Yammi Afunguka Zuchu na Nandy walivyokutana Studio pamoja, Nilimbembeleza sana Romy Jons Part 1
Ойын-сауық
Tazamna full interview ya Yammi (Msanii wa Nandy) amefunguka mastori kibao, Zuchu na Nandy walivokutana hivi karibu, alivyokua na Mbosso studio!
Subscribe, Like, Comment & Share
Пікірлер: 42
My best lovely musician yammi 💕 love you
Lil ommy punguza mapozi..its God not guard
Sasa unajielezea vizuri safi sana kaza buti usishuke mamii
King of interview mvp lilommy
Yammy huyoni wangu🇨🇩✌️✌️✌️
Kwakwel nandy ana kazi hapa tusimseme muacheni tu amsuke vzr tupate kilicho bora zaid😢❤
Sauti mashallah ,,yammy
Sauti anayo yami anajuwa kucheza mashalwahu msimkatishe taamaa
Yammi🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Hivi wameshawai toa colabo na nandy huyu
Yammy and Yummy, very different
@khadijabahaji791
5 ай бұрын
Pronunciation the same au vp
Nilitamani iendelee
kwenye interview uyu bint bado sio mzoefu avutii kbsa nand mzoeshe kwenye media tour
@mercypeledawson1622
5 ай бұрын
Anajibu direkt kile alichoulizwa.... hayo mengine wanayofanya wengine ni nyodo tu wanafanyaga
😢😢😢😢😢 ht cjui nackitika nn
@seyyactor1418
5 ай бұрын
😂😂😂😂
Cute ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Nampenda saana uyu binti
Mbona hujamuuliza Madrasa amefikia wapi?
@margaretbirenge4081
5 ай бұрын
😂😂😂cijapentaa
Why kila mtu Madrasa??
@kidatokassim7616
5 ай бұрын
Madrasa watu uimba sana qaswida wengine uanza mapenzi na muziki hapo
@svt3
5 ай бұрын
@@kidatokassim7616alafu wanaita mziki haramu 😂😂😂 watu wanafiki daah
@rahmaoman470
5 ай бұрын
Kwa7bu madrasa huwa inasaidia kutampka herufi vizuli na kuna miondoko frani ya sauti kama sika bayat nahawndi ajemi hizi saut ukizijua ukilet kweny mziki wowte iwe taarabu au bongo freva huwa inaleta mziki mzuli na
@azizaali687
5 ай бұрын
@@svt3Yammy upo vizuri we unae sema anashina zuchu mbuyu ulianza kama mchicha
@svt3
5 ай бұрын
@@azizaali687 sikatai ila uwekezeji wa kutoshq unaitaji kwenye mziki,ukifuata interview ya Kill mu masai kwenye interview kasema wazi Nandi msanii wako Amy akienda ku shoot jaribu kumupatia camera nzuri (namnukuu) sasa msanii chini ya lebel anaenda shoot video na camera mbovu uwekezaji gani huo?
Yummy anajilazimisha kuingia anga za Zuchu!!! Huwezi dada
@fadyabajaber9654
5 ай бұрын
Weh nawe huyo zuchu ana anga zipi mpka aingiliwe😂😂😂😂
@svt3
5 ай бұрын
@@fadyabajaber9654kilicho hapo ukweli ni zuchu iko kwenye lebel ambayo wana brand, lebel inawekeza pesa kwa wasanii wao, lebel ambayo inajuwa ku promote hizo ni anga ambazo hakunap lebel mbili tz kama Wasafi
@elizabethchabluma-zw5qz
5 ай бұрын
Anga zake ni za juu baby
@user-bo2mx9dy6v
5 ай бұрын
Fuck
@user-wp2vr2wi7t
5 ай бұрын
😂😂 eti anga za zuchu