SIRI, UTAJIRI WA MR BLUE/ AFUNGUKA YOTE/ ANAVYOINGIZA PESA/'NIMEFANIKIWA SANA'

#MrBlue #STORYANDRHYMES
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 142

  • @hassanmakame4382
    @hassanmakame4382 Жыл бұрын

    Iv uyu mtangazaj anasound km milad km naww umeona ivo gonga like hapo

  • @wennybarny168

    @wennybarny168

    Жыл бұрын

    Ndiyooooo

  • @wennybarny168

    @wennybarny168

    Жыл бұрын

    Yani nlivoskia saut kabla sijamuona nlishajiambia ni Millard Ayo Kuja kumuona mmmm mbona sio yeye, nikajitahidi kumtizama nalazimisha ni yeye hola si yeye

  • @hahahahahaha3098

    @hahahahahaha3098

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @stratega03

    @stratega03

    Жыл бұрын

    Au anamuiga

  • @sultanmswahilitv4864

    @sultanmswahilitv4864

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @evansmayuro8038
    @evansmayuro8038 Жыл бұрын

    Alafu mbona sioni anayezungumzia kuhusu mtangazaji ? Ndugu mtangazaji kwa jinsi anavyohoji maswali yake aise yuko so profesional alafu maswali yenyewe creative sana . Tumpe maua yake

  • @iamgoldendee1
    @iamgoldendee1 Жыл бұрын

    Anacho ongea Baisa ni ukweli Mtu mimi mmoja ni shahidi kwa wimbo wangu nilio mshirikisja mwaka huu unaitwa umefeli Golden Dee feat Mr Blue Utafute utauskia Dah bro aliupenda wimbo wangu mwenyew studio alifika akasema dogo kubali ukatae Humu na tupia verse Dah siku amini msani mkubwa nchini na Africa mashariki na kati kuna wanao mlipa ili aimbe nao mimi kanibless free Tena bila kumuomba ebuane jamaa akashika maik hilo verse sasa mama yangu dah ishi sana bro Baisa Minakupenda bro and thnks I weiting for the VIDEO BRO KOZ NASHUKURU HATA WIMBO ULIUPENDA NA HATA LEO UNANIAMBIAGA NI MOJA KATI YA PLYLIST ZAKO ZA SIKU UKIWA UNASKILIZA WIMBO THNKS BRO 🙏🙏🙏💯💞💞

  • @bobbyhanns9077
    @bobbyhanns9077 Жыл бұрын

    Mr blue it's such an inspiration honestly 💙the love I have for him is unconditional iwanna be blue 💙

  • @lukangyela8347
    @lukangyela8347 Жыл бұрын

    Mr blue historia yako niliokuanaijua na ndo ilikua imebakia kwa kichwa Changu ni kwamba wewe ni mtoto wakitajiri so mziki ilikua kutowa jina na ujulikane kama kuna mr blue na ulikua ukiazima nguo za jamaa moja mkubwa kwa umri ila alikua best yako. Ukweli umesema .ila nakukubali mwanangu wewe ndo mtu wawatu.kuna wengi wametudanganya ili awe mtu tofauti na wenzake

  • @abuumicheni1935
    @abuumicheni1935 Жыл бұрын

    SAFI SANA HUO NDIO UBINAADAMU KUJUTIA NA KUOMBA MSAMAHA KWA ALLAH BIG UP MWENYEZIMUNGU ATAZIDI KUKUFUNGULIA BRO MABLUE

  • @abdoumirhane9783
    @abdoumirhane9783 Жыл бұрын

    From Comoros islands🇰🇲, i apreciat you Blue 🙏🏼 Big up bro

  • @davidmwangi4811
    @davidmwangi4811 Жыл бұрын

    From Kenya with love, have listened to him since his early songs like mapozz etc,

  • @delgadochriss3201
    @delgadochriss3201 Жыл бұрын

    Remember when i was young nkija town nkiangalia tv...nyimbo ni mapozi nawe...nkajifundisha kubreak...kurudi kijijini nka shine wenzangu sema kupata wasupa.......you guy my guy it was lit

  • @mbidjisilunga2575
    @mbidjisilunga2575 Жыл бұрын

    Tokeya Congo Kinshasa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩✌️mimi n'a mkubali Mr Blue ,nakumbuka sana ,eshima kwako

  • @MwasonKambi-hv2sv
    @MwasonKambi-hv2sv Жыл бұрын

    Mr blue always ni legendary sisi mtaani tunamuelewa saana 💪 ila huyu presenter ni very talented pia Yuko vizuri saana All the best to him 👏👏👏

  • @antoinekatembo8520

    @antoinekatembo8520

    Жыл бұрын

    The guy is really professional presenter in the country

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 Жыл бұрын

    Kweli broo nakumbuka kuna msanii anaitwa smart alivyokupigia t cm kuomba collaboration hukuwaza chap ukatimba Studio ukafanya nae kitu bahat mbaya t ngoma haijaenda mjini ila moyo wa kusaidia wengine unao... Big up brother

  • @BigDreamsWorldwide

    @BigDreamsWorldwide

    Жыл бұрын

    Kwann ngoma yake haijaenda mjini na ni collaboration ni kubwa

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 Жыл бұрын

    Sema blue yupo real sana na ndo aliyeleta unyamwez sana kwa wasanii wa bongo ingawa hawampi heshima yake, hivi jina lake la Lil Sama aliliachaga 😂

  • @patriotkenya
    @patriotkenya Жыл бұрын

    A big fan of mr blue from when he dropped mr blue song and the banger mr mapozi. Baki na mimi is another classic song i like..mr blue is a legend of the industry.salute !!

  • @richardgitau36
    @richardgitau36 Жыл бұрын

    Nampenda sana blue baiser namkubali sana kutoka 🇰🇪

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Жыл бұрын

    Big up Sana 💪 woof kwake bro blue kwl maisha nkpambana

  • @shashatours6454
    @shashatours6454 Жыл бұрын

    Me nimekubali umeongea vizuri sanaaa kaka ❤❤❤ nimkubali sanaa kaka

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Жыл бұрын

    Mzee wa chafu tatu ,,,waooooo Big-up sana damu yangu

  • @bonabonala5559
    @bonabonala55598 ай бұрын

    niliwahi kumkuta tabata na mr ommy black sikujua kua ni mr bluu kumbe ndio yeye anajichanganya na masela kibao kure kimanga tbt

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Жыл бұрын

    Waaaoh kaongea ukweli sanaa Big Up sana

  • @g2c477
    @g2c477 Жыл бұрын

    From Kenya, namkubali sana Blue

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Жыл бұрын

    Ila kweli kipindi kile mdogo anafanya vizuri sana na akili zakujitetea bado walikuwa nyuma yke wanaingiza pesa kupitia yeye nimwemwelewa😢❤

  • @hamadiayossy190
    @hamadiayossy190 Жыл бұрын

    Daaah mwanangu nimekuelewa sana,big up sana

  • @browncheyo5554
    @browncheyo5554 Жыл бұрын

    One of the best interview

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын

    Wewewewe wewe mr blue nakukubali sana sana

  • @allysaid7108
    @allysaid7108 Жыл бұрын

    good speach baiser

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Жыл бұрын

    I love blue since day one ile nyimbo nikilala sipati usingiZi nikikuota natoka namachoz i love love 💙💙💙💙💙💙💙💙💙💙

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 Жыл бұрын

    I really really really and really appreciate this guy

  • @babilytv9572
    @babilytv95726 ай бұрын

    Bright interview, Presenter umeniangusha wewe ndio kama mgeni kwenye hii interview na mr. Blue ni kama ndo mwenyeji wako.... you are not free boy you are acting like, nat free, nervious like--- I would like to see you the best, and good voice you have but practice more in interviewing

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Жыл бұрын

    Blue is easy man,anajichanganya popote nimekutana na blue sehem nyingi sana za kawaida tu na story za kawaida za kimaisha.big up sana kaka

  • @kigodatz6458
    @kigodatz6458 Жыл бұрын

    Nakubali my brather

  • @terrymc5593
    @terrymc5593 Жыл бұрын

    Nakukubali sana broo baisa maneno yakujenga jamii

  • @BakitaBakiflow
    @BakitaBakiflow8 ай бұрын

    Mr blue ni njia fulani inayo niongoza kujuwa mziki wa bongo❤

  • @husseinkombo-3447
    @husseinkombo-3447 Жыл бұрын

    Nimekukumbuka blue mitaa ya mchikichini karibu na kwakina ally kiba.......kitambo tuokota mifuko kariakoo tunauza mtaa wa mweza na madina..au msikiti wa idrisa

  • @emmanuelopiyo6408
    @emmanuelopiyo6408 Жыл бұрын

    Mr blue one of my best rappers from TZ much love from Kenya 🇰🇪 but you need to do something with khaligraph jones

  • @rukayyaaliy9713
    @rukayyaaliy97135 ай бұрын

    Mungu akubark

  • @thebonniemedia
    @thebonniemedia Жыл бұрын

    Mr Blue normally speaks the reality. Maisha halisia nyuma ya camera!

  • @lubatikoseme9412
    @lubatikoseme9412 Жыл бұрын

    Karibu waanahabari wote wa Tanzania 🇹🇿 wanaiga sauti ya milad hayo

  • @safarimallya4536
    @safarimallya4536 Жыл бұрын

    Safi sana bro

  • @ibrahimmasoud8385
    @ibrahimmasoud8385 Жыл бұрын

    Huyu ndio msanii mwenye styaile ya pekee ,hata akibadilisha staile zinamkataa

  • @BrysonMayunga-lc6mq
    @BrysonMayunga-lc6mq Жыл бұрын

    Nilimuona huyu jamaa kagongwa kahama yuko fresh sana also lulembela geita nakukumbuka ulikuwa road kwenye ndinga lakini hai kama kawaida

  • @zarrykaidza2359
    @zarrykaidza2359 Жыл бұрын

    wazee blue blue, lkn dimples zimepotea na shavu mjomba nlipenda sana

  • @user-hl4eb8ct7l
    @user-hl4eb8ct7l Жыл бұрын

    From kenya..namkubali jamaa huyu saana mr blue

  • @user-ny7in3ir6p
    @user-ny7in3ir6p Жыл бұрын

    Show gani ulofanya au safari yako ya uengereza ndio umerudi na Pete zote izo na pesa za kutosha eeeeee naijua iyo

  • @JoelNjane-gs3ij

    @JoelNjane-gs3ij

    Жыл бұрын

    Unaugua....'playa hater disease '...!!

  • @KIM-xl6zs
    @KIM-xl6zs Жыл бұрын

    Ati mnazi unaota juani, this tanzanian Swahili sounds good, cheers from kenya

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    Жыл бұрын

    Samahani amesema mnauzi kuota uwani

  • @KIM-xl6zs

    @KIM-xl6zs

    Жыл бұрын

    @@Jingajinga64 hiyo inamaanisha nini ndugu yangu

  • @Jingajinga64

    @Jingajinga64

    Жыл бұрын

    Kaka yangu hiyo ina maanisha kwamba mnazi umeota kwenye sehemu ambayo si ya kawaida ama inayotarajiwa. Uwani ni sehemu ya nyumba kwa kimombo wanapaita kama sijakosea courtyard. Sasa baada ya kujua maana ya uwa unawezi binafsi kutafsiri Blue amemaanisha kitu gani.

  • @user-fp6yw6wp3e
    @user-fp6yw6wp3e Жыл бұрын

    Nakubal sana byaisa

  • @paulnovatus4920
    @paulnovatus4920 Жыл бұрын

    Nakukubali Sana baiser

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 Жыл бұрын

    Laiti ningekuwa msanii ningekuwa nachana style na muonekano wa mr blue

  • @salminhustler962
    @salminhustler962 Жыл бұрын

    Ukitoka kwenye changa moto we mwanaume tumikia watu

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Жыл бұрын

    Uyu mwamba namuelewa sana

  • @user-vw8hu3td2h
    @user-vw8hu3td2h11 ай бұрын

    Nice

  • @harisosiharizonevlby
    @harisosiharizonevlby Жыл бұрын

    👍

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Жыл бұрын

    Yaan umeongea ukweli kbs mm nakujua

  • @ConventionalViews
    @ConventionalViews Жыл бұрын

    Legend

  • @user-ui5cp6xq9w
    @user-ui5cp6xq9w Жыл бұрын

    Nakubar maniga

  • @murarayvan5732
    @murarayvan5732 Жыл бұрын

    Apa Rwanda Tunamupenda sana Mr blue

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 Жыл бұрын

    Mr Blue unakumbukaga nilikua nawe 2014 km sukoseiBarking East London

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo6814 Жыл бұрын

    Blue,,,tisha sana

  • @JimmyNtakarutimana
    @JimmyNtakarutimana10 ай бұрын

    Eeh nimependa kipindi chako bro? 🇧🇮

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 Жыл бұрын

    Does he still manages himself..??

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 Жыл бұрын

    mtangazaji ame mkopy Millard ayo,,mpaka anakera sasa,,,jaribuni kuwa wabunifu Kwa sauti yako mwenyewe,,una iga mpaka sauti duu

  • @MrishoMzelela-xb9bb

    @MrishoMzelela-xb9bb

    Жыл бұрын

    Hamuigi hiyo ni vocal code yake tu sema wewe unamjua Millard na umemzoea

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    Жыл бұрын

    Huyu ndio alivyo punguza makasiliko

  • @michaeljohn9070

    @michaeljohn9070

    Жыл бұрын

    @@kwisa4899 labda Kama ni kaka ako,,usitufanye sisi wajinga bro,,tunaona na tuna elewa pia,,anaiga swaga za Millard,,ila isiwe kesi,,huenda ni jamaa ako,,so hatuwezi elewana kwenye hili

  • @jimmymbella997
    @jimmymbella997 Жыл бұрын

    Nqkubali sana kazi zako

  • @AkibaNgombo
    @AkibaNgombo4 ай бұрын

    Wazii

  • @hoseapeter2240
    @hoseapeter2240 Жыл бұрын

    Mbona kuna mengi huuliz maswali yakutupa more story

  • @daudpius130
    @daudpius130 Жыл бұрын

    Saut yake inafanana na salm kikeke

  • @fahmiabdulla7690
    @fahmiabdulla7690 Жыл бұрын

    Mm sijui mmb ya Kujirusha LKN kiSykological (anaonyesha KM MKWELI? au KM Nakosea sorry BUDDYS

  • @boniphacemwalikiamos4516
    @boniphacemwalikiamos4516 Жыл бұрын

    Sio kwa ubaya lkn naamini kuwa na icon yako wewe kama mtangazaji ni bora kuliko kuwaiga wengine kisa ni mastaa...hapo mmenielewa?

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Жыл бұрын

    Hii mario haijue marioo kwa Sasa

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 Жыл бұрын

    Blue mdogo wangu dah nakuelewa sana janja uko sawa dogo respect sana joh

  • @mustafamusty
    @mustafamusty Жыл бұрын

    Yaaaa damu yangu sikupingagi Babylon

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын

    We "Blue!" Hiyo miwani, ni mambo ya welding au bodaboda?

  • @user-nl8hk4tl3g
    @user-nl8hk4tl3g Жыл бұрын

    Kwel kbs

  • @MrDonshady99
    @MrDonshady99 Жыл бұрын

    Mbona hakuna relation na title zenu😮

  • @steve3209
    @steve3209 Жыл бұрын

    Biz babilon kichaa la Hip hop

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 Жыл бұрын

    binadamu hua hatufanani sura tu hatasaut hua tunafanana jamaa saut yake kama millad ayo

  • @tpanrag3976
    @tpanrag397611 ай бұрын

    Hi oya ghsy

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 Жыл бұрын

    Kaka blue kumbe uko sahihi na no mkweli bas tunajifunza kupitia mifano yako🙏

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 Жыл бұрын

    Macho yanaona kama unajibu yes, moyo unaona kama unajibu no...

  • @001Xxl

    @001Xxl

    Жыл бұрын

    OK ndio ngoma la moyo wangu iloo

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Жыл бұрын

    😅

  • @bodiboy7166
    @bodiboy7166 Жыл бұрын

    Millard voo

  • @rapamafia3365
    @rapamafia3365 Жыл бұрын

    Kipenzi cha wanyonge

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy1590 Жыл бұрын

    Huyuuu jamaa mbona kama millad Ayo

  • @Msemaukwelikweli
    @Msemaukwelikweli Жыл бұрын

    KWANI HUYU NI BROTHER YA ayo?

  • @HassanShaban-ru2nb
    @HassanShaban-ru2nb Жыл бұрын

    Aliwika ni rigendi

  • @user-vw8hu3td2h
    @user-vw8hu3td2h11 ай бұрын

    Namkubal sana hana makuu huyu

  • @RichardRobert-ou9zh
    @RichardRobert-ou9zh Жыл бұрын

    Izo nyumba ziko iyumbu dodoma you dom uko.

  • @user-vp3lm9le3f
    @user-vp3lm9le3f Жыл бұрын

    Millard Ayo 2

  • @josephkadeha3514

    @josephkadeha3514

    Жыл бұрын

    Millad ayo kapata mpinzani sound hiyo baba

  • @user-nv3wi8dj9p
    @user-nv3wi8dj9p Жыл бұрын

    Kweri

  • @josephatamos3716

    @josephatamos3716

    Жыл бұрын

    Dogo namkubali malayakwa kumona ilikuwa baliadi sasaivi inaitwa simiyu anatembezwa juuyagali jioniyake akapafom ukumbi JB zamanisana

  • @zondomartine
    @zondomartine Жыл бұрын

    Mr Blue Baiser, nouma

  • @iBraah257
    @iBraah257 Жыл бұрын

    Blue mtot wa wamjiini

  • @hurumasilasmwamwezi4351
    @hurumasilasmwamwezi4351 Жыл бұрын

    Reporter boaring, toooò much copying Ayo. Can't you do chakwako

  • @mdundotv4501
    @mdundotv4501 Жыл бұрын

    KWENYE COVER MMEWEKA PICHA ZA NYUMBA ZA SERIKALI DODOMA NA MR BLUE KUDANGANYA UMA, NAONA MNATUMIA PICHA ZA SERIKALI VIBAYA. ASANTE.

  • @harisosiharizonevlby
    @harisosiharizonevlby Жыл бұрын

    🤍👍

  • @emmamga5495
    @emmamga5495 Жыл бұрын

    Huyu mtangazaji anamuiga sauti Millard Ayo

  • @ollenyhawatwa6309

    @ollenyhawatwa6309

    Жыл бұрын

    Izo sauti wanazo watangazaji wengi

  • @michaeljohn9070

    @michaeljohn9070

    Жыл бұрын

    Nikweli kabisaa,,amekosa ubunifu

  • @InnocentSelemani-jq1jf

    @InnocentSelemani-jq1jf

    Жыл бұрын

    Anataka kutembelea nyota za watu hawezi kumfika Millard ayo.

  • @joetchatv1453

    @joetchatv1453

    Жыл бұрын

    Kawaida huenda role model wake

  • @sunguramwassa5782

    @sunguramwassa5782

    Жыл бұрын

    Not bad akimuiga legend inakuwa good at all!!

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa3355 Жыл бұрын

    Hd Msasa gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomfunika MC BALAA kzread.info/dash/bejne/dnp6trqkos--eJvM.htmlttps://kzread.info/dash/bejne/dnp6trqkos--eJs.html

  • @ZionTZ09
    @ZionTZ09 Жыл бұрын

    Mapete ya kiganga🤭

  • @ishaqhashim6333
    @ishaqhashim6333 Жыл бұрын

    Bro tambala la nn kichwani😂😂😂😂😂😂

  • @khadijahali4837

    @khadijahali4837

    Жыл бұрын

    Usanii 😂😂

  • @seifskai5963

    @seifskai5963

    Жыл бұрын

    Unyamwez

Келесі