Full Interview ya Babuu Wakitaa kwenye leo Tena, asimulia mikiki aliyopitia akipambana na kansa
Жүктеу.....
Пікірлер: 106
@digitalworld55779 ай бұрын
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
@Auntieminah9 ай бұрын
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
@kelvinsichone23599 ай бұрын
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
@MargrethNdone9 ай бұрын
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
@abeldavid8459 ай бұрын
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
@vincej92759 ай бұрын
Thanks to God for your healing. You are very positive.
@adeboTNM6 ай бұрын
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
@attunelson88289 ай бұрын
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
@RahmaAwadh-ul9yu9 ай бұрын
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
@gloriamwanjali93719 ай бұрын
Bi zena hongera sana
@carlosleonard60509 ай бұрын
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
@bobcheni9 ай бұрын
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
@mathiasswai70069 ай бұрын
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
@sidiqmhina78238 ай бұрын
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
@sidiqmhina78238 ай бұрын
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
@KADALAtv2559 ай бұрын
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan5257
9 ай бұрын
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv255
9 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv255
9 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael1846
9 ай бұрын
Acha kulaumu wauguzi
@rosehaule67659 ай бұрын
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
@Snuky549 ай бұрын
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum
9 ай бұрын
Amin
@lilianilimbe45089 ай бұрын
Polee sanaaa
@JuliusMchopa-pr5pt9 ай бұрын
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
@georgecredo91009 ай бұрын
My brother pole sana
@BakariMtomae9 ай бұрын
Aiseeeh pole sana kak
@AminaMwingira-jh7ze9 ай бұрын
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
@ancolartherapper18999 ай бұрын
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
@mbeyusaid46889 ай бұрын
Pole Allah ndo mweza wa yote
@omaryrashidiboga46519 ай бұрын
Duh pole sn Mwana wa hip hop
@leaherasto9299 ай бұрын
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
@asyajey34799 ай бұрын
Pole sana babu
@veronicapaul48219 ай бұрын
God is good
@brightonmasaki11839 ай бұрын
Pole brother
@ayubukedimundi32219 ай бұрын
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
@mitaahisia84528 ай бұрын
kaizer sosar.....nakubal sana bro
@AshuraNgoto9 ай бұрын
Pole sana
@chiwagaempire12119 ай бұрын
Mungu akutunze
@cptnbazil61219 ай бұрын
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
@lulumbwaga98229 ай бұрын
Champion
@Noahkilima24sep9 ай бұрын
Doctor ruta
@GladnessJames-mk9yh9 ай бұрын
Daah ushuhuda mzuri sana
@hariethmatungwa92939 ай бұрын
Duu bigup
@joshuakinabo68619 ай бұрын
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
@carlosleonard60509 ай бұрын
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
@user-nq4md3sj6d9 ай бұрын
Babuu wa Kitaa 🫶
@dannylema31259 ай бұрын
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
@giztony20099 ай бұрын
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
@malengaWetuTv26999 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
@user-td3ss6nk2d9 ай бұрын
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
@bainolatino34129 ай бұрын
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
@Ramboyclassic699 ай бұрын
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om
9 ай бұрын
Pole sana
@ayubukedimundi3221
9 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@user-nq4md3sj6d
9 ай бұрын
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian2550
9 ай бұрын
Pole sana!
@saeedmassoud256
9 ай бұрын
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
@kijakazinyalinga70039 ай бұрын
Naogopa mimi😢
@emmamatemu82259 ай бұрын
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen3660
9 ай бұрын
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
@bobcheni9 ай бұрын
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
@eliasurious74199 ай бұрын
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
@sarahmurano28299 ай бұрын
Pole san
@magrethmbuma30459 ай бұрын
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
@shakilamasoud29839 ай бұрын
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph7944
9 ай бұрын
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud2983
9 ай бұрын
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
@jamesmwangonda70809 ай бұрын
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm9448
9 ай бұрын
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@user-ip4ie7pt6i
9 ай бұрын
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian2559
9 ай бұрын
Acha ujuaji
@justyoscar2987
9 ай бұрын
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda9000
9 ай бұрын
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
@ibrahimbaila77649 ай бұрын
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen970
9 ай бұрын
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati5198
9 ай бұрын
Inshallah
@magrethmbuma30459 ай бұрын
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
@internationaltiktok44779 ай бұрын
Naitaji namba za huyo doctor
@abdallahahmed27769 ай бұрын
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
@tanzaniaprogress8 ай бұрын
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
@godwinmwakibibi2749 ай бұрын
Mjanja huyuu
@nelsonmasolwa83439 ай бұрын
mwamba anaongea san asee
@hanifatanzania72589 ай бұрын
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent4128
9 ай бұрын
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo
9 ай бұрын
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph3945
9 ай бұрын
@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph3945
9 ай бұрын
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania7258
9 ай бұрын
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
@FarajiAbdallah-pq1dc8 ай бұрын
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
@franciskyombo93949 ай бұрын
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
@jrm94489 ай бұрын
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
@AshuraNgoto9 ай бұрын
Pole sana
@user-jv1tk2vz8m
9 ай бұрын
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia
Пікірлер: 106
Babuu is a very good story teller. Congrats for being positive….
This has to go Viral… Babuu ana kitu soo special, kinatia sana moyo! I pray ufikie cancer free zone!
Nimependa sana positive energy ya Babuu wa kitaa hasa kwenye kuupokea ugonjwa na kukubaliana na hali aliyonayo. Ametufundisha kitu hapo kwenye kuupokea ugonjwa wowote ule.
Mungu Ambariki sana dr Ruta mama angu alikuwa akimpenda sana huyu dr kipind tunamuuguza hapo ocean raod😢..Mungu aendelee kukupa afya Babuu
Natamani hii ingesikiwa na jamii kubwa, kuongeza ufahamu juu ya ugonjwa huu... Glory to God
Thanks to God for your healing. You are very positive.
Babu Wa Kitaa one of my best Rappers toka Tzee. Salute!!
Yaani pole sana na hongera maana huo ni ushindi.Barikiwa kwa ujasiri wa kuwatia moyo wengine
Pole sana na hongera sanaaaaa kwa Dr kwa kazi kubwa aliyoifanya na moyo wa ujasiri aliokupa Mungu mkubwa
Bi zena hongera sana
Nashangaa watu wote kwenye comment as if hamjamwona mwijaku...alivotulia ka maji ya mtungini....haya nipeni likes
Duu mungu wangu kuna Ali najisikia sijui mungu mwenyewe ndo anajua
Chukua mau yako,🎉🎉 kaka, God bless more health,,,unatia moyo sana,
kaizer sosa mitaani tunakuita BABUU WA KITAA , JAHBLESS YOU MAN
Pole mwnangu wa kitaa, na hongera kwa kupambana na kuja na hii movement
Exactly, Mimi pia nimepona aisee wauguzi na ndugu baadhi yao wanakukatisha tamaa kwamba cansa hawaponi. Weee mimi pia nilipata mizunguko sita ya Chemotherapy na mionzi mara moja. Jamii wanatakiwa kupata Elimu juu ya uginjwa huu na matibabu yake.♥️♥️♥️
@aisharamadhan5257
9 ай бұрын
Mashaallah na pole kwa kuumwa garama nikakuaga kubwa naomba kufahamu ndugu yangu
@KADALAtv255
9 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Gharama ni kubwa asikudanganye mtu, ingawa serikalininasema matibabu ni bure but ni pesa labda mionzi sasa foleni yake mpaka ukaingie utasota
@KADALAtv255
9 ай бұрын
@@aisharamadhan5257 Foleni ni kubwa mno wagonjwa ni wengi mno
@minaelnathanael1846
9 ай бұрын
Acha kulaumu wauguzi
God.is.good big up dear bro ww.ni.mshindi umeshindaa na umeponaa❤ polee.sana jamani nimekupenda.sana umeponya wengi kwa.shuhuda yko.hukunhupo.kwenye furaha
Masha Allah mwenyewe anavyoelezea unaweza cheka kama mazur lkn yote iman anayo ameridhia Alhamdulillah allah atutie nguvu wagonjwa wote
@yusrasalum
9 ай бұрын
Amin
Polee sanaaa
Daah bonge la insperation ila hongera kwa kukubali hali yako mpka amepona ila ni huzuni nilimpoteza mama kwa kansa🥲🥲
My brother pole sana
Aiseeeh pole sana kak
Duu pole kaka cku ya Leo nimekaa natafakari mungu azidi kukupa nguvu inshaallah
Bablai kinyamwezi sana sema sir god ni mwema siku zote
Pole Allah ndo mweza wa yote
Duh pole sn Mwana wa hip hop
Pole kwachangamoto ulizopitia Mungu nimwema ata sasa yeye niEbenezer
Pole sana babu
God is good
Pole brother
Brother ni shujaaaa Sana kweli kabisa yaaaaani
kaizer sosar.....nakubal sana bro
Pole sana
Mungu akutunze
Killer na lunya wanakubali una moyo safy bro
Champion
Doctor ruta
Daah ushuhuda mzuri sana
Duu bigup
Kumbe country boy na Babu ni nduguuu
Dak ya 17-18.....mwijaku hapo
Babuu wa Kitaa 🫶
Sababu ya Kansas ya Ngozi Ni ipi wandugu au inatokea tuu!?
Nawagea hype wenzangu@ Babu wa Kitaa
Mwenyezi Mungu atunusuru 😢😢
😂😂😂😂 hivi mmemuona Jose mara anavyomtazama babuu😂😂😂😂😂.....
Babuu ndomana mpaka leo ukabaki kwene game japo wengi walipotea uloanza nao kwene game because we ni mjanja na akili ya kuzaliwa uko nayo
Nataman ujumbe huu ungmfikia baba yngu may be angepona 😔😔
@KalenjeMasoud-vg3om
9 ай бұрын
Pole sana
@ayubukedimundi3221
9 ай бұрын
Pole Sana ndugu
@user-nq4md3sj6d
9 ай бұрын
pole sana.. Allah atamjalia atapoa inshaallah
@Darian2550
9 ай бұрын
Pole sana!
@saeedmassoud256
9 ай бұрын
Pole sana unaweza kumtumia link itamfikia na ataiyona inshallah 🙏
Naogopa mimi😢
Kuna siku nilikuwa pale nyuma ya shopers mikocheni, dada mmoja akawa anasema nimetoka kumcheck Babuu ila matumaini hamna tena.
@mtaostephen3660
9 ай бұрын
Dah Ila kwa uwezo wa mungu,mwamba huyu hapa Tena
Duu mwangu sjui nismeje kna Ali najiona mhhh
Asee babuu, Mungu azidi kukuimarisha
Pole san
Mwijaku kakaa mbali😅😅😅😅mtoto wa mjini amekalia kiti
Huu ugonjwa ninavyo uogopa😢. Ila kwa ushuhuda huu, nawaombea wagonjwa wapone insha Allah
@eveliynejoseph7944
9 ай бұрын
Acha tu yaan naogopa kuliko Ukimwi Mungu anisamehe kwa kweli
@shakilamasoud2983
9 ай бұрын
@@eveliynejoseph7944 mi sasa hivi nimiumwa mwili nawaza isije kuwa ndiyo Kansa, Mwenyezi Mungu tuepushe na gonjwa hili
mlipaswa kuuliza maswali ya msingi nini chanzo ya hiyo kansa alivyoambiwa na madaktari na nini kinatakiwa kufanyika kuepukana na aina hiyo ya kansa.
@jrm9448
9 ай бұрын
Bongo kuwa wana udaku tu hakuna waandishi wa habari.
@user-ip4ie7pt6i
9 ай бұрын
Hakuna binaadam anae kumbuka kila kitu
@robertadrian2559
9 ай бұрын
Acha ujuaji
@justyoscar2987
9 ай бұрын
@@jrm9448mbona ameeleza doctor inawezekana ukarithi au kutumia vilev na sigara… halaf babuu akasema yy vyote inawezekana kwa sabab baba yake amekufa kwa canser na pia inawezekana ikawa ni pombe au sigara kwa sabab alikua anatumia!
@amandomwamanda9000
9 ай бұрын
Jifunze kuwa msikivu mpaka mwisho.
Mimi soon ntatoa pesa ya watu 15-10 watibiwe . Apo Ocean road
@Trappqueen970
9 ай бұрын
anza n mim jmn nkupe no ykupokea pesa
@luizabahati5198
9 ай бұрын
Inshallah
Husna anavyojifantaga anajua kuhoji leo kashindwa kabisaa kuuliza maswali ya msingi😢
Naitaji namba za huyo doctor
Mbona mwijaku hana raha😂😂😂
Kansa ya ngozi afu uvimbe utokee ndani ya mbavu, dah! Hii sio kamba hii? Bado Hajasema Mpaka aseme ni kansa gani iliyokuwa inamsumbua.
Mjanja huyuu
mwamba anaongea san asee
Allah azidi kukupa shifaa mm nipohoi hapa nawaza siwaziikuambiwa huwo ungonjwa maana dalilinyingi ninazo Allah tu aamue kuninusuru. Mawazoyanakuja kwenye pesa nitaanzakujitibu vipi kamapesa sina mm ndiye mama na ndiye baba wa familia. Napambana na familia ilitupate liziki sasa nilikaachini inakuaje hapo 😭😭😭yarabi nipeshifaa kwa hurumawako🤲😭😭 Sijui nikaetu mpakasikuyamwisho sijuinifanyenini watotowangu wataishivipi yaninachanganyikiwa kwa mawazo
@ireneinnocent4128
9 ай бұрын
Nenda kajicheki TU. Mungu atafungua njia yake usiwaze sana utazidi kuumia. Pia usisahau kuomba kwa Imani yako. Mume wangu alifanyiwa operation mara nne na sasa hana kansa kabisa. Usiogope❤
@rogath_silayo
9 ай бұрын
Anza water fasting, funga siku tatu au tano mfululizo kwa kunywa maji tu kila baada mwezi Alafu uendelee kula Ila punguza wanga na sukari, pendelea kula protein kwa wingi ndio utakaa mda mrefu bila kula....seli za kansa zinapenda sukari...ratiba yako ya kula iwe 16:8 au 18:6, yaani unashinda njaa masaa 16 au 18 Ila unaweza kunywa maji tu Alafu unakula ndani ya masaa nane au sita Milo miwili au mmoja tu. Ingependeza Kama ungeweza kula protein pekee Alafu ule mara moja kwa siku kilichobaki unakunywa maji kwa miezi sita mpaka mwaka Ila usisahau kufunga siku tatu au tano mfululizo kila mwezi kwa kunywa maji pekee!!!! Baada ya miezi sita kapime afya.
@mwajabuyusuph3945
9 ай бұрын
@@rogath_silayo habari
@mwajabuyusuph3945
9 ай бұрын
Habari. Nakupataje kwa maelezo zaidi. Nauguliwa na mama yangu
@hanifatanzania7258
9 ай бұрын
@@ireneinnocent4128 Allhamdulillah. Amepona Mungu mwema Asante kwaushauli wako Mungu akulipe heri
Mnazingua mtu anaongea mnaeka sauti ya mziki kumbwa
Nilikuwaga nacheza goma lako kimbia fasita wewe na langa na mchiz mox.
Ujasiri wa Babu wa Kitaa katika kupambana na kuhamasisha kuhusu kuikabili kansa ni wa kipekee. Mungu azidi kumpa nguvu na uzima. Baada ya kuugua kwake heshima yangu kwake imekuwa kubwa mno. Ameonyesha ujasiri ambao ni wa kipekee. Mungu azidi kumsimamia.
Pole sana
@user-jv1tk2vz8m
9 ай бұрын
Mm ndugu yangu anatatizo ya Kansa ini anaweza kumsaidia