MASTER J : DIAMOND PLATMUZ MBURUDISHAJI BORA NA ALI KIBA NI MUIMBAJI BORA
Ойын-сауық
#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #VanessaMdee #NasikiaHarufu #Shisha #Mwijaku #BabaLevo #LavaLava
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Пікірлер: 231
Tulio kubaliana na master like please
Umesema Master Jay huo ndio ukweli !! Singeli itaenda mbali Sanaa ✌️🫶
Nakubaliana na master J japo ukweli mchungu. Huyu PHINA ni balaa sana yaani ana vocal kali sana mpaka unaweza kusisimka anapoimba na anajua kuburudisha, kuna Rubby, kuna Msechu hajawa tu serious, Beka Ibrozama. Hawa wanajua
Congo fally pupa kapiga arena tata kwa siku 21kila moja wa tu elfu abaini
Kuhusu Abby Chams haipingwi, she's the only female artist who can take Tanzanian music to international level
@fj8317
5 ай бұрын
Wewe ni Mungu
Kuhus Abigail na phina yoo 👋 hundred percent I agree 👍 💯...
Master anajua bhn🙌🏿
Master umeongea ukwl kbsaaaaa Abby and phone uwiii❤🔥🔥🔥🔥
Singeli ndio sound yetu kwenda international Master umeongea point sana
@kaditokenya6873
5 ай бұрын
Umeonaaaa
@lifegotv975
5 ай бұрын
Bangi sio chai
If at all kenyans and tanzanians could come together...and mix both music genre well we could be in a better position to compete internationally... kudos to the interview 👏...
Umeongea facts kaka. King kiba akitoa just one song ina hit forever. Diamondnyimbo zake zina hit for just 3 months and you'll never listen anymore
master j sio box big up broo
Jamaa hana baya
That true na wataishiya ku complain everyday
Wa Nigeria wana support each other but Bongo shida😢😢
@izack9191
5 ай бұрын
Ndo usgamba sasa
Facts on facts on facts thats why i listen to yo interviews nondo tupu. Abby is surely that good. Lets push young stars kina treyzah and the likes.
Gengetone international inaweza kabisa sababu ya sheng.. Kenya
hilijamaa lina jua mziki
Master uko sawa kabisa nakubar
Multiple intelligences master jay mziki wetu unavingi vya kufikilia kusonga mbele sioni sababu za watu kushindw kuelewa hili cha kushangaza na wanaenda nchi za watu mimi kama nashindw kuelewa wanaendaga kujfunza nini au ndyo picha tu af proud of ??? Fact master waeleweshe mpk waseme wakichukia shauri zao "Keep Bongo Flavour music safe"
Allah akulibariki Master Jay
Actually I would rather be an entertainer than just a singer!! Watu Kama kina Beyoncé, Tina Turner, Michael Jackson, James brown succeeded in music for being great entertainers than just singing. They all have a common denominator which is stage presence!!!! And that’s what Diamond brings to the table and it’s what makes him leave a mark when he is on stage!!
@bakarithegeoinformatician7406
5 ай бұрын
Was Justin Timberlake an entertainer?
@rmags8843
5 ай бұрын
@@bakarithegeoinformatician7406…if you haven’t noticed the list I mentioned is of the greatest of all time!! The cream!! Great performers!! Justin Timberlake haingii kwenye hii list! Hafikii Hii level!! Sasa utamcompare Justin and Michael Jackson or Beyoncé? 😅.
@izack9191
5 ай бұрын
What about justin bieber, adele, bruno mars, the legend, ed sheeran etc... are they entertainers?
@yolo5261
5 ай бұрын
Bro all those that you mentioned were both entertainers and singers
@lifegotv975
5 ай бұрын
Are you even listening to yourself 🤷🏿♂️
True bongo flavour ni arabic scale
Legendary, mtu kukuelewa lazima awe na upeo mkubwa na anaujua mziki.. unatema madini
Nampendaga xn masta j mkwel xn
Kenya sijaona msanii anaye Fanya vizuri Watanzania ndio wanafany vizuri
Huyu mze hajuwi anacho kiongea. Eti wasanii wa Nigeria hawafanyi amapiano?? Asake mwenyewe unae mshabikiya ana song yenye title ya amapiano na anazo piano kama zote
Asake anatumia beat za amapiano davido yuko tour since last year na Unavailable beat ya mapiano bana boy anaimba dance hall
@DaudiKimoto
5 ай бұрын
Unavailable ngoma kubwa sana ya davido kwenye album yake nzima ni amapiano so kuna muda unaongea ukwel kuna muda unaongea opinion zako
@henrychiriba9354
5 ай бұрын
Huwezi elewa chenye uyu mwamba anaongea ju ww unaangalia sarakasi za msanii ukidhani ni kuimba vizuri
@alidyaya4512
5 ай бұрын
@@DaudiKimotokwani umeelewa point yngu 😅?
Sawa,, nmekuelewa.
Fact master j
Kila mtu amini anachokiamini mm ninachokiamini ni kwamba King Ally salehe kiba ndo mfalme wamuziki Tz❤❤😂
Harmo....juu...master mnafiki
@ricklandennis
5 ай бұрын
Harmo ana melody nzuri na anajitahidi kuimba kingereza anachokifahamu lakini ukienda kwenye uhalisia ana makosa mengi kwenye kingereza chake huo ndio ukweli, wanigeria kingereza Chao wanachanganya na lugha zao lakini huwezi ukakuta kwenye kile kingereza kina makosa
Huyu jamaa anamjua Rubby vizuri ?
Umeeleweka sana bro
Tatizo mnamuogopa alikiba mnashindwa kumwambia kuwa hajui kuimba 😂😂😂
Master umenena na hii iwe ya mwisho kama hawajakuelewa tena basi
Much respect Kwa master Ila napenda kutofautiana nae ukimsiliza vizuri utaona ameegemea kwenye mapungufu badala ya Nini tunacho na tunaenda vp mfano tuna baadhi ya mazuri kama taifa tuna bet,Kuna maeneo atukuwai perform such francophone zone na tumejaza mm sitowai define 02 arena kama kipimo cha mafanikio hivi burns anaconditentent failure kwenye show Africa utasema Sio international artists I think Naija nje ya sounds, investment Wana advantage ya exposure na population tuachache kuwa chukilia POA wasaanii wetu sijui yule staenda wale Japan's master Jay that was personal kiukweli eti international wataenda chams na phina wengine hapana hapa umekuwa personal mno not real
@user-vz4xj2ci2w
4 ай бұрын
you know music and its reality, i appreciate that by the way in all of your success hater must appear
Master j anaez hojiwa masaa 4 na hammalizi
Hatuna umoja ...ingawa wabongo wako wachache Uk ...lkn wanamuziki wakiungana ...wanaweza Mfano kwa majaribio tukisema tuchukue wanamuziki 10 bora wabongo waende pale 02...tunaweza kuujaza ule Muziki sio lugha tuuu Ni vibes pia....mfano muziki wa kizaire...hatujui lugha lkn wakipiga ni mataifa tofauti wanaenda na wanafurahi....ingawa wanaigeria wana faida ya kuwa wengi nchi za ulaya...ndo maana wana jaza Sababu UK peke yake wanaigeria wako karibuni millioni 1 na.....Wabongo hawafiki hata 50,000.. lkn tukianza kwa umoja tunaweza .. hapo master J anatukatisha tamaa...asiseme kuwa hatuwezi... alimwambia Hamonize hawezi kuimba...lkn Diamond alimchukua na akamfundisha na sasa hivi yupo top 5 na ndiye kati ya washindani Wakubwa wa Diamond.....everything is possible under the sun....
@faidhamyovela179
5 ай бұрын
Kubali ukatae toa mifano yotee kuhus 02 arena tupaach dai ana miak 20 kweny gam
@user-gb9gk8bm6e
5 ай бұрын
Nimekuelewaa
@Joelfreedom4
5 ай бұрын
Tutakuja kufanyikiwa tukiacha kuiga Waarabu. Hicho ndicho chanzo au mzizi ya tatizo letu. Sisi ni waafrica lazina tuimbe kama Waafrica. Wenzetu wakiskiliza ngoma zetu wanandhani tunatoka Oman. Huwezi kutoboa ulimwenguni bila support kutoka Nigeria wapo wengi ugnenini.
Natokea congo Akuna msani kama diamond uko kwenu
Mapozi 🔥🔥🔥
Kuna vitu Master J huw haelew mwanamuziki anasimama na aspects tofauti tofauti hata kama msanii ni mzuri kwa vocal lakini Bado anaburudisha watu kwa hiyo vocal yake If u say someone is a best singer lakini even numbers zake on Digital platforms za audios Bado anazidiwa numbers na hao unaosema ni best entertainers not singers Kuna sehemu uko wrong. Art is dynamic not static kama unavyodhani ethics za music zinakuwadeveloped Kila era don't force each era to sound the same hata wasanii wakubwa kama Chris Brown, Janson Derulo wako the best at vocal aspect and when it comes on the stage still they entertain at all. This is a reason why even the artist rised from BSS when get into a music industry they fail to top up most of them Because you're not good judges too. Music is not all about vocal there are so many things apart from vocal.
Kama umeskia master j akisema ushaudi gonga like
Wanatafuta namna yakulidikwenyegem hawwo
Fact sana bro master j real good idea
Nimekutana na huu ujumbe twitter I think mond should Improve his marketing strategy na vision Kwa ujumla kuelekea kwenye album this year nahuhakika album itatoka this year tunaitaji mabadiliko ya mtazamo na uwekezaji masuala ya kushangilia trends KZread sijui boomplay tushavuka toka 2017 tunaitaji marketing strategy za kina Olamide,rema asake something which involves money not too much drama
facts
Huwa mnadharau wakenya sana na ndio ulaya kwenu wasanii wenu wakianza show za nje mpaka sisi tuwapige promo ndio mjulikane ulaya ndio maana headquarters za music stream ziko Kenya sio Tanzania Sasa kama entertainment mmeishika mbona hwaji kwenu..
@ricklandennis
5 ай бұрын
Nyie hata muwe na Kila kitu bado ni washamba, mnatuzidi hivyo vyote plus English lakini hamtuzidi kimuziki mnabaki kuwa mashabiki wetu😅
Master anaongea❤ wasanii tuchukulie kama funzo
❤
Kingkiba
Aisee.. ngoja nitafte part two
Wa Tanzania waishio UK 🇬🇧 hawafiki 5,000 na Wa Nigeria pekee ni zaidi ya 270,000 ukiacha mataifa mengine ya West Africa then uje fananisha na Wa Tanzania 😂. Watu wa West wanapenda statehe sana kuliko Wa Tanzania pia kujaza 🇬🇧 au Nchi za Europe au USA siyo issue kwao wapo wengi sana.
Fact fact fact ....
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tatizo ni hiv Wakenya Hawataki kujibrand sana juu wasanii wengi wakali wakenya ni Matajiri hilo nalo jua
Sema fact bro
Master rasta ulinyoa coz ulienda kuomba nafac ya kugombea sema tuu ukweli coz bongo stars search program haijaisha
Watangazaji msimuogope master j, Nigeria wanafanya amapiano na sauzi wanafanya afro beats; ila kufanya bongofleva nakubaliana NAYE
Anachoengea master ni sure….kama ukimsikiliza kwa mihemko yako utamwona anazingua…wasanii wetu wengi entertainers sio singers(complete artist) ndio maana limifikaga swala kuperfom live band kweny show zao huwag kamzozo makelele mengiii 😂😂😂
Am a kenyan bt master jay take your flowers 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Inawezekana ila tatizo huko UK 🇬🇧 wabongo ni wachache sana
😂😂😂 master j han unafikii😂😂😂
Sawa umerekodi kipindi cha nyuma lakini hamna unachojua kuhusu international
True fact
Hivi perfomance ya mtu aneimba live kwa ufundi wa sauti zaidi kuliko mataa taa na vtuko kbao jukwaani ipi ni sawa kwa muombaji Best performance duniani hadi leo haina vtuko vingi Sema tunataka kuamnisha watu kwamba ili uwe perfoma mzur lazma uwe na vtuko vingi hata bila kuangalia ubora wa saut yako na watu wanachopokea
is bongo a genre or a style of music
@Joelfreedom4
5 ай бұрын
Bongo is Taarab music, mixed with Rnb, and African traditional drum patterns.
The consumer determine the market. I don’t know why forcing the young bucks to do bongo XYZ. Let them do what they see fit musically. Lastly, Kenyan are more into technology (AI) far better than us.
Sema yote ata sisi tunajua Alikiba anaufaham Muziki kuzidi wewe sio ww tu ata manju masud alishamsifia kiba halafu ww unadhihaki
kwamba Harmonize hajui kuimba 😃
@bashirusalehenandoro3128
5 ай бұрын
Kuimba mzikii jaman ni Taluuma sio kila anakuja na melody zenye maneno na saut mzur anajua kuimba kuna vitu ving sana ukwel ni usemwe kenya tunawazid namba ya wasanii ila mziki hatuwawez
Ngoma kali sana
Master J katema Busara nyingi mnooooo. Ukweli mtupu
Nenda ulaya au west Africa uliza watu kati ya Kenya na Tanzania ipii washaisikia 😂😂😂😂😂😂😂Kenya inaipa Africa jina baba miaka nenda rudii. Kama si Kenya wasanii wa bongo wangekua maskini. Mpaka America wakenya ndio wengi kwenye show za wabongo.
Uyu ana zeeka vibaya sikila kitu aongee afu pia anachuki binafsi akae pembeni karia yake imeisha nieshima tu anajivunjia bila kujijua ushamba wenye confidence ana ropoka xanaa
@ricklandennis
5 ай бұрын
Anamchukia nani😅😅😅
Wow 😂
Okoa MB zako, anzia Dak ya 10
@saeedmassoud256
5 ай бұрын
Tunatumia wi-fi
Huyu jmaa hatumuelewi nini asa anataka mara awaponde wote mar awasifu😊
Watu wanaimba ili tuburudike mzee acha kujichnganya kwenye lugha lengo la kuimba ni nini?
There was a reason to call them stupid? Bruh hold yourself accountable mbona ninyi producers hamkenda international?
Acha aitwe masta Kweli Ni masta anajuwa tana anajuwa anachokiongea napenda ukweli sikuzote
Kama hako na 50 million why not invest kwa those upcoming anasema wataenda international.
Sisi tunaka burudani sio uimbaji tofautisha hivyo vitu mzee 😂😂😂
Franch lugha kubwa fally ndio anatumia na anachanganya na maneno ya nyumban
Ukishaishiwa unatafutamanenomengisanaaa kuwaponda wenzako watanzania tuachehizimambo za kujiona miminimtakatifukulikowenza masta j iyonidaliliyakuishiwa mzikiwakipindikile sio wasasa mbonahao akina masta j majani mbona hawajatoa wasanii wakifanya vizuri iyo arena anamaajabuhuyo kuishiwa ameachakuprodyus amegeukachawa
Hiyu naye ni pimbi too ndio mana ata huko bss watu wanaofanya vizuri ni wale mliowakata
2094 ndo kaanza kazi 😅
Ukweli ndo hawautaki wa bongo 😂😂😂😂😂
Naco kubaliana na huyu mzee ni iyo kuongeleya talent kama barnaba agi chams na wangine wenye vipaji vyao ila sasa twend kidogo njee ya ncii ukisema eti wenzetu amo wanajipomiya o2 nani kati yao ana sauti kama ya barnaba ao ya abi si wale waimba ji tuu kama wale wangine umewa tag kina harmo daya na ali kweeli be seriouse kwa unao yaongeya inaonekana kuna ka bifu fulani ivo
Uposahihi Abigail ashakamata Kijiji urabuni
Bongo inasemekana mkali ni matikiti kudondoka😁😂😂😂😂
Ety atatoa million hamsin mshamba uyu iyo ela anayoo akasaidie ndugu zake ukoo
Master J mbege mpe mkeo dai amuburudishe
Huyu master j ameanza kuchanganikiwa sasa milioni 50
Wewe jmaa unajua nahisi ndy ulimshauri diamond amchukue dvoice
Yaani kuvaa copy feki za nguo ndio kujua kuji brandi really??? Wakenya wanava pamba za kisawa sawa kumfanya mchina tajiri iz rubbish. Kama jama anajiona yeye anajua mbona hajatoa mtu mkali amebaki kulilia wasanii grade d
Huyu master hana hata trofé ya kusingizia yeye kucrash tuu huyu ana nini!!acha kuporna ushafilisika
Yaaani unamkuta mond interview na Trevor Noah,power break fast ya USA maadj wanalipwa , likes of football teams,hotels, clubs,malls yaaani budget atleast 500k USD hapo Kuna namna Ila hivi za Tik Tok tu hapana kwakeli sijui manara mmmm hapana hatutoenda truth be told
Masata tunamkubali ila facts zake sizo nasio kuanza ndio kumaliza pia international sio kujaza ao ku voc saana soo kumaanisha kwamba burna anajuwa ana voc kali kuliko Hawa wa bongo pia swali kwanin yeye hakufik mahali jawa vijana walipo
Me wondering what he is saying yet Asakae was nominated for Gammies na anaimba Amapiano.. what is he saying 😅
Yaani nyie wenyewe mlioanzisha hyo bongo flava hamjui imekaaje naona mnajikanyaga tu yaan hamueleweki mnaelezea nn achen watu wafanye mziki maana hata nyie hamjaupeleka international