LIVE MAHABA YA MWIJAKU AKIMSHAWISHI SNURA AMUOE MKE WA PILI
Жүктеу.....
Пікірлер: 552
@joyceleonce89864 жыл бұрын
Kama umeona mwijaku anajua kutongoza onga like
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Snura tayar kalegeaaaa
@credo7837
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jestinabenedict4620
Жыл бұрын
Ila wewe mkolofi
@athumanmrisho17624 жыл бұрын
Kama umemuelewa mwijaku kwamba anajuwa kutongoza gonga like
@oyay2821
4 жыл бұрын
Mwijaku amependa tako tuu. Umesahau number7 mkabaji
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂😂
@omarymbalala6224
4 жыл бұрын
Mwijaku jembe😀😀
@ingabirefabrice34184 жыл бұрын
TANGU DUNIA IMEUMBWA SIJAONA MTU ANAETONGOZA KUMZIDI BROTHER MWIJAKU DAAAAHHHH
@chunanachu25294 жыл бұрын
Nani kaona snura anatamani ndoa kwa mwijaku..... Like apa
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂
@christianmaganga8413
4 жыл бұрын
Anatamani ndoa kwel😁😁
@oxyrio12244 жыл бұрын
Mwijaku hahah ndo maana diamond kasema zuchu kaa mbali na mwijaku Hahaha nmekubali
@abubakarzamir62764 жыл бұрын
SNURA DADA ANGU UMEELEKEA KUWA MTU MWEMA MASHAALAH MUNGU AKUONGOZE UMRUDIE ILE UKAIPATE PEPO YAKE
@yl_sports_af19944 жыл бұрын
Huyu snura ni mdada ambae hana msimamo kama kuna aliemuelewa kma hana msimamo eka like
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
Ww unayo acha ushamba
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
@@jovintosssi3287 hahaaaaa
@samwelsengati13694 жыл бұрын
Nyumba inaanza na msingi ikitoka msingi inafuata foundation. Waliomuelewa gonga like twend sawa km umeisikia hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimramadhani5237
4 жыл бұрын
Msingi halafu Foundation kudadadeki
@liyanakarzan182
4 жыл бұрын
Mbona msingi na fondishen vyote ni sawa
@allykita2444
4 жыл бұрын
ukiwa muongeaji sana ndio inakuwa hivyo hajui hata kama amechapia
@ninahmbonea6248
4 жыл бұрын
@@allykita2444 kavulugwa na mzigo wa Snura 😂😂😂
@gordiansoko9113
4 жыл бұрын
Ajali ya ulimi na mdomo hiyoo
@hassanovajunior69724 жыл бұрын
Nilikuwa Nawazaga sana huyu Mwijaku anapataje watoto wakali asa leo ndio nimejuwa Mjuba ana Mistari Yakutoa nyoka Pangoni unataka mwanamke jasiri sana kuruka Mistari ya Bro Mwijaku👏👏😂😂😂😂😂
@ibrahtibah
4 жыл бұрын
Nomaaa
@adamkamaze9888
Жыл бұрын
Oh lo Lo
@issambassa99864 жыл бұрын
Yaan mm nikiona interview ya mwijaku niko radhi nikope ninunue MB 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂
@myseramatamu7409
4 жыл бұрын
Hahaha kamimi vile
@catherinekiwipa7551
3 жыл бұрын
kabisaa an
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Haisee dingi tupo sawaaaa
@bonnysureolkokolaboy43424 жыл бұрын
Huyu ninja ni nohma kama anatongoza mbele ya kamera, chumban c ataua huyu
@rayanaabdallah98344 жыл бұрын
Jaman nani kaona mwijaku kakimbia issue ya Menina? Likes plz😁
@barakakaduma8803
4 жыл бұрын
Rayana Abdallah Kasepa chap ana akili uyu jamaaa 😁😁😂😂
@dennismrutu7824
2 жыл бұрын
😂😂😂
@hilalhazil87274 жыл бұрын
Huyu bwege anamwaga mistari na snura anaanza kuelewa somo
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa amejaaliwa ulimi.
@tousihhhh6765
4 жыл бұрын
mshenz huy muongo san tapeli
@abdulswammadnaseebhon2057
4 жыл бұрын
Hahaha
@happygw6930
4 жыл бұрын
😃😃😃 ndio weakness ya wanawake ulimi wa maneno yaani hapo sanura tayari kampenda mwajaku 100% aminia yaani kichwani mwake anawaza yule mchumba atamwachaje akubari ombi hahana sanura kubari tu ila jiandae huyu atabariki
@tatoohmood3867
2 жыл бұрын
@@tousihhhh6765 😂😂😂😂😂😂
@aminajuma80984 жыл бұрын
Bro mwijaku😆you ever make my day.
@zuhuraegale33063 жыл бұрын
sinura unapendeza sana kuwa mcha mungu dada yangu basi mlejee mola wako kbs usiludi kwenye hizo nyimbo mashaalllah umesema unapenda wislamu wako basi uonyeshe vitendo hakika unamoyo wa uslamu.riziki yako ta halari nibora zaidi
@qudratv91694 жыл бұрын
Hhhh daah mwikaju wee n nomaa, unapiga sound kinomaaa😄😄
@ephraimrichard67014 жыл бұрын
Snura kama kaingia kwenye 18 mwijaku hatari😂😂😂😂😂😂
@hassankange1305
3 жыл бұрын
Chezea mwijaku wew ukijua maana sales man
@jumamwaboko50872 жыл бұрын
Nimejifunza salute to #Mwijaku_#Snura_#Millard_Ayo Interview Imeweza!
@manbonge30154 жыл бұрын
Snura kama ume ingia box hahaha
@allytasi72914 жыл бұрын
Mwijako kama uko siliasi Allah akuongezee kaka
@khadijasalum23024 жыл бұрын
Mwinjaku haswa interviews zake nnainjoy big up bro and ayo tv
@fatumashaban79314 жыл бұрын
Mnajua pepo ni ndoa tu lakini mambo mabaya mnayoyafanya hamyaoni suna kuoa kumuomba mungu aah,mtuachie uchuro si tunamuomba Mungu atuondolee mabalaa yanayotufata hamyaoni mnatuletea uhuni wenu
@evancelyimo67644 жыл бұрын
Ashaliwa na baharia tayari!
@africa74794 жыл бұрын
Mwijaku muogope mungu watu wanaokufa mashahid ni saba, vit vya kupigania dini ya Allah, kufa majini,kuangukiwa na ngema au ukuta,kufa kwa moto,kwa maradhi kam kipindupindu,wakati wa kujifungua,Na Allah ndo mjuzi zaidi.kwahyo mwijaku acha kuongeza mambo ya dini au kufanya mzaha au kuongea vitu usivyokua na elimu navyo kaka Allah akuongoze
@sharifaramadhani9072
4 жыл бұрын
Mwijaku a najua Sana kujielezea wallah snura stara ni nzuri umependeza
@zaytunhijja6771
4 жыл бұрын
Hahaaaa huna ujualo bora uyo mwinjaku
@hamudseif
4 жыл бұрын
Wanafanya mzaha ktk dini, Allah atuoneshe haqi
@mohammed.alghurabaa92664 жыл бұрын
HAPO KWA KUFA SHAHID NI UWONGO MTUPU...LETA AYA AU HADITH
Mwijaku,,,,, sijui uko serious sijui mzaha. Mwijakuuuuuuuuu.........
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
@kijanahodari20804 жыл бұрын
MashaAllah Snura kumbe wapendeza unapo jistiri ila Mwijaku Fanya bidii uengeze mke,mpe maneno matamu ubebe mzigo huo..all the way from 25flow🇰🇪 🤣😂😂
@mozasaid38694 жыл бұрын
Dah! Snura umemuuliza swali zuri sana Mwijaku,!
@augustinremy25804 жыл бұрын
Mungu Kuzidishie maisha mwijaku unanifuraishaga sana
@bakarimngazija66724 жыл бұрын
Kutokgoza ni mbinu nawewe dada kama kweli maneno yako ni ya kweli basi stahanili Mungu atakupa alie bora katika maisha yako lakini kumbuka maisha ya ndowa ni safari ndefu.
@ruthwatson13664 жыл бұрын
Hii ndio sababu nasema tukiweke kiswahili chetu jameni. Kaka kasema msingi lakini akaona atuchanganye kidogo na lugha ya kizungu kaongezea FOUNDATION. Hapo ndio nikaona ako mchizi kiasi juu zote hizi ni kitu kimoja lakini mkitupiwa kizungu kidogo,,,,, mnamuona msomi. N'gooooooooo!!
@mucomwizaruqaiyah40644 жыл бұрын
Ma sha Allah iwe kheri 💕💕💕
@mrsb.j2834 жыл бұрын
Snura ni kama unanisemea mimi, hilo swali nataka sana kumuuliza huyo, mke wake apita akizunguka uchi
@innocentvalentinb524 жыл бұрын
Respect profeser mwijako 👍👍👍 wemukali sana
@AhmedSalah-ri3es4 жыл бұрын
Hahahah asante sana mwijaku nimekuelewa
@alantonio8554 жыл бұрын
Mwijaku ni mzima saaaana
@user-rg1wy6ft5l8 ай бұрын
Mashallah Snnura wallah ninakukubali sana sana
@imanmohamed76322 жыл бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah beautiful
@saumsiraji98704 жыл бұрын
Mashaallah Snura kajifuniki vzr anamwonekano wa kiislam. Sasa yule mkeo mbona hajistiri na unasema unamlingania mambo ya ndini haa. Mvishe mkeo vazi la kiislam na uwedelee kumlingania ajue Wislamu ni nini.
@luvisa2472
4 жыл бұрын
Yule mke wake ni mkristo Kabadili tuu kwa tamaa ya maisha tuu
@faizasaleh97834 жыл бұрын
huyu. mwanamume. hodari. sana. allha. akutimizie.
@naimanimo49254 жыл бұрын
😅😅😍 sometimes I don't like you sometimes your the best Tata maruchuri following from Ug
@mtuwamungusethoskar82122 жыл бұрын
Snura ufafa nizi wako juu ya mtu mwenye hofu ya Mungu nimeupendasana.nimekupenda bure
@farouqkatana72164 жыл бұрын
Mwijaku hatari mistari 🔥🔥🔥🏃♂️🏃♂️🤣🤣
@sheby94864 жыл бұрын
Wanawake bhana hapo snura kishaanza kumuelewa mwijaku ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai
@tatumluv6054
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@jumajay84964 жыл бұрын
Leo mwijaku amenimaliza snura kaingia ndani ya box kwa maneno matamu nimekubali.
@festoaidan89554 жыл бұрын
Huyu fala Dem haruki aiseee 😂😂😂
@ibrahimwerejuma48164 жыл бұрын
Kwa kweli mwijaku ni mwa Africa kamili nimemukubali kwa asilimia mia 💯
@abdinooraliow12814 жыл бұрын
Allah Awajaalie muoane,In sha Allah
@yusuphmohamed73294 жыл бұрын
Snurah kaa utafakari ukikubali ukubali kuingia kwenye ndoa kwaajili ya allah na sio vinginevyo"" mashaallah snurah kinywa chako tu ukikiongoza hivyo naamini utakuwa mke na cheo cha (mke wa mtu) utakitumia vzr
@anthonyjoseph49794 жыл бұрын
Snurah olewa tyuu na Mwijaku.. Acha Zako Wewe
@Filmz6394 жыл бұрын
Eti mke wangu akasema namtaka Snura😀😀😀😀😀😀😀
@bablematz1309
4 жыл бұрын
😄😄😄
@chachabeauty9780
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@faridadondo21032 жыл бұрын
Hongera snura siku hiz umebadilik saan maa shaa Allah umekuwa mwanamk wastar japo sio saan
@mussaallyi647 Жыл бұрын
Umependeza nahilo vazi maashaalaah mungu akuzidishie ishaallah
@mnipammnipa64112 жыл бұрын
Mwijaku nakukubali sana bro😀😀😀
@mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын
Wallah mwijaku yupo sirias na snura anamtaka kwel jaman Msione masiara
@zuuothman91704 жыл бұрын
Hyu mkaka anapenda wanawake wenye matako makubwa huna lolote
@RashidRashid-ko2zh
4 жыл бұрын
Kawahi kukufuata au ndio mna mdhania mtu tu vibaya .na nyinyi mnapata dhambi.
@classicwaisala6677
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wewe unayo pia!?
@barakakaduma8803
4 жыл бұрын
Zuu Othman 😂😂😂😂😂
@collinedward8449
4 жыл бұрын
Wew huna ndio mana unamchukia Hiloooo
@naimasaid7763
4 жыл бұрын
@@collinedward8449 😂😂😂😂
@mahmoudmohamed3444 жыл бұрын
I like it Wallahi.....Mwijaku uko juu kwisha ashaingiana....Ustadh upo wapi??
@omary.mpemba7302 жыл бұрын
Uyo mwijaku atongoz sema utapeli mwingi mno
@jumakassim87182 жыл бұрын
Mashaallah snura atakubali awe mkeo mwijaku
@KUTOKA-ep2fk4 жыл бұрын
Msingi ni kiswahili msingi kwa kinge ni Foundation!
@mwarishmodsalum5554 жыл бұрын
Snura umenifurahisha Sana bazazi mkubwa hana lolote mbabaifu anadhalilisha wanawake tu huyo wahovyo
@mohafadhili4464 Жыл бұрын
Snura katongozwa way oyooooo mwijaku chukua tano👊👊👊
@abdoulshakurbinmakka46102 жыл бұрын
Kabisa mwijaku yuko right kabisa
@joerosay4 жыл бұрын
mwijaku wewe pepo huwezi kuiona coz ww ni mzinzi sana nashangaa watu wanachekelea hiki unachokifanya hapa...we ni mpumbavu sana
@yussuphshilingi32582 жыл бұрын
Mwijaku nakukubali broo
@kamalissabig60762 жыл бұрын
Nyumba inaanza na Msingi afu unafata Foundation duh Mwinjaku Leo umechapia acha Mambo ya Ufund hauyawezi
@halimams21274 жыл бұрын
oaa mwijaku mungu.atafunguaa
@bittybitty27124 жыл бұрын
Snura saeziako wijaku kheri inshaa Allah
@julianajacksoni42754 жыл бұрын
Mwijaku ana sound 😂😂😂😂
@jumakassim8718
2 жыл бұрын
Sanaaa tu
@jumakuziwa81802 жыл бұрын
Huyo udevu shekhe mwijaku! Ndo unaofanya ujiamini sana kwenye kutongoza.
@sheby94864 жыл бұрын
Dah wanaomuelewa mwijaku gonga like twenzetu
@KMLotin4 жыл бұрын
Ilikuaje hii lakini 🤣🤣🤣
@moshimoshi60964 жыл бұрын
Yaan hili linavoongea tu utajua kabsa ni Lizinzi😂🤣
@sabatoelia3124 жыл бұрын
Mwangu mtafute season ya muendelezo mimi nahitaj kujua hadi mwisho...🏃♂️🏃♂️mtuletee huku mikoan.. huyu mwamba alinikera kipindi kile ila katika hili la mistari mwamba anavoko🚶♂️🚶♂️🚶♂️
@chidymswti36042 жыл бұрын
Kwa Mwijaku usipokua na msimamo huchomoi km mwanamke...
@user-xi1pi4zr3b4 жыл бұрын
Hapo Snura kashakubal kitambo Maneno yamemuingia kwel ya mwijaku na ashamsahau yule kijana..Ila mwijaku fundi
@samiaismailmsabah85092 жыл бұрын
Allah awatimizie malengoyenu na niayenu
@ephraimrichard67014 жыл бұрын
Mwijaku anazingua bhana yukoje 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤣🤣🤩🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂snura kashamuelewa mwijaku anamtetea kuhusu ishu ya menina
@khalidmwamwasi94154 жыл бұрын
Nakubali Mwijaku dini unayo pia tunajifunza
@abujamalaalghammawiy74704 жыл бұрын
Unataka mke wa pili, jambo dogo tu la kunywa kwa mkono wa kulia limekushinda. Yaani unakunywa kwa mkono wa kushoto na dini imekataza, Loh jambo dogo limekushinda, kubwa utaliweza??
@abbykruger16254 жыл бұрын
Oya homie fanya uwe masai wetu wa Konde Gangsters sisi tunataka chawa wanaujua kuongea na fitna ..😎
@sifatiiman
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@omarisimba88644 жыл бұрын
Hahahahah braza mwijaku ni nyoooko wallahy...tayar kazi ameshamaliza hapoo😁😁
@jessymalembeka61814 жыл бұрын
Hahahah walai mwijaku mwehu 😀😀😀😀😀
@thierryt76894 жыл бұрын
Mashaallah Sanura umetisha Kwenye hii interview hongera...jamaa aleta story za foundation Na msingi😂😂😂😂
@tonythadei9608
4 жыл бұрын
Sanura na nani bri
@husnahassan62894 жыл бұрын
Mwijaku sifa uliyonayo hapo ni kumtoa mkeo kwenye ukiristo na kumpeleka kwenye uwislamu Allah akujaalie kheri Ameen but hujamlingania mkeo akawa mwanamke mwenye khadhi na kuufata uwislam ulivyofundisha
@jawadyrasheed6880
4 жыл бұрын
Kbsaa upo sahihi ukhty kumbe umeliona hlo nawe
@husnahassan6289
4 жыл бұрын
jey junior Nimeliona ndugu yangu
@dianamalingumu45164 жыл бұрын
mwijaku anajua kutongoza bila kujua kama anatogoza
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
😁 😁 😁 😁
@maisarasid86702 жыл бұрын
Hapo mwijaku amepatikana na maswali hongera sana mama nsura
@salimmwadachi29792 жыл бұрын
Hongela bwana kakamwijaku
@naimasaid77634 жыл бұрын
Mwinjaku ukidhamiria unampata snura maana hata Snura nae anaitaka ndoa, kama ni kweli una nia mwenyezi mungu akufanyie wepesi
@alvnalvs47394 жыл бұрын
Wangap wameona mwinyijaku soda imempalia gonga like hp
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@kasandaomary9942 жыл бұрын
Shikamoo mwinjaku Maana pkanimekosa chakuongea
@user-ps5mk4zc9o4 жыл бұрын
Mh rudini kwa mola wenu Mnazini usiku mchana Allah awahidi
@mosesabraham87422 жыл бұрын
Izo like mnaenda nazo wapi jomon🤣🤣🤣🤣🤣😋😋
@tonythadei96084 жыл бұрын
Namkubari sana mwijaku kinoma
@marygaspary1994 жыл бұрын
Hayo madaraja yataishia kwa Waislam tu, hivohivo Mapenzi ni namba tasa hayagawanyikii
@abubakarmwasumilwe7070
2 жыл бұрын
Hayagawiki kwako.. Kwamume wako yanagawika vzr .. Tena kwavimada wanje anazini tu. Sasa sibora mtu akuoe kuliko kuzini t
Пікірлер: 552
Kama umeona mwijaku anajua kutongoza onga like
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Snura tayar kalegeaaaa
@credo7837
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@jestinabenedict4620
Жыл бұрын
Ila wewe mkolofi
Kama umemuelewa mwijaku kwamba anajuwa kutongoza gonga like
@oyay2821
4 жыл бұрын
Mwijaku amependa tako tuu. Umesahau number7 mkabaji
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂😂
@omarymbalala6224
4 жыл бұрын
Mwijaku jembe😀😀
TANGU DUNIA IMEUMBWA SIJAONA MTU ANAETONGOZA KUMZIDI BROTHER MWIJAKU DAAAAHHHH
Nani kaona snura anatamani ndoa kwa mwijaku..... Like apa
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂
@christianmaganga8413
4 жыл бұрын
Anatamani ndoa kwel😁😁
Mwijaku hahah ndo maana diamond kasema zuchu kaa mbali na mwijaku Hahaha nmekubali
SNURA DADA ANGU UMEELEKEA KUWA MTU MWEMA MASHAALAH MUNGU AKUONGOZE UMRUDIE ILE UKAIPATE PEPO YAKE
Huyu snura ni mdada ambae hana msimamo kama kuna aliemuelewa kma hana msimamo eka like
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
Ww unayo acha ushamba
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
@@jovintosssi3287 hahaaaaa
Nyumba inaanza na msingi ikitoka msingi inafuata foundation. Waliomuelewa gonga like twend sawa km umeisikia hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimramadhani5237
4 жыл бұрын
Msingi halafu Foundation kudadadeki
@liyanakarzan182
4 жыл бұрын
Mbona msingi na fondishen vyote ni sawa
@allykita2444
4 жыл бұрын
ukiwa muongeaji sana ndio inakuwa hivyo hajui hata kama amechapia
@ninahmbonea6248
4 жыл бұрын
@@allykita2444 kavulugwa na mzigo wa Snura 😂😂😂
@gordiansoko9113
4 жыл бұрын
Ajali ya ulimi na mdomo hiyoo
Nilikuwa Nawazaga sana huyu Mwijaku anapataje watoto wakali asa leo ndio nimejuwa Mjuba ana Mistari Yakutoa nyoka Pangoni unataka mwanamke jasiri sana kuruka Mistari ya Bro Mwijaku👏👏😂😂😂😂😂
@ibrahtibah
4 жыл бұрын
Nomaaa
@adamkamaze9888
Жыл бұрын
Oh lo Lo
Yaan mm nikiona interview ya mwijaku niko radhi nikope ninunue MB 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂
@myseramatamu7409
4 жыл бұрын
Hahaha kamimi vile
@catherinekiwipa7551
3 жыл бұрын
kabisaa an
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Haisee dingi tupo sawaaaa
Huyu ninja ni nohma kama anatongoza mbele ya kamera, chumban c ataua huyu
Jaman nani kaona mwijaku kakimbia issue ya Menina? Likes plz😁
@barakakaduma8803
4 жыл бұрын
Rayana Abdallah Kasepa chap ana akili uyu jamaaa 😁😁😂😂
@dennismrutu7824
2 жыл бұрын
😂😂😂
Huyu bwege anamwaga mistari na snura anaanza kuelewa somo
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa amejaaliwa ulimi.
@tousihhhh6765
4 жыл бұрын
mshenz huy muongo san tapeli
@abdulswammadnaseebhon2057
4 жыл бұрын
Hahaha
@happygw6930
4 жыл бұрын
😃😃😃 ndio weakness ya wanawake ulimi wa maneno yaani hapo sanura tayari kampenda mwajaku 100% aminia yaani kichwani mwake anawaza yule mchumba atamwachaje akubari ombi hahana sanura kubari tu ila jiandae huyu atabariki
@tatoohmood3867
2 жыл бұрын
@@tousihhhh6765 😂😂😂😂😂😂
Bro mwijaku😆you ever make my day.
sinura unapendeza sana kuwa mcha mungu dada yangu basi mlejee mola wako kbs usiludi kwenye hizo nyimbo mashaalllah umesema unapenda wislamu wako basi uonyeshe vitendo hakika unamoyo wa uslamu.riziki yako ta halari nibora zaidi
Hhhh daah mwikaju wee n nomaa, unapiga sound kinomaaa😄😄
Snura kama kaingia kwenye 18 mwijaku hatari😂😂😂😂😂😂
@hassankange1305
3 жыл бұрын
Chezea mwijaku wew ukijua maana sales man
Nimejifunza salute to #Mwijaku_#Snura_#Millard_Ayo Interview Imeweza!
Snura kama ume ingia box hahaha
Mwijako kama uko siliasi Allah akuongezee kaka
Mwinjaku haswa interviews zake nnainjoy big up bro and ayo tv
Mnajua pepo ni ndoa tu lakini mambo mabaya mnayoyafanya hamyaoni suna kuoa kumuomba mungu aah,mtuachie uchuro si tunamuomba Mungu atuondolee mabalaa yanayotufata hamyaoni mnatuletea uhuni wenu
Ashaliwa na baharia tayari!
Mwijaku muogope mungu watu wanaokufa mashahid ni saba, vit vya kupigania dini ya Allah, kufa majini,kuangukiwa na ngema au ukuta,kufa kwa moto,kwa maradhi kam kipindupindu,wakati wa kujifungua,Na Allah ndo mjuzi zaidi.kwahyo mwijaku acha kuongeza mambo ya dini au kufanya mzaha au kuongea vitu usivyokua na elimu navyo kaka Allah akuongoze
@sharifaramadhani9072
4 жыл бұрын
Mwijaku a najua Sana kujielezea wallah snura stara ni nzuri umependeza
@zaytunhijja6771
4 жыл бұрын
Hahaaaa huna ujualo bora uyo mwinjaku
@hamudseif
4 жыл бұрын
Wanafanya mzaha ktk dini, Allah atuoneshe haqi
HAPO KWA KUFA SHAHID NI UWONGO MTUPU...LETA AYA AU HADITH
Hahahahahahahahahhahahahaha Mwijaku hawakuwezi nakwambia
Rura nakupenda allah akupe mume bora amiin 😘😘❤
Mwijaku 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani anamasomo ndo maaana fulani anampenda maana syo kwa maneno yake khaaaaaa
@RamazaniMulongeca
4 жыл бұрын
Zenna Kailo Kumbe unajua... akuna nyumba isiyoanza na msingi... 👏🙌
@zennakailo8106
4 жыл бұрын
Ramsey Bayoma hahahahahaha Nilijua tu maaan unavyompenda huyu jamaa khaaaaaa 😁😁😁😁😃
Mwijaku,,,,, sijui uko serious sijui mzaha. Mwijakuuuuuuuuu.........
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
MashaAllah Snura kumbe wapendeza unapo jistiri ila Mwijaku Fanya bidii uengeze mke,mpe maneno matamu ubebe mzigo huo..all the way from 25flow🇰🇪 🤣😂😂
Dah! Snura umemuuliza swali zuri sana Mwijaku,!
Mungu Kuzidishie maisha mwijaku unanifuraishaga sana
Kutokgoza ni mbinu nawewe dada kama kweli maneno yako ni ya kweli basi stahanili Mungu atakupa alie bora katika maisha yako lakini kumbuka maisha ya ndowa ni safari ndefu.
Hii ndio sababu nasema tukiweke kiswahili chetu jameni. Kaka kasema msingi lakini akaona atuchanganye kidogo na lugha ya kizungu kaongezea FOUNDATION. Hapo ndio nikaona ako mchizi kiasi juu zote hizi ni kitu kimoja lakini mkitupiwa kizungu kidogo,,,,, mnamuona msomi. N'gooooooooo!!
Ma sha Allah iwe kheri 💕💕💕
Snura ni kama unanisemea mimi, hilo swali nataka sana kumuuliza huyo, mke wake apita akizunguka uchi
Respect profeser mwijako 👍👍👍 wemukali sana
Hahahah asante sana mwijaku nimekuelewa
Mwijaku ni mzima saaaana
Mashallah Snnura wallah ninakukubali sana sana
MashaAllah TabarakkahAllah beautiful
Mashaallah Snura kajifuniki vzr anamwonekano wa kiislam. Sasa yule mkeo mbona hajistiri na unasema unamlingania mambo ya ndini haa. Mvishe mkeo vazi la kiislam na uwedelee kumlingania ajue Wislamu ni nini.
@luvisa2472
4 жыл бұрын
Yule mke wake ni mkristo Kabadili tuu kwa tamaa ya maisha tuu
huyu. mwanamume. hodari. sana. allha. akutimizie.
😅😅😍 sometimes I don't like you sometimes your the best Tata maruchuri following from Ug
Snura ufafa nizi wako juu ya mtu mwenye hofu ya Mungu nimeupendasana.nimekupenda bure
Mwijaku hatari mistari 🔥🔥🔥🏃♂️🏃♂️🤣🤣
Wanawake bhana hapo snura kishaanza kumuelewa mwijaku ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai
@tatumluv6054
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
Leo mwijaku amenimaliza snura kaingia ndani ya box kwa maneno matamu nimekubali.
Huyu fala Dem haruki aiseee 😂😂😂
Kwa kweli mwijaku ni mwa Africa kamili nimemukubali kwa asilimia mia 💯
Allah Awajaalie muoane,In sha Allah
Snurah kaa utafakari ukikubali ukubali kuingia kwenye ndoa kwaajili ya allah na sio vinginevyo"" mashaallah snurah kinywa chako tu ukikiongoza hivyo naamini utakuwa mke na cheo cha (mke wa mtu) utakitumia vzr
Snurah olewa tyuu na Mwijaku.. Acha Zako Wewe
Eti mke wangu akasema namtaka Snura😀😀😀😀😀😀😀
@bablematz1309
4 жыл бұрын
😄😄😄
@chachabeauty9780
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
Hongera snura siku hiz umebadilik saan maa shaa Allah umekuwa mwanamk wastar japo sio saan
Umependeza nahilo vazi maashaalaah mungu akuzidishie ishaallah
Mwijaku nakukubali sana bro😀😀😀
Wallah mwijaku yupo sirias na snura anamtaka kwel jaman Msione masiara
Hyu mkaka anapenda wanawake wenye matako makubwa huna lolote
@RashidRashid-ko2zh
4 жыл бұрын
Kawahi kukufuata au ndio mna mdhania mtu tu vibaya .na nyinyi mnapata dhambi.
@classicwaisala6677
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wewe unayo pia!?
@barakakaduma8803
4 жыл бұрын
Zuu Othman 😂😂😂😂😂
@collinedward8449
4 жыл бұрын
Wew huna ndio mana unamchukia Hiloooo
@naimasaid7763
4 жыл бұрын
@@collinedward8449 😂😂😂😂
I like it Wallahi.....Mwijaku uko juu kwisha ashaingiana....Ustadh upo wapi??
Uyo mwijaku atongoz sema utapeli mwingi mno
Mashaallah snura atakubali awe mkeo mwijaku
Msingi ni kiswahili msingi kwa kinge ni Foundation!
Snura umenifurahisha Sana bazazi mkubwa hana lolote mbabaifu anadhalilisha wanawake tu huyo wahovyo
Snura katongozwa way oyooooo mwijaku chukua tano👊👊👊
Kabisa mwijaku yuko right kabisa
mwijaku wewe pepo huwezi kuiona coz ww ni mzinzi sana nashangaa watu wanachekelea hiki unachokifanya hapa...we ni mpumbavu sana
Mwijaku nakukubali broo
Nyumba inaanza na Msingi afu unafata Foundation duh Mwinjaku Leo umechapia acha Mambo ya Ufund hauyawezi
oaa mwijaku mungu.atafunguaa
Snura saeziako wijaku kheri inshaa Allah
Mwijaku ana sound 😂😂😂😂
@jumakassim8718
2 жыл бұрын
Sanaaa tu
Huyo udevu shekhe mwijaku! Ndo unaofanya ujiamini sana kwenye kutongoza.
Dah wanaomuelewa mwijaku gonga like twenzetu
Ilikuaje hii lakini 🤣🤣🤣
Yaan hili linavoongea tu utajua kabsa ni Lizinzi😂🤣
Mwangu mtafute season ya muendelezo mimi nahitaj kujua hadi mwisho...🏃♂️🏃♂️mtuletee huku mikoan.. huyu mwamba alinikera kipindi kile ila katika hili la mistari mwamba anavoko🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Kwa Mwijaku usipokua na msimamo huchomoi km mwanamke...
Hapo Snura kashakubal kitambo Maneno yamemuingia kwel ya mwijaku na ashamsahau yule kijana..Ila mwijaku fundi
Allah awatimizie malengoyenu na niayenu
Mwijaku anazingua bhana yukoje 😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤩🤣🤣🤩🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂snura kashamuelewa mwijaku anamtetea kuhusu ishu ya menina
Nakubali Mwijaku dini unayo pia tunajifunza
Unataka mke wa pili, jambo dogo tu la kunywa kwa mkono wa kulia limekushinda. Yaani unakunywa kwa mkono wa kushoto na dini imekataza, Loh jambo dogo limekushinda, kubwa utaliweza??
Oya homie fanya uwe masai wetu wa Konde Gangsters sisi tunataka chawa wanaujua kuongea na fitna ..😎
@sifatiiman
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
Hahahahah braza mwijaku ni nyoooko wallahy...tayar kazi ameshamaliza hapoo😁😁
Hahahah walai mwijaku mwehu 😀😀😀😀😀
Mashaallah Sanura umetisha Kwenye hii interview hongera...jamaa aleta story za foundation Na msingi😂😂😂😂
@tonythadei9608
4 жыл бұрын
Sanura na nani bri
Mwijaku sifa uliyonayo hapo ni kumtoa mkeo kwenye ukiristo na kumpeleka kwenye uwislamu Allah akujaalie kheri Ameen but hujamlingania mkeo akawa mwanamke mwenye khadhi na kuufata uwislam ulivyofundisha
@jawadyrasheed6880
4 жыл бұрын
Kbsaa upo sahihi ukhty kumbe umeliona hlo nawe
@husnahassan6289
4 жыл бұрын
jey junior Nimeliona ndugu yangu
mwijaku anajua kutongoza bila kujua kama anatogoza
@Pedeshee01
3 жыл бұрын
😁 😁 😁 😁
Hapo mwijaku amepatikana na maswali hongera sana mama nsura
Hongela bwana kakamwijaku
Mwinjaku ukidhamiria unampata snura maana hata Snura nae anaitaka ndoa, kama ni kweli una nia mwenyezi mungu akufanyie wepesi
Wangap wameona mwinyijaku soda imempalia gonga like hp
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Shikamoo mwinjaku Maana pkanimekosa chakuongea
Mh rudini kwa mola wenu Mnazini usiku mchana Allah awahidi
Izo like mnaenda nazo wapi jomon🤣🤣🤣🤣🤣😋😋
Namkubari sana mwijaku kinoma
Hayo madaraja yataishia kwa Waislam tu, hivohivo Mapenzi ni namba tasa hayagawanyikii
@abubakarmwasumilwe7070
2 жыл бұрын
Hayagawiki kwako.. Kwamume wako yanagawika vzr .. Tena kwavimada wanje anazini tu. Sasa sibora mtu akuoe kuliko kuzini t
Ila mwijaku umejaza mistari 🤣🤣🤣🤣🤣
@awadhally1052
2 жыл бұрын
😂🤣😅sio mchezo
@juliaayieta2578
2 жыл бұрын
@@awadhally1052 🤣🤣🤣🤣🤣
Mwijaku na kukubali mashallah