NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'

Ойын-сауық

NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 240

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын

    Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 Жыл бұрын

    Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @neemapatrick1610

    @neemapatrick1610

    Жыл бұрын

    kam mm ty

  • @sichanaali7284
    @sichanaali7284 Жыл бұрын

    Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍

  • @Chatt-town

    @Chatt-town

    7 ай бұрын

    Perfection ❤❤❤

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Жыл бұрын

    Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 Жыл бұрын

    Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 Жыл бұрын

    Dada maringo huyu kwa kweli

  • @hawamfaume3171
    @hawamfaume3171 Жыл бұрын

    Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi

  • @lindaemmanuel4446

    @lindaemmanuel4446

    Жыл бұрын

    muache jmn muhaya mwenzangu

  • @yasinthaprosper4226

    @yasinthaprosper4226

    8 ай бұрын

    Hahaha NAMI Muhaya otyooooo hahahaha

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Жыл бұрын

    Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Жыл бұрын

    Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Жыл бұрын

    ❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 Жыл бұрын

    Ok sawa ❤️

  • @mrnobody-qg6ed
    @mrnobody-qg6ed Жыл бұрын

    We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Жыл бұрын

    Nakupnda wedada❤❤❤

  • @loveneypoul9285
    @loveneypoul9285 Жыл бұрын

    Nakupenda niffer🤩

  • @joysarah
    @joysarah Жыл бұрын

    Eti ana miaka 23😄😄🙌

  • @willygraphics360

    @willygraphics360

    Жыл бұрын

    Kwani ni uongo?

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Жыл бұрын

    Mashallah nifa uko vzr kuongea

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Жыл бұрын

    Niffet nakupenda san❤

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 Жыл бұрын

    Huyu demu kalewa na umarufu

  • @MahelaMnazaleti-vg6mo

    @MahelaMnazaleti-vg6mo

    Жыл бұрын

    Mtazamo wako tu

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Жыл бұрын

    Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz Жыл бұрын

    Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa

  • @justinemasweta2877

    @justinemasweta2877

    Жыл бұрын

    aise watu mko makini

  • @ismailferouz8688

    @ismailferouz8688

    Жыл бұрын

    Hhhhh mdomo koma hapo umensaidia ndg

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 Жыл бұрын

    Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    Жыл бұрын

    Saaaaana

  • @rehemalukali8326

    @rehemalukali8326

    Жыл бұрын

    Kila interview lazima ajiongeleshe kuhus Fred mwenzie yupo kimya

  • @charlessalimu5875
    @charlessalimu5875 Жыл бұрын

    Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Жыл бұрын

    Bichwaa ndio romantic name🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Жыл бұрын

    Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪

  • @beatricekamenge7000

    @beatricekamenge7000

    Жыл бұрын

    Siku zote ipo hivyo MPAMBANAJI lazima wakuongelee

  • @gabrielishmael5956

    @gabrielishmael5956

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @annafrancis7313

    @annafrancis7313

    Жыл бұрын

    Na ukijipost wanasema unajidai unawaringishia😂😂😂😂

  • @albassammusaalbassam7487

    @albassammusaalbassam7487

    Жыл бұрын

    Upambani Katika kudanga ama?

  • @preciouspeter2897
    @preciouspeter2897 Жыл бұрын

    Mmmh

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Жыл бұрын

    Niatari kweli

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 Жыл бұрын

    Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏

  • @furahayahaya8472
    @furahayahaya8472 Жыл бұрын

    yan nakupenda mno sanaa beby niffa

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 Жыл бұрын

    Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻‍♂️✔✔✔

  • @masalakulwa7601

    @masalakulwa7601

    Жыл бұрын

    wa kawaida sana mbona..uso mzitp

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    Жыл бұрын

    Macho yako mabovu tu😀

  • @chuchudorice8531
    @chuchudorice8531 Жыл бұрын

    Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa

  • @noelalubulilla6362
    @noelalubulilla6362 Жыл бұрын

    Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha

  • @daglaskiberenge106
    @daglaskiberenge106 Жыл бұрын

    unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!

  • @allanikaal6379
    @allanikaal6379 Жыл бұрын

    I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo

  • @halimakanik8789

    @halimakanik8789

    Жыл бұрын

    Amefika25 vzur tuu

  • @yasinthaprosper4226

    @yasinthaprosper4226

    8 ай бұрын

    Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 Жыл бұрын

    Kwan mkisemaga mna date ndo kitatokea nini

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Жыл бұрын

    Tutafut hela jaman salooon hoyeeee

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Жыл бұрын

    Eti ongea kiswahili bhn😁

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Жыл бұрын

    Mademu wa bongo njaa Sana yani

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Жыл бұрын

    Umaarufu unamlevya na hilo Duka

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 Жыл бұрын

    Jomoniii nimekupenda bure niffer

  • @ashanguya843
    @ashanguya843 Жыл бұрын

    Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki

  • @mimikimanga3126

    @mimikimanga3126

    Жыл бұрын

    Acha makasiriko weweeee

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Жыл бұрын

    @@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 Жыл бұрын

    Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Жыл бұрын

    Ahahahahaaaa Ahahahahaaaa jmn mimi ni muhaya lakini sijafikia ayo majigambo aya

  • @rosenaafya9356
    @rosenaafya9356 Жыл бұрын

    Nmependa mwishoni Saloon gani Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Жыл бұрын

    Nice one

  • @deus8629
    @deus8629 Жыл бұрын

    Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls

  • @Gody360
    @Gody360 Жыл бұрын

    MaKn

  • @thekennedy2002
    @thekennedy2002 Жыл бұрын

    Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview

  • @canisiusjohnkayombo4996
    @canisiusjohnkayombo49962 ай бұрын

    Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Жыл бұрын

    Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid

  • @swaumironlady3645
    @swaumironlady3645 Жыл бұрын

    Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan

  • @masika.zubeda.430
    @masika.zubeda.430 Жыл бұрын

    She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 Жыл бұрын

    Wivu wa watu tu.Songa mbele

  • @vestinambunda8837
    @vestinambunda8837 Жыл бұрын

    Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno

  • @zailethomary4093

    @zailethomary4093

    Жыл бұрын

    Sem wat mna wiv

  • @dayanandama8873

    @dayanandama8873

    Жыл бұрын

    Nana hajawahi kudate na ochu ww....ni washkaji tuuh maana wanaigiza series moja ya pazia

  • @vestinambunda8837

    @vestinambunda8837

    Жыл бұрын

    @@dayanandama8873 Kaa hapo hapo🤣

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 Жыл бұрын

    Uyo wanadatevzr sana

  • @abasisudi1809
    @abasisudi1809 Жыл бұрын

    Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi

  • @najuf8021
    @najuf8021 Жыл бұрын

    Mimi nikajua anaakili

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Жыл бұрын

    Me napita tu maana comment za waja sina la kusema

  • @sophiangaoga7451
    @sophiangaoga7451 Жыл бұрын

    Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 Жыл бұрын

    Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu

  • @eliasenyaleonard178
    @eliasenyaleonard178 Жыл бұрын

    Et ongea kiswahili

  • @dianadenice3610
    @dianadenice3610 Жыл бұрын

    Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅

  • @mayamu2150
    @mayamu2150 Жыл бұрын

    Miaka 23 ya mbwa

  • @munnahbakari725
    @munnahbakari725 Жыл бұрын

    Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..

  • @ashurajengela3926

    @ashurajengela3926

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @nin6324

    @nin6324

    Жыл бұрын

    KFC Mikocheni Kuna Pizza Hut

  • @diywithhassy3773

    @diywithhassy3773

    Жыл бұрын

    @@nin6324 uwongo uwoo pizza hut iko kivyake kfc kinyake loh

  • @tausihasheem5169

    @tausihasheem5169

    Жыл бұрын

    🤣🤣kaupiga mwingi

  • @tonestisakwe368

    @tonestisakwe368

    Жыл бұрын

    😅😅

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 Жыл бұрын

    Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 Жыл бұрын

    Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 Жыл бұрын

    Ochu hajafkish 25

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Жыл бұрын

    😄😄😄

  • @suzanmeela5542
    @suzanmeela5542 Жыл бұрын

    Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Жыл бұрын

    Binti huyu ni anajitambuwa ni bichwa kweli❤️

  • @zulehhasani6690
    @zulehhasani6690 Жыл бұрын

    Et ongea kiswahili bwana 😂

  • @reneeisaya733
    @reneeisaya733 Жыл бұрын

    Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂

  • @theopistachialo6750

    @theopistachialo6750

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅😂😂😂

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @stewardmbena3737

    @stewardmbena3737

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @NR-ll4sr

    @NR-ll4sr

    Жыл бұрын

    Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa

  • @reneeisaya733

    @reneeisaya733

    Жыл бұрын

    @@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza

  • @bossjooh
    @bossjooh Жыл бұрын

    Daaaah Mdada Mzuri Uyu ila amfikiii Wanguu🙅☕️🙅☕️

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Жыл бұрын

    GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu

  • @rehemalukali8326

    @rehemalukali8326

    Жыл бұрын

    Huy ndo amshukuru gig coz kajulikana 😂😂😂😂

  • @givenlugenge2212

    @givenlugenge2212

    Жыл бұрын

    Wewe kama mim😅

  • @sameeraaljabry8703
    @sameeraaljabry8703 Жыл бұрын

    kfc mkala pizza😂😂😂

  • @user-ce2uj8oi4h
    @user-ce2uj8oi4h8 ай бұрын

    😅😅ety bichwa nimefrah

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 Жыл бұрын

    Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Жыл бұрын

    Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini

  • @YasiniHasani-og4hc
    @YasiniHasani-og4hc Жыл бұрын

    Kwa uzur gani

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Жыл бұрын

    Dada wawatu anapambana mwacheni jamani

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 Жыл бұрын

    huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka

  • @samwelipaschal6412
    @samwelipaschal6412 Жыл бұрын

    Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika

  • @madamoppa-cg9hd

    @madamoppa-cg9hd

    Жыл бұрын

    Hakana uzuri...wowote usimpe sifa zisizo zake

  • @zailethomary4093

    @zailethomary4093

    Жыл бұрын

    Kazur afu mpambanaj

  • @carlitomsolla7287
    @carlitomsolla7287 Жыл бұрын

    Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje

  • @Officialmrisho
    @Officialmrisho Жыл бұрын

    Haaaa

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 Жыл бұрын

    Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata

  • @khadijandege2036

    @khadijandege2036

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    😅😅😅😅😅jamani

  • @vickydan2869

    @vickydan2869

    Жыл бұрын

    Hahaha muacho

  • @rehemalukali8326

    @rehemalukali8326

    Жыл бұрын

    @@vickydan2869 😂😂😂

  • @donkaloza6985

    @donkaloza6985

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Жыл бұрын

    Bichwa🤣🤣🤣 nakupenda sana vile unajikubali

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 Жыл бұрын

    Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo

  • @tabomusic3625
    @tabomusic3625 Жыл бұрын

    Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae

  • @tinalikasi7585
    @tinalikasi7585 Жыл бұрын

    We kila mtu rafiki yako

  • @fatimarita6490
    @fatimarita6490 Жыл бұрын

    KFC za tz wanauza 🍕 pizza

  • @francisjuly5761
    @francisjuly576111 ай бұрын

    Wacuba tushaelewaa😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 Жыл бұрын

    Kwenda uko unamajigambo sana wewe punguza majivuno

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    Жыл бұрын

    Anaonyesha sana kibuli huyu majivuno yamemjaa bila kupepesa macho ila mbele ya Camera anajisafisha

  • @nawechi4818

    @nawechi4818

    Жыл бұрын

    Ujuaji wa kihaya🤣

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    Жыл бұрын

    @@nawechi4818 Aaaah huyu muhaya kumbe au?

  • @nawechi4818

    @nawechi4818

    Жыл бұрын

    @@kennyrogers4734 ndioo🤣🤣

  • @kennyrogers4734

    @kennyrogers4734

    Жыл бұрын

    @@nawechi4818 Ndiomana kumbe bc ndiomana majirani zake wanamuonyesha sababu kuna mambo anayowaonyesha hawapendezewi nayo kbs

  • @mizesuleiman1834
    @mizesuleiman1834 Жыл бұрын

    Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi

  • @sonialapatrona511
    @sonialapatrona511 Жыл бұрын

    Uyu mdada ananyodo saaana

  • @sundaykomba1327
    @sundaykomba1327 Жыл бұрын

    Tutafuten pesa vijana

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd8 ай бұрын

    Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Жыл бұрын

    Et mnyamwezi kichizi boya kweli wewe

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Жыл бұрын

    Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Жыл бұрын

    Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn

  • @paskalinapa6177

    @paskalinapa6177

    Жыл бұрын

    Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba

  • @sheilahhamid8510
    @sheilahhamid8510 Жыл бұрын

    KFC Kuna pizza??

  • @neylaboniphace2431
    @neylaboniphace2431 Жыл бұрын

    Dharau za kihaya🤣

Келесі