MTOTO WA BARNABA ATOA MANENO MAZITO KWENYE HARUSI - "WEWE NI BABA BORA KWANGU LEO NI SIKU YAKO"
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 175
Mungu amtunze huyu mtoto
*Steve* katisha, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏😘
@aminadigo9784
11 ай бұрын
Upo 😅😅 bila profile nisingekujua😅
Mashallah .....Mr & Mrs Barnaba ....M/Mungu awabariki sn kwa kila mtakalokusudia kulifanya husuthan ..kwenye malengo yenu. ....Ameen ...
Jaamani RAYA anaenda Rombo uwiiiiii karibu uchagani❤❤❤
Wema mdogo angu mungu Akupe mtoto inshallah
Akika Wema nakupenda sana 💞
Hongera barnaba kwa kufunga ndoa na mwanao kakuwa kweli
Wimbo was Sayuni ndo wenyewe sanaaa❤❤❤
duuh kakua ivo yaan mtoto huyu nakumbuka ameitwa steve kazaliwa siku aliokufa stev kanumba ni muda saana jaman daaah daah🙏🙏😂😂 asnte mungu niko bado natumie pumzika yako kuishi
@rosemofuga8101
11 ай бұрын
Ni kweli kabisa bhana
Mungu azidi kuwabariki
Hakuna kitu duniani kama kuona umekuva kijana mwenye maadili mema hata chozi linaweza kukutoka😢😢😢
Safi sana baba kwa kutamka kwa sasa anaitwa muhamadi ❤❤
Ehee kumbe ana mtoto mkubwa hivo!! hongera yake
Karibu kwetu wif
Arusi imembadili dini kwa mimi nasema ndoa nyingi zinafungwa kwa sababu nasio pendo la mungu
Maanshallah Mohammad kwakufanya mamzi
❤
Sasa watu washangilie😮e wameelewa?😅😅 Vigelegele vichacheeee.hizi lugha za kuja na ndege bhanna😮
❤❤❤
Leo ndo nmejua kumbe barnaba mchaga😂😂
@user-wi1fk5wx8f
11 ай бұрын
Sio mchaga TU tena warombo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
duuh nguo ya mama harusi tu , nacheka mie
Dah vazi kama sio muislam allah akuongowe
@AronMkumbwa-wl1ee
3 ай бұрын
Acha udini ndugu mavazi ayamuoneshi mtu na dini yake sasa muislam kavaa nguo hiyo una semaje sasa hapo
@tuikezeezra1315
Ай бұрын
Tunaishi kistaa🤣🤣🤣🤣
Daaaaa huyu Steve kaniacha kabis mtu mwenyewe nimeishia darsa LA saba B 😢
@mwajumalubunga1534
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 pole 😂😂
@vickystephano224
11 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vibaya sana unamuonesha nani nani utupu wako we mwanamke unamuonesha nanii😭😭😭😭 jamani uislaam mutaupa JIBU gani yaarabbi
Mama shikamooo khaaa wewe kweli mswahili khaaa banaba kaz hunayo
@salomewandya7257
11 ай бұрын
Saaana
@minaelnathanael1846
11 ай бұрын
Si kajitambulisha ni mama Kimbo?
@RehemaMobeto
11 ай бұрын
Yan jmn huyo mama nilijuaga anaigiza tu kumbe ndivyo alivyo
Kwani lazima angeongea kizungu plz tz
Mama kimbo kavaa nini
Mtoto wa mwanamke mwengine
@charlottealine6586
11 ай бұрын
Kuna kosa kwani ?
@chunaabdullah1333
11 ай бұрын
Umemjibu vzry sana
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
Lakin jins anavyoishi na Raya huwezi hata kujua sio wake wa kumzaa yaani anampenda zaid
@SantiaQwer-ij1ws
7 ай бұрын
@@charlottealine6586 hilo nalo neno wapelelezi wamaisha yawatu duuuh
Ati Barnaba kabadili dini kisa mwanamke! Hovyooo
@saumbliz8983
11 ай бұрын
Ovyoo wewee
@mecktridavictorchifungo7310
11 ай бұрын
Ajataka ndoa za jumla hii ikizingua anaacha asubuhi tu
@minaelnathanael1846
11 ай бұрын
Mmh si wachagga hawa. Kila kitu wanataka wawe washindi. Hata ujinga
Mmmmh bora mngefunga ndoa kanisani halafu naona mama barnaba hayupo
@Official83640
11 ай бұрын
Kamfufue kaburini
@sarahsesa8851
11 ай бұрын
@@Official83640 waaaaaa 😃😃😃😃😃😃😃🙆makubwa sasa hapo shida ni nin siungesema tu Alisha fariki
@salomewandya7257
11 ай бұрын
Alishafariki muda 2012
@edwardmkwelele
11 ай бұрын
Alifariki 2012
@sarahsesa8851
11 ай бұрын
@@edwardmkwelele pole yake kufiwa mzazi
😊😊😊 ,.
❤❤❤ nawapend
Jamani ni kizungu humuelewi au shida nn😂😂😂😂 hapo sijaskia neno zito
Kanumba MUNGU anakuona yn sijakuelewa ata ulicho kizungumza wajamani 🥲
@salomewandya7257
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@mamyukuru9081
11 ай бұрын
Kama mimi nimefurai bila kujuwa kilichosemwa 😂😂😂😂😂
@janethedward4631
11 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
Wanakenua tu hahaaa ata awaelewi
Sina wivu.ila kiukweli bibi harusi hajapendeza hilo gauni limemufanya aonekane mwili mrefu kutoka kiunoni kwenda juu. Kaonekana ana mgongo mrefu
@khamisisaid873
11 ай бұрын
Mm mtizamo wangu kwavile amelikubar mwenyewe tumuachie yy mwenyewe amelipenda hamna baya.
@joycemfuru4752
11 ай бұрын
Una wivu
@Jackiedaniel75
11 ай бұрын
Kama huna kitu positive cha kuongea kaa kimya
@lilianestephanie7881
11 ай бұрын
Mpe lako basi
@LETTYHENDERI
9 ай бұрын
Cy gauni tu anavoangaisha kichwa kama Kuna wadudu wanamng'ata mgongon
Amekuza
Mapenz shikamoo😆😆😆 mchaga akabadili dini alow .
@sarahgaula2220
11 ай бұрын
Labda alikuwa na ndoa ya kanisani na mama Steve mana naye alibadili
grup la damu muhimu itakua tyr barnaba anajitambua
Kumbe Barnabas ni mtu wa rombo jmn uwii
aunt raya tena😢😢😢😢 sio mumy..
@wanguiwanjiru5320
11 ай бұрын
Kazi ipo😢
@najmaomary4185
11 ай бұрын
Ni mamaak mdgo lazima aite aunt
@khadijasayeed3381
11 ай бұрын
Ni sawa tu
@ZayyunSaleh
11 ай бұрын
Yan mtot hajaonesha kabsa uchangamfu kwa uyo Raya maskin mpk nimejiskia vbaya na sijui kwann hajamuita mama kamuita aunt😢Ila wengne ndo walivyo hawawez kumuita mtu mwengne mama tofaut na mama yake alomzaa
Shamesha meku
Waooo jamani hongera kaka
Mama barnaba alifariki bwana elfu2 kumi2
Ww hii nchi ni Tanzania
@consokeic1472
11 ай бұрын
Ni America 😂😂😂😂😂😂
Bi harusi Hana utulivu
Hapo mchagga ni Steve tu. Waliobaki kwisha habari yenu
Msishangae kubadil din barnaba coz mda wowote taraka itamuhusu bi harus tembeeni na hyo
@beathagabriel8438
10 ай бұрын
MAMA KIMBO UMEPENDEZA.
mnatuacha jamani hatujasoma
@majomamajoma8776
11 ай бұрын
😂😂😂
Rombo ni wakatoliki.Kaoa kaolewaaa,Yesu anakaukia mbavu.
@tatotato506
11 ай бұрын
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
@tatotato506
11 ай бұрын
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
@tatotato506
11 ай бұрын
Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa
Ukoo wa Sykes ni mkubwa mbona ameonekana Dully peke yake?
Gauni ni Ile ya wedding ya nandy no wonder huyu hajapendeza ndani
@tatushoke9322
11 ай бұрын
Unaroho mbaya ww dah eti binaadamu huyu
@mecktridavictorchifungo7310
11 ай бұрын
Mi nilijua ni nandy anaolewa mara ya pili
@lilianestephanie7881
11 ай бұрын
La kwako je?
@SantiaQwer-ij1ws
7 ай бұрын
@@lilianestephanie7881 hilo nalo neno
@SantiaQwer-ij1ws
7 ай бұрын
Twasubiri yako ubwa wewe roho mabaya haijengi
Maharusi kwanini hawatulii wanakaa na waswas why
Mbona bibi ako uchi jamani
uyu mtoto atalelewa kwenye missing ya dini gani? mbona Wanamchanganya mmmh
mbona huyu mke wa barnaba kama baunsa frani au macho yangu😳😳😳😳😳😳? mmemuona mikono yake anavoivimbisha?
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
Ndio kaolewa hivyo
@hamiduhamisi2371
11 ай бұрын
@@mishikombowato1457 hakuna aliesema hajaolewa kinachozungumzika ni ubaunsa mwanamke anatakiwa raini bwana kwani kuolewa bei gani? watu tupo kwenye ndowa myaka 30 itakuwa yeye kaanza 😏
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
@@hamiduhamisi2371 kwani nimesema anaanza hajaanza wala.hajamaliza ulivyosema.utadhani.kajiumba yy haya Ana milono ya baunsaa ila kaolewa mnapenda kukosoa hata pasipo tatizo basi mkipendeza nyie inatosha
Hyo dogo hawez kumuheshm mama yke maana nmejarb kumwangalia Mara nyng bdo cmwelew
@sabinaonline6575
11 ай бұрын
Hahaha hampendi kabisa mama yake kwasabu siyo mama yake halisi wmbaya zaidi kambadilisha dini baba yake hata ningekua mimi
@sabinaonline6575
11 ай бұрын
Akina shangazi hawaamini kama Barnaba kabadirisha dini, maana wanasalimia bwana asifiwe tumsifu Yesu kristu badala ya wasalamu maleko😂 baba ake barnaba kasema anamshuku Mungu kwa Mwanae kufunga Ndoa Takatifu daaahh
@nikusubilamwakyusa7059
11 ай бұрын
Picha linaanza, kamuita Aunt Raya😔
@Official83640
11 ай бұрын
@@sabinaonline6575Usilolijua sasa huyo mtoto anampenda Raya hatari na jua km mama yake mzazi muislam na huyo Steve amebadilishwa dini ni muislam kwa sasa atakaaje ukristo ikiwa mama mzazi muislam na baba kaingia uislam poleni waja
@Official83640
11 ай бұрын
@@nikusubilamwakyusa7059Tembea uone ndugu waarabu mama mkubwa mama wa kambo wote wanawaita aunt
Mamaaa muachie kungwii wewe mama hupaswi kuyaongea hayo
Kwa hiyo hayo ndio Maneno mazito 😅
@bettymwikali8019
11 ай бұрын
C kwa kizungu hichooo
@SantiaQwer-ij1ws
7 ай бұрын
@@bettymwikali8019 wewe unayejua kingereza nahuna lolote Kaa kwakutulia aliyekwbia kizungu nimambo yote nani acha shobo mtoto wakike 😂😂😂
Raya naomba mganga wako na huyu mbuzi wangu aweze kubadili dini
@MonalisajaphetMonalisaja-zn4bp
9 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@mzembemakini3532
Ай бұрын
Hahahah
Kumbe ww ni mchaga Barnaba
sijaelewa kwamba mama kimbo ndio mama yake dullyseks
@rehematawalani733
11 ай бұрын
Mama mzazi wa biharusi
Siku nyingine ongea kiswahili umeniacha mbali ujue embu nitafisilien
@salhaayub1338
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@akibaali1450
11 ай бұрын
😂😂😂pole
@janetahmed6948
11 ай бұрын
muache mtoto si na weye kasome
@bintspeech3868
11 ай бұрын
@@janetahmed6948 nikasome kuzimu au
@DeboraNgura
11 ай бұрын
@@bintspeech3868 😂😂😂
Ogerasana
Bibi harusi nguo ulio vaa inaonekana uko unapumuliya juju
@victoremanuel29
11 ай бұрын
Yan alivyokaa Kam baunsa
@RandB_Channel
11 ай бұрын
@@victoremanuel29 🤣🤣🤣
Mbona hawafanani walishawahi kufikilia DNA
@aminakipande5645
11 ай бұрын
😂😂😂😂watu
@aminakazogolo2229
11 ай бұрын
Dah😅😅😅
@mwitaagness455
11 ай бұрын
Kwan lzm wafanane kwan haez kufanana na mama,
@ukhutfatumah1154
11 ай бұрын
Tanzania nchi huru hii sana mhhhh
@jasminshemsanga8727
11 ай бұрын
Kafanana na mama ake
Hiyo ni broken english kwani ulifosiwa uongee english?
@fatumahamisi6470
11 ай бұрын
Kweli kabisaa Yani broken hatari
@shangwefisima3993
11 ай бұрын
Weee toka pepo.... Tanzania Lugha yetu kiswahili Kaongea English kajitahidi kwasabu siyo Lugha yetu acha chuki
@sarahmuhammed6872
11 ай бұрын
@@shangwefisima3993 arudi shule,tz ni kiswahili bt sahi ninavyoongea 99%waongea English ukobwapi wewe
@sarahmuhammed6872
11 ай бұрын
@@shangwefisima3993 mwAmbie mtoto wa mobeto amfundishe english
@salomeraymond2051
11 ай бұрын
Kwa umri wake kajitaidi mwache mtoto khaaa🙄
Sasa huyo dogo stive mbona anajina la kikristo,wakati wazazi wote niwa islama na wamefunga ndoa ya kiislam
@r9ayyansaid652
11 ай бұрын
Raya si mamaake
@margarethasway8450
11 ай бұрын
Barnaba alikuwa mkristo lkn sasa amebadili dini na kuwa muislam km mkewe raya
@akidajulius1581
11 ай бұрын
@@margarethasway8450 ok, Sasa da amemuacha dogo pekeyake ktk ukristo alafu yy kakimbilia uislam,,ambadili na dogo nae,maana dogo peke yake hata wezakujiongonza kwa umri wake ktk Imani ya kikristo
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
@@akidajulius1581SI anaishi na Babu yake atamuongoza
@Teddy-fq5oc
11 ай бұрын
@@akidajulius1581embu tuachieni mdogo wetu
Sijaelewa chochote Kama hao wanaopiga makofi pasi kujua kilichoongelewa Ila makofi xx😂😂😂😂😂yalitawala
@yukundapeter8200
11 ай бұрын
Nimekupenda my! Jina Mrs mume wangu.Miji2 ilonyea ndoa ikiona Inaona wivu.
@ikouwasi7644
11 ай бұрын
wewe kama huelewi ni wewe tu 😂
@mrsmumewangu4907
11 ай бұрын
@@yukundapeter8200 nakupenda pia my darling
@mrsmumewangu4907
11 ай бұрын
@@ikouwasi7644 sawa
Uislaam saivi watu wanauchukilia ki rahisirahisi weee mwanamke na ndo muislaa amekushinda hata huyo mume aliebadili dini kavaa stara we mwanamke upo utupyuuu wallahiii mi munanilizaa😭😭😭😭 nasikia
@guenterernst5481
11 ай бұрын
Kìla mtu atakwenda na amal yake muhimu bwana amesilimu na kufunga ndoa halal
@rahmamohd4822
11 ай бұрын
Ukweli aambiwe akisoma comment ajifunze makosa yake
@rehematawalani733
11 ай бұрын
@@rahmamohd4822 kweli kabisa yaani
@fatmafatu1128
11 ай бұрын
@@guenterernst5481wewe itakuwa sio mwisilaam ndio maana wajibu uwazavyo
@fatmafatu1128
11 ай бұрын
Harusi kama sio waislaam subhannallah
Ndoa imeenda kikristo kabisa ad mizk mingi ni gosper tu sa kaslim nn apo
@nurudovino4587
10 ай бұрын
Mungu ndio anajua na asirimia kubwa miziki ya kikirsto ndio sana kwenye harusi maan asirimia kubwa tumichanganya dini