COUNTRY BOY : ALIKIBA , HAJUI KUVAA / BANGI NI DAWA -
Ойын-сауық
#TheBarTender ... Episode Number 03 🍹🍸 .
.
Balaa Lingine Face To Face Mnyamwezi, #YuleBoy #Gadaffi #ZeeLaKukomesha @countryboytz 🎶 Kwenye Counter ya #TheBarTender 🍹 na Kupiga Mastory na #BabaAko @jonijooo
Big Shout Out To ..... @rhapsodys.dar 🏙
#HainaKufeli #HuuNiMwakaWako #HiiNiYetuSote #SanaaImezaliwaUpya
Пікірлер: 372
Jonijooo nakukubali na kipindi chako bt mnachelewasha Sana KZread ad tunakasilika
Bonge la kipindi umetisha country boy kama unamkubali Jonijooo gonga like twende sawa
Jonijoo we unajua sanaaaaaa babaakooo keep it doing
Asee nikikosaga hii show sikuagi poa tangu juzi naitafuta
Jonijoooo we ni mkali sana boy Baba akooo
Wauni sio watu wazuri Leo nimewahi nipeni like jamanii
kisa umeajiriwa na mondi unamponda kiba kweli mhuni si mtu mzuri babaakoooo
Jonijooo anaibia kwenye kurusha mpira kwel muhuni siyo mtu mzuri kama jonijooo
Kutoka Kenya namkubali Sana jonijoo
Jonijo 👏👏👏👏👏👏👏kipindi kizuri sana from burundi tunakufatiriya sana
Mlete idris sultan tuone ujinga wake😂
sereous kiukwel mm nmejikutia ww country boy skupendi t yan imetokea t bro na km ikitokea nakuchukia jibu hata unachokifanya skizingatii
@patrickfrederick6146
4 жыл бұрын
Sasa huku unafwata nn
BabaAkooo sasa.......! Hii sifa maana wasafi Media mpo Creative Acha Tyuuu from #Refresh #Kwetu #TheBarTender #TheNextMVP #TheQueens #KubumKubam #WayBack bat I'm waiting For #TheRealLifeOfWasafi and Other Tv programs
@andreajames7348
5 жыл бұрын
Nice jonijoooo
@idrisaomar6080
5 жыл бұрын
#Hivi ni kweli umesahau broo
🔥🔥🎧👍 kipind makin sana i love the show is the most precious
Yoooooooooo....Jonijooooo # WCB4 LIFE# Ngonga like twende sawaaaa
😂😂😂1950...jonijo una story zako za kimazabe 😁😁
kama umekuja hapa kwa kuona jina la alikiba
@anozacha611
5 жыл бұрын
Kimenifanya nifunguwe ni kiba
@athumanimboga5117
5 жыл бұрын
Kal
@amanisangawe1202
5 жыл бұрын
shedrack revocatus umejuaje
@jovintosssi3287
5 жыл бұрын
Tupo
@fatumaabdallah566
5 жыл бұрын
shedrack revocatus kwakweli mie nimeona ally kiba ndio nimefungua
hatarii sanaaa hili pindi
Bonge moja la pindii 👍
Sasa leo ndio wa2 wajue kua diamond na ali kiba mondi yupo juuh tena sana
@dr.mgungo1429
5 жыл бұрын
Mondi hapo linatumik jina lake tu kama kwenye zile karanga ila mwenye tv yake ni joseph kusaga
Country nakukubali sana yule boy
Nmekuwa wa mwisho jaman au uku nliko mbali😂😂😂😂😂
Mwambie boss aweke kwenye dstv atakua katisha sanaa
@erinaevarist3850
5 жыл бұрын
Noel Flavia
Baba ako 😍😍😍 nakupenda we kaka
Martha ❤️❤️....your dreams are persuading bloody ☺️☺️#The bartender 🔥🔥
Show la kijanja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kitu juu ya kitu yaaan Kitukituuuu
WCB moto mwingine inabidi mtazamwe kwa jicho la pili #WCB4LIFE 🙏🦁
@khadijaissaissa5824
5 жыл бұрын
Safi San
@hamisisha
5 жыл бұрын
jicho la 3👌
@florianbeatus5682
5 жыл бұрын
Wazo la mkasi ya ay na salama..so far salam ndo amedirect hi ktu coz nae ni supporter mkubwa wa wasafi
Baba ako kipo powa sana hiki kipndi
Jonijoo Baba Akoo🙌 Yule boy
Yani nasema iv dunia nzima hakuna kipindi cha kijanja kama hiki anaebisha ajifanye kama anajikuna mamaee mana wasafi TV wanavitu konk
@josephkelvin106
5 жыл бұрын
Kapisho Yasini
@royaldangoteboy2626
5 жыл бұрын
amna kituuu hapooo
@africanhappyadventure6951
5 жыл бұрын
Haaahaaaaa..Vipindi vingi vya Tv za Bingo huwa tunaiga mbele utakuta tunajidai kubadlisha badilisha tuvitu kidogo,Alfu pia ubunifu wa Vipindi hakuna kabisa vingi ni kuhoji wasanii tuu yaanii🏃🏃🏃🏃
@azizikiduto5304
5 жыл бұрын
Kapisho Yasini mmmhh sio p
@azizikiduto5304
5 жыл бұрын
Kapisho Yasini p.
Jonijooo na maswali yako bhana 😂😂😂😂
I think hiyo uloshika so Lamborghini ni Ferrari Spider 488.. But pindi kali nalielewa 🔥
JAMANI!!!!!!! Beer Pong rules.. uruhusiwi ku bounce the ball on the table. You have to throw the ball directly into the cups. Hawa jamaa kweli hawajawahi kucheza beer pong..hahahahaha
Classiq show nakubali sana kizazi jeuri babaako
Woyoo Leo nimewahi kidogo.
Jonijoo ilo surual vip c litadondok jmn
sure : first woman pilot in africa Asli Xasan Cabaade She soloed her first flight on 9 September 1976
country hupo high
🙌🙌🙌🙌
Poa sana baba ako
Safi sana jonijoo
Sema mnachelewa kuweka youtube
Nakubali baba yakooo mtu mbaya country wizzy mzee wa turn up 🤑🤑
noma sana hii pindi mazeee
Jonijooo The Bar Tender Mchezo usiuchezee wewee kipendi hiki nakipenda sana
@mrishomanmnaanzasangapjama2087
5 жыл бұрын
Kipind kimetisha
Jonijoo uko vizr kwa hili pindi lakn jitaid kuziweka KZread mapm broo maana sisi tusio na ving'amuz tunalikosa pindi kwa mda muafaka
uyu jamaa ni muhenga kwan mbona kila kitu anaju yeye duuu umetisha jonijoo
Country boi nomaaaa sanaaa
Nakukubali dunia country boy na joni joo
Bonge la kipindi liko HOT..... HOST Yuko HOT..... Kaa kitaalamu weweeeee.... Babaakoooooo JONIJOOOOOO
Wasaf tv naenda kununua king'amuz cha Star times kwaajil yenu
@kidinktz5618
4 жыл бұрын
Sawa janja
@kidinktz5618
4 жыл бұрын
B
Jonijo nimekuperemba kinoma kumbe ndo kipande hii.. og san
Favorite country boy....show kali sana
JAMANI!!!! JAMANI!!! na hiyo electric toy ya gari sio Lamborghini ila ni toy ya FERRARI F450. hahaha
💖💖💖💖 noma sanaaa
wahuni so watu wazur tunapiga lokc
Tuko live na maisha baba akoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
COUNTRY BOY WE NOMA SANA UKO JUU MTU WANGU 🎲👊🏾
@celinanyongole2989
5 жыл бұрын
Nyoooo
@rashydmabobo4700
5 жыл бұрын
Ali Mohamed zee Lang aminia
@khaulatmohammed3765
4 жыл бұрын
Hanaga
Show Kali babaako.
Watu wako live namaisha Joni jooo Baba aako!
Mnazinguwa naxhelewa kutowa
BABA anko
Jonijooo utauwa watu kwa style zako
mzee misifa @countryboy
Tunamtaka kibaaa kweny hilii pindii
💕
Eti mkuu wa mkoa wa Tabora Mroto 😁😂😁😂 we ndezi kweli nimecheka kinyama
@chichihammy5424
5 жыл бұрын
Hahahahah
Nice
"Wasafi Tv"mnachelewa kutupostia hiki kpnd mtandanon bwana kiukwely imepta sikuh tatu bila kukipost wengine atuna mda wa kuangalia tv tunapotezea tukizan tutakuta mda ou ou online mnazingua serious😢😢😢😢😢😢😢
yaan wee boy sijui. huna adabuu. alikiba ni mtu anayejielewa ktk wasaniii wotee bang zimekupanda kichwani ww
plz naomba jibu l beng? apo kwa iyo job mahali jonh joo yupo ni kazi yanani? jibu plz😍the bar tender
Babaaako
Babaaa akoooooooooo
Babaako uko pw sna
sukuma ndani 😁😁😁😁
👏👏👏
haijawai chujaaa babakeee wahuni sio watu wazuri
😎😎😎 keep up the good work.
Jonijo unaweza Hadi raha tutaona mengi mwaka huu hongera Sana kipindi kizuri sana
babaakooo 🤗🤗
Sema nn bado mnacherewa kurusha you tube
We jamaa ungekuwa umevaa ki weiter ingitisha sanaaa
Swagz mahala pake gadaffiii
Sema mmechelew sana kuipandisha kaka
Mnajisifia kuvaa huku mulizaliwa uchi
Duuuh cjachelew Wa 11 kucoment🤣🤣🤣👍👍👍
@karatikipusa8445
5 жыл бұрын
favdj_albartzmss the lovely kudalodi
😂😂 jonijooo tutoe masikio taka
Jonijoooo umeua
Duh awa watu si wamchezo mchezo wasaf wanatshaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Country Mtu mbayaaaaa
Kizazi saaaana bro jonijooo haujawahi kosea ase we mnoma jamaangu.
@bensonfarifari5920
5 жыл бұрын
Noma xan bonge la pindi
@tiantopherinnocent
5 жыл бұрын
Tuko live na maixha bro pamoja sana ase
Jonjooh unajua broo
Hahaha eti alali m2😁😁😁😁
Jo n Joo the big boss
🔥🔥🔥love this show from kenya.
Jonijoo nomaah kam unakubali ngoma like
Kama umemuona drogba kwenye TV gonga like twende sawa
@fatumachande3586
5 жыл бұрын
Ha ha ha athuman ww dar
kipindi konk Sana iki
Kali kinoma
Jonijooo nasisi wakongo tunakufata mon frère je t'aime beaucoup gonga like mambo iendelee🇨🇩🇨🇩🇨🇩