UHUSIANO WA MWIJAKU NA MENINA, NI KWELI UNATIKISA NDOA YA MWIJAKU?

Пікірлер: 573

  • @rkk3034
    @rkk30344 жыл бұрын

    Following from Kenya...please continue with the 'mahaba' Series Season 2 twaingojea.mwijaku/menina kuna love hapa hata mnavo ongea tu live..love is blind..bora muoane

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын

    MWIKAJU HAKOSAGI KUTAJA RUGE MAREHEMU.. ANYWAY MENINA NI MREMBO SANA

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru18984 жыл бұрын

    MWINJAKU UKIJIELEZEA ISSUE ZAKO USIPENDE KUINGIZA DINI MANA MANENO YAKO YANAKUWA NA UONGO MWINGI UNATUDHALILISHA .

  • @fredmathubejr3547
    @fredmathubejr35474 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimejifunza kitu...tujifunze kuwa na hakiba ya maneno 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @angelbwija9547
    @angelbwija95474 жыл бұрын

    Video za ngono tumezipata kabisa hongera menina na mwajaku 👍👍👍👍👍👍

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu35384 жыл бұрын

    Duuu mwijaku leo hapana kuna kitu behind the scenes unakula boga mwijaku muogope mungu kwa kweli. Yeru macho 😉😉😉

  • @outisblack8568

    @outisblack8568

    4 жыл бұрын

    kama ulitabiri vilee...

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    4 жыл бұрын

    Sijui ulijuaje aisee

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud60974 жыл бұрын

    Hta minina ameonesha dalili kua mna mausiano aliposema unao nafac ya mathnaa.wadhania watu hawaelewi mnacho kimaanisha?

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Yani Nyinyi Sijui Vipi Kazi Yenu Mkiulizwa Mnakimbilia Dini Dini Gani Imewambia Muambatane Mme Wa Mtu Na Bachera Wakati Sio Muda Wa Kazi Wacheni Upumbavu Fanyeni Tu Acheni Kutaja Dini Uku Mioyoni Mwetu Mnaujua Ukweli Malaya Nyinyi Mme Wa Mtu Na Bachela Mbona Amjierewi Nyinyi

  • @ummuhaula1848

    @ummuhaula1848

    4 жыл бұрын

    Awadhi Rajabu hata dini yenyewe hawaijui wanajisemesha tu

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama90164 жыл бұрын

    Maa shaa allah huyu dada mzuri kama mimi

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly49454 жыл бұрын

    Hahaha mke wa mwijaku alikuamini maskin kumbe unambeza tu jamani tusiaminiane aisee ndo naamini leo

  • @lazackbrown1645
    @lazackbrown16454 жыл бұрын

    Huyu mzee muongo sana halafu shetani anamtumia kwa hali ya juu sana ana ujasiri wa kipepo ..Mungu amsaidie

  • @barakajoseph2152
    @barakajoseph21524 жыл бұрын

    Huyu mwijaku ni boyaaa unampangia mtu kwenye mahusiano kenge kweli

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma50464 жыл бұрын

    Dam.message from USA menina.beautiful

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis85564 жыл бұрын

    Dah! Huyu jamaa ni mdhaifu sana aisee! Kwa mtu mwenye akili amegundua kitu, msichana amejaribu kuficha na kusema yupo kwenye mahusiano ila mwanzo nae amesema no comment jamaa nae kwa miwivu mingii amesema msichana hana mwanaume yeye ndio kila kitu chake na muda wote anakuwa nae ili asiweze kifuatwa na mwanaume. Mshawishi mke wako uoe tu mzee ule kihalali uachane na ukapela.

  • @halimatanzani8587

    @halimatanzani8587

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    4 жыл бұрын

    Kiboko

  • @davidcurtis8556

    @davidcurtis8556

    4 жыл бұрын

    @@shanimbaruku2071 umeona sasa nilichokiongea kwamba bora amuoe tu anakataa sio mwanamke wake hala kwa simu yake zipo msg na vd clp alivyokuwa akim.....dah! Hawa wanawake wa uzuri wa kutengeneza shida sana mtoto mdogo ameolewa mara mbili tena na watu wa maana wamemshindwa nani atumuweza sijui, onyo kwa wanaopenda wazuri machoni.

  • @nafuwswedi2465

    @nafuwswedi2465

    5 ай бұрын

    Leo mwijaku amekubali ndugu yangu,angalia Channel ya zamaradi

  • @lewisruchus8234
    @lewisruchus82344 жыл бұрын

    very intelligent and smart presenter....@vido

  • @chunanachu2529
    @chunanachu25294 жыл бұрын

    Nimeamini wanawake mashetani mke anakuamini kumtafuta mume wake kwako kumbe unamzunguka 😯😯sitaki ushoga na bwanangu

  • @neemangubesi4859

    @neemangubesi4859

    4 жыл бұрын

    chuna nachu tena mi staki kabisa

  • @aminaabdiabdi7112

    @aminaabdiabdi7112

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @yshamwilima3301

    @yshamwilima3301

    4 жыл бұрын

    chuna nachu uko km Mimi love sinaga masihara na Bebe ,urafiki ukouko

  • @angelntandu661

    @angelntandu661

    4 жыл бұрын

    Hahahaha utataka tu

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno17964 жыл бұрын

    YANI MWIKAJU MENINA HANA MWANA MUME NA HUTAKI AWE NA MWANA MUME NA MUNAENDA POPOTE WAMUACHILIA USIKU SANANE DAH HAPO KUNA SWALI ????

  • @jacklinemazigo4647

    @jacklinemazigo4647

    4 жыл бұрын

    IF GOD SAY YES. NO BODY CAN SAY NO. Liongo hili jamani siri zimebumbuluka

  • @shabanikitogo6613
    @shabanikitogo66134 жыл бұрын

    Mwenye Akili amuwezi kumdanganya.

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi32214 жыл бұрын

    jmn usimtumie marehemu ruge tena mshenzi ww

  • @lotalinus8094

    @lotalinus8094

    4 жыл бұрын

    Anajifanya ana confidence

  • @cuteme4870

    @cuteme4870

    4 жыл бұрын

    😄😄😄

  • @onelee3872
    @onelee38724 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁uwezi kuruhusu menina atongozwe ausio...aya baba tumeshajua ulichokuwa unakitafuta

  • @humphreynduye6239
    @humphreynduye62394 жыл бұрын

    Meninah hajui bhna,,,,,mahba yenyeww anavulunda tuu

  • @zainabuahmed5910
    @zainabuahmed59104 жыл бұрын

    LAANATULLAH ALEIK UZINIFU NI UZINIFU TU,ADHABU ZA ALLAH KWA MME WA MTU KUZINI ZIPO WAZI NA KINYUME CHAKE NI GHADHABU ZA ALLAH FILL DUNIA WAL-AKHERA

  • @faridabakari8511
    @faridabakari85114 жыл бұрын

    Jee naleoo siamekuha zirisha ...navidio yangono.......SUBHANALLAH watoto wakiislam... ALLAH atuhifadhi

  • @storylovelytv7025
    @storylovelytv70254 жыл бұрын

    Wanawake wengi tunashindwa kuforcus katika kutimiza ndoto na malengo katika maisha ..kutoka na kujichukulia poa.kuna mambo ambayo tunajisahau na laiti tungejua basi wengi tungeweza kuvuka nyakati hatarishi katika kutimiza malengo yetu. Wanaume wanatumia udhaifu wetu kama njia ya kutukwamisha kutimiza ndoto zetu. Laiti tungelifahamu ili basi tusingejichukulia poa.

  • @bintmuhammed..7941
    @bintmuhammed..79414 жыл бұрын

    Mnautia uislam aibu... Hayo sikatka mafundisho ya din yetu... ITAQLLAH... Kuna kufa Jmn

  • @ayansalax4053

    @ayansalax4053

    4 жыл бұрын

    Kweli yako

  • @bintmuhammed..7941

    @bintmuhammed..7941

    4 жыл бұрын

    Wanafanya watu kila kukicha wanawaona waislam niwatu wamaovu tuu kumbe uislam unamkataza mtu namaovu.... Muone namindevu yake 🙄muone uyo Dada nae wallah Allah anawaona

  • @amosmaiko5523

    @amosmaiko5523

    4 жыл бұрын

    Kweli kabsaa washenz Hawa japo kua me so mwislam Ila Hawa wanawaharibia

  • @bintmuhammed..7941

    @bintmuhammed..7941

    4 жыл бұрын

    @@amosmaiko5523 wapuuz tuu wanaendekeza dunia wanasahau kma kuna kesho.... Nawatayakuta yote wayatendayo... Maana saiv wasokua waislam wanachukulia kua waislam ndotabia yao... Subhannallah

  • @aminaabdiabdi7112

    @aminaabdiabdi7112

    4 жыл бұрын

    Hyu Baba kumbe ni balazuli ivi jaman ATA cjaamini

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын

    Mmmmh hatareeee Mbona,Sasa Si hilo ndilo jibu,Menina hana Mume,Wewe ndio Mambo Yote duuh.

  • @angelangel-wq4sx
    @angelangel-wq4sx4 жыл бұрын

    Menina akipenda amependa 😂😂😂😂😂

  • @subirachuttar6490
    @subirachuttar64904 жыл бұрын

    Looooooh!!! Mmejua kuigiza aiseee!!!!Haya tuleteeni Part 2.

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige10564 жыл бұрын

    1 month later..... shit happened! Ila mwandishi kama aliBET hivi

  • @lonelypatientor7348
    @lonelypatientor73484 жыл бұрын

    Za mwizi 40 hapa mliteteana ila Leo mwijaku Rungu la mdhibiti litakudondokea

  • @juliaslengai3323
    @juliaslengai33234 жыл бұрын

    Et huwezi kumruhusu atongozwe na mt yeyote ni wakwako bac

  • @jumamakaja8802
    @jumamakaja88024 жыл бұрын

    Huwa najiuliza sana hivi mapenzi yana kilevi mbona yanalewesha?

  • @aminaabdiabdi7112

    @aminaabdiabdi7112

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙊

  • @queenandchill91
    @queenandchill914 жыл бұрын

    Huyu Menina aliachika au..nae c aliolewa 🤣...kazi ipo

  • @halimatanzani8587

    @halimatanzani8587

    4 жыл бұрын

    Makubwa

  • @paulinamloka2817
    @paulinamloka28174 жыл бұрын

    Wife lazima aone uwivu

  • @salmasaeed9357

    @salmasaeed9357

    4 жыл бұрын

    Wacha wivu lazima aombe talaka

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma46914 жыл бұрын

    Mrembo.dada.salam. from USA your beautiful baby

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14054 жыл бұрын

    daaah hii ndo tulikuwa tuna ambiwa tusubili ndo hiki kimekuja yani we mwijaku boya sana na menina anaoneka alimpenda mwijaku hawa walikuwa wapenzi kweli daaah siyo poa mwijaku

  • @ibrahimabuu8396
    @ibrahimabuu83964 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂mwijaku kamba unazotupiga mungu anakuona

  • @khadijanjama9016

    @khadijanjama9016

    4 жыл бұрын

    Ibrahim Abuu 😃😃😃😃

  • @gregoryadriano724
    @gregoryadriano7244 жыл бұрын

    Mtangazaji yupo vizuri Sana kawabana vizur mpaka sisi wenye akili tumejua kila kitu

  • @nafuwswedi2465

    @nafuwswedi2465

    5 ай бұрын

    Leo kukubali mwinjaku,walikuwa wanazagamuana😂😂😂,angalia Channel ya zamaradi

  • @ozacsic2832
    @ozacsic28324 жыл бұрын

    "His taking a gud care of me"🤣🤣🤣 use Swahili plz. Though somethng isnt right

  • @redemptorbbombo402

    @redemptorbbombo402

    4 жыл бұрын

    Nimeisikia na Mimi.

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud60974 жыл бұрын

    Den unasema ktk wtto wko wte mmoja tu ndo wahalali hv utakaa vp na minina faragha miaka yte bila kuthibirisha tabja yko uliyo izowea?mcheni Mungu na mseme ukweli.bora muowane

  • @shummylove4611
    @shummylove46114 жыл бұрын

    Nampenda sana menina Hata nguo zake nizakujieshimia Maranyingi Maasha Allah

  • @salhaally4405

    @salhaally4405

    4 жыл бұрын

    shummy love pia abani sauti

  • @sautiyahamasaonlinetv6139

    @sautiyahamasaonlinetv6139

    4 жыл бұрын

    😂

  • @kiulungmsomali8445

    @kiulungmsomali8445

    4 жыл бұрын

    Aliekuambia ni nguo za sitara ni nani soma ujuwe sitara ya mwanamke ni nani acha kukurupika hayo alovaa ni mavazi ya kimalaya!

  • @shummylove4611

    @shummylove4611

    4 жыл бұрын

    @@kiulungmsomali8445 Ameniabisha mtu wangu nilikuwa nampenda yaajabu

  • @sautiyahamasaonlinetv6139

    @sautiyahamasaonlinetv6139

    4 жыл бұрын

    eti nguo za stara😂😂😂😂

  • @martinkarata1097
    @martinkarata10974 жыл бұрын

    Kitu Ambacho nakukubali Vido unajua jinsi ya kumhoji mtu vizuri na akaingia kwenye kumi na nane

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks84944 жыл бұрын

    utaambia nini watu mwijaku sasa video yako na menina ya utupu inasambaa🤔🤔🤔🤔🤔

  • @user-kw6or5hb2z

    @user-kw6or5hb2z

    4 жыл бұрын

    😅😅😅 Watu wanatafuta Exc za Watu awa wawili

  • @shiksshiks8494

    @shiksshiks8494

    4 жыл бұрын

    @@user-kw6or5hb2z 😂😂😂😊

  • @bettymassanja881

    @bettymassanja881

    4 жыл бұрын

    Carol Praise, Mungu hadanganywi na wala hadanganyiki.

  • @shiksshiks8494

    @shiksshiks8494

    4 жыл бұрын

    @@bettymassanja881 kabisa my sista

  • @billalphilip5776

    @billalphilip5776

    4 жыл бұрын

    Meninah anamsaidia majukumu 😂😂😂 hadi mwaka 2021

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani75194 жыл бұрын

    Vido nakupendaga Sana we mkaka yn mpk bs

  • @kimarioerasmi2687
    @kimarioerasmi26874 жыл бұрын

    Hata Mimi hata kama nimeoa ..mtoto mzuri kama huyo ningemuacha je huyo ...wanashindwa mafather sembuse mwijaku ...hongera Brook

  • @babadiamondplatnumzdudulay3675
    @babadiamondplatnumzdudulay36754 жыл бұрын

    😂😂😆😆menina sio wako ni wangu

  • @wolfgangkichai8577
    @wolfgangkichai85774 жыл бұрын

    😳😳😳😳mkewe pole yake. that b. Is after some.

  • @yshamwilima3301
    @yshamwilima33014 жыл бұрын

    Hata mie naona waibua kipaji,shame on you two people Allah anawamulika,mnatufanya tusiwe tunawaamini

  • @aisatahaisatah2612
    @aisatahaisatah26124 жыл бұрын

    Unachoongea mwajaku nikweli kunamtu hawezi kushika vitu viwili akaweza Mapenzi nakazi inabidi ushike kutu ki1

  • @timcee2670
    @timcee26704 жыл бұрын

    Hayo maneno ya kanga, hapo lazima mwijaku anakula mzigo, vile mtoto menina vile alivoumbika akyanani kiwanda kinajaa hata tu mkigusana, kiwanda kikijaa lazima kipunguzwe

  • @bhokerappah4823
    @bhokerappah48234 жыл бұрын

    Hapo kwenye exclusive sasa Ndo pametimia asanten kwa bonge moja la Exclusive

  • @KladesKladseee
    @KladesKladseee4 жыл бұрын

    huyu dada mrembo kisura na vdo yake ya utupu maumbile yake mbaya mapaja mlima na mabonde yani hawa ni wazuri kwa nguo ila uchio wao uuuufffffff

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36184 жыл бұрын

    Mwijaku kila kitu akihojiwa anamuhusishaRuge, hata akiwa na mchepuko wake akiulizwa atajibu "Nafuata nyayo za Ruge, Ruge aliniambia nifanye hivyo"

  • @K25795

    @K25795

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @theafricanprincevivecongo8632

    @theafricanprincevivecongo8632

    4 жыл бұрын

    Victor Cephas 🤣🤣😂😂😂

  • @halimatanzani8587

    @halimatanzani8587

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @mwanashasalimu8465
    @mwanashasalimu84654 жыл бұрын

    Mmmmmmh mwijaku ulijueje km menina akipenda amependa wachaa kutufanya c wtto bwana endelea kula mzigo bwana

  • @saunakatauyanawausufanyeni9504

    @saunakatauyanawausufanyeni9504

    4 жыл бұрын

    Mwanasha Salimu mwiijaku acha uwongo muogope mungu we si unaswali wewe ? unamzalilisha mtoto wa watu

  • @salmasaeed9357
    @salmasaeed93574 жыл бұрын

    Ulijuaje kma menina ni weak kwenye mapenzi mmmh ww wacha wivu siuna mkeo

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry80114 жыл бұрын

    Kweli ndo umeonesha mahusiano kweli kweli umoumo nakumla menina

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili2414 жыл бұрын

    Siri ya mtungi yajulikana na kata 😁

  • @shanimbaruku2071

    @shanimbaruku2071

    4 жыл бұрын

    Ama kweli

  • @beninternationaltv3136
    @beninternationaltv31364 жыл бұрын

    Mwijaku mshenzi sana maneno mengi ya uwongo

  • @allenstima5050
    @allenstima50504 жыл бұрын

    Tuliyoyatarajia tumeyaona kweliii...!!! 😂😂😂

  • @francismhilu2936
    @francismhilu29364 жыл бұрын

    ili li mwijaku liongo..tang anapozd kuendlea na interview anadhihirish ni mwongo wa chinchin hao wana yao amna kaz

  • @salmasaeed9357

    @salmasaeed9357

    4 жыл бұрын

    Kabisaaa muongo sanaa hakuna kazi hpo zaidi ya mahaba

  • @burudatv751

    @burudatv751

    4 жыл бұрын

    Francis Mhilu duh!!!! mzee ulijuajee!!!?

  • @francismhilu2936

    @francismhilu2936

    4 жыл бұрын

    @@burudatv751 unajua hawa jamaa walikuwa wanadanganya sana na mwanamke wa mwijaku anaumia sana MUNGU ameona watu wajue wanachofanya n dhamb.ukifuatlia hyo interview menina anasem mwanaum wake anazngumz vzr na mwjak na n marafik alf mwjku anakataa apo apo bla kujua..hpo wawatafute sasa watangazaj. utaon watakavyotukanan..mwjku amezngua sana yn mze bb

  • @mfumbuzionlinetv
    @mfumbuzionlinetv4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 tayari huko😁😂😂😂

  • @nurathhassan7323
    @nurathhassan73234 жыл бұрын

    Menina msenge sana kuma ww kumbe Malaya ulijipelekesha mwenyew acha akusambaze pumbavu

  • @abuyabally5086
    @abuyabally50864 жыл бұрын

    kweli mpk melengo yenu yatimie yametimia mtu wapeponi leo umekua wa jehannamu usimchezee molaa sasa kazi gani ina mkataba na maisha binafsi ya mtu eti asiwe na boyfriend sasa niwakati wa ww kuliwa mkeo ili uone raha yakula vya watu tumbo kubwa kama kibamia

  • @pierreadams3114
    @pierreadams31144 жыл бұрын

    Yan meninah alithibitisha uhusiano wao kitambo kwl

  • @manizobizness1052
    @manizobizness10524 жыл бұрын

    Harmonize never give up hip-hop cover Kutoka kwa Manizo Bizness kuangalia ipo KZread channel 👇👇👇👇👇👇#Manizobizness

  • @arunamwaholi1351
    @arunamwaholi13514 жыл бұрын

    Mwijaku unakula mwenyewe huyo mtoto huwezi mpangia mashart kibao wakati mtu mzima huyo usitufanye watoto

  • @outisblack8568
    @outisblack85684 жыл бұрын

    3:06 inatosha.

  • @samanthaali873
    @samanthaali8734 жыл бұрын

    😂😂😂😂Anajua kujitetea lakini sheria wa 4 muoe mzuri kweli huyo Dada

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796

    4 жыл бұрын

    KABISA

  • @jeniphakitosi3270
    @jeniphakitosi32704 жыл бұрын

    Umejuaje. Anapenda mazima

  • @marymonjemghalu9362

    @marymonjemghalu9362

    4 жыл бұрын

    Hawa watu ni wapenzi

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle7954 жыл бұрын

    Mmmmmmh mwijaku akili huna ndo mana nywele kichwani huna ona umememuaibisha mdada wa watu fala wewe mxiuuùuuuuu yaaaani wewe wakupigwa rungu kichwani.

  • @nduguviongozi6584
    @nduguviongozi65844 жыл бұрын

    Daa eti hujawahi kuzini. Hapo hapo unasema una ndoa ya mwaka mmoja na miaka 9 ya kabla ya kuoa ina maana huyu mwanamke amezini nae miaka 9, Innalilah lillah wainna Ilala rajoun. Huyo mtoto mmoja amepatikanaje ndani ya ndoa ya mwaka mmoja na mtoto huyo ana umri gani??? Kweli Mtume wetu Muhammad s.a.w alivyosema katika Tirmith kuwa mtu mwenye kuongea sana mameno yasiyompendeza Mwenyezi Mungu kwa muda mwingi atakuwa amekula hasara kubwa mno hapa duniani,kaburini na siku ya kiyama. Sasa mfuatilieni mwijaku interviews zake utaona hiki kilichosemwa na Rasulillah

  • @terrygasper9707
    @terrygasper97074 жыл бұрын

    Wataoan hahaha nimejiongeza vijoooo

  • @epifaniamponda4491
    @epifaniamponda44914 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Huwezi ruhusu atongozwe akipenda anapenda mazima 😂😂😂😂😂😂😂 brother umejuaje Hapa panakitu

  • @sabrahmashema842

    @sabrahmashema842

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 nilikuwa natafuta hii comment

  • @Diamondvideomix
    @Diamondvideomix4 жыл бұрын

    Analiwa huy mamae 😂😂😂

  • @dn.n4983
    @dn.n49834 жыл бұрын

    Inaonekana hata kws sura lakini kazuri sana msaidia mtafika mbali mbarikiwe

  • @aliyambarak5024
    @aliyambarak50244 жыл бұрын

    Alichekesa sana ,kisha akakuliza sanaa.

  • @loyceackim4296
    @loyceackim42964 жыл бұрын

    Haya sasa sema Menina umeongezwa sasa

  • @msasaniboyrais598
    @msasaniboyrais5984 жыл бұрын

    Kweli hiyo misingi ya Marehemu ndio hiyo hiyo

  • @jamesmbembela5723
    @jamesmbembela57234 жыл бұрын

    Kwa hili mwijaku umeongea pumba

  • @aminaabdiabdi7112
    @aminaabdiabdi71124 жыл бұрын

    Muongo sana hyu Baba ATA hko police wajipange vizr maana sio Kwa kutudanganya hko ati we ni msafi hujawai kuzini daah mungu amekchapa kwa kiboko ingine mbaya sana I wish ungeonekana ATA kasura 2 kidogo tuone ulivokua umekunja huo msura wako mmbaya

  • @thamiyuucute7098
    @thamiyuucute70984 жыл бұрын

    Chefuuuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂bichwa kam dafuuu

  • @Sppah697
    @Sppah6974 жыл бұрын

    Kumbe wewe ndo unatoka naye! Wewe mtu akaye bila uhusisno mpaka 2021, ya kweli hayo!! Na yeye ni Mwanamke ana mahitaji yake! Sasa tunapata picha!

  • @jescamassawe2519
    @jescamassawe25194 жыл бұрын

    mhhhhhhh mpuuzi huyu mwijaku menina hahahahaha acha nicheke wapuuzi wote

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince34594 жыл бұрын

    TOP 5 ZILIZOTIKISA BONGO ( Kukata kuni). 1. MENINA 2. AMBERUTTY 3.NANDI 4. WEMA 5.ni wewe hii nafasi ya mwisho.

  • @suleimanalawy8512

    @suleimanalawy8512

    4 жыл бұрын

    The p Determine 5. Gwajima

  • @salehsaleh548
    @salehsaleh5484 жыл бұрын

    Huyu jamaa anamasifaaa 😂😂😂😂

  • @nadhifajuma6485
    @nadhifajuma64854 жыл бұрын

    😀😀😀😀aliyemuona mwijaku anajichanganya kuhusu mahusiano na menina tujuane🤙🤙🤙🤙🤙

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6244 жыл бұрын

    Pole madam menina 😧

  • @karimsolyambingu6335

    @karimsolyambingu6335

    4 жыл бұрын

    Munira Ahmed uhali gani Mama?

  • @karimsolyambingu6335

    @karimsolyambingu6335

    4 жыл бұрын

    Hello

  • @mohamedlamimu

    @mohamedlamimu

    4 жыл бұрын

    Mambo Munira?

  • @hassanissa4792
    @hassanissa47924 жыл бұрын

    mwijaku bhna , jibu jibu moja lenye maana ya maneno yako yote kama menina

  • @susans4490
    @susans44904 жыл бұрын

    Eti anaweza kuongeza mathna!🙄😳😜 mwenzio amesubiri 8 or 9 yrs kuolewa 😂😂

  • @emmanuelayall5029
    @emmanuelayall50294 жыл бұрын

    Alipevuka kwelikweli😂😂😂

  • @eneolatukio8493
    @eneolatukio84934 жыл бұрын

    Kichwa pumbu, kumbe linatabia mbaya hili khaa😏

  • @reginamrosso5443

    @reginamrosso5443

    4 жыл бұрын

    mwijaku kapiga hiyo menina wasitufanye wajinga

  • @snuramohd8309

    @snuramohd8309

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 nacheka lakin kwa hacra

  • @hawa4968

    @hawa4968

    4 жыл бұрын

    Kichwaaa nini?

  • @snuramohd8309

    @snuramohd8309

    4 жыл бұрын

    Kichwa pumbu😂

  • @hawa4968

    @hawa4968

    4 жыл бұрын

    @@snuramohd8309 hahaha dunia hiii waswahili walisema msoo hili ana lilee nikustiriana tuu

  • @jeannetteholbrook6958
    @jeannetteholbrook69584 жыл бұрын

    Police inakuhusu maneno mengi bro kumbe hamna kitu huna tofauti na umber ruth

  • @finna5970
    @finna59704 жыл бұрын

    Nyoooo Kumbe mpuuzi weye, wewe Una ndoa, halafu unamuonea menina wivu, Eti asiwe na mahusiano, kweli ulimtawala Mpaka akajichukua hizo video, baada ya Menina Kuwa na mahusiano, wivu ukakusakama, na huku una mke, Mungu anakuona sasa

  • @nuludinmbwambo7705
    @nuludinmbwambo77054 жыл бұрын

    Huyo nimalaya hawezi kukuambia ukweli wote wamekutana,wanachafuwa kizazi kijacho Hakuna Heshima huyo nifala.ningekuwa mkubwa wabasta wote ningeweka ndani

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi32214 жыл бұрын

    yaan bongo usisikie mkeo yupo kwenye project na mtu haaa sikubali jmn

  • @janetwandeharris3934
    @janetwandeharris39344 жыл бұрын

    Mbona huyo dada alsemwa atoka na diamond? ? Msimuumize Tanasha kwa uzushi wenu! Mmuache mtoto wa watu ajifungue salama MENINA KOMAAA

  • @nassirmasoud6097
    @nassirmasoud60974 жыл бұрын

    Kwa maelezo yko Majakwa ww uko na uhusiano wa kimapenzi nae.kwani minina hasia yke umeiweka ww?vp akae mpka baada mkataba wko.

  • @givenjunior3559
    @givenjunior35594 жыл бұрын

    Hahahaha we mwijaku fala sana hutaki awe na bwana kwann sasa km hummegi uyo dem unamla bana hehehe

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani75194 жыл бұрын

    Wap juma lokole mwijaku kaz unayo

  • @yusuphanyitike213
    @yusuphanyitike2134 жыл бұрын

    Mwijaku msenge tu uyo