NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
Ойын-сауық
NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 240
Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man
Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@neemapatrick1610
Жыл бұрын
kam mm ty
Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍
@Chatt-town
7 ай бұрын
Perfection ❤❤❤
Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️
Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu
Dada maringo huyu kwa kweli
Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi
@lindaemmanuel4446
Жыл бұрын
muache jmn muhaya mwenzangu
@yasinthaprosper4226
8 ай бұрын
Hahaha NAMI Muhaya otyooooo hahahaha
Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖
Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰
❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada
Ok sawa ❤️
We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo
Nakupnda wedada❤❤❤
Nakupenda niffer🤩
Eti ana miaka 23😄😄🙌
@willygraphics360
Жыл бұрын
Kwani ni uongo?
Mashallah nifa uko vzr kuongea
Niffet nakupenda san❤
Huyu demu kalewa na umarufu
@MahelaMnazaleti-vg6mo
Жыл бұрын
Mtazamo wako tu
Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣
Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa
@justinemasweta2877
Жыл бұрын
aise watu mko makini
@ismailferouz8688
Жыл бұрын
Hhhhh mdomo koma hapo umensaidia ndg
Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau
@vickydan2869
Жыл бұрын
Saaaaana
@rehemalukali8326
Жыл бұрын
Kila interview lazima ajiongeleshe kuhus Fred mwenzie yupo kimya
Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania
Bichwaa ndio romantic name🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪
@beatricekamenge7000
Жыл бұрын
Siku zote ipo hivyo MPAMBANAJI lazima wakuongelee
@gabrielishmael5956
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@annafrancis7313
Жыл бұрын
Na ukijipost wanasema unajidai unawaringishia😂😂😂😂
@albassammusaalbassam7487
Жыл бұрын
Upambani Katika kudanga ama?
Mmmh
Niatari kweli
Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏
yan nakupenda mno sanaa beby niffa
Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻♂️✔✔✔
@masalakulwa7601
Жыл бұрын
wa kawaida sana mbona..uso mzitp
@wisperfect5320
Жыл бұрын
Macho yako mabovu tu😀
Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa
Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha
unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!
I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo
@halimakanik8789
Жыл бұрын
Amefika25 vzur tuu
@yasinthaprosper4226
8 ай бұрын
Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana
Kwan mkisemaga mna date ndo kitatokea nini
Tutafut hela jaman salooon hoyeeee
Eti ongea kiswahili bhn😁
Mademu wa bongo njaa Sana yani
Umaarufu unamlevya na hilo Duka
Jomoniii nimekupenda bure niffer
Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki
@mimikimanga3126
Жыл бұрын
Acha makasiriko weweeee
@nancyg8664
Жыл бұрын
@@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..
Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile
Ahahahahaaaa Ahahahahaaaa jmn mimi ni muhaya lakini sijafikia ayo majigambo aya
Nmependa mwishoni Saloon gani Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nice one
Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls
MaKn
Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview
Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake
Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid
Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan
She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣
Wivu wa watu tu.Songa mbele
Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno
@zailethomary4093
Жыл бұрын
Sem wat mna wiv
@dayanandama8873
Жыл бұрын
Nana hajawahi kudate na ochu ww....ni washkaji tuuh maana wanaigiza series moja ya pazia
@vestinambunda8837
Жыл бұрын
@@dayanandama8873 Kaa hapo hapo🤣
Uyo wanadatevzr sana
Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi
Mimi nikajua anaakili
Me napita tu maana comment za waja sina la kusema
Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .
Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu
Et ongea kiswahili
Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅
Miaka 23 ya mbwa
Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..
@ashurajengela3926
Жыл бұрын
😂😂😂
@nin6324
Жыл бұрын
KFC Mikocheni Kuna Pizza Hut
@diywithhassy3773
Жыл бұрын
@@nin6324 uwongo uwoo pizza hut iko kivyake kfc kinyake loh
@tausihasheem5169
Жыл бұрын
🤣🤣kaupiga mwingi
@tonestisakwe368
Жыл бұрын
😅😅
Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri
Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔
Ochu hajafkish 25
😄😄😄
Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake
Binti huyu ni anajitambuwa ni bichwa kweli❤️
Et ongea kiswahili bwana 😂
Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂
@theopistachialo6750
Жыл бұрын
😅😅😅😅😂😂😂
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@stewardmbena3737
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa
@reneeisaya733
Жыл бұрын
@@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza
Daaaah Mdada Mzuri Uyu ila amfikiii Wanguu🙅☕️🙅☕️
GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu
@rehemalukali8326
Жыл бұрын
Huy ndo amshukuru gig coz kajulikana 😂😂😂😂
@givenlugenge2212
Жыл бұрын
Wewe kama mim😅
kfc mkala pizza😂😂😂
😅😅ety bichwa nimefrah
Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa
Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini
Kwa uzur gani
Dada wawatu anapambana mwacheni jamani
huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka
Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika
@madamoppa-cg9hd
Жыл бұрын
Hakana uzuri...wowote usimpe sifa zisizo zake
@zailethomary4093
Жыл бұрын
Kazur afu mpambanaj
Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje
Haaaa
Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata
@khadijandege2036
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
😅😅😅😅😅jamani
@vickydan2869
Жыл бұрын
Hahaha muacho
@rehemalukali8326
Жыл бұрын
@@vickydan2869 😂😂😂
@donkaloza6985
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Bichwa🤣🤣🤣 nakupenda sana vile unajikubali
Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo
Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae
We kila mtu rafiki yako
KFC za tz wanauza 🍕 pizza
Wacuba tushaelewaa😂
Kwenda uko unamajigambo sana wewe punguza majivuno
@kennyrogers4734
Жыл бұрын
Anaonyesha sana kibuli huyu majivuno yamemjaa bila kupepesa macho ila mbele ya Camera anajisafisha
@nawechi4818
Жыл бұрын
Ujuaji wa kihaya🤣
@kennyrogers4734
Жыл бұрын
@@nawechi4818 Aaaah huyu muhaya kumbe au?
@nawechi4818
Жыл бұрын
@@kennyrogers4734 ndioo🤣🤣
@kennyrogers4734
Жыл бұрын
@@nawechi4818 Ndiomana kumbe bc ndiomana majirani zake wanamuonyesha sababu kuna mambo anayowaonyesha hawapendezewi nayo kbs
Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi
Uyu mdada ananyodo saaana
Tutafuten pesa vijana
Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢
Et mnyamwezi kichizi boya kweli wewe
Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha
Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn
@paskalinapa6177
Жыл бұрын
Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba
KFC Kuna pizza??
Dharau za kihaya🤣