SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA - IRENE PAUL

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 63

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 Жыл бұрын

    Fahar wawil hawaishi zizi moja yeye na zamarad wote nimageniuos lazima wapite njia mbili tofaut big up

  • @bahathmuro7145
    @bahathmuro7145 Жыл бұрын

    Hata wamseme vipi Zamaradi but kwangu ni the best on I appreciate her

  • @husainsmith3103
    @husainsmith3103 Жыл бұрын

    Irene Paul she's like angelina jollie I like her

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    Wanafanana sana

  • @puregamers4215

    @puregamers4215

    Жыл бұрын

    Never ever

  • @puregamers4215

    @puregamers4215

    Жыл бұрын

    Usilinganishe Joe na kuku was tandale

  • @malak-lz6kx

    @malak-lz6kx

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @zozokulwa1627

    @zozokulwa1627

    Жыл бұрын

    @@puregamers4215 😆😆😆

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Жыл бұрын

    Am Tz 🇹🇿💋dunia ni mapito samehe usamehewe ❤🍭

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Жыл бұрын

    Hapa ukichunguza sana zamaradi hapendagi azidiwe anapenda yeye ndio awe kinara watu anaokuwa nao wawe nyuma kama mkia ndicho anachotaka.

  • @restitutalucian78

    @restitutalucian78

    Жыл бұрын

    Unauhakika

  • @lovemusicnoreen9185

    @lovemusicnoreen9185

    Жыл бұрын

    Ewaaaaa kuna shidaa Kwa zama na inaonekana anapenda kunyenyekewa na kua juu ya wenzake

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719
    @jescalutegonsombnambyakoda6719 Жыл бұрын

    Zamarad atakuwa anamatatizo haiwezakan kila mtu anamkataa Irene sio mtu Wa media

  • @lovemusicnoreen9185

    @lovemusicnoreen9185

    Жыл бұрын

    Ata mimi nimewaza zama ana shida itakua Maana kila kati ya watu 5 wa 3 haongei nao kuna shida sehemu

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    Irene❤️❤️❤️

  • @iddymangwela9049
    @iddymangwela9049 Жыл бұрын

    Irene unanivutia sana

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 Жыл бұрын

    Beautiful Irene....uko Real

  • @mabinajackson5356
    @mabinajackson5356 Жыл бұрын

    Umeongea vzr sana

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Жыл бұрын

    Kwenye group lenu mmoja akuwa na mafanikio lazima aonewe wivu hao ni wivu unann ww muongo

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 Жыл бұрын

    Huyu Diva sio journalist...ethics za journalism hana....

  • @husnahabityhabity9517

    @husnahabityhabity9517

    Жыл бұрын

    Ni mchonganishi uyu mama

  • @productivityprogressprince5156

    @productivityprogressprince5156

    Жыл бұрын

    Yaani kabisaaa🤦🏽‍♀️ anatakiwa awe neutral akiwa anauliza maswali.

  • @Storyzatown
    @Storyzatown Жыл бұрын

    Do you miss her? “No” duh hapo tatizo ni Zamaradi au tatizo ni hao marafiki zake,

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    Zama alivyokuwa clouds alikosana na wengi ata Dina marios

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 Жыл бұрын

    Nampenda Sana huyu Irene

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Nimpole

  • @nasrafazal6564
    @nasrafazal6564 Жыл бұрын

    Tunaomba na zama aje siku moja aongee sabbu wote wanaongea ila yeye hata siku moja hajawahi kuongea halafu wale marafiki zako wote wanaunda time wanakuwa wao marafiki pamoja katika haya maisha usihitaji marafiki sabbu hutusaliti

  • @spreadlove5300

    @spreadlove5300

    Жыл бұрын

    Wewe ndio muelewa 🥰🥰🥰💗 wengine kazi kufuata mkumbo na wote hakuna hata mmoja aliyewahi kusema wanachogombea

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын

    💓👌

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 Жыл бұрын

    Munywere kama kichaa ujapendeza pia wabongo bwana mnajifanya wangeleza mnazidiwa na bongo zozo anapenda kiswahili

  • @rereshap9416

    @rereshap9416

    Жыл бұрын

    Zako zikoje ? Zionyeshe basi tuzione, May be utaonekana kama mwenzawazimu kabisaaa !

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Kinge raha bana sema tu sikijui

  • @minnahmsangi6117
    @minnahmsangi6117 Жыл бұрын

    Tumtu twembamba tunashida sana

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Жыл бұрын

    Huyo anayo onewa wivu mumemuona 🤨

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Жыл бұрын

    Ila Zamaradi ana tatizo mahali maana ukiangalia faiza nae hawaongei shamsaford nae pia hawaongei haya na Iline nae sasa na hawaongei kuna sehem zamarad anashid na hata Dina morios wa EFM nao wanaugomvi wa toka enzi za Ruge yupo hadi leo yule Dina aliamua kuaa nae mbali Zama kuna sehem anataz kwa wenzie hawa

  • @ilynpayne7491

    @ilynpayne7491

    Жыл бұрын

    Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    Жыл бұрын

    Alivyokuwa Clouds si unajua alikuwa mke wa boss ,watu wengi alikosana nao kipindi hicho,Dina Mario's pia walikosana

  • @vickychialo5054

    @vickychialo5054

    Жыл бұрын

    Anasifa sana anajifanya kila kitu anajua na wanae kila kitu wanajua na wanaakili sana ndio shida

  • @totobigi274

    @totobigi274

    Жыл бұрын

    Lamdha ana kiburi,ama majibu

  • @rehemaothman2200

    @rehemaothman2200

    Жыл бұрын

    kuna shida kwa zama sio bure tu zaidi ya watu 5 hawaongei nae

  • @harissmithtz4994
    @harissmithtz4994 Жыл бұрын

    Do you miss her?.

  • @evankya1955
    @evankya1955 Жыл бұрын

    Do u miss her? No

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Жыл бұрын

    Huyu zamaradi naye anamatatizo yaan yeye kila mtu anaugomvi naye

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Mh

  • @irenemzirai5890
    @irenemzirai5890 Жыл бұрын

    Zama atakuwa na tatizo sehemu

  • @thebosslady9001

    @thebosslady9001

    Жыл бұрын

    Hata mi nimewaza hivyo atakuwa anamatatizo sana haiwezekani Kila mtu agombane nae kapewa sura mbaya mpk roho mtihan

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Жыл бұрын

    Ila zamaradi ajichunguze haiwezekani hawa wote awe na ugomvi nao, kwanini?

  • @lovemusicnoreen9185

    @lovemusicnoreen9185

    Жыл бұрын

    Kwakweli ana shida yule dada sehemu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Жыл бұрын

    Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Жыл бұрын

    Utajiri haujifichi wivu wenu tuu Kwa Zama

  • @jackyluns8224

    @jackyluns8224

    Жыл бұрын

    Zama anautajiri gani wanamuonea wivu

  • @hanifaomar7438

    @hanifaomar7438

    Жыл бұрын

    @@jackyluns8224 wewe haujauwona

  • @cherylcheryl7694

    @cherylcheryl7694

    Жыл бұрын

    Mh utajili? Mbona haonewi wivu mo na baresa ama yeye anautajili wa kipekee

  • @hanifaomar7438

    @hanifaomar7438

    Жыл бұрын

    @@cherylcheryl7694 unauwakika mo haonewi wivu?mtu anaweza kukuonea wivu kwakitu cha kijinga tu ije kuwa Zama🤣mbona Yuko vizuri tu kipesa utamlinganisha na wanuka mikojo😅😅mm ndio nimeona wivu sijui kwaupande wako naukumbuke kila mtu namaono yake upo

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r Жыл бұрын

    💓👌

Келесі