Posh Queen: Harmonize, Ananifanya nachangikiwa! Namuwaza! Napenda HELA, Nasafiri kila mwezi. Party 1

Ойын-сауық

Пікірлер: 256

  • @SusannaTaji-os8jh
    @SusannaTaji-os8jh Жыл бұрын

    Tulio kuja mbio 🏃🏃🏃🏃 baada ya kusikia jina la harmonize tujuane please 🥺

  • @nasmasalimu9508

    @nasmasalimu9508

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @arakali8735

    @arakali8735

    Жыл бұрын

    Tupo😂

  • @MkutiNandaja-rz3nk

    @MkutiNandaja-rz3nk

    Жыл бұрын

    😅😅🎉

  • @akimbashirwa9371

    @akimbashirwa9371

    Жыл бұрын

    😂😂❤

  • @eliaspatiu2472

    @eliaspatiu2472

    Жыл бұрын

    Tupo kabsa

  • @cathbertkendrick6860
    @cathbertkendrick68605 ай бұрын

    6month ago ila tunao angalia interview saiz kusikia anatoka na Harmonize 👍🏽

  • @sophiemaseno6436
    @sophiemaseno64365 ай бұрын

    Here because of Harmonize. From🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @AmCool_
    @AmCool_5 ай бұрын

    Mzee wa STAFF LIKE THAT 😂😂

  • @ivannoah
    @ivannoah Жыл бұрын

    The king of interview @👊

  • @kikombeselemani6278
    @kikombeselemani62786 ай бұрын

    Ukweli najuwa, mwanamke wowote anadamu ya kinyaru( Rwanda) kwanza hela. Yangine yote baadaye . Kwakusema umumiliki ni kumpa hela,

  • @sheilacruz6458
    @sheilacruz64585 ай бұрын

    Mbona usitulete harmonize sasa kwa hii podcast

  • @christophermhina6548
    @christophermhina6548 Жыл бұрын

    Fire # The king of interview

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 Жыл бұрын

    Half man half amazing the Lil ommy himself big up ma brother ❤

  • @lusubilomwandambo5757

    @lusubilomwandambo5757

    2 ай бұрын

    Kumbe mnyakyuu

  • @m___ck799
    @m___ck7996 ай бұрын

    ..and now their dating😊 Harmo&PoshQueen

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim91386 ай бұрын

    Huyo ni mnyakyusa wala hana damu ya kinyarwanda, hata moja

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Жыл бұрын

    HARMONIZE IS A BIG NAME.

  • @jforeign254
    @jforeign25410 ай бұрын

    You got a new sub here 🎉 King

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Жыл бұрын

    HELA NI NATURE KUIPENDA LAZIMA, AU YE ALIAMBIWA NA NANI, WENZIE HAWAPENDI HELA

  • @user-qn1yq1pi7p
    @user-qn1yq1pi7p5 ай бұрын

    The lady is looking wow🤔

  • @JojoMomo-et4zv
    @JojoMomo-et4zv5 ай бұрын

    Ommy usijisafishe mzee… Mwanaume hajaumbiwa mwanammke mmoja Nevaaaaaa,kama yupo huyo hana pesa

  • @kendricgeorge603
    @kendricgeorge6035 ай бұрын

    Kwa akili ya kujiongeza huyu mwanamke for me hafai kuwa mke wangu kama mi ningekua harmonize, because mwanamke anayejisifia anatafutwa na wanaume wengi, anaona kwamba she is the only who deserves good treatment, yani sura nayoipata hapo ni kuwa she is selfish in love and also anahisi kudate na mtu ni kama anamsaidia tu since anatafutwa na watu wengi. For me personally she don't deserve to be a wife. Am sorry kama nakosea

  • @blackwarrior-animations593

    @blackwarrior-animations593

    5 ай бұрын

    Don't be sorry bro! Speak your Mind .......ni kweli kabisa ulichosema

  • @geomangi6123

    @geomangi6123

    5 ай бұрын

    true huyu ni malaya ka malaya wengine

  • @Mina.15

    @Mina.15

    5 ай бұрын

    😂😂😂 na nimuongo

  • @The_Royaltourer2006

    @The_Royaltourer2006

    4 ай бұрын

    Inatakiwa waanze na kulipa kodi

  • @ericasamwangwa6671

    @ericasamwangwa6671

    2 ай бұрын

    Upo sahihi kabisa...Anaona kama ukiwa nae kama anakuhurumia

  • @singanoabbas669
    @singanoabbas6695 ай бұрын

    Siyo kweli mwanaume akipata hivo vyote utulivu lazima.... Me ni mwanaume nina ndoa zaid ya miaka 17.. Nimeona when niko form 6... Ila kuna jamaa yetu mmoja hivi ana respect ya kutosha kwa mkewe 7bu mkewe ana respect na yeye... Tulisha mtumia wasichana tofautitofauti wazuri,,hadi kumfungia ndani na mwanamke ila jamaa ni mstaarabu sn haja cheat... Kwa sababu hakosi chochote kwa mkewe... Hivo kifupi... Wapo wanaume wenzetu ambao wako SMATER THAN... Wewe unao cheatiwa ujue kuna tundu kwenye bati lako... 😂😂😂😂

  • @minzamariamcasmir189

    @minzamariamcasmir189

    5 ай бұрын

    A man doesn’t cheat akiwa na discipline tu. Hizo zingine zote ni excuses. Kuna alot of steps to take kama kuna kitu unakosa kwa mkeo mpaka kufikia cheating ila wanaume wasio kua na nidham ndo wanakurupuka na kucheat because hawawezi kucontrol tamaa zao afu wanasingizia flaws za wake zao. Mbona hata nyie wanaume mna flaws but wake zenu hawacheat because of mapungufu. Wakicheat because hawana nidhamu and it’s a choice too

  • @JerinaNguto-vv1gt
    @JerinaNguto-vv1gt5 ай бұрын

    Tunakupenda,sana

  • @stevkaliona4107
    @stevkaliona41075 ай бұрын

    Mademu wa bongo rahaaaa sana hawana ndoto wanapenda maisha ya shortcut halafu yanawagharimu sana😂😂😂

  • @user-tf9gh8iu5s

    @user-tf9gh8iu5s

    4 ай бұрын

    Sio wot

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql Жыл бұрын

    Mamae walah tutafute mzigo yani HELA😂😂😂😂😂

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    5 ай бұрын

    Umeongea kwa hisia mkuu

  • @chainbre275
    @chainbre2755 ай бұрын

    Sasa tuwache kusema o hamo kamuimba girlfriend wa dj wake kumbe poshy alisha mzimia harmonize kutambooo😂😂😂

  • @wairimu9113
    @wairimu9113 Жыл бұрын

    Lil ommy my love,❤😊.. njoo nikudekeze😜

  • @ShilalaShija
    @ShilalaShija5 ай бұрын

    Posh queen, beautiful girl nakukubal san

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha96695 ай бұрын

    Jina la #harmonize limechangia veuws kuwznyiiiingi saaana Nando video imekuwa nawatazamaji wengi kazidi in#2023 #Harmonize💪

  • @limbomambo9728
    @limbomambo97285 ай бұрын

    Wapenda pesa kuliko maisha yako

  • @alexboidy-or4ti
    @alexboidy-or4ti5 ай бұрын

    Really ideal bro ❤❤

  • @misalabandimanya2423
    @misalabandimanya2423 Жыл бұрын

    The king of interview

  • @user-ok3dm2yh4j
    @user-ok3dm2yh4j Жыл бұрын

    Bring Anjella next.

  • @successpatience7641
    @successpatience7641 Жыл бұрын

    Yaani utumwa wa lugha ni tatizo sana

  • @stamillusatila9084

    @stamillusatila9084

    5 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    3 ай бұрын

    Na hautoisha

  • @DianaMatete

    @DianaMatete

    2 ай бұрын

    Kweli kaka, yaani watu wanalazimisha lugha bhana

  • @ngayaimkwe5175
    @ngayaimkwe5175 Жыл бұрын

    Mdangaji kama wengine

  • @FernandShabani-er1cw
    @FernandShabani-er1cw2 ай бұрын

    Nawafyata toka Congo DRC

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz70714 ай бұрын

    Wow, she has got an accent

  • @charlesmasele8454
    @charlesmasele8454 Жыл бұрын

    Hiyo "poa baby" isisafiri sana maana #TAMBWEE sio pigo sake hizo.

  • @user-mv5iy9ih3b
    @user-mv5iy9ih3b5 ай бұрын

    Omy, kitambo Sana nakubali kazi zako kila unako amia ila nikichukizwa Sana mambo ya makundi kushiliki uchochezi hii sio poa unauwezo mkubwa wa kufikili na kusikika wwe Kama wwe na sio mtu na mtu

  • @alantonio855
    @alantonio855 Жыл бұрын

    Kaka Ommy unaendaga mjini ukimzungumzia Kondeboy...watu wengi walikuja kukuskia baada ya kuandika jina la Harmonize

  • @somaliandnorway
    @somaliandnorway Жыл бұрын

    Always amazing lil omy

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio81966 ай бұрын

    We muuza k tu yani unaweka mambo hazarani kabisa

  • @talents7934
    @talents79345 ай бұрын

    Hana ata kalio kama la Kajala😢😢😢😢ukimweka Pima Maji kuanzia Mgongoni hadi mguuni itasoma level

  • @annasolomon9855

    @annasolomon9855

    5 ай бұрын

    Unaota ndoto za mchana ukiwa umekaa kwenye Kochi.. huyu dada anashepu nzuri sana kajala haingii hata robo.. acha kimcompea na kajala. Kajala mashalla lakini poshy umeumbika vizuri kubali ukatae 😊😊

  • @user-nb4gt2zf8d
    @user-nb4gt2zf8dАй бұрын

    Hatarii kabisa kazi ipo.

  • @officialjorkeper5049
    @officialjorkeper5049 Жыл бұрын

    Lil ommy kula chuma hyo 📌

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa26014 ай бұрын

    staff like that

  • @gwidjiqshabani2082
    @gwidjiqshabani2082 Жыл бұрын

    HARMONIZE 🐘 NI KING OF BONGO FLEVA 🇹🇿 ATA BOSS WENU ANAJUWA. NDOMAANA HAMSHINDWI KUMTAJATAJAA👊👊 KONDE GANG HQ. TUPO NGANGARIII.🐘🐘

  • @subirajohn728

    @subirajohn728

    Жыл бұрын

    King wa wapi tutolee Uchafu waki

  • @chrisk.efreestylerofficial149

    @chrisk.efreestylerofficial149

    Жыл бұрын

    Tukulaumu wewe au bangi?

  • @zaidiissa3714

    @zaidiissa3714

    Жыл бұрын

    Ache kujaza upepe mmakonde bado underground sana

  • @tabiangonyani3526

    @tabiangonyani3526

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂watu waoga Sana nilichogundua mashabiki wa konde hamjiamini kabsa Nacc tunawaambia mtasubir Sana Namba moja wetu hapa tz atabaki kuwa mmoja2😅😅😅

  • @user-rr6zh5uf9y
    @user-rr6zh5uf9y5 ай бұрын

    Ommy We miss @country WIZZY here

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    Mond❤️❤️❤️

  • @andersonkipkemoi2527
    @andersonkipkemoi25275 ай бұрын

    Dada anaota hela sana😅😂

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Жыл бұрын

    Nice interview 🥰🥰

  • @rizoibrahimovich605
    @rizoibrahimovich605 Жыл бұрын

    Posh queen

  • @user-kt2bi4pn6t
    @user-kt2bi4pn6t4 ай бұрын

    yup weng san

  • @cassianmkeko1514
    @cassianmkeko1514 Жыл бұрын

    Hiyo akili yenyewe ya kuajiliwa anayobasi ni kilaza no 1 show off tu Eti mdogo🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @spreadlove5300

    @spreadlove5300

    Жыл бұрын

    Are you a genius one 😮😮😮 negative azz

  • @hajiali8820
    @hajiali8820 Жыл бұрын

    Nimeingiya baada yakumsikia conde

  • @SuphianiSemunyu
    @SuphianiSemunyu5 ай бұрын

    Hao wanaume wengine wanafata maji

  • @user-he9wf2uf7y
    @user-he9wf2uf7y Жыл бұрын

    sana🎉

  • @ndally7864
    @ndally7864 Жыл бұрын

    Kuna siku nitasema 🙏

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Жыл бұрын

    English sasa aaaam uuuuh ummm mhhh like like 😂😂😂😂 hapo anajiona mmarekani 😂

  • @user-ug3lu2km4c

    @user-ug3lu2km4c

    6 ай бұрын

    😅😅😅😅nimecheka c waongee tu kiswahil tunajua wanajua

  • @user-xh7xf2ki3r

    @user-xh7xf2ki3r

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 kunogesha interview

  • @kelvinstewart6595
    @kelvinstewart659511 ай бұрын

    so money is the thing she cares most........kazi ipo

  • @ahz6907

    @ahz6907

    6 ай бұрын

    Amekuwa mkweli..😂

  • @user-wl4uy7qv7u
    @user-wl4uy7qv7uАй бұрын

    Huy dada mbaya jamn bora kajal

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Жыл бұрын

    wanaume bado mna kazi endeleni kutafuta pesa 😂

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    5 ай бұрын

    Kwa kweli

  • @IssahYasini
    @IssahYasini5 ай бұрын

    Nah hatar sana mamb ya maokoto😂

  • @lusseraymond5449
    @lusseraymond5449 Жыл бұрын

    Enheee

  • @majaissa
    @majaissa Жыл бұрын

    NATAKA KUMUOWA UYO DADA.SHIDA NI MUNYERWANDA

  • @hajiali8820
    @hajiali8820 Жыл бұрын

    Kumbe bila kuandika jina la harmo interview zenu aziwezi kwenda

  • @user-id8bu6lw8x

    @user-id8bu6lw8x

    5 ай бұрын

    😅😅😅😅

  • @FernandShabani-er1cw
    @FernandShabani-er1cw2 ай бұрын

    Nafurahiya sana interview zenu

  • @cosmascastory9193
    @cosmascastory9193 Жыл бұрын

    Mademu wa Kibongo makuma sana yani wanapenda kuchanganya lugha kwenye interview

  • @hamisiissa8628

    @hamisiissa8628

    5 ай бұрын

    Acha ushamba na ww ongea tuu

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    5 ай бұрын

    Nani alisema ukimbie shulee

  • @user-id8bu6lw8x

    @user-id8bu6lw8x

    5 ай бұрын

    Yes they do bored

  • @ellgodfather282
    @ellgodfather2825 ай бұрын

    Brother interview mmetuibia MB

  • @shuckahboy4241
    @shuckahboy4241 Жыл бұрын

    Nime view hii interview after see the name of konde 4 real

  • @eddymudindi9166

    @eddymudindi9166

    Жыл бұрын

    Same

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os6 ай бұрын

    Nimewahi kuona watu wanajidhalilisha lakini huyu binti amevunja records zote. Lugha anayotumia ya kujifanya mzungu , kujishauwa, kisha philosofia yake ya maisha kama kupenda fedha sana. Ati pesa ndiyo itakayofanya asicheat. 🙄 Ni vigumu kuona umuhimu wa kumsikiliza mtu kama huyu ila tu kujifunza kuwa baadhi ya watu hawana thamani yoyote bali vyombo tu🤮

  • @ladislausngoyinde4384

    @ladislausngoyinde4384

    4 ай бұрын

    😂😂, kabisa na nyongeza ni kuwa watu wa aina hii hawana muono chanya wa mbele, ukiwa naye usitegemee atakushauri chochote cha maana zaid ya starehe tu

  • @Mondkingali
    @Mondkingali11 ай бұрын

    I’m here bcz of harmonize name

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @odetharwaibale4963
    @odetharwaibale49635 ай бұрын

    Brabraaaa and staff like that 😅😅😅😅😅😅 dah mwandishi kiboko

  • @ramak.9587
    @ramak.95875 ай бұрын

    Sasa to be honest uyu ni mtu angetulia kwa ndoa surely. Mtu amezoea mboro za kila aina haezi tulia na mwanaume mmoja

  • @msafimedia
    @msafimedia Жыл бұрын

    03:2

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu3 ай бұрын

    ❤❤

  • @Official_craizejaw
    @Official_craizejaw Жыл бұрын

    Ashh

  • @user-om8ni4hg8m
    @user-om8ni4hg8m5 ай бұрын

    Nilivyowaza tofauti , Kumbe keshapita , keshazaa ,alafu nimesikia alishadanga duh.... Unajua Nimechoka hoi. 😮

  • @EmanuelNicholaus-vn9gl
    @EmanuelNicholaus-vn9gl5 ай бұрын

    King 👑 of interviews

  • @user-oi3pf6dj8t
    @user-oi3pf6dj8t5 ай бұрын

    Namkubali kwel huyo jamaa

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 Жыл бұрын

    Instaf laik zat😢😢 badilik omy baaana

  • @AsdDsa-fi5qk

    @AsdDsa-fi5qk

    4 ай бұрын

    Mwanamke mzr niyule mwenye kujistir

  • @harmonaize3.1m18
    @harmonaize3.1m18 Жыл бұрын

    ☝️

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Жыл бұрын

    Posh uraho amakuru uri mwiza koko urumunyarwanda mama wawe nu mutusti niyo mpamvu uri mwiza

  • @shaanaseeb9423
    @shaanaseeb9423 Жыл бұрын

    😍😍😍😍🔥

  • @jahhloveyou4462

    @jahhloveyou4462

    11 ай бұрын

    Mona Hawa madada wana Sauti sawa

  • @nyimbompya
    @nyimbompya Жыл бұрын

    INTRO NI KIPINDI KAMILI

  • @user-fd4dt9zo2g
    @user-fd4dt9zo2g Жыл бұрын

    Huyu mrembo nimempenda bure, very smart

  • @msafimedia
    @msafimedia Жыл бұрын

    3:10

  • @Mina.15
    @Mina.155 ай бұрын

    Kachaa ndio nini 😂

  • @ashakijaji5869
    @ashakijaji58693 ай бұрын

    Yaani majanaume yanapenda kuheshimiwa,wakati hiyo heshima haiji bure

  • @badmanno.1650
    @badmanno.16505 ай бұрын

    Kaa kaaida

  • @startz24
    @startz24 Жыл бұрын

    Baby tena mzee kukwamuwe apo

  • @maryannqueen7356
    @maryannqueen73562 ай бұрын

    Mimi Nikolai’s harmonize ametajwa, mbio ninayo kimbia sio ya umri wa miaka 50.. 😂Tembo world wide and age wide

  • @magolla9209
    @magolla92095 ай бұрын

    Bro kama unafanya interview ili uwe mtam zaid tumia lugha moja kifup hh umefanya like like like like nyingi paka zinaboa aiseeeee shshshshshshsgshsjsjsgsjsgsjssgsjsgshsj blah blah blah

  • @salomemlagila5757
    @salomemlagila5757Ай бұрын

    Mnyakyusa mwenzangu

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Жыл бұрын

    Mtoto wa mchungaji, hana akili kabisaaa

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 Жыл бұрын

    ❤😂

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029Ай бұрын

    Umefata hela kwa konde hakuna love pale unaigiza mbongo movie

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo88034 ай бұрын

    Sasa kama ana bwana yuko nje! Hamonize wavnini, si itakuwa anapoteza muda

  • @panzamarthinie9958
    @panzamarthinie99584 ай бұрын

    😅😅😅😅😅 mimi apoo

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8feАй бұрын

    Ila hamornaz anatakiwa kuwa makini sana na Hawa wanawake

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Жыл бұрын

    Mvp King himself

  • @chris_jabari
    @chris_jabari Жыл бұрын

    Harmonize ameongelewa dk ya ngapi?

  • @sayukimwakisu6801

    @sayukimwakisu6801

    Жыл бұрын

    Dk ya sita

  • @sayukimwakisu6801

    @sayukimwakisu6801

    Жыл бұрын

    Dk ya sita

  • @sayukimwakisu6801

    @sayukimwakisu6801

    Жыл бұрын

    Dk ya sita

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2hАй бұрын

    Umepend hel au jic alivyo

Келесі