Roma Mkatoliki Amejibu Kuhusu Kushindanishwa na NAY kwenye Kuusemema Mtaa ,kumbe Kiroho safi tu
Жүктеу.....
Пікірлер: 128
@stephanomoses7694 Жыл бұрын
Roma yupo juu sana. Ney ananiboa pale anapozidisha mbwembwe hadi kumkufuru mungu
@Princewaweru Жыл бұрын
Wote wana sina tatzo nao respect Ney respect Roma ❤ aman kwao watu hawa
@saumuabdallah198 Жыл бұрын
nampenda uyu kaka jmn...❤❤❤ i wixh km vile arudi ila naogopa mafiraun we2 wa bongo...😔😔💔💔💔
@hkmeme5437 Жыл бұрын
Roma ni rapper mkali kuliko ney wa mitengo
@rashidkihunga2938 Жыл бұрын
wote nawakubali sana.watetezi wa jami na vizazi vijavyo
@Worldunite Жыл бұрын
Roma na Ney wote wako poa, ni sauti ya wananchi
@jacilygabriely6840 Жыл бұрын
Acheni masihara ROMA anatisha NEY haoni ndani. Roma 🔥🔥🔥🔥🔥
@Aboodjan4- Жыл бұрын
Mnachanganya bhana. Hapo kuna msemaji wa rai na msemaji wa masela 😂😂😂
@strangerskenya254 Жыл бұрын
Salute Roma
@moramtanga-dar7372 Жыл бұрын
Ahhhaa roma your ze one hkuna kma roma bongo ap
@johanesgeorge1958 Жыл бұрын
Noma sanaa
@kelvinnzuki8948 Жыл бұрын
Roma akirudi bongo atagombea urais😅😅
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Ney mnamkubali Sana siyo muoga ira kwautunzi na isia baba ivani au Roma mwamba kuliko Ney
@favouroriginal4120 Жыл бұрын
Roma rapper mkubwa sana, ney, stamina pia nawakuubali sana
@issackchalahani1235 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Akulinde sana na wale wana wa ibilisi shetani wanaotaka kukuangamiza Roma Mkatoliki.
@Mery-st4nu Жыл бұрын
Roma big up yupo very nicely tatizo la nay nyimbo nyingi matusi
@stanleykariuki3691 Жыл бұрын
Roma mzee wa kazi man
@stivenjiduki6606 Жыл бұрын
Hahaaa ney,roma ukichanganya na stamina unapata wasemaji wazuri san 😁😁
@floriannkwita4672 Жыл бұрын
Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika
@anosiata8242 Жыл бұрын
Ngoma nimeipenda. ila roma njoo uone watoto . Kitambo sana
@akramibrahimu3500
Жыл бұрын
Uwa wanaendaa kuniona nakurudii tz ipo siku atawahamisha wotee ashapta uraia
@user-wn6ow3cs9w Жыл бұрын
Mungu akusimamie roma
@veronicasammueliryoba51782 ай бұрын
Roma bigup
@mweroruwa6339 Жыл бұрын
Roma noma wallai
@xadygenious414 Жыл бұрын
Best recognize others 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. @roma
@sautiyanoti5242 Жыл бұрын
Nakubali
@millermlowe8156 Жыл бұрын
Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee
@lemonadesoldier1377
Жыл бұрын
Roma mkali Ney akajambe tu
@millermlowe8156
Жыл бұрын
@@lemonadesoldier1377 hahahah
@babudingi-gd7pz Жыл бұрын
Viva roma namku bari
@dannyfundi9982 Жыл бұрын
Nataman Sana nchi hii watu wanchi hii tubadirike Sana mashanging wa ccm waishe wataishaje ukweli hatusem jmn jmn nimependa Sana huu wimbo
@JemsiSakala-ws8eg Жыл бұрын
Good 💪🙏
@ezekielloylepayon5042 Жыл бұрын
Roma ndio msemaji mkuu wa wananchi ila nay yeye anamkufuru mpka Mungu
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Exactly
@leonardmartine662 Жыл бұрын
Nice
@simontamba2189 Жыл бұрын
Sauti ya Mungu Sio lazima ije kwà viongozii wa Dini tuu
@MELKIADIMWANGOMO-ed5bg Жыл бұрын
So poa ngoma kal
@pepynomfugale9311 Жыл бұрын
Kiukweli toka mr president, zimbabwe, mathematics, , nk Roma mkali sana
@mudywaya328 Жыл бұрын
Ney ndomsemaji
@georgebidance1399 Жыл бұрын
Wote na wakubali. Lakini NEY yuko nyumbani
@BashirYusufu-yr1or Жыл бұрын
Roma umeuaa achieve ngoma nyingine Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana
@mansooral-sagafy4702 Жыл бұрын
sasa nay anamsemea nani??/ Muache roma aitwe roma uyo ndo msemaji wetu
@lucymtuka3199 Жыл бұрын
Roma wewe ni mzalendo wa kweli
@saliathnassoro9864 Жыл бұрын
Wote wanaweza bhana
@kubwalaodancers Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@omarynguli5910 Жыл бұрын
Movie ndiyo kila kitu
@patriciatumain172 Жыл бұрын
Both Roma na neywamitego
@ibnimasoud8228 Жыл бұрын
Mmmmmmm nimependa saana
@swazi-bmzwabusarawysd8083 Жыл бұрын
Big up bro Roma tupo apa 15 years natamani kurudi ila familia mzee baba na mambo ya miko....umenielewa
@OctavebtzOctaveoctave-zd2ez Жыл бұрын
Woote respect kwao
@amosicharles4499 Жыл бұрын
Wote mungu awalnde🙏
@Secondborn_ Жыл бұрын
Huyu boya atakuwa anasoma huko
@alphoncewilliam4325 Жыл бұрын
Ney yuko vizuri kwa sababu sio muoga na ajakimbia
@msunguebasto4370 Жыл бұрын
me nampa ney roma sio mwanamuzk
@mgishaavith639 Жыл бұрын
🤝🏿
@halima2286 Жыл бұрын
❤❤❤❤
@user-hh8pm3ky9j Жыл бұрын
Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa
@LekumoLukumay-sb2ys Жыл бұрын
Roma na nay wapo sawa hawaogopi
@jumamusa4252 Жыл бұрын
Sana kamanda
@amoh1629 Жыл бұрын
Wote wako hot 🔥🔥🔥 sana
@SefuOmar3 ай бұрын
Mambo vpRoma
@RamadhaniAthuman-kk4gl Жыл бұрын
Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao
@jumamusa4252 Жыл бұрын
sana kamanda
@pascojm6816 Жыл бұрын
Roma mnyama
@everlynenyanganyi5598 Жыл бұрын
Roma mkatoliki ni king
@bonifaceferdinand566 Жыл бұрын
Roma ni zaidi rapper bongo,hata angekuwa anafanya mziki marekeni bado angeonekana uwezo wake
@favouroriginal4120 Жыл бұрын
Haswa akipewa nchi roma anaweza kuiongoza
@RamadhaniAthuman-kk4gl Жыл бұрын
Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze
@wingstarmsanii9862Ай бұрын
Wote wakali for sure😢😢😢😢😢
@christophaelia7174 Жыл бұрын
Roma yuko juu zaid
@hashimmauzo4776 Жыл бұрын
Wote hawafai mmoja ana kisese
@Baddlah2011 Жыл бұрын
Roma
@patrickrobert1614 Жыл бұрын
Wote hao ni maginius
@wasilajonas8395 Жыл бұрын
Wewe roma hatari
@salehekisome4776 Жыл бұрын
ROMA
@barakajoseph2234 Жыл бұрын
Ney ni msemaji jasiri haogopi chochote but wote ni wasemaji tosha
@simontamba2189 Жыл бұрын
Wote
@user-ne2dr1lv1j Жыл бұрын
Saruti kwa roma mkatoriki
@ObadiaMdemu-uh7yg Жыл бұрын
Lama mwamba
@johnsonmarick45 Жыл бұрын
🤣🤣😅😁 Be blessed #VIVAROMA
@AllyRashidi-ps9ng Жыл бұрын
Wote wasemaji ,ila roma yuko juu
@mgayamgaya1673 Жыл бұрын
Mwenye NYUMBA kasharudi
@marshymohdy392 Жыл бұрын
Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili
@roncarlaulenti5900 Жыл бұрын
Wote wasemaji
@user-ou1zv5qr4p6 ай бұрын
Vp
@promptnews909511 ай бұрын
Wote wako sawia, na wanaheshiamanea, sidhani kuna haja ya kubainisha yupi bora
Пікірлер: 128
Roma yupo juu sana. Ney ananiboa pale anapozidisha mbwembwe hadi kumkufuru mungu
Wote wana sina tatzo nao respect Ney respect Roma ❤ aman kwao watu hawa
nampenda uyu kaka jmn...❤❤❤ i wixh km vile arudi ila naogopa mafiraun we2 wa bongo...😔😔💔💔💔
Roma ni rapper mkali kuliko ney wa mitengo
wote nawakubali sana.watetezi wa jami na vizazi vijavyo
Roma na Ney wote wako poa, ni sauti ya wananchi
Acheni masihara ROMA anatisha NEY haoni ndani. Roma 🔥🔥🔥🔥🔥
Mnachanganya bhana. Hapo kuna msemaji wa rai na msemaji wa masela 😂😂😂
Salute Roma
Ahhhaa roma your ze one hkuna kma roma bongo ap
Noma sanaa
Roma akirudi bongo atagombea urais😅😅
Ney mnamkubali Sana siyo muoga ira kwautunzi na isia baba ivani au Roma mwamba kuliko Ney
Roma rapper mkubwa sana, ney, stamina pia nawakuubali sana
Mwenyezi Mungu Akulinde sana na wale wana wa ibilisi shetani wanaotaka kukuangamiza Roma Mkatoliki.
Roma big up yupo very nicely tatizo la nay nyimbo nyingi matusi
Roma mzee wa kazi man
Hahaaa ney,roma ukichanganya na stamina unapata wasemaji wazuri san 😁😁
Kitu msicho jua Mdogo wangu Roma mkatoliki ni mbunge wa wanainchi wote watanzania ndie msemaji wetu kuliko wabunge wasifiaji tu ,ndani ya bunge na mawaziri wanaotetea nakutuambia tuhame inchini Burundi,wakati wait wanajiandaa na kampeni kuliko kuwatetea wanainchi huku wakimsingizia mama yetu mpendwa ,Roma ujumbe umefika
Ngoma nimeipenda. ila roma njoo uone watoto . Kitambo sana
@akramibrahimu3500
Жыл бұрын
Uwa wanaendaa kuniona nakurudii tz ipo siku atawahamisha wotee ashapta uraia
Mungu akusimamie roma
Roma bigup
Roma noma wallai
Best recognize others 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏. @roma
Nakubali
Wote wasemaji Nyinyi mnao sema ney msemaji kwakua yupo Tz na Roma yupo nje shida ni Nani mwenye maneno makali Yan kwenye usemaji yupi ana fafanua na yupi ana semea mafumbo ndo shida ilipo kufafa nua sio mchezo ndomana hayupo tz sio lahisi kama mnavo zani { lakin only the best hao wote NI wamba na ni watetezi wa wanyonge big up mazee
@lemonadesoldier1377
Жыл бұрын
Roma mkali Ney akajambe tu
@millermlowe8156
Жыл бұрын
@@lemonadesoldier1377 hahahah
Viva roma namku bari
Nataman Sana nchi hii watu wanchi hii tubadirike Sana mashanging wa ccm waishe wataishaje ukweli hatusem jmn jmn nimependa Sana huu wimbo
Good 💪🙏
Roma ndio msemaji mkuu wa wananchi ila nay yeye anamkufuru mpka Mungu
@stephanomoses7694
Жыл бұрын
Exactly
Nice
Sauti ya Mungu Sio lazima ije kwà viongozii wa Dini tuu
So poa ngoma kal
Kiukweli toka mr president, zimbabwe, mathematics, , nk Roma mkali sana
Ney ndomsemaji
Wote na wakubali. Lakini NEY yuko nyumbani
Roma umeuaa achieve ngoma nyingine Polisi Wana taka madereva wakasome wakati wao wanaendesha magari namaste hawajasoma achieve vyombo tunakuhitaji sana
sasa nay anamsemea nani??/ Muache roma aitwe roma uyo ndo msemaji wetu
Roma wewe ni mzalendo wa kweli
Wote wanaweza bhana
🔥🔥🔥🔥🔥
Movie ndiyo kila kitu
Both Roma na neywamitego
Mmmmmmm nimependa saana
Big up bro Roma tupo apa 15 years natamani kurudi ila familia mzee baba na mambo ya miko....umenielewa
Woote respect kwao
Wote mungu awalnde🙏
Huyu boya atakuwa anasoma huko
Ney yuko vizuri kwa sababu sio muoga na ajakimbia
me nampa ney roma sio mwanamuzk
🤝🏿
❤❤❤❤
Jamani nchi yetu Ni Uhuru acheni watu waikosoe serikali ili wakumbuke wajibu wao ko serikali ikubaliane na Hilo isichukie maana vijana ndo taifa wanazungumza ili kuliweka taifa sawa
Roma na nay wapo sawa hawaogopi
Sana kamanda
Wote wako hot 🔥🔥🔥 sana
Mambo vpRoma
Roma ndio mtu ya tozo aliyasema leo unayaona ni mtu mwenye maono kama babu magu tumpende loma anatufumbua ujinga wetu sisi watanzania hata spika wa bunge ndugai kaona mbali wasiowapenda hao sisi wananchi tuwapende ndio bola hao wanaochukiwa 'na wenzao
sana kamanda
Roma mnyama
Roma mkatoliki ni king
Roma ni zaidi rapper bongo,hata angekuwa anafanya mziki marekeni bado angeonekana uwezo wake
Haswa akipewa nchi roma anaweza kuiongoza
Maisha wanayoishi hawakumbuki wanyonge mwigulu kuna kauli aliisema juu ya tozo hivi kama ni binadamu unaweza kusema hivyo je ukipewa ulaisi si utatunyonga kuweni na fikra sisi nchi ni yetu wewe mwigulu uchunguze
Wote wakali for sure😢😢😢😢😢
Roma yuko juu zaid
Wote hawafai mmoja ana kisese
Roma
Wote hao ni maginius
Wewe roma hatari
ROMA
Ney ni msemaji jasiri haogopi chochote but wote ni wasemaji tosha
Wote
Saruti kwa roma mkatoriki
Lama mwamba
🤣🤣😅😁 Be blessed #VIVAROMA
Wote wasemaji ,ila roma yuko juu
Mwenye NYUMBA kasharudi
Hiyo Tamthilia zaidi ya Isidingo mpaka apatikane mpampambanaji na tufike kwenye ukweli na Nchi yetu home boy Kaliua so poa dude lile 😅😂simwengine Don_nikiwa Kaburu Pande za Cape Town nikiwa km mpambnaji na sio mzamiaji ila kuishi km mwenyeji ni lazima akili mingi mbongo hajawai shindwa popote Duniani ukikuta ka give up muangalieni upande wa pili
Wote wasemaji
Vp
Wote wako sawia, na wanaheshiamanea, sidhani kuna haja ya kubainisha yupi bora
Namkubali lkn ney shujaa kabaki nyumban anawasemea
@davidihaonga1244
Жыл бұрын
Ney mjanj mwish anasifiaga
Ote pw
kzread.info/dash/bejne/kWd70K6Og6rAh6Q.html Duh roma ashapata kademu kakizungu
Roma unajifanya ujui, ila mastor ya ukwel nimeinjoi show
Jitoe mwamba tuone ukatili wa uongozi wetu namanisha rudi nyumbani tuone wanakufanya nini tena
Roma siyo muoga Kama ney miwawili tu ndyo ninachofikiri
Roma ni mkalii ila ney ni strong
Wote ni wasemaje lkn Roma ni Zaid
Me naamini wote ni wakali wanatusemeaa
Et Roma umeua thana
Ok
Nay n mkali Kwan Roma ako na ngoma gap za kutetea wanainchi
@iddykidito6441
Жыл бұрын
Roma ana ngoma nyingi za utetezi kuliko ney mfatilie
@lilchampion1960
Жыл бұрын
@@iddykidito6441 haaahaaaha umesahau nay time aliachia walisema
Mwamba hafanani nayoyote
Naomben kujua nauli ya kwend marekan😀😀
@stivenjiduki6606
Жыл бұрын
Hahaaaa
@williammollel89
Жыл бұрын
Buku
Mkimbizi huyo
@gilmangeorge366
Жыл бұрын
Mkimbizi mama yako aliyekimbia aliyezaa nae akaenda kwa baba yako alee mimba
@walterngowi5835
Жыл бұрын
Mpuuz wewe wivu tu ndio unakusumbua 😎😎
@martinemaganga5253
Жыл бұрын
Jamaa anasoma masters ndugu
@fredyndunguru5448
Жыл бұрын
@@gilmangeorge366hhahah nakubalii
lbra umeuwa 😂😂😂
Roma ni mkali Ney akajambe Kwanza
@emmanueldaud8371
Жыл бұрын
Xemaa wote ni wakali usipendelee bro
@africanpioner4090
Жыл бұрын
@@emmanueldaud8371 hawezi kukaa meza moja ubora wa flow na mistari ya ROMA huyo NAY hagusi namkubaki ila ROMA MZIKI MWINGINE KAKA
@brightonshoo6312
Жыл бұрын
Hujitambui wewee ,, utakua unalinganisha mbaka macho yako wewee
Ngoma naogopa kupiga redion tcra wasinifate vp clouds mshapiga na mm nilizeee 😂😂