#EXCLUSIVE

Ойын-сауық

WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 71

  • @kazkaz1943
    @kazkaz19432 жыл бұрын

    Usililie uzuri lilia bahati huu msemo unamvaa vema huyu bint she s very beautiful ila ndo hanaga bahati na asiye na bahati habahatish😪😪😪 kapo kama malaika ila bahati bahat daaaaah

  • @eddietaz710

    @eddietaz710

    2 жыл бұрын

    sio hana bahati, hana akili

  • @hajiameir3733
    @hajiameir37332 жыл бұрын

    Hii ya kuona mabaya na kuyafananisha au kunasibisha na weusi ndio vipi.????mabaya ni mabaya...rangi nyeusi imehusikaje???acheni kuiona rangi nyeusi inawiana na ubaya

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Pole sana kipenzi

  • @rosechami5637
    @rosechami56372 жыл бұрын

    This woman hakufanyiwa vizuri Ila yeye pia alikosea kutembea na mume wa mtu pia was so bad

  • @joshuaclement6775
    @joshuaclement67752 жыл бұрын

    Diva your professional🙌

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana99202 жыл бұрын

    Sema kweli wadada kuweni makin Sasa mtu kama mwijaku kweli!!!

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Big mistake, hakujua kama Mwijaku ni taahira.

  • @gookagooka8933

    @gookagooka8933

    2 жыл бұрын

    Mzenzi Yule

  • @estermathias8354

    @estermathias8354

    2 жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    2 жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 hahahha aisee 😁😁😁😁

  • @jabarmalid5393

    @jabarmalid5393

    2 жыл бұрын

    Sio mtu, Lijitu lile

  • @draaonline7923
    @draaonline79232 жыл бұрын

    Ni vibaya kuchukua clip wacha kudanganya watu

  • @seifsungura6936
    @seifsungura69362 жыл бұрын

    Shangingi tu nyie ..wote mashetani ..mungu gani mnaabudi nyie......

  • @simoncharles6475
    @simoncharles64752 жыл бұрын

    menina hujielewi ww ulijirecord mwenyewe na makalio yako ya dimpozzz sasa mwijaku c ni choko tu yule kam choko wengin

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid53932 жыл бұрын

    We mdogo wangu lile lijamaa Liboya lile dah!!! Wadada mnahuruma sana.

  • @williamkeita1519
    @williamkeita15192 жыл бұрын

    Mungu Mungu Mungu × atakulipa × marakibao haikusaidii dada ALLAH kawapa onyo wengi walio na tabia hiyo kupitia wewe. Ukubwa wa dhambi ya dhinaa ukiunganisha na kuisambaza mitandaon n kubwa mno.next time ukihojiwa kubali ww ndio mkosaji mkuu na iombe sana msamaha jamii na hasa wanawake.

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Anakuwa vipi mkosaji mkuu wakati baada ya yeye kulewa(stupidly of course) Mwijaku akatumia opportunity kurekodi ile clip na akawa akimtisha nayo(which is pure blackmail and a grievous criminal offense) na baadaye akaisambaza, the outcome of this case before the court of law will reveal all the hidden facts.

  • @williamkeita1519

    @williamkeita1519

    2 жыл бұрын

    @@unclepwechnov1381 Kulewa kwake kupigwa picha n msg tosha kwa wadada wengne wanao fakamia mipombe ya watu wasiowajua tabia.inshot mi ninamlaumu menina coz jukum la kulinda utu na thaman yake n lake mwenyewe. Mahakama itatoa adhabu kwa huyo pimbi mweusi wa kigoma but haitorudisha utu wala thaman ya menina ndio hivyo tunamuona kiaina yaan wadada wajipendao wajifunze kwake

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma2 жыл бұрын

    Wote ni mafala mkiambiwa acheni zinaa inaleta ufakili na yani kwenye kuzini uliona ni vizuri nankiri kuwa kuchukua video sio vibaya vibaya ni kusambaza na kama unasubiri aadhirike mmeshaadhirika wote kikubwa omba toba acha zinaa kama bado unafanya na bado unaalani wazinifu wenzako linaweza kukuta kubwa kuliko inawezekana mwenzako kaomba toba tubia dadayangu kabla punzi haijakata hata mambo ya kesi achana nayo haitakusaidia chochote omba toba mrudie mungu wako tumia uzuri wako kumtukuza mungu na kumshukuru utafaulu kuliko hayo unayo yategemea

  • @maryammdoe5801

    @maryammdoe5801

    2 жыл бұрын

    MashaAllah good advice barakallahu fiiq

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Unamtisha huyu dada? 🤣🤣🤣 Umechelewa! Hatishiki!

  • @mjuvemjuve7847
    @mjuvemjuve78472 жыл бұрын

    Linaongea sana lile mwijaku kumbe mshenzi yake aongei

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya42832 жыл бұрын

    Kumbe ni mwijaku kweli 😢😢yn leo hii ndio naamini km ndio yy baada ya menina kusema 😢😢ile menina na ww ulikuwa umelewa sn ile whisky 😢

  • @TheBlkk100mk
    @TheBlkk100mk2 жыл бұрын

    Hawa watoto mahabithi hujifanya wanajuwa sana dini pale wanapotaka kujisafisha. Huyu ame wadhalilisha wazee wake vibaya sana sana. Nafahamiana na baba yake, ulikuwa unahisi kwamba kaumizwa vibaya sana. Menina umeuvaa ulimwengu na bado mdogo sana. Utakushind

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh67652 жыл бұрын

    mbwa mwijaku ndomaan kalaaniwa yule njaa muha yule inamsumbua fala yule

  • @kingbyaro6016
    @kingbyaro60162 жыл бұрын

    Ile video ina nisaidia kisabuni Asante mwijaku 😘😘

  • @aminamnyaruge8574

    @aminamnyaruge8574

    2 жыл бұрын

    😂😂😂Yaani wewe jmn 😂😂

  • @mishwanwanmish8803

    @mishwanwanmish8803

    2 жыл бұрын

    Mm pia uwa naiba dezine

  • @adamally6

    @adamally6

    2 жыл бұрын

    😅😅😅😅

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    2 жыл бұрын

    Bado unayo wewe nae mzinzi 🤣🤣🤣🤣

  • @oyay2821

    @oyay2821

    2 жыл бұрын

    Duhhh🤫

  • @rushurikarashid3018
    @rushurikarashid30182 жыл бұрын

    Hakuna malipo ya upumbavu achen ushenzi. Malipo ya zinaaa et mungu atamlipa hapahapa? Wote washenzi si menina Wala mwijaku. Hadi unakubal kurekodiwa akili yako ulikuwa umeiazima sehm au

  • @eddietaz710

    @eddietaz710

    2 жыл бұрын

    very true,

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu70392 жыл бұрын

    Mwijaku libaba litahaira lisilojielewaa kenge kbsaa.AMEDHALILISHA WANAWAKE WOTE AKIWEMO MAMAKE.pua imemfunuka ka kikaango cha chapat

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud60012 жыл бұрын

    Ila mtoto huyu anakunya kama BATA BUKINI ...!...Dah hatari sana..!

  • @isacklaurent8948
    @isacklaurent89482 жыл бұрын

    yani diva anajua kungang,aniz san huyu ndo mtangazaj anaetakiw

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Sana, amemuingia professionally mpaka kafunguka kitu ambacho hakuwa akitaka kukifanya, kongole kwake Diva.

  • @cidewashington670
    @cidewashington6702 жыл бұрын

    Muuza papa na mnunuzi wamegeukana

  • @eddietaz710
    @eddietaz7102 жыл бұрын

    Yaani video unajichukua mwenyewe na ukamtumia mwenyewe and then unatafuta mtu wa kumlaumu, and act as if you are innocent.....lack of education,

  • @bjzee1981
    @bjzee19812 жыл бұрын

    Mkome. Unatembeaje na mtu kama mwijaku

  • @amidushaban8081
    @amidushaban80812 жыл бұрын

    Mwijaku ni murundi sio hata mukongo

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi2532 жыл бұрын

    Akome kbsa pumbavu

  • @amidushaban8081
    @amidushaban80812 жыл бұрын

    Yani wale warundi , wa 1972 wakajifanya watanzania 🥶

  • @MrNdanguza

    @MrNdanguza

    2 жыл бұрын

    Babu usianze hizo ,wengi sana wabongo ni wageni yani tukianzia miaka ya kale tutawakomba wengi mno wengi sanaaaaa .

  • @selemankishema5780
    @selemankishema57802 жыл бұрын

    Vimburu

  • @salmyhussein6255
    @salmyhussein62552 жыл бұрын

    Achaneni na abbygal

  • @abbyadams8691
    @abbyadams86912 жыл бұрын

    Mwijaku ni noma maana niliiona ile video duu jamaa lilimpelekea moto huyu mtoto kinoma.

  • @angelageofrey9756

    @angelageofrey9756

    2 жыл бұрын

    Daa

  • @eshahassan7682

    @eshahassan7682

    2 жыл бұрын

    Hahaha

  • @kuluthumkaguna9174
    @kuluthumkaguna91742 жыл бұрын

    Halafu.saizi.linakazi.yakuona mabaya.yawenzake hilo limwijaku shetani sana

  • @jumatingi2047

    @jumatingi2047

    2 жыл бұрын

    Umalaya wa menina kukubali kurekodiwa ndio sabab...

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    2 жыл бұрын

    Mwijaku shenzi sana...

  • @omarhamad4844
    @omarhamad48442 жыл бұрын

    0

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed76922 жыл бұрын

    Ongea kiswahili wewe kwani ukiongea utafukuzwa mnanikera na vingereza vyetu vya ubabai

  • @abuusufian6506

    @abuusufian6506

    2 жыл бұрын

    😀

  • @ruqayaruqaya4283

    @ruqayaruqaya4283

    2 жыл бұрын

    Tena vingereza vya ukoko 🤣🤣🤣diva na hiyo miwani km mchomelea mageti 🤣🤣

  • @eshahassan7682

    @eshahassan7682

    2 жыл бұрын

    Hahaha😂😂

  • @laurentnkomole2818

    @laurentnkomole2818

    2 жыл бұрын

    go back to school

  • @yohanachilemeji5413

    @yohanachilemeji5413

    2 жыл бұрын

    @@laurentnkomole2818 😂😂😂umenena✅✅

  • @mulikaujoseph9971
    @mulikaujoseph99712 жыл бұрын

    Sasa wewe wafanya interview ama unajenga team ati ndo #mwijaku aonekane mbaya jamani

  • @unclepwechnov1381

    @unclepwechnov1381

    2 жыл бұрын

    Ingekuwa ndugu yako ndiyo amesambaziwa video yake ya faragha usingeyasema uyasemayo, hakuna binadamu aliye perfect lakini kwanini mtu mwenye akili timamu uvujishe clip ya faragha kumdhalilisha mwenza wako😳🤷‍♂️?

  • @azzamahamdu7039

    @azzamahamdu7039

    2 жыл бұрын

    Kwan mwijaku ana uzuri gani?uzuri kuvujishaa mambo ya faragha mitandaoni hyo akili ?au matopee?ndo mana akapewa pua imemfunuka ka chepeo la mavi.tena mshenzi kbsaa

  • @bahatihassan5413
    @bahatihassan54132 жыл бұрын

    Kiukweli akili huna menina na sio ww tuu wte wanajirikod wakati wakuliwa mzigo matahira tupishe sie usijinasue nakuona mwin'jaku anamakosa kusambaza uchafu wenu ,km ulikataa kuchukuliwa video yakuliwa mzigo tungejua ss akili huna nakwambia tena

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula22202 жыл бұрын

    Usitafute haueni ya makosa yako kwa kutafuta ya wengine. Umekosea limetikea just admit . Watu wanaweza kuwa wanafanya mistake Ila Kama so yako ama za kawaida sana ambazo hazidhalilishi.

  • @deniserick6115
    @deniserick61152 жыл бұрын

    Kapangwa na wasafi

Келесі