MAKOMANDO WA "URUSI" WANAVYOFANYA MAUAJI: KIKOSI CHA SIRI/ KINATISHA, (SO2E04-PART 01)
#Urusi #Ukraine #Dupamdupange
Nitaarifa zenye kuelezea aina ya vikosi maaalumu vya makomandoo ndani ya jeshi la nchi ya URUSI na mgawanyo wa majukumu yao katika misingi ya kijeshi......
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 75
Naipenda urusi Allah sw awafanye kuwa na nguvu zaidi na itawale dunia
Habari ndg zangu uko vizuri
Hongereni sana kaka kwakutujuzaa mengi tusiyoyajua
Asante 🇧🇮 Burundi
HAKIKA DUPA MDUPANGE HEKO NA HONGERA MIMI MR LAWI NG"AKALA NINAKUAMINIA SANA MWANANGU NA KUKUBARI SANA TU.
Goo
Good 👍
Jamaa anatuingiza chaka😄😄
broo unajua sana ila bado kwenye kusimulia
Sawa captain Wa Urusi
Leo umepatikana,kiherehere chore kwisha
Hiyo Alfa grup nimekisikia Sana sio mchezo...
Naona kweli upo Safarini ktk jiji la Moscow na bajaji kama zote
He🙆🙆🙆 Kama anasimulia wanyama vile anavyojiamini
Urusi hakuna kitu, wanashindwa na Ukraine,mafala tu
Napenda kuuliza ni kwanini nchi za africa zilizotawaliwa na Ufarasa zina vurugu za ndani kwa ndani mpaka leo awataki kuziacha huru naona ndio chanzo cha vurugu africa watuache tujisimamie wenyewe.
Mimi naitwa Jean apongo napenda saha chanel hui asate
ok nkwlw sn❤
toa maelezo yanayoeleweka bro
Yaaani ingekuwa VITA VYA KAGERA tunalitanguliza mbele halafu tunalitungua likasimulie ujinga wake mbele za ha...........! Simaliziiii mie limeshanikela sana.
Hujui chochote na huna mpangilio kwenda
@abdallahmmary8591
2 ай бұрын
Leta yako unayoyajua wenda takajua kuwa weew ni mjuzi
Babu.huwe Unatoatoa tarifa za ao makomando wa huruc
Mwanangu hapo ni ulus kweli hapo ni Tandale kwa tumbo
Kwani aliyeomba kibari cha kuiangamiza Ukraine hajapewa kibari
NI KWELI KABISA URUSI IPO DAMUNI MWANGU NAIPENDA SANA URUSI VIVA VIVA VIVA PUTIN
Wote makafiri awana lolote swifa ya duniyatupu
@bakarikayugwa3295
Жыл бұрын
Kafili was Kwanza ni wewe
@user-ix4fv2nj2v
Жыл бұрын
Weye nan kama sio kafiri
Mie atasikuelewi
Oya mbn kama naiona kinondoni Morocco
Salary
Putin..kweli..ni..noma..na..afai..na..jeshi..lake..lipo..ngangangaa..yani..alifai.. Putin..kwakweli..kalitengeneza..Jeshi..lake..?
Bado nafikiria mara mbili mbili kumruhusu mwanangu kusomea uandishi wa habari..
@kadogoomushadi5409
2 жыл бұрын
Usimpeleka akajakuwa muongo buree kama hawa wanao payuka payuka mtoto akajapata dhambi yaburee msomeshe kitu kizuri utapata sawabu
Natafuta dereva atanifaa mshahara laki na nusu mwambie
Uko Dar, acha kutudanganya kuwa uko Urusi HUNA MVUTO
@allynazareth4988
2 жыл бұрын
Hivyo ni vionjo tu ndugu kunogesha story kama hujui mambo ya mtandao sio lazima ucoment
@sudaissaid8428
2 жыл бұрын
mvuto gani
@kadogoomushadi5409
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Musa bakiri Babu upovizuri
Tomm and Jerry story
Bado usifoci
tukuombee Ufike kweli halafu hizo story zako za pauka pakawa ukazielezee vzr huko huko storm 333
@kadogoomushadi5409
2 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁hatari sana nimwenyezi mungutu. Huyomrusi unamsujudia wewe mimi namwogopa mungu tu
Russia. The Big.
Lakin bado malekan inatisha
@omarymwaluko9765
3 ай бұрын
Marekani mapunga
@kitaaofficial4119
2 ай бұрын
Malekani hamna kitu mzee😂😂
Duh nchinyingine hazimjui mungu poleni sana watanzania mliohuko kikubwa nikumuomba mungu muwesalama, singano kutoka lushoto tanga
@user-ix4fv2nj2v
Жыл бұрын
Sasa nchi ztamjua mungu vp😂
Icho kikosi cha KGB...kilifanya opreshen wapi na ilikuwa lini na ilikuwa ni kwa sababu gani? Ni mafanikio gani walipata na ni changamoto gani walipata? Acha kueleza mambo mazito Bila umakini...sisi sio wahuni. Umenipata?
@kanukanute2722
Жыл бұрын
Icho kikos kilifnya operetion kule mtongani kwa aziz ally,changmoto walikutana n kulkuw n foleni barabaran,
Kama wana vikosi vya makomandoo wakali mbona hawamkamati zelensiky?
@JuliusSenyael-ej6hg
11 ай бұрын
We sio Ivo kwani zelenzk amefanya kisa gn
Ujaona urusi alivyo pigwa huko Ukrani
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
Kweli imepigwa maana jamaa anachukua maeneo tuu.,🤣🤣🤣🤣
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
Mrusi anawatoboa km chicha . Makaburi yameshajaa hk.
@user-eb3hf1lm9e
Ай бұрын
Kapigwa nanan na je unajua huko Ukraine 🇺🇦 urusi ana pigana na nchi ngapi
Hili jamaaaa ni liongo sana utadhani linatfsiri sinema, kwa lugha nyingine linaganaga njaaaaaa tu kwa bundle za watu!!! Linadanganya kinomaaaaa, angekuwepo MAGU alikuwa analifungia channel hili jamaaaa, lakin kipindi cha NAPE ataliachia tu nalo lipate kula.
@mpendwacravery1665
2 жыл бұрын
Kumbe...wee umeliona leo. Lisikie adi sauti, yaani Ili, linawaonaga watanzania wote ni mazwazwa...yaani hili!
@reubenbushiri1753
2 жыл бұрын
Umekuita nani huku
🤣🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇧🇮🇧🇮🇧🇮👍👍👍👍💪💪💪
Wafanye mbwembwe zote ila mmarekani ni kiboko Chao. Viva America
@lirastanley390
2 жыл бұрын
Marekani wavamizi wanailinda demokrasia kwa nguvu zote na ni taifa lenye kila technology na aina ya watu na pia wana utu sana hata wakikuvamia na kukupiga bas hawawezi kutumia sumu hata
@sogoramwinshekhe1464
Жыл бұрын
Wewe na wasenge wenzio safari hii lazima mzae na Putin nyani wee
@zahorsalum4976
Жыл бұрын
Mwambieni aingie uwanjani jamaa anawasubiria. Mwezi 10 huu .mbona hawajichanganyiii.???
@msafirimaulidi5054
Ай бұрын
Mashoga awawez kupigana na malijali kamwe, ndiomana wameingana (NATO) lkn mrusi Bado anawajambisha VIVA URUSI VIVA VRADINIL PUTIN
Sawa budaa
@selemanally6080
2 жыл бұрын
Marekani alipigwa na warusi Syria na huwa hapigani vita kazi yake kubwa ni kuomba askari kupitia jumuiya alioanzisha mfano NATO huko Ukraine marekani askari wake wengi hawako Ukraine na pale Kuna askari wa nchi ambazo ni kibaraka wa marekani.
Wewe pimbi kabisa uko tabata unajua nini wewe
@allynazareth4988
2 жыл бұрын
Watu wanapekua kama hujui kaa kimya tu
@mrjaula7769
2 жыл бұрын
Uko kigoma
@kadogoomushadi5409
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Natafuta dereva atanifaa mshahara laki na nusu mwambie