ROMA Ajibu Kuhusu Kushindanishwa na na NAY | ROSTAM Haijafa ,Stamina Katemwa kwenye Album

Спорт

Roma Mkatoliki Amejibu Kuhusu Kushindanishwa na NAY kwenye Kuusemema Mtaa ,kumbe Kiroho safi tu

Пікірлер: 128

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 Жыл бұрын

    Roma yupo juu sana. Ney ananiboa pale anapozidisha mbwembwe hadi kumkufuru mungu

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Жыл бұрын

    Wote wana sina tatzo nao respect Ney respect Roma ❤ aman kwao watu hawa

  • @saumuabdallah198
    @saumuabdallah198 Жыл бұрын

    nampenda uyu kaka jmn...❤❤❤ i wixh km vile arudi ila naogopa mafiraun we2 wa bongo...😔😔💔💔💔

  • @hkmeme5437
    @hkmeme5437 Жыл бұрын

    Roma ni rapper mkali kuliko ney wa mitengo

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Жыл бұрын

    wote nawakubali sana.watetezi wa jami na vizazi vijavyo

  • @Worldunite
    @Worldunite Жыл бұрын

    Roma na Ney wote wako poa, ni sauti ya wananchi

  • @jacilygabriely6840
    @jacilygabriely6840 Жыл бұрын

    Acheni masihara ROMA anatisha NEY haoni ndani. Roma 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Aboodjan4-
    @Aboodjan4- Жыл бұрын

    Mnachanganya bhana. Hapo kuna msemaji wa rai na msemaji wa masela 😂😂😂

  • @strangerskenya254
    @strangerskenya254 Жыл бұрын

    Salute Roma

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 Жыл бұрын

    Ahhhaa roma your ze one hkuna kma roma bongo ap

  • @johanesgeorge1958
    @johanesgeorge1958 Жыл бұрын

    Noma sanaa

  • @kelvinnzuki8948
    @kelvinnzuki8948 Жыл бұрын

    Roma akirudi bongo atagombea urais😅😅

  • @bonabonaza5066
    @bonabonaza5066 Жыл бұрын

    Ney mnamkubali Sana siyo muoga ira kwautunzi na isia baba ivani au Roma mwamba kuliko Ney

  • @favouroriginal4120
    @favouroriginal4120 Жыл бұрын

    Roma rapper mkubwa sana, ney, stamina pia nawakuubali sana

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu Akulinde sana na wale wana wa ibilisi shetani wanaotaka kukuangamiza Roma Mkatoliki.

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Жыл бұрын

    Roma big up yupo very nicely tatizo la nay nyimbo nyingi matusi

  • @stanleykariuki3691
    @stanleykariuki3691 Жыл бұрын

    Roma mzee wa kazi man

  • @stivenjiduki6606
    @stivenjiduki6606 Жыл бұрын

    Hahaaa ney,roma ukichanganya na stamina unapata wasemaji wazuri san 😁😁

  • @floriannkwita4672
    @floriannkwita4672 Жыл бұрын

    Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Жыл бұрын

    Ngoma nimeipenda. ila roma njoo uone watoto . Kitambo sana

  • @akramibrahimu3500

    @akramibrahimu3500

    Жыл бұрын

    Uwa wanaendaa kuniona nakurudii tz ipo siku atawahamisha wotee ashapta uraia

  • @user-wn6ow3cs9w
    @user-wn6ow3cs9w Жыл бұрын

    Mungu akusimamie roma

  • @veronicasammueliryoba5178
    @veronicasammueliryoba51782 ай бұрын

    Roma bigup

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa6339 Жыл бұрын

    Roma noma wallai

  • @xadygenious414
    @xadygenious414 Жыл бұрын

    Best recognize others 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. @roma

  • @sautiyanoti5242
    @sautiyanoti5242 Жыл бұрын

    Nakubali

  • @millermlowe8156
    @millermlowe8156 Жыл бұрын

    Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee

  • @lemonadesoldier1377

    @lemonadesoldier1377

    Жыл бұрын

    Roma mkali Ney akajambe tu

  • @millermlowe8156

    @millermlowe8156

    Жыл бұрын

    @@lemonadesoldier1377 hahahah

  • @babudingi-gd7pz
    @babudingi-gd7pz Жыл бұрын

    Viva roma namku bari

  • @dannyfundi9982
    @dannyfundi9982 Жыл бұрын

    Nataman Sana nchi hii watu wanchi hii tubadirike Sana mashanging wa ccm waishe wataishaje ukweli hatusem jmn jmn nimependa Sana huu wimbo

  • @JemsiSakala-ws8eg
    @JemsiSakala-ws8eg Жыл бұрын

    Good 💪🙏

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын

    Roma ndio msemaji mkuu wa wananchi ila nay yeye anamkufuru mpka Mungu

  • @stephanomoses7694

    @stephanomoses7694

    Жыл бұрын

    Exactly

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 Жыл бұрын

    Nice

  • @simontamba2189
    @simontamba2189 Жыл бұрын

    Sauti ya Mungu Sio lazima ije kwà viongozii wa Dini tuu

  • @MELKIADIMWANGOMO-ed5bg
    @MELKIADIMWANGOMO-ed5bg Жыл бұрын

    So poa ngoma kal

  • @pepynomfugale9311
    @pepynomfugale9311 Жыл бұрын

    Kiukweli toka mr president, zimbabwe, mathematics, , nk Roma mkali sana

  • @mudywaya328
    @mudywaya328 Жыл бұрын

    Ney ndomsemaji

  • @georgebidance1399
    @georgebidance1399 Жыл бұрын

    Wote na wakubali. Lakini NEY yuko nyumbani

  • @BashirYusufu-yr1or
    @BashirYusufu-yr1or Жыл бұрын

    Roma umeuaa achieve ngoma nyingine Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana

  • @mansooral-sagafy4702
    @mansooral-sagafy4702 Жыл бұрын

    sasa nay anamsemea nani??/ Muache roma aitwe roma uyo ndo msemaji wetu

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 Жыл бұрын

    Roma wewe ni mzalendo wa kweli

  • @saliathnassoro9864
    @saliathnassoro9864 Жыл бұрын

    Wote wanaweza bhana

  • @kubwalaodancers
    @kubwalaodancers Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @omarynguli5910
    @omarynguli5910 Жыл бұрын

    Movie ndiyo kila kitu

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 Жыл бұрын

    Both Roma na neywamitego

  • @ibnimasoud8228
    @ibnimasoud8228 Жыл бұрын

    Mmmmmmm nimependa saana

  • @swazi-bmzwabusarawysd8083
    @swazi-bmzwabusarawysd8083 Жыл бұрын

    Big up bro Roma tupo apa 15 years natamani kurudi ila familia mzee baba na mambo ya miko....umenielewa

  • @OctavebtzOctaveoctave-zd2ez
    @OctavebtzOctaveoctave-zd2ez Жыл бұрын

    Woote respect kwao

  • @amosicharles4499
    @amosicharles4499 Жыл бұрын

    Wote mungu awalnde🙏

  • @Secondborn_
    @Secondborn_ Жыл бұрын

    Huyu boya atakuwa anasoma huko

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Жыл бұрын

    Ney yuko vizuri kwa sababu sio muoga na ajakimbia

  • @msunguebasto4370
    @msunguebasto4370 Жыл бұрын

    me nampa ney roma sio mwanamuzk

  • @mgishaavith639
    @mgishaavith639 Жыл бұрын

    🤝🏿

  • @halima2286
    @halima2286 Жыл бұрын

    ❤❤❤❤

  • @user-hh8pm3ky9j
    @user-hh8pm3ky9j Жыл бұрын

    Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa

  • @LekumoLukumay-sb2ys
    @LekumoLukumay-sb2ys Жыл бұрын

    Roma na nay wapo sawa hawaogopi

  • @jumamusa4252
    @jumamusa4252 Жыл бұрын

    Sana kamanda

  • @amoh1629
    @amoh1629 Жыл бұрын

    Wote wako hot 🔥🔥🔥 sana

  • @SefuOmar
    @SefuOmar3 ай бұрын

    Mambo vpRoma

  • @RamadhaniAthuman-kk4gl
    @RamadhaniAthuman-kk4gl Жыл бұрын

    Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao

  • @jumamusa4252
    @jumamusa4252 Жыл бұрын

    sana kamanda

  • @pascojm6816
    @pascojm6816 Жыл бұрын

    Roma mnyama

  • @everlynenyanganyi5598
    @everlynenyanganyi5598 Жыл бұрын

    Roma mkatoliki ni king

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Жыл бұрын

    Roma ni zaidi rapper bongo,hata angekuwa anafanya mziki marekeni bado angeonekana uwezo wake

  • @favouroriginal4120
    @favouroriginal4120 Жыл бұрын

    Haswa akipewa nchi roma anaweza kuiongoza

  • @RamadhaniAthuman-kk4gl
    @RamadhaniAthuman-kk4gl Жыл бұрын

    Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze

  • @wingstarmsanii9862
    @wingstarmsanii9862Ай бұрын

    Wote wakali for sure😢😢😢😢😢

  • @christophaelia7174
    @christophaelia7174 Жыл бұрын

    Roma yuko juu zaid

  • @hashimmauzo4776
    @hashimmauzo4776 Жыл бұрын

    Wote hawafai mmoja ana kisese

  • @Baddlah2011
    @Baddlah2011 Жыл бұрын

    Roma

  • @patrickrobert1614
    @patrickrobert1614 Жыл бұрын

    Wote hao ni maginius

  • @wasilajonas8395
    @wasilajonas8395 Жыл бұрын

    Wewe roma hatari

  • @salehekisome4776
    @salehekisome4776 Жыл бұрын

    ROMA

  • @barakajoseph2234
    @barakajoseph2234 Жыл бұрын

    Ney ni msemaji jasiri haogopi chochote but wote ni wasemaji tosha

  • @simontamba2189
    @simontamba2189 Жыл бұрын

    Wote

  • @user-ne2dr1lv1j
    @user-ne2dr1lv1j Жыл бұрын

    Saruti kwa roma mkatoriki

  • @ObadiaMdemu-uh7yg
    @ObadiaMdemu-uh7yg Жыл бұрын

    Lama mwamba

  • @johnsonmarick45
    @johnsonmarick45 Жыл бұрын

    🤣🤣😅😁 Be blessed #VIVAROMA

  • @AllyRashidi-ps9ng
    @AllyRashidi-ps9ng Жыл бұрын

    Wote wasemaji ,ila roma yuko juu

  • @mgayamgaya1673
    @mgayamgaya1673 Жыл бұрын

    Mwenye NYUMBA kasharudi

  • @marshymohdy392
    @marshymohdy392 Жыл бұрын

    Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili

  • @roncarlaulenti5900
    @roncarlaulenti5900 Жыл бұрын

    Wote wasemaji

  • @user-ou1zv5qr4p
    @user-ou1zv5qr4p6 ай бұрын

    Vp

  • @promptnews9095
    @promptnews909511 ай бұрын

    Wote wako sawia, na wanaheshiamanea, sidhani kuna haja ya kubainisha yupi bora

  • @wazirighambade8119
    @wazirighambade8119 Жыл бұрын

    Namkubali lkn ney shujaa kabaki nyumban anawasemea

  • @davidihaonga1244

    @davidihaonga1244

    Жыл бұрын

    Ney mjanj mwish anasifiaga

  • @HamisiLilo-ov8sr
    @HamisiLilo-ov8sr Жыл бұрын

    Ote pw

  • @magneticofficialtz
    @magneticofficialtz Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/kWd70K6Og6rAh6Q.html Duh roma ashapata kademu kakizungu

  • @hamzajafari4133
    @hamzajafari4133 Жыл бұрын

    Roma unajifanya ujui, ila mastor ya ukwel nimeinjoi show

  • @saimonmizingo7485
    @saimonmizingo7485 Жыл бұрын

    Jitoe mwamba tuone ukatili wa uongozi wetu namanisha rudi nyumbani tuone wanakufanya nini tena

  • @dannyfundi9982
    @dannyfundi9982 Жыл бұрын

    Roma siyo muoga Kama ney miwawili tu ndyo ninachofikiri

  • @tanzmaica
    @tanzmaica Жыл бұрын

    Roma ni mkalii ila ney ni strong

  • @fredyfrank2756
    @fredyfrank2756 Жыл бұрын

    Wote ni wasemaje lkn Roma ni Zaid

  • @emmanueldaud8371
    @emmanueldaud8371 Жыл бұрын

    Me naamini wote ni wakali wanatusemeaa

  • @saidbakari2408
    @saidbakari2408 Жыл бұрын

    Et Roma umeua thana

  • @romeneyromeney1852
    @romeneyromeney1852 Жыл бұрын

    Ok

  • @lilchampion1960
    @lilchampion1960 Жыл бұрын

    Nay n mkali Kwan Roma ako na ngoma gap za kutetea wanainchi

  • @iddykidito6441

    @iddykidito6441

    Жыл бұрын

    Roma ana ngoma nyingi za utetezi kuliko ney mfatilie

  • @lilchampion1960

    @lilchampion1960

    Жыл бұрын

    @@iddykidito6441 haaahaaaha umesahau nay time aliachia walisema

  • @AmanRamadhan-kg9ts
    @AmanRamadhan-kg9ts Жыл бұрын

    Mwamba hafanani nayoyote

  • @mpinaskid9316
    @mpinaskid9316 Жыл бұрын

    Naomben kujua nauli ya kwend marekan😀😀

  • @stivenjiduki6606

    @stivenjiduki6606

    Жыл бұрын

    Hahaaaa

  • @williammollel89

    @williammollel89

    Жыл бұрын

    Buku

  • @rabiahamadi5866
    @rabiahamadi5866 Жыл бұрын

    Mkimbizi huyo

  • @gilmangeorge366

    @gilmangeorge366

    Жыл бұрын

    Mkimbizi mama yako aliyekimbia aliyezaa nae akaenda kwa baba yako alee mimba

  • @walterngowi5835

    @walterngowi5835

    Жыл бұрын

    Mpuuz wewe wivu tu ndio unakusumbua 😎😎

  • @martinemaganga5253

    @martinemaganga5253

    Жыл бұрын

    Jamaa anasoma masters ndugu

  • @fredyndunguru5448

    @fredyndunguru5448

    Жыл бұрын

    ​@@gilmangeorge366hhahah nakubalii

  • @frenkamosi-sz1gr
    @frenkamosi-sz1gr Жыл бұрын

    lbra umeuwa 😂😂😂

  • @lemonadesoldier1377
    @lemonadesoldier1377 Жыл бұрын

    Roma ni mkali Ney akajambe Kwanza

  • @emmanueldaud8371

    @emmanueldaud8371

    Жыл бұрын

    Xemaa wote ni wakali usipendelee bro

  • @africanpioner4090

    @africanpioner4090

    Жыл бұрын

    @@emmanueldaud8371 hawezi kukaa meza moja ubora wa flow na mistari ya ROMA huyo NAY hagusi namkubaki ila ROMA MZIKI MWINGINE KAKA

  • @brightonshoo6312

    @brightonshoo6312

    Жыл бұрын

    Hujitambui wewee ,, utakua unalinganisha mbaka macho yako wewee

  • @dizzonofficial2600
    @dizzonofficial2600 Жыл бұрын

    Ngoma naogopa kupiga redion tcra wasinifate vp clouds mshapiga na mm nilizeee 😂😂

Келесі