BUNGENI KUMENOGA: MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA WABUNGE WENZAKE, APIGIWA SHANGWE

BUNGENI KUMENOGA: MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA WABUNGE WENZAKE, APIGIWA SHANGWE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 82

  • @shaphyvuai6805
    @shaphyvuai68052 жыл бұрын

    we jamaa fa umebarikiwa sanaaaa talent of lyrics ❤❤❤❤❤❤

  • @aminasaid9382
    @aminasaid9382 Жыл бұрын

    Piga kelele kwa Mwana FA weeweee habari ndiyo hiyo👍❤️‍🔥❤️‍🔥mamboni🔥🔥🔥🔥🔥👌

  • @allymahiyo2464
    @allymahiyo24642 жыл бұрын

    The true legend mwana FA I real ampriciet you brother!

  • @godfreysamson3069
    @godfreysamson30692 жыл бұрын

    Nakubali F. A mwana falsafa🙌🙌✌️💯💯🔥🔥

  • @mbulamage3209
    @mbulamage32092 жыл бұрын

    Panapo music weka siasa pembeni na moyo useme sisi badala ya wale.#big love.

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly74372 жыл бұрын

    Nchi hii ina mambo ya Kufisha nyie mko kwenye starehe lakini mmesahau kuwa Wamasai Ngorongoro wako na hari mbaya.kwa ukatili wenu.Tengenezeni njia ya Bwana nyosheni mapito yako. Nampenda sana Baba yangu wa kiro jasusi kutoka mbingu anaga mda huo. Yeye nimtu wa Nuru tu.Baba Askofu Gwajima wangu nakupenda sana maali nilipo na Sala zako kila itwapo leo.

  • @edwardmkwelele

    @edwardmkwelele

    2 жыл бұрын

    Yaani mmmmh

  • @jennytugara9470
    @jennytugara94702 жыл бұрын

    Bunge limekuwa ndio uwanja wa bongo Flava eti Hakuna kuvunja Kanuni wala nini wow!!!!

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban68582 жыл бұрын

    Binam, mbunge wangu mie tunaiyona Muheza kwa mbali sana jitahidi njia ya Amani itokee Korogwe utakua umeokoa sana Binam

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman18382 жыл бұрын

    Mwenye mziki wake FA

  • @elizabethmartine6277
    @elizabethmartine62772 жыл бұрын

    Mbunge wangu muheza moja pitia muheza magira hadi magoroto barabara japo changalawe hali yaupatikanaji wa maji nimgumu sana watu wamejenga vivutio vya watalii karibu nashule yasekondary mlinga bombani ubembe haina maji mito imezuiwa watu wanavuna maji kutengeneza mabwawa ya kuogelea

  • @manasekisare6965
    @manasekisare69652 жыл бұрын

    Ila uu Uhuru banah

  • @abdumpunda4026
    @abdumpunda40262 жыл бұрын

    Safi sana baada ya kazi ngumu

  • @yohanadeusi9084
    @yohanadeusi90842 жыл бұрын

    Kwel kwa Mungu hakna majungu huku mtaani kwetu njaa wazee wa masuti 😭😭dah

  • @kelvinokelo7992
    @kelvinokelo79922 жыл бұрын

    🔥🔥🎤

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr2 жыл бұрын

    Motooo

  • @ahmadzubeir3363
    @ahmadzubeir33632 жыл бұрын

    Hapa hata Mzee Magu angelikuwepo basi angeshuka chini na kofia akavua akachapa mziki wa mwana FA

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa48352 жыл бұрын

    Hahaha kweli bungeee mwanaef warushe wavaasuti

  • @floramwanja7860
    @floramwanja78602 жыл бұрын

    Kulen raha za nchi mlibanwa siku nyingi kuchezea pesa za wananchi, magufuli 😭😭😭😭😭

  • @leonardbrown181

    @leonardbrown181

    2 жыл бұрын

    Tafuta ela ufurahie maisha! Acha majungu na stress zako!

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@leonardbrown181 Kiukweli kuna watu hawajielewi kbs yaan yeye alitaka waende wapi baada ya kazi mbona JPM alikuwa anawatumia wasanii kwenye kazi zake na alikuwa anacheza sana asingewatumia bc

  • @hasnuumakame9219

    @hasnuumakame9219

    2 жыл бұрын

    Usisahau pia kua wamekua wabunge hii Leo coz huyo Magufuli ndio aliowapitisha wafike hapo bungeni na wengine walipita bila kupingwa yote hayo katuletea yeye Magufuli..

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    2 жыл бұрын

    @@hasnuumakame9219 Mwambie uyo anajisahulisha kuwa yeye ndo aliesababisha kuwapitisha kibabe leo watu wanaongea kujifanya wema binadam sisi bhana hatari sana

  • @lukebazil5531
    @lukebazil55312 жыл бұрын

    safi sana

  • @husseinmohamed1777
    @husseinmohamed17772 жыл бұрын

    Legend

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman58162 жыл бұрын

    🔥🔥🔥 fire 🇰🇪

  • @mohdpandu6802
    @mohdpandu68022 жыл бұрын

    R.I.P JPM 😭😭😭😭

  • @ahmedhamad2410
    @ahmedhamad24102 жыл бұрын

    Bunge limekuwa ni uwanja wa sinema ama kweli nchi haongozi mwanamke

  • @kudrantegakaje7237
    @kudrantegakaje72372 жыл бұрын

    Nic San

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju24022 жыл бұрын

    Nchi ya Wasanii

  • @albanokizo5174
    @albanokizo51742 жыл бұрын

    Nakubal mwana FA

  • @salumbujjo2320
    @salumbujjo23202 жыл бұрын

    Garama zate za hizo sherehe ni zile kodi za wapiga kura ifike mahari muone aibu na muwe na huruma kwa wapiga kura wenu .

  • @mahmoodalghefeili5370

    @mahmoodalghefeili5370

    2 жыл бұрын

    Mtihani

  • @sottithomas9443
    @sottithomas94432 жыл бұрын

    Hapo hakuna uvunjifu wa kanuni wala mwongozo 🤣🤣

  • @frankmushi8892
    @frankmushi88922 жыл бұрын

    Aya sisi atuna neno hapo ni jisevieni tu aya mapesaa Ili mkachomwe moto vizurr

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban68582 жыл бұрын

    Nilikuja mwezi wa 3 rami imeishia kilometa 7 funga mkanda Binam wangu

  • @luckyngumbi4243
    @luckyngumbi42432 жыл бұрын

    Jamanii hii hatari magufuli itakua anahasira huko mpaka sio poaa

  • @jerrylimbu1790
    @jerrylimbu17902 жыл бұрын

    Wabunge wa sasa buana

  • @coolzeddy_official9216
    @coolzeddy_official92162 жыл бұрын

    Oyooooo

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed88742 жыл бұрын

    Endeleeni kulamba asali

  • @thomastinega271
    @thomastinega2712 жыл бұрын

    since dei 1 Umekuwa top.kwa gem,,haubahatishi

  • @boshenfaisarysalumu4337
    @boshenfaisarysalumu4337 Жыл бұрын

    anapiga show bule

  • @cocorita8367
    @cocorita83672 жыл бұрын

    Woyoooooooo nchi huruuu

  • @pamelabahati6409

    @pamelabahati6409

    2 жыл бұрын

    Woooo

  • @eliaminishembazi520
    @eliaminishembazi5202 жыл бұрын

    Binaaaaaamuuuuu

  • @vibeanytime8783
    @vibeanytime87832 жыл бұрын

    Hii inaashiria kweli nchi inaongozwa na mwanamke ndo nimegundua kwanini marekani walikataaga kuongozwa na mwanamke mazara yake ndo haya bunge limekua jumba lastaree

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    2 жыл бұрын

    Mjinga sana wewe, mpumbavu kabisaa,,kwa hiyo na mamaako hajaongoza nyumba yenu vizuri? Unajua kwa nn Hilary hakuchaguliwa? Halafu fanya research nchi zinazoongozwa na wanawake usifuate mkumbo tu,,Germany walikuwa na mwanamke kila uchaguzi anachaguliwa tena,mpaka aliomba mwenyewe basi hataki tena,,kwa sababu alikuwa anaendesha nchi vizuri,,,,acha upumbavu wa understatement wanawake

  • @jumakatoto6119

    @jumakatoto6119

    2 жыл бұрын

    Unafikiri kwa kutumia nn mwamba,, Kichwa ,tumbo au makalio!! Tafakari , wakati mwengine si lazima kusema Kama huna. Beware

  • @jumaamkopi3712
    @jumaamkopi37122 жыл бұрын

    Pondeni raha Ila mkae mkijua kesho Kuna moto kwa Mungu,watu wanateseka njaa njaaa unga buku jero nyie mnaponda raha,ina maana hicho ndo kikuchokupeleka bungeni

  • @msusabazilionaire7947

    @msusabazilionaire7947

    2 жыл бұрын

    huo Moto umeupeleka ww au

  • @thomasmunis9814
    @thomasmunis98142 жыл бұрын

    wenye nchi yao

  • @stevejohn533
    @stevejohn5332 жыл бұрын

    Mzee baba Ulega kama Ulega

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    2 жыл бұрын

    Yan nimeona yupo kimusic 😁

  • @abdulrahmanissasizimwe2107

    @abdulrahmanissasizimwe2107

    2 жыл бұрын

    🤣🤣😅😂

  • @mamatifaibaraim9358
    @mamatifaibaraim93582 жыл бұрын

    NAMUONA BOS WA MKURANGA ULEGA APO ANALUKA DEBEEEE

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    2 жыл бұрын

    Yaan nimeconstrate kumuangalia yeye ana vibe

  • @matildajames8773
    @matildajames87732 жыл бұрын

    Maisha mafupiii chakufiiiaaaa😏😏😏 jiachieniii kwa raha zenuuu kuwa mbunge hakufanyi usifurah

  • @andrewgadimrinji3486
    @andrewgadimrinji34862 жыл бұрын

    Hivi vikao via bunge vikiisha wanafanya sherehe? Hii kwangu naona mara ya kwanza.au kuna watu wanaagwa?

  • @pamelabahati6409

    @pamelabahati6409

    2 жыл бұрын

    Itakua

  • @ramadhanimsomanga5448
    @ramadhanimsomanga54482 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @elishaelisha6755
    @elishaelisha67552 жыл бұрын

    Binam

  • @mkidaasbbq5812

    @mkidaasbbq5812

    2 жыл бұрын

    Duuiuu

  • @tryphonefriday6010
    @tryphonefriday60102 жыл бұрын

    Pumbavuuu

  • @dorismwendele2645

    @dorismwendele2645

    2 жыл бұрын

    😂😂😂Ujapenda kwani wezio wanajipa laah

  • @tryphonefriday6010

    @tryphonefriday6010

    2 жыл бұрын

    @@dorismwendele2645 sijapenda kwakweli yaan wanafanya sherehe ya kufurahia jinsi wanavyozitafuna hela zetu walalahoi

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Hatujali mda tuko masikini kwa kila kitu bado viongozi wanakula ela zenu mna tukenulia meno yenu yalio oza na juis kola

  • @jumakatoto6119

    @jumakatoto6119

    2 жыл бұрын

    Nani kasema ukiwa kiongozi hupaswi kuwa muda wa kufurahi. Ni kiongoz gani duniani hakuwahi kuwa na entertainment moment kwenye regime yake. Kuna nyakati tuweni wakweli. Kama maskini kabisa (Wa kipato,fikra,elimu,n.k) anapata time ya kufurahi itakua mwenye kipato?? Tuwahukumu ikiwa tuna uhakika kuwa hawatimiz majukumu Yao na kwamba starehe ndio kinawasababishia kutofanya hivyo, otherwise .. tuseme.

  • @jan6703
    @jan67032 жыл бұрын

    Huyu Nyoshi bado anamsifu Mobutu na kumfananisha naye MWANA FA. Yuko dunia gani huyu? Mazoea ya kijinga usituletee Tz baba 🤐

  • @georgeigogo9259
    @georgeigogo92592 жыл бұрын

    kweli magu hayupo

  • @leonardbrown181

    @leonardbrown181

    2 жыл бұрын

    Ni raha iliyoje!

  • @pamelabahati6409

    @pamelabahati6409

    2 жыл бұрын

    Usiseme hivyo

  • @elishaelisha6755

    @elishaelisha6755

    2 жыл бұрын

    Hiiiii

  • @rafikingango
    @rafikingango2 жыл бұрын

    Hii ni baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥 👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼 kzread.info/dash/bejne/dYh_p9hwhrjWgsY.html

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Mie simlaumu raisi, hana kosa hata dini haikutupa idhini ya kua kiongozi mbele ya wanaume Bunge limekua disko poa ngoja bill gate abwinu mbwinu tuendelee kuchakaa wananchi

  • @dorismwendele2645

    @dorismwendele2645

    2 жыл бұрын

    Hahaha hpo ten wazee hawan a kauli ten vijana wameiteka mbunge

  • @rukiaiddyyahaya9506

    @rukiaiddyyahaya9506

    2 жыл бұрын

    @@dorismwendele2645 inachekesha tanzania yetu

  • @patrickmakoye4054
    @patrickmakoye40542 жыл бұрын

    Bongo land 😀😀😀😀

  • @mduduonline8116
    @mduduonline81162 жыл бұрын

    binqmu

  • @hdmsasa3355
    @hdmsasa33552 жыл бұрын

    Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzread.info/dash/bejne/dZit2sxuqdC1gpc.html

Келесі