Yammi Afunguka Zuchu na Nandy walivyokutana Studio pamoja, Nilimbembeleza sana Romy Jons Part 1

Ойын-сауық

Tazamna full interview ya Yammi (Msanii wa Nandy) amefunguka mastori kibao, Zuchu na Nandy walivokutana hivi karibu, alivyokua na Mbosso studio!
Subscribe, Like, Comment & Share

Пікірлер: 42

  • @Shebbymoudy
    @Shebbymoudy2 ай бұрын

    My best lovely musician yammi 💕 love you

  • @musaali5151
    @musaali51514 ай бұрын

    Lil ommy punguza mapozi..its God not guard

  • @elizabethchabluma-zw5qz
    @elizabethchabluma-zw5qz5 ай бұрын

    Sasa unajielezea vizuri safi sana kaza buti usishuke mamii

  • @Socrate111
    @Socrate1114 ай бұрын

    King of interview mvp lilommy

  • @patricksivalingana5425
    @patricksivalingana54255 ай бұрын

    Yammy huyoni wangu🇨🇩✌️✌️✌️

  • @seyyactor1418
    @seyyactor14185 ай бұрын

    Kwakwel nandy ana kazi hapa tusimseme muacheni tu amsuke vzr tupate kilicho bora zaid😢❤

  • @damianmcba9525
    @damianmcba95255 ай бұрын

    Sauti mashallah ,,yammy

  • @nadirdoody7955
    @nadirdoody79555 ай бұрын

    Sauti anayo yami anajuwa kucheza mashalwahu msimkatishe taamaa

  • @bigirumanalululouise4540
    @bigirumanalululouise45405 ай бұрын

    Yammi🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦

  • @happychilambo1883
    @happychilambo18835 ай бұрын

    Hivi wameshawai toa colabo na nandy huyu

  • @strong8534
    @strong85345 ай бұрын

    Yammy and Yummy, very different

  • @khadijabahaji791

    @khadijabahaji791

    5 ай бұрын

    Pronunciation the same au vp

  • @frosiekibasila2926
    @frosiekibasila29265 ай бұрын

    Nilitamani iendelee

  • @officialmkusa
    @officialmkusa5 ай бұрын

    kwenye interview uyu bint bado sio mzoefu avutii kbsa nand mzoeshe kwenye media tour

  • @mercypeledawson1622

    @mercypeledawson1622

    5 ай бұрын

    Anajibu direkt kile alichoulizwa.... hayo mengine wanayofanya wengine ni nyodo tu wanafanyaga

  • @suleimansalum7929
    @suleimansalum79295 ай бұрын

    😢😢😢😢😢 ht cjui nackitika nn

  • @seyyactor1418

    @seyyactor1418

    5 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi49435 ай бұрын

    Cute ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Nampenda saana uyu binti

  • @rahjah5882
    @rahjah58825 ай бұрын

    Mbona hujamuuliza Madrasa amefikia wapi?

  • @margaretbirenge4081

    @margaretbirenge4081

    5 ай бұрын

    😂😂😂cijapentaa

  • @sulekato4330
    @sulekato43305 ай бұрын

    Why kila mtu Madrasa??

  • @kidatokassim7616

    @kidatokassim7616

    5 ай бұрын

    Madrasa watu uimba sana qaswida wengine uanza mapenzi na muziki hapo

  • @svt3

    @svt3

    5 ай бұрын

    ​@@kidatokassim7616alafu wanaita mziki haramu 😂😂😂 watu wanafiki daah

  • @rahmaoman470

    @rahmaoman470

    5 ай бұрын

    Kwa7bu madrasa huwa inasaidia kutampka herufi vizuli na kuna miondoko frani ya sauti kama sika bayat nahawndi ajemi hizi saut ukizijua ukilet kweny mziki wowte iwe taarabu au bongo freva huwa inaleta mziki mzuli na

  • @azizaali687

    @azizaali687

    5 ай бұрын

    @@svt3Yammy upo vizuri we unae sema anashina zuchu mbuyu ulianza kama mchicha

  • @svt3

    @svt3

    5 ай бұрын

    @@azizaali687 sikatai ila uwekezeji wa kutoshq unaitaji kwenye mziki,ukifuata interview ya Kill mu masai kwenye interview kasema wazi Nandi msanii wako Amy akienda ku shoot jaribu kumupatia camera nzuri (namnukuu) sasa msanii chini ya lebel anaenda shoot video na camera mbovu uwekezaji gani huo?

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc5 ай бұрын

    Yummy anajilazimisha kuingia anga za Zuchu!!! Huwezi dada

  • @fadyabajaber9654

    @fadyabajaber9654

    5 ай бұрын

    Weh nawe huyo zuchu ana anga zipi mpka aingiliwe😂😂😂😂

  • @svt3

    @svt3

    5 ай бұрын

    ​@@fadyabajaber9654kilicho hapo ukweli ni zuchu iko kwenye lebel ambayo wana brand, lebel inawekeza pesa kwa wasanii wao, lebel ambayo inajuwa ku promote hizo ni anga ambazo hakunap lebel mbili tz kama Wasafi

  • @elizabethchabluma-zw5qz

    @elizabethchabluma-zw5qz

    5 ай бұрын

    Anga zake ni za juu baby

  • @user-bo2mx9dy6v

    @user-bo2mx9dy6v

    5 ай бұрын

    Fuck

  • @user-wp2vr2wi7t

    @user-wp2vr2wi7t

    5 ай бұрын

    😂😂 eti anga za zuchu

Келесі