UTATA! NDOA ya ROSE NDAUKA KUSEMEKENA KUVUNJIKA....
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 20
hz ndoa kwa generation yetu tungeachana nazo tu.
🔥🔥🔥
Yan navyojua mm katk wasaniii wanao jiheahim n rose
Mimi siamini kabisaaaa ni wimbo huoo
Rapu inatafutiwa kiki iyo😂😂😂
Inawausu nn dida juma lukole mbona unaachika kila siku hukai namwanaime juma lukole mbona atujawahi kuona mwanake wako ata siku moja we nimwansume au
Yeye mwenyewe ndoa yamshinda hataiyombea ya mwezie
Siamini jamani wake za kina mkongwa hua hatuachiki wanaupendo sana
Jaman rose ndauka😭😭😭😭😭
Jaman msiachane Kwan mnafanana mnoo Yana isijetokea mnaendana mnooo mnafanana sura
@zaharaomary4711
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Duda jamani we akili huna eti pambe Tu😃😃😃🤣🤣
Sio Kama Ni Kiki. Ndo atoe Nyimbo🤗
@asmahassan5661
2 жыл бұрын
Juz tuu apa wako pmj wanatoa misaada mh
@neemasawe7016
2 жыл бұрын
Ata me na mashaka na rapu zake nahis kiki😂😂😂
Siamn
Hii ndo ile mistar yke mipya
Hahaha kuotana tena🤣🤣🤣
Kama ndoa ndo hivi basi hakuna wanaume jamani kwa kupendana kule
@faithjonathan3845
2 жыл бұрын
Ukiona watu wamapostiana sana ujue chini ya kapeti panafuka moshi. Kama mnapendana na hakuna mnayemrusha roho huwa hakuna haja sana ya kuyaanika mahusiano. Ila kama una wake wenza na waume wenza kibao lazima uyapost sana mapenzi kuonyesha kuwa wewe ndo uko naye zaidi