MASTER J : DIAMOND PLATMUZ MBURUDISHAJI BORA NA ALI KIBA NI MUIMBAJI BORA

Ойын-сауық

#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio

Пікірлер: 231

  • @IGEMBEOG
    @IGEMBEOG5 ай бұрын

    Tulio kubaliana na master like please

  • @sheesaid2501
    @sheesaid25015 ай бұрын

    Umesema Master Jay huo ndio ukweli !! Singeli itaenda mbali Sanaa ✌️🫶

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu45635 ай бұрын

    Nakubaliana na master J japo ukweli mchungu. Huyu PHINA ni balaa sana yaani ana vocal kali sana mpaka unaweza kusisimka anapoimba na anajua kuburudisha, kuna Rubby, kuna Msechu hajawa tu serious, Beka Ibrozama. Hawa wanajua

  • @fauznuhu9981
    @fauznuhu99815 ай бұрын

    Congo fally pupa kapiga arena tata kwa siku 21kila moja wa tu elfu abaini

  • @leonjozy
    @leonjozy5 ай бұрын

    Kuhusu Abby Chams haipingwi, she's the only female artist who can take Tanzanian music to international level

  • @fj8317

    @fj8317

    5 ай бұрын

    Wewe ni Mungu

  • @moodyramadhan336
    @moodyramadhan3365 ай бұрын

    Kuhus Abigail na phina yoo 👋 hundred percent I agree 👍 💯...

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын

    Master anajua bhn🙌🏿

  • @brendaurio4480
    @brendaurio44805 ай бұрын

    Master umeongea ukwl kbsaaaaa Abby and phone uwiii❤🔥🔥🔥🔥

  • @ggcrank6264
    @ggcrank62645 ай бұрын

    Singeli ndio sound yetu kwenda international Master umeongea point sana

  • @kaditokenya6873

    @kaditokenya6873

    5 ай бұрын

    Umeonaaaa

  • @lifegotv975

    @lifegotv975

    5 ай бұрын

    Bangi sio chai

  • @anthonymiles8304
    @anthonymiles83045 ай бұрын

    If at all kenyans and tanzanians could come together...and mix both music genre well we could be in a better position to compete internationally... kudos to the interview 👏...

  • @husnednour2349
    @husnednour23495 ай бұрын

    Umeongea facts kaka. King kiba akitoa just one song ina hit forever. Diamondnyimbo zake zina hit for just 3 months and you'll never listen anymore

  • @aliiddmkomwa1804
    @aliiddmkomwa18043 ай бұрын

    master j sio box big up broo

  • @emmanuelmwatujobe8450
    @emmanuelmwatujobe84505 ай бұрын

    Jamaa hana baya

  • @songoloomari5427
    @songoloomari54275 ай бұрын

    That true na wataishiya ku complain everyday

  • @wakandatyganelsonofficiall6395
    @wakandatyganelsonofficiall63955 ай бұрын

    Wa Nigeria wana support each other but Bongo shida😢😢

  • @izack9191

    @izack9191

    5 ай бұрын

    Ndo usgamba sasa

  • @thatforeign4590
    @thatforeign45905 ай бұрын

    Facts on facts on facts thats why i listen to yo interviews nondo tupu. Abby is surely that good. Lets push young stars kina treyzah and the likes.

  • @abkmavoko
    @abkmavoko3 ай бұрын

    Gengetone international inaweza kabisa sababu ya sheng.. Kenya

  • @Dazuu9884
    @Dazuu98845 ай бұрын

    hilijamaa lina jua mziki

  • @amosdastan1006
    @amosdastan10065 ай бұрын

    Master uko sawa kabisa nakubar

  • @dancemachinecrew6480
    @dancemachinecrew64805 ай бұрын

    Multiple intelligences master jay mziki wetu unavingi vya kufikilia kusonga mbele sioni sababu za watu kushindw kuelewa hili cha kushangaza na wanaenda nchi za watu mimi kama nashindw kuelewa wanaendaga kujfunza nini au ndyo picha tu af proud of ??? Fact master waeleweshe mpk waseme wakichukia shauri zao "Keep Bongo Flavour music safe"

  • @salamajuma5481
    @salamajuma54815 ай бұрын

    Allah akulibariki Master Jay

  • @rmags8843
    @rmags88435 ай бұрын

    Actually I would rather be an entertainer than just a singer!! Watu Kama kina Beyoncé, Tina Turner, Michael Jackson, James brown succeeded in music for being great entertainers than just singing. They all have a common denominator which is stage presence!!!! And that’s what Diamond brings to the table and it’s what makes him leave a mark when he is on stage!!

  • @bakarithegeoinformatician7406

    @bakarithegeoinformatician7406

    5 ай бұрын

    Was Justin Timberlake an entertainer?

  • @rmags8843

    @rmags8843

    5 ай бұрын

    @@bakarithegeoinformatician7406…if you haven’t noticed the list I mentioned is of the greatest of all time!! The cream!! Great performers!! Justin Timberlake haingii kwenye hii list! Hafikii Hii level!! Sasa utamcompare Justin and Michael Jackson or Beyoncé? 😅.

  • @izack9191

    @izack9191

    5 ай бұрын

    What about justin bieber, adele, bruno mars, the legend, ed sheeran etc... are they entertainers?

  • @yolo5261

    @yolo5261

    5 ай бұрын

    Bro all those that you mentioned were both entertainers and singers

  • @lifegotv975

    @lifegotv975

    5 ай бұрын

    Are you even listening to yourself 🤷🏿‍♂️

  • @abkmavoko
    @abkmavoko3 ай бұрын

    True bongo flavour ni arabic scale

  • @zedylui4861
    @zedylui48615 ай бұрын

    Legendary, mtu kukuelewa lazima awe na upeo mkubwa na anaujua mziki.. unatema madini

  • @zaherashamte1058
    @zaherashamte10585 ай бұрын

    Nampendaga xn masta j mkwel xn

  • @saidyabdalla7410
    @saidyabdalla74105 ай бұрын

    Kenya sijaona msanii anaye Fanya vizuri Watanzania ndio wanafany vizuri

  • @tomfoss9613
    @tomfoss96135 ай бұрын

    Huyu mze hajuwi anacho kiongea. Eti wasanii wa Nigeria hawafanyi amapiano?? Asake mwenyewe unae mshabikiya ana song yenye title ya amapiano na anazo piano kama zote

  • @alidyaya4512
    @alidyaya45125 ай бұрын

    Asake anatumia beat za amapiano davido yuko tour since last year na Unavailable beat ya mapiano bana boy anaimba dance hall

  • @DaudiKimoto

    @DaudiKimoto

    5 ай бұрын

    Unavailable ngoma kubwa sana ya davido kwenye album yake nzima ni amapiano so kuna muda unaongea ukwel kuna muda unaongea opinion zako

  • @henrychiriba9354

    @henrychiriba9354

    5 ай бұрын

    Huwezi elewa chenye uyu mwamba anaongea ju ww unaangalia sarakasi za msanii ukidhani ni kuimba vizuri

  • @alidyaya4512

    @alidyaya4512

    5 ай бұрын

    @@DaudiKimotokwani umeelewa point yngu 😅?

  • @jossporahmsw8420
    @jossporahmsw84205 ай бұрын

    Sawa,, nmekuelewa.

  • @anordkaniki8476
    @anordkaniki84765 ай бұрын

    Fact master j

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid18825 ай бұрын

    Kila mtu amini anachokiamini mm ninachokiamini ni kwamba King Ally salehe kiba ndo mfalme wamuziki Tz❤❤😂

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m5 ай бұрын

    Harmo....juu...master mnafiki

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    5 ай бұрын

    Harmo ana melody nzuri na anajitahidi kuimba kingereza anachokifahamu lakini ukienda kwenye uhalisia ana makosa mengi kwenye kingereza chake huo ndio ukweli, wanigeria kingereza Chao wanachanganya na lugha zao lakini huwezi ukakuta kwenye kile kingereza kina makosa

  • @kwisa4899
    @kwisa48995 ай бұрын

    Huyu jamaa anamjua Rubby vizuri ?

  • @eduuclassic6997
    @eduuclassic69975 ай бұрын

    Umeeleweka sana bro

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45145 ай бұрын

    Tatizo mnamuogopa alikiba mnashindwa kumwambia kuwa hajui kuimba 😂😂😂

  • @nwntz
    @nwntz5 ай бұрын

    Master umenena na hii iwe ya mwisho kama hawajakuelewa tena basi

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri53115 ай бұрын

    Much respect Kwa master Ila napenda kutofautiana nae ukimsiliza vizuri utaona ameegemea kwenye mapungufu badala ya Nini tunacho na tunaenda vp mfano tuna baadhi ya mazuri kama taifa tuna bet,Kuna maeneo atukuwai perform such francophone zone na tumejaza mm sitowai define 02 arena kama kipimo cha mafanikio hivi burns anaconditentent failure kwenye show Africa utasema Sio international artists I think Naija nje ya sounds, investment Wana advantage ya exposure na population tuachache kuwa chukilia POA wasaanii wetu sijui yule staenda wale Japan's master Jay that was personal kiukweli eti international wataenda chams na phina wengine hapana hapa umekuwa personal mno not real

  • @user-vz4xj2ci2w

    @user-vz4xj2ci2w

    4 ай бұрын

    you know music and its reality, i appreciate that by the way in all of your success hater must appear

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela1795 ай бұрын

    Master j anaez hojiwa masaa 4 na hammalizi

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi12475 ай бұрын

    Hatuna umoja ...ingawa wabongo wako wachache Uk ...lkn wanamuziki wakiungana ...wanaweza Mfano kwa majaribio tukisema tuchukue wanamuziki 10 bora wabongo waende pale 02...tunaweza kuujaza ule Muziki sio lugha tuuu Ni vibes pia....mfano muziki wa kizaire...hatujui lugha lkn wakipiga ni mataifa tofauti wanaenda na wanafurahi....ingawa wanaigeria wana faida ya kuwa wengi nchi za ulaya...ndo maana wana jaza Sababu UK peke yake wanaigeria wako karibuni millioni 1 na.....Wabongo hawafiki hata 50,000.. lkn tukianza kwa umoja tunaweza .. hapo master J anatukatisha tamaa...asiseme kuwa hatuwezi... alimwambia Hamonize hawezi kuimba...lkn Diamond alimchukua na akamfundisha na sasa hivi yupo top 5 na ndiye kati ya washindani Wakubwa wa Diamond.....everything is possible under the sun....

  • @faidhamyovela179

    @faidhamyovela179

    5 ай бұрын

    Kubali ukatae toa mifano yotee kuhus 02 arena tupaach dai ana miak 20 kweny gam

  • @user-gb9gk8bm6e

    @user-gb9gk8bm6e

    5 ай бұрын

    Nimekuelewaa

  • @Joelfreedom4

    @Joelfreedom4

    5 ай бұрын

    Tutakuja kufanyikiwa tukiacha kuiga Waarabu. Hicho ndicho chanzo au mzizi ya tatizo letu. Sisi ni waafrica lazina tuimbe kama Waafrica. Wenzetu wakiskiliza ngoma zetu wanandhani tunatoka Oman. Huwezi kutoboa ulimwenguni bila support kutoka Nigeria wapo wengi ugnenini.

  • @jimmyselejimmysele2821
    @jimmyselejimmysele28215 ай бұрын

    Natokea congo Akuna msani kama diamond uko kwenu

  • @nzalatv5927
    @nzalatv59275 ай бұрын

    Mapozi 🔥🔥🔥

  • @Silversieh-bt5zk
    @Silversieh-bt5zk5 ай бұрын

    Kuna vitu Master J huw haelew mwanamuziki anasimama na aspects tofauti tofauti hata kama msanii ni mzuri kwa vocal lakini Bado anaburudisha watu kwa hiyo vocal yake If u say someone is a best singer lakini even numbers zake on Digital platforms za audios Bado anazidiwa numbers na hao unaosema ni best entertainers not singers Kuna sehemu uko wrong. Art is dynamic not static kama unavyodhani ethics za music zinakuwadeveloped Kila era don't force each era to sound the same hata wasanii wakubwa kama Chris Brown, Janson Derulo wako the best at vocal aspect and when it comes on the stage still they entertain at all. This is a reason why even the artist rised from BSS when get into a music industry they fail to top up most of them Because you're not good judges too. Music is not all about vocal there are so many things apart from vocal.

  • @newbillionaire701
    @newbillionaire7015 ай бұрын

    Kama umeskia master j akisema ushaudi gonga like

  • @kasimumakashataumemalizakakaii
    @kasimumakashataumemalizakakaiiКүн бұрын

    Wanatafuta namna yakulidikwenyegem hawwo

  • @RubenAman-rk4ge
    @RubenAman-rk4ge5 ай бұрын

    Fact sana bro master j real good idea

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri53115 ай бұрын

    Nimekutana na huu ujumbe twitter I think mond should Improve his marketing strategy na vision Kwa ujumla kuelekea kwenye album this year nahuhakika album itatoka this year tunaitaji mabadiliko ya mtazamo na uwekezaji masuala ya kushangilia trends KZread sijui boomplay tushavuka toka 2017 tunaitaji marketing strategy za kina Olamide,rema asake something which involves money not too much drama

  • @fadhilishomari133
    @fadhilishomari1334 ай бұрын

    facts

  • @brayo001
    @brayo0015 ай бұрын

    Huwa mnadharau wakenya sana na ndio ulaya kwenu wasanii wenu wakianza show za nje mpaka sisi tuwapige promo ndio mjulikane ulaya ndio maana headquarters za music stream ziko Kenya sio Tanzania Sasa kama entertainment mmeishika mbona hwaji kwenu..

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    5 ай бұрын

    Nyie hata muwe na Kila kitu bado ni washamba, mnatuzidi hivyo vyote plus English lakini hamtuzidi kimuziki mnabaki kuwa mashabiki wetu😅

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36835 ай бұрын

    Master anaongea❤ wasanii tuchukulie kama funzo

  • @sendimbwega1645
    @sendimbwega16455 ай бұрын

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano34955 ай бұрын

    Kingkiba

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus2555 ай бұрын

    Aisee.. ngoja nitafte part two

  • @francissamson2207
    @francissamson22075 ай бұрын

    Wa Tanzania waishio UK 🇬🇧 hawafiki 5,000 na Wa Nigeria pekee ni zaidi ya 270,000 ukiacha mataifa mengine ya West Africa then uje fananisha na Wa Tanzania 😂. Watu wa West wanapenda statehe sana kuliko Wa Tanzania pia kujaza 🇬🇧 au Nchi za Europe au USA siyo issue kwao wapo wengi sana.

  • @hansthegreat8423
    @hansthegreat84235 ай бұрын

    Fact fact fact ....

  • @Duanny-jm8fr
    @Duanny-jm8fr5 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @chiragahmbura9523
    @chiragahmbura95235 ай бұрын

    Tatizo ni hiv Wakenya Hawataki kujibrand sana juu wasanii wengi wakali wakenya ni Matajiri hilo nalo jua

  • @newbillionaire701
    @newbillionaire7015 ай бұрын

    Sema fact bro

  • @ayk20
    @ayk205 ай бұрын

    Master rasta ulinyoa coz ulienda kuomba nafac ya kugombea sema tuu ukweli coz bongo stars search program haijaisha

  • @emmanuelcuthbert2666
    @emmanuelcuthbert26665 ай бұрын

    Watangazaji msimuogope master j, Nigeria wanafanya amapiano na sauzi wanafanya afro beats; ila kufanya bongofleva nakubaliana NAYE

  • @user-pp6ot5kg3x
    @user-pp6ot5kg3x5 ай бұрын

    Anachoengea master ni sure….kama ukimsikiliza kwa mihemko yako utamwona anazingua…wasanii wetu wengi entertainers sio singers(complete artist) ndio maana limifikaga swala kuperfom live band kweny show zao huwag kamzozo makelele mengiii 😂😂😂

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya68735 ай бұрын

    Am a kenyan bt master jay take your flowers 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺

  • @calvinloveambroce842
    @calvinloveambroce8425 ай бұрын

    Inawezekana ila tatizo huko UK 🇬🇧 wabongo ni wachache sana

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela1795 ай бұрын

    😂😂😂 master j han unafikii😂😂😂

  • @michigan_tv2974
    @michigan_tv29745 ай бұрын

    Sawa umerekodi kipindi cha nyuma lakini hamna unachojua kuhusu international

  • @ADVAMMIDA
    @ADVAMMIDA5 ай бұрын

    True fact

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton82685 ай бұрын

    Hivi perfomance ya mtu aneimba live kwa ufundi wa sauti zaidi kuliko mataa taa na vtuko kbao jukwaani ipi ni sawa kwa muombaji Best performance duniani hadi leo haina vtuko vingi Sema tunataka kuamnisha watu kwamba ili uwe perfoma mzur lazma uwe na vtuko vingi hata bila kuangalia ubora wa saut yako na watu wanachopokea

  • @arkishpromusic3395
    @arkishpromusic33955 ай бұрын

    is bongo a genre or a style of music

  • @Joelfreedom4

    @Joelfreedom4

    5 ай бұрын

    Bongo is Taarab music, mixed with Rnb, and African traditional drum patterns.

  • @Igauf3
    @Igauf35 ай бұрын

    The consumer determine the market. I don’t know why forcing the young bucks to do bongo XYZ. Let them do what they see fit musically. Lastly, Kenyan are more into technology (AI) far better than us.

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini56885 ай бұрын

    Sema yote ata sisi tunajua Alikiba anaufaham Muziki kuzidi wewe sio ww tu ata manju masud alishamsifia kiba halafu ww unadhihaki

  • @raphaelchuche6281
    @raphaelchuche62815 ай бұрын

    kwamba Harmonize hajui kuimba 😃

  • @bashirusalehenandoro3128

    @bashirusalehenandoro3128

    5 ай бұрын

    Kuimba mzikii jaman ni Taluuma sio kila anakuja na melody zenye maneno na saut mzur anajua kuimba kuna vitu ving sana ukwel ni usemwe kenya tunawazid namba ya wasanii ila mziki hatuwawez

  • @DaudNonus-ry2iu
    @DaudNonus-ry2iu5 ай бұрын

    Ngoma kali sana

  • @jerrybasaya5377
    @jerrybasaya53775 ай бұрын

    Master J katema Busara nyingi mnooooo. Ukweli mtupu

  • @tonygee5680
    @tonygee56805 ай бұрын

    Nenda ulaya au west Africa uliza watu kati ya Kenya na Tanzania ipii washaisikia 😂😂😂😂😂😂😂Kenya inaipa Africa jina baba miaka nenda rudii. Kama si Kenya wasanii wa bongo wangekua maskini. Mpaka America wakenya ndio wengi kwenye show za wabongo.

  • @user-gb9gk8bm6e
    @user-gb9gk8bm6e5 ай бұрын

    Uyu ana zeeka vibaya sikila kitu aongee afu pia anachuki binafsi akae pembeni karia yake imeisha nieshima tu anajivunjia bila kujijua ushamba wenye confidence ana ropoka xanaa

  • @ricklandennis

    @ricklandennis

    5 ай бұрын

    Anamchukia nani😅😅😅

  • @kiatu
    @kiatu5 ай бұрын

    Wow 😂

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani59905 ай бұрын

    Okoa MB zako, anzia Dak ya 10

  • @saeedmassoud256

    @saeedmassoud256

    5 ай бұрын

    Tunatumia wi-fi

  • @OfficialEl-khaify_Production
    @OfficialEl-khaify_Production5 ай бұрын

    Huyu jmaa hatumuelewi nini asa anataka mara awaponde wote mar awasifu😊

  • @user-to6cg8uf3f
    @user-to6cg8uf3f5 ай бұрын

    Watu wanaimba ili tuburudike mzee acha kujichnganya kwenye lugha lengo la kuimba ni nini?

  • @richshayo4924
    @richshayo49245 ай бұрын

    There was a reason to call them stupid? Bruh hold yourself accountable mbona ninyi producers hamkenda international?

  • @lilmg33
    @lilmg335 ай бұрын

    Acha aitwe masta Kweli Ni masta anajuwa tana anajuwa anachokiongea napenda ukweli sikuzote

  • @p-tah_p-manirecords
    @p-tah_p-manirecords5 ай бұрын

    Kama hako na 50 million why not invest kwa those upcoming anasema wataenda international.

  • @user-zi2xu2uk2f
    @user-zi2xu2uk2f5 ай бұрын

    Sisi tunaka burudani sio uimbaji tofautisha hivyo vitu mzee 😂😂😂

  • @user-to6cg8uf3f
    @user-to6cg8uf3f5 ай бұрын

    Franch lugha kubwa fally ndio anatumia na anachanganya na maneno ya nyumban

  • @kasimumakashataumemalizakakaii
    @kasimumakashataumemalizakakaii5 ай бұрын

    Ukishaishiwa unatafutamanenomengisanaaa kuwaponda wenzako watanzania tuachehizimambo za kujiona miminimtakatifukulikowenza masta j iyonidaliliyakuishiwa mzikiwakipindikile sio wasasa mbonahao akina masta j majani mbona hawajatoa wasanii wakifanya vizuri iyo arena anamaajabuhuyo kuishiwa ameachakuprodyus amegeukachawa

  • @rashowshine7849
    @rashowshine78495 ай бұрын

    Hiyu naye ni pimbi too ndio mana ata huko bss watu wanaofanya vizuri ni wale mliowakata

  • @user-bj1bi8lw1j
    @user-bj1bi8lw1j5 ай бұрын

    2094 ndo kaanza kazi 😅

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq5 ай бұрын

    Ukweli ndo hawautaki wa bongo 😂😂😂😂😂

  • @djsexydaswag6109
    @djsexydaswag61095 ай бұрын

    Naco kubaliana na huyu mzee ni iyo kuongeleya talent kama barnaba agi chams na wangine wenye vipaji vyao ila sasa twend kidogo njee ya ncii ukisema eti wenzetu amo wanajipomiya o2 nani kati yao ana sauti kama ya barnaba ao ya abi si wale waimba ji tuu kama wale wangine umewa tag kina harmo daya na ali kweeli be seriouse kwa unao yaongeya inaonekana kuna ka bifu fulani ivo

  • @user-ue8wj7gc7p
    @user-ue8wj7gc7p5 ай бұрын

    Uposahihi Abigail ashakamata Kijiji urabuni

  • @jayfarsaga4935
    @jayfarsaga49355 ай бұрын

    Bongo inasemekana mkali ni matikiti kudondoka😁😂😂😂😂

  • @user-gb9gk8bm6e
    @user-gb9gk8bm6e5 ай бұрын

    Ety atatoa million hamsin mshamba uyu iyo ela anayoo akasaidie ndugu zake ukoo

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m5 ай бұрын

    Master J mbege mpe mkeo dai amuburudishe

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz5 ай бұрын

    Huyu master j ameanza kuchanganikiwa sasa milioni 50

  • @ChristianChuwa-cy1du
    @ChristianChuwa-cy1du5 ай бұрын

    Wewe jmaa unajua nahisi ndy ulimshauri diamond amchukue dvoice

  • @tonygee5680
    @tonygee56805 ай бұрын

    Yaani kuvaa copy feki za nguo ndio kujua kuji brandi really??? Wakenya wanava pamba za kisawa sawa kumfanya mchina tajiri iz rubbish. Kama jama anajiona yeye anajua mbona hajatoa mtu mkali amebaki kulilia wasanii grade d

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson83875 ай бұрын

    Huyu master hana hata trofé ya kusingizia yeye kucrash tuu huyu ana nini!!acha kuporna ushafilisika

  • @mjunimashauri5311
    @mjunimashauri53115 ай бұрын

    Yaaani unamkuta mond interview na Trevor Noah,power break fast ya USA maadj wanalipwa , likes of football teams,hotels, clubs,malls yaaani budget atleast 500k USD hapo Kuna namna Ila hivi za Tik Tok tu hapana kwakeli sijui manara mmmm hapana hatutoenda truth be told

  • @simbaedouardo8499
    @simbaedouardo84995 ай бұрын

    Masata tunamkubali ila facts zake sizo nasio kuanza ndio kumaliza pia international sio kujaza ao ku voc saana soo kumaanisha kwamba burna anajuwa ana voc kali kuliko Hawa wa bongo pia swali kwanin yeye hakufik mahali jawa vijana walipo

  • @user-yq5sp9yn8p
    @user-yq5sp9yn8p5 ай бұрын

    Me wondering what he is saying yet Asakae was nominated for Gammies na anaimba Amapiano.. what is he saying 😅

  • @Dickson93
    @Dickson935 ай бұрын

    Yaani nyie wenyewe mlioanzisha hyo bongo flava hamjui imekaaje naona mnajikanyaga tu yaan hamueleweki mnaelezea nn achen watu wafanye mziki maana hata nyie hamjaupeleka international

Келесі