Babuu Wakitaa Afunguka Alivyonusurika na Kansa | Mikiki Aliyopitia Tangu Yupo Hoi Mpaka Sasa

Ойын-сауық

Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa

Пікірлер: 106

  • @digitalworld5577
    @digitalworld55779 ай бұрын

    Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….

  • @Auntieminah
    @Auntieminah9 ай бұрын

    This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!

  • @kelvinsichone2359
    @kelvinsichone23599 ай бұрын

    Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.

  • @MargrethNdone
    @MargrethNdone9 ай бұрын

    Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu

  • @abeldavid845
    @abeldavid8459 ай бұрын

    Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God

  • @vincej9275
    @vincej92759 ай бұрын

    Thanks to God for your healing. You are very positive.

  • @adeboTNM
    @adeboTNM6 ай бұрын

    Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!

  • @attunelson8828
    @attunelson88289 ай бұрын

    Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine

  • @RahmaAwadh-ul9yu
    @RahmaAwadh-ul9yu9 ай бұрын

    Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa

  • @gloriamwanjali9371
    @gloriamwanjali93719 ай бұрын

    Bi zena hongera sana

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard60509 ай бұрын

    Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes

  • @bobcheni
    @bobcheni9 ай бұрын

    Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai70069 ай бұрын

    Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina78238 ай бұрын

    kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina78238 ай бұрын

    Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv2559 ай бұрын

    Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️

  • @aisharamadhan5257

    @aisharamadhan5257

    9 ай бұрын

    Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu

  • @KADALAtv255

    @KADALAtv255

    9 ай бұрын

    @@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota

  • @KADALAtv255

    @KADALAtv255

    9 ай бұрын

    @@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno

  • @minaelnathanael1846

    @minaelnathanael1846

    9 ай бұрын

    Acha kulaumu wauguzi

  • @rosehaule6765
    @rosehaule67659 ай бұрын

    God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha

  • @Snuky54
    @Snuky549 ай бұрын

    Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote

  • @yusrasalum

    @yusrasalum

    9 ай бұрын

    Amin

  • @lilianilimbe4508
    @lilianilimbe45089 ай бұрын

    Polee sanaaa

  • @JuliusMchopa-pr5pt
    @JuliusMchopa-pr5pt9 ай бұрын

    Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲

  • @georgecredo9100
    @georgecredo91009 ай бұрын

    My brother pole sana

  • @BakariMtomae
    @BakariMtomae9 ай бұрын

    Aiseeeh pole sana kak

  • @AminaMwingira-jh7ze
    @AminaMwingira-jh7ze9 ай бұрын

    Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah

  • @ancolartherapper1899
    @ancolartherapper18999 ай бұрын

    Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote

  • @mbeyusaid4688
    @mbeyusaid46889 ай бұрын

    Pole Allah ndo mweza wa yote

  • @omaryrashidiboga4651
    @omaryrashidiboga46519 ай бұрын

    Duh pole sn Mwana wa hip hop

  • @leaherasto929
    @leaherasto9299 ай бұрын

    Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer

  • @asyajey3479
    @asyajey34799 ай бұрын

    Pole sana babu

  • @veronicapaul4821
    @veronicapaul48219 ай бұрын

    God is good

  • @brightonmasaki1183
    @brightonmasaki11839 ай бұрын

    Pole brother

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi32219 ай бұрын

    Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani

  • @mitaahisia8452
    @mitaahisia84528 ай бұрын

    kaizer sosar.....nakubal sana bro

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto9 ай бұрын

    Pole sana

  • @chiwagaempire1211
    @chiwagaempire12119 ай бұрын

    Mungu akutunze

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil61219 ай бұрын

    Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro

  • @lulumbwaga9822
    @lulumbwaga98229 ай бұрын

    Champion

  • @Noahkilima24sep
    @Noahkilima24sep9 ай бұрын

    Doctor ruta

  • @GladnessJames-mk9yh
    @GladnessJames-mk9yh9 ай бұрын

    Daah ushuhuda mzuri sana

  • @hariethmatungwa9293
    @hariethmatungwa92939 ай бұрын

    Duu bigup

  • @joshuakinabo6861
    @joshuakinabo68619 ай бұрын

    Kumbe country boy na Babu ni nduguuu

  • @carlosleonard6050
    @carlosleonard60509 ай бұрын

    Dak ya 17-18.....mwijaku hapo

  • @user-nq4md3sj6d
    @user-nq4md3sj6d9 ай бұрын

    Babuu wa Kitaa 🫶

  • @dannylema3125
    @dannylema31259 ай бұрын

    Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?

  • @giztony2009
    @giztony20099 ай бұрын

    Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa

  • @malengaWetuTv2699
    @malengaWetuTv26999 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢

  • @user-td3ss6nk2d
    @user-td3ss6nk2d9 ай бұрын

    😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....

  • @bainolatino3412
    @bainolatino34129 ай бұрын

    Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo

  • @Ramboyclassic69
    @Ramboyclassic699 ай бұрын

    Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔

  • @KalenjeMasoud-vg3om

    @KalenjeMasoud-vg3om

    9 ай бұрын

    Pole sana

  • @ayubukedimundi3221

    @ayubukedimundi3221

    9 ай бұрын

    Pole Sana ndugu

  • @user-nq4md3sj6d

    @user-nq4md3sj6d

    9 ай бұрын

    pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah

  • @Darian2550

    @Darian2550

    9 ай бұрын

    Pole sana!

  • @saeedmassoud256

    @saeedmassoud256

    9 ай бұрын

    Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga70039 ай бұрын

    Naogopa mimi😢

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu82259 ай бұрын

    Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.

  • @mtaostephen3660

    @mtaostephen3660

    9 ай бұрын

    Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena

  • @bobcheni
    @bobcheni9 ай бұрын

    Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh

  • @eliasurious7419
    @eliasurious74199 ай бұрын

    Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha

  • @sarahmurano2829
    @sarahmurano28299 ай бұрын

    Pole san

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30459 ай бұрын

    Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud29839 ай бұрын

    Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah

  • @eveliynejoseph7944

    @eveliynejoseph7944

    9 ай бұрын

    Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli

  • @shakilamasoud2983

    @shakilamasoud2983

    9 ай бұрын

    @@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili

  • @jamesmwangonda7080
    @jamesmwangonda70809 ай бұрын

    mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.

  • @jrm9448

    @jrm9448

    9 ай бұрын

    Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.

  • @user-ip4ie7pt6i

    @user-ip4ie7pt6i

    9 ай бұрын

    Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu

  • @robertadrian2559

    @robertadrian2559

    9 ай бұрын

    Acha ujuaji

  • @justyoscar2987

    @justyoscar2987

    9 ай бұрын

    @@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!

  • @amandomwamanda9000

    @amandomwamanda9000

    9 ай бұрын

    Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.

  • @ibrahimbaila7764
    @ibrahimbaila77649 ай бұрын

    Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road

  • @Trappqueen970

    @Trappqueen970

    9 ай бұрын

    anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa

  • @luizabahati5198

    @luizabahati5198

    9 ай бұрын

    Inshallah

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30459 ай бұрын

    Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢

  • @internationaltiktok4477
    @internationaltiktok44779 ай бұрын

    Naitaji namba za huyo doctor

  • @abdallahahmed2776
    @abdallahahmed27769 ай бұрын

    Mbona mwijaku hana raha😂😂😂

  • @tanzaniaprogress
    @tanzaniaprogress8 ай бұрын

    Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi2749 ай бұрын

    Mjanja huyuu

  • @nelsonmasolwa8343
    @nelsonmasolwa83439 ай бұрын

    mwamba anaongea san asee

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania72589 ай бұрын

    Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo

  • @ireneinnocent4128

    @ireneinnocent4128

    9 ай бұрын

    Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤

  • @rogath_silayo

    @rogath_silayo

    9 ай бұрын

    Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.

  • @mwajabuyusuph3945

    @mwajabuyusuph3945

    9 ай бұрын

    ​@@rogath_silayo habari

  • @mwajabuyusuph3945

    @mwajabuyusuph3945

    9 ай бұрын

    Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    9 ай бұрын

    @@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri

  • @FarajiAbdallah-pq1dc
    @FarajiAbdallah-pq1dc8 ай бұрын

    Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa

  • @franciskyombo9394
    @franciskyombo93949 ай бұрын

    Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.

  • @jrm9448
    @jrm94489 ай бұрын

    Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.

  • @AshuraNgoto
    @AshuraNgoto9 ай бұрын

    Pole sana

  • @user-jv1tk2vz8m

    @user-jv1tk2vz8m

    9 ай бұрын

    Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia

Келесі