ROMA MKATOLIKI USO KWA USO NA BASATA, AWAPIGA MASWALI MAZITO "DIAMOND, MARIOO, FID Q WAKISUSA"
Ойын-сауық
Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Пікірлер: 204
Roma nakukubali sana kaka
Roma ubarikiwe sana kwa kumtoa huyu bro kwenye stuation aliyokuwa anapitia, Hakaka Mungu akupe mema zaidi. Abiudy umekuwa maarufu kwa uimbaji wako hasa ukiwa mtaani lakini Mungu anamakusudi juu yako.
Roma big up sanaa kiongoz👍👍👍👍👍
Roma uko vizuri.nakupa hongera mdogo wangu.endelea kukaza buti
Roma umeiva...exposha Ni kitu kizuri sana. I see Roma changing some T&Cs za BASATA👏🏽👏🏾🌺🌻🌼💐
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
Mwanafasihi wangu Bora na Mkatoliki Mwenzangu Roma Mkatoliki, binafsi Nakupa Nafasi ya Kuishi katka Nafsi na Akili Yangu Wakati wote wa Uhai Wangu wa hapa Ulimwenguni na Paradise Kiongozi.
@PriscaDickson-hp8iv
Жыл бұрын
Yaani huyu jamaa was basata anasema kumpata wakumpa tuzo c ushindani kumbe wanaamua wao!!! Genius Roma viva
Duuu!!! Kumbe Mzee Abiud, Mzee wa Chorus hata Simu hauna!! Roma shughulikia hilo Jambo bhana!!!. Our Country, Our lives, 🇹🇿🇹🇿🙄
@wisefolks1669
Жыл бұрын
Pp
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
@issayona6350
Жыл бұрын
Jjjjjkj
Hivi Roma kwanini asipewe hata majimbo mawili ayaongoze!??maana akili zake kama za mwalimu hayati wa miaka ile hivi
Roma ndiy o msema kweli atufikishie ujumbe kwa amanniii
Salam wa Tanzania, uho mfumo sio nzuri, MTU kuea nominated ni ushindi, sio ujisubumiti wote
Abiud usiongee kinyonge sana mwanetu unatutia asira maninja, Changamka arafu usitie sana uruma ushaenda mjini pambana jiongeze Mungu kakuonyesha njia pita.
Abiud you good
Daaaah me ckujua km ni huyu jamaa daaah big up sanaa🙏🙏🙏🙏
East Africa Kuna shida sana yani huyu mtu ni mnafiki tu hata kwa mwonekana wake Roma ww huitaji haya mambo ila pambana ipo siku ujumbe utafika
Huyu jamaa wa basata kakaa kinafk nafk, cheki anavyotizama ,na kucheka kinafk! Tuliosoma saikroji hapa tumembamba
@femksenkoro3739
Жыл бұрын
Hii SAIKROJI ni taaluma gani hasa?😂😅
@errydeo8865
Жыл бұрын
saaaaaaaaaana eti sijausikia
@errydeo8865
Жыл бұрын
yaani fala tu he has no klue
@godygodwn-3000
Жыл бұрын
@@femksenkoro3739h😂😂😂😂 😂😂😂👆 haujuwi??
@godygodwn-3000
Жыл бұрын
@@femksenkoro3739Yan inahusiana na kumsoma mtu akiliyake anawaza nn
good Roma umemcharenji basata vizuri
Brother Roma big big up..tuna kupendaaa...safi messej imefka kwa mrisho..kwakaulizako tz ita badilika..
Hawajui mziki
Kwer mzee Abiud anatia huruma sana...mung aendelee kukufungulia milango asee wakat wa mung ni wakat sahih
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
asitutanie hakuna ambaye hajasikiliza huo wimbo
@mhogomchungu7882
Жыл бұрын
Mi mwnyw naona anajifanya haujui…na yupo kwny tasnia ya muziki
Shoo imenigusa sana abiud mungu akutoe ulipo aku
@djjoe_tzmixingmaster5872
Жыл бұрын
👏
Abiud anaimba sana... Kaua sana kwenye chorus.
Naam Mr roma
Mtu noma kaka
Politic zinaua new generation Mtaani Kuna vichwa Jambo la msingi nikuwapa tumaini WANAO kua
Kumbe wanaheshimisha serikali na sio nchi, 😂😂😂😂😂😂 Ngoja tu nichague andazi.
Hatali sanaaaaaa
🙏🙏 tisha Roma kinoma
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
Big up
Samani yako kwa Roma Iko mala mbili kwanza kufanya kazi na Roma kwa kipindi iki pili kua msanii ulie fanania na nyimbo ya roma
Roma, nakuelewaga Sana!
Hom boy abihud kijij kimoja kigoma one
Hakuna kitu hapo basata chukiiii tupu kwa baadhi ya wasaniiii
Video ya wimbo Roma anaweza kuifanya hata akiwa huko huko kwa mazingira Tz kwa kutumia green au blue screen pia CGI. inawezekana aongee za studio zenye wabunifu mahili.
Wekeni namba yake tumchangie akanunue hiyo simu faster sana Abiud.
🙌🙌🙌
huyu Dr ROMA kwanini asipewe ubalozi wa marekani
Bro Anaongea Ukweli Nipe Maua Yangu
🌹🌹🌹🌹🌹Roma
Kuongea kuhusu ndoto ndio ndoto yenye sasa !. Ikikupendeza Gusa Kabibi - Chief Mkwetu Ft Ally Nipishe.
Nani huyo mnamuita kiongozi wa basata anqshindwa mpaka swali la kipimajoto
Aminia
Hyo ndo tatizo LA watu kupewa nafasi ofisi Fulani bila kuangalia uwezo wa MTU katika utendaji na uzalishaji wenye tija
Safi sana imekaa sawa apo
Roma Kwa utulivu
Nakukubali sana Roma kwani unatulimisha .mengi tusioyajua nait
Félicitations mr Roma pour toute vaut question 👏🏾👏🏾
Alitaka kusema Duhh!! Ngoma nimeisikia
Huyu mzee anajua kweli anachokisema kweli!?? Yaani hata hajajibu swali aliloulizwa mbona!??
Daaah huyo mwamba abiudi ni mwana flani hivi anaimba imba road ila anakipaji asaidiwe
Mnafiki sana et I sijausikiliza uo wimbo wa roma niko bize ila mama samia uko bize kumsalimia
Hawez kuujua huo wimbo bcz wamepigwa
Roma big up
Kama akili ya Mrisho ni ubongo wa Basata then that entire department should be re- arranged or get rid of those nockoheads altogether!
@narrissajackson3869
Жыл бұрын
Nimekuelewa sana, umetumia big mind
@shamteshamte996
Жыл бұрын
Sad
@errydeo8865
Жыл бұрын
he is dikhead
😳
Roma ni kweli sector ya maji bado changamoto sana mfano morogoro xjui morowasa wanakazi gn maji machafu meusi inasikitisha bungeni xjui wanafanya nn huko
ROMA TUAMBIE BWANA UKO UNASOMEANINI WEKA WAZI BWANA SISI WADAU WAKO TUNAPENDA SANA KAZI ZAKO
@elsonkibasindila7526
Жыл бұрын
Sasa ukishajua anasoma nini itakusaidia nini?
Chukuwa chuma hicho💯
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
Huyo basata hajui chochote kuhusu tasnia..hajielewi
Roma umetisha
Mwamba anaweza sana sauti za Juu
Ok
🎉
Natamani 2030 roma ugombanie uwe rais wa tanzania 🇹🇿
@cammycamilius6856
Жыл бұрын
Una mavi wewe
@agnesjohn9382
Жыл бұрын
@@cammycamilius6856 wewe una nini
@jacilygabriely6840
Жыл бұрын
@@cammycamilius6856 mbona matusi tena wakati kasema ukweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@jacilygabriely6840
Жыл бұрын
@@agnesjohn9382 achana naye hajui alisemalo huyo
Safi Safi
oyah elimu inahitajika kwa uyu kiongozi ngoja nisubiri mwanasheria wangu arudi bongo ndo nitachambua pumba zake ety lengo sio kuwashindanisha asa mnapataje msanii bora bila kuwashindanisha ahahah
Roma we ni noma hujawahi kosea pamoja na kwamba watu hawataki kukubali ukweli
🎉 f 🌸🌸🌸🌸🌸🌸
Bip up roma mkatoliki
😂😂 roma
Viva Roma viva
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mzee Mrisho anasemaje kuwa "Tunzo sio competition"? hii ni tunzo inayowagusa wasanii wanaopambana kwa kushindana kufikia mashabiki zao kwa wingi kutokana na aina ya mziki anaofanya. How would You award anyone from no competiton? Messi anapata tunzo ya mchezaji bora wa Dunia kwakuwa ameshindanishwa na wachezaji wengine duniani kwenye ligi za level yake. And what Roma amesema is very meaniningful kwani the system is very biased and at time external powers come in to force decision to the Award Committee. Another person with wise responses was ought to answer the smart questions poised by Roma.!!
Ajui mzki uyo mzee roma utakuta ayupo mahaajabu
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
punguza siasa basata iunde tume ya viongozi wa mtazamo wa kuwachagua wasann bora wa kushirik kuwania tuzo
Halima,shujaa,wakike
Roma bwana kumbe unaakili kiasi hicho? Unaongea kistaarabu sanaaa
Mpenzi mtazamaji Kula chuma ichooo🤣🤣🤣🤣🤣
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
roma ludi nyumbani we unastaiki kuwa kiongo kwa munekano na mtazamo wako unastaiki hesma kwenye sanaa
Mi siridhiki hata kidogo na majibu ya huyo jamaa.anajibu upuuzi mtupu
Shame BaSata this guy he don't know even what Roma ask........ Roma your wise bro
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
Kipindi icho amkuwepo mlikua washabiki wote amju kim
Alale mahali pema mzee ngereza
The only artist i respekt
Roma anawatoa jasho Sana basata maana mnalinda heshima ya chama badala kuzui nyimbo zisizo na maadil.wajinga wanatukana mnachekelea na kuiharibu kizazi na taifa la kesho.leo kasema atachagua andazi mnahaha ukweli ndio huo ng'ombe wa mbele anachelewesha msafara anapigwa wa nyuma.mungu anawaona
Kabisa unajua kikwel ukweli unauma sana ndio maana unaona kimya sana mpaka sasa ajajibu lolote uyo Mwizi sema amesha yapata sasa uyo
Mbona Bsata Mwenyewe Ajui Chochote Kuusu Muziki Au Amuoni Jamani
@allymwilu8089
Жыл бұрын
Pumba kabisa
Roma unaroho nzr
Wasanii gani
Viongozi wamejaa matumbo
Sasa si mnge wapa wote kama sio ushindan .apo aliyefanya vizur ndo anapewa
Roma anahakili kubwa sana
Mbn mnamcholesha roma jmn 😅😅
Huyu ni abiudi yupi...ni mishol au c elewi ..kaka Roma embu pambania gospel
Huyo jama hajui mziki
Roma aendelee kupatiwa Maua yake 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌻🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸
@VictorNgeve-ux5rr
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html
Camera zaenu haziko clear too bright&blurry
@uriotz_
Жыл бұрын
Video call kaka
Hata mm najinomineti na uwimbo wangu wa cheketucheketu mtoto akilia mlete
@mrsinia3064
Жыл бұрын
Au cyo 🙄
Mzingo kwa shingo kweli hapa
Sijategemea kua Roma unaweza kua mnafki unakubari usicho kikubari