PART ONE : USIKU wa WANANDOA BARNANA & RAYA WEDDING DAY💍MLIMANI CITY FULL HD..

Ойын-сауық

www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 86

  • @asinakassim1548
    @asinakassim154811 ай бұрын

    Mungu tujaalie nasisi ndoa jamani .....nimetamani ndoa sasaa❤❤❤❤❤❤

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa117111 ай бұрын

    Mash'allah ❤❤❤❤❤Allah awalindie ndoa yenu

  • @fatoo9526
    @fatoo952611 ай бұрын

    Masha Allah tabaraka laaaa❤❤❤❤

  • @Qeek_Smart
    @Qeek_Smart11 ай бұрын

    Mama kimbo ana furaha sana

  • @ishaparwan6247
    @ishaparwan624711 ай бұрын

    Mabrook Mohamad Barnaba umefanya jambo kubwa sana mawili kwa pamoja ,kupiga shahada pili kukamilisha dini kuoa

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma520911 ай бұрын

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mishimwarabu1824
    @mishimwarabu182411 ай бұрын

    Masha allah

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py11 ай бұрын

    Mohammed baba mzaziii❤❤❤❤ Tanga tupo

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv11 ай бұрын

    Fred daaah home boy kitambo sana yombo moja

  • @vero57
    @vero5711 ай бұрын

    Kazi kweli kweli

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani682811 ай бұрын

    Hongereni sana Maharusi ndoa njema yenye BARKA ndani yake

  • @EmanuelNgwanigodolo
    @EmanuelNgwanigodolo11 ай бұрын

    Na mm nahtaji mtu aliye serious ,awe mwanamke ambaye anamalengo ya maisha bila kujali elimu yake au kabila

  • @shabanihamisi2811

    @shabanihamisi2811

    11 ай бұрын

    Nipo apa

  • @hildagabriel1003

    @hildagabriel1003

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @daifahamed4848
    @daifahamed484811 ай бұрын

    Mashallah

  • @rizikahmad6930
    @rizikahmad693011 ай бұрын

    ongera kwao ongera mama kimbo

  • @HamidaNassor-kv5po
    @HamidaNassor-kv5po11 ай бұрын

    Mashaallah

  • @ceciliaombela7159

    @ceciliaombela7159

    11 ай бұрын

    Inamaana hamjui kucheza asili yetu acheni bas

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji940511 ай бұрын

    baba Barnaba anachukua video mwanae asee raha sana

  • @husnaameen9309
    @husnaameen930911 ай бұрын

    Acheni wivu kubadili dini jikuwa mungu tunae muabudu ni moja angekuwa mpagani jingeshangaa Sasa hajapotea mungu kamuongoa kwenu mnaona ni hasara lakin mungu humuongoa amtakae mtulie

  • @vero57
    @vero5711 ай бұрын

    Hongera zenu

  • @tedysiameasantekaributanza6905

    @tedysiameasantekaributanza6905

    11 ай бұрын

    Hongereni Sana kwa hatua nzuri.

  • @AliciaMwalimu-ce2qt
    @AliciaMwalimu-ce2qt11 ай бұрын

    Mpoto hayo ni maombi au ushauri?

  • @shebyally2390
    @shebyally239011 ай бұрын

    Nyie mnaokaa kumsema barnaba kabadili dinu emu nyamazeni amuwezi jua kwanini hakuoa kikristo au mnasahau kwamba ndoa ya madhabahuni ni ya milele yaani mkataba alafu hiyo ni kuda wowote mnaitana mashemeji? Kwahiyo tulieni tuu amuwezi jua ya akilini mwake

  • @hasachaswaleh7559
    @hasachaswaleh755911 ай бұрын

    Mliuna diamond Simba akililia Uganda ju ya mapenzi ya zari alilia hivi wuuuuu wuuuuu wuuuuu mama tifah zari nakuoenda Sasa nikumanyisha waganda ni watam sindio

  • @mariamkibindo1741

    @mariamkibindo1741

    11 ай бұрын

    😂😂😂kajivunze kiswahili bana😂😂 Asante kwakulia

  • @janethisaya8553
    @janethisaya855311 ай бұрын

    Hiyo mikono anataka kupaa

  • @mageolomi3735
    @mageolomi373511 ай бұрын

    Kemea MPOTO, Kemea, AAAMEN,

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad646311 ай бұрын

    Hiyo karibu ya kiarabu umetupiga. Tuko huku miaka mingi, umewapiga na kitu kizito wageni.

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed687211 ай бұрын

    Barnaba mbona hujaimpa cheketua?

  • @vero57
    @vero5711 ай бұрын

    Hiyo ya mwanaume kubadili dini , kila mtu ange baki na dini yake kwa kweli

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    Shida yenu nn walimwengu yakwenu yanawashinda mnataka.kuvaa Joho la ushauri kwenye nyumba za waja😂

  • @fatmamohamed6812

    @fatmamohamed6812

    11 ай бұрын

    ​@@mishikombowato1457😂😂😂kweli kabisa binadamu nyie

  • @sergioramoelbougie1912
    @sergioramoelbougie191211 ай бұрын

    SR4 Balala Lux

  • @NellieCaliph_SlimGee
    @NellieCaliph_SlimGee11 ай бұрын

    NELLIE'S HAPPIER

  • @aliciabryton8468
    @aliciabryton846811 ай бұрын

    Aliyeoa n barnabas au n mohamed😂😂😂😂😂

  • @nasrafadhili7408
    @nasrafadhili740811 ай бұрын

    Mpoto jmn nimecheka peke yng

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya950611 ай бұрын

    Nishatamani ndoa aki😢😢😢😢

  • @omanmct135

    @omanmct135

    11 ай бұрын

    Utapata

  • @salmanassor8732

    @salmanassor8732

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    11 ай бұрын

    @@salmanassor8732 wew nakuchapa unanicheka

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    Wakati wa Allah ni.wakati sahihi

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    11 ай бұрын

    @@mishikombowato1457 🙏🙏🙏🙏

  • @judiththobias5132
    @judiththobias513211 ай бұрын

    Ila harusi ya wolper kweli walikususiaaa leo nimeaminiiiii wolper hupendwiiiii

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    11 ай бұрын

    Walimsusia kwa kweli

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile682711 ай бұрын

    Raya mikono anaekaaa ka Ana majipu😂😂😂

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    Tatizo hiyo nguo imembana sana

  • @anithamlay7327
    @anithamlay732711 ай бұрын

    Shida ni baadhi ya wanaume wanataka kulelewa kwa hiyo hana budi kukubali chochote atakacho ambiwa na mwanamke wake

  • @safiyanirram-pf3sv

    @safiyanirram-pf3sv

    11 ай бұрын

    Ss ray ndo anamlea barnaba

  • @MaryamSuleiman-xs5ph

    @MaryamSuleiman-xs5ph

    11 ай бұрын

    Hapo hamna anaemlea mwenzie ww

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    Sasa huyo Raya ana Hela Gani ya kumlea Barnaba Barnaba ana Hela kama zote

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti24911 ай бұрын

    Jmn mbona Raya kaduwaa ivo hana furaha wala huzuni nn shida😂😂😂

  • @rehemaomary3493

    @rehemaomary3493

    11 ай бұрын

    Shida IPO kwenye nguo

  • @EzekielMugunyu
    @EzekielMugunyu11 ай бұрын

    Habari Mimi nisinge weza kubadrisha dini langu ata sku moja haito tokea

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    11 ай бұрын

    Ndoweee mwezio kaweza hebu tulia 😅

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    11 ай бұрын

    Imekuumiza mpaka basi umesahau kuwa yeye ameshabadiri na wewe hautaki uko Sasa kwako na yeye ni sahihi kwake

  • @hyacintagugu7

    @hyacintagugu7

    11 ай бұрын

    Nguvu ya Upendo rafik

  • @aminaally5436

    @aminaally5436

    11 ай бұрын

    Mwenziy kj kweny hakiii we bk uk2utaendajielez mwish wa sikuu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka476511 ай бұрын

    Jomba umeolewa kubadili dini kwa ajili ya kuma hapo lazima mwanamke akutawale wanaume siku hizi tunazidi kupungua

  • @agnesisack9994

    @agnesisack9994

    11 ай бұрын

    Ila watu sijui mkoje si ni mapenzi yake jmn kwan shida iko wapi ndio maan kuna uhuru wa kufanya unachotaka sio mtoto yuko above 18

  • @ukhtyrayyan7884

    @ukhtyrayyan7884

    11 ай бұрын

    Umeonaeeeee

  • @aminaally5436

    @aminaally5436

    11 ай бұрын

    Mwache mwenziy yp kweny hk

  • @merinasobo6770

    @merinasobo6770

    11 ай бұрын

    Wivu tuuu

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka476511 ай бұрын

    Jomba mbona ameoa mwanamke mbaya na dini amebadili kweli ni mwanaume kilaza 😅😅😅 Yani Tanzania ni viroja mwanaume kama kichwa cha familia unakubali mwanamke akushike masikio na kukubadilisha dini daah upuuzi huu siwezi kufanya maishani mwangu , sasa mkija kubwagana sijui unarudi kwenye dini yako au unabakia na hiyo dini kama kumbukumbu 😅😅😅 kweli jomba amefeli big time

  • @SelemanMuhamed-ir5zl

    @SelemanMuhamed-ir5zl

    11 ай бұрын

    Acha wivu

  • @salmanyangasa1171

    @salmanyangasa1171

    11 ай бұрын

    Tanga kwetu rahaaaaaaa

  • @joycenicodemus.2232

    @joycenicodemus.2232

    11 ай бұрын

    Mwanamke mashine👌👌mwanamke nyonga 👌👌👌sura hata mbuzi anayo,,uzuri wamwanamke nitabia sio sura👌👌👌👌👌👌👌

  • @mishikombowato1457

    @mishikombowato1457

    11 ай бұрын

    We mwenyewe jinsia gani mbona povu

  • @neemajerome7981

    @neemajerome7981

    11 ай бұрын

    Tema mate chini watu Kama nyie ndio huwa mnakutana na vioja vya mwanamke vya kutosha na unakuwa mdogo kama pilitoni lakin ukitoka nje kama iv unajifanya huwez kukubali kumbeee

Келесі