DOTTO MAGARI ATOKWA MACHOZI WAKATI AKISIMULIA CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA ISSA TAMBUU / ROHO MBAYA

Ойын-сауық

MJASILIAMALI DOTTO MAGARI ASIMULIA MWANZO MWISHO CHANZO CHA UGOMVI WAKE NA BOSS WAKE ISSA TAMBUU ANAYEMILIKI YARD YA MAGARI ANAYOFANYIA KAZI DOTTO TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#diamondplatnumz #dottomagari #wasafimedia #millardayo #mwijaku

Пікірлер: 133

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765Ай бұрын

    Kakaangu wa kino kindakindaki nakupenda sana dotto utafukq mbali sana nakuina yuleeee ushavuka kakaa Mungu ni mwema sanaa barikiwa tuuu

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809Ай бұрын

    Daaah bro redio balaaaa hongera nacho kipaji aisee

  • @nth3512
    @nth3512Ай бұрын

    Huyo jamaa wa mwisho dah kaongea vizuri, kajikaza kujicontrol baada ya doto kumtolea nje

  • @user-sx8rn1jr5c
    @user-sx8rn1jr5cАй бұрын

    Safi Sana dotto unajiamini Sana nafasi yako unailinda na ukweli

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424Ай бұрын

    Ila kama issa amefanya hivyo amekosea maana Dotto amepambana watu wengi tumemjua issa kupitia Dotto pamoja broo

  • @IssaBantu.
    @IssaBantu.Ай бұрын

    Kama hunanpenda dotto magari gonga like ❤

  • @jumamaisara7557
    @jumamaisara7557Ай бұрын

    Tatizo nyota issa tambuu itamsumbua sanaaaa

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562Ай бұрын

    Maisha hayana fomulaaaa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm22 күн бұрын

    Doto magari huo ndio uzaramo huna shukrani issa kakutoa mbali na issa tambuu anaroho Nzuri ira shida yako mdomo wako uupimi mwisho

  • @christinewomanoffaith5479

    @christinewomanoffaith5479

    19 күн бұрын

    Hawa wanajuana Wenzenu wanatafuta kiki nyie mnafikiri wanagombana shauri yenu

  • @khamisrashidi6744
    @khamisrashidi6744Ай бұрын

    😂😂😂 ila dotto akli yako unaijua mwenyewe

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-GwankoАй бұрын

    ISSA MTU POA SANA SIPENDI ANAVYO SEMWA VIBAYA

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_Ай бұрын

    Kiburi 😢 Aisee dah Mungu amuongoze kwenye mema

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809Ай бұрын

    Safi dotto

  • @KhalefSaleh
    @KhalefSalehАй бұрын

    Nakubali kaka salute

  • @zayumar2955
    @zayumar2955Ай бұрын

    Mmmmxiiiiiiiiuuuuuuuu minyoko tena Ovyoooooooo!!!!!!!! 😏😏😏

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3bАй бұрын

    Duh! Eti mama ndie alokuumba .. SUBHANA LLAH. Wee mwehu kwelia punguwani mropokaji.

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9zАй бұрын

    Dotto ana akili sana

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1wАй бұрын

    ILOVE you 💓 💗 😘 💛 💖 doto magari penda cn weee

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424Ай бұрын

    Kweli broo

  • @ellyemily4234
    @ellyemily4234Ай бұрын

    Dotto mshamba sanaa

  • @ChikuRashid-yg3jp
    @ChikuRashid-yg3jpАй бұрын

    Nampenda saana doto

  • @giztony2009
    @giztony2009Ай бұрын

    Bangi mbaya sasa mitano tena kila saa imeingije hapa ni dalili za woga na ujinga mwingi

  • @vicentmpoma
    @vicentmpomaАй бұрын

    Kaza bro

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1wАй бұрын

    Safi cn doto magari

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z28 күн бұрын

    Chixi kalongwa tena 😂

  • @jomba6514
    @jomba6514Ай бұрын

    Doto usijitingishe.binafsi napenda kukuona na Issa kwani mmetoka mbali achana na mbwata

  • @user-yn4di1lj7f
    @user-yn4di1lj7fАй бұрын

    Mama au issa

  • @zimboj5278
    @zimboj5278Ай бұрын

    Big chawa et mama

  • @meddykeita5220
    @meddykeita5220Ай бұрын

    Some time unaongea point dotoo...khs maisha

  • @yudachelango6824
    @yudachelango6824Ай бұрын

    Acheni kulamba matako watu mtakuja kufanywa mbaya,, sijampenda huyu jamaa wa mwisho

  • @josephdionizy2868
    @josephdionizy286829 күн бұрын

    Nyoa new model ila dotto

  • @user-ip4ie7pt6i
    @user-ip4ie7pt6i16 күн бұрын

    Allwa tena

  • @ChristianNdewario
    @ChristianNdewarioАй бұрын

    Ditto we kiboko inabidi ufungue shule ya misemo

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184Ай бұрын

    Nakuelewa kaka yangu.

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502Ай бұрын

    Dotto upo sawa kabisa.Na Mungu atakufungulia mafanikio zaidi.Ni kweli watu wengi huwa wanachuki pale wanapowaona walio chini kufanikiwa kwenda juu

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguzaАй бұрын

    Wazaramo wanajua kiswahili sanaa😅

  • @SaidAlly-zb2jb
    @SaidAlly-zb2jbАй бұрын

    Huyu jamaa anajisahau biashara hairndi kishkaji mtu anawekeza pesa ili apate faida tena we unakuja kwakuwa mpo karbu ndio mgawane hesabu aaaahh

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaidАй бұрын

    Ukijifanya chizi huyu dotto ndio pimbi hafai 😂

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba761228 күн бұрын

    Atapata shavu soon Kwa mama samiah, maana anampa sana promo

  • @wizkhalifaupdates3002
    @wizkhalifaupdates3002Ай бұрын

    Mtangazaji katangaza tangazo la mtu mwengine bila malipo 😂😂😂😂😂 katangaza biashara kwenye interview

  • @isayamlyuka7530

    @isayamlyuka7530

    29 күн бұрын

    lipi Hilo

  • @OmanIbri-hj8ss
    @OmanIbri-hj8ssАй бұрын

    Kengeee wewe iyo die mitano tena inahusiana na nn

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iwАй бұрын

    Hapo ndio utajua uswahili ni nani Leo kabadilika anaanza vimba kichwa utadhani akiweka pesa za biashara duuh kweli akili ni nywele😂😂

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267

    @tanzaniawomenyouthempowerm267

    Ай бұрын

    Doto tupe namba yako

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2oАй бұрын

    Achaaa mapepee dotooo pigaaa kaziii naaa isaaa tambuuu atakufikishaa mbariii

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf16 күн бұрын

    Mungu akija kunipa pesa ata siongei sana mitandaon nakausha nakula bata na wife

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv520127 күн бұрын

    Waliosikia neno BAGENDI gonga like

  • @user-uo3lp5pd3d
    @user-uo3lp5pd3dАй бұрын

    😀😀😀 ila dotto dhaaaa 😅😅😅

  • @BarakaChonjoboy
    @BarakaChonjoboy27 күн бұрын

    Eeeeeeh......dotto noma sanaa

  • @contempo_builders
    @contempo_buildersАй бұрын

    Hapo kwenye LIPA NAMBA sasa...

  • @attoumaniomar1775
    @attoumaniomar1775Ай бұрын

    Dotto mjinaga sn

  • @RehemaSaid-rg5mr
    @RehemaSaid-rg5mrАй бұрын

    uyu jamaa ana ongeyaa

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7fАй бұрын

    Wewe dotto umejulikana kupitia kwa tambuu magari,,,mheshimu boss wako acha mambo ya ajabu,,,,

  • @SalumAlly-ch6bu
    @SalumAlly-ch6buАй бұрын

    Sema me nakubali doto paletu anaongea Sanaa then anaweka mtaani kama anapaniki flan then anashuka😊

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501Ай бұрын

    Ovyoooooo

  • @NMJAsaid
    @NMJAsaidАй бұрын

    Dotooooooo

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562Ай бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @husseijuma1025
    @husseijuma1025Ай бұрын

    Alwa jifunze din wew mjing

  • @fadhilifadhili1353

    @fadhilifadhili1353

    Ай бұрын

    Kwakweli alwa duuuh 😮

  • @salumahmadasalum1556
    @salumahmadasalum155621 күн бұрын

    KICHOGO MWENYEWE MJINGA MKUBWA JAPO NAKUPENDA SANA ILA UMENIUDHI KUSEMA MAMA NDIO ALIOUMBA KUA MAKINI

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bqАй бұрын

    Mpige cutting!!😅😅😅

  • @MrFootball-es2ed
    @MrFootball-es2edАй бұрын

    Crown

  • @mwandishimussa6319
    @mwandishimussa6319Ай бұрын

    Kumhoji dotto inahitaji nguvu za uvumilivu

  • @Msafirimakini
    @MsafirimakiniАй бұрын

    Hapo kwa mama ukebugi wewe fala kwani huwezi ongelea life yako bira kuweka samia acha ufała

  • @Rizikialiamechannel763

    @Rizikialiamechannel763

    Ай бұрын

    Kuna ubaya gani

  • @MnubiMm

    @MnubiMm

    Ай бұрын

    Samia ni Mama kutajwa na watoto ni Jambo la kawaida wewe Kama unaumia Tulia waache watu watoe Maoni yao

  • @johnchrisniyongabo4661
    @johnchrisniyongabo466129 күн бұрын

    Huyu jamaa kwambali kama dully sax

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958Ай бұрын

    Iyo interview inahusu Nini kwani!!!?

  • @rukkynassor2279
    @rukkynassor2279Ай бұрын

    Ati mama amekuumba? Huyu hayuko sawa WALLAH tena

  • @hemedinabinga3604

    @hemedinabinga3604

    Ай бұрын

    Kakosea Sana

  • @badmanno.1650
    @badmanno.165025 күн бұрын

    Kwa Alwa kwa Alwa na msalaba kifuani 😢

  • @hollymore4904
    @hollymore4904Ай бұрын

    Hatimaye wameanza kuigiza

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493Ай бұрын

    Anavaa misalaba anajifanya muislam, tunajua misalaba unapewa kwaajili ya uchawi

  • @ngambikomsu64
    @ngambikomsu64Ай бұрын

    Bagendi ndio nini??? 😂😂

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ugАй бұрын

    Usimwamshe aliyelala

  • @abdoulrahmanahmed5802
    @abdoulrahmanahmed5802Ай бұрын

    Skunk😂

  • @rashidrashidmaulid1129
    @rashidrashidmaulid1129Ай бұрын

    Doto umetutukana shabik zako kichogo wanafk kweli😂😂😂hatununui mazembe shaur yako mpigie issa magoti boss anuniwi😂😂😂

  • @abdallahmchange1370
    @abdallahmchange1370Ай бұрын

    MEKU KAAMBIWA KOFIA KAMA DEREVA WA MWEÑDOKASI

  • @zaburi2386
    @zaburi2386Ай бұрын

    Allwa 😂😂

  • @ashaali7154
    @ashaali715410 күн бұрын

    Binaadam hawana fadhila wana mwanzo tu akipata kidogo utajua tabia yake.

  • @gideonngwebe
    @gideonngwebeАй бұрын

    Ashakula sk huyo

  • @prince783
    @prince78324 күн бұрын

    Dah mi kichogo😂

  • @katangaminerals8047
    @katangaminerals8047Ай бұрын

    Amesahauuuuuuz

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502Ай бұрын

    Mimi humfuatilia sana Dotto,na ni muwazi na husema ukweli bila kumung'unya maneno.

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h26 күн бұрын

    Kata kwanza hizo nywele uislam hauitaji huo monekano wako

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698Ай бұрын

    Doto comedy Sana 😂😂😂😂

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6yАй бұрын

    Mi nakuangalia nitumie kwny cm Doto😅

  • @user-ic4nt2kn2z

    @user-ic4nt2kn2z

    Ай бұрын

    Uyu jamaa kichwa kinatatizo!

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын

    Mjinga kweli,kama kuna mambo unayafanya mambo mabovu alafu unajifanya kumtaja taja mama ili ufiche ujinga wako

  • @jumajsauly9216
    @jumajsauly9216Ай бұрын

    Akuna boss mwenye roh nzuriii😅😅😅😅

  • @user-jc8el6je5e

    @user-jc8el6je5e

    Ай бұрын

    Sio kweli.

  • @SaidLikando-ny4fu

    @SaidLikando-ny4fu

    Ай бұрын

    Japo si wote

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7zАй бұрын

    We unayesemadotto ana akili sawa kabisa...ila mungu ndo anaumba kupitia mama kuzaa....sio mama kuumba.

  • @maidimples8236

    @maidimples8236

    Ай бұрын

    Fact anaongea sn mpaka hajui anachoongea

  • @ChikuRashid-yg3jp

    @ChikuRashid-yg3jp

    Ай бұрын

    Siku ingine aza jina la Mungu kwa herufi kubwa

  • @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb

    @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb

    Ай бұрын

    Wajuaji wakikutana 😠😠

  • @user-hi8le2vb7z

    @user-hi8le2vb7z

    Ай бұрын

    @@ChikuRashid-yg3jp 😄kwakuwa apa ni shule 😄😄..wew mi najitambua

  • @user-hi8le2vb7z

    @user-hi8le2vb7z

    Ай бұрын

    punguzeni vichaa mungu hatukuzwi kwa m ya mwanzo...,,na kweli mnaluzi😅...mnataka nilembe coment😅😃

  • @hassankhatibmndima2513
    @hassankhatibmndima2513Ай бұрын

    Ongea unatuheshimisha wakala.

  • @hassankhatibmndima2513

    @hassankhatibmndima2513

    Ай бұрын

    Wazala

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith547919 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5pАй бұрын

    Mm nimemjua issa kwakupitia dotto

  • @OchoaHomeDecor_

    @OchoaHomeDecor_

    Ай бұрын

    Sasa huna hata gari unashindwaje kumjua kupitia Doto?

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368Ай бұрын

    Mama wa Nini tena 😂😂 hapo

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303Ай бұрын

    Dooh ,siku zinahesabika

  • @salumsalum5712
    @salumsalum5712Ай бұрын

    Issa tajiri wako tu

  • @GodloveEssau
    @GodloveEssauАй бұрын

    bargaindi🤣🤣

  • @user-kp6lz7zs1w
    @user-kp6lz7zs1wАй бұрын

    Ntakuja mimi kuchukua iyo pesa jmn doto tajiri penda cn wewe kaka

  • @witnesskagirigiri3763
    @witnesskagirigiri3763Ай бұрын

    Dotto tahira

  • @uredipeter412
    @uredipeter412Ай бұрын

    😅😅😂😂

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696Ай бұрын

    Tumbo kama kayungu yeye

  • @user-hu6kw7rk2h
    @user-hu6kw7rk2hАй бұрын

    Wa nini huyo mfuga nguruwe

  • @pitbullfamily4499
    @pitbullfamily4499Ай бұрын

    😁🤦🏾😂🤣

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9iАй бұрын

    Mitano ya mama lazima tumpe wewe unamtunza mwanoo au ni mmbwa tu wewe

  • @PrinceMoreto
    @PrinceMoretoАй бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493Ай бұрын

    Mjinga sana huyu, ila ipo siku atakuja kujuta