani6696

    @omakywazamani6696

    3 жыл бұрын

    Sana tena hapo anajikaza

  • @jeysenbenedict

    @jeysenbenedict

    3 жыл бұрын

    Anajikaza lakin ni kweli🤣😂

  • @hamisingeruko8576

    @hamisingeruko8576

    3 жыл бұрын

    Umeona ee,kusoma hujui hata picha huiyoni

  • @medaihatungimana107
    @medaihatungimana1073 жыл бұрын

    Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲

  • @rajabrwambo8083
    @rajabrwambo80833 жыл бұрын

    Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa

  • @musaabuebker1750
    @musaabuebker17503 жыл бұрын

    Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa

  • @agnessbenedict3043

    @agnessbenedict3043

    3 жыл бұрын

    Cheee😂😂jicho la momo aki nmeliona

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Жыл бұрын

    Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa

  • @aishajafa4139
    @aishajafa41393 жыл бұрын

    ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza

  • @carstuslucas4248
    @carstuslucas42483 жыл бұрын

    Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.

  • @jemimahaloyce4740

    @jemimahaloyce4740

    3 жыл бұрын

    Sanaaa

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa35753 жыл бұрын

    Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema... Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua

  • @Nalxylee254
    @Nalxylee2543 жыл бұрын

    Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah91113 жыл бұрын

    Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi

  • @divinebernard1047

    @divinebernard1047

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @handbagsquality9835
    @handbagsquality98353 жыл бұрын

    Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee

  • @charlskpc1103
    @charlskpc11033 жыл бұрын

    Msizwa kapita hapo,

  • @ayshabayun9014
    @ayshabayun90143 жыл бұрын

    Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..

  • @ashaally6993
    @ashaally69933 жыл бұрын

    Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂

  • @fatmasaid1911

    @fatmasaid1911

    3 жыл бұрын

    Niko pamoja Na wewe

  • @ashaally6993

    @ashaally6993

    3 жыл бұрын

    @@fatmasaid1911 👌

  • @magangashaban3835

    @magangashaban3835

    3 жыл бұрын

    Duu kaliwa tena huyo dada itakuwa wagombea bwana

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius67963 жыл бұрын

    Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.

  • @magrethjunior8557

    @magrethjunior8557

    3 жыл бұрын

    Yanga

  • @winfridadominancy3492
    @winfridadominancy34923 жыл бұрын

    Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe

  • @Gigizlife
    @Gigizlife3 жыл бұрын

    Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent

  • @patsonmassawe7714
    @patsonmassawe77143 жыл бұрын

    Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino49583 жыл бұрын

    Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂

  • @swaummussa1272

    @swaummussa1272

    3 жыл бұрын

    Kabisa😂

  • @shaibumahanda5190

    @shaibumahanda5190

    3 жыл бұрын

    Hahahahaha

  • @ayshabayun9014

    @ayshabayun9014

    3 жыл бұрын

    Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.

  • @abdallahsaidi2942

    @abdallahsaidi2942

    3 жыл бұрын

    Momo ameshikwa na mkewe

  • @wananchitv8690
    @wananchitv86903 жыл бұрын

    Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa

  • @leonardjaphety7104

    @leonardjaphety7104

    3 жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @gerry_macopper3808

    @gerry_macopper3808

    3 жыл бұрын

    Haha haha ikowazi hyo

  • @husnamfuko6136

    @husnamfuko6136

    3 жыл бұрын

    Ndio Ana chachawa

  • @getrudemwangonelah5873

    @getrudemwangonelah5873

    3 жыл бұрын

    Hata maelezo yake tu kaliwa😂😂😂

  • @annaeriksson8555

    @annaeriksson8555

    3 жыл бұрын

    Sana tu maneno mengi

  • @fravoredstunner5
    @fravoredstunner53 жыл бұрын

    Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.

  • @jarnicebenson1323
    @jarnicebenson13233 жыл бұрын

    Nobody wins when the family feuds

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Жыл бұрын

    Ikiwa ni Wasagi su mwenye jina,HAKUNA MALAIKA BINADAMU 🤝

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor5173 жыл бұрын

    Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa

  • @missannevwtvvvip1576
    @missannevwtvvvip15763 жыл бұрын

    Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!

  • @missannevwtvvvip1576

    @missannevwtvvvip1576

    3 жыл бұрын

    Esma mnafiki! Mwivu tu YUDA huyo!

  • @maria_mutondioriginal5

    @maria_mutondioriginal5

    3 жыл бұрын

    She go back to his baby daddy

  • @janethndial5759

    @janethndial5759

    3 жыл бұрын

    Yaan esma anachokitafuta siku at akipata tu

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky97243 жыл бұрын

    Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote

  • @jumongjr5837
    @jumongjr58373 жыл бұрын

    Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @aishamaina6815
    @aishamaina68153 жыл бұрын

    Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱

  • @chollogangstar3183
    @chollogangstar31833 жыл бұрын

    Kapigwa huyo hana jipya

  • @butturachel1794
    @butturachel17943 жыл бұрын

    Ricadomomo anaakilisana namuunga mkono malaika unaweza zushiwa mambo hataambayo hujawahi kuwaza, mm nilizushiwa nadadaangu natembea nashemeji nawatu wakaamini nilimuomba Mungu ikajulikana siyokweli , Dada malaika Mungu atakulipa nyamazatuu

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan25173 жыл бұрын

    Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay97763 жыл бұрын

    Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii

  • @rizikiwaadee8790
    @rizikiwaadee87903 жыл бұрын

    Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito

  • @salamakombo3257

    @salamakombo3257

    3 жыл бұрын

    Ata mie nimeona ilo

  • @separatebetres5315

    @separatebetres5315

    3 жыл бұрын

    Kweli wamefanana sn

  • @mamukassim4075

    @mamukassim4075

    3 жыл бұрын

    Ata mtoto wa tanasha zaidi kafanana na momo

  • @sharinv8864
    @sharinv88643 жыл бұрын

    Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.

  • @cheedvevo

    @cheedvevo

    3 жыл бұрын

    Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews3 жыл бұрын

    Demu wa momo kaliwa haha

  • @zulkhulayfatfayadhil2371
    @zulkhulayfatfayadhil23713 жыл бұрын

    Mhhh kazi.... Kweli kweli

  • @devotheranderson1158
    @devotheranderson11583 жыл бұрын

    No problem nyingii... Msizwa alijuaje kama una duka kama mkewe hajui!!!

  • @neemamwenda3451
    @neemamwenda34513 жыл бұрын

    Hajatembea nae ila anaongea kwa vile ana hasira ndyo maana inaonekana anajigongagonga

  • @darlinghadija1313
    @darlinghadija13133 жыл бұрын

    Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂

  • @zaerajuma9159

    @zaerajuma9159

    3 жыл бұрын

    Ata wy unaliwaga pia

  • @oyay2821

    @oyay2821

    3 жыл бұрын

    Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu

  • @hajiramadhan7319
    @hajiramadhan73193 жыл бұрын

    Daah bongo sihami asee maalim zingizii mkeo wamemkulaa🤣🤣

  • @adbashtv6701
    @adbashtv67013 жыл бұрын

    Tatizo la kuowa wanawake wazuri sana ndo hili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alshabje7185
    @alshabje71853 жыл бұрын

    Wewe mzuri Sana mungu akulinde dada achana na huyo yuda

  • @khalidtv6200
    @khalidtv62003 жыл бұрын

    Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret32593 жыл бұрын

    Go to the point!!! Umetembea na Msizwa au hujazembea naye ????

  • @aboukillo969
    @aboukillo9693 жыл бұрын

    Strong man

  • @alshabje7185
    @alshabje71853 жыл бұрын

    Umeharibu ndowa yako Sasa unataka kuharibu ya wengine wewe wenyewe mchafu

  • @irenenyange9409
    @irenenyange94093 жыл бұрын

    emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa

  • @janethndial5759

    @janethndial5759

    3 жыл бұрын

    Na atayumba saaana

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo67843 жыл бұрын

    Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani

  • @thisiszai2045

    @thisiszai2045

    3 жыл бұрын

    Jamani masikio Masha'Allah

  • @johnrahab2698
    @johnrahab26983 жыл бұрын

    Pole mariam ndo duniha hy

  • @hamadshariff7424
    @hamadshariff7424 Жыл бұрын

    Mungu akujalie uwe namungu hivyo

  • @vailetherasto2288
    @vailetherasto22883 жыл бұрын

    Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa

  • @sponsertv5009
    @sponsertv50093 жыл бұрын

    Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu

  • @marysellawanza2315
    @marysellawanza23153 жыл бұрын

    Poleni Sana Esma, Familia ya momo, msamaha muhimu

  • @Mina.15

    @Mina.15

    Жыл бұрын

    For what she's lie and making it up story's

  • @jumahabibu8698
    @jumahabibu86983 жыл бұрын

    Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo

  • @elitwazambwambo2222
    @elitwazambwambo22223 жыл бұрын

    ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 Жыл бұрын

    Momo uko. Na mke mzuri sana malaika malaika kweli si mchezo

  • @eliadominick7332
    @eliadominick73323 жыл бұрын

    Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Жыл бұрын

    nimalizie kwa kusema tumuachieni mungu kama yapo hayo Allah aje ayabainishe bayana bayanuna mchana kweupeee tuseme insha allah

  • @galusikiliani6228
    @galusikiliani62283 жыл бұрын

    Hawa wote hakili hawana adi hii media pia mambo yakishamba wamekosa story pumbavu sana hawaheleweki wote

  • @nadiahussein5892
    @nadiahussein58923 жыл бұрын

    Maraika umeliwa bana kwa maelezo yako

  • @mrgeorgeisdory5277
    @mrgeorgeisdory52773 жыл бұрын

    Waswahili tukiona manyoyaaa Tunajua kitoweo kimesha liwa Ila jamaa hana Momo moyo wake haunaga kusema basi Na akili yake imevaa nepi😂😂😂

  • @dominamollel6753
    @dominamollel67533 жыл бұрын

    DUUH mmefanana ,sauti na brother yako Diamond

  • @bumeplatnumz8445
    @bumeplatnumz84453 жыл бұрын

    Msizwa nyauuu duh,kwa kujipamba😂😂🔥

  • @kinasatz7266
    @kinasatz72663 жыл бұрын

    Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.

  • @abedkarume9088

    @abedkarume9088

    3 жыл бұрын

    Kweli anaongea kama diamond umeonaeee

  • @mariammwakimbi4439

    @mariammwakimbi4439

    3 жыл бұрын

    Yaani wamefanana mpak kuongea..

  • @nancywamimi2168

    @nancywamimi2168

    3 жыл бұрын

    Sanaaa Yan nmeliona hilo

  • @abdulmtausi8327

    @abdulmtausi8327

    3 жыл бұрын

    Hilo nililijua siku nyingi wanafanana wanavyozungumza

  • @bahatimawalla9476

    @bahatimawalla9476

    3 жыл бұрын

    Yan wanafanana Sautii jmnnn uwiiii

  • @fatmaramadham7245
    @fatmaramadham72453 жыл бұрын

    Wanamake tunasiri Mariam anajitetea ila kuna walakin.

  • @afrobongobeats1686
    @afrobongobeats16863 жыл бұрын

    Hizi drama zimeibuliwa baada ya wasaf tv kufungiw Ili warudishe hela zilizopotea baada ya kupata watazamaji wengi wa hii series

  • @etox6940
    @etox69403 жыл бұрын

    Kelele sana iyo nyimbo

  • @lovenesshenry2671
    @lovenesshenry26713 жыл бұрын

    Kumtaja wolper inahusu 😂😂😂😂 shoga angu wew umeliwa tyu..

  • @mariangittu7418
    @mariangittu74183 жыл бұрын

    Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @salamamohammed5446

    @salamamohammed5446

    3 жыл бұрын

    Wapo

  • @shellaking6185
    @shellaking61852 жыл бұрын

    Hìi family ikona kazi balaa laana sielewe.

  • @fatmasaid1911
    @fatmasaid19113 жыл бұрын

    Ukweli ASA huyu dada katembea Na mswiza, ila momo anaogopa kumuacha mana mzurii hahahahhahahahaha

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi69043 жыл бұрын

    Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!

  • @victoriasiwonike9509

    @victoriasiwonike9509

    3 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa

  • @chibalichilongola1648

    @chibalichilongola1648

    3 жыл бұрын

    Hahaaaaa

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper38083 жыл бұрын

    Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii

  • @priscamlyuka5531

    @priscamlyuka5531

    3 жыл бұрын

    Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh

  • @derickydeniz583
    @derickydeniz5833 жыл бұрын

    Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂

  • @fidianishimwe4035

    @fidianishimwe4035

    3 жыл бұрын

    Kabisa 😂😂👏👏👏

  • @medaihatungimana107

    @medaihatungimana107

    3 жыл бұрын

    Wallah😂😂😂

  • @asiliyakechuma4319

    @asiliyakechuma4319

    3 жыл бұрын

    🤣

  • @healthchoicewithluciebern8741

    @healthchoicewithluciebern8741

    3 жыл бұрын

    😄😄😄 kweli, movie zinakosa soko

  • @Noname-gg6bx
    @Noname-gg6bx3 жыл бұрын

    Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio

  • @chrispinimkanda7127

    @chrispinimkanda7127

    3 жыл бұрын

    Kitu Kama hicho bingwa!!

Келесі