Niffer: Patrick Kanumba, Ni Mpumbavu, Niko Single Miezi mitano! Niki-cheatiwa najua. Part2
Ойын-сауық
Tazama full interview ya NIffer hapa, Aongelea Post yake kuhusu Patrick Kanumba kuwa hawana mahusiano kama wengi walivyodhani, amekua Single kwa miezi mitano na anaomba apate mume ambae wakiwa wote hawatokuja kuachana!
Angalia Part 1 hapa: • Dah usimuone tu Niffer...
Пікірлер: 301
😂😂😂gonga like kama ww n mfukunyuku kama niffer kwnye mahusiano😂😂😂
Team strong tunamuelewa sana niffer❤❤❤❤😊
Niffer Ni Binti ambae ana Maono mabinti wa Umri wake wengi wapo home hata maono Hawana💔🙌 MUNGU akuinue zaidi niffer 🙏❤️
Nifferrr wewe ni role model kwa ladies wote 20’s mamaaaa💯 proud of u nifferrr mungu akulinde akuondshee hasaaad 👌 God bless u una big big big mindset definitely tunakupenda mno🥰🥰🥰🥰🥰
Huyu dada yupo smart sana kiasi ambacho unaweza kuangalia interview yake siku nzima bila kuchoka. A very smart girl indeed 🥰
Dada you are sooo smart. The bad thing wanaume hawatak challenge za wenye akili.
Niffer umeweza mama Mungu akuinue zaidi ,huwez kupendwa na kila mtu
Huyu binti nilikuwa simwelewi. Lakini kwa swala la kusali kwa kweli namwelewe sasa. Mungu akupatie mume unayemhitaji. Na muishi kwa jinsi unavyomwomba Mungu iwe. Usiache kusali.😇♥️♥️🙏🙏
@faithfaith-zr6gz
8 ай бұрын
Duh!! Ndio tunajichiaga kwenye sala.
Ni mfano wa kuigwa❤tunakupenda san
Chukua maua Yako Niffer 🥳
kama unaweza kuswali usiku baasi stara izingatiwe my sister Allah hafeez you
Ebwana hili bonge la interview, hyu dada nmempenda bure❤ anajielewa mno. Hatare🔥💥
@LilOmmyTV
Жыл бұрын
Enjoy
I love you Niffer
SO CLEVER...SO BEAUTIFUL #NIFFER ...Mwenyez Mungu akulinde maishani na akupe kija jema unalolipigania... LOVE U SO MUCH...🥰🥰
Una madini sana we mdada ❤❤❤
Nakupenda sana niffer nakuombea Kheri kwa Mungu
Wallah Niffer nakupenda sanaaa when you put God in everything you do Allah akuzidishie zaidi na zaidi baby sis
Niffer: "I love to look at you when you lie, I wish to see so I can know you better"
Mashallah nakupenda sana dada from kenya 🇰🇪 mambo yako tuko sawa kabisa kuhusu mahusiano yaani vle vle
Nampenda sana niffer she is so smart
Nimekupenda Niffer kwa akili uliyo nayo
She iz so brave
Staki ku forward hii interview coz najiona mimi tabia matendo hadi maneno
Huyu dada anajua bwana nampendaa
Nakupenda bure niffer m/mungu akulinde kwa kila hatua unayopitia
I enjoyed the interview alot .... i learnt alot from niffer ... i love her coz she is a husler
I love her so much ❤️❤️
Safi sana. Got something in this interview 💯💯💯
I just loved this girl...very intelligent and blessed. I wish the rumour with Ali Kiba is true. They can make a perfect couple trust me.❤
@candymalale5140
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂shwaaaaa
You inspired a lot❤❤❤❤❤
so impressive!
Asante sana mtoto mzuri Allah akuongoze maishani mwako❤❤❤
@sophiakassim6784
Жыл бұрын
Aaamiin. Ila nlichogundua Niffer ana akili sanaaa masha Allah
niffer, you are great, mungu akusimamie.
Maa shaa Allah
Great mind set
Niffer I wish ungeongea zaidi it the best dear
I just like niffer more after this interview ❤️❤️
Good interview
Nimependa this conversation ❤🎉🎉
MashaaAllah ❤❤❤Niffer umeongea vzuri xna fact
Yani niffer nyie❤️ Nampenda Sana ananipa moyo Sana jaman she's my first role model Nakupenda Sana niffer
she is so smart...great interview. Interviewer pia unajua sana.
@LilOmmyTV
Жыл бұрын
Thanks, enjoy
Naffer I really like u❤ keep pushing u be fine😊 focus in u life😊 mimi nakubali sana Niffer. I wish all the best. I hink all girls 👧they can leaning for u😊 kila laheri Niffer 2024. MUNGU dio kila kitu☝🏿
Ni vile nimeshangaa tu interview imeasha 😍 kwa niffer aseeh💫
Asante kwa kuniombea ..ngoja niachane na huyu nitakujia ...endelea kupiga dua. Mm na wewe forever
waooh nampenda sana niffa yupo openi sana pia kwass wasichana wengi tunamuangalia yeye katika upambanaji wake
Very genius girl love her keep it up
@joycekasimbazi-pt3tq
Жыл бұрын
Really
Nmekuja kuangalia hii interview kwa mara ya pili girl u inspired me a lot 🙏 keep going sis 😍
Best interview 👏👏
@LilOmmyTV
Жыл бұрын
Mzuka
niffer is the best wallah....#maturity
Mashaa Allah …amtangulie
Ningumu sana kwa boys wa miaka yetu angoje sana angoje age iende kidogo (kwa ufukunyuku uwo) wachache sana
Alhamdhullillah nimejifunza kitu kutoka kwa dadangu Nifer i really appreciate your inter view❤❤❤
This young women inspired me alot...let's fights
she is very matured
Niffar nakupenda sana mwanangu uko vizuri
Namfwatilia sana ananisaidia katika upambanaji ni model wngu❤
Mungu akupiganie namuelewa sana huyu binti❤️❤️❤️
Strong enough, upo vizuri
@niffer ur the best❤
She's fire 🔥
Smart girl❤❤❤❤❤
Wewe niffer wewe ❤️❤️❤️❤️
nakupenda sana nakupenda sana nakupenda sana sana ,unanifanya niwe napambana sana mimi nakuiga wewe allah akulinde subira dada ang niffer wewe allah akulinde
More blessed ma role model
Huyu dada ni mdogo Ila Ana akili nyingi sana compared na wenye umri wake ❤️
@mwitaagness455
Жыл бұрын
Akili sio umri huu usemi ulikosewava, akili, hekima na busara mtu huzaliwa navyo si umri unaeza kuta mtu ana miaka hata 45 lkn wa chini yake hata miaka25 akawa na mambo ya utu uzima kuliko huyo mkubwa.
@aggiemarley5742
Жыл бұрын
@@mwitaagness455 very true, but most of wale wana umri wake hawakogo na akili ya hivi
Ni mara yangu ya kwanza kumjua na kuona interview yake, lakini nimejikuta nampenda tu
@lilommy,bring more of such vibes ...kizazi sana.❤
Perfect 👏
Niffer nakupenda mno na nimejifunza kitu mamaa I really love u unajielewa mno❤❤
@swaumukadidi7124
Жыл бұрын
Niffar ww Ni mfano wa kuigwa❤️❤️
Nimejifunza vitu hapa shukran niffa
Naomba uolewe na diara ❤❤❤❤
Mungu yu nawe daima
Huyu dada yupo smart sana 😍😍😍
I Love Nifer aisee.
Beauty with brain.
Madini ❤ mashaallah 👌
Speechless 🙌
I like it
I love you niffer❤
Niice
She’s 10😊
Hongera sana napaenda uko smart and nitaku follow
Powerful
Very real to life
Nlijua ni me mwenyewe nafukunyuaga hadi naambiwa kuwa na mtu ni ngumu yaan ntakufukunyua hadi uuuuuuwiii
Point😍
Babygirl i feel ur story, coz therez alot in common
Napenda interv zako nikiwa Rwanda.
uyu mtoto ana akili, ila from dk 28:25 i can confess that akiendelea hivyo hivyo, she will be something else, in just around 6 yrs peke yake! congrats
Sjnaga tabia ya kucomment youtube but Niffer kwenye swala la mahusiano kaongea kweli kweli tupu! When your doubting abt something huwa ni kweli mara nyingi kinakua kinahappen! Alot ov what she said ni naked truth🙌
@collinndabi1914
Жыл бұрын
Si kweli
@angelaman3726
Жыл бұрын
@@collinndabi1914 ni ukweli jaman
Love you niffer😘
Huyu n mm kabisaa when it comes swala la relationship 😢❤❤
Material
Alafu mzuri balaa
Very bright ❤️I have learn something from her
I like t!
If u want to be strong learn how to fight alone
Nmejifunza sanaaa
Nimekupend bure Niffer