MAISHA YA NJE TUKIWA SAFARI ZA BIASHARA/TUCHEKE KIDOGO
Тәжірибелік нұсқаулар және стиль
I looveee cooking for my husband, do you have any idea ya vyakula simple ninavyoweza kupika kwa haraka? Kindly share na mm through whatsapp
0783840811 and i will share on my page na alonifundisha with full video, asantee🙏🏻 #makeuptutorial
Usisahau kuSUBSCRIBE na Kuweka Notification ON Kwa Video Nyingi Zijazo🙌🏾.
Unaweza Kutufatilia katika Mitandao ya Kijamii Kwa Kubonyeza LINK Zifuatazo.
INSTAGRAM @tiffany_store_tz
LINK: tiffany_store_t...
TIKTOK @tiffany_store_tz
LINK: vm.tiktok.com/ZMNDeHnxe/
Kwa Mahitaji yote yanayohusiana na Masuala ya Urembo Unaweza Kuwasiliana nasi kama ifuatavyo.
CALL/WHATSAPP
+255783840811
LOCATION : Sinza Kamanyola , Shekilango Road
GOOGLE MAP : Tiffany Store , Shekilango Road
Пікірлер: 21
Hapa hapa you tube mfatilie shunna kitchen... Anafundisha vizuri saana ma shaa Allah💕
Maashallah hongera
Pole dear.mwanamke lake jiko jitahid ujue mapish
Mashallah ni kweli chapati ya kwanza huwa hivo
Masha Allah 😊😊😊
Nawapenda Sana jaman❤❤
Mashaaallah
Mie nawapenda sna jmn Mr&mrs❤😊
Utajua inshaallah jitahidi
Napenda mekapu na kupika vyote najuwa
Mna maishaa doooh
Raha sana mume ambae bora ale lkn anakupa moyo unakuwa na jitihada
Conteiner za kupaki vyakula kwa fridge ni muhimu,fridge inaharibu hotpot shogangu,ushakuw staa mpnz...tunataka tuone mpangilio mzur kwa fridge...sekta zingine uko vzur snaa ila hapo tu dr
@tiffanystore_tz
10 ай бұрын
Sikiliza vzuri tangu mwanzo utaelewa
😅😅😅😅😅😅 nawapenda ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kama chapat za kaji za mwanzo ndo zinasumbuwa
Chapati ya kwnza inakuaga na kisiran sjui ndo mapozi disappointed kma zote🤣🤣🤣🤣
@tiffanystore_tz
10 ай бұрын
Na aura Yake mbayaaa😂
Hahahah nifundishe makeup na mm nikufundishe mahanjumati 😂😂😂
Your good wife material maaaashaallah
Kumbe anapenda mekapu kana mimi