"SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE
Ойын-сауық
"SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 37
Blue ameongea kwa hisia kwa wema aliooneshwa sio wakinafiki sema diamond anamkubali blue since day one
Baisa the most dangerous artist on the stage 💥💥💥💥 Hii imeenda
Abby skills kasema pia kuhusu upendo wa diamond kuwa mkubwa sana, na akaenda mbali akagusia kutamani kufanya collabo na diamond, ujue wasanii walio wahi kuwa karibu na alikiba waliamini kiba ni mtu poa sana lkn kiba ni mbinafsi sana choyo sana ndo maana hata label yake haikui, anajikuta kwendekeza uking ambao ni uking uchwara, diamond ni msanii poa since day one basi anachafuliwaga na washamba, ,
@muhsiniamiri9310
9 ай бұрын
acha uongo wew wot wak poa sem kib utofaut wak ni msir
@SophlaJackson-nt1nc
9 ай бұрын
@@muhsiniamiri9310 🤔🤔🤔🤔
@Fahadi2023
9 ай бұрын
@@muhsiniamiri9310😂😂😂Siri wap ,lakata la mkew lenyewe tu linajionesha mdg wake na wasanii wake akuna anajiwafanyia
@didasmashwilili
9 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉
@dianerditto
9 ай бұрын
Kwani hiwez tu kumsifia mond bila kumtaja ally mbna wasanii wengi sana lkn ni ally tu ndio mbinafsi
Ukimchukia Diamond umeuchukia mziki wa Bongo , ni ngumu kumkwepa Jamaa , na saivi alivo na media wasanii ndo wanajisogeza zaidi kwake
Nice nimependa
Huyu ndio maaana ya msela anachuki za kilofa lofa
We simba namasimba la masimba dangote
É Verdade Diamond Amo Muito os Músicos Abby skills e Mr Blue
Simba la masimba dangote
wasanii walivo akitofautian lzm amseme mabay ila blue hanaga hzo
sa itakuaje tukiishi bila upendo.❤❤❤❤
❤❤
Acha Wamuchafue Ilamungu amesha mpa simb Simba lamasimba
Izo mike zenu studio haziskikii vzr
Aaliya yuko wapi??
Unajua mkiwa mtaani mnalishana maneno ya kupakaziana wakati siyo kweli
Zaman ulikuw kubali ivi unamsema vizuri mtamsema tuu
@michaeljengwaz4328
9 ай бұрын
Kwenye dunia adui wa kudumu Ni Shetani tu wengine Ni vipindi 2 vinapita
@sulexh
9 ай бұрын
Kabisa broooo hakuna adui wamilele zaid ya shetan
Baba la baba Simba
Uko poa buluu
Hakika usemavyo