MTOTO WA BARNABA ATOA MANENO MAZITO KWENYE HARUSI - "WEWE NI BABA BORA KWANGU LEO NI SIKU YAKO"

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 175

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo299511 ай бұрын

    Mungu amtunze huyu mtoto

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan249911 ай бұрын

    *Steve* katisha, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏😘

  • @aminadigo9784

    @aminadigo9784

    11 ай бұрын

    Upo 😅😅 bila profile nisingekujua😅

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi775411 ай бұрын

    Mashallah .....Mr & Mrs Barnaba ....M/Mungu awabariki sn kwa kila mtakalokusudia kulifanya husuthan ..kwenye malengo yenu. ....Ameen ...

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja971311 ай бұрын

    Jaamani RAYA anaenda Rombo uwiiiiii karibu uchagani❤❤❤

  • @bintymohammedy5759
    @bintymohammedy575911 ай бұрын

    Wema mdogo angu mungu Akupe mtoto inshallah

  • @janethedward4631
    @janethedward463111 ай бұрын

    Akika Wema nakupenda sana 💞

  • @hawamjungu3396
    @hawamjungu339611 ай бұрын

    Hongera barnaba kwa kufunga ndoa na mwanao kakuwa kweli

  • @dainessmnenwaa4758
    @dainessmnenwaa475810 ай бұрын

    Wimbo was Sayuni ndo wenyewe sanaaa❤❤❤

  • @iddybakar1946
    @iddybakar194611 ай бұрын

    duuh kakua ivo yaan mtoto huyu nakumbuka ameitwa steve kazaliwa siku aliokufa stev kanumba ni muda saana jaman daaah daah🙏🙏😂😂 asnte mungu niko bado natumie pumzika yako kuishi

  • @rosemofuga8101

    @rosemofuga8101

    11 ай бұрын

    Ni kweli kabisa bhana

  • @emmanuelnemikhe
    @emmanuelnemikhe11 ай бұрын

    Mungu azidi kuwabariki

  • @khalfannyanje8970
    @khalfannyanje897011 ай бұрын

    Hakuna kitu duniani kama kuona umekuva kijana mwenye maadili mema hata chozi linaweza kukutoka😢😢😢

  • @afsaiddy5648
    @afsaiddy564811 ай бұрын

    Safi sana baba kwa kutamka kwa sasa anaitwa muhamadi ❤❤

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315Ай бұрын

    Ehee kumbe ana mtoto mkubwa hivo!! hongera yake

  • @user-ex4cx3ky9o
    @user-ex4cx3ky9o11 ай бұрын

    Karibu kwetu wif

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf28 күн бұрын

    Arusi imembadili dini kwa mimi nasema ndoa nyingi zinafungwa kwa sababu nasio pendo la mungu

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa781411 ай бұрын

    Maanshallah Mohammad kwakufanya mamzi

  • @josephinekalwa631
    @josephinekalwa63111 ай бұрын

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala140311 ай бұрын

    Sasa watu washangilie😮e wameelewa?😅😅 Vigelegele vichacheeee.hizi lugha za kuja na ndege bhanna😮

  • @RoziTabu-fw2cf
    @RoziTabu-fw2cf6 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @salhaayub1338
    @salhaayub133811 ай бұрын

    Leo ndo nmejua kumbe barnaba mchaga😂😂

  • @user-wi1fk5wx8f

    @user-wi1fk5wx8f

    11 ай бұрын

    Sio mchaga TU tena warombo

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq666510 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ismailjuma267
    @ismailjuma26711 ай бұрын

    duuh nguo ya mama harusi tu , nacheka mie

  • @JawahirSaid
    @JawahirSaid10 ай бұрын

    Dah vazi kama sio muislam allah akuongowe

  • @AronMkumbwa-wl1ee

    @AronMkumbwa-wl1ee

    3 ай бұрын

    Acha udini ndugu mavazi ayamuoneshi mtu na dini yake sasa muislam kavaa nguo hiyo una semaje sasa hapo

  • @tuikezeezra1315

    @tuikezeezra1315

    Ай бұрын

    Tunaishi kistaa🤣🤣🤣🤣

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah115411 ай бұрын

    Daaaaa huyu Steve kaniacha kabis mtu mwenyewe nimeishia darsa LA saba B 😢

  • @mwajumalubunga1534

    @mwajumalubunga1534

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂 pole 😂😂

  • @vickystephano224

    @vickystephano224

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani73311 ай бұрын

    Vibaya sana unamuonesha nani nani utupu wako we mwanamke unamuonesha nanii😭😭😭😭 jamani uislaam mutaupa JIBU gani yaarabbi

  • @bintspeech3868
    @bintspeech386811 ай бұрын

    Mama shikamooo khaaa wewe kweli mswahili khaaa banaba kaz hunayo

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    11 ай бұрын

    Saaana

  • @minaelnathanael1846

    @minaelnathanael1846

    11 ай бұрын

    Si kajitambulisha ni mama Kimbo?

  • @RehemaMobeto

    @RehemaMobeto

    11 ай бұрын

    Yan jmn huyo mama nilijuaga anaigiza tu kumbe ndivyo alivyo

  • @maryikwabe3368
    @maryikwabe336811 ай бұрын

    Kwani lazima angeongea kizungu plz tz

  • @LucyKisia-nh7pv
    @LucyKisia-nh7pv11 ай бұрын

    Mama kimbo kavaa nini

  • @aminakipande5645
    @aminakipande564511 ай бұрын

    Mtoto wa mwanamke mwengine

  • @charlottealine6586

    @charlottealine6586

    11 ай бұрын

    Kuna kosa kwani ?

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    11 ай бұрын

    Umemjibu vzry sana

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    Lakin jins anavyoishi na Raya huwezi hata kujua sio wake wa kumzaa yaani anampenda zaid

  • @SantiaQwer-ij1ws

    @SantiaQwer-ij1ws

    7 ай бұрын

    @@charlottealine6586 hilo nalo neno wapelelezi wamaisha yawatu duuuh

  • @user-kg4bg2fo5x
    @user-kg4bg2fo5x11 ай бұрын

    Ati Barnaba kabadili dini kisa mwanamke! Hovyooo

  • @saumbliz8983

    @saumbliz8983

    11 ай бұрын

    Ovyoo wewee

  • @mecktridavictorchifungo7310

    @mecktridavictorchifungo7310

    11 ай бұрын

    Ajataka ndoa za jumla hii ikizingua anaacha asubuhi tu

  • @minaelnathanael1846

    @minaelnathanael1846

    11 ай бұрын

    Mmh si wachagga hawa. Kila kitu wanataka wawe washindi. Hata ujinga

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa885111 ай бұрын

    Mmmmh bora mngefunga ndoa kanisani halafu naona mama barnaba hayupo

  • @Official83640

    @Official83640

    11 ай бұрын

    Kamfufue kaburini

  • @sarahsesa8851

    @sarahsesa8851

    11 ай бұрын

    @@Official83640 waaaaaa 😃😃😃😃😃😃😃🙆makubwa sasa hapo shida ni nin siungesema tu Alisha fariki

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    11 ай бұрын

    Alishafariki muda 2012

  • @edwardmkwelele

    @edwardmkwelele

    11 ай бұрын

    Alifariki 2012

  • @sarahsesa8851

    @sarahsesa8851

    11 ай бұрын

    @@edwardmkwelele pole yake kufiwa mzazi

  • @mwanaidisaid8480
    @mwanaidisaid84808 ай бұрын

    😊😊😊 ,.

  • @ScolaAlex
    @ScolaAlex11 ай бұрын

    ❤❤❤ nawapend

  • @user-ug6df5kg7n
    @user-ug6df5kg7n8 ай бұрын

    Jamani ni kizungu humuelewi au shida nn😂😂😂😂 hapo sijaskia neno zito

  • @janethedward4631
    @janethedward463111 ай бұрын

    Kanumba MUNGU anakuona yn sijakuelewa ata ulicho kizungumza wajamani 🥲

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @mamyukuru9081

    @mamyukuru9081

    11 ай бұрын

    Kama mimi nimefurai bila kujuwa kilichosemwa 😂😂😂😂😂

  • @janethedward4631

    @janethedward4631

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @Teddy-fq5oc
    @Teddy-fq5oc11 ай бұрын

    Wanakenua tu hahaaa ata awaelewi

  • @inongee1141
    @inongee114111 ай бұрын

    Sina wivu.ila kiukweli bibi harusi hajapendeza hilo gauni limemufanya aonekane mwili mrefu kutoka kiunoni kwenda juu. Kaonekana ana mgongo mrefu

  • @khamisisaid873

    @khamisisaid873

    11 ай бұрын

    Mm mtizamo wangu kwavile amelikubar mwenyewe tumuachie yy mwenyewe amelipenda hamna baya.

  • @joycemfuru4752

    @joycemfuru4752

    11 ай бұрын

    Una wivu

  • @Jackiedaniel75

    @Jackiedaniel75

    11 ай бұрын

    Kama huna kitu positive cha kuongea kaa kimya

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    11 ай бұрын

    Mpe lako basi

  • @LETTYHENDERI

    @LETTYHENDERI

    9 ай бұрын

    Cy gauni tu anavoangaisha kichwa kama Kuna wadudu wanamng'ata mgongon

  • @peninashungu6633
    @peninashungu663311 ай бұрын

    Amekuza

  • @jasminshemsanga8727
    @jasminshemsanga872711 ай бұрын

    Mapenz shikamoo😆😆😆 mchaga akabadili dini alow .

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    11 ай бұрын

    Labda alikuwa na ndoa ya kanisani na mama Steve mana naye alibadili

  • @iddybakar1946
    @iddybakar194611 ай бұрын

    grup la damu muhimu itakua tyr barnaba anajitambua

  • @RithaMassawe
    @RithaMassaweАй бұрын

    Kumbe Barnabas ni mtu wa rombo jmn uwii

  • @moudmgomo5742
    @moudmgomo574211 ай бұрын

    aunt raya tena😢😢😢😢 sio mumy..

  • @wanguiwanjiru5320

    @wanguiwanjiru5320

    11 ай бұрын

    Kazi ipo😢

  • @najmaomary4185

    @najmaomary4185

    11 ай бұрын

    Ni mamaak mdgo lazima aite aunt

  • @khadijasayeed3381

    @khadijasayeed3381

    11 ай бұрын

    Ni sawa tu

  • @ZayyunSaleh

    @ZayyunSaleh

    11 ай бұрын

    Yan mtot hajaonesha kabsa uchangamfu kwa uyo Raya maskin mpk nimejiskia vbaya na sijui kwann hajamuita mama kamuita aunt😢Ila wengne ndo walivyo hawawez kumuita mtu mwengne mama tofaut na mama yake alomzaa

  • @user-em4wp1ct7s
    @user-em4wp1ct7s11 ай бұрын

    Shamesha meku

  • @Octavinaelisa-fn6js
    @Octavinaelisa-fn6js11 ай бұрын

    Waooo jamani hongera kaka

  • @isakamaganigani1587
    @isakamaganigani158711 ай бұрын

    Mama barnaba alifariki bwana elfu2 kumi2

  • @jacquelinelukumay9535
    @jacquelinelukumay953511 ай бұрын

    Ww hii nchi ni Tanzania

  • @consokeic1472

    @consokeic1472

    11 ай бұрын

    Ni America 😂😂😂😂😂😂

  • @monicamunisi2889
    @monicamunisi288911 ай бұрын

    Bi harusi Hana utulivu

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael184611 ай бұрын

    Hapo mchagga ni Steve tu. Waliobaki kwisha habari yenu

  • @mamuumoses9547
    @mamuumoses954711 ай бұрын

    Msishangae kubadil din barnaba coz mda wowote taraka itamuhusu bi harus tembeeni na hyo

  • @beathagabriel8438

    @beathagabriel8438

    10 ай бұрын

    MAMA KIMBO UMEPENDEZA.

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu578611 ай бұрын

    mnatuacha jamani hatujasoma

  • @majomamajoma8776

    @majomamajoma8776

    11 ай бұрын

    😂😂😂

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820011 ай бұрын

    Rombo ni wakatoliki.Kaoa kaolewaaa,Yesu anakaukia mbavu.

  • @tatotato506

    @tatotato506

    11 ай бұрын

    Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

  • @tatotato506

    @tatotato506

    11 ай бұрын

    Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

  • @tatotato506

    @tatotato506

    11 ай бұрын

    Ayo yako yapekeyako kwa mungu kaowa ajaolewa

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen714511 ай бұрын

    Ukoo wa Sykes ni mkubwa mbona ameonekana Dully peke yake?

  • @cynthiachesang6972
    @cynthiachesang697211 ай бұрын

    Gauni ni Ile ya wedding ya nandy no wonder huyu hajapendeza ndani

  • @tatushoke9322

    @tatushoke9322

    11 ай бұрын

    Unaroho mbaya ww dah eti binaadamu huyu

  • @mecktridavictorchifungo7310

    @mecktridavictorchifungo7310

    11 ай бұрын

    Mi nilijua ni nandy anaolewa mara ya pili

  • @lilianestephanie7881

    @lilianestephanie7881

    11 ай бұрын

    La kwako je?

  • @SantiaQwer-ij1ws

    @SantiaQwer-ij1ws

    7 ай бұрын

    @@lilianestephanie7881 hilo nalo neno

  • @SantiaQwer-ij1ws

    @SantiaQwer-ij1ws

    7 ай бұрын

    Twasubiri yako ubwa wewe roho mabaya haijengi

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel140211 ай бұрын

    Maharusi kwanini hawatulii wanakaa na waswas why

  • @user-sk4mt4hd2b
    @user-sk4mt4hd2b11 ай бұрын

    Mbona bibi ako uchi jamani

  • @user-un5dm8gj7p
    @user-un5dm8gj7p11 ай бұрын

    uyu mtoto atalelewa kwenye missing ya dini gani? mbona Wanamchanganya mmmh

  • @hamiduhamisi2371
    @hamiduhamisi237111 ай бұрын

    mbona huyu mke wa barnaba kama baunsa frani au macho yangu😳😳😳😳😳😳? mmemuona mikono yake anavoivimbisha?

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    Ndio kaolewa hivyo

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    11 ай бұрын

    @@mishikombowato1457 hakuna aliesema hajaolewa kinachozungumzika ni ubaunsa mwanamke anatakiwa raini bwana kwani kuolewa bei gani? watu tupo kwenye ndowa myaka 30 itakuwa yeye kaanza 😏

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    @@hamiduhamisi2371 kwani nimesema anaanza hajaanza wala.hajamaliza ulivyosema.utadhani.kajiumba yy haya Ana milono ya baunsaa ila kaolewa mnapenda kukosoa hata pasipo tatizo basi mkipendeza nyie inatosha

  • @naligiatomaso5006
    @naligiatomaso500611 ай бұрын

    Hyo dogo hawez kumuheshm mama yke maana nmejarb kumwangalia Mara nyng bdo cmwelew

  • @sabinaonline6575

    @sabinaonline6575

    11 ай бұрын

    Hahaha hampendi kabisa mama yake kwasabu siyo mama yake halisi wmbaya zaidi kambadilisha dini baba yake hata ningekua mimi

  • @sabinaonline6575

    @sabinaonline6575

    11 ай бұрын

    Akina shangazi hawaamini kama Barnaba kabadirisha dini, maana wanasalimia bwana asifiwe tumsifu Yesu kristu badala ya wasalamu maleko😂 baba ake barnaba kasema anamshuku Mungu kwa Mwanae kufunga Ndoa Takatifu daaahh

  • @nikusubilamwakyusa7059

    @nikusubilamwakyusa7059

    11 ай бұрын

    Picha linaanza, kamuita Aunt Raya😔

  • @Official83640

    @Official83640

    11 ай бұрын

    ​@@sabinaonline6575Usilolijua sasa huyo mtoto anampenda Raya hatari na jua km mama yake mzazi muislam na huyo Steve amebadilishwa dini ni muislam kwa sasa atakaaje ukristo ikiwa mama mzazi muislam na baba kaingia uislam poleni waja

  • @Official83640

    @Official83640

    11 ай бұрын

    ​@@nikusubilamwakyusa7059Tembea uone ndugu waarabu mama mkubwa mama wa kambo wote wanawaita aunt

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani73311 ай бұрын

    Mamaaa muachie kungwii wewe mama hupaswi kuyaongea hayo

  • @mropeeliakim2528
    @mropeeliakim252811 ай бұрын

    Kwa hiyo hayo ndio Maneno mazito 😅

  • @bettymwikali8019

    @bettymwikali8019

    11 ай бұрын

    C kwa kizungu hichooo

  • @SantiaQwer-ij1ws

    @SantiaQwer-ij1ws

    7 ай бұрын

    @@bettymwikali8019 wewe unayejua kingereza nahuna lolote Kaa kwakutulia aliyekwbia kizungu nimambo yote nani acha shobo mtoto wakike 😂😂😂

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma501411 ай бұрын

    Raya naomba mganga wako na huyu mbuzi wangu aweze kubadili dini

  • @MonalisajaphetMonalisaja-zn4bp

    @MonalisajaphetMonalisaja-zn4bp

    9 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @mzembemakini3532

    @mzembemakini3532

    Ай бұрын

    Hahahah

  • @asifiwewisayi8580
    @asifiwewisayi858011 ай бұрын

    Kumbe ww ni mchaga Barnaba

  • @iddybakar1946
    @iddybakar194611 ай бұрын

    sijaelewa kwamba mama kimbo ndio mama yake dullyseks

  • @rehematawalani733

    @rehematawalani733

    11 ай бұрын

    Mama mzazi wa biharusi

  • @bintspeech3868
    @bintspeech386811 ай бұрын

    Siku nyingine ongea kiswahili umeniacha mbali ujue embu nitafisilien

  • @salhaayub1338

    @salhaayub1338

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @akibaali1450

    @akibaali1450

    11 ай бұрын

    😂😂😂pole

  • @janetahmed6948

    @janetahmed6948

    11 ай бұрын

    muache mtoto si na weye kasome

  • @bintspeech3868

    @bintspeech3868

    11 ай бұрын

    @@janetahmed6948 nikasome kuzimu au

  • @DeboraNgura

    @DeboraNgura

    11 ай бұрын

    @@bintspeech3868 😂😂😂

  • @user-nq2gl9fj9x
    @user-nq2gl9fj9x7 ай бұрын

    Ogerasana

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel11 ай бұрын

    Bibi harusi nguo ulio vaa inaonekana uko unapumuliya juju

  • @victoremanuel29

    @victoremanuel29

    11 ай бұрын

    Yan alivyokaa Kam baunsa

  • @RandB_Channel

    @RandB_Channel

    11 ай бұрын

    @@victoremanuel29 🤣🤣🤣

  • @peninashungu6633
    @peninashungu663311 ай бұрын

    Mbona hawafanani walishawahi kufikilia DNA

  • @aminakipande5645

    @aminakipande5645

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂watu

  • @aminakazogolo2229

    @aminakazogolo2229

    11 ай бұрын

    Dah😅😅😅

  • @mwitaagness455

    @mwitaagness455

    11 ай бұрын

    Kwan lzm wafanane kwan haez kufanana na mama,

  • @ukhutfatumah1154

    @ukhutfatumah1154

    11 ай бұрын

    Tanzania nchi huru hii sana mhhhh

  • @jasminshemsanga8727

    @jasminshemsanga8727

    11 ай бұрын

    Kafanana na mama ake

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed687211 ай бұрын

    Hiyo ni broken english kwani ulifosiwa uongee english?

  • @fatumahamisi6470

    @fatumahamisi6470

    11 ай бұрын

    Kweli kabisaa Yani broken hatari

  • @shangwefisima3993

    @shangwefisima3993

    11 ай бұрын

    Weee toka pepo.... Tanzania Lugha yetu kiswahili Kaongea English kajitahidi kwasabu siyo Lugha yetu acha chuki

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    11 ай бұрын

    @@shangwefisima3993 arudi shule,tz ni kiswahili bt sahi ninavyoongea 99%waongea English ukobwapi wewe

  • @sarahmuhammed6872

    @sarahmuhammed6872

    11 ай бұрын

    @@shangwefisima3993 mwAmbie mtoto wa mobeto amfundishe english

  • @salomeraymond2051

    @salomeraymond2051

    11 ай бұрын

    Kwa umri wake kajitaidi mwache mtoto khaaa🙄

  • @akidajulius1581
    @akidajulius158111 ай бұрын

    Sasa huyo dogo stive mbona anajina la kikristo,wakati wazazi wote niwa islama na wamefunga ndoa ya kiislam

  • @r9ayyansaid652

    @r9ayyansaid652

    11 ай бұрын

    Raya si mamaake

  • @margarethasway8450

    @margarethasway8450

    11 ай бұрын

    Barnaba alikuwa mkristo lkn sasa amebadili dini na kuwa muislam km mkewe raya

  • @akidajulius1581

    @akidajulius1581

    11 ай бұрын

    @@margarethasway8450 ok, Sasa da amemuacha dogo pekeyake ktk ukristo alafu yy kakimbilia uislam,,ambadili na dogo nae,maana dogo peke yake hata wezakujiongonza kwa umri wake ktk Imani ya kikristo

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    ​@@akidajulius1581SI anaishi na Babu yake atamuongoza

  • @Teddy-fq5oc

    @Teddy-fq5oc

    11 ай бұрын

    ​@@akidajulius1581embu tuachieni mdogo wetu

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu490711 ай бұрын

    Sijaelewa chochote Kama hao wanaopiga makofi pasi kujua kilichoongelewa Ila makofi xx😂😂😂😂😂yalitawala

  • @yukundapeter8200

    @yukundapeter8200

    11 ай бұрын

    Nimekupenda my! Jina Mrs mume wangu.Miji2 ilonyea ndoa ikiona Inaona wivu.

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    11 ай бұрын

    wewe kama huelewi ni wewe tu 😂

  • @mrsmumewangu4907

    @mrsmumewangu4907

    11 ай бұрын

    @@yukundapeter8200 nakupenda pia my darling

  • @mrsmumewangu4907

    @mrsmumewangu4907

    11 ай бұрын

    @@ikouwasi7644 sawa

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani73311 ай бұрын

    Uislaam saivi watu wanauchukilia ki rahisirahisi weee mwanamke na ndo muislaa amekushinda hata huyo mume aliebadili dini kavaa stara we mwanamke upo utupyuuu wallahiii mi munanilizaa😭😭😭😭 nasikia

  • @guenterernst5481

    @guenterernst5481

    11 ай бұрын

    Kìla mtu atakwenda na amal yake muhimu bwana amesilimu na kufunga ndoa halal

  • @rahmamohd4822

    @rahmamohd4822

    11 ай бұрын

    Ukweli aambiwe akisoma comment ajifunze makosa yake

  • @rehematawalani733

    @rehematawalani733

    11 ай бұрын

    @@rahmamohd4822 kweli kabisa yaani

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    11 ай бұрын

    ​@@guenterernst5481wewe itakuwa sio mwisilaam ndio maana wajibu uwazavyo

  • @fatmafatu1128

    @fatmafatu1128

    11 ай бұрын

    Harusi kama sio waislaam subhannallah

  • @neemaalphonce109
    @neemaalphonce10911 ай бұрын

    Ndoa imeenda kikristo kabisa ad mizk mingi ni gosper tu sa kaslim nn apo

  • @nurudovino4587

    @nurudovino4587

    10 ай бұрын

    Mungu ndio anajua na asirimia kubwa miziki ya kikirsto ndio sana kwenye harusi maan asirimia kubwa tumichanganya dini

Келесі