SHETTA: SINA CONNECTION NA DIAMOND/ NAKUMBUKA USHKAJI WETU
Ойын-сауық
#TheBarTender ... Episode Number 12 🍹🍸 .
.
Baba Qaila, #Shetta Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 Anapiga Mastory na Baba Ako #Jonijooo
.
Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙
#HainaKufeli #HuuNiMwakaWako #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya
Пікірлер: 224
Muangalie vizuri setta anavyomuangalia kwa jicho latatu Martha..😂😂✌
Do! nimefurahi ajabu.Interview ya kijanja vile kama imeanza kama haijaanza.Nimekupenda bure Jonijoo toka huku nchi ya kijanja Kenya.Mji una kazi. Uko vizuri
@shetta nunua power bank umeniangusha bro😂😂😂😂😂😂😂😂
Chai na asali shetta mjaja kweli.. So healthy ..254 Niko tuned
@khaleedypaz417
4 жыл бұрын
Nifolo instagarm jina pazkhaleedy kuna pst zatali yan
Waliokuwa wakisubili The bartender kwa hamu gonga like tujuane
@shiksweru9288
5 жыл бұрын
Am here to improve my Swahili sanifu much love from 254
@ibrahimrassi7835
5 жыл бұрын
Mbasa Zakalia na kubari
Leo mm nimewah wallah like kwa shetta baba kaila
Mependa alichoagiza... na alivyokubali kujifunza 😍
Jonijoo thats ur name we jamaa ni creative sana nanunua king'amuz kwa ajil ya #THE BARTENDER & #BONGODSM
Baba akoooooo, #the bartender imekuwa kimy kiasi ila chombo kwa hewa. Ila jonijooo usituache maana nakuchek pia kwenye block 89 show ya kijanja. Tukae kitaalamu apo baba akooooooo.
@shahamtindo
5 жыл бұрын
Kweli
Sio poa jonijoo yani ulikua umetuacha kimya kimya the bertender bonge moja la shoo
JONIJOO NI MTU WA WATU NASISISTIZA JONIJOO NI MTU MAKINI SAN
jmn nilikuw nimekimic cn hik kipnd mlio kuwa mmemic likipind hik twenzet kizaz sn like km zote
Nakubali #jonijooMnyamaa Wasafi mmejipanga guud sana #block89 #theBartender #bongoDaresalam Salute salute,kweli mmetambua vitamini vya mashabiki wenu
Nakubal shetan nakumbuka kipindi kileee bugurun madenge ulikuja kupasua kwenye camp yetu kipindi icho yani huna mbuni dah maisha yanabadlika mwana
Cna ushabiki nae kivile ila mwamba kichwa kwny maswali big up...
gonga like kama umemuona msichana akijiandaa kugonga tano na shetta akapotezewa
ivi ninyi ngedele mnao mtaka alikiba aje to the bartender si muangalie izo media zingine wanazo mwita sisi huku hatufanyi interview na mashogashoga ko mkiona hamuelewi tupitieni kushoto
@mrswahbu3691
5 жыл бұрын
He? Shima cna
Jonijooo baba kumbe hilo lijisuruali huwa wavalia kwenye tako waaah, wahuni kweli si watu wazuri
Nakubaliii tupo live na maisha na sio wote tunaosoma tunafanikiwa na maisha naelewa Nurdin (elimu ya mjini imenitoa kwenye benchi)
Kati ya hao namkubali Joni jooo, sheta nimnafiki sana
Mwijaku amumleti
Tea and honey is very healthy you can add half tea spoon of ginger very healthy
@rapshinekenya1996
4 жыл бұрын
leah songwa hope wee ni mkenya mwenzangu cz watanzania hawaelewi kingereza 😂😂😂😂😂😂😂
Congratulations, you r e gr8. #shettani
Jonijooo umetisha
Babaaako jonijooo damu damu mm na ww
Tusha wapoteza clouds
@waziriramadhani2198
4 жыл бұрын
Kwel
@darmontermonk9577
4 жыл бұрын
☝☝
@djgeorgekiller3617
4 жыл бұрын
Kitambo sana unauliza Leo wasafi number one saivi
Amazing interview big up broz one love ur doing the best things 50% of channels ur the one from Belgium one love
Kama kweli unakubali kipindi hiki Ngonga like kweny comment hii👊🔥
IPhone hiiyo Babaa,,, etii jamii yetu Moja hahaaaa
Shetta nmekubali sana hii interview
Binti kaloooowa, Alaf shetta kakoleeea hatulizi macho kwabinti
Likipindi limebamba sana #Jonijoo on the air
Oyaaaaa gonga like kama unamkubali mondiiii simbaaaa
@calvinpascalhabari3042
5 жыл бұрын
We ni mgonjwa sasa apa mond anahusika nn huo umama
Ila sema John joo huyo mtoto ulie nae nimkali mapaka 😂
Wangapi wamewatch interview mwanzo hadi mwishoooo.Show some love
Jonijooo i luv yr statement and am from drc kinshasa
Dah! We shetta so m2 ni jini kabx umetixha mzaz
Bro...john jooo bro.. Unafel unatutesa kuchelewesh hich kipnd fany kuwah kutuma mavtu broo
@shahamtindo
5 жыл бұрын
Block 89 inatucheleweshea kipind chetu
Congratulations
khaaaa jmn hiki kipindi ni nooooma 😍
Jonijo uko vzr bro,always uko happy inapendeza sana.
Daaaaaah nilimiss san bartender mbn mpoo kmy san wasaf wang
So leo nimekuwa wakwanza kuview na kucomment. btw; wasafi tv hebu badilisheni tittle ya video Edit: Asante kwa kubadilisha tittle
Daaa hii nomaaaaaaaaaaa
Ktk interview zote broo hiii nimeipenda sana iko poa sna
xanaaaa bartender baba akooo chafuuu xo PW like kwa jonijoooooooo
For real I like the interview
Alafu kumbe mlafi kweli mzee baba umepokea chakula kwakasi ya ajabu
@treyguydangote4034
4 жыл бұрын
Kwan kuna ubaya gan
@emmynasibumunguakubriki.kw4632
3 жыл бұрын
Jamani uyu Ni mwanaume mapozi ya Nini sasa
Sema Shetta Ni ka Clean Heart Sanaa,....Anajua anachokifanya SEMA Baba Kaila Colabo zimekua nyingi Sana,....all and all upo vizuri#Babaako#mymathar#shararasharasharara...Baba kylar....The Baaatender•√
@paulmohamed935
5 жыл бұрын
Na sijawahi kuona nyimbo kaimba mwenyewe bila collabo
@dominicnzai8256
5 жыл бұрын
Yuko Nayo,..inaitwa{Namjua}•√
@paulmohamed935
5 жыл бұрын
Na nyingine?
Kizaaz!! 🤣🤣🤣🤣babaaaako huyo
Wasafi mwaka huu mnakata mabifu yasio yalazima 😂 kama unakubaliana namimi gonga like twende zetu tukaangalie bongo dar. Yadude
@shahamtindo
5 жыл бұрын
Kweli.... Wajitahidi kumaliza vibifu uchwara
@makijaboy6822
4 жыл бұрын
Hahaha nimeipta hyo
Comments za wanazengo zinafurahish hahahah ukoo vzr brooo!
Nomaaaa 💣 💣
Babaaaaako Mtu Misele Mingi Jonijoooo Like kwake Jamani
Babaa ako show kizaziiiiii
ToP🔝
Gud show
#jonijoo,hiki kipindi nakipendanga,mda mrefu sijakiona hewani ila shukrani kutukumbuka
Jonijoo utabaki kuwa juu Nipe like broh
imeepita iyo
Kama wamkubali Jonijoo Nipe like
I like this guy jonijoo
Kipindi kiko poa saaana, big up jonijooo🙌🙌🙌
Daaah! Nimewahi leo
Jonijoooooo bg up heb nip like yk usisahau kumwambiah mwanang wa faida baba cailler apite achafueh
Umetisha Jonijoo
Jonijoo mzuka sana
Shetta katisha sana asee sema jonijoo ujajibu swali letu waziri wa ardhi nani...?
Show la kibabe ...naikubali hii show #Jonijo
Jonijoo tunamtaka Ommy dimpoz kwenye hii show aseh
@antoinea.katembo5326
4 жыл бұрын
Gentle Thegentle naam naam kabisa!
Dope interview
Safi sanaaa shetaaa
Mwamba ww hatari bado nakukubalia ujuwe
ka shetta kajanja sana kanajua vitu vingi had rahaa
Bonge la interview km unakubali gonga like.
Mna weza.
wanyama wa tatu wameacha mbuga mji una kaziii #shetta
Nakubaliiiiiiiiìi
Nilisubiri mbaya
Mungu aendelee kuijalia Show hiii.
leo wa nne duuuh
Shelta ur smart
Babaakoooo jonijooo
Alafu jonojoo wewe mjanja sana unamuuliza mtu vimacho vyako unaangalia pembeni
nice
Nmerudia tenah
Hapo saw next time tunasubili nyingine afu usichelewe ku post mzee
Jonijoo
Jonijoo babaako
ooooh napita tu
Hii bar ya nani mbona mi si elewi kabisa au ni ya Diamond? ??
Baba Akoo
the bartender
Baba ako next @idris sultan
Joni jooooo
Jonijoo U Kill it...Mdondoshe Ali kiba hapo
@BigZhumbe
5 жыл бұрын
Jamaa akiona #WCB homa inapanda 😂😂😂😂😂
@eddovannyplatnumz5574
5 жыл бұрын
Big Zhumbe 😁😁😁
kipindi kizur sana hiki
Nc
Bonge la show siku zote ....babakoooo
#Babaa akoo