MWIJAKU AZUA BALAA MCHANA KWEUPEE/ AMVAA MC GARA B/ MAPYA YAIBUKA/ MWENYEWE AFUNGUKA MAZITO
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Mwijaku #Mcgarab #Alikiba
Пікірлер: 131
Dah, huyu Gara B ana hakiri sana jamaa nimemkubali ameweza kufix mambo mpaka nimependa
Gara b umetumia ustarabu wa hali ya juu umetumia akiri ku control temper ukamalza mchezo kirahisi
Vitu vingine kwenye kazi avipaswi kuwepo mbona kamtambulisha mdada kiheshima kwann anamtambulisha mwenzie kwa kumkashifu Mwijaku apo yupi kazini , Gara b asingemtambulisha ivyo .
Chawa hataki kazi yake ijulikane kwa watu
😂😂😂 mwijaku Degree mbili tu ndio anapiga kelele nazo kila mahali😂😂😂😂
Kiukweli mwijaku mim simpendi hata hiv wanavyo mpaaa madili wanaacha watu wenye talanta na kiyooo cha jamiii
Chawa anaisalit kazi yake kweli ukweli unauma
Sema garab kazingua mwijaku nae ameshindwa kumezea😂
Chawa huyo mwijaku
Yaani mwijaku kanikela sana pole garabee
Nmexema cku zote Mwijaku angepimwa akili, lakin watanzania wanahic Mwijaku labda ako fanny
@ezekielhezron8865
Жыл бұрын
Mi nilikuona naona ili jambo la kupimwa akili lingeanza kwako kwanza ,
@GloryCharlesy
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
HUYU MWIJAKU HAJAPIGWA ANAPENDA KUJARIBU JARIBU WATU SANA
@martinngenzi6276
Жыл бұрын
Uyu achapwe siku moja
@esabelfadhili8432
Жыл бұрын
Kwakweliiii Yaniii anatakiwa achapikeee
To be honest Mr Gaea b you are wrong somewhere you are a speaker 🔈 as you said you should have not talk bad things about your brother mwijaku some people need respect ✊🏿 too you are working together and you need to respect each other I hope your mistakes won’t happen again you need to apologise to your brother mwijaku you don’t have right to talk about people life in the interview that why you didn’t have anything to say after you see him angry with you Tnx you for your understanding hope my brother mwijaku did forgive you too
Kazur San hakokadada garab hongera
Kwani SI kweli anauchawa kwenye kipindi mwijaku anaboab
Hongera Garabii nimekupenda you are Gentreman Saluteand Gotbess you🙏🙏🙏🙏
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Nataka niwe chawa wako
Chawa nakukubali
Mwijaku chawa anapanic nini Sasa,chawa kunguni huyo alafu kakutana na mtu mtastaarabu angekutana na kichwa Kama Cha Adam mchomvu angefura😁😁
Usijikeshe Galla b umemkosea mwijaku
Mwijaku apo angetumia kama kumwambia name angelewatu ilaapoinaonekana kama kaukwel kameuma
Ety namkeee mzriii😂😂😂😂😂😂😂
Kweli mwijaku shule haijamkomboa na sijui hizo degree amezipataje 😂😂😂😂😂 kiukweli mwijaku kichwani hamna kitu
mwijaku chawaa
Achana na mwijaku ni mpuuzi kwenye shook
Nimoja ya kazi amefanya apo tulieni
Daah mr gara b uko vizuri sana ila mwijaku unajikuta wewe nani kwa mfano aiseeee unatia hasira 😂
Ila gar b kamaind apo sema mwanamme tu kajikazaa mubaba wawatu😢
Vip
Ammy gal Yule girl daah umenenepa Hadi nimekusahau afu ukawa mweupe noma Sana Wcb4life
@dianerditto
Жыл бұрын
Sahz amepungua vzr yaan anaonekana poa
Gara b amekosea kumdharau mwenzake kwenye serious ishu.
@danieldaudi1631
Жыл бұрын
Hajazalau ukweli ndo huo mwijaku kazingua yeye mbona mlopokaji sana nani kamzingua
@Peter-fk4ld
Жыл бұрын
Yes kakosea mtu yupo kazini apaswi kuleta utani
Mwijaku we piga keleleeee ila GARA B huendani nae kbs we Pambana na kina Baba levo uko
Naomba muongeze Mr right wawe 6
Hata kama ni utani munaaribu khaaa
Daah
Gara B Ni mwanamme wa nguvu hana papara yupo tuliii
Kipindi nakipenda sana na nafatilia sana hakika nikizuri mno Lakini mnafupisha sana kwenye clip mtandaoni jaribuni kuweka show kamili mtandaoni wengine hatupati nafasi ya kutazama kwenye Tv ila kutokana na majukumu Wekeni kamili
Afya ya akili haiko sawa
Pis burundi tunangoja G
😂😂😂😂😂😂😂 Mwijaku Marioo sikubali kama uko chawa
Maneno hayo hayo ya GaraB angesema Baba levo ingekuwa sawa kwa vile wana uchizi wao na wanaelewana. lkn hpa GaraB kakosea kwa vile si mtani wake. Ila Mwijaku nae ajue kuwa ujinga wake ndio unamuondolea heshima
@mulesi68
Жыл бұрын
FYI Gara B na Mwijaku ni watani wa jadi ( Wahaya na Waha). Hapo amekosena nanihi tu... He he he.
@pilimwanza8117
Жыл бұрын
@@mulesi68 sasa wao kuwa watani wa jadi haikuleta picha nzuri kwa Hiyo shuhuli iliyowaleta hapo. utani wa jadi kwenye official engagement? Like who does that?. Nimeona GaraB hakuwa na sura ya bashasha baada ya Mwijaku kumdukua begani. Narudia haikuna utani wa kumwambia eti wanamsaidia Mwijaku. Na Mwijaku clearly hakupenda
Tunaomba mtuekee hicho kipindi hata Huku Azam tv
😅😅😅😅kumbe chawa hataki uchawa 😂😂😂
Mhaya na kigoma moja gala b na mwijaku
ahahahah gar b vzr kwel ulixem ukwel uyoo chawaa t amn kit apooo
Kwanini munamgangania huyo nimwehu achana naye
Sasa kama huyo Mwijaku mnamuwekaga kwenye Mambo hayo Kwa nini? Daah
Mmeingiza Sumu.. atakuharibia tuu huyo.. muulize babalevo..👀
Mtandaoni mnaweka viclip vifupi weka show kamili
Sasa nyie hamjui huyo n mwehu
Wametengeneza hiyo
Kiasili Hao ni watani
Hamna ugomvi apo ni maigizo..awo wote waigizaji 🤣🤣
mmh mwejaku naye anatakataa kaz yake,,,,
Mmmnh! Kama ni scene mliipanga ili kuvuta attention, Mwijaku kaharibu. Bora angefanya utani fulani kuliko kuonekana kama anamaindi. Kweli kama alivyosema Gara B, kazi ya mwijaku na baba levo ni uchawa. Mengine yapo lakini wao ndo wameitambulisha hiyo kazi yao ya uchawa kwa jamii. BAD IMPRESSION
Mwijaku kaa chini mheshimu mc
HV hii kweli au maigizo?
Amna hawa wametengeneza hii tukio ili itrend ifatiliwe
Huyo Michawa tu hataakichukia tena guchawa guliko pitiliza.
Lakini Mujaku alichamusha press
Jamaa garab una dharau wewe uwezi ukamkejeli mwenzio kwa styli hiyo
@messiasulleydidy2585
Жыл бұрын
Nyie nmnamwona vipi Gara B kwani?
@messiasulleydidy2585
Жыл бұрын
Mwijaku ana sbb ya kukwazik
@Peter-fk4ld
Жыл бұрын
Kweli izo ni dharau
Ni nani amesikia vizuri alichoongea huyo jamaa white wa pembeni? mi ninesikia tu MTIHANI.............!
kwan uongo chawa ilo
Mtu ameshajaa upepo hapo ise
😅😅😂 Mujaku anambo
MC Gara B. amesema ukweli na siku zote ukweli unauma.
Mwijaku ka sio mwanaume at duuh shida hiii
@Pedeshee01
Жыл бұрын
Acha kufananisha mwanaume na mwijaku sawa kuna wanaume na wenye jinsia ya uanaume.mwijaku ana jinsia ya kiume tu ila hana sifa ya kiume sawa.
Hamna ugomvi wowote apo, KIKI KIKI KIKI
Mwijaku mpuuzi mmoja hivi, Alipaswa kuwa mvumilivu wakimaliza pale amwambie then coz kipindi kitaanza wange-correct tofauti hizo za ulimi.
@ezekielhezron8865
Жыл бұрын
Khaa hayo mambo uwa wanayapanga mzee unachukulia personal
Lakin kaongea kiutan lakn co sehem sahihi me binafs huwa cpend dharau xo mwijaku yupo sahihi
@Peter-fk4ld
Жыл бұрын
Uko sawa mkuu
😁😁😁😁😁
Hilo shirika si liwapime wahudumu wake akili
Khaaa!!!Unamzidi mke mzuri? Uzuri wa mkeo upumbavu wa macho yako kaka hata wake mzuri kwake. Mwanaume maneno gani hayo ss
@Pedeshee01
Жыл бұрын
😂😂😂hata wewe ni pisi haswaa kweli tako unalo
Wazimu huyu mwijaku
Mnafanya kaz bila kutumia hakili kama mnategemea tutawafatilia namabaloz wenu wehu hao msahau
@nancyg8664
Жыл бұрын
Mi ntawafatilia
izo vulugu za kupangwa hii bongo hii daa utazani wanagombana kweli kumbe sehemu ya kazi
@nancyg8664
Жыл бұрын
Unaeza sema imepangwa kumbe mwijaku tu akili zake
Kama GaraB hajamtaja jina Amy girl sikuwa nimemjua kabisa .poda yote ya Dar kaimalizia usoni mwake hishhhh😢
@ms_teeonly
Жыл бұрын
Amenenepa 😅
@pilimwanza8117
Жыл бұрын
@@ms_teeonly yeah pia amenenepa
Amemdhalilisha kwa namna alivyomtambulisha Mwijaku
@nancyg8664
Жыл бұрын
Lakin si ni kwel
sijuhi kama haijapangwa
Huyu mwijaku bhn hana akili kabisa
Gala B , kazingua kumtambulisha kwake
Huyu msenge kuna siku atajichanganya akutane na kichwa mbovu kama ya kwangu kumammake nampa bonge la ndosi kumamake yaani haamki kumanina zake daaah yaani he's boiled my blood maamake vibaya sana....ipo siku
@abbynimel-kindy5107
Жыл бұрын
Broo yani nimejikuta nacheka peke yng ety ndosi😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Unamzimisha Apo Apo Sio😂😂
@hamzaadrin941
Жыл бұрын
Na ndio maana wahuni kama nyie sehemu kama hii hamtakiwi we unawaza kupigana tu labda nikwambie iyo imetengenezwa iwe ivyo hakuna uwalisia wa hili
@ibrahdedonny1238
Жыл бұрын
Huyu Mwijaku mm nakuambia ingekua mm tayar angekua amelala yoo, police badae
@nancyg8664
Жыл бұрын
🤣🤣akutane na Adam mchomvu
Kiki iyo
Mambo gani haya Mwijaku, huu ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
Mwikwaju usivuluge
🤣🤣🤣🤣🤣mwijaku
UNAVOJIWEKA NDO UTAKAVOCHUKULIWA,,POPOTE PALE
Ni drama hii
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅
Hahahah sifa muda mwingne zinahitaji wastan wake
Hangira gara b
Mmeona madhara yakuwapa vichaa machaka
@tinasulle101
Жыл бұрын
Hhhh
Wahaya ndivyo walivyo dharau mingi
@lovvy854
Жыл бұрын
Sio dharau ni ukwelii unauumaa bwanae kwnai mwiijako ananini kaolewa kazi aliyo nayo haiezi kukimu mahitaji ya mke ila mke ndio anye mlisha na kumleleea😂🤣
@nancyg8664
Жыл бұрын
Nan muhaya apo🤣🤣
@aminamwivita7690
7 ай бұрын
@@lovvy854true 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@aminamwivita7690
7 ай бұрын
@@nancyg8664 mwijaku
Chawa kama chawa anapojaribu kukikataa kipaji chakweeee
Huwezi kumuita mtu majina ya kumdhalilisha sehem kama hiyo kumbuka mbasha na mchomvu ilikuaje Tena huyo gala b ashukuru mwijaku ilitakiwa hzo sifa zakihaya zingemuisha
Kuna professor mmoja alikua anapenda kusema ukicheza na makalio yatakupaka mavi ndicho alichofanya gara b
@mtktv597
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@harusilive643
Жыл бұрын
Aloooo
Mwijaku mbona una Mindi...wakati ndio maisha ulio chagua ..we chawaa tuu
@Sevelin-qs9pg
Жыл бұрын
Lichawa likubwahilo
Apo penyewe kashafanya uchawa wake tayali kusifia mabos kutujulisha kua walio weka hela nu kina fran