Nampenda sana Geah every time huko full happy ❤❤
Nakupenda sana geah. Mungu akupe maisha marefu😊
DaGeah uko vizuri sana kwenye kazi yako navifwatilia vipindi vyako nakupenda sana
Geah nakupenda bure mwenzio nikiwa nchi za wenyewe huku sikosi kuangalia hekaheka na Zai,proud to be African.
Wallah nasema kutoka moyo nampenda sna gea habibu mungu azidi kukupa afya
Aisee nampenda sn geah...namkubali mno
Da geah nakukubali sana Allah akupe Kila laher
Geah ww mwanamke wa shoka au mwanamke na nusu nakukubali mpk bas vipindi vyako havinipiti kabisa mungu akubarik na kazi yako
Nakupenda Sana Dada geah full happy
Da gea upo vzr nakupendajeee
Hongera sana gheh habib mungu akupe maish marefu amin
Nampenda e da Gea maana kazi yake no njema mno
Dada upo vizuli sana kwa kazi yako ni njema Sana Mungu azidi kukulinda
Yan napenda sn ucheshi wko...mda wote unafurahi huna baya...mungu akutunze kipenzi...
Kiukweri nakukubali sana gea upo vizuri hongera sana
Dada Geah mzuri wa sura mpaka moyo.nakupenda
mama la umbea.ant dedee❣
Always happy Geah big up
Nakupenda sana dada wa hekaheka
Geah msambaaa weuweeeee ndugu yang😍😍😍😍😍
Nakupenda sana da Geah
Maa Shaa Allah, Da Geah.
Safi sana kwa msambaa wa mkumbaraa tupo pamoja msambaa
Namkubali sana GEAH habibu weshu
Mashaallah Geah Habibu😘😍😍
Mob love from kenya Da Geah
Bamba star ilikua 1999 mpk 2003 nakumbuka enzi hizo nilikua nafanya Kaz mbezi garden hotel hicho kipind tulikua tunakipenda saan
Gear Habibu kitambo sana kwenye game la Tasnia ya habar
Unafanya vizuri sana.kwa upande wangu unanijenga kutokana na matukio unayotuletea.
Hekaheka oyee
Maa shaa Allah
Love u da gea
Gea ana hekima can't!
Nakupenda sana geah una mbambamba kwenye mambo yako
Da geah umefanana una mama yangu mdogo anaitwa mama mamu yan hadi kuongea
Gea mi nakupenda jinsi ulivyo uko poa sana
Love you geah
Mwazo mwisho nikucheka nampendaga huyuuu
😍😍😍😍😍😍❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣Geah jmn😂 eti ebu nitafsirie mwenzngu😆
Gea
🔥🔥🔥🔥😘
Mashaallah Na kaz unaiwezea mwenyewe
Kubwa LA madui
❤️
🔥🔥🔥
Dada gear vipi yule mtt aliyekimbia kwao...
Nimeanza kumsikiliza zamani
Dada yangu wifi yangu ndio mana pambe
Anti dedee
Hongera sana geah nakupenda sana
Zajioni
Alienda kumfukia mkulanga
Nawakubali wote
Broo fanya uoe nahisi umri unakwenda
Geah uko mzuri
Kwenye Interview Mziki wa nn jmn Au ndo TBC? Sauti ipo juuu
Kazi na dawa hapa sio interview za ajira
@@ganganainfochannel kumbe comment unaziona!
Muingilia yasomuhusu hupata yaso mridhi
@@ganganainfochannel ...khaaaaalid nitampa jina mtoto wangu kwa ajili yako inshallah
@@muznarashid8181 😀😀 Asante sana, mtoto atakua na maarifa mengi In Shaa Allah
Gea jamani wewe ni mwanamke na nusu nakubali sana kazi zako love u
Gea nakubali sana kazi zako wewe ni mwanamke na nusu maashallah love u
Пікірлер: 66
Nampenda sana Geah every time huko full happy ❤❤
Nakupenda sana geah. Mungu akupe maisha marefu😊
DaGeah uko vizuri sana kwenye kazi yako navifwatilia vipindi vyako nakupenda sana
Geah nakupenda bure mwenzio nikiwa nchi za wenyewe huku sikosi kuangalia hekaheka na Zai,proud to be African.
Wallah nasema kutoka moyo nampenda sna gea habibu mungu azidi kukupa afya
Aisee nampenda sn geah...namkubali mno
Da geah nakukubali sana Allah akupe Kila laher
Geah ww mwanamke wa shoka au mwanamke na nusu nakukubali mpk bas vipindi vyako havinipiti kabisa mungu akubarik na kazi yako
Nakupenda Sana Dada geah full happy
Da gea upo vzr nakupendajeee
Hongera sana gheh habib mungu akupe maish marefu amin
Nampenda e da Gea maana kazi yake no njema mno
Dada upo vizuli sana kwa kazi yako ni njema Sana Mungu azidi kukulinda
Yan napenda sn ucheshi wko...mda wote unafurahi huna baya...mungu akutunze kipenzi...
Kiukweri nakukubali sana gea upo vizuri hongera sana
Dada Geah mzuri wa sura mpaka moyo.nakupenda
mama la umbea.ant dedee❣
Always happy Geah big up
@sheriibrahim6753
2 жыл бұрын
Nakupenda sana dada wa hekaheka
Geah msambaaa weuweeeee ndugu yang😍😍😍😍😍
Nakupenda sana da Geah
Maa Shaa Allah, Da Geah.
Safi sana kwa msambaa wa mkumbaraa tupo pamoja msambaa
Namkubali sana GEAH habibu weshu
Mashaallah Geah Habibu😘😍😍
Mob love from kenya Da Geah
Bamba star ilikua 1999 mpk 2003 nakumbuka enzi hizo nilikua nafanya Kaz mbezi garden hotel hicho kipind tulikua tunakipenda saan
Gear Habibu kitambo sana kwenye game la Tasnia ya habar
Unafanya vizuri sana.kwa upande wangu unanijenga kutokana na matukio unayotuletea.
Hekaheka oyee
Maa shaa Allah
Love u da gea
Gea ana hekima can't!
Nakupenda sana geah una mbambamba kwenye mambo yako
Da geah umefanana una mama yangu mdogo anaitwa mama mamu yan hadi kuongea
Gea mi nakupenda jinsi ulivyo uko poa sana
Love you geah
Mwazo mwisho nikucheka nampendaga huyuuu
😍😍😍😍😍😍❤❤❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣Geah jmn😂 eti ebu nitafsirie mwenzngu😆
Gea
🔥🔥🔥🔥😘
Mashaallah Na kaz unaiwezea mwenyewe
Kubwa LA madui
❤️
🔥🔥🔥
Dada gear vipi yule mtt aliyekimbia kwao...
Nimeanza kumsikiliza zamani
Dada yangu wifi yangu ndio mana pambe
Anti dedee
@mwanjaarashidi7402
2 жыл бұрын
Hongera sana geah nakupenda sana
Zajioni
Alienda kumfukia mkulanga
Nawakubali wote
Broo fanya uoe nahisi umri unakwenda
Geah uko mzuri
Kwenye Interview Mziki wa nn jmn Au ndo TBC? Sauti ipo juuu
@ganganainfochannel
2 жыл бұрын
Kazi na dawa hapa sio interview za ajira
@asiamussa3780
2 жыл бұрын
@@ganganainfochannel kumbe comment unaziona!
@dawaseif3699
2 жыл бұрын
Muingilia yasomuhusu hupata yaso mridhi
@muznarashid8181
2 жыл бұрын
@@ganganainfochannel ...khaaaaalid nitampa jina mtoto wangu kwa ajili yako inshallah
@ganganainfochannel
2 жыл бұрын
@@muznarashid8181 😀😀 Asante sana, mtoto atakua na maarifa mengi In Shaa Allah
Nampenda e da Gea maana kazi yake no njema mno
@thuraiyakassim4633
2 жыл бұрын
Gea jamani wewe ni mwanamke na nusu nakubali sana kazi zako love u
@thuraiyakassim4633
2 жыл бұрын
Gea nakubali sana kazi zako wewe ni mwanamke na nusu maashallah love u