SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA - IRENE PAUL
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 63
Fahar wawil hawaishi zizi moja yeye na zamarad wote nimageniuos lazima wapite njia mbili tofaut big up
Hata wamseme vipi Zamaradi but kwangu ni the best on I appreciate her
Irene Paul she's like angelina jollie I like her
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Wanafanana sana
@puregamers4215
Жыл бұрын
Never ever
@puregamers4215
Жыл бұрын
Usilinganishe Joe na kuku was tandale
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@zozokulwa1627
Жыл бұрын
@@puregamers4215 😆😆😆
Am Tz 🇹🇿💋dunia ni mapito samehe usamehewe ❤🍭
Hapa ukichunguza sana zamaradi hapendagi azidiwe anapenda yeye ndio awe kinara watu anaokuwa nao wawe nyuma kama mkia ndicho anachotaka.
@restitutalucian78
Жыл бұрын
Unauhakika
@lovemusicnoreen9185
Жыл бұрын
Ewaaaaa kuna shidaa Kwa zama na inaonekana anapenda kunyenyekewa na kua juu ya wenzake
Zamarad atakuwa anamatatizo haiwezakan kila mtu anamkataa Irene sio mtu Wa media
@lovemusicnoreen9185
Жыл бұрын
Ata mimi nimewaza zama ana shida itakua Maana kila kati ya watu 5 wa 3 haongei nao kuna shida sehemu
Irene❤️❤️❤️
Irene unanivutia sana
Beautiful Irene....uko Real
Umeongea vzr sana
Kwenye group lenu mmoja akuwa na mafanikio lazima aonewe wivu hao ni wivu unann ww muongo
Huyu Diva sio journalist...ethics za journalism hana....
@husnahabityhabity9517
Жыл бұрын
Ni mchonganishi uyu mama
@productivityprogressprince5156
Жыл бұрын
Yaani kabisaaa🤦🏽♀️ anatakiwa awe neutral akiwa anauliza maswali.
Do you miss her? “No” duh hapo tatizo ni Zamaradi au tatizo ni hao marafiki zake,
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Zama alivyokuwa clouds alikosana na wengi ata Dina marios
Nampenda Sana huyu Irene
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Nimpole
Tunaomba na zama aje siku moja aongee sabbu wote wanaongea ila yeye hata siku moja hajawahi kuongea halafu wale marafiki zako wote wanaunda time wanakuwa wao marafiki pamoja katika haya maisha usihitaji marafiki sabbu hutusaliti
@spreadlove5300
Жыл бұрын
Wewe ndio muelewa 🥰🥰🥰💗 wengine kazi kufuata mkumbo na wote hakuna hata mmoja aliyewahi kusema wanachogombea
💓👌
Munywere kama kichaa ujapendeza pia wabongo bwana mnajifanya wangeleza mnazidiwa na bongo zozo anapenda kiswahili
@rereshap9416
Жыл бұрын
Zako zikoje ? Zionyeshe basi tuzione, May be utaonekana kama mwenzawazimu kabisaaa !
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Kinge raha bana sema tu sikijui
Tumtu twembamba tunashida sana
Huyo anayo onewa wivu mumemuona 🤨
Ila Zamaradi ana tatizo mahali maana ukiangalia faiza nae hawaongei shamsaford nae pia hawaongei haya na Iline nae sasa na hawaongei kuna sehem zamarad anashid na hata Dina morios wa EFM nao wanaugomvi wa toka enzi za Ruge yupo hadi leo yule Dina aliamua kuaa nae mbali Zama kuna sehem anataz kwa wenzie hawa
@ilynpayne7491
Жыл бұрын
Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi
@salomewandya7257
Жыл бұрын
Alivyokuwa Clouds si unajua alikuwa mke wa boss ,watu wengi alikosana nao kipindi hicho,Dina Mario's pia walikosana
@vickychialo5054
Жыл бұрын
Anasifa sana anajifanya kila kitu anajua na wanae kila kitu wanajua na wanaakili sana ndio shida
@totobigi274
Жыл бұрын
Lamdha ana kiburi,ama majibu
@rehemaothman2200
Жыл бұрын
kuna shida kwa zama sio bure tu zaidi ya watu 5 hawaongei nae
Do you miss her?.
Do u miss her? No
Huyu zamaradi naye anamatatizo yaan yeye kila mtu anaugomvi naye
Mh
Zama atakuwa na tatizo sehemu
@thebosslady9001
Жыл бұрын
Hata mi nimewaza hivyo atakuwa anamatatizo sana haiwezekani Kila mtu agombane nae kapewa sura mbaya mpk roho mtihan
Ila zamaradi ajichunguze haiwezekani hawa wote awe na ugomvi nao, kwanini?
@lovemusicnoreen9185
Жыл бұрын
Kwakweli ana shida yule dada sehemu
Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi
Utajiri haujifichi wivu wenu tuu Kwa Zama
@jackyluns8224
Жыл бұрын
Zama anautajiri gani wanamuonea wivu
@hanifaomar7438
Жыл бұрын
@@jackyluns8224 wewe haujauwona
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Mh utajili? Mbona haonewi wivu mo na baresa ama yeye anautajili wa kipekee
@hanifaomar7438
Жыл бұрын
@@cherylcheryl7694 unauwakika mo haonewi wivu?mtu anaweza kukuonea wivu kwakitu cha kijinga tu ije kuwa Zama🤣mbona Yuko vizuri tu kipesa utamlinganisha na wanuka mikojo😅😅mm ndio nimeona wivu sijui kwaupande wako naukumbuke kila mtu namaono yake upo
💓👌