🔴
Ойын-сауық
🔴#Live: MSIZWA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA ESMA PLATNUMZ, AMTAJA DIAMOND | KATAMBUGA
Karibu kutazama kipindi cha KATAMBUGA ambapo leo tumepiga stori za Msizwa aliyekuwa mume wa Esma Platnumz
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 110
Kaka muongo huyu sijawah kuona🙌🙌🙌 wakat anapenda sana MEDIA balaa
Muongo wewe, mpaka una muowa ulikuwa hujui kama dada yake Diamond? Mbona Muongo wewe.
Niko hapa namsikiliza mzee bb na kusoma comments huku natafuna miwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣 🙌🙌🙌wabongo shikamooooooo
Alikuwa anamlazimisha ESMA, huyu kaka mwongo sanaaaa
Huyu hana tofauti na.James Delicious, full alosto.
Aaaaaaah huyu bwana ni muongo sana! Huyu eti alikua hajui ni ndugu ya diamond....muongo mbona....danganya toto
@fatmamansour676
Жыл бұрын
Anajua uzur mana alikuwa rafiki Wa petiti nazunguka alikuwa alimchukua esma n yye ndo cha'zo cha petiti na esma kuachana huyo msiswa ajue km alivomuachisha mwe ziwe na yye hakudumu nae
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Tena Muongo mkubwa
Siendelei kusikiliza muongo
Mwenzangu tuwe wengi ambao hatukujua kama esma ni dada yake diamond
Yani munamwamini huyu Conman????😳 Huyu Mtapeli!Nani asiyejua Esma dadake Diamond Sisi Wakenya tunajua itakuwa Mbongo!!!!!huyu akitaka kuitapeli Ile Familia!Ile gari iko wapi Msizwa???
@ikibidiikibidi
Жыл бұрын
aahhhh mambo yetu ya nyumbani Tz jirani tuliaaa usitoe povu kiasi hiko
Mwongo huyooooo
Sa Hilo bodigadi linafanya nn studio 😂
sasa bodyguard kwa media huu ni usenge tuu , media pia respect urself
Hyo bodigadi mmh...mtihaniii
Huyu kaka n muongooooo
Sasha mlinzi wa nini hupo ndani ya studio???
Jamani Bodyguard hadi studio, watazania nyieeee 🙆♂️🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@sharonyasin7521
Жыл бұрын
Sìjui analinda nin???😀😀😀
Bora Dini ilivotoa Sheria km mkishindwana muachane kwa Amani kuliko kulazimishana matokeo yke kuchinjana na kuuana
@barikiwa22
Жыл бұрын
Hata bila dini heri kusema mapemaaa
Huyo msizwa mshenz tuu rafiki yake mkubwa alikuwa uncle shamte South wauza bange na Unga pritoria
😃😃😃😃😃😃
Acha uwongo
Limtu Liongo yan huyu ata akikwambia saa moja lazima utoke inje uangalie😁😁😁😁😁😁😁😁😁🙂🙂🙂
Liongoooo
🤔
Tapeli international.mi namwamini esma.esma muwazi
Baunsaaaaaa
Hyu kaka n muongo na pcha alkuwa hatak kwasbb ya mkewe mkubwa
Khaa mtumeeee
😂 😂 😂 lkn wa bongo kwa kuvimba kweli Bodyguard hadi kwa studio kwani hio studio haina ulinzi? 😂 wabongo wacheni ushamba wallah
Ndiyo nani huyu Naye star
Kuwachana.namtu..kaka.amekupunguzia...mzgo
Mmmmmmmmmmm jsmani
Muongo uyu Kaka jmn muongo
Chaaa!!!🙄
Watu wanahoji mpka mapusha jamanii
Huyu muongo kabsaaaaa hata maelezo yake hayaeleweki kigugumizi kingi
Msizwa umetupiga bhana ulikuwa hujui km dada yake Diamond wakati Petit rafiki yako na siku ya kwanza kumuona Esma alikuja South na Jumalokole mwenyeji wao ni Petit na mkaenda kuwapokea ww na Petit nakukwambia ndy shemeji yako na ndy mwanzo wakumsaliti Petit hapo leo ujifanye hujui loh
@victoriajoachim7271
Жыл бұрын
Maake hapo kwanza nchekeee!!!!!
@tabuomary1016
Жыл бұрын
Aende zake huko.
@tabuomary1016
Жыл бұрын
Aende zake huko.
@tabuomary1016
Жыл бұрын
Aende zake huko.
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Thank you
😲😲😲😲😲😲😲😲weekakaaaaaaa!!!!!!😂😂😂😂😂😂😂😁😁😂😂😁😂😂😁😂😁😁😁.
@michelinemapendo6652
Жыл бұрын
🤦😂😂😂
@naomialliyalliy2161
Жыл бұрын
Nimecheka kwa sauti🤣🤣🤣
@myunaniniahmad6463
Жыл бұрын
@@naomialliyalliy2161 yani ametupiga na kitu kizito.
Wewe ni mpumbaaavu saaana Mshenzi mkubwa
Sasa huyo bodyguard hapo wa nn 😂
@evodiarose4737
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Marudio ya liver na man city
Du wanawake tuwe makin jaman
Hahaaaa ameona amepotea anatafuta Cha kufufukiaaa
Mmmh pumbavu ulikua hujui kama dadaake diamond
Huyu muongo sana sijamuamini kabisa huna lolote
Rongo sana huyu
🤔🤣🤣🤣🤣🤣
Muongo huyu kaka eti alikuwa amjui esma kama dd wa mond
Adi kuongea anashindwa
Eti talaka aijatoka sijui nyote Makristo apo sheria ya kislam miez mi3 tu sie mume wake
@barikiwa22
Жыл бұрын
Makristo ndio kitu gani? Acha usenge kwenye dini za watu
Kumbe hajatoa talaka kweli....
Mfyuuuu muongo uyu kaka huna hata haya
U
Hahaaa sasa km Fela ni mlezi wk ktk sekta ya burudani, ITAKUWAJE UKAKOSA KUJUA ETI ESMA NI DADA WA DIAMOND!? Wakati huyo mlezi wk yeye ndiye Meneja wa kaka wa Esma, DIAMOND. 😅😅😅 acha kuongea Uongo bwana
Linaongea hata halijielewi
Unajitapa mtu wadini kutwa unafungua bar
Media za tz ovyo kabisa Hivi hamna mambo mengine ya kuwahoji
@cmoshi7014
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Wanaogopa asije tekwa
Kakonda
Hako kaa tangazaji cha kike kina kierehere san chenyew kibaya kipunguze kierehere
Ukimuacha mwanamke miezi 3 humihudumii kwachochote kile tayali talaka tosha kamakweli unajua dini, pia moyo wako ni mmoja huwezi kupenda 3
@mustafamsatimuhenga253
Жыл бұрын
Hamna sheriahio kwenyendoa labda mausiano tu ndia haivunjwi bila taraka
@hamzacedricole3673
Жыл бұрын
Ndoa mwezi 3 bila huduma youlyote kwa dini yetu ya islam ni talaka tosha kabisaaa soma dini ili ufahamu zaid
Eti km alipigwa ndele😅😅😅😅😅😅😅
Anaongea apo kistaarabu kama mpole vile lakini uyu bhana si mpole kabisa ukiona mbali
@fatmamansour676
Жыл бұрын
Ukiona sura tu unamjua huyu mkorofi kwanza dalili moja mdomo. Mwenye mdomo km huo muohope mkorofi ajabu
Huyu MTAPELI... ALITAKA KUMPIGA ESMA... HUYU JAMAA MWONGO SANA HUYU. MTAPELI MTAPELI SANA. WAKUMWOGOPA HUYO. ALITAKA MAMILIONI YA DIAMOND 💎 AKASHINDWA GAME. ALIJUA ESMA HANA AKILI.
Hawa global wapo zero kila mda inaganda tu
Msizwa ni uongo huoooo
Maraica ham ham tafuna tafn changanya changany ww apiga mimi wewe???
Tapeli mbwa😒🙄
Tapeli 0
Ehh Ana bodyguard
@lonelady3368
Жыл бұрын
😄😄😄ata nilikua sijamuoba Bodyguard..wewe ndie umeniamsha..waaa aki I say
@kennethbenjamin275
Жыл бұрын
@@lonelady3368 mjini sahv kila mtu Ana bodyguard
Certified liar....gifted liar. Lying is his gift
Kidin kama yupo mbali na mumewe miezi 3 sio mkewe
@ediboutros5464
Жыл бұрын
Malizia bila ya mawasiliano
Sasa kama dada yk alisema kwamba wewe mume ulikuwa UNATAKA KUMBEBESHA DADA YK UNGA! NA PIA ULIKUWA UNAMWAMBIA AENDE AKAKOPE PESA KWA HUYO KAKA YK MIYEYUSHO👀👀🤷♂️
Huyo baunsa wanini
@floramalifedha6649
Жыл бұрын
Kama zombi
Mungo uyoo kampindua petii alafu anajidai hajui kama dada wa dimond
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
bongo sihami
Muongo huyu muuza unga uislam gani criminals wa South Africa, muongo huyu kaka
Ungenioa mimi mchaga ningesimamia bar yaani biashara zingenyooka kama morogoro road ..umekimbilia kuoa wapaka hina...yule na shoga ya D wanafanya biashara ya ndoa wakishapata zawadi wanajifanya kuachana.Matapeli Wale..Hakuna mwanaume atadumu nao..
@fatmamansour676
Жыл бұрын
Ndo nyie mnaolbwa kisha mnauliwa kwa tamaa nyingi
Kaka mnafki wewe
Esma njooo usikie huku, make sio kwa uongo huo naomba umjibu huyu mbaba...
@hannamakamba6108
Жыл бұрын
Mr misifa
esma alishamaliza hii interview yaani huyu kila anachongea naona kama makelele tu tapeli huyu
Sasa baunsa Wanini😂 lijinga kweli
@happylynguya3464
Жыл бұрын
Atoke nje, akamsubiri getini.
Fake man