ROMA MKATOLIKI USO KWA USO NA BASATA, AWAPIGA MASWALI MAZITO "DIAMOND, MARIOO, FID Q WAKISUSA"

Ойын-сауық

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 204

  • @jeraldmagina
    @jeraldmagina Жыл бұрын

    Roma nakukubali sana kaka

  • @mwangosikennedy9643
    @mwangosikennedy9643 Жыл бұрын

    Roma ubarikiwe sana kwa kumtoa huyu bro kwenye stuation aliyokuwa anapitia, Hakaka Mungu akupe mema zaidi. Abiudy umekuwa maarufu kwa uimbaji wako hasa ukiwa mtaani lakini Mungu anamakusudi juu yako.

  • @user-wv6to5xk8t
    @user-wv6to5xk8t Жыл бұрын

    Roma big up sanaa kiongoz👍👍👍👍👍

  • @user-jv9vv6lb4t
    @user-jv9vv6lb4t Жыл бұрын

    Roma uko vizuri.nakupa hongera mdogo wangu.endelea kukaza buti

  • @Braika4
    @Braika4 Жыл бұрын

    Roma umeiva...exposha Ni kitu kizuri sana. I see Roma changing some T&Cs za BASATA👏🏽👏🏾🌺🌻🌼💐

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Жыл бұрын

    Mwanafasihi wangu Bora na Mkatoliki Mwenzangu Roma Mkatoliki, binafsi Nakupa Nafasi ya Kuishi katka Nafsi na Akili Yangu Wakati wote wa Uhai Wangu wa hapa Ulimwenguni na Paradise Kiongozi.

  • @PriscaDickson-hp8iv

    @PriscaDickson-hp8iv

    Жыл бұрын

    Yaani huyu jamaa was basata anasema kumpata wakumpa tuzo c ushindani kumbe wanaamua wao!!! Genius Roma viva

  • @allymohamed4065
    @allymohamed4065 Жыл бұрын

    Duuu!!! Kumbe Mzee Abiud, Mzee wa Chorus hata Simu hauna!! Roma shughulikia hilo Jambo bhana!!!. Our Country, Our lives, 🇹🇿🇹🇿🙄

  • @wisefolks1669

    @wisefolks1669

    Жыл бұрын

    Pp

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @issayona6350

    @issayona6350

    Жыл бұрын

    Jjjjjkj

  • @Msovelo9017
    @Msovelo9017 Жыл бұрын

    Hivi Roma kwanini asipewe hata majimbo mawili ayaongoze!??maana akili zake kama za mwalimu hayati wa miaka ile hivi

  • @exaudmbuya9306
    @exaudmbuya9306 Жыл бұрын

    Roma ndiy o msema kweli atufikishie ujumbe kwa amanniii

  • @silviocimo3948
    @silviocimo3948 Жыл бұрын

    Salam wa Tanzania, uho mfumo sio nzuri, MTU kuea nominated ni ushindi, sio ujisubumiti wote

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Жыл бұрын

    Abiud usiongee kinyonge sana mwanetu unatutia asira maninja, Changamka arafu usitie sana uruma ushaenda mjini pambana jiongeze Mungu kakuonyesha njia pita.

  • @libataburuma
    @libataburuma Жыл бұрын

    Abiud you good

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 Жыл бұрын

    Daaaah me ckujua km ni huyu jamaa daaah big up sanaa🙏🙏🙏🙏

  • @ericksaid5327
    @ericksaid5327 Жыл бұрын

    East Africa Kuna shida sana yani huyu mtu ni mnafiki tu hata kwa mwonekana wake Roma ww huitaji haya mambo ila pambana ipo siku ujumbe utafika

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Жыл бұрын

    Huyu jamaa wa basata kakaa kinafk nafk, cheki anavyotizama ,na kucheka kinafk! Tuliosoma saikroji hapa tumembamba

  • @femksenkoro3739

    @femksenkoro3739

    Жыл бұрын

    Hii SAIKROJI ni taaluma gani hasa?😂😅

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Жыл бұрын

    saaaaaaaaaana eti sijausikia

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Жыл бұрын

    yaani fala tu he has no klue

  • @godygodwn-3000

    @godygodwn-3000

    Жыл бұрын

    ​@@femksenkoro3739h😂😂😂😂 😂😂😂👆 haujuwi??

  • @godygodwn-3000

    @godygodwn-3000

    Жыл бұрын

    ​@@femksenkoro3739Yan inahusiana na kumsoma mtu akiliyake anawaza nn

  • @AlexMbilinyi
    @AlexMbilinyi Жыл бұрын

    good Roma umemcharenji basata vizuri

  • @djjoe_tzmixingmaster5872
    @djjoe_tzmixingmaster5872 Жыл бұрын

    Brother Roma big big up..tuna kupendaaa...safi messej imefka kwa mrisho..kwakaulizako tz ita badilika..

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Жыл бұрын

    Hawajui mziki

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Жыл бұрын

    Kwer mzee Abiud anatia huruma sana...mung aendelee kukufungulia milango asee wakat wa mung ni wakat sahih

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @TeobaldShirima-rz9rc
    @TeobaldShirima-rz9rc Жыл бұрын

    asitutanie hakuna ambaye hajasikiliza huo wimbo

  • @mhogomchungu7882

    @mhogomchungu7882

    Жыл бұрын

    Mi mwnyw naona anajifanya haujui…na yupo kwny tasnia ya muziki

  • @msingamsinga8590
    @msingamsinga8590 Жыл бұрын

    Shoo imenigusa sana abiud mungu akutoe ulipo aku

  • @djjoe_tzmixingmaster5872

    @djjoe_tzmixingmaster5872

    Жыл бұрын

    👏

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Abiud anaimba sana... Kaua sana kwenye chorus.

  • @dalalichapuchapu7586
    @dalalichapuchapu7586 Жыл бұрын

    Naam Mr roma

  • @DonPrince11
    @DonPrince1111 ай бұрын

    Mtu noma kaka

  • @TheRapperG.P.S1377
    @TheRapperG.P.S1377 Жыл бұрын

    Politic zinaua new generation Mtaani Kuna vichwa Jambo la msingi nikuwapa tumaini WANAO kua

  • @geraldrobert1801
    @geraldrobert1801 Жыл бұрын

    Kumbe wanaheshimisha serikali na sio nchi, 😂😂😂😂😂😂 Ngoja tu nichague andazi.

  • @ramadhansagutangu
    @ramadhansagutangu Жыл бұрын

    Hatali sanaaaaaa

  • @hamzajafari4133
    @hamzajafari4133 Жыл бұрын

    🙏🙏 tisha Roma kinoma

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @mbarakamaulidy7250
    @mbarakamaulidy7250 Жыл бұрын

    Big up

  • @allynyige5835
    @allynyige5835 Жыл бұрын

    Samani yako kwa Roma Iko mala mbili kwanza kufanya kazi na Roma kwa kipindi iki pili kua msanii ulie fanania na nyimbo ya roma

  • @user-kw7mh1wc4f
    @user-kw7mh1wc4f Жыл бұрын

    Roma, nakuelewaga Sana!

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp Жыл бұрын

    Hom boy abihud kijij kimoja kigoma one

  • @samwelkeremu4111
    @samwelkeremu4111 Жыл бұрын

    Hakuna kitu hapo basata chukiiii tupu kwa baadhi ya wasaniiii

  • @ernestbiseko1608
    @ernestbiseko1608 Жыл бұрын

    Video ya wimbo Roma anaweza kuifanya hata akiwa huko huko kwa mazingira Tz kwa kutumia green au blue screen pia CGI. inawezekana aongee za studio zenye wabunifu mahili.

  • @expert5898
    @expert5898 Жыл бұрын

    Wekeni namba yake tumchangie akanunue hiyo simu faster sana Abiud.

  • @mooh_silver_tz
    @mooh_silver_tz Жыл бұрын

    🙌🙌🙌

  • @TeobaldShirima-rz9rc
    @TeobaldShirima-rz9rc Жыл бұрын

    huyu Dr ROMA kwanini asipewe ubalozi wa marekani

  • @AbelNzeyimana-dx8kv
    @AbelNzeyimana-dx8kv Жыл бұрын

    Bro Anaongea Ukweli Nipe Maua Yangu

  • @danielmlwafu4380
    @danielmlwafu4380 Жыл бұрын

    🌹🌹🌹🌹🌹Roma

  • @ChiefMkwetu
    @ChiefMkwetu Жыл бұрын

    Kuongea kuhusu ndoto ndio ndoto yenye sasa !. Ikikupendeza Gusa Kabibi - Chief Mkwetu Ft Ally Nipishe.

  • @user-od6ui7wt2k
    @user-od6ui7wt2k Жыл бұрын

    Nani huyo mnamuita kiongozi wa basata anqshindwa mpaka swali la kipimajoto

  • @SaimoniMgomela-ev4hj
    @SaimoniMgomela-ev4hj Жыл бұрын

    Aminia

  • @allymoshi2053
    @allymoshi2053 Жыл бұрын

    Hyo ndo tatizo LA watu kupewa nafasi ofisi Fulani bila kuangalia uwezo wa MTU katika utendaji na uzalishaji wenye tija

  • @zclassicfashionz
    @zclassicfashionz Жыл бұрын

    Safi sana imekaa sawa apo

  • @hunterblack2574
    @hunterblack2574 Жыл бұрын

    Roma Kwa utulivu

  • @MohammedIssa-ee1nc
    @MohammedIssa-ee1nc11 ай бұрын

    Nakukubali sana Roma kwani unatulimisha .mengi tusioyajua nait

  • @shukurup.m
    @shukurup.m Жыл бұрын

    Félicitations mr Roma pour toute vaut question 👏🏾👏🏾

  • @sampatrick308
    @sampatrick308 Жыл бұрын

    Alitaka kusema Duhh!! Ngoma nimeisikia

  • @Officialpiejotv
    @Officialpiejotv Жыл бұрын

    Huyu mzee anajua kweli anachokisema kweli!?? Yaani hata hajajibu swali aliloulizwa mbona!??

  • @chybuwagwantaz8054
    @chybuwagwantaz8054 Жыл бұрын

    Daaah huyo mwamba abiudi ni mwana flani hivi anaimba imba road ila anakipaji asaidiwe

  • @BillyKalambo-nb5xc
    @BillyKalambo-nb5xc Жыл бұрын

    Mnafiki sana et I sijausikiliza uo wimbo wa roma niko bize ila mama samia uko bize kumsalimia

  • @williamdungumaro6668
    @williamdungumaro6668 Жыл бұрын

    Hawez kuujua huo wimbo bcz wamepigwa

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Жыл бұрын

    Roma big up

  • @Gemen.
    @Gemen. Жыл бұрын

    Kama akili ya Mrisho ni ubongo wa Basata then that entire department should be re- arranged or get rid of those nockoheads altogether!

  • @narrissajackson3869

    @narrissajackson3869

    Жыл бұрын

    Nimekuelewa sana, umetumia big mind

  • @shamteshamte996

    @shamteshamte996

    Жыл бұрын

    Sad

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    Жыл бұрын

    he is dikhead

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI Жыл бұрын

    😳

  • @wizyjunior5771
    @wizyjunior5771 Жыл бұрын

    Roma ni kweli sector ya maji bado changamoto sana mfano morogoro xjui morowasa wanakazi gn maji machafu meusi inasikitisha bungeni xjui wanafanya nn huko

  • @RAMADHANMUHANDO
    @RAMADHANMUHANDO Жыл бұрын

    ROMA TUAMBIE BWANA UKO UNASOMEANINI WEKA WAZI BWANA SISI WADAU WAKO TUNAPENDA SANA KAZI ZAKO

  • @elsonkibasindila7526

    @elsonkibasindila7526

    Жыл бұрын

    Sasa ukishajua anasoma nini itakusaidia nini?

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Жыл бұрын

    Chukuwa chuma hicho💯

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @nadothobias2459
    @nadothobias2459 Жыл бұрын

    Huyo basata hajui chochote kuhusu tasnia..hajielewi

  • @yassinsaidy-eu9cg
    @yassinsaidy-eu9cg Жыл бұрын

    Roma umetisha

  • @pajokakasasa
    @pajokakasasa Жыл бұрын

    Mwamba anaweza sana sauti za Juu

  • @user-xw7qw4bc3j
    @user-xw7qw4bc3j Жыл бұрын

    Ok

  • @youngmagezi
    @youngmagezi Жыл бұрын

    🎉

  • @izzoboy
    @izzoboy Жыл бұрын

    Natamani 2030 roma ugombanie uwe rais wa tanzania 🇹🇿

  • @cammycamilius6856

    @cammycamilius6856

    Жыл бұрын

    Una mavi wewe

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    Жыл бұрын

    ​@@cammycamilius6856 wewe una nini

  • @jacilygabriely6840

    @jacilygabriely6840

    Жыл бұрын

    @@cammycamilius6856 mbona matusi tena wakati kasema ukweliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @jacilygabriely6840

    @jacilygabriely6840

    Жыл бұрын

    @@agnesjohn9382 achana naye hajui alisemalo huyo

  • @ShukuraniDon-rd8rp
    @ShukuraniDon-rd8rp Жыл бұрын

    Safi Safi

  • @michaelmakete
    @michaelmakete Жыл бұрын

    oyah elimu inahitajika kwa uyu kiongozi ngoja nisubiri mwanasheria wangu arudi bongo ndo nitachambua pumba zake ety lengo sio kuwashindanisha asa mnapataje msanii bora bila kuwashindanisha ahahah

  • @RahelRwakabwer-my8cg
    @RahelRwakabwer-my8cg Жыл бұрын

    Roma we ni noma hujawahi kosea pamoja na kwamba watu hawataki kukubali ukweli

  • @dottoselemanimaster2396
    @dottoselemanimaster2396 Жыл бұрын

    🎉 f 🌸🌸🌸🌸🌸🌸

  • @GeraldKalafya-on6hb
    @GeraldKalafya-on6hb Жыл бұрын

    Bip up roma mkatoliki

  • @starflms
    @starflms Жыл бұрын

    😂😂 roma

  • @user-yb9yl7yh5w
    @user-yb9yl7yh5w Жыл бұрын

    Viva Roma viva

  • @Jonathankaghese
    @Jonathankaghese Жыл бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @meshacknkya4365
    @meshacknkya4365 Жыл бұрын

    Mzee Mrisho anasemaje kuwa "Tunzo sio competition"? hii ni tunzo inayowagusa wasanii wanaopambana kwa kushindana kufikia mashabiki zao kwa wingi kutokana na aina ya mziki anaofanya. How would You award anyone from no competiton? Messi anapata tunzo ya mchezaji bora wa Dunia kwakuwa ameshindanishwa na wachezaji wengine duniani kwenye ligi za level yake. And what Roma amesema is very meaniningful kwani the system is very biased and at time external powers come in to force decision to the Award Committee. Another person with wise responses was ought to answer the smart questions poised by Roma.!!

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 Жыл бұрын

    Ajui mzki uyo mzee roma utakuta ayupo mahaajabu

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @FabianMapunda-se3nh
    @FabianMapunda-se3nh Жыл бұрын

    punguza siasa basata iunde tume ya viongozi wa mtazamo wa kuwachagua wasann bora wa kushirik kuwania tuzo

  • @MohamedNgoma-js5gy
    @MohamedNgoma-js5gy Жыл бұрын

    Halima,shujaa,wakike

  • @mburuumbe5659
    @mburuumbe5659 Жыл бұрын

    Roma bwana kumbe unaakili kiasi hicho? Unaongea kistaarabu sanaaa

  • @ibrahimmatola1529
    @ibrahimmatola1529 Жыл бұрын

    Mpenzi mtazamaji Kula chuma ichooo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @JumaMwesongo-mm7rt
    @JumaMwesongo-mm7rt Жыл бұрын

    roma ludi nyumbani we unastaiki kuwa kiongo kwa munekano na mtazamo wako unastaiki hesma kwenye sanaa

  • @user-od6ui7wt2k
    @user-od6ui7wt2k Жыл бұрын

    Mi siridhiki hata kidogo na majibu ya huyo jamaa.anajibu upuuzi mtupu

  • @GONGALIFESTYLE
    @GONGALIFESTYLE Жыл бұрын

    Shame BaSata this guy he don't know even what Roma ask........ Roma your wise bro

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @williammwambenja2425
    @williammwambenja2425 Жыл бұрын

    Kipindi icho amkuwepo mlikua washabiki wote amju kim

  • @mpundempunde1722
    @mpundempunde1722 Жыл бұрын

    Alale mahali pema mzee ngereza

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Жыл бұрын

    The only artist i respekt

  • @user-vx5qt2ni7s
    @user-vx5qt2ni7s Жыл бұрын

    Roma anawatoa jasho Sana basata maana mnalinda heshima ya chama badala kuzui nyimbo zisizo na maadil.wajinga wanatukana mnachekelea na kuiharibu kizazi na taifa la kesho.leo kasema atachagua andazi mnahaha ukweli ndio huo ng'ombe wa mbele anachelewesha msafara anapigwa wa nyuma.mungu anawaona

  • @HajiMwaye-cs3jd
    @HajiMwaye-cs3jd Жыл бұрын

    Kabisa unajua kikwel ukweli unauma sana ndio maana unaona kimya sana mpaka sasa ajajibu lolote uyo Mwizi sema amesha yapata sasa uyo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Жыл бұрын

    Mbona Bsata Mwenyewe Ajui Chochote Kuusu Muziki Au Amuoni Jamani

  • @allymwilu8089

    @allymwilu8089

    Жыл бұрын

    Pumba kabisa

  • @emmanueljackson5445
    @emmanueljackson5445 Жыл бұрын

    Roma unaroho nzr

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Жыл бұрын

    Wasanii gani

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Жыл бұрын

    Viongozi wamejaa matumbo

  • @emmanulvictory507
    @emmanulvictory507 Жыл бұрын

    Sasa si mnge wapa wote kama sio ushindan .apo aliyefanya vizur ndo anapewa

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 Жыл бұрын

    Roma anahakili kubwa sana

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Жыл бұрын

    Mbn mnamcholesha roma jmn 😅😅

  • @djjoe_tzmixingmaster5872
    @djjoe_tzmixingmaster5872 Жыл бұрын

    Huyu ni abiudi yupi...ni mishol au c elewi ..kaka Roma embu pambania gospel

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Жыл бұрын

    Huyo jama hajui mziki

  • @youngvilzy
    @youngvilzy Жыл бұрын

    Roma aendelee kupatiwa Maua yake 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌷🌷🌷🌻🌻🌻🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸

  • @VictorNgeve-ux5rr

    @VictorNgeve-ux5rr

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/Z51kpLhrf86weZs.html

  • @richshayo4924
    @richshayo4924 Жыл бұрын

    Camera zaenu haziko clear too bright&blurry

  • @uriotz_

    @uriotz_

    Жыл бұрын

    Video call kaka

  • @UtufyoPangachini-ru3yg
    @UtufyoPangachini-ru3yg Жыл бұрын

    Hata mm najinomineti na uwimbo wangu wa cheketucheketu mtoto akilia mlete

  • @mrsinia3064

    @mrsinia3064

    Жыл бұрын

    Au cyo 🙄

  • @erastomadary2891
    @erastomadary2891 Жыл бұрын

    Mzingo kwa shingo kweli hapa

  • @allynyige5835
    @allynyige5835 Жыл бұрын

    Sijategemea kua Roma unaweza kua mnafki unakubari usicho kikubari

Келесі