BUNGENI KUMENOGA: MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA WABUNGE WENZAKE, APIGIWA SHANGWE
BUNGENI KUMENOGA: MWANA FA ACHANA MISTARI MBELE YA WABUNGE WENZAKE, APIGIWA SHANGWE
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 82
we jamaa fa umebarikiwa sanaaaa talent of lyrics ❤❤❤❤❤❤
Piga kelele kwa Mwana FA weeweee habari ndiyo hiyo👍❤️🔥❤️🔥mamboni🔥🔥🔥🔥🔥👌
The true legend mwana FA I real ampriciet you brother!
Nakubali F. A mwana falsafa🙌🙌✌️💯💯🔥🔥
Panapo music weka siasa pembeni na moyo useme sisi badala ya wale.#big love.
Nchi hii ina mambo ya Kufisha nyie mko kwenye starehe lakini mmesahau kuwa Wamasai Ngorongoro wako na hari mbaya.kwa ukatili wenu.Tengenezeni njia ya Bwana nyosheni mapito yako. Nampenda sana Baba yangu wa kiro jasusi kutoka mbingu anaga mda huo. Yeye nimtu wa Nuru tu.Baba Askofu Gwajima wangu nakupenda sana maali nilipo na Sala zako kila itwapo leo.
@edwardmkwelele
2 жыл бұрын
Yaani mmmmh
Bunge limekuwa ndio uwanja wa bongo Flava eti Hakuna kuvunja Kanuni wala nini wow!!!!
Binam, mbunge wangu mie tunaiyona Muheza kwa mbali sana jitahidi njia ya Amani itokee Korogwe utakua umeokoa sana Binam
Mwenye mziki wake FA
Mbunge wangu muheza moja pitia muheza magira hadi magoroto barabara japo changalawe hali yaupatikanaji wa maji nimgumu sana watu wamejenga vivutio vya watalii karibu nashule yasekondary mlinga bombani ubembe haina maji mito imezuiwa watu wanavuna maji kutengeneza mabwawa ya kuogelea
Ila uu Uhuru banah
Safi sana baada ya kazi ngumu
Kwel kwa Mungu hakna majungu huku mtaani kwetu njaa wazee wa masuti 😭😭dah
🔥🔥🎤
Motooo
Hapa hata Mzee Magu angelikuwepo basi angeshuka chini na kofia akavua akachapa mziki wa mwana FA
Hahaha kweli bungeee mwanaef warushe wavaasuti
Kulen raha za nchi mlibanwa siku nyingi kuchezea pesa za wananchi, magufuli 😭😭😭😭😭
@leonardbrown181
2 жыл бұрын
Tafuta ela ufurahie maisha! Acha majungu na stress zako!
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@leonardbrown181 Kiukweli kuna watu hawajielewi kbs yaan yeye alitaka waende wapi baada ya kazi mbona JPM alikuwa anawatumia wasanii kwenye kazi zake na alikuwa anacheza sana asingewatumia bc
@hasnuumakame9219
2 жыл бұрын
Usisahau pia kua wamekua wabunge hii Leo coz huyo Magufuli ndio aliowapitisha wafike hapo bungeni na wengine walipita bila kupingwa yote hayo katuletea yeye Magufuli..
@kennyrogers4734
2 жыл бұрын
@@hasnuumakame9219 Mwambie uyo anajisahulisha kuwa yeye ndo aliesababisha kuwapitisha kibabe leo watu wanaongea kujifanya wema binadam sisi bhana hatari sana
safi sana
Legend
🔥🔥🔥 fire 🇰🇪
R.I.P JPM 😭😭😭😭
Bunge limekuwa ni uwanja wa sinema ama kweli nchi haongozi mwanamke
Nic San
Nchi ya Wasanii
Nakubal mwana FA
Garama zate za hizo sherehe ni zile kodi za wapiga kura ifike mahari muone aibu na muwe na huruma kwa wapiga kura wenu .
@mahmoodalghefeili5370
2 жыл бұрын
Mtihani
Hapo hakuna uvunjifu wa kanuni wala mwongozo 🤣🤣
Aya sisi atuna neno hapo ni jisevieni tu aya mapesaa Ili mkachomwe moto vizurr
Nilikuja mwezi wa 3 rami imeishia kilometa 7 funga mkanda Binam wangu
Jamanii hii hatari magufuli itakua anahasira huko mpaka sio poaa
Wabunge wa sasa buana
Oyooooo
Endeleeni kulamba asali
since dei 1 Umekuwa top.kwa gem,,haubahatishi
anapiga show bule
Woyoooooooo nchi huruuu
@pamelabahati6409
2 жыл бұрын
Woooo
Binaaaaaamuuuuu
Hii inaashiria kweli nchi inaongozwa na mwanamke ndo nimegundua kwanini marekani walikataaga kuongozwa na mwanamke mazara yake ndo haya bunge limekua jumba lastaree
@NR-ll4sr
2 жыл бұрын
Mjinga sana wewe, mpumbavu kabisaa,,kwa hiyo na mamaako hajaongoza nyumba yenu vizuri? Unajua kwa nn Hilary hakuchaguliwa? Halafu fanya research nchi zinazoongozwa na wanawake usifuate mkumbo tu,,Germany walikuwa na mwanamke kila uchaguzi anachaguliwa tena,mpaka aliomba mwenyewe basi hataki tena,,kwa sababu alikuwa anaendesha nchi vizuri,,,,acha upumbavu wa understatement wanawake
@jumakatoto6119
2 жыл бұрын
Unafikiri kwa kutumia nn mwamba,, Kichwa ,tumbo au makalio!! Tafakari , wakati mwengine si lazima kusema Kama huna. Beware
Pondeni raha Ila mkae mkijua kesho Kuna moto kwa Mungu,watu wanateseka njaa njaaa unga buku jero nyie mnaponda raha,ina maana hicho ndo kikuchokupeleka bungeni
@msusabazilionaire7947
2 жыл бұрын
huo Moto umeupeleka ww au
wenye nchi yao
Mzee baba Ulega kama Ulega
@gracethomas683
2 жыл бұрын
Yan nimeona yupo kimusic 😁
@abdulrahmanissasizimwe2107
2 жыл бұрын
🤣🤣😅😂
NAMUONA BOS WA MKURANGA ULEGA APO ANALUKA DEBEEEE
@gracethomas683
2 жыл бұрын
Yaan nimeconstrate kumuangalia yeye ana vibe
Maisha mafupiii chakufiiiaaaa😏😏😏 jiachieniii kwa raha zenuuu kuwa mbunge hakufanyi usifurah
Hivi vikao via bunge vikiisha wanafanya sherehe? Hii kwangu naona mara ya kwanza.au kuna watu wanaagwa?
@pamelabahati6409
2 жыл бұрын
Itakua
🤣🤣🤣
Binam
@mkidaasbbq5812
2 жыл бұрын
Duuiuu
Pumbavuuu
@dorismwendele2645
2 жыл бұрын
😂😂😂Ujapenda kwani wezio wanajipa laah
@tryphonefriday6010
2 жыл бұрын
@@dorismwendele2645 sijapenda kwakweli yaan wanafanya sherehe ya kufurahia jinsi wanavyozitafuna hela zetu walalahoi
Hatujali mda tuko masikini kwa kila kitu bado viongozi wanakula ela zenu mna tukenulia meno yenu yalio oza na juis kola
@jumakatoto6119
2 жыл бұрын
Nani kasema ukiwa kiongozi hupaswi kuwa muda wa kufurahi. Ni kiongoz gani duniani hakuwahi kuwa na entertainment moment kwenye regime yake. Kuna nyakati tuweni wakweli. Kama maskini kabisa (Wa kipato,fikra,elimu,n.k) anapata time ya kufurahi itakua mwenye kipato?? Tuwahukumu ikiwa tuna uhakika kuwa hawatimiz majukumu Yao na kwamba starehe ndio kinawasababishia kutofanya hivyo, otherwise .. tuseme.
Huyu Nyoshi bado anamsifu Mobutu na kumfananisha naye MWANA FA. Yuko dunia gani huyu? Mazoea ya kijinga usituletee Tz baba 🤐
kweli magu hayupo
@leonardbrown181
2 жыл бұрын
Ni raha iliyoje!
@pamelabahati6409
2 жыл бұрын
Usiseme hivyo
@elishaelisha6755
2 жыл бұрын
Hiiiii
Hii ni baraka sana 🔥🔥🔥🔥🔥 👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼👉🏼 kzread.info/dash/bejne/dYh_p9hwhrjWgsY.html
Mie simlaumu raisi, hana kosa hata dini haikutupa idhini ya kua kiongozi mbele ya wanaume Bunge limekua disko poa ngoja bill gate abwinu mbwinu tuendelee kuchakaa wananchi
@dorismwendele2645
2 жыл бұрын
Hahaha hpo ten wazee hawan a kauli ten vijana wameiteka mbunge
@rukiaiddyyahaya9506
2 жыл бұрын
@@dorismwendele2645 inachekesha tanzania yetu
Bongo land 😀😀😀😀
binqmu
Gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN kzread.info/dash/bejne/dZit2sxuqdC1gpc.html