"SHILOLE NDIO CHANZO CHA NDOA YAKE KUVUNJIKA SIWEZI KUWA MTU NILIE MZIDI KIPATO" BABALEVO AFUNGUKA

Ойын-сауық

Пікірлер: 24

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485Ай бұрын

    Umalaya tu unawasumbua mama zetu...hiv wakati wote huo kabla ya kuingia na kuish nae kweny ndoa hakujua km hana pesa😢😢😢......shida ukishazoea kuzini na kuhangaika na nyuchi huez kutulia kweny ndoa😢😢😢

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1hАй бұрын

    Dada yangu shishi unawatoto wakike Tena wazuri hebu jitahidi kuwaonyesha watoto heshima ya maisha kubadili wanaume mbele za watoto sio vyema watakua wakijua ni kawaida kusumbuana na kuachana wakati sio Jambo jema

  • @Truheta
    @TruhetaАй бұрын

    Tamaa huwa mwsho wake mbaya Sana

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213Ай бұрын

    Watoto wa kizazi chetu,cjui watakuja kurithi nini aisee🙏🙏🙏🙏🙏tuombeane sna jamani

  • @lydiamsheri4095

    @lydiamsheri4095

    Ай бұрын

    Watarithi tuuu.Ila kukaa na waume wategemezi mhhhh wasirithi

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843Ай бұрын

    Dada uyo alikuwa dada wa kinondoni unategemea nn

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xoАй бұрын

    Wapi uchebeeeee😂 WAPI Snura mushiiiii🤣 ROMI keshafanya jambo lake mtu chaliii kiburi majigambo majivuno yote ya sushi bebe KWISHINEE.🤣🤣

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzaniaАй бұрын

    Umalaya tuu hawa. nao wakiwa na pesa wanajioooona.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044Ай бұрын

    Huyu hata apate anae ishi angan ni bure kabsa

  • @florencerose859
    @florencerose859Ай бұрын

    Kwani huyu Shilole anaachika Kila mara??

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567Ай бұрын

    Wanaume mkipata wanawake wenye maokoto usiwaache wake zenu kwa sababu..........

  • @MisMona-oo6zk
    @MisMona-oo6zkАй бұрын

    Wewe siupo baba levo Kaa hapo uzungushe gurudumu hilo

  • @mfungonishauri4234
    @mfungonishauri4234Ай бұрын

    Uchebe alipombutua muliona shilole aonewa

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211Ай бұрын

    Kisha kuwa mtaro/shimo, anataka nini zaidi?

  • @anosiata8242
    @anosiata8242Ай бұрын

    Shilole ni malaya hafai kuwa mke . Hovyo kabisa

  • @omanoman2044
    @omanoman2044Ай бұрын

    Kashaachwa huyo hata asinge tumiw mme angetamka tuy bas kaachwa

  • @amosihokororo9702
    @amosihokororo9702Ай бұрын

    Kiki flan hv

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470Ай бұрын

    Umalaya mtupu

  • @user-hs1en8dm7n
    @user-hs1en8dm7nАй бұрын

    Sina swihi Talaka ni Talaka hata kama ametamka kwa mdomo madhali hakulewa yuko mzima na ametamka talaka 2 3 4 ni tayari ameshaachika. Kikukweli wasanii wengi hawakai nawaume ndowa wanazichezea jamani Mwenyezi Mungu tutamwambia nini

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    @farhannahkulishwaburekunam5360

    Ай бұрын

    Shilole siku zote anaanza matukio kwa sababu kwa uchebe pia alianza kuwa anarudi nyumbani asubuhi anakunywa pombe uchembe akamuacha kwa hiyo shilole ni jeering na n8 muhuni

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    @farhannahkulishwaburekunam5360

    Ай бұрын

    Anatabia ya kuchit shilole

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360Ай бұрын

    Yaani shilole kaachana na mume kisa hana pesa yupo chini kwani sasa unaj8fanya unautajiri sana wakati wewe umetok huko huko ulikuwa ukiuza maji na madanzi umesahau na pia siku za nyuma ulisema mume akiwanacho hana unachotizama n8 masikil7zan8 sasa leo hii unasema unataka bwana mwenye pesa haya tuone kama atakupa au kunywa bia za bure hapo kila siku na kuanza kurudi nyuma au ndo uchawi wako umekwambia

  • @kdloon2030
    @kdloon2030Ай бұрын

    Mtu anaemfanya baba levo kua msemaji wa familia,mtu huyo kafeli sana kiakili!

  • @YasminYasmin-vj5ih
    @YasminYasmin-vj5ihАй бұрын

    Efa mbona hakai mara anamtu mwinginw Sheria Hz za ndoa dah

Келесі