MAKOMANDO WA "URUSI" WANAVYOFANYA MAUAJI: KIKOSI CHA SIRI/ KINATISHA, (SO2E04-PART 01)

#Urusi #Ukraine #Dupamdupange
Nitaarifa zenye kuelezea aina ya vikosi maaalumu vya makomandoo ndani ya jeshi la nchi ya URUSI na mgawanyo wa majukumu yao katika misingi ya kijeshi......
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24news@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24Tz
⚫️ Facebook: @dar24news
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 75

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85052 ай бұрын

    Naipenda urusi Allah sw awafanye kuwa na nguvu zaidi na itawale dunia

  • @RobertWahiti
    @RobertWahitiАй бұрын

    Habari ndg zangu uko vizuri

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k2 ай бұрын

    Hongereni sana kaka kwakutujuzaa mengi tusiyoyajua

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani7402 жыл бұрын

    Asante 🇧🇮 Burundi

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s2 ай бұрын

    HAKIKA DUPA MDUPANGE HEKO NA HONGERA MIMI MR LAWI NG"AKALA NINAKUAMINIA SANA MWANANGU NA KUKUBARI SANA TU.

  • @hamisimwamed8463
    @hamisimwamed84632 жыл бұрын

    Goo

  • @benjaminibirama6664
    @benjaminibirama66642 ай бұрын

    Good 👍

  • @samsonkibona4332
    @samsonkibona43322 жыл бұрын

    Jamaa anatuingiza chaka😄😄

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde482 жыл бұрын

    broo unajua sana ila bado kwenye kusimulia

  • @adolphpeter6123
    @adolphpeter61232 жыл бұрын

    Sawa captain Wa Urusi

  • @petrojacob3509
    @petrojacob350911 ай бұрын

    Leo umepatikana,kiherehere chore kwisha

  • @festohaule4400
    @festohaule44002 жыл бұрын

    Hiyo Alfa grup nimekisikia Sana sio mchezo...

  • @lirastanley390
    @lirastanley3902 жыл бұрын

    Naona kweli upo Safarini ktk jiji la Moscow na bajaji kama zote

  • @mohamedabdallasaleh1668
    @mohamedabdallasaleh16682 жыл бұрын

    He🙆🙆🙆 Kama anasimulia wanyama vile anavyojiamini

  • @frankchipasura1814
    @frankchipasura1814Ай бұрын

    Urusi hakuna kitu, wanashindwa na Ukraine,mafala tu

  • @BenoBernard-kr1ln
    @BenoBernard-kr1ln10 ай бұрын

    Napenda kuuliza ni kwanini nchi za africa zilizotawaliwa na Ufarasa zina vurugu za ndani kwa ndani mpaka leo awataki kuziacha huru naona ndio chanzo cha vurugu africa watuache tujisimamie wenyewe.

  • @MlemaApongo-eo9tn
    @MlemaApongo-eo9tn Жыл бұрын

    Mimi naitwa Jean apongo napenda saha chanel hui asate

  • @HarunaShabani-hy8mx
    @HarunaShabani-hy8mx Жыл бұрын

    ok nkwlw sn❤

  • @martinesimon4441
    @martinesimon44412 жыл бұрын

    toa maelezo yanayoeleweka bro

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi21952 жыл бұрын

    Yaaani ingekuwa VITA VYA KAGERA tunalitanguliza mbele halafu tunalitungua likasimulie ujinga wake mbele za ha...........! Simaliziiii mie limeshanikela sana.

  • @user-ki6mk5xx5g
    @user-ki6mk5xx5g2 ай бұрын

    Hujui chochote na huna mpangilio kwenda

  • @abdallahmmary8591

    @abdallahmmary8591

    2 ай бұрын

    Leta yako unayoyajua wenda takajua kuwa weew ni mjuzi

  • @s1r1mumohamedisefu-mz8pp
    @s1r1mumohamedisefu-mz8pp11 ай бұрын

    Babu.huwe Unatoatoa tarifa za ao makomando wa huruc

  • @omegaone980
    @omegaone980 Жыл бұрын

    Mwanangu hapo ni ulus kweli hapo ni Tandale kwa tumbo

  • @gadsonndato2941
    @gadsonndato29412 жыл бұрын

    Kwani aliyeomba kibari cha kuiangamiza Ukraine hajapewa kibari

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s2 ай бұрын

    NI KWELI KABISA URUSI IPO DAMUNI MWANGU NAIPENDA SANA URUSI VIVA VIVA VIVA PUTIN

  • @musamadua8102
    @musamadua81022 жыл бұрын

    Wote makafiri awana lolote swifa ya duniyatupu

  • @bakarikayugwa3295

    @bakarikayugwa3295

    Жыл бұрын

    Kafili was Kwanza ni wewe

  • @user-ix4fv2nj2v

    @user-ix4fv2nj2v

    Жыл бұрын

    Weye nan kama sio kafiri

  • @fatumanasoro5057
    @fatumanasoro50572 жыл бұрын

    Mie atasikuelewi

  • @kelvinhaule-ot2yr
    @kelvinhaule-ot2yr11 ай бұрын

    Oya mbn kama naiona kinondoni Morocco

  • @muhammedkilunga2948
    @muhammedkilunga29482 жыл бұрын

    Salary

  • @khalidkhalfani5379
    @khalidkhalfani5379 Жыл бұрын

    Putin..kweli..ni..noma..na..afai..na..jeshi..lake..lipo..ngangangaa..yani..alifai.. Putin..kwakweli..kalitengeneza..Jeshi..lake..?

  • @omaryramadhani6664
    @omaryramadhani66642 жыл бұрын

    Bado nafikiria mara mbili mbili kumruhusu mwanangu kusomea uandishi wa habari..

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    2 жыл бұрын

    Usimpeleka akajakuwa muongo buree kama hawa wanao payuka payuka mtoto akajapata dhambi yaburee msomeshe kitu kizuri utapata sawabu

  • @dtv3245
    @dtv32452 жыл бұрын

    Natafuta dereva atanifaa mshahara laki na nusu mwambie

  • @selemanimartin1081
    @selemanimartin10812 жыл бұрын

    Uko Dar, acha kutudanganya kuwa uko Urusi HUNA MVUTO

  • @allynazareth4988

    @allynazareth4988

    2 жыл бұрын

    Hivyo ni vionjo tu ndugu kunogesha story kama hujui mambo ya mtandao sio lazima ucoment

  • @sudaissaid8428

    @sudaissaid8428

    2 жыл бұрын

    mvuto gani

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mussabakir7781
    @mussabakir77812 жыл бұрын

    Musa bakiri Babu upovizuri

  • @seifkibaden6297
    @seifkibaden62972 жыл бұрын

    Tomm and Jerry story

  • @berthatarimo
    @berthatarimo Жыл бұрын

    Bado usifoci

  • @najmathiney65
    @najmathiney652 жыл бұрын

    tukuombee Ufike kweli halafu hizo story zako za pauka pakawa ukazielezee vzr huko huko storm 333

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    2 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁hatari sana nimwenyezi mungutu. Huyomrusi unamsujudia wewe mimi namwogopa mungu tu

  • @micamathew2595
    @micamathew25952 жыл бұрын

    Russia. The Big.

  • @AlexGwiha
    @AlexGwiha7 ай бұрын

    Lakin bado malekan inatisha

  • @omarymwaluko9765

    @omarymwaluko9765

    3 ай бұрын

    Marekani mapunga

  • @kitaaofficial4119

    @kitaaofficial4119

    2 ай бұрын

    Malekani hamna kitu mzee😂😂

  • @peterjames4669
    @peterjames46692 жыл бұрын

    Duh nchinyingine hazimjui mungu poleni sana watanzania mliohuko kikubwa nikumuomba mungu muwesalama, singano kutoka lushoto tanga

  • @user-ix4fv2nj2v

    @user-ix4fv2nj2v

    Жыл бұрын

    Sasa nchi ztamjua mungu vp😂

  • @mpendwacravery1665
    @mpendwacravery16652 жыл бұрын

    Icho kikosi cha KGB...kilifanya opreshen wapi na ilikuwa lini na ilikuwa ni kwa sababu gani? Ni mafanikio gani walipata na ni changamoto gani walipata? Acha kueleza mambo mazito Bila umakini...sisi sio wahuni. Umenipata?

  • @kanukanute2722

    @kanukanute2722

    Жыл бұрын

    Icho kikos kilifnya operetion kule mtongani kwa aziz ally,changmoto walikutana n kulkuw n foleni barabaran,

  • @saidali1488
    @saidali1488 Жыл бұрын

    Kama wana vikosi vya makomandoo wakali mbona hawamkamati zelensiky?

  • @JuliusSenyael-ej6hg

    @JuliusSenyael-ej6hg

    11 ай бұрын

    We sio Ivo kwani zelenzk amefanya kisa gn

  • @emmanuelsaiga1019
    @emmanuelsaiga1019 Жыл бұрын

    Ujaona urusi alivyo pigwa huko Ukrani

  • @zahorsalum4976

    @zahorsalum4976

    Жыл бұрын

    Kweli imepigwa maana jamaa anachukua maeneo tuu.,🤣🤣🤣🤣

  • @zahorsalum4976

    @zahorsalum4976

    Жыл бұрын

    Mrusi anawatoboa km chicha . Makaburi yameshajaa hk.

  • @user-eb3hf1lm9e

    @user-eb3hf1lm9e

    Ай бұрын

    Kapigwa nanan na je unajua huko Ukraine 🇺🇦 urusi ana pigana na nchi ngapi

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi21952 жыл бұрын

    Hili jamaaaa ni liongo sana utadhani linatfsiri sinema, kwa lugha nyingine linaganaga njaaaaaa tu kwa bundle za watu!!! Linadanganya kinomaaaaa, angekuwepo MAGU alikuwa analifungia channel hili jamaaaa, lakin kipindi cha NAPE ataliachia tu nalo lipate kula.

  • @mpendwacravery1665

    @mpendwacravery1665

    2 жыл бұрын

    Kumbe...wee umeliona leo. Lisikie adi sauti, yaani Ili, linawaonaga watanzania wote ni mazwazwa...yaani hili!

  • @reubenbushiri1753

    @reubenbushiri1753

    2 жыл бұрын

    Umekuita nani huku

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani7402 жыл бұрын

    🤣🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇧🇮🇧🇮🇧🇮👍👍👍👍💪💪💪

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth2 жыл бұрын

    Wafanye mbwembwe zote ila mmarekani ni kiboko Chao. Viva America

  • @lirastanley390

    @lirastanley390

    2 жыл бұрын

    Marekani wavamizi wanailinda demokrasia kwa nguvu zote na ni taifa lenye kila technology na aina ya watu na pia wana utu sana hata wakikuvamia na kukupiga bas hawawezi kutumia sumu hata

  • @sogoramwinshekhe1464

    @sogoramwinshekhe1464

    Жыл бұрын

    Wewe na wasenge wenzio safari hii lazima mzae na Putin nyani wee

  • @zahorsalum4976

    @zahorsalum4976

    Жыл бұрын

    Mwambieni aingie uwanjani jamaa anawasubiria. Mwezi 10 huu .mbona hawajichanganyiii.???

  • @msafirimaulidi5054

    @msafirimaulidi5054

    Ай бұрын

    Mashoga awawez kupigana na malijali kamwe, ndiomana wameingana (NATO) lkn mrusi Bado anawajambisha VIVA URUSI VIVA VRADINIL PUTIN

  • @mariamdickson4327
    @mariamdickson43272 жыл бұрын

    Sawa budaa

  • @selemanally6080

    @selemanally6080

    2 жыл бұрын

    Marekani alipigwa na warusi Syria na huwa hapigani vita kazi yake kubwa ni kuomba askari kupitia jumuiya alioanzisha mfano NATO huko Ukraine marekani askari wake wengi hawako Ukraine na pale Kuna askari wa nchi ambazo ni kibaraka wa marekani.

  • @byamungumpenda679
    @byamungumpenda6792 жыл бұрын

    Wewe pimbi kabisa uko tabata unajua nini wewe

  • @allynazareth4988

    @allynazareth4988

    2 жыл бұрын

    Watu wanapekua kama hujui kaa kimya tu

  • @mrjaula7769

    @mrjaula7769

    2 жыл бұрын

    Uko kigoma

  • @kadogoomushadi5409

    @kadogoomushadi5409

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @dtv3245
    @dtv32452 жыл бұрын

    Natafuta dereva atanifaa mshahara laki na nusu mwambie

Келесі