No video

MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 10

Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#makala #malaysia #dupamdupange

Пікірлер: 25

  • @user-bq8rv7jm8v
    @user-bq8rv7jm8vАй бұрын

    Première commentaire naomba liké zakutosha jamani kama tunamukubali uyu mwamba✌️✌️✌️ Dev ESINATI 🇨🇩🇧🇮 KAHILU

  • @omarkhelaifi5888

    @omarkhelaifi5888

    27 күн бұрын

    Nakubali🇧🇮🇧🇮

  • @user-pi3ge3yu5t
    @user-pi3ge3yu5tАй бұрын

    Kaka uko vzr san ktk uchambuz wahii stor maan weng wamesimulia hii stor ila hawakuchambua kam ww pia wale wot ambao hawaelew hii stor usikoment ujing wew kaush t maan hii stor haikuhus ww kaka piga kaz tunakufatilia san god bless you

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga933822 күн бұрын

    Safii sana christian south africa 🇿🇦

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206Ай бұрын

    Uko vizuri Dupa unaenda kisomi sana nakukubali

  • @josephmwirigi7718
    @josephmwirigi7718Ай бұрын

    Kazi isonge kaka

  • @jumas3939
    @jumas3939Ай бұрын

    Ndugu yangu kbsa dupa.Unapiga vizuri sana hii kazi

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2jАй бұрын

    Dupa usichoke unasikia kama hujachoka gonga like zinawasaidia nini 😢

  • @ShanceBose
    @ShanceBoseАй бұрын

    Powa

  • @marrypius576
    @marrypius576Ай бұрын

    Ongera san naielewa sana hii story

  • @markmushi8940
    @markmushi8940Ай бұрын

    Niko italy nakufuatilia sana story ya hii ndege unajua sana kuadithia

  • @JosephGeorge-s1w
    @JosephGeorge-s1wАй бұрын

    Hiyo ndo mbaya iyooo..🎉🎉🎉🎉

  • @MairaAlly
    @MairaAllyАй бұрын

    Hadi mwisho

  • @mtupeacetz2589
    @mtupeacetz2589Ай бұрын

    😅😅😅KAMA UMEWAELEWA MASHUHUDA PIGA LIKE HAPAA😅😅😅😅😅

  • @FILBERTYONAMAILA
    @FILBERTYONAMAILAАй бұрын

    sasa dupa umeshindwa kutafsiri sehem ya ushuhuda na story yako haiiishi tu

  • @mtupeacetz2589
    @mtupeacetz2589Ай бұрын

    KAMA UJACHOKA KUFATILIA HII SIMULIZI GONGA LIKE HAPA.😊😊😊😊😊😊

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6uАй бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xkАй бұрын

    Hiyo ndege hayo mabaki ndio yake sema manyang'au wanakataa kwa sababu kutafuta c pesa nyingi wanapata hivyo serikali ya Malaysia akili zao zimelala wataliwa sana pesa

  • @ErickMkasas
    @ErickMkasasАй бұрын

    Bro Dupa naomb kuuliza kama ndo mabki ya ndege kwann mait za wale abiria azikuwai kuonekana...? Ili wapime DNA.

  • @user-uo6dy9qx2p
    @user-uo6dy9qx2pАй бұрын

    Malizia 😢kilasiku tunaruka tume😂

  • @LugyPlan

    @LugyPlan

    22 күн бұрын

    Sema ume sio tume

  • @paramaa5839
    @paramaa5839Ай бұрын

    Mm sahv siangalii mpaka umalize hii story sku nikirud xx nikubadilisha tu kama ep zakikorea😫😫☹️☹️😡😡😤😤Why Why whyyyyyyyyyyyy iiiii Between my sm u re passing through I hate uu uu uuuuuuuuuuuu!! 😋😏nyau kabsa, bora kula dagaa kwenye aman kuliko__________

  • @elmiaxmed6870
    @elmiaxmed6870Ай бұрын

    Huna lolote kuvuta stry ili upate views 2 unashindwa kumaliza stry bure kbsa

  • @mwanetu
    @mwanetuАй бұрын

    🦾

Келесі