SIRI, UTAJIRI WA MR BLUE/ AFUNGUKA YOTE/ ANAVYOINGIZA PESA/'NIMEFANIKIWA SANA'
#MrBlue #STORYANDRHYMES
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 142
Iv uyu mtangazaj anasound km milad km naww umeona ivo gonga like hapo
@wennybarny168
Жыл бұрын
Ndiyooooo
@wennybarny168
Жыл бұрын
Yani nlivoskia saut kabla sijamuona nlishajiambia ni Millard Ayo Kuja kumuona mmmm mbona sio yeye, nikajitahidi kumtizama nalazimisha ni yeye hola si yeye
@hahahahahaha3098
Жыл бұрын
Kabisa
@stratega03
Жыл бұрын
Au anamuiga
@sultanmswahilitv4864
Жыл бұрын
Kabisa
Alafu mbona sioni anayezungumzia kuhusu mtangazaji ? Ndugu mtangazaji kwa jinsi anavyohoji maswali yake aise yuko so profesional alafu maswali yenyewe creative sana . Tumpe maua yake
Anacho ongea Baisa ni ukweli Mtu mimi mmoja ni shahidi kwa wimbo wangu nilio mshirikisja mwaka huu unaitwa umefeli Golden Dee feat Mr Blue Utafute utauskia Dah bro aliupenda wimbo wangu mwenyew studio alifika akasema dogo kubali ukatae Humu na tupia verse Dah siku amini msani mkubwa nchini na Africa mashariki na kati kuna wanao mlipa ili aimbe nao mimi kanibless free Tena bila kumuomba ebuane jamaa akashika maik hilo verse sasa mama yangu dah ishi sana bro Baisa Minakupenda bro and thnks I weiting for the VIDEO BRO KOZ NASHUKURU HATA WIMBO ULIUPENDA NA HATA LEO UNANIAMBIAGA NI MOJA KATI YA PLYLIST ZAKO ZA SIKU UKIWA UNASKILIZA WIMBO THNKS BRO 🙏🙏🙏💯💞💞
Mr blue it's such an inspiration honestly 💙the love I have for him is unconditional iwanna be blue 💙
Mr blue historia yako niliokuanaijua na ndo ilikua imebakia kwa kichwa Changu ni kwamba wewe ni mtoto wakitajiri so mziki ilikua kutowa jina na ujulikane kama kuna mr blue na ulikua ukiazima nguo za jamaa moja mkubwa kwa umri ila alikua best yako. Ukweli umesema .ila nakukubali mwanangu wewe ndo mtu wawatu.kuna wengi wametudanganya ili awe mtu tofauti na wenzake
SAFI SANA HUO NDIO UBINAADAMU KUJUTIA NA KUOMBA MSAMAHA KWA ALLAH BIG UP MWENYEZIMUNGU ATAZIDI KUKUFUNGULIA BRO MABLUE
From Comoros islands🇰🇲, i apreciat you Blue 🙏🏼 Big up bro
From Kenya with love, have listened to him since his early songs like mapozz etc,
Remember when i was young nkija town nkiangalia tv...nyimbo ni mapozi nawe...nkajifundisha kubreak...kurudi kijijini nka shine wenzangu sema kupata wasupa.......you guy my guy it was lit
Tokeya Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️mimi n'a mkubali Mr Blue ,nakumbuka sana ,eshima kwako
Mr blue always ni legendary sisi mtaani tunamuelewa saana 💪 ila huyu presenter ni very talented pia Yuko vizuri saana All the best to him 👏👏👏
@antoinekatembo8520
Жыл бұрын
The guy is really professional presenter in the country
Kweli broo nakumbuka kuna msanii anaitwa smart alivyokupigia t cm kuomba collaboration hukuwaza chap ukatimba Studio ukafanya nae kitu bahat mbaya t ngoma haijaenda mjini ila moyo wa kusaidia wengine unao... Big up brother
@BigDreamsWorldwide
Жыл бұрын
Kwann ngoma yake haijaenda mjini na ni collaboration ni kubwa
Sema blue yupo real sana na ndo aliyeleta unyamwez sana kwa wasanii wa bongo ingawa hawampi heshima yake, hivi jina lake la Lil Sama aliliachaga 😂
A big fan of mr blue from when he dropped mr blue song and the banger mr mapozi. Baki na mimi is another classic song i like..mr blue is a legend of the industry.salute !!
Nampenda sana blue baiser namkubali sana kutoka 🇰🇪
Big up Sana 💪 woof kwake bro blue kwl maisha nkpambana
Me nimekubali umeongea vizuri sanaaa kaka ❤❤❤ nimkubali sanaa kaka
Mzee wa chafu tatu ,,,waooooo Big-up sana damu yangu
niliwahi kumkuta tabata na mr ommy black sikujua kua ni mr bluu kumbe ndio yeye anajichanganya na masela kibao kure kimanga tbt
Waaaoh kaongea ukweli sanaa Big Up sana
From Kenya, namkubali sana Blue
Ila kweli kipindi kile mdogo anafanya vizuri sana na akili zakujitetea bado walikuwa nyuma yke wanaingiza pesa kupitia yeye nimwemwelewa😢❤
Daaah mwanangu nimekuelewa sana,big up sana
One of the best interview
Wewewewe wewe mr blue nakukubali sana sana
good speach baiser
I love blue since day one ile nyimbo nikilala sipati usingiZi nikikuota natoka namachoz i love love 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙
I really really really and really appreciate this guy
Bright interview, Presenter umeniangusha wewe ndio kama mgeni kwenye hii interview na mr. Blue ni kama ndo mwenyeji wako.... you are not free boy you are acting like, nat free, nervious like--- I would like to see you the best, and good voice you have but practice more in interviewing
Blue is easy man,anajichanganya popote nimekutana na blue sehem nyingi sana za kawaida tu na story za kawaida za kimaisha.big up sana kaka
Nakubali my brather
Nakukubali sana broo baisa maneno yakujenga jamii
Mr blue ni njia fulani inayo niongoza kujuwa mziki wa bongo❤
Nimekukumbuka blue mitaa ya mchikichini karibu na kwakina ally kiba.......kitambo tuokota mifuko kariakoo tunauza mtaa wa mweza na madina..au msikiti wa idrisa
Mr blue one of my best rappers from TZ much love from Kenya 🇰🇪 but you need to do something with khaligraph jones
Mungu akubark
Mr Blue normally speaks the reality. Maisha halisia nyuma ya camera!
Karibu waanahabari wote wa Tanzania 🇹🇿 wanaiga sauti ya milad hayo
Safi sana bro
Huyu ndio msanii mwenye styaile ya pekee ,hata akibadilisha staile zinamkataa
Nilimuona huyu jamaa kagongwa kahama yuko fresh sana also lulembela geita nakukumbuka ulikuwa road kwenye ndinga lakini hai kama kawaida
wazee blue blue, lkn dimples zimepotea na shavu mjomba nlipenda sana
From kenya..namkubali jamaa huyu saana mr blue
Show gani ulofanya au safari yako ya uengereza ndio umerudi na Pete zote izo na pesa za kutosha eeeeee naijua iyo
@JoelNjane-gs3ij
Жыл бұрын
Unaugua....'playa hater disease '...!!
Ati mnazi unaota juani, this tanzanian Swahili sounds good, cheers from kenya
@Jingajinga64
Жыл бұрын
Samahani amesema mnauzi kuota uwani
@KIM-xl6zs
Жыл бұрын
@@Jingajinga64 hiyo inamaanisha nini ndugu yangu
@Jingajinga64
Жыл бұрын
Kaka yangu hiyo ina maanisha kwamba mnazi umeota kwenye sehemu ambayo si ya kawaida ama inayotarajiwa. Uwani ni sehemu ya nyumba kwa kimombo wanapaita kama sijakosea courtyard. Sasa baada ya kujua maana ya uwa unawezi binafsi kutafsiri Blue amemaanisha kitu gani.
Nakubal sana byaisa
Nakukubali Sana baiser
Laiti ningekuwa msanii ningekuwa nachana style na muonekano wa mr blue
Ukitoka kwenye changa moto we mwanaume tumikia watu
Uyu mwamba namuelewa sana
Nice
👍
Yaan umeongea ukweli kbs mm nakujua
Legend
Nakubar maniga
Apa Rwanda Tunamupenda sana Mr blue
Mr Blue unakumbukaga nilikua nawe 2014 km sukoseiBarking East London
Blue,,,tisha sana
Eeh nimependa kipindi chako bro? 🇧🇮
Does he still manages himself..??
mtangazaji ame mkopy Millard ayo,,mpaka anakera sasa,,,jaribuni kuwa wabunifu Kwa sauti yako mwenyewe,,una iga mpaka sauti duu
@MrishoMzelela-xb9bb
Жыл бұрын
Hamuigi hiyo ni vocal code yake tu sema wewe unamjua Millard na umemzoea
@kwisa4899
Жыл бұрын
Huyu ndio alivyo punguza makasiliko
@michaeljohn9070
Жыл бұрын
@@kwisa4899 labda Kama ni kaka ako,,usitufanye sisi wajinga bro,,tunaona na tuna elewa pia,,anaiga swaga za Millard,,ila isiwe kesi,,huenda ni jamaa ako,,so hatuwezi elewana kwenye hili
Nqkubali sana kazi zako
Wazii
Mbona kuna mengi huuliz maswali yakutupa more story
Saut yake inafanana na salm kikeke
Mm sijui mmb ya Kujirusha LKN kiSykological (anaonyesha KM MKWELI? au KM Nakosea sorry BUDDYS
Sio kwa ubaya lkn naamini kuwa na icon yako wewe kama mtangazaji ni bora kuliko kuwaiga wengine kisa ni mastaa...hapo mmenielewa?
Hii mario haijue marioo kwa Sasa
Blue mdogo wangu dah nakuelewa sana janja uko sawa dogo respect sana joh
Yaaaa damu yangu sikupingagi Babylon
We "Blue!" Hiyo miwani, ni mambo ya welding au bodaboda?
Kwel kbs
Mbona hakuna relation na title zenu😮
Biz babilon kichaa la Hip hop
binadamu hua hatufanani sura tu hatasaut hua tunafanana jamaa saut yake kama millad ayo
Hi oya ghsy
Kaka blue kumbe uko sahihi na no mkweli bas tunajifunza kupitia mifano yako🙏
Macho yanaona kama unajibu yes, moyo unaona kama unajibu no...
@001Xxl
Жыл бұрын
OK ndio ngoma la moyo wangu iloo
😅
Millard voo
Kipenzi cha wanyonge
Huyuuu jamaa mbona kama millad Ayo
KWANI HUYU NI BROTHER YA ayo?
Aliwika ni rigendi
Namkubal sana hana makuu huyu
Izo nyumba ziko iyumbu dodoma you dom uko.
Millard Ayo 2
@josephkadeha3514
Жыл бұрын
Millad ayo kapata mpinzani sound hiyo baba
Kweri
@josephatamos3716
Жыл бұрын
Dogo namkubali malayakwa kumona ilikuwa baliadi sasaivi inaitwa simiyu anatembezwa juuyagali jioniyake akapafom ukumbi JB zamanisana
Mr Blue Baiser, nouma
Blue mtot wa wamjiini
Reporter boaring, toooò much copying Ayo. Can't you do chakwako
KWENYE COVER MMEWEKA PICHA ZA NYUMBA ZA SERIKALI DODOMA NA MR BLUE KUDANGANYA UMA, NAONA MNATUMIA PICHA ZA SERIKALI VIBAYA. ASANTE.
🤍👍
Huyu mtangazaji anamuiga sauti Millard Ayo
@ollenyhawatwa6309
Жыл бұрын
Izo sauti wanazo watangazaji wengi
@michaeljohn9070
Жыл бұрын
Nikweli kabisaa,,amekosa ubunifu
@InnocentSelemani-jq1jf
Жыл бұрын
Anataka kutembelea nyota za watu hawezi kumfika Millard ayo.
@joetchatv1453
Жыл бұрын
Kawaida huenda role model wake
@sunguramwassa5782
Жыл бұрын
Not bad akimuiga legend inakuwa good at all!!
Hd Msasa gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MC BALAA kzread.info/dash/bejne/dnp6trqkos--eJvM.htmlttps://kzread.info/dash/bejne/dnp6trqkos--eJs.html
Mapete ya kiganga🤭
Bro tambala la nn kichwani😂😂😂😂😂😂
@khadijahali4837
Жыл бұрын
Usanii 😂😂
@seifskai5963
Жыл бұрын
Unyamwez