ameongelea na mengi yanayomuhusu ikiwemo jinsi alivyoweza kuovercome na maisha yanavyoendelea, kazi zake, mtoto wake, na mengi yanayomuhusu
Жүктеу.....
Пікірлер: 578
@K257953 жыл бұрын
UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA
@happynelson1136
3 жыл бұрын
Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
@husnakezakimana3944
3 жыл бұрын
4 2
@linahsemindu9575
3 жыл бұрын
@@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂
@happynelson1136
3 жыл бұрын
@@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana
This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...
@queentz83143 жыл бұрын
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
@jackjudy9182
3 жыл бұрын
fact
@mostyhodari2145
3 жыл бұрын
Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.
@genovivakaijage83363 жыл бұрын
Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu
@salmanyangasa11713 жыл бұрын
Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu
@jovinacbkan77853 жыл бұрын
Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga
@luluadam30863 жыл бұрын
Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭
@OmanOman-cl7kv3 жыл бұрын
😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele
@spreadlove21193 жыл бұрын
Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.
@lailmeeea49083 жыл бұрын
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
@nasrytaiddy6551
3 жыл бұрын
Mimi pia nimelia inaumiza Sana
@tiagolichuchu83493 жыл бұрын
Both of you girls are looking gorgeous.
@rukiamohammed50313 жыл бұрын
Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏
@fatmann63413 жыл бұрын
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
@WORDOFMYCREATOR3 жыл бұрын
Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo
@gracemollel75033 жыл бұрын
Half of her cute is her brain luv u menina
@chibesalalata14683 жыл бұрын
For real you make me cry may God bless you
@aoman52143 жыл бұрын
Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana
@prudencemushi69483 жыл бұрын
I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina
@zennakailo81063 жыл бұрын
Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah #Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri
@mytelecom2019
3 жыл бұрын
fikisha pole yangu kwa menina
@zennakailo8106
3 жыл бұрын
@@mytelecom2019 inshaAllah 😄
@mcrithawaukweli48853 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu
@cessianthony26443 жыл бұрын
Menina my fav since bss..Nampendaga Sana...
@kerryhoza61733 жыл бұрын
Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘
@dannymoses18823 жыл бұрын
pole sana menina me nakupenda nanimesahau nilioyaona we endelea nakaz zako na mungu akusaidie
@islandgirl45783 жыл бұрын
Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo
@sophiaagustino31583 жыл бұрын
Too much maongezi ya Adas . Do a way ya kupungua . Proud of you and love you😘
@anniejojo91263 жыл бұрын
Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like
@aoman52143 жыл бұрын
Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada
@lyidiaerick9145
3 жыл бұрын
Maskini pole sana sana ..
@nailaomar48103 жыл бұрын
Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah
@nambuacassandramlaki35163 жыл бұрын
We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..
@aliamirbakar55803 жыл бұрын
MENINA mungu atakupa subra na alie fanya hili mungu atamlipa MENINA you're beautiful
@kekiplus1andonly3 жыл бұрын
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao. Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule
@lucynzai92763 жыл бұрын
Pole sana love nkupenda menina💞💞💯💯💯💯💯💯💯💯💯
@shakirasalum43443 жыл бұрын
Umenifanya nilie mpenz pole sana my love mungu atamuhukumu aliefanya hivi mpenz love u
@hassanhancha14133 жыл бұрын
Dah kwa kweli leo imeniuma sitakaa kumuhukumu binadamu mwengine Sis menina pole sana
@ericklaura7511
3 жыл бұрын
👍
@rahmarashid56353 жыл бұрын
Pole menina wangu na jinsi ulivyofanana na Mie pole habibty kila mtu anafanya hata wenyenndoa madhali hujajiuza hujafanya biashara pole twin wangu na da Zama ulivyopendeza Mashallah Mashallah nguo yako ya stara nanulivyotulia kuuliza Zama uko juuu
@dn.n49833 жыл бұрын
Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa
@omegatesha12273 жыл бұрын
Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww
@fatmayussuf99803 жыл бұрын
Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘
@leaherasto9293 жыл бұрын
I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu
@rahimaaaaa5682
3 жыл бұрын
Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥
@aichaabdul5844
3 жыл бұрын
Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.
Naomba kushauri kitu. Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
@mariangoi2569
3 жыл бұрын
Asante kaka nmejifunza
@mercydeo4040
3 жыл бұрын
Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani
@hafidhmohd8696
3 жыл бұрын
@@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu
@chocolatebby68
3 жыл бұрын
shukran kwa ujumbe wako
@hafidhmohd8696
3 жыл бұрын
@@chocolatebby68 afwan
@aynesshezron47113 жыл бұрын
Zama unahoji Kwa hisia sana hongera...menina kuteleza siyo kuanguka Mungu akusimamie ktk yote..maisha yanaendelea..
@BigZhumbe3 жыл бұрын
Menina is so cute. I just love her ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@chany99503 жыл бұрын
Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘
@MohammedAli-vq2dk3 жыл бұрын
Pole Sana many ila mashaa Allah nywele
@mwasimbega87123 жыл бұрын
Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰
@nasrajuma136
3 жыл бұрын
💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby
@nasrajuma136
3 жыл бұрын
@@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake
@nyimbonizipendazo3 жыл бұрын
Zamaradi umependeza, make up on point ❤️
@meena-ol6fo3 жыл бұрын
Wow don't cry umefanya nimelia huyo mbwa alofanya hivyo sheria ichukue mkondo wake mamaake angerekodiwa angefurahia na bichwa lake kaa pumbu la babaake....your beautiful and you will always be am so proud of u
@saidahj25433 жыл бұрын
Kapole maskini...I love you❤❤❤
@rosemofuga63133 жыл бұрын
Interview iko vizuri na imetulia sana
@sophiaabdalla65993 жыл бұрын
Umefunguka usawa katika safari ya mafanikio mitihani lazima yatokee.pole kwa mtihani uliokufika.i wish you all the best in your life 🇰🇪love u my dear actress.allah ndie atakuhukumia...
@albs14483 жыл бұрын
Kwa kifupi limetokea ila hujasema wewe kulala na mume wa mtu, unasema umelelewa kwenye dini, then why you slept with a married man? Na tuache kumsingizia Mungu jamani, Mungu hakuambii uende kulala na mume wa mtu na zaidi urekodi then unataka haki pale unaumbuka. Labda Mungu alitaka uumbuke ili ubadilishe tabia ya kutaka kuvunja ndoa za watu. Inaoneka sio mara yako ya kwanza.Hilo ndio jibu la kweli so umekosea, wewe omba msamaha then move on. Hapo ndio jambo la maana
@ZaharadaffaZaharadaff3 жыл бұрын
Don cry menina we love you 😭😭
@mukrimkhamis6783 жыл бұрын
Inshaalah M/Mungu atujalie mwisho mwema kwa sote##🙏🙏🙏🙏
@faulatafahmi77333 жыл бұрын
Mzuri menina MaashaAllah
@queenmollel95933 жыл бұрын
Dada Zamaradi umedamshi sana kama kawaida, wanawake oyeeeeee💪
@kwizerazenab8143 жыл бұрын
Pole Sana kwakweli inaumiza Allah atamlipa alie yafanya
@prhairsalon3143 жыл бұрын
Pole sana, Leo kwa mara ya kwanza nimeelewa kiasi gani, uliumizwa na yaliyo kupata, Mungu akutie nguvu, akupe amani na akusimamie kwa kila jambo unalolifanya, Epuka marafiki wabaya, na jifunze kutokana na makosa. Amani na Upendo vikuzunguke kila uendapo. Amina
@Emmy226553 жыл бұрын
U look so woooow 😘😘😘and beautiful 💕💞💕💞💕💞🍾🥂🥂🍾my zama. Love u more from south Africa😘😘😘😘😘
@elizabethlameck48293 жыл бұрын
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
@tinalucas62843 жыл бұрын
Pole mpendwaa wangu menina😢😢
@mariajohn89653 жыл бұрын
Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘
@officiallymercymargaret32593 жыл бұрын
Pole sana ni mitihani ya Dunia let's move on forward
@azizamufty63273 жыл бұрын
Poleee sana kpnz nmekuonea huruma mpk nmelia jmn...
@dottnatt71103 жыл бұрын
Nasi tuliterekenzwa na baba zetu tunabaki😭😭 nami ningelelewa na baba hakika ningejivunia wallah😭😭
@maureensunguya8779
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndiye baba yako
@joycempalanzi6199
3 жыл бұрын
Hakika inauma sana Ila mungu ndo baba etu wa kudumu
@getmad99083 жыл бұрын
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
@dmajumbu20003 жыл бұрын
sasa Mungu alikuchagua wewe vipi hapo jaman mbona Mungu mnamshishikiri kwenye kitu ambacho si sahihi???? Mungu muache kwanza we tafuta njia ya kupooza uchungu ila Mungu muache. Kwan ulibakwa???? Maana kwenye video naona unaangalia kabisa camera na utam kuusikilizia jaman. Afu unasema sababu we mwanamke...Wanawake bwana tunapenda kutumia jinsia yetu kutia huruma pindi tunapofanya mambo tofauti...si sawa.
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
We naye acha kujifanya mjuaji...usipende kuhukumu...! Unakera
@davidmasasi5497
3 жыл бұрын
Hahaha na utamu aliusikilizia... ila kiukweli hakuna aliyemuonea ila yeye mwenyewe alifanya upuuzi kwa kukubali kurekodi wakati akifanywa...
@aishachambo3293
3 жыл бұрын
Doreen majumbu Wanatetea ujinga ndo kazi zao kipiga picha za uchi zikivuja hooo namwachia Mungu
@klystry1234
3 жыл бұрын
Mdomo wako nauonea huruma
@kisskiss2766
3 жыл бұрын
🥴🥴🥴
@shadiayunus98593 жыл бұрын
Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj
@assoumnassor29303 жыл бұрын
Pole sana dada, lkn usiseme ni kitendo cha kawaida kila mtu anakifanya, au kama mungu alikuchagua ww ili uwe sauti ya wengine, ni kweli watu wanafanya lakini jiulize wanfanya kwa njia gani? especially ww ni Muislamu, zinaa haifai, tena naamini hii zinaa si kma haifai ktk dini ya uislamu tu bali ni ktk dini zote, siku zote Allah humpa mtihan mja wake ambae anamkera ili na yy ajiskie maumivu kwa vile anaenda kinyume na matakwa na ridhaa yake.
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
Kunywa fanta #safia nassoro
@maureenandrew86363 жыл бұрын
This girl is soooooo pretty
@leaherasto9293 жыл бұрын
Menina mzur jamani Mashaalah
@omytifa6403
Жыл бұрын
MashaALLAH
@hawajuma83793 жыл бұрын
Pole sana menina mungu atakutia nguvu majalibu yapo mengi usikate tamaa
@beatriceantapa59403 жыл бұрын
Don't cry darling .....keep moving darling
@aoman52143 жыл бұрын
Menina upo kama Mimi ninavyompenda Baba uwiiiii hata cjui nisemej mwenyez Mungu aendelee kumtunza Baba angu
@zuhuramohamed3424
3 жыл бұрын
Same pia kwangu mm baba n rafk yangu mkubwa.
@rahimalewe2835
3 жыл бұрын
Kama mm nimempenda babangu Sana lkn ameniacha last month 😭😭😭😭😭😭😭
@zuhuramohamed3424
3 жыл бұрын
@@rahimalewe2835 jaman pole mwaya dear
@halimachubi2845
3 жыл бұрын
Ad mm tena saana yn baba ang duh mungu amueke
@khadijamsoma72503 жыл бұрын
Your strong enough menina
@azizaosman62863 жыл бұрын
Pole menina mungu atakulipia
@estherelias56093 жыл бұрын
Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu
@dr.madevualcantara4775
3 жыл бұрын
Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya
@dorislema1814
3 жыл бұрын
@@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini
@aishaiddi8326
3 жыл бұрын
Pole daa unaniliza bure move on menina
@hapi61133 жыл бұрын
So sad and very sorry, you make me cry😓😓 wanawake tunadharaulika Sana tunateseka sana
@bellahariminshi51493 жыл бұрын
Mungu azidi kuku bariki na akuwekeye wepesi katika mambo yako.
@helenbrayan6553 жыл бұрын
Mdogo wangu mshukuru allah kwa yote.mungu atakulipa ww ni funzo kwa ss wengine love you mdogo wangu
@mimiapa84363 жыл бұрын
Pole sweet Allah azidi kukuongoza yote mitihani humfika kila mtu
@aurora19673 жыл бұрын
Nimekupenda menina
@evelynmathew90573 жыл бұрын
Nakupenda sana meninah your so beautiful mashaallah
@bahatiagape71213 жыл бұрын
Pole sana jmn Menina... Nakupenda sana....Nakuombea.🙏❤️💗
@aminamussahmsumuka65583 жыл бұрын
Pole mwaya hayo ni mapito tu acha maisha yaendelee mshtakie mungu tu
@art.ib63 жыл бұрын
Vizuri Sana zama Leo una tishu
@diana_james92693 жыл бұрын
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@davidone1313
3 жыл бұрын
Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww
@davidone1313
3 жыл бұрын
Ebu tuambie ww ukweli
@diana_james9269
3 жыл бұрын
@@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you
Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti
@aishajumanne26983 жыл бұрын
Kila nikiangalia hii interview huwa nalia du Allah tulindie wanetu.ikisha don't trust anybody.usikubali kuchukuliwa video in any case.pole menina ww ni mrembo na mzuri sana
@muniramohammed23283 жыл бұрын
Zamaradi you look 🔥 Allah akusamehe menina
@maserojoseph90733 жыл бұрын
Pole sana mdogo wng menina hii ndo dunia
@hamidajuma39093 жыл бұрын
Pole Menina hawa wanaume baazi yao wanatabia mbaya Sana. Pole sana
@judiehance17363 жыл бұрын
Da zama umewaka ❤️❤️❤️
@kerryhoza61733 жыл бұрын
Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana
Pole sana menina.sikuiona na wala sikutaka kuiona ...niliumia on behalf na nikamwona yule kaka ni mbaya.hata afanyaje nini l no longer have interests na hata kumuona kwenye social media inaboa..nakupenda menina
@perpetuagodfrey70503 жыл бұрын
Mapenda sana interview zako zamaran
@mariamkilama22663 жыл бұрын
Yani watu jamani kwa kukuza ya wenzao utafikiri wao hawafanyagi chochote
@rosemofuga63133 жыл бұрын
Umenifanya nilie mennina, pole my dya
@aishasaidi21603 жыл бұрын
Pole sana Dada angu usilie wala uskate tamaa watanzania tumekuelewa
Пікірлер: 578
UYU MTOTO MENINA KAMA MZURI NAMPENDA KBX KAMA NAWE UNAMPENDA GONGA LIKE HAPAA
@happynelson1136
3 жыл бұрын
Huyo alietoa hiyo video alitaka tu kumharibia huyu dada kwa makusudi na huyo jamaa amefeli sababu huyo demu ni mzuri sana na maisha yake bado yanaendelea vizuri sana na maisha yake yatazidi kuendelea kwa kasi kubwa
@husnakezakimana3944
3 жыл бұрын
4 2
@linahsemindu9575
3 жыл бұрын
@@happynelson1136 limwijaku hilo cjui nae menina alimpendea nn lile dume khaa😂
@happynelson1136
3 жыл бұрын
@@linahsemindu9575 mimi pia nashangaa kwa nini Meninah alilala na mwijaku yaani nashangaa sana sababu Meninah ni mtoto mrembo sana
@happynelson1136
3 жыл бұрын
@@linahsemindu9575 tatizo Meninah alijekodi mwenyewe
Nakupenda menina ur so beautiful no matter what
This interview was conducted respectful and professionally, alot of lessons learnt. Thank you
Am glad unasema ni kikombe chako ulitakiwa kukinywa mama...usijali,maisha yanaendelea,naendelea kukusifu kuvuka daraja hilo...
Zama tuletee Chidibez I think we need to know him more nilimkuta mahali juzi kanenepa anawapa wapa watu somo la maisha na anayoendelea kupita hakiyamungu sikumjua zaidi ya sauti ila anaonekana anamachungu mengi na majuto mengi ya umaarufu please mtafute. Nahongera now sauti everything is good. And Menina pole we Love you no matter......yr young and strong bby
@jackjudy9182
3 жыл бұрын
fact
@mostyhodari2145
3 жыл бұрын
Zamaradi jitahi kuongeza sauti unanong'ona sana wakati mwingine.
Mrembo,makosa kila mtu hufanya tusipende kuhukumu
Dah! Aiseh umenifanya nimelia Menina. Tumekuelewa mumy...pole Sana mpenzi wangu
Pole sana,mdogo wangu,wala atukuhukumu dia,nakuelewa sana Menina,pole dia.
Kila mwanamke anatakiwa kujipenda yeye kwanza,kujithamini na kuimarika katika ujasiri ...usikate tamaa juu ya vitu vidogo
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Ukishajitambua tu wewe ni Nani .itakutoa sehemu moja kwenda nuingine. .shida wamama wengi hawajitambui...woga na hofu na stereotype za kijinga
Menina nakupenda sana dah hadi nmetoa mchozii😭😭
😭haki umeniliza Roho inauma Sana mambo mfanye faragha mwezako ayatoe nje yanaumiza sana sema ishatokea songambele
Ibilisi wa mtu ni mtu mdogo wangu, life goes on 😋.
Dah! pole sana umenifanya nilie na mi dah menina pole wng nakupenda sana hayo yote ni mapito tu pole sana Mungu atakulipia tu kwa wakati wake inshaallah
@nasrytaiddy6551
3 жыл бұрын
Mimi pia nimelia inaumiza Sana
Both of you girls are looking gorgeous.
Zama kumbe kichen part cha wananzengo kukueleza kuwa na tissues kimekuingia hongera sn 👏👏
Yaani huyu dada kichwa chake bado hakijakaa sawa masikini anajikaza tuu yaani akihojiwa unamuona kabisa anawaza Ile Hali iliyomtokea kabla hajuulizwa pole Sana dadà mungu atazidi kukupa amanii akuna atakae maumivu yako
Interview poa sana.Sama you so smart and your Interviews are very interesting. You can't skip you need all the details in your Interviews. Bravo
Half of her cute is her brain luv u menina
For real you make me cry may God bless you
Kabla cjaendelea naomba nikupongeze da Zama umependeza sana
I have totally changed my attitude toward you this interview has changed everything.... Keep going Menina
Maisha haya nyie tunatoka mbali Dah aiseeeee pole Minnah #Zamaradi tunakupenda mama kwa interview zako mzuri
@mytelecom2019
3 жыл бұрын
fikisha pole yangu kwa menina
@zennakailo8106
3 жыл бұрын
@@mytelecom2019 inshaAllah 😄
Mungu akutie nguvu mwanamke mwenzangu
Menina my fav since bss..Nampendaga Sana...
Zamaradi umependeza sana...u look so gorgeous...!👌😍😘
pole sana menina me nakupenda nanimesahau nilioyaona we endelea nakaz zako na mungu akusaidie
Mwijaku sio mtu mzuri hamissa nakupa pole kwa yajayo
Too much maongezi ya Adas . Do a way ya kupungua . Proud of you and love you😘
Nani mwingine ameona sura ya bahati bukuku kwa menina?gonga like
Pole Sana menina kuna wanaume wengine hawana akili kabisaaa nilipoonaga niliumia Sana aiseee pole Dada
@lyidiaerick9145
3 жыл бұрын
Maskini pole sana sana ..
Zama u looking beautifull I like ur makeup with dress mashaallah
We love you MENINA...I LOVE YOU......YOU ARE A GOOD GIRL..
MENINA mungu atakupa subra na alie fanya hili mungu atamlipa MENINA you're beautiful
Pole mama hajna haja ya kulia,maisga yanasonga...kuteleza sio kuanguka,nakusifu ulipata ujasiri wa kunyanyuka na kuendelea na maisha ...wanaume ni mbwa usilie juu yao. Mwijaku ni fala mstari wa mbele,haistahili chozi lako..usimpe nafasi iyo
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
Nashangaa clouds wameamuajiri..pumbafu sana yule
Pole sana love nkupenda menina💞💞💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Umenifanya nilie mpenz pole sana my love mungu atamuhukumu aliefanya hivi mpenz love u
Dah kwa kweli leo imeniuma sitakaa kumuhukumu binadamu mwengine Sis menina pole sana
@ericklaura7511
3 жыл бұрын
👍
Pole menina wangu na jinsi ulivyofanana na Mie pole habibty kila mtu anafanya hata wenyenndoa madhali hujajiuza hujafanya biashara pole twin wangu na da Zama ulivyopendeza Mashallah Mashallah nguo yako ya stara nanulivyotulia kuuliza Zama uko juuu
Mungu hakubariki unekana mkarimu sana sauti yako fanya kazi usikate tamaa
Malipo ni hapa hapa duniani. Pole Dada, ila aliyekufanyia hivo na alaaniwe na mbingu na ardhi imeniuma sana aki!
@mutwalesylvie7443
3 жыл бұрын
Tatizo nima pombe kisha mtu unaefanya nae ana mapenzi na ww
Mungu atakuhukumia inshallah menina be strong 😘😘
I love you Menina, Zama interview zako lazma mtu alie unajua Sana kuhoji mtu
@rahimaaaaa5682
3 жыл бұрын
Lkn tunalizwa nass wangaliaji😥😥😥
@aichaabdul5844
3 жыл бұрын
Kulia kiafya ni jambo zuri, jitahidi uwe unalia mara kwa mara.
@itshaluastyle
3 жыл бұрын
AFRICAN Fashion kzread.info/dash/bejne/ip97rtxwmtWXpto.html
@dorislema1814
3 жыл бұрын
@@aichaabdul5844 hahahahahahahahahhaha
Naomba kushauri kitu. Jaman tunaona weng wasaniii na baadhi ya watu maarufu kuona tendo la ndoa ni jambo la kawaida kabla ya ndoa na ukiabika unazan ni kosa la mtoaji tu jaman sometimes muwe na akili na fikra sio kila unachopewa ni kupimwa iman tu bali ni adhabu kutokana na kumkosea Allah bali wanawake punguzeni kufanya zinaa na zinaa sio halali kam hujaolewa tusiseme tu ni makosa ya kawaida bali ni makosa makubwa na ya kipumbavu sana unatijistiri ndio na Allah anakuepushia kuaibika na PIA ni adhabu ya Allah NB: wasanii wa binaadamu wenzang zinaa ni haramu na ni zambi kubwa mno na tusijisifie dhambi ni ujinga kmnuna uwezo ooa sio kufanya zinaa tusisme unapenda kufanya mapnz wakat ni haramu na unajua Ila wao vioo vya jamii ndio wanaoeneza uchafu
@mariangoi2569
3 жыл бұрын
Asante kaka nmejifunza
@mercydeo4040
3 жыл бұрын
Umesema kweli kaka jamii imehalalisha zinaa inaonekana ni kitu Cha kawaida kabisa, Mungu aturehemu jamani
@hafidhmohd8696
3 жыл бұрын
@@mercydeo4040 true Allah atusamehe makosa yetu
@chocolatebby68
3 жыл бұрын
shukran kwa ujumbe wako
@hafidhmohd8696
3 жыл бұрын
@@chocolatebby68 afwan
Zama unahoji Kwa hisia sana hongera...menina kuteleza siyo kuanguka Mungu akusimamie ktk yote..maisha yanaendelea..
Menina is so cute. I just love her ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeria saana jamani 😭😭😭pore sana menina love youuu 😘😘
Pole Sana many ila mashaa Allah nywele
Umenifanya nilieeee😭😭..pole babygirl🥰
@nasrajuma136
3 жыл бұрын
💣😓😓😓nimelia mpk nimejisikia viby
@nasrajuma136
3 жыл бұрын
@@Shayy97 kuna muda maisha yakuzalilishwa tunapitia wengi hata wew yakikufika ndipo utajua uchungu wake
Zamaradi umependeza, make up on point ❤️
Wow don't cry umefanya nimelia huyo mbwa alofanya hivyo sheria ichukue mkondo wake mamaake angerekodiwa angefurahia na bichwa lake kaa pumbu la babaake....your beautiful and you will always be am so proud of u
Kapole maskini...I love you❤❤❤
Interview iko vizuri na imetulia sana
Umefunguka usawa katika safari ya mafanikio mitihani lazima yatokee.pole kwa mtihani uliokufika.i wish you all the best in your life 🇰🇪love u my dear actress.allah ndie atakuhukumia...
Kwa kifupi limetokea ila hujasema wewe kulala na mume wa mtu, unasema umelelewa kwenye dini, then why you slept with a married man? Na tuache kumsingizia Mungu jamani, Mungu hakuambii uende kulala na mume wa mtu na zaidi urekodi then unataka haki pale unaumbuka. Labda Mungu alitaka uumbuke ili ubadilishe tabia ya kutaka kuvunja ndoa za watu. Inaoneka sio mara yako ya kwanza.Hilo ndio jibu la kweli so umekosea, wewe omba msamaha then move on. Hapo ndio jambo la maana
Don cry menina we love you 😭😭
Inshaalah M/Mungu atujalie mwisho mwema kwa sote##🙏🙏🙏🙏
Mzuri menina MaashaAllah
Dada Zamaradi umedamshi sana kama kawaida, wanawake oyeeeeee💪
Pole Sana kwakweli inaumiza Allah atamlipa alie yafanya
Pole sana, Leo kwa mara ya kwanza nimeelewa kiasi gani, uliumizwa na yaliyo kupata, Mungu akutie nguvu, akupe amani na akusimamie kwa kila jambo unalolifanya, Epuka marafiki wabaya, na jifunze kutokana na makosa. Amani na Upendo vikuzunguke kila uendapo. Amina
U look so woooow 😘😘😘and beautiful 💕💞💕💞💕💞🍾🥂🥂🍾my zama. Love u more from south Africa😘😘😘😘😘
Katika yote,,pole Dada ila MUNGU ni mwema wakati wote nakupenda Tamthilia ya Tand umecheza vizuri sana napenda kuifatilia wewe ukiwa mshawishi mkubwa❤️umependeza
Pole mpendwaa wangu menina😢😢
Ila dada Zamaradi i really like interview zako yaan ni za kipekee sana 😘
Pole sana ni mitihani ya Dunia let's move on forward
Poleee sana kpnz nmekuonea huruma mpk nmelia jmn...
Nasi tuliterekenzwa na baba zetu tunabaki😭😭 nami ningelelewa na baba hakika ningejivunia wallah😭😭
@maureensunguya8779
3 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ndiye baba yako
@joycempalanzi6199
3 жыл бұрын
Hakika inauma sana Ila mungu ndo baba etu wa kudumu
Loma usimtiye mungu kwenye zina, ww !!!sema Shaitan Ndo kakupitiya hapo na mungu ndo Kwa kkumbuwa, pili hilo liwe fundisho Kwa mwwnmke yy atakaye kubali kurekodiwa hata kama ni mume wako, juwa huweza akawa adui wako siku mmoja 🙏🙏🙏
sasa Mungu alikuchagua wewe vipi hapo jaman mbona Mungu mnamshishikiri kwenye kitu ambacho si sahihi???? Mungu muache kwanza we tafuta njia ya kupooza uchungu ila Mungu muache. Kwan ulibakwa???? Maana kwenye video naona unaangalia kabisa camera na utam kuusikilizia jaman. Afu unasema sababu we mwanamke...Wanawake bwana tunapenda kutumia jinsia yetu kutia huruma pindi tunapofanya mambo tofauti...si sawa.
@masalakulwa7601
3 жыл бұрын
We naye acha kujifanya mjuaji...usipende kuhukumu...! Unakera
@davidmasasi5497
3 жыл бұрын
Hahaha na utamu aliusikilizia... ila kiukweli hakuna aliyemuonea ila yeye mwenyewe alifanya upuuzi kwa kukubali kurekodi wakati akifanywa...
@aishachambo3293
3 жыл бұрын
Doreen majumbu Wanatetea ujinga ndo kazi zao kipiga picha za uchi zikivuja hooo namwachia Mungu
@klystry1234
3 жыл бұрын
Mdomo wako nauonea huruma
@kisskiss2766
3 жыл бұрын
🥴🥴🥴
Wallah nimelia ila aliyefany hivo atakuj kulipwa, sio vzur na ni udharirishaj
Pole sana dada, lkn usiseme ni kitendo cha kawaida kila mtu anakifanya, au kama mungu alikuchagua ww ili uwe sauti ya wengine, ni kweli watu wanafanya lakini jiulize wanfanya kwa njia gani? especially ww ni Muislamu, zinaa haifai, tena naamini hii zinaa si kma haifai ktk dini ya uislamu tu bali ni ktk dini zote, siku zote Allah humpa mtihan mja wake ambae anamkera ili na yy ajiskie maumivu kwa vile anaenda kinyume na matakwa na ridhaa yake.
@azzamahamdu7039
3 жыл бұрын
Kunywa fanta #safia nassoro
This girl is soooooo pretty
Menina mzur jamani Mashaalah
@omytifa6403
Жыл бұрын
MashaALLAH
Pole sana menina mungu atakutia nguvu majalibu yapo mengi usikate tamaa
Don't cry darling .....keep moving darling
Menina upo kama Mimi ninavyompenda Baba uwiiiii hata cjui nisemej mwenyez Mungu aendelee kumtunza Baba angu
@zuhuramohamed3424
3 жыл бұрын
Same pia kwangu mm baba n rafk yangu mkubwa.
@rahimalewe2835
3 жыл бұрын
Kama mm nimempenda babangu Sana lkn ameniacha last month 😭😭😭😭😭😭😭
@zuhuramohamed3424
3 жыл бұрын
@@rahimalewe2835 jaman pole mwaya dear
@halimachubi2845
3 жыл бұрын
Ad mm tena saana yn baba ang duh mungu amueke
Your strong enough menina
Pole menina mungu atakulipia
Jaman Pole kwa yote,ki ukwel tumekuwa na tabia ya kuhukumu kana kwamba sie ni wakamilifu
@dr.madevualcantara4775
3 жыл бұрын
Yaani nyinyi munachekesha san mufanye xxx video mutume than mujidai mumekosea kumbe mumekusudia..aendelee tu tumemis mzigo mpya
@dorislema1814
3 жыл бұрын
@@dr.madevualcantara4775 ila kwel kwanin wajirekodi wanafanya ivo ili nini
@aishaiddi8326
3 жыл бұрын
Pole daa unaniliza bure move on menina
So sad and very sorry, you make me cry😓😓 wanawake tunadharaulika Sana tunateseka sana
Mungu azidi kuku bariki na akuwekeye wepesi katika mambo yako.
Mdogo wangu mshukuru allah kwa yote.mungu atakulipa ww ni funzo kwa ss wengine love you mdogo wangu
Pole sweet Allah azidi kukuongoza yote mitihani humfika kila mtu
Nimekupenda menina
Nakupenda sana meninah your so beautiful mashaallah
Pole sana jmn Menina... Nakupenda sana....Nakuombea.🙏❤️💗
Pole mwaya hayo ni mapito tu acha maisha yaendelee mshtakie mungu tu
Vizuri Sana zama Leo una tishu
So true the person who did this to her it is very evil, let us respect women , the person who removed that video out know that you really tortured this lady, you really killed her, the shame she went through oh my God just help her please, the person who did it you don't deserve to be with any woman in your life. 😭😭😭😭😭😭😭😭
@davidone1313
3 жыл бұрын
Unasema sio kweli.....ebu tuambie ww
@davidone1313
3 жыл бұрын
Ebu tuambie ww ukweli
@diana_james9269
3 жыл бұрын
@@davidone1313 unamanisha nini tafadhali, what do you mean with your comment i don't get you
@itshaluastyle
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/ip97rtxwmtWXpto.html AFRICAN FASHION||
@witnessmbilinyi3281
3 жыл бұрын
Diana Obondo hajaelewa ulichoongea na alichoelewa ni vitu viwili tofauti
Kila nikiangalia hii interview huwa nalia du Allah tulindie wanetu.ikisha don't trust anybody.usikubali kuchukuliwa video in any case.pole menina ww ni mrembo na mzuri sana
Zamaradi you look 🔥 Allah akusamehe menina
Pole sana mdogo wng menina hii ndo dunia
Pole Menina hawa wanaume baazi yao wanatabia mbaya Sana. Pole sana
Da zama umewaka ❤️❤️❤️
Nywele yako nimeilewa sana..! Alokutengeneza kakunogesha sana
@sitisule6812
2 жыл бұрын
Jamani watanzania acheni ujinga!mfanye uchafu wenu Kisha mtie mungu ndani, astaghafirullah
Pole sana menina.sikuiona na wala sikutaka kuiona ...niliumia on behalf na nikamwona yule kaka ni mbaya.hata afanyaje nini l no longer have interests na hata kumuona kwenye social media inaboa..nakupenda menina
Mapenda sana interview zako zamaran
Yani watu jamani kwa kukuza ya wenzao utafikiri wao hawafanyagi chochote
Umenifanya nilie mennina, pole my dya
Pole sana Dada angu usilie wala uskate tamaa watanzania tumekuelewa