MCH HANANJA ATOA FUNDISHO KWA MWIJAKU, KUHUSU NYUMBA, UTAPENDA MANENO YAKE

Пікірлер: 74

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga29386 ай бұрын

    mungu atulinde umeongea vema .watu wameja wivu wa maendeleo.mwijaku hongera sana kula chuma hicho

  • @SeewaMwaka
    @SeewaMwaka6 ай бұрын

    Mtumiahi uko vzuri,,yaani umekuwa tofauti na muulia maawali,hapo alitaka ujibu tofauti halafu amlete mwijaku kwa Mia ya kuwachonganisha,ubarikiwe sana mtumiishi

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa12986 ай бұрын

    Yaani wewe Baba Mungu akutunze una hekima iliyopitiliza

  • @ASALABOY
    @ASALABOY6 ай бұрын

    Baba asante sana kwa Nondo zako uwa najengea ufaamu Changu🌍🌍

  • @user-ip4fc6et6v
    @user-ip4fc6et6v6 ай бұрын

    Napenda mahubiri ya huyu mchunganji ..anahimiza sana Kwa maisha

  • @user-up2ef7dc6k
    @user-up2ef7dc6k6 ай бұрын

    Baba uko very nimekupenda bure Yani umejibu ipasavyo ujakosea hongera cn baba❤🌹💯

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw6 ай бұрын

    Mungu akubaliki mtumishi wa mungu

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai57446 ай бұрын

    Wanahabari wakorofi kwa maswali njooni kwa huyu mchungaji,, Hategeki kizembe.

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    6 ай бұрын

    Kbsaa kwanza hakupi muda kuuliza maswali ya anakipaji chakujibu kile unawaza kuliza hatimaye unabaki kuitikiatu😂😂

  • @user-ui1qs9yl1n

    @user-ui1qs9yl1n

    2 ай бұрын

    HUYU BABA HUYU MZEE NI KAMA KOMPUTA ZA CORE NA HARD DISC ZA SSD YUKO SPEED NA KUMBUKUMBU KINOMA NA ANAJUA BIBLIA UKIENDA KUMUHOJI HUYU JITAYA LISHE

  • @user-uh2yu5sp5c
    @user-uh2yu5sp5c6 ай бұрын

    Baba Asante kwa mawaidha na wosia fln ndani yake 🤲

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph83306 ай бұрын

    Mchungaji nakubariki😊 unajibu swali kabla hujaulizwa na mtangazaji, unampa wakati mgumu 😂😂😂

  • @joshuamuro9494

    @joshuamuro9494

    6 ай бұрын

    😂😂😂 hatari Sana

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew39266 ай бұрын

    Pastor yangaa tumekosomaaaa😂😂😂❤

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga56866 ай бұрын

    Huyu ni moja kati ya watumushi wenye hekima ya kufundisha

  • @emanuelvenanc8686

    @emanuelvenanc8686

    6 ай бұрын

    sai kabisa

  • @paschaljoseph2412
    @paschaljoseph24126 ай бұрын

    Mchungaji Hanaja kwa nn usigombee uraisi Tanzania baba 😂😂😂!

  • @clevermgedzi4708
    @clevermgedzi47086 ай бұрын

    Baba hananja nimekuelewa Safi sana

  • @mussayusuph6568
    @mussayusuph65686 ай бұрын

    YAN MM KATIKA WACHUNGAJI WOO TE SIJAONA KM HUYU MZEE YAN HAPINDISHAGI MAANDIKO NA HAYUKO KWENYE DINI KIMASLAHI ila MWANDISHI KATAHAYARI HAKUPATA ALICHO KITAKA

  • @izobinyoizobinyo
    @izobinyoizobinyo6 ай бұрын

    Old boy huyu akili kubwa sana kupata new generation yenye upeo hivi ngumu sana bila kujali kiwango cha elimu. Big Up Mch Hananja kila upeo mkubwa sana

  • @FridaUrassa-pj7yt
    @FridaUrassa-pj7yt6 ай бұрын

    NIMEKUKUBALI KWA 100%

  • @PhortunataChilumba-dt4dh
    @PhortunataChilumba-dt4dh6 ай бұрын

    Mungu akuzidishie majumba

  • @muhdybrown9083
    @muhdybrown90836 ай бұрын

    Huyu mtangazi yupo vizuri

  • @moseskulola6913
    @moseskulola69136 ай бұрын

    Muchuganji unasema point kabisa wagine wameubwa kuchekesha tu.ukiziona sura zao tu mfano kingwendu HB

  • @AmaniCosmetix
    @AmaniCosmetix3 ай бұрын

    Ua namuelewa sana ananja kwakweli apewe mauayake

  • @paschaljoseph2412
    @paschaljoseph24126 ай бұрын

    Nitano tena mchungaji Hanaja!

  • @musason1680
    @musason16806 ай бұрын

    Mchungaji wangu bora

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest6466 ай бұрын

    Sasa pasta na mambo ya mwijaku wapi na wapi,mnakosea adabu,alafu pasta si kila utakaloulizwa na mwandishi utajibu

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael72966 ай бұрын

    Mchungaji ubatakiwa kuonya hao wakidunia hata hivyo wanavyovifany acha kuunga mkono , 2 Thimotheo 3:16 na wamewekew hukumu siku ya mwisho Mithali 19:29 hiyo mizaa Mungu hapendi ,usiunge mkono hao ,Bali waonye hayo wanayoyafanya na kuwasifia wanaume na kujigamba na matukano...usienende kama vile mataifa wanavyoenenda Warumi 12:2 ....

  • @bahatimwaigaga5947
    @bahatimwaigaga59476 ай бұрын

    ❤❤❤❤ uko vizuri mtumishi

  • @user-zd5pc5nc9c
    @user-zd5pc5nc9c6 ай бұрын

    Mzee kakwepa Kila swali la kinafki,,,,,,! Jamani tusome psychology.

  • @samsonhamery3809

    @samsonhamery3809

    6 ай бұрын

    Kweli Mchungaji hananja huwezi kumtega swali. Kabla hujamaliza swali kisha jua lengo lako,Ishajua unakoelekea,ishajua unachotaka kumaanisha. Ukimaliza tu swali majibu ya hekima yanamtoka kama computer.Mpeni maua yake.

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n2 ай бұрын

    NIMEPENDA HAYA MANENO MUOMBEE ALIYEBALIKIWA UTABALIKIWA MLAANI ALIYEBALIKIWA UTALAANIWA

  • @user-uo5dp7hw8x
    @user-uo5dp7hw8x6 ай бұрын

    Hongera mchungaji

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani83626 ай бұрын

    Safi sana mkuu uko vizuri sana ubarikiwe

  • @PhortunataChilumba-dt4dh
    @PhortunataChilumba-dt4dh6 ай бұрын

    Huyu mchungaji zaidi ya mchungaji

  • @GeraldDanieltarimo-ke3ik
    @GeraldDanieltarimo-ke3ik6 ай бұрын

    Lakini umasikini nikitukibaya sn, mbonakunawatu wanapesa hawajitangazi? Waache ushoga wewehatakama inathamani ya tilion,unatangaza nn? Huoniumasikinii

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb6 ай бұрын

    Nakupenda baba

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho2526 ай бұрын

    Na nyie wandishi wa habari ayo manbo waulizeni wajinga wezenu sio watu wadini

  • @martinmuthii1900

    @martinmuthii1900

    6 ай бұрын

    😁👏

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel56776 ай бұрын

    Eti ...Mwijaku kama Pacome😅 Ila ki ukweli namkubali huyu Commentator huwa Interview zake ziko vizuri

  • @KennethMgona-jy4vc
    @KennethMgona-jy4vc6 ай бұрын

    🎉🎉

  • @deathrow8004
    @deathrow80046 ай бұрын

  • @Satier47
    @Satier476 ай бұрын

    Mzee mch ❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @allyndabe2458
    @allyndabe24586 ай бұрын

    hongera mwijaku kwakupiga mwingi kaka mpaka shem kakupa ghorofa dah namimi wacha nianze maufundi ili nipate mjengo hamidu city mikwambe kigamboni dar TZ🇹🇿

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro94946 ай бұрын

    Amen!!

  • @teedullah5708
    @teedullah57086 ай бұрын

    Imekuwa kizaza a na mediya ya tz

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif52296 ай бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @josephanthon8037
    @josephanthon80376 ай бұрын

    Mchungaji uko poa sn

  • @user-sj1ee8of7z
    @user-sj1ee8of7z6 ай бұрын

    Sanaaa

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther59086 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @ramadhanimtiba834
    @ramadhanimtiba8346 ай бұрын

    Naomba namba yake

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi6 ай бұрын

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @emanuelvenanc8686
    @emanuelvenanc86866 ай бұрын

    salama kabisa

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb6 ай бұрын

    Mchungaji nakupenda sana Na mungu akufanyieni wepesi inshallah uwe muisilam ujekuwa Shekh mkubwa Tanzania

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    6 ай бұрын

    Hapo pakuwa Muislam ndiyo umekosea, amuache Yesu Kristo aliyehai amfuate Muhammad aliyekufa na yupo kaburini mpaka leo? Fikiria upya.😂

  • @elsonkingtz4506

    @elsonkingtz4506

    6 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mangaluzacharia3511

    @mangaluzacharia3511

    6 ай бұрын

    Huko aliko apige kazi ya MOLA haihitaji awe muislam

  • @jpmanotaofficial639

    @jpmanotaofficial639

    6 ай бұрын

    Anaujuwa uislamu vizuri ndomana hawezi kuja huko

  • @martinmkoba361

    @martinmkoba361

    6 ай бұрын

    Ata yeye anakuombea wewe uje uijue neema ya mungu

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv96886 ай бұрын

    Hananja hujawahi kukosea pokea Maua yako kwa majibu mazuri

  • @ahmadamohamed1907

    @ahmadamohamed1907

    6 ай бұрын

    Yy si binaadamu ?yuko vizuri 2 Ila usiseme hajawahi kukosea. Mm namkubali Sana huyu mzee sana

  • @katabaroonlinetv9688

    @katabaroonlinetv9688

    6 ай бұрын

    @@ahmadamohamed1907 huenda hatujaelewana kiswahili ni chetu lakini tunakipa tafsiri tofauti kwenye maisha mkamilifu ni mungu lakini Mimi nazungumzia speech zake wala sio maisha yake bonafsi

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24996 ай бұрын

    Yuko sawa uyu Baba

  • @francismanda74
    @francismanda746 ай бұрын

    Pacome 😂😂😂😂

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab80076 ай бұрын

    Vijana na nyie wavurugeni na nyie mpewe nyumba hongera sana mwijaku acha wapige kelele😂😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G6 ай бұрын

    Hata mimi Nampongeza Mwijaku kwa ujenzi wa nyumba.

  • @user-sw1kn2sv8j
    @user-sw1kn2sv8j6 ай бұрын

    Vizuli baba

  • @user-zk7td5bp5i
    @user-zk7td5bp5i6 ай бұрын

    Namkubali sana uyu ananja ira, Namkalibisha kwenye Usilamu

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    6 ай бұрын

    Mtafute umuhubirie Uislam ni nini, akufundishe na kukuonyesha Uislam siyo dini ya Mungu, ni ya Muhammad tu.😂

  • @elsonkingtz4506

    @elsonkingtz4506

    6 ай бұрын

    Wanao mjua yesu Raha Sana, sio kama hao majini😊

  • @polycarpykavishe9001

    @polycarpykavishe9001

    6 ай бұрын

    Yaani atoke sebuleni aende chooni..!?

Келесі