Mr Blue Nilikuwa najua WemaSepetu na T.I.D ni wapenzi wakati naingiza Verse zangu

Ойын-сауық

Mr.Blue aongelea jinsi alivyofanya kazi na T.I.D pamoja na Qchief kwenye wimbo mmoja bila kusikiliza Verse za wenzake "NILIKATAA" kumbe WemaSepetu alikuwa anajua kama aliimbiwa yeye kwasababu alikuwa mpenzi wake T.I.D

Пікірлер: 39

  • @Papifreshh
    @Papifreshh7 ай бұрын

    Grown

  • @wilsonmateru7059
    @wilsonmateru70594 жыл бұрын

    Byser nomaaaaa

  • @lameckaroth9141
    @lameckaroth91415 жыл бұрын

    Km una mkubali bayser gonga like twende sawa.

  • @glesimohamme692
    @glesimohamme6925 жыл бұрын

    nice bluu

  • @vero.alfonse7083
    @vero.alfonse70835 жыл бұрын

    Nakupenda bluu

  • @bojjomittonyo1195
    @bojjomittonyo11955 жыл бұрын

    Classic interview I like this from baiser baby

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar3015 жыл бұрын

    Good boy God bless you

  • @glesimohamme692
    @glesimohamme6925 жыл бұрын

    Yani kama umemludia mungu umependeza

  • @kimorigoalvin2861
    @kimorigoalvin28615 жыл бұрын

    Big up bro

  • @husnamkwata2755
    @husnamkwata27555 жыл бұрын

    Nakukubali snaa

  • @salumjumah4820
    @salumjumah48204 жыл бұрын

    mr blur byser role model wa vijana tz

  • @johnpaule1419
    @johnpaule14195 жыл бұрын

    nakukubali sana bayser

  • @mussayusuphu5436
    @mussayusuphu54365 жыл бұрын

    Safi brue

  • @GegoMnete
    @GegoMnete5 жыл бұрын

    #Blessed #MrBlue🙏🙏🙏

  • @asallymbwego5906
    @asallymbwego59065 жыл бұрын

    Safi sana Mimi nataka uimbe huko kurap waachie wala unga

  • @mrminase9592
    @mrminase95925 жыл бұрын

    brother wewe ni legend

  • @manuelhealth100channel7
    @manuelhealth100channel75 жыл бұрын

    blue sisiwadau tunakuelewa zaidi ukichana japokuimba pia unaweza

  • @SoulfulHealthHQ
    @SoulfulHealthHQ5 жыл бұрын

    Allah na Azidishe kukuongoza kwenye njia iliyonyooka

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele5215 жыл бұрын

    Nakuelewa sn Jana angu

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    Allah azidi kukuongoza bro

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    Ukioa mke anaejitambua atakubadilisha tu kwa uwezo wa Allah na ndio maana huyu jamaa anabadilika pole pole Lkn ww mwenyewe kama hujielewi then unaenda kuoa hao wanashinda na mawigi na kukaauchi mitandaoni hapo patakua na shida sana BIG UP MR BLUE

  • @mustaphahassan589

    @mustaphahassan589

    5 жыл бұрын

    Halima Hassan maneno mataaam

  • @Manfilly
    @Manfilly5 жыл бұрын

    Ukiimba unatisha zaidi brother

  • @ottoraphael2309
    @ottoraphael23095 жыл бұрын

    We unakubalika ukichana

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf5 жыл бұрын

    Mr blue una mafua pole

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank37375 жыл бұрын

    Utafika tu unapoendea pazuri inaonekana hujaoa mcharuka

  • @barakaleader1550
    @barakaleader15505 жыл бұрын

    Jembe hiliii linanoga kila siku

  • @peterkoech9641
    @peterkoech96415 жыл бұрын

    Simba

  • @johnnytravo
    @johnnytravo4 жыл бұрын

    Hii hatarishi ndugu zangu tuwe macho na tuwe makini juu ya hili nawasihi kzread.info/dash/bejne/iIKpysiggqbMm84.html

  • @hasnaabduly4945
    @hasnaabduly49455 жыл бұрын

    Mr blue unaumwa mafua nn

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee98525 жыл бұрын

    Mr blue unaumwa na kikamasi kwaivo unavoongea

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf5 жыл бұрын

    Mr blue una mafua pole

  • @KhadijaKhadija-mk6jf
    @KhadijaKhadija-mk6jf5 жыл бұрын

    Mr blue una mafua pole

  • @bakarpaul5046

    @bakarpaul5046

    Жыл бұрын

    Ndo anavyoongea huyo

Келесі