MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 09
Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makala #maelezo #dupamdupange
Пікірлер: 34
No 1
Niko italy ndiyo natazama mkuu kwa 7bu na kufuatilia sana2 vipindi vyako 2ko pa1 dupa mungu abariki kazi ya mikono yako
Man unazingua story moja mwaka mzima😅😅 jitahidi utumie ubunifu kama wenzio jamal na sky
@mtzhalisi2232
8 күн бұрын
Ushauri mzuri Sana.. Brief history inakuwa poa sana
@user-sz5bj3mw7n
8 күн бұрын
Hana story ya kumalizaa huyu kila siku story mojaaa😅
@markmushi8940
8 күн бұрын
Acha zako aumlipi k2.anajitahidi kuelimisha.
@mtzhalisi2232
8 күн бұрын
@@markmushi8940 hakunaga free bundle!!! Ametoa ushauri tu
@jexpew3654
Күн бұрын
Wao wanasimulia story nasio kufanya uchambuzi wa kina. Na kwenye masuala kama haya huwezi ukafupisha kwa dkk 5 kwasababu ya utata wake kuna kuwa na nadharia nyingi. Ko single story haiwezi kukidhi uchambuzi wa utata.
Mm siangalii tena nisubr amalize story yote sku nikiingia kutzama nikama nabadilisha ep zakikorea😂😂
Mwamba jitahidi kuongeza siku wiki mbali mzee
#MI NI DUPA MDUPANGE
Stor gan mwaka mzima mnaboa
Hiyo ni ISIDINGO the need😂😂
Nimechelewa kidogo kiasi ya 45mints. Kwa sasa tuko pamoja mwanangu @dupamdupange #therealmaster
@dupamdupange5918
8 күн бұрын
Nakubali mastaa
Ukija bila guard nagawa wastan kwa ______?
Kaka endelea kuchimbua hiv hivo.Hawa wengn wanakuwaga wanatoa summary tu
Wempumbavu km waona huelew kwanini uangalie tokaaaaaaa stor ni ndefundio maana tunaend taratib
Hiyo imekuwa biashara za watu watu wa magharibi c ndio zao kila kitu biashara wanajua ndege hiyo imeanguka tayari sema ndio hivyo 😂😂😂
😂😂😂watoto wamerudi shule bado tunaendelea
Mzee unazngua Alot of word's 😶🌫️😶🌫️
Nielekezeni jinsi ya ku block channel kama hiii story toka Dec 1977 mpka Leo una simulia tu
Bro yani mwisho utatupa kipindi cha dakika 5
Maliza tu leo leo tumejoka
Imagine iyo story mtu anatizama anaona haishi mpaka anaamuwa kutafuta muendelezo kwa wachambuzi wengine 😅😅
@mwanetu
8 күн бұрын
Ukiona anavachambua ni halali kabisa kuchukua muda mrefu
@dicksonalfred9483
7 күн бұрын
Anaongea taratbu na anarudia maneno yale yale
Yaani unaharibu sana, kila siku unaludia mambo yaleyale, nitaunsubscribe, story iishe bana, Kuna mambo mengi ya kusimulia.
@user-dg7wf6fg2j
8 күн бұрын
Kama story inakuboa usifwatilie kuliko kumwambia anaboa unawamvunja moyo tafuta
Mpk story imeisha leo sijajua umechambua nin
@Japanese-lz1or
8 күн бұрын
Basi ww ulikuwa hufatili SS tuliofatilia nukta kwa nukta tumelewa alicho chambu 😂😂😂
@abubakariali9848
8 күн бұрын
@@Japanese-lz1or Maelezo ya kipindi kilichopita na leo hakuna kilichoongezeka
Alafu kwenye narration yako unaenda off point sana na ndio maana tunachukua mwaka mzima aaah