DIDA WA MASHAMSHAM ALIVYOMWAGIWA PESA STUDIO WASAFI/ATOA MACHOZI/SUPRISE YA BIRTHDAY YAKE
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 75
Njema. Msiwasahau ndugu zenu wanao fukuzwa mashule na vyuoni kwa kupungukiwa au kukosa ada. Msiwasahau ndugu zenu au Watanzania wenzenu wanao tapia roho mahospitalini kwa kukosa pesa ya matibabu. Msiwasahau ndugu zenu na watoto wao wanao shindia na kulalia miayo ya njaa kwa kukosa pesa ya kununulia chakula. Amin!
Warda yuaongea kwa hisia saana🥰🥰😘 piga kelele kwa warda wa moro weweeee
Kutokea uganda lakini Diida amenifanya nisikirize wasafi.. she is always serious at work... Enjoy your new age dear.
Dada Warda nakupenda mnooo,Ila mbona ukiongea kawaida unaonekana mpoleeeee lakin uwapo studio unaongea mnoooo umechangamka hatariiiiiii love u my sister
Ongera dada uliyefanyia happybrithday ya dida unaishi vizuri na wenzako
HBD Mungu akupe maisha marefu
Mchaga og umelost sana. Woow wasafi mna raha jamani
@aminaibrahim4148
2 жыл бұрын
Hbd super Woman dida
Namuona Babu wa Tiktok au macho yangu 😀😀😀😀👌😍
NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUDA WAKO HILI KUTAZAMA NYIMBO YANGU YA WEKA HILI KUIPATA BOFYA PICHA YANGU KUSHOTO NAAMINI MTAUPENDA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kuishi na watu vizuri huzaa matunda bora
Hee, Babu wa TickTock Yupo, Babu Si mchezo, hongera.
pendaaaaaaa san 😍😍😍
Wasafi Wanajua kupenda shughuli lakini
Happy birthday my Didaaa🎂🍰🍰🍰🍾
Studio imevamiwa na viwavi jeshi duhhh
Happy birthday dearest Dee Mashamsham🎊🎂🎉🎈🥰😘
Hongera dida nakupenda sana mamaa
Tangazo la Serikali la kutosha na kutupya pesa Bora lia ze kwa wasafi watu hawajui ka.a rizki ni pesa pia na ukiifuja, ukiichana ama kuifanya vibaya kwa vyovyote ni kosa. Akamatwe huyu alorusha pesa.
Happy birthday dida pambe tu 👌
Mashaallah
Happy birthday to you Dida
Nivizur lakin msijioneshe zaid kumbuken km kunamasikin wanataman kuwa km nyinyi
Happy baday my dada
Happy birthday my dida
Happy birthday for u 💓 💗 💛 dida
Happy birthday to you baby girl dida
Kali sana hiiii
🔥🔥🔥
Hongera dad
Umbea wote na mdomo Leo imeisha Dida😂😂
Dida mkavu ata machozi ya kujidai😆😆😆😆
Hbd sweet
🔥🔥🔥🔥
Hbd dida
Hbd kipenzi changu
Kama umemuona babu wa tiktok anavochezesha midevu
Happy birthday 🎂🎂 may you live long inshaallah hubibty 🥰
Nc
Yaani nyie watanzania mumshukuru sana mwalimu Nyerere.....aliwaachia urathi wa UJAMAA..... Sisi wakenya tuliachiwa UKABILA......hiyo ndio tofauti ya wa Kenya na Watanzania
Jamani hadirahaaaaaa
Wasafi na kiroboto
Dunia ina mengi
Mi nmemwona babu wa tiktok tu kisauji🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dida UKWEL AKIAMUA KULIA ANASHINDWA MAANA CHOZI LINAHARIBU MEKAP
Babu wa tiktok jmni
@irenekasa7113
2 жыл бұрын
Pateni rahaaaa anaebeza Hana miaaaa
Pambeeee
Radio ya vichaa mtu na akili zake hawezi kukaa kusikiliza hii radio wala kuangali sie vichaa wenzenu ndy mnatupata hasa
@paskalimallya749
2 жыл бұрын
Kwel yaan hasubuh Hadi hasubuhi NI ukichaaa 2uu
Wasafi mnamambo
@florenceelikana3040
2 жыл бұрын
Wanambo kweli
Heee babu WA tiktok 😂
Eti "Eskusive" 🙄🤔😅😅😅
Happybirthday didah
Laki na 60 tuu
Dida tuvute situli tukae tusubili kuachwa
😂😂😂😂
Miwani ya bibie sasa kama bundi
Dida kwakulia
mawani hauvui
@arafaomari1832
2 жыл бұрын
Mbona miwani havui sasa
@zuenaaliy1925
2 жыл бұрын
Somo umeona eee
😂😂😂Diamond platnumz ka cheka sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe u cheke😂😂👀 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/oK58tdace5fNZ8o.html
Anatimiza miaka mingapi?
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@Official83640
2 жыл бұрын
Dida anaigiza kaole mie nasoma sasa mm ninawatoto na nishazeeka sijui yy atakuwaje
@abuyunusmohamed6961
2 жыл бұрын
@@Official83640 anafika 50?hiyo ndio tatizo watanzania wengi hatupendi kutaja umri wetu halisi.Utasikia leo tarehe 22 ni party yangu na umri hataki kutaja
@salomewandya7257
2 жыл бұрын
@@Official83640 🤣🤣🤣🤣
@habibakhalfan1065
2 жыл бұрын
Kumi_na_tisa_wasanii_hawakuii,sisi
Sasa siuvue mawani