PART ONE : USIKU wa WANANDOA BARNANA & RAYA WEDDING DAY💍MLIMANI CITY FULL HD..
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 86
Mungu tujaalie nasisi ndoa jamani .....nimetamani ndoa sasaa❤❤❤❤❤❤
Mash'allah ❤❤❤❤❤Allah awalindie ndoa yenu
Masha Allah tabaraka laaaa❤❤❤❤
Mama kimbo ana furaha sana
Mabrook Mohamad Barnaba umefanya jambo kubwa sana mawili kwa pamoja ,kupiga shahada pili kukamilisha dini kuoa
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Masha allah
Mohammed baba mzaziii❤❤❤❤ Tanga tupo
Fred daaah home boy kitambo sana yombo moja
Kazi kweli kweli
Hongereni sana Maharusi ndoa njema yenye BARKA ndani yake
Na mm nahtaji mtu aliye serious ,awe mwanamke ambaye anamalengo ya maisha bila kujali elimu yake au kabila
@shabanihamisi2811
11 ай бұрын
Nipo apa
@hildagabriel1003
11 ай бұрын
😂😂
Mashallah
ongera kwao ongera mama kimbo
Mashaallah
@ceciliaombela7159
11 ай бұрын
Inamaana hamjui kucheza asili yetu acheni bas
baba Barnaba anachukua video mwanae asee raha sana
Acheni wivu kubadili dini jikuwa mungu tunae muabudu ni moja angekuwa mpagani jingeshangaa Sasa hajapotea mungu kamuongoa kwenu mnaona ni hasara lakin mungu humuongoa amtakae mtulie
Hongera zenu
@tedysiameasantekaributanza6905
11 ай бұрын
Hongereni Sana kwa hatua nzuri.
Mpoto hayo ni maombi au ushauri?
Nyie mnaokaa kumsema barnaba kabadili dinu emu nyamazeni amuwezi jua kwanini hakuoa kikristo au mnasahau kwamba ndoa ya madhabahuni ni ya milele yaani mkataba alafu hiyo ni kuda wowote mnaitana mashemeji? Kwahiyo tulieni tuu amuwezi jua ya akilini mwake
Mliuna diamond Simba akililia Uganda ju ya mapenzi ya zari alilia hivi wuuuuu wuuuuu wuuuuu mama tifah zari nakuoenda Sasa nikumanyisha waganda ni watam sindio
@mariamkibindo1741
11 ай бұрын
😂😂😂kajivunze kiswahili bana😂😂 Asante kwakulia
Hiyo mikono anataka kupaa
Kemea MPOTO, Kemea, AAAMEN,
Hiyo karibu ya kiarabu umetupiga. Tuko huku miaka mingi, umewapiga na kitu kizito wageni.
Barnaba mbona hujaimpa cheketua?
Hiyo ya mwanaume kubadili dini , kila mtu ange baki na dini yake kwa kweli
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
Shida yenu nn walimwengu yakwenu yanawashinda mnataka.kuvaa Joho la ushauri kwenye nyumba za waja😂
@fatmamohamed6812
11 ай бұрын
@@mishikombowato1457😂😂😂kweli kabisa binadamu nyie
SR4 Balala Lux
NELLIE'S HAPPIER
Aliyeoa n barnabas au n mohamed😂😂😂😂😂
Mpoto jmn nimecheka peke yng
Nishatamani ndoa aki😢😢😢😢
@omanmct135
11 ай бұрын
Utapata
@salmanassor8732
11 ай бұрын
😂😂😂😂
@rukiaiddyyahaya9506
11 ай бұрын
@@salmanassor8732 wew nakuchapa unanicheka
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
Wakati wa Allah ni.wakati sahihi
@rukiaiddyyahaya9506
11 ай бұрын
@@mishikombowato1457 🙏🙏🙏🙏
Ila harusi ya wolper kweli walikususiaaa leo nimeaminiiiii wolper hupendwiiiii
@hyacintagugu7
11 ай бұрын
Walimsusia kwa kweli
Raya mikono anaekaaa ka Ana majipu😂😂😂
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
Tatizo hiyo nguo imembana sana
Shida ni baadhi ya wanaume wanataka kulelewa kwa hiyo hana budi kukubali chochote atakacho ambiwa na mwanamke wake
@safiyanirram-pf3sv
11 ай бұрын
Ss ray ndo anamlea barnaba
@MaryamSuleiman-xs5ph
11 ай бұрын
Hapo hamna anaemlea mwenzie ww
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
Sasa huyo Raya ana Hela Gani ya kumlea Barnaba Barnaba ana Hela kama zote
Jmn mbona Raya kaduwaa ivo hana furaha wala huzuni nn shida😂😂😂
@rehemaomary3493
11 ай бұрын
Shida IPO kwenye nguo
Habari Mimi nisinge weza kubadrisha dini langu ata sku moja haito tokea
@ukhtyrayyan7884
11 ай бұрын
Ndoweee mwezio kaweza hebu tulia 😅
@hadijamandanje6189
11 ай бұрын
Imekuumiza mpaka basi umesahau kuwa yeye ameshabadiri na wewe hautaki uko Sasa kwako na yeye ni sahihi kwake
@hyacintagugu7
11 ай бұрын
Nguvu ya Upendo rafik
@aminaally5436
11 ай бұрын
Mwenziy kj kweny hakiii we bk uk2utaendajielez mwish wa sikuu
Jomba umeolewa kubadili dini kwa ajili ya kuma hapo lazima mwanamke akutawale wanaume siku hizi tunazidi kupungua
@agnesisack9994
11 ай бұрын
Ila watu sijui mkoje si ni mapenzi yake jmn kwan shida iko wapi ndio maan kuna uhuru wa kufanya unachotaka sio mtoto yuko above 18
@ukhtyrayyan7884
11 ай бұрын
Umeonaeeeee
@aminaally5436
11 ай бұрын
Mwache mwenziy yp kweny hk
@merinasobo6770
11 ай бұрын
Wivu tuuu
Jomba mbona ameoa mwanamke mbaya na dini amebadili kweli ni mwanaume kilaza 😅😅😅 Yani Tanzania ni viroja mwanaume kama kichwa cha familia unakubali mwanamke akushike masikio na kukubadilisha dini daah upuuzi huu siwezi kufanya maishani mwangu , sasa mkija kubwagana sijui unarudi kwenye dini yako au unabakia na hiyo dini kama kumbukumbu 😅😅😅 kweli jomba amefeli big time
@SelemanMuhamed-ir5zl
11 ай бұрын
Acha wivu
@salmanyangasa1171
11 ай бұрын
Tanga kwetu rahaaaaaaa
@joycenicodemus.2232
11 ай бұрын
Mwanamke mashine👌👌mwanamke nyonga 👌👌👌sura hata mbuzi anayo,,uzuri wamwanamke nitabia sio sura👌👌👌👌👌👌👌
@mishikombowato1457
11 ай бұрын
We mwenyewe jinsia gani mbona povu
@neemajerome7981
11 ай бұрын
Tema mate chini watu Kama nyie ndio huwa mnakutana na vioja vya mwanamke vya kutosha na unakuwa mdogo kama pilitoni lakin ukitoka nje kama iv unajifanya huwez kukubali kumbeee