EXCLUSIVE: MENINA AFICHUA MAPYA "NILIWACHUKIA JUA KALI, MWIJAKU SIMPENDI, ATATAMBA ILA IPO SIKU"
Mahojiano na msanii Menina, hapa amefunguka mengi kumuhusu yeye ikiwemo kutokuonekana kwenye tamthilia ya Jua kali, sakata lake na Mwijaku kupitia video zao zilizowahi kusambaa mtandaoni. PLAY kutazama FULL INTERVIEW
Пікірлер: 253
Kaka Millard kijana yuko sawa muongezee mshahara 🙌
Menina ako na depression tena Kali Sana anataka faraja zaidi na dakitari Wa ushauri
@michelinemapendo6652
2 жыл бұрын
hauwezi fiwa na mume na mutoto ukawa sawakwa mwezi moja, khaaaaaa kabisa anaitaji daktari 😢😢😢😢
@specialminds23
2 жыл бұрын
Umeona eeh
@japhetkavishe8
2 жыл бұрын
Kweli kabsa she's not good at all
@PaulinaSemindu-ob3de
23 сағат бұрын
Huyu dada n mzur Sana Sana
Mungu akusimamie kwa kila hatua zako kuanzia leo mimi ni shabiki yako namba moja wa mziki wako ✊🏽✊🏽🤝
Ata unge pewa break ya 6 months kwa upande wangu wala hisinge tosha, labda miaka 2 . Mtoto ana uma sana uezi linganisha kazi na kifo cha Mtoto.
Uyu mdada mzuri sana! N yuko open! Ila kuimba simuamini kiivo
@alaikemode4596
2 жыл бұрын
😅😅
Ila mwijaku Daah.... Akamrekod. Dada wawatu maskini pole menina Hakika Mungu yupamoj nawe
Yani hata watu milion wakuseme vibaya mimi nakupenda sana
Menina unani inspire kiukweli maana mtu akikuungalia the way u talk anaweza chukulia simple lkn daaa! Mungu tusaidie
Mwandishi wa habari nimekupenda buree maswali yko 👍
Nimekupenda bure Menina, hongera sana kipenzi, wewe ni Mwanamke jasir sana, Allah akusimamie katika kila hatua unayosonga inshallah 🙏
Aliye kufa baba mtoto ake ndo ame ondoka na mwanaye? Jamani kapitia mazito mpaka nasema yangu afadhali 🙏🙏🙏😫🙏❤ MUNGU akubariki matunda uyaaone mwaka huu urudi kama mwazo
Maa shaa Allah dini unaijua Allah akuongoze njia ilio nyooka
Kiatu chake kizito Dah ,binti mzuri huyu Mungu wetu ampe nguvu
Huyu dada nampendaga sana...she's very beautiful
Mabosi wote ndio kawaida wanataka kazi zao ziende hawajui shida ya mtu hawa ndio moyoni mwanzo kuingia mtoaji ni Mungu sio binadamu tunapitia tu kwao Mungu akupe Subra tusikate tamaa Mungu mkubwa
@fridakessy3651
2 жыл бұрын
Hilo ni kweli kabisa hata Mimi nimelipitia hlo
She z cute💖 I love her personality and her consistency💪, she has been through hell and now she z here with energy and more determinations.🙏 God will never take away his hand of blessing to you #Menina💖
Pole sana menina MUNGU akujalie
Yaan Lamata kha! Hana utu yule llimama halafu anajifanya kukuza vipaji usikute kashampigia hadi luludiva arud location mxieeew
@magrethroberto986
2 жыл бұрын
Kabisaaa yan
@zaynabmwanjovu8277
2 жыл бұрын
Mh,,bas kaz mwenzio ladies na mama
@lucymtallo2785
2 жыл бұрын
Inawezekana aisee
Pole sana.., Mwenyenzi Mungu Azidi Kukubariki
Menina nilikua sikuelew but from now nimekuelewa na pia kuna kitu nimejifunza saana good mtangulize sana Mungu
Yaan ukosef wak kwenye jua kali mtu walomuwek hawezi kkufikia bn
Vidoo uko vizuri sana nikisikiliza interviews zako uwaga sijutii bando langu kabisa.......
Wew menina.igiza tu nandy na zuchu huwawezi
@alaikemode4596
2 жыл бұрын
😅
Allah akuongoze katika njia iliyo bora zaidi na akupe subra na imani zaidi.
Mwijaku muharibifu sana!
Uyu dada amepitia mapito mengi ila kufiwa na mume na mtoto kwa kipindi kimoja maumivu hayaelezeki na ni jasiri sana ila bado hayuko sawa ana stress inaonekana
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Kweli dada huwa nakuonea huluma Sana kwa mapito uliyo pitia kuondokewa na Mme na mtoto hakika mtihani Sana usikie kwa mwezako pole Sana Mungu akupe falaja
Daaah pole sana sio rahisi kuovercome hiyo situation
Unaonekana dini waijua u better stay on film and Mc music huu si njia inayokufaa
Nampenda Menina Sana 💕💞🥰🥰
Pole. Kipenz yaan asilimia kubwa ya mabos wanajal maslai Yao kuliko matatizo. Ya mtu jamqn kwel hisan sio. Biashara kusema. Utapata faida Mungu atakuweka pazur my dear kuwa strong wewe ni super mama ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Ridhik ni Kaz ya Allah si ya mjaa Inshallah 🤲🤲🤲🤲🤲🙏
Tumrudieni Allah dadangu Nyimbo acheni nazo
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
Utamlisha?
Pole menina mitihani tumeumbiwa ili ikujenge zaidi na wewe uko imara .Kuwa karibu na Allah na utaishinda mitihani
Nakupenda Sana menina wangu
Mungu akubariki sana inshaallah
Wewe ni jasiri wewe ni malkia wa nguvu nakupenda na Mungu anakupenda sana keep up a good work may Allah bless you my sister amen
@rosetenga6979
2 жыл бұрын
Pole sana
Usijali menina Mungu azid kukubarik kwakweli
Mtangaziji upo vzr ayo tv 💪💪💪
@vidovidox2632
2 жыл бұрын
Asante sana
I love you Menina.😍😍
Mtangazaji yupo vizuri kwa maswali
Keep it up we support you 😘
Menina dear ,I love you.U've been through hell but umejikusanya
Tell that lady I love her so much and I love what she said
Vidoooo love you so much menina muzuri jmn
kazi ndivo zilovyo mazuri mengi hayaonwi baya moja ndo linaonekana
Very painful pole sanà doh! Hii story imenihuzunisha mno...kujifungua then msiba.na boss wako hakukuelewa
Kiukweli pengo lako la juakali HALIJAZIBIKA.pole sana kwa matatizo.umepitia mengi ila una Mungu😭😭😭😭
Nimekupenda bureee menina💋💋
Mshenzi tuu. Yeye anajali kazi yake na sio afya ya mfanyakazi. Ungeanguka ukafa pale ndo angejua kama afya ilikua haikuruhusu. Bora ulivyo quit
@sweetluc2660
2 жыл бұрын
Yaani huyo boss kichefuchifu Sana pia Hana utu hata kidogo
@stellatogolai1633
Жыл бұрын
Sjiwezi tamuu nimependaa
@irenewilbard9746
Жыл бұрын
Kabisa
Aaan we dada nakupenda 😍😍🤗
Yaani kwa mbaaali kama mimi Mars sauti na sura kidogooo halafu tunamrudisha kuwa menina🙄🤔
Namendaga sana menina
Polee my dad
She's Very strong ❤❤
maskini i loved u as nairah kulko yule twiga kule...pole sana menina😘
Pole sana mchawi yule ajui uchungu waķufiawa
toto zur maashaallah
I loooooove the confident in answering her questions😍
Pole sana menina ridhiki allah ndie mtoaji
Lamata ana roho mbayaaaaaaaa
Vido Vidox Bonge Moja La Interview Safi
Pole sn dada. Ila mwijaku alifaidi bhna pamoja na utaahira woooote ila alifaidi bhna
Pole sn menina
Mungu anataka tusamehe,ss unamuomba Mungu vipi na kuna watu unawachukia? Km kisasi ni cha Mungu lazima usamehe! Usiposamehe hata sala hazipokelewi
@timasalehe3805
2 жыл бұрын
Kamuachia Mungu alichofanya mwijaku hakisameheki
Menina💟💟queen of bongo flavor LAmata kumbe ni BONGENYANYA ASIEFAA.MENINA GOOOOI WATAKUELEWA UNAIMBAA DADA.AFU MREMBO SASA.MWIJAKU AENDE JELA.
@lucymtallo2785
2 жыл бұрын
Na mimi ckuamini kama lamata Ana roho mbaya hivyo
Jmn vido uko vzr wakuongeze mshahara 😘😘
Nakupenda 🥰
Pole Sana meninaa l know how u feel😭
@siwemahatibu3475
2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
Menina i love you from to day
Whaat and the way am waiting you to get back on juacali ...eeish so unfair from kenya
Kama umeamuwa kusali ungeachana na mambo ya kidunia Mungu anamakusudi na Wewe
@EK-kp2np
2 жыл бұрын
Utamlisha na kulipa gharama zake za maisha?
Vido upo juu
Maimartha amechangia asilimia kubwa menina kuwa na maisha magumu, wamemtia kwenye mawazo mpk akawa mzito kurudi juakali
Vido nakupe😍😍😍😍
Menina mwijaku mtu poa ninbahati mbaya. Tu yaache hayo maisha yaendelee
Pole sana
Lamata apo alikosea sanaaa sio vizuli ulivyo fanya kumbe huna ata ustaalabu
@rajabdibwa6415
2 жыл бұрын
Lamata ameeleza vyengine huku Menina anasema vyengine.Sasa nani mkweli?
@zuhuzuli.5150
2 жыл бұрын
@Amina Said Mabonge wanamachozi yakaribu saana lakin roho zao katili saana🤣🤣🤣
Lamata anaroho mbaya kweli mungu amlipe kwa kweli loh
Kumbe lamata ni mshenzi vile... nimemchukia mnoo kumbe hana hata utu tukunyema lile😂😂😂😂
@thebosslady9001
2 жыл бұрын
😂😂😂😂nimecheka eti tukunyema
@lucymtallo2785
2 жыл бұрын
Hata mimi nimemchukia
She's sooo charming bby girl ❤️🥰
Hajakaa eda heee Sasa ndo vipi
Wewe vip
Inaonekana anaongea ukweli
Daahh inasikitisha sana
Yani huyu Dada hayupo Sawa kisaikoloji kabisa
Ila wewe ni Mrembo sana achana mahusiano fanya kazi achana na mahusiano
Hawakukutendeya haki
Bora ujiamin mwemyewe japo wenye bongobfleva yao n zuxhu na Nandy wrwe mwenzio ni Anjera tz
@yumnasuleiman
2 жыл бұрын
@Shadia Ally :kwann wenziwe ni Anjera tz lkn😂
@givenlugenge2212
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hiv wewe una nn?
@nancyg8664
2 жыл бұрын
@@givenlugenge2212 🤣
@giftramadhani9275
2 жыл бұрын
weeeee labda mobeto koma kumtaja anjela
@mmn7480
2 жыл бұрын
kwakweli😅😅😅
❤
Vido vodox unakuja vizur
Lakaa mbili sawa sawa😂
🎉❤
Video sijui umepaka lipshine jamaniiiii dokhooo
Mimi mwenyewe sijamsamehe mwinjaku 😏💔💔
Hana depression maana amepokea matatizo na amekubali kuishi nayo. Na anaendelea na maisha kama kawaida, depression asingeweza kuendelea na majukumu angegombana na watu kibao.
@zenaycechanzinho6702
Жыл бұрын
Exactly....watu hawaijui depression .depression kills.
pole
Leo ndo nmepata jibuu aunt zai mwanae yule mwngne yuko wap nmeulizia weeeeee(Menina) kumbe aliacha ndo akapachikwa zaylissa (Naira) 😚😚😚 hapo ndo nmepata majibu
Muislam wewe Menia ama NIMEKOSEYA??🙃😉
Shida msema mpweke mshindi wangekuweka wote tungejua ukweli
MUNGU MWAMINIFU ATAKUBARIKI NA RUDHKI NYINGINE TENA KUBWA TU MAMY
❤❤❤❤❤❤❤