ALICHO KISEMA MWL MWAKASEGE KWENYE IBADA YA SHUKRANI ILIYOFANYIKA KKKT-DMP

Ойын-сауық

ALICHO KISEMA MWL MWAKASEGE KWENYE IBADA YA SHUKRANI ILIYOFANYIKA KKKT-DMP USHARIKA WA MBEZI BEACH, DAR ES SALAAM. TAREHE 20/01/2024

Пікірлер: 40

  • @paulsibu5770
    @paulsibu57705 ай бұрын

    Mwl Christopher Mwakasege una Kibali kikubwa Sana kwenye mioyo ya watu. Tunakupenda Mungu akupe Maisha marefu baba yetu.

  • @user-ev6ry2eh6o
    @user-ev6ry2eh6o5 ай бұрын

    Tangu nikiwa mdogo nmekuwa nafuatilia mahubiri yako miaka 30+ sasa Mungu akusaidie basi tufuate like unachotuelekeza kuhusu Kristo Yesu...

  • @AhmedMohamedJuma
    @AhmedMohamedJuma5 ай бұрын

    Mungu akubariki sana mwalimu christopher mwakasege kwa kuilomboa nchi❤

  • @agymtuki-zq8tq
    @agymtuki-zq8tq4 ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia jinsi apendavyo Mwl.Mwakasege,,,hope sana kumuona Mchungaji Mwinuka -Mungu akutunze sana.

  • @abelchacha5977
    @abelchacha59775 ай бұрын

    Mwalimu tunakupenda sana. Kazi unayoifanya mungu atakulipa.

  • @brightmollel6698
    @brightmollel66984 ай бұрын

    Mungu Akubariki sn MTUMISHI wa Mungu MWL Mwakasege

  • @edinamolell1996
    @edinamolell19964 ай бұрын

    Nakuombea xana baba yangu mwl,nakupenda xnaaa Mungu wa mbinguni aendelee kukulinda🙏🙏

  • @kagemlolutinwa3316
    @kagemlolutinwa33165 ай бұрын

    Nimependa mc ulivyomsoma Mwl. Na mama kwa vitendo. Walimuacha Captain Anna kumbe haha love you Annah.

  • @LameckJesus
    @LameckJesus5 ай бұрын

    Mungu atusaidie.sana...maana mbinguni tutaona mengi. Mungu akutunze Mwl. Christopher Mwakasege

  • @GraceRichard-fn3yk
    @GraceRichard-fn3yk5 ай бұрын

    Nakupenda Sana baba yangu kristopha mwakasege

  • @walterlema5736
    @walterlema57364 ай бұрын

    Mtumishi wa Mungu wa Kweli

  • @OthiamboMgovano
    @OthiamboMgovano5 күн бұрын

    Maneno mazitoo sanaaaa hayoo kwa kwelii pk nmeogopaaa

  • @aloycempandana1336
    @aloycempandana13365 ай бұрын

    Mwakasegeee aisee yup vizuri

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo16794 ай бұрын

    love you, baba mwalimu wa kweli kabisa

  • @ErastoMpare
    @ErastoMpare5 ай бұрын

    Mungu akutangulie kwa kila kitu

  • @venerandamarimbo
    @venerandamarimbo4 ай бұрын

    Amen

  • @Ericzdeking24
    @Ericzdeking245 ай бұрын

    KATIBA YENU IANGALIWE UPYA.HAKUNA HAJA YA KUONGOZA MARA 2 WAKATI WATUMISHI WENGINE WAPO.KUNA AINA FULANI YA SIASA KTK HILI

  • @bagumaisima5821
    @bagumaisima58214 ай бұрын

    amen

  • @gracealexander1450
    @gracealexander14505 ай бұрын

    AMEEEN AMEEEN

  • @tanakipaul6101
    @tanakipaul61015 ай бұрын

    Ameen

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory57475 ай бұрын

    Mwl wetu full Hekima

  • @MerryKashaija-jk9xh
    @MerryKashaija-jk9xh5 ай бұрын

    AMEEN

  • @GraceRichard-fn3yk
    @GraceRichard-fn3yk5 ай бұрын

    Mungu amupe ya umande wa mbingu

  • @mwangelyboy-bh3jy
    @mwangelyboy-bh3jy5 ай бұрын

    wow

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip89455 ай бұрын

    Unyenyekevu mkubwa sana huu.

  • @tumainipauli4020
    @tumainipauli40205 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @annettemalechela7543
    @annettemalechela75435 ай бұрын

    Huu ndio ushirika mzuri ni kama mafuta yaliyotiwa kichwani mwa haruni

  • @tumainipauli4020
    @tumainipauli40205 ай бұрын

    😅😅

  • @user-iz8pn2vi8b
    @user-iz8pn2vi8b5 ай бұрын

    Mungu akupe kila jema

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28485 ай бұрын

    Ayubu 22;21,kutoka 27.zawadi ya wrote.hata tunaosikiliza

  • @hellendanson2546

    @hellendanson2546

    5 ай бұрын

    Sio kutoka 27 ni kutoka 17 anzia mstari wa 1 hadi 12 utapata habari yote

  • @epifaniamilinga2848

    @epifaniamilinga2848

    5 ай бұрын

    @@hellendanson2546 Amina.nitafanya hivyo.

  • @alicekabalika
    @alicekabalika5 ай бұрын

    Tunawapata vema

  • @hilidentamale9778

    @hilidentamale9778

    5 ай бұрын

    😊😊

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb5 ай бұрын

    MUNGU atulinde watumsh wetu tunawapenda na mnafanya kaz kubwa ya kulinda aman ya nch yetu

  • @user-ee4vf4vb4w
    @user-ee4vf4vb4w5 ай бұрын

    Amen

  • @gracealexander1450
    @gracealexander14505 ай бұрын

    AMEEEN AMEEEN

  • @EmmyLuka-et2nw

    @EmmyLuka-et2nw

    5 ай бұрын

    Amen mwalim

  • @user-mz7zy3sv7t
    @user-mz7zy3sv7t5 ай бұрын

    Amen

  • @bernardpaulo-on6pe
    @bernardpaulo-on6pe5 ай бұрын

    Amen

Келесі