HARMONIZE : DIAMOND PLATNUMZ KUSHINDANA KIBIASHARA / ALIKIBA NAMUHESHIMU SANA, ANANISHAURI KIMUZIKI
Ойын-сауық
#RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RaisSamia #WaziriMkuu #BungeTanzania #RIPMagufuli #Tanzania255 #Simba #Yanga #Trending #MwanaFA #DiamondPlatnumz #Alikiba #Harmonize #Marioo #Paulah #Kajala #Rayvanny #Jux #Zari #WemaSepetu #Zuchu #Nandy #Billnass #ProfessorJay #Muziki #BongoFleva #HipHop #Komando #PaulMakonda #RomaMkatoliki #NayWaMitego #Burnaboy #Davido #Wizkid #Rema #AyraStarr #TiwaSavage #Amapiano #Mayele #Chama #BASATA #GigyMoney #Darassa #TylerWater #VanessaMdee #Rotimi #WCB #KondeGang #KingsMusicRecords #OmmyDimpoz #HajiManara #MooDewji #PaulMakonda #ProfessorJay #VanessaMdee
Facebook: / earadio
Twitter: / earadiofm
Subscribes: / @eastafricaradio
Пікірлер: 157
Unaongea fact brother ,mungu akubarik sana kwa kazi zako
Ili litembo nikama limekua bwana saizi naona limejipata safi sana jeshi majibu yako yanaonesha kweli umekua baba👏👏
Kihukwel Konde Najuw Ushakuw Mtu Mzim Unahelew Nan Aduh Nan Rafiki Kikubw Allah Akujaliye Akupunguziy Mahaduhi🎉🎉🎉🎉🎉
Harmonize has grown up, he is matured now. He is so calm and his responses are on point. ❤
Harmonize umekuwa very humble, hiki unachofanya sasa hivi ndo ulitakiwa uwe nacho toka umetoka wasafi, ungepunguza maadui ulionao sasa, concetrate on making good music, recognize mchango wa waliokusaidia na waliotangulia na ww concetrate kwenye good music basi, kama ulivyoona Single again imekupeleka mbali basi achana na mambo ya "Hawaniwezi" n.k coz zinazidi kukujengea maadui na si kukupeleka mbali, umeongea kikubwa sana, mi mwenyewe nilikuwa nakuona huna shukrani, huna fadhila lakini umeongea as a matured person, forget abt the past na focus kwenye malengo yako, kama unavyosema there is only one you, so keep on beeing you and nof compare with any one na the only you will make you reach where you want to be, Single again
@mohamedsudi6032
7 ай бұрын
Unamwambia konde ama unaiambia east Africa tv?
@mtwichetz4514
7 ай бұрын
Asingetoboa apo alipo mabifu na kushindanishwa kumemkuza saana
@kabelege
7 ай бұрын
An essay
Hii siku konde Ulinena mwanetu big up🎉
Konde boy jeshiii tembo harmonize he is very smart person
Team konde tujuane hapa kwa kudondosha like zenu
Interview moja saafi saana konde unatema knowledge🎉❤
Praaah konde gang forever bless
Umejib kikubw sana hp.kuhus fela bg up sana ila Allah akuongez kila ki2 👏
Jamaa mwenye kofia ya blue kauliza bonge moja la swali kuhusu Kumblock Ney 😂😂, Nice Qn. Dogo akili mingi sana. Bonge la presenter.
@user-ux9qt6ji9i
8 ай бұрын
ukuma huo, swali linakusaidiaje kwenye maisha ya kawaida hilo zaidi ya kueneza na kuchochea chuki??
Team harmonize %100
Nakubali kond ..sana iyo niukweki
Leo umeongea vzr sana konde nikuombee tulia na diamond mtafika mbali sana kka
Harmonizee❤❤🎉🎉
Napendaga Sana ma swali ya uyo mshikaji wa kofeya ya blue
Dogo amekuwa Sasa, mimi ni wcb damu Ila huyu Dogo siku izi ananifurahisha sn siku hizi
Kat ya msanii ambay ni bor huy achan na washamb wengnewengne hao mara yul mshenz diamond cjui nan Huy ambae ana pgo za kishoshti kondegang for everybody
Nakubal mzee wanguuu Kwa kuongea point napenda hiz chuki tuzimalize wote ni wtz
Xema umesema Kwamb wahuni hatuishi Kwa mifano ❤
Uyo janja mweupe anauliza maswali ya akiutuuzima sana sio uyo mweusi yeye anawaza maugonvi tu
@JumaJuma-fu7ji
7 ай бұрын
😂
Fact tupu yani
Mtangazaji,Alie va cap yupo makin sana!!hapendi uongo uongo.
Mungekuwa munanyamaza kimya mashabiki wasinge gawanyika sema vijembe vingi mnapigiyana
Harmonize carry on nice guy respect elders and believe in God as in Allah we Trust
Nakubali
Ila harmonize mnafki sana, c angetokea kwenye wasafi festival kama anajua ilkua muhimu kutengeneza amani, mbona alienda mitandaoni kuchafua mwenzake kuhusu wasafi festival? Aache unafki bana
Dogo umekuwa cool inteview
Konde safi sana nakukubali sana
The way harmonize killed that boy with the hat his flows is awesome and matured !!... Boy was feeling shy
Telling my own truth I came to like konde jeshi to me it seems its a very humble and honest guy my first name is Rajab wish u all the best never abuse the gift God has given to u otherwise?
27:42 "Bodyguard anachat kidogo." Sema janjaro mwenye kapelo alipiga msuli mwingi. Amemchimba sana KondeBoy 😂😂😂😂😂😂
A boy is now grown up
Makini ❤❤❤
Fact zinajieleza.wakubwa watakuelewa
Nampenda sana huyu mdada nani anisaidie niwasiliane nae
Konde saiv kaujua mchezo apo safi aya ndo maisha✊
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤
Safi sana una ushauri mzuri kwa vijana sana na rika zote pia..napenda pia umavotufafanulia wenzetu wanavyoishi
❤
Good bro!
@KyosoMwakalinga
7 ай бұрын
So beut !
Jamaa mwenye kofia ya blue anauliza maswali yanayomuumiza kidogo akili harmonize, Dogo akili mingi sana. Bonge moja la presenter.😂😂,
@user-ux9qt6ji9i
8 ай бұрын
ukuma huo, swali linakusaidiaje kwenye maisha ya kawaida hilo zaidi ya kueneza na kuchochea chuki??
Mdogo mdogo tu atuna noma nao
Team konde.forever💯💯
Harmonize on toppp ❤❤
Nakuona mwanangu Melody
Konde anajibu vzr
Interview kali sana
Harmonize umeanza kuongea poent siku hizi hapo lazima uvune mashabiki wengiii🎉
Daimond ft chike collaboration ya kimataifa
Rich umerudia kofia leo kama wiki mbili zizopita ulivaa
@abdolianpaul1759
7 ай бұрын
😂
Wedada nakukubali kinoma
Matuarity
Never give Up my bro
Harmo kaspeak sense sanaaa
🎉
Are you number 1
Akili kubwa
Nakuelewa sana rajab kuna kitu naget
Yani hamuwezi kufanya interview bila kumtaja Diamond platnumz
HE IS ALWAYS POSTIVE VIBED BOY ALWAYS THINK EAST AFRICA MUSIC INDUSTRY
Dah! huyu mwamb anajua kujielezea
Uyu dogo ata ajui kuhoj wasaani
Sauti sol are selling out arenas out there
By Joshua baraka "Kuna watu katika dunia hii , hawahitaji pesa ili wawe na furaha . Wala hawahitaji mali na vitu vya thamani . Bali mtu mmoja tu wa kuwasikiliza na kujali hisia zao " Unakubaliana na mimi?
@rashidyusuph5962
5 ай бұрын
Sure ,100%
Jeshiii upo makini sana
👑👑👑👑🔥🔥🔥🔥
Konde gang
Oya huyo jamaa anajua kwel
uyo security alokunja mikono yuko vzr San, mud anahangaika tu kutafuta ukuta ajiegeshe UTI ishamaliza kiuno 😂😂😂😂
Team konde your likes hear
Konde apewe uongozi basata
Alafu mwanangu konde unapiga xna mjani..unalepua xna mimoshi juu.......kma usemavyo mwenzenu jicho nyanya nmekula kijiti 😅😅😅
Mmakonde kapaniki 😂😂 dogo kapero anapiga maswali msumari😂😂
Homeboy
Vizur unaongea ukwer
napenda sn konde by 🇨🇩🇨🇩💪💪💪🫶🫶🫶👍👍👍🗽🗽🗽🗽
Uyo dogo mweusi mwenye kofia ya blue anauliza masuala ya Ugomvi tuu na Shari …. Ndo hayo anayoyasema konde tumewekeza sana kwenye uadui…. Dogo white hapo kati anauliza facts sana
Kuna bruce melody na shaggy
Hi ndugu zetu au niseme majirani zetu wa bongo mimi ni kijana wa uku Msumbiji ni nacho jiuliza ni ivii, kwanani munakuwa na biff sana wenyewe kwa wenyewe inafikia hatua zote social media munatangaza Vita zenu kwani mukoje?
#harmonize 🪖🐘
Achen ukuda mashabiki😉😉😉
Mkubwa amep
Umemzima vizuri sana mkuda huyó mtangazaji!
@JuniorVerifier
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@issachina9443
8 ай бұрын
Maswali msumari mmakonde anahahaha😂😂 mwishwke kapaniki
Hao mamichongo wanafanya nini ndini ya studio hamo una ushamba sana
Sawa
Konde JESHI Uko Sawa Salimia Munyama
Harmonize ni mnafiki umehulizwa swali nzuri #mashabiki wa diamond kuuzuriy kweny show yako au yeye mond kuwap attention ili mushambuliy kwa pa1 Kam Niagara Unapo jibu generation au 10yrs ago sio la msingi uyo davido ana miak ngap kweny game
Malipo ni hapa hapa uliposhuka airport na kuita waandishi wa habar ukimsema diamond vibya tena ya uwnongo leo yako yasemwa ya ukweli sote twavuta bangi lkn sifaa punguza zitakuponza
Unyama mwingi
Dishi hili kaz tu kusifia watu wasio na mchango kweny mafanikio yako
Ka rich msafi kameona aibu kanainama 🤣🤣🤣🤣🤣 kofia ya blue and yellow inachanganya Mada 🤣🤣
@miracletv7749
7 ай бұрын
Kanataka kaongelee mihadarati kwenye Media 😅😅😅😅😅😅
Mwamba sio mtu mzuri anajua
Achaneni na huyo mi bange
@mropeamadeus54
8 ай бұрын
Ndugu Yanga usimdharau mtu plz, kesho aweza kua mtoto wako au ndugu yako, ndio maan watu tuna sema kichaa wa mwezako anachekesha wakwako ni uzuni jifuze kuheshimu watu kila mtu ana mapugufu 🙏
@user-fd5zs1tu8g
8 ай бұрын
Bangi kavuta babako nae chiz
@AbeliSangah
8 ай бұрын
Wewe kapime akili
@ManichManich-yj4sl
8 ай бұрын
Babako muuza mkundu anauzanga wapi bangii
Sasa Kama mkubwafela mwenyew anamsapoti diamond, wakati yeye ndiye alitakiwa anahakikisha Hawa wasanii wote wanakua kitu kimoja , unafikili Hawa wasanii wataungana ?? Ndio maana unakuta kila mmoja na maisha yake
Huyuu dada yupo vizur Sanaa
😂😂😂😂😂 Tz
Watu wana alibisha muziki wanatanzania :ni kama Mwijaku,Pimbi,baba levo Hh baba na pumbafu huyu doto magari