MR BLUE AFUNGUKA KUHUSU BIFU KATI AYAKE NA DIAMOND/ WASAFI FESTIVAL CHANZO!! / NILIKUWA NATAMANI
Ойын-сауық
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 53
Wasafi spirit ndio iliowakutanisha tena Bayser Blue na Diamond. It's very interesting story when you listen Blue .
Mr blue hana zarau ni mtu peace mno Yani haeleweki ni msela au braza men kwakifupi ni genius and unpredicted Man
Nakubal mr blue kikubwa kuachia mawe zaidi ya apa mwamba
Huyu Dada ampe mtu muda ajibu basi
@gordiansoko9113
5 ай бұрын
Huyu dada mtangazaji amezidi maneno kiasi anafanya hata mtu aliyealikwa studio asipate nafasi ya kuongea anajifanya anajua Sana lakini kiukweli anaboa na maswali yake yasiokuwa na kichwa wala kiuno.
Nakubali sana kazi mzuri Apo mjengoni
Namkubali Sana Mr blue
Hahahaha na house girl anaamrusha vizuriiii tu
Nakukubali sana kuna yibo yako moja naipenda sana niobe mama baka pale nitakapo rudi nitakuleteya nazawadi😊
Mondi alishasema kitambo Blue ndio alimfanya afanye mziki kwaiyo ni Rahisi sana kuisha bifu yao
One loveee😊
Kizazi sana 🎤🔥
Dem anae hoji aeleweki ana boronga boronga ana tapatapa sana maneno meng mpaka ana choresha sasa
@meshack3266
5 ай бұрын
Kiukweli adi mm icho kidada kinanikela sana yani kwokote atakapo kua anakua na kilele hele mno
Brue baki na hiyo broo kaa hapo na diamond sababu hapo Kuna njia ya kufanikiwa kimuziki hapo ndo Kuna njia iliyonyooka mno , achana na wabwia Unga wamepewa chansi wakaichezea afu brue ukumbuke muziki unaudai ujue afu unaudai pesa nyingi mno so hapo ndo mahala pake lazima ukulipe madeni yote broo . Huyo jamaa anajuwa kuuza muziki ukaleta pesa mbali na show kaa nae achna na vijitu ohooo !! Unaminywa sijui nn ? Piga hesabu umekaa hujaminywa umepata nn? Mpk Leo je ? Ukiwa na Mond ukaminywa utapata nn? Ushangae uapate pesa nyingi pindi ukiwa unaminywa . Baki hapo broo
Uyu dem huwa anakata sana yani anauliza swali af anajijibu af jamaa akitaka kujibu kabla amalize anauliza lingine daah😅😅😅
😮katisha
dada ongea kwa utaratibu kama wenzio, halafu uliza maswali ya mashiko
Ase huyo dada anaonge san hlf anacho uriza sas hakielewek duh
Dah huyu dada anaongea bila mpangilio kbsaaa aah
hivi ray mchana kaacha kazi ama
Nc
Diamond amekua inspired na Mr blue hio iko dhahiri kabisa .. ata hio kujiita platinumz blue ndo wakwanza kujiita ivo longtime hio .. so its all love Yani
@samchris1914
5 ай бұрын
Hata ile Holla back ladies,,aliiga kwa Bizzy 😂
@allahisone6386
5 ай бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@davidkifua8465
5 ай бұрын
Na jina la Simba pia kachukua kwa blue😂
@jackmsuya6842
5 ай бұрын
Weeeee zooombiiiiiii
I'm the first one I need my likes
@user-vu6pd7pg9e
5 ай бұрын
Wht is meaning of likes
@kidatokassim7616
5 ай бұрын
Huu unakua upuzi wa hali ya juu
@mwanamisijuma8044
5 ай бұрын
Mwanaume unaomba likes za nn ama ww ni fathma😂😂😂
Bjr
Blue byser
@amygirl punguza maswali yenye Hayana mana,mpaka msani anashindwa kujibu,
HUKO NDO KUKUA KISANII
Mi sionekanagi😂😂😂
Mond kapotea kwenye ramani ya mziki imebaki brand tu, anatafuta nguvu kwenye collabo. Sasa anaimba kama shoga mwenzie zuchu
@RubenDelefa-eg8mm
5 ай бұрын
Kama mondi kapotea kwenye gemu Tanzania hii Kuna mtu wa kufikia muwe mnaongea kitu kinachoeleweka na cyo kulopoka
@benardhassan922
5 ай бұрын
Wew team konde acha uchawi diamond jini hawamuwez kumshusha
@njoroboihastla
5 ай бұрын
DAAAH😂 UKIAACHILIA MBALI UMASIKINI KITU KINGINE KINATUTESA SISI WA TANZANIA NI CHUKI NA NYEGE
@mumbatembo2414
5 ай бұрын
Aliye potea ni wewe hata rafiki zako hawakukumbuki
@SilaMinanda
5 ай бұрын
Ishu sio kushushwa, kwan marekani kuna mtu kamshusha 50 cent?, J zee au Real wayne? Lakn vip this time around pale justin bieber pale Usher raymond nani mkali? Jibu Bieber Usher atabakia kuwa legendary. Diamond legendary Anayeimba kama zuchu kwa sasa, isikilize vzr mapoz ni zuchu mtupu.
😂😂😂😂
Blue sorry. Umeķonda kidogo vipi?utapata shavu saivi. Mda mwingi ww upo na Ab skills. Halafu naona nyimbo yako ya mwanzo kuimba na jamaa. Ikiwemo iyo nyimbo vikiwemo vikiwemo vionjo vyako. Siandiki kiengereza we mwenyewe swahili babu. From 507.
Akuna kitu wote apo
Kwani huyo domo na baisa ni mara ya kwanza kufanya kazi si walishafanya kazi hao mbona mnajifanya kama hiyo ndio ionekane kazi bora wakati marehemu ngwea alishawashirikisha kazi ilitaarishwa na AM RECORD😂😂😂😂 au mnajifanya hamjui domo wakati wake umeisha iwe hivyo msilazimishe yeye abaki kama mkuu wa mafanikio tu msilazishe awe namba moja milele
Kitu ambacho kinanikwaza sana ukishafanya kazi ma domo unaanza kuwa mtumwa wa kulipa fadhila kwenye interview za machoko fm yaani utaitwa kila kipindi ulazimishwe utaje wema wa domo 😂😂😂😂 mapozi na inanimaliza ya konde ipi kali 😂😂😂😂😂 nyau nyie muache baisa huyo mtu mzima msilazimishe maji na mafuta