MCH HANANJA ATOA FUNDISHO KWA MWIJAKU, KUHUSU NYUMBA, UTAPENDA MANENO YAKE
Жүктеу.....
Пікірлер: 74
@rashidkihunga29386 ай бұрын
mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho
@SeewaMwaka6 ай бұрын
Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
@joslinchuwa12986 ай бұрын
Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza
@ASALABOY6 ай бұрын
Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍
@user-ip4fc6et6v6 ай бұрын
Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha
@user-up2ef7dc6k6 ай бұрын
Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯
@fidelfidel-jz4iw6 ай бұрын
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
@williammbuzimai57446 ай бұрын
Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,, Hategeki kizembe.
@joshuamuro9494
6 ай бұрын
Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂
@user-ui1qs9yl1n
2 ай бұрын
HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE
@user-uh2yu5sp5c6 ай бұрын
Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲
@christopherjoseph83306 ай бұрын
Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂
@joshuamuro9494
6 ай бұрын
😂😂😂 hatari Sana
@aloycemathew39266 ай бұрын
Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤
@emmanuellwinga56866 ай бұрын
Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha
@emanuelvenanc8686
6 ай бұрын
sai kabisa
@paschaljoseph24126 ай бұрын
Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!
@clevermgedzi47086 ай бұрын
Baba hananja nimekuelewa Safi sana
@mussayusuph65686 ай бұрын
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
@izobinyoizobinyo6 ай бұрын
Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana
@FridaUrassa-pj7yt6 ай бұрын
NIMEKUKUBALI KWA 100%
@PhortunataChilumba-dt4dh6 ай бұрын
Mungu akuzidishie majumba
@muhdybrown90836 ай бұрын
Huyu mtangazi yupo vizuri
@moseskulola69136 ай бұрын
Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB
@AmaniCosmetix3 ай бұрын
Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake
@paschaljoseph24126 ай бұрын
Nitano tena mchungaji Hanaja!
@musason16806 ай бұрын
Mchungaji wangu bora
@odilomwemeziernest6466 ай бұрын
Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu
@clouartmichael72966 ай бұрын
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
@bahatimwaigaga59476 ай бұрын
❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi
@user-zd5pc5nc9c6 ай бұрын
Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.
@samsonhamery3809
6 ай бұрын
Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.
@user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын
NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA
@user-uo5dp7hw8x6 ай бұрын
Hongera mchungaji
@abubakarimchani83626 ай бұрын
Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe
@PhortunataChilumba-dt4dh6 ай бұрын
Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji
@GeraldDanieltarimo-ke3ik6 ай бұрын
Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii
@BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын
Nakupenda baba
@caissemalatinho2526 ай бұрын
Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini
@martinmuthii1900
6 ай бұрын
😁👏
@angellomarcel56776 ай бұрын
Eti ...Mwijaku kama Pacome😅 Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri
@KennethMgona-jy4vc6 ай бұрын
🎉🎉
@deathrow80046 ай бұрын
❤
@Satier476 ай бұрын
Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@allyndabe24586 ай бұрын
hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿
@joshuamuro94946 ай бұрын
Amen!!
@teedullah57086 ай бұрын
Imekuwa kizaza a na mediya ya tz
@mwanjaaseif52296 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@josephanthon80376 ай бұрын
Mchungaji uko poa sn
@user-sj1ee8of7z6 ай бұрын
Sanaaa
@muharamiesther59086 ай бұрын
❤❤❤
@ramadhanimtiba8346 ай бұрын
Naomba namba yake
@VeronicaRugoyi6 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉🎉
@emanuelvenanc86866 ай бұрын
salama kabisa
@AbdulmalikFedrick-ct7nb6 ай бұрын
Mchungaji nakupenda sana Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa Shekh mkubwa Tanzania
@daudimichael7338
6 ай бұрын
Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂
@elsonkingtz4506
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mangaluzacharia3511
6 ай бұрын
Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam
@jpmanotaofficial639
6 ай бұрын
Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko
@martinmkoba361
6 ай бұрын
Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu
@katabaroonlinetv96886 ай бұрын
Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri
@ahmadamohamed1907
6 ай бұрын
Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana
@katabaroonlinetv9688
6 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi
@saumusalimuhassan24996 ай бұрын
Yuko sawa uyu Baba
@francismanda746 ай бұрын
Pacome 😂😂😂😂
@khadejarajab80076 ай бұрын
Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂
@Maryc2G6 ай бұрын
Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.
@user-sw1kn2sv8j6 ай бұрын
Vizuli baba
@user-zk7td5bp5i6 ай бұрын
Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu
@daudimichael7338
6 ай бұрын
Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂
Пікірлер: 74
mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho
Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi
Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza
Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍
Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha
Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯
Mungu akubaliki mtumishi wa mungu
Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,, Hategeki kizembe.
@joshuamuro9494
6 ай бұрын
Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂
@user-ui1qs9yl1n
2 ай бұрын
HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE
Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲
Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂
@joshuamuro9494
6 ай бұрын
😂😂😂 hatari Sana
Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤
Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha
@emanuelvenanc8686
6 ай бұрын
sai kabisa
Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!
Baba hananja nimekuelewa Safi sana
YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA
Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana
NIMEKUKUBALI KWA 100%
Mungu akuzidishie majumba
Huyu mtangazi yupo vizuri
Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB
Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake
Nitano tena mchungaji Hanaja!
Mchungaji wangu bora
Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu
Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....
❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi
Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.
@samsonhamery3809
6 ай бұрын
Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.
NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA
Hongera mchungaji
Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe
Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji
Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii
Nakupenda baba
Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini
@martinmuthii1900
6 ай бұрын
😁👏
Eti ...Mwijaku kama Pacome😅 Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri
🎉🎉
❤
Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿
Amen!!
Imekuwa kizaza a na mediya ya tz
🎉🎉🎉🎉
Mchungaji uko poa sn
Sanaaa
❤❤❤
Naomba namba yake
❤❤❤❤🎉🎉🎉
salama kabisa
Mchungaji nakupenda sana Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa Shekh mkubwa Tanzania
@daudimichael7338
6 ай бұрын
Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂
@elsonkingtz4506
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@mangaluzacharia3511
6 ай бұрын
Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam
@jpmanotaofficial639
6 ай бұрын
Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko
@martinmkoba361
6 ай бұрын
Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu
Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri
@ahmadamohamed1907
6 ай бұрын
Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana
@katabaroonlinetv9688
6 ай бұрын
@@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi
Yuko sawa uyu Baba
Pacome 😂😂😂😂
Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂
Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.
Vizuli baba
Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu
@daudimichael7338
6 ай бұрын
Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂
@elsonkingtz4506
6 ай бұрын
Wanao mjua yesu Raha Sana, sio kama hao majini😊
@polycarpykavishe9001
6 ай бұрын
Yaani atoke sebuleni aende chooni..!?