Mr Blue Nilikuwa najua WemaSepetu na T.I.D ni wapenzi wakati naingiza Verse zangu
Ойын-сауық
Mr.Blue aongelea jinsi alivyofanya kazi na T.I.D pamoja na Qchief kwenye wimbo mmoja bila kusikiliza Verse za wenzake "NILIKATAA" kumbe WemaSepetu alikuwa anajua kama aliimbiwa yeye kwasababu alikuwa mpenzi wake T.I.D
Пікірлер: 39
Grown
Byser nomaaaaa
Km una mkubali bayser gonga like twende sawa.
nice bluu
Nakupenda bluu
Classic interview I like this from baiser baby
Good boy God bless you
Yani kama umemludia mungu umependeza
Big up bro
Nakukubali snaa
mr blur byser role model wa vijana tz
nakukubali sana bayser
Safi brue
#Blessed #MrBlue🙏🙏🙏
Safi sana Mimi nataka uimbe huko kurap waachie wala unga
brother wewe ni legend
blue sisiwadau tunakuelewa zaidi ukichana japokuimba pia unaweza
Allah na Azidishe kukuongoza kwenye njia iliyonyooka
Nakuelewa sn Jana angu
Allah azidi kukuongoza bro
Ukioa mke anaejitambua atakubadilisha tu kwa uwezo wa Allah na ndio maana huyu jamaa anabadilika pole pole Lkn ww mwenyewe kama hujielewi then unaenda kuoa hao wanashinda na mawigi na kukaauchi mitandaoni hapo patakua na shida sana BIG UP MR BLUE
@mustaphahassan589
5 жыл бұрын
Halima Hassan maneno mataaam
Ukiimba unatisha zaidi brother
We unakubalika ukichana
Mr blue una mafua pole
Utafika tu unapoendea pazuri inaonekana hujaoa mcharuka
Jembe hiliii linanoga kila siku
Simba
Hii hatarishi ndugu zangu tuwe macho na tuwe makini juu ya hili nawasihi kzread.info/dash/bejne/iIKpysiggqbMm84.html
Mr blue unaumwa mafua nn
Mr blue unaumwa na kikamasi kwaivo unavoongea
Mr blue una mafua pole
Mr blue una mafua pole
@bakarpaul5046
Жыл бұрын
Ndo anavyoongea huyo