MFAHAMU MUUZA SUPU ALIYEIBUKA KUWA BILIONEA

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Пікірлер: 177

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim93114 ай бұрын

    Namjuwa sana yote anayosema ni kweli Allah ambarik amzidishie ampe umri mrefu azidi kusaidia watu

  • @user-gb3lq2kl3m

    @user-gb3lq2kl3m

    3 ай бұрын

    Mashallaa kiukweli Bopar ni mtu wa aina yake Sana,ukichunguza mwanzo mwisho yupo ktk misingi ya dini na maelekezo ya wazazi🙏Mungu akutunze Sana mzee wetu funzo ni kubwa Sana.

  • @bongo39
    @bongo394 ай бұрын

    Mashaallah nimependa hadithi ya huyu sheikh inshaallah na sie pie allah atufanyie wepesi huo mie binafsi uwezo wangu sio mzuri ila napenda sana kufanya kama huyu sheikh najitahid nafanya kwa uwezo wangu alionijaalia allah alhamdulilah allah kareem

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf4 ай бұрын

    Mashallh huyu baba anaimani sana NA licha ya pesa alizonazo hajiskii Ata kidogo m mungu akuzidishie kheri

  • @suleimanh1826
    @suleimanh18264 ай бұрын

    Hii stori inahamasisha sana. Vijana wa leo tujifunze kwamba maisha hayana njia ya mkato. Ahsante Alfatah TV

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf4 ай бұрын

    Mwalimu alikua anamdomo mwema kakutabiria mazuri mashallh

  • @user-nc6dk7eo7t
    @user-nc6dk7eo7t4 ай бұрын

    Kupitia sheikh huyu nimejifunza mengi kwamba pia hakuna kukata tamaa ktk maisha na vile vile kuwa na subra na kumtegemea Allah (s.w )tutafika in shaa Allah m/mungu amjaalie umri mrefu wenye manufaaa allahuma aamin thumma aaaamin 🤲

  • @nailaomar4810
    @nailaomar48104 ай бұрын

    Mashaallah tabarakaallah Allah akuzidishie kheri na barka ameen na mama ako kipenzi mungu amjaze kheri inshaallah

  • @nassorhaji6930
    @nassorhaji69304 ай бұрын

    Allah azidi kukupa nguvu za kuwasadia wanyonge juhudi zako hazitaki tochi kila mtu anaziona Madhallah

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir2623 ай бұрын

    Mashallah kiukweli mbona najifunza hapa siwezi kata tamaa kwamwe nitamtegemea allah napia sadaka ni kitu muhimu sana katika amaisha yetu

  • @user-nc6dk7eo7t
    @user-nc6dk7eo7t4 ай бұрын

    Wallahy jazzallahu ghaira kwa ukumbusho hakika lipo la kujifunza kupitia haya jazzallahu ghaira jazzallahu ghaira kwel Inna Allaha maaswabirina

  • @chikujuma18
    @chikujuma184 ай бұрын

    Mashallah inshallah shukuran mwenyezi mungu akujazie Kila la kheri akuzidishie unapotoa akuongeze inshallah

  • @user-zc8ke6fo4p
    @user-zc8ke6fo4p3 ай бұрын

    Masha Allah, Masha Allah, Masha Allah, machozi lazima yakububujike kwa maneno na vitendo vya kheir anavyovifanya kaka etu Bopar, nataman na mm niwe kama Bopar, mm kwangu huyu Bopar ni kiigizo chema na In Shaa Allah ipo siku na mm nitakua km ww Bopar Amiin

  • @yusuphhabibu1474
    @yusuphhabibu14743 ай бұрын

    Mashallah lait matajiri wote wengeiga mfano wa sheikh huyu au mfanyabiasha huyu uislam ungekua juu Zaid

  • @Nassor2377
    @Nassor23774 ай бұрын

    Maashallah Allah amzidishie kila akitakacho na Allah ampe mwisho mwema yeye na sisi ...kuna funzo kubwa hapo kwa maelezo na vitendo vya Sheikhe Bopar ...Allah akulipe kheri pamoja na uongozi wa Al Fatah kwajumla.

  • @user-wp8yk6ow8h
    @user-wp8yk6ow8h4 ай бұрын

    ❤❤❤maasha Allah mwenyezimungu akuzidishie kheir nasie tuombee dua ili tufanikiwe kama ulivyo fanikiwa wewe na insha Allah uwe miingoni wa waja watakao ingia peponi na mtume swala na salam ziwe juu yake ndani ya firdaus Amin Amin insha Allah

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim94633 ай бұрын

    Alhamdu lillah masha All’wa Shekh Said Nasser All’wa akulinde na hasad na akupe umri mrefu amiin

  • @abufirdaushashim8585
    @abufirdaushashim85853 ай бұрын

    Mashallaah tabarakallaah ... sheikh Bopar ni mfano wakuigwa na hawa matajiri wetu wakiislam... Nikweli mia fil mia matajiri wengi wakiislam hawataki kumpa Allaah haki yake (zakatul maal) wala hawataki kufanya biashara na Allaah... mali zao nyingi wanazipoteza kwenye kusponsor timu za mipira au waimbaji ama wanasiasa... lakini wanaona ubakhili kutoa kwaajili ya Allaah. Lau matajiri wote wangeungana katika kutoa sadaqa au zakat bila shaka umaskini haungekuwepo hapa duniani maisha ya mayatima, wajane na mafukara yangebadilika pakubwa..

  • @user-gb3lq2kl3m
    @user-gb3lq2kl3m3 ай бұрын

    Mashallaa Sheikh Said Bopar ww ni mfano wakuigwa,kiukweli mwanzo mwisho wa maelezo yako imeonesha wazi jinsi gani upo karbu na Mila na desturi za dini na kitu kikubwa ni kufuata Wazazi,🙏Tunakupenda Sana kwaajili ya Allah

  • @AllySully
    @AllySully4 ай бұрын

    Mpemba safi kabisa sheikh said bopar mwenyez mungu akulipe kila kheir fii Dunia Wal akheir.

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @Bigmo2706
    @Bigmo27063 ай бұрын

    Mashallah asante sana bopar umenifunza kitu kikubwa leo Allah akuongoze na akupe pepo iliojuu inshallah

  • @RahmaRashid-lc6nw
    @RahmaRashid-lc6nw4 ай бұрын

    Mashallah Tabaraqallah neema kubwa kumuona mtu aliyejaliwa kipato bado ameshikamana na dini na mwingi wa kutoa

  • @SaidSaid-rm8wq
    @SaidSaid-rm8wq4 ай бұрын

    Mashallah Yaa Rabbi mpe huyu bopar umri mrefu na afya bora aendelee kuwasaidia maskini na wasiojiweza na pia azidi kuwahamasisha waislam wengine wafuate nyayo zake .kwa kusaidia wanyonge Mungu akuzidishie Sana na sana.

  • @fatmaalbeity9097
    @fatmaalbeity90974 ай бұрын

    Hakuna kitu kama kumtanguliza mwenyezi mungu katika maisha yako na kuwa na kinaa na kuwati wazazi dua yamzazi inafungua barka kubwa na kutokuwa na kiburi ! Huyu bwana qualification zote hizi anazo ..mashaallah tabarakallah Allah ihfadhkum Allah ibarik

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Naam

  • @saidseif1605
    @saidseif16053 ай бұрын

    Masha Allah Tabaraka Allah Jazaka Allah Kheir

  • @hajikhatibhaji7162
    @hajikhatibhaji71624 ай бұрын

    Allah akuhifadhi mzee wetu, akuongezee katika machumo yako na aikuze mali yako zaidi ili uweze kuwasaidia watu wengi zaidi

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @abdillahiomar5961
    @abdillahiomar59614 ай бұрын

    Mashallah.Allah awalipe nyote kwa kazi yenu nzuri.Allah awape jannatul firdaus na ibada zenu ziwe maqbuul

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f3 ай бұрын

    Yaa Allah mjaalie umri mrefu wenye kheri na barka mja wako huyu na umlipe Pepo yajuu bila ya hisabu pamoja na kipenzi chetu Muhammad yeye nafamilia yake inshallah

  • @zulekha3028
    @zulekha30284 ай бұрын

    Allaah akupe kheri za dunia na akhera utaporejea inshllh

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @mohammedally5935
    @mohammedally59353 ай бұрын

    Alhamdullilah Tumepata funzo kubwa sana ukitowa Nafasi inafurahi ukitowa 100 kesho unataka kutowa 150 kwa tafsiri nyepesi towa utakavyotowa unakuwa na Amani Allah tujalie tuwe miongoni katika kufanya kheri🤲🏼🤲🏼

  • @hamadibujafar2228
    @hamadibujafar22283 ай бұрын

    Mashallah Allah akuzidishie shekhe Bopar hakika kuna kitu cha kujifunza kwa unayoyapita

  • @user-rv2gb2gi7q
    @user-rv2gb2gi7q4 ай бұрын

    Sheikhe said mwenyezimungu amjalie mwisho mwema

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aaamin

  • @Mohammed-ot7nf
    @Mohammed-ot7nf3 ай бұрын

    Gd bless u akupe afya umri akuondoshe Kila BAYA mbele yako

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi43854 ай бұрын

    YAANI HUYU BABA KWAKWELI ZANZIBAR...TUMUOMBEE TAJIR PEKEE ZANZIBAR..ASIE KUWA NA MAKUU

  • @twahasuleiman-lo9vl
    @twahasuleiman-lo9vl4 ай бұрын

    MashaAllah MashaAllah Wallah najisikia... Machoz yananitoka... MashaAllah Allah amjalie Bopar ampe Maisha Mazuri...

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s4 ай бұрын

    "Kitu kikubwa kilichonisaidia ni uaminifu" Nimekuelewa sanna mzee.

  • @waheedaw1953
    @waheedaw19534 ай бұрын

    MashaAllah tabaraka Rahman Allah akuzidishiye zaidi ya hayo Na mwisho mwema NAKUTAKIYA AFYA DAIMAN INSHAALLAH

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp3 ай бұрын

    ASALAM ALIEKUM naomba nmba ya shkh said nasor bobar minhisanikum mie nipo MOMBASA kenya

  • @zenjibar64
    @zenjibar644 ай бұрын

    Vijana wa. siku hizi. hawataki kujituma , wanasubiri watu watoke majasho wao waje kukuibia .

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar58654 ай бұрын

    mashallah tabarakah allah utu unashinda kitu hata maswahaba walitoa mali zao zote kwa sababu ya dini na hata mtume s a w alikua akilala njaa sababu ya waliomzukuka zama tulizo nazo ni wachache sana wenye kuiga mafunzo mema ulimwengu mzima matajiri wakubwa ni waislam lakin aradhiwa ajihfaharishe kwa anasa za dunia ili apate umarufu mwisho wa siku umauti haubishi mlango wala kukupa tarifaa hilo wamelisahau kwa anasa za usoni wanachezea ballion kwa upuuzi na kuna wahitaji asili mia sabini na tano ukijua utakapo na uwendapo na mwishon kifo huezi kufanya makosa na uwezo unao

  • @user-tr9qx4wb4s
    @user-tr9qx4wb4s4 ай бұрын

    Allah akupe maisha marefu Ndugu yetu. Hakika wewe ni hazina katika umma WA kiislam. Allah akupe wepesi. Naomba safari hii biidhnilah ufike kijiji cha mjini wingwi Pemba ameen

  • @AwadhiSiraji-gw8lo
    @AwadhiSiraji-gw8lo3 ай бұрын

    Yule mwalimu kauliyake yakheri ishaallah

  • @zuberimbwila3264
    @zuberimbwila32643 ай бұрын

    Mashaallah leo nimejifunza kitu kikubwa katika maisha yangu allah atujalie sote tuliopata nafasi ya kumsikiliza shekhe

  • @sheikhaswalehsalim3392
    @sheikhaswalehsalim33924 ай бұрын

    Mashaallah mwenyezi mungu akupe umri mrefu na ukizidishie neema.ameen Ameen Ameen Ameen yarab 🤲 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido27923 ай бұрын

    Clip hii inamazingatio Sana na imefungua watu wengi masikio na macho,hakika kutoa ni moyo na ni neema Kubwa sana Allah Akikujaalia moyo wakutoa, Allah Atupe Mioyo ya kutoa bila yakuhofia umasikini Allahumma Amin, Allah Akuzidishie Neema na Afya yenye Baraka Bopar Allahumma Amin.

  • @AmirGau-it5ty
    @AmirGau-it5ty3 ай бұрын

    Mashaallahu shekhe sayidi bopari ALLAHU akulipe kula ya kheri

  • @user-tr9qx4wb4s
    @user-tr9qx4wb4s4 ай бұрын

    Mara nyengine sheikh said tufikirie namna yakuwapelekea wataalamu WA fani ndogo ndogo wawafunze jamiii. Kama vile subunit, viatu vya plastic na ufundi mbali mbali. Ahsante

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim53124 ай бұрын

    Maasha Allah maasha Allah tabarrak rahman amiin hakika tumejifunza mengi kutoka historia yake na vipi As wazazi tuwe na vizazi vyetu in sha Allah azidi kukufanyia barkah ktk maisha yenu shukran

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi13794 ай бұрын

    Mashallah ALLAH akuhifadhi n Dini yko N akuzidishie Umri Mrefu

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Aamin

  • @mwanamnyika4085
    @mwanamnyika40854 ай бұрын

    Mashaallah tajili wa kujielewa ,tuna mbunge moja hapo ninapo kaa ataki wanainchi waunganishe umeme kwwnye ngunzo ambayo Iko kwenye eneo lake kwa kweri sijui akifa ataenda nao uwo umeme subhaanallah

  • @user-hb9uv1ry7o
    @user-hb9uv1ry7o4 ай бұрын

    ما شاء الله يا شيخي ومعلمي ، أسأل الله تعالى أن يزيدك ويبارك لك في مالك لتكون مع الذين ينفقون أموالهم فى سبيل الله، وأن يحفظك من جميع البلاء والبلوى الخارج من الأرض والنازل من السماء وحفظك الله من كل شر وجزاك أحسن الجزاء

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    آمين

  • @rajabrajab9747
    @rajabrajab97474 ай бұрын

    Mashaalla Allaha akuzidishe kheri Duniani Hadi Akhera

  • @bushraaljadidi7747
    @bushraaljadidi77474 ай бұрын

    Maa shaa Allah.Allah akupe kila lakheri🤲 usiwasahau watu wa mkowani pia

  • @fathiarabi8340
    @fathiarabi83403 ай бұрын

    MashaAllah TabarakAllah ✨

  • @MouhammedSeif
    @MouhammedSeif3 ай бұрын

    Matajiri wa zanzibar niwakarimu sana mungu kawajalia imani kubwa

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed51574 ай бұрын

    MASHA ALLAH INAMAFUNZO MENGI NIMEIPENDA HONGERA SANA BROTHER ❤❤❤

  • @user-rk9qj9ob1p
    @user-rk9qj9ob1p4 ай бұрын

    Mashallah mashallah mashallah mashallah Allah walipe kheir ktk hayo munayofanya

  • @user-pt5nq8up8z
    @user-pt5nq8up8z3 ай бұрын

    Masha allah mwenyezi mungu akuzidishie badala insha allah

  • @ukhtysalama4184
    @ukhtysalama41844 ай бұрын

    MashaAllah Allah akulinde na kila baya, akulipe malipo mema duniani na kesho Akhera.mungu ajaalie ufike na kijiji cha kiwani ya mchanga mdogo, wete pemba InshaAllah.

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube4 ай бұрын

    Tabaaraka rahman Allah akubarik

  • @user-er5oz3lk8q
    @user-er5oz3lk8q3 ай бұрын

    Maashallah allah akubarik. Usomesha somo kubwa. Alhamdulillah.

  • @FatmaMohamed-jw2lc
    @FatmaMohamed-jw2lc4 ай бұрын

    Allah amlipe kheri mama yako mtoto mwema hutengenezwa tangu mapema na Allah hujaaliya kawa mwema

  • @user-sg1ip7mk9y
    @user-sg1ip7mk9y3 ай бұрын

    Asalam alaykum MashaAllah Allah atubarik Sheikh Rashid mm nataka kumuona Bopar lnshaAllah.

  • @user-qd2tp2mb5l
    @user-qd2tp2mb5lАй бұрын

    Mashaa'Allah nimeipenda story yako Allah akuhifadhi ili uwe mfano kwa vizazi na vizazi Innshaa'Allah ❤

  • @hamiduhamidu5974
    @hamiduhamidu59743 ай бұрын

    Mashaallah boss Bopa mimi nishuhuda wa ayanenayo kuna kijana aliwai kuvamia biashara yake uturuki lakini alimaliza kwa hekima

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid39184 ай бұрын

    Kiukweli katoka moyoni huyu sheikh said kwangu mm nimejifunza kwako mambo mengi katika utoaji wake kila nikaswali huomba mungu anijalie mali na imani na moyo kama wanakumbula kuna siku nilipata pesa kiasi nikaenda hadi dukani kwake pale mombasa nimuone anipe ushaur wakufanya biashara na nilitaka ninunue pampas pale dukani nianze biashara ila wale wauzaji wakaniambia hayupo na siwez kumuona hapo nikaanza biashara ya mkaa kuchukua kutoka tanga ijapo sijafanikiwa ila saiv nafanya kaz nikijipanga iko siku in shaa Allah nami nami nitakua mtoaji kama yeye Allah amjalie umri mrefu wenye mwisho mwema na kruu yote ya al fatah kwa juhudi zenu.

  • @user-zl3we4si9q
    @user-zl3we4si9q4 ай бұрын

    Mashaa Allah tabarak wataala

  • @SAUMUALI-zf1cz
    @SAUMUALI-zf1cz3 ай бұрын

    Mashaallah Allah akulipe kheri duniani na akhera😊

  • @abdallamohamedabdalla
    @abdallamohamedabdalla3 ай бұрын

    Ma sha Allah TabarakallAh ❤

  • @nadhifamohammed7749
    @nadhifamohammed77493 ай бұрын

    Hapa kwenye isabu kweli nilifika ofini kwako nimeshuhudia

  • @fatmam1997
    @fatmam19974 ай бұрын

    Mashaallah Allah akuzidishie akulipe kila zuri unalolifanya

  • @is-mailh.makame5420
    @is-mailh.makame54203 ай бұрын

    mashallah mzeee nakuelewa na nakuheshimu sana HIGH IQ upo nayo ya

  • @halimsaidi9567
    @halimsaidi95673 ай бұрын

    Sheikh kaanza mbali sana mashallah

  • @halimsaidi9567

    @halimsaidi9567

    3 ай бұрын

    Mashallah

  • @mody-guyngido2792
    @mody-guyngido27923 ай бұрын

    Barakallahu fiikum

  • @allykassim1120
    @allykassim11203 ай бұрын

    mungu akuzidishie na akulinde shekhe

  • @allybobsaith
    @allybobsaith3 ай бұрын

    Sipendi kua high napenda kua low mashallah tabraka allah🎉🎉🎉🫂🫂🫂nice say

  • @zabibuissa1252
    @zabibuissa12524 ай бұрын

    Allahumma thummaa Amin Nasi tuwe kama. Shehe

  • @fatmasaid9765
    @fatmasaid97654 ай бұрын

    Mashaallah Allah akuzidishie neema na baraka uzidi kusaidia jamii

  • @husseynomar9523
    @husseynomar95234 ай бұрын

    MashaAllahu sheikh Allah atubarik kwa sote Amiin

  • @mbarakkhamisali
    @mbarakkhamisali3 ай бұрын

    Uyu mzee ni mtu MashaAllah

  • @OmarOmar-bh1iu
    @OmarOmar-bh1iu3 ай бұрын

    بارك الله فيكم واحسن اليكم.

  • @NabilHassan-ny6jj
    @NabilHassan-ny6jj3 ай бұрын

    INSHALLAH MUNGU AKUBARIKI BOPAR

  • @rahmahaji3564
    @rahmahaji35643 ай бұрын

    Mashallah Allah ampe Kila la kher maalim boper

  • @faroukfarouk477
    @faroukfarouk4774 ай бұрын

    Allah akuzidishie

  • @stonetown578
    @stonetown5783 ай бұрын

    Masha'Allah TabarakaAllah, Allah azidi kukufanyia wepesi katika shughuli zako.

  • @suleimanadim6522
    @suleimanadim65224 ай бұрын

    ALLAH ATUZIDISHIE KHER NA BARQA MASHALLAH

  • @aliyabdullah1633
    @aliyabdullah16334 ай бұрын

    Allah akuzidishie zaidi na zaidi kwa akulipe kheri inshaallah na ujira mkubwa inshaallah

  • @TheFire_Gamer

    @TheFire_Gamer

    4 ай бұрын

    Mashaallah

  • @user-jj8vq5qr9f
    @user-jj8vq5qr9f3 ай бұрын

    Sheh mm naomba unisaidie namba za huyu baba kw uwezo wa Allah atakulipa hery inshaallh naomba 🙏

  • @AliAbdulla-xq8vr
    @AliAbdulla-xq8vr4 ай бұрын

    Ni kweli shehe said ametoka kwenye hali ngumu sana anayosema ni ya kweli

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Mkoani eee???

  • @user-on6pl8ut8g
    @user-on6pl8ut8g3 ай бұрын

    Mashallah Allah awafanyie wepesu

  • @user-op3vj9nf5b
    @user-op3vj9nf5b4 ай бұрын

    MASHAALLAH ALLAH akuzidishie kila la kher

  • @SalmaSalum-qw8yo
    @SalmaSalum-qw8yo4 ай бұрын

    Jazakallah khayr

  • @AnwarAli-vs9mp
    @AnwarAli-vs9mp3 ай бұрын

    MASHALLAH TABARAKALLAH allah izidak nasi twakuomba utusaidie tupo msa kenya

  • @yuleboy8059
    @yuleboy80593 ай бұрын

    Mwenyezi mungu atakulipa juu ya kheri yko MashAllah

  • @oshaooshao3301
    @oshaooshao33013 ай бұрын

    Maasha ALLAH, Great Job done by the Bopar and may Allah bless him in the Dunia and Akhera, Amiin Amiin Amiin

  • @user-bw7ve8ce3q
    @user-bw7ve8ce3q3 ай бұрын

    Mashaa Allah sheikh said kwa kunipa mafunzo, Alhamdhulilah

  • @user-yp7nr4ub9l
    @user-yp7nr4ub9l3 ай бұрын

    Good job mashaallah

  • @YusuphKenyatta
    @YusuphKenyatta3 ай бұрын

    Mashallah kipindi kizuri lakini kwa nini mwandishi ajamuuliza mbinu za utunzaji pesa mpaka kufikia hapo jinsi ya kuishi kutokana na kipato swali muhimu sana linaweza okoa kizazi na kiza

  • @user-kr9gd1tl8h
    @user-kr9gd1tl8h3 ай бұрын

    Bopa is good boss

  • @fatmakhalef3450
    @fatmakhalef34504 ай бұрын

    Mashaa Allah. Allah ambarik Zaid. Amin

  • @mariamsalim9311
    @mariamsalim93114 ай бұрын

    I am proud of you my brother

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    True