BILIONEA MULOKOZI AKUBALI KUSIMULIA KILICHOMTAJIRISHA "NILIANZA NA MTAJI WA MILIONI 20" - EPISODE 3
Жүктеу.....
Пікірлер: 841
@rm97565 ай бұрын
after 10 yrs hii interview itakuja kuzaa matajiri wengi inshaAllah
@diamondplatnumz.148kviews5
5 ай бұрын
Kwel kabisa
@josephkiwale374
5 ай бұрын
🎉🎉🎉
@piusprojestus3437
5 ай бұрын
Sawa bilionare rm
@hermanurassa5087
5 ай бұрын
Kabisa yan nimeisikiza mwanzo mwisho
@user-oy3dg3pq2v
5 ай бұрын
Inshaallah
@riddi6765 ай бұрын
I connect with this rich man, one day Millard will interview me and i will tell him do you remember mulokozi interview? That's inspiration ❤
@yuvenalalphonce5978
4 ай бұрын
Ww ni mtoto wa kapola bila shaka.!😂
@daisynyerere5730
4 ай бұрын
Same applies to me🎉
@mwami_the_don_5 ай бұрын
Millard viziwi wanatamani uwawekee mtu wa kutafsili apo chini 🙏🏼 God bless you
@millardayoTZA
5 ай бұрын
SAWA NDUGU YANGU, NIMEPOKEA MAELEKEZO
@fadhilibarnabas3438
5 ай бұрын
Tumelipokea hilo kaka tunalifanyia kazi Umeongozwa na Mungu❤
@mwami_the_don_
5 ай бұрын
@@millardayoTZA God bless you 🙏🏼🙏🏼
@mwami_the_don_
5 ай бұрын
@@fadhilibarnabas3438 🙏🏼
@mshamumachalila2138
5 ай бұрын
Wazo zuri kaka millard muekee hata kakitu kwa mpesa yake😂
@missdija49595 ай бұрын
The guy is so humble and smart. He doesn’t brag at all with all that he have, yani hajibu swali ambalo hajaulizwa hatoki nje ya topic. Very smart anajibu vizuri sana, hatambi.. 🔥🔥🔥🔥
@songweairport7602
5 ай бұрын
smart brain
@joshuajustustz
5 ай бұрын
Kuna Hawa wengine Sasa dah 😂
@mwalimuhakika9757
5 ай бұрын
My role model Bilionea Mulokozi
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Msomi huyo 100%
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Mashibe za billion 10 ndio hakili sio v8 , hammer gari ya shamba wewe unaliga nalo town
@MizeKombeSuleiman-id1rp5 ай бұрын
One day i will be a very successful business woman in my country BIIDHINILLAH
@OfficialMutrah
Ай бұрын
Mungu akutimizie hitaji la moyo wako inshaalah
@songweairport76025 ай бұрын
@mulokozi anatufundisha jinsi ya kuwa na maono,jinsi kuyasimamia maono,kuwa na nidhamu na kila kitu unachokifanya...na kuacha ujinga ujinga... big up @millard kwa interview boraa kabisa kwa mwaka 2024
@leonardlunguya7112
5 ай бұрын
Exactly
@thomastemu9938
5 ай бұрын
Correctly broo ❤
@mtegamelkior51935 ай бұрын
Nimependa sana maelezo au historia halisi ya huyu mpambanaji wa maisha msomi David Mulokozi. Ni funzo zuri sana kwa vijana wasomi hasa wasio na kazi. Pia nimevutiwa sana na maswali ya magumu kutafuta story ya kweli ya Milad Ayo, kwakweli ni mwandishi wa kimataifa.
@fatimasaid94695 ай бұрын
Brother wallah kma kijana hukuelewa hiii darasa la bure . Kila siku utalia maisha magumu. Vijana wengi mb zao zinaishia kwenye upumbavu. Blessings ayo blessings Brother hizi ndio interviews bora zaid .
@edwintouches5 ай бұрын
Tajiri anasema anahitaji kuleta vijana wasomi kwenye Kampuni kwasababu anaamini wana mawazo mapya yatakayo kuza Kampuni? Yaani nikwamba tajiri yupo tayari kujifunza. Kuna kitu cha kujifunza kwa huyu mwamba! Ni mtu humble sana, pengine ndio sababu anafanikiwa sana. Bonge la Interview! 💯
@user-zq7gw4ik7g5 ай бұрын
Uko juu sana mungu akubaliki kwa kunifundisha jinsi ya kujituma na kuplani kazi yaani mtu achoki kukusikiliza wewe ni mlokozi wa kweli kama jina lako.
@user-vt2wu6oo5y5 ай бұрын
Am happy for Mulokozi,nilimfatilia miaka minne au mitatu nyuma alihojiwa na mwandishi wa Milard Ayo aiseee Mungu ni mwema amepiga hatua za hatari zaidi.
@renatusmakolo90235 ай бұрын
Nimeongeza lesson kwamba usikalili maisha, kuna watu wanadanganyana kwamba alie na elimu kubwa kama masters n.k hawezi kuwa tajiri. Utajiri inategemea na discipline yako, thanks @ayo TV.
@innocentmushi1550
5 ай бұрын
📌
@user-so3gy2io8l5 ай бұрын
Mawazo yakusema ilikufanikiwa lazima uwe freemason ni ujinga sana, hard work pays , smart mind, and intelligent
@millardayoTZA
5 ай бұрын
👊🏿👊🏿👊🏿
@damariszuckschwert9489
5 ай бұрын
Exactly 💯
@dorothmsuya16865 ай бұрын
Yaani mwanangu Milady nakupenda sana sana. Nakumbuka ulipoanzia mpaka hapa ulipo! Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu!❤❤
@madinajamada91805 ай бұрын
Nimejifunza kitu kupitia hii story allah anipe uzima ishallah nitakuwa kama yy mungu ashindwi kitu ukimuomba.Mungu akubaliki kaka yangu muhaya mwenzangu .Asante sana Milad kwa kutuletea habali njema.❤
@jamesdavid59245 ай бұрын
Najivunia Sanaa kuwa MATI SUPER BRAND, NAJIVUNIA KUWA MWANAFAMILIA YA MATI NI MENGI NIMEJIVUNZA , MUNGU AZIDI KUKUWEKA MD WETU, TUNAKUPENDA
@ahz6907
5 ай бұрын
Msimuibie tu mkafilisi kampuni 😂
@Ambagaye5 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu humble sana; ndiyo maana anafanikiwa. Anasema ukweli wote bila kumung'unya neno.
@user-nq4md3sj6d5 ай бұрын
ebana eee!! leo uwanja wa comment ndio nimeufungua, sasa kama umependa hii interview ya MULOKOZ gonga like 👉
@millardayoTZA
5 ай бұрын
pamoja sana NQ
@imka2820
5 ай бұрын
Naomba maosiano na wewe kaka mollardayotza kama inawezika from comorien🇰🇲 nayechi 🇫🇷
@lameckmndeme1969
5 ай бұрын
@millardayo 🔥🔥
@jacquilenemeiseyeki
5 ай бұрын
@@millardayoTZA😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@jacquilenemeiseyeki
5 ай бұрын
1:37 1:41
@georgebundala19155 ай бұрын
Hongera Mulokozi,uko vizuri umesheheni kuanzia elimu,akili na uwezo wa kujieleza.Una kila sababu ya kujivunia.Hongera Millard Ayo kwa interview nzuri sana.
@joycekalago5325 ай бұрын
Huyu baba mstaarabu sana huwezi kumjua kama hajakuelezea chochote,abarikiwe sana
@abdallahkwayu38365 ай бұрын
Mambo vipi brother mulokozi mim ni transport naomba kazi za kukusafirishia mzigo wako kwenda DRC duh uko vizuri Sana nimekusikiliza dah hongera Sana brother
@sevenafrica5 ай бұрын
Watoto wa pili kuzaliwa wanakuwaga blessed sana aloo nani mwingine kagundua hili 🙌
@SubiraKasyupa-bd6gz
5 ай бұрын
Hapana sio kweli😅
@sevenafrica
5 ай бұрын
Kwel ujue fatilia kwa asilimia kubwa ni ivo
@GODFREYKALINGA-ed2qq
5 ай бұрын
Kwer tuko blessed sana
@sylvesterjohn5345
4 ай бұрын
kama nilivo mimi mkuu umenisemea , soon b4 miaka 5 nitakuw billionaire na nitakuwa nahojiwa na millard
@vancy_crazy
4 ай бұрын
Always first born & last born ndo mwisho wa matatizo
@johndemunga29035 ай бұрын
Asante sana brother kwa bonge la interview nime jifunza kitu hapa much love from DRC🇨🇩🇨🇩
@geofreysadok48235 ай бұрын
Dakika ya 10 hapo imesikika sauti ya farasi ,daaaah hadi jamaa amesmile😅 namim huku nimejikuta nasmile tu maisha haya 😂
Acha kujipangusa mauwa kichwani mulokozi izonineeema mungu Ana mwagilia ushatuokoa tayari jinalako mulokozi nijina lauokovu tayari ushatuokoa aseeee wewe niwetu broo 😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ mungu akutunze una ulooo moyoni mwako yan mimi umenikopa akili tayari 2024 sitakiwi kuferi nilikuwa naferi sababu sina marifa spirite
@millardayoTZA
5 ай бұрын
😅😅 AU SIO
@Ishengoma15 ай бұрын
Hammer ni kazi ya shambani. Damu ya kihaya hii😂😂😂😂
@franklinisaya4796
4 ай бұрын
Ndugu yako si umemuona😅😅😅
@kagenzikanala1095 ай бұрын
Best interview... Best representer Maswali mazuri Majibu mazuri Naam!.... Mulokozi anafanya vitu baada yakifanyia upelelezi Hapoo.... ninamadini yangu nayahifadhi ✊ MILLARD ishi sana brother!!.....
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA KAGENZI 👊🏿👊🏿
@lunangabenjamin31215 ай бұрын
Kuzaliwa maskini sio mbaya ila kufa maskini ni zambi na ujinga wako mwenyewe.jamaa kapambana kweli,kweli.na kwepa mishale mingi.big up broo unaishi peponi kabisa.chini ya juwa yanawezekana,ila siyo yote.
@omarimsasu83035 ай бұрын
Du, I`m a man of 59yrs, but I liked the way how this man passed through, he is real fighter,I wish, if possible to meet with him!
@devondonald421
5 ай бұрын
Hahahah..."am man of 59".
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Jiajili sasa na wewe mana 60 years sio mchezo
@beatrice4780
5 ай бұрын
Asa unamcheka nini? It's never too late
@redemptervictor5006
5 ай бұрын
@@devondonald421fatilia historia ya mmiliki wa migahawa ya KFC. Utaona umri ni namba ndugu yangu
@amonywilliams5 ай бұрын
Ayo tv baada ya Mulokozi mm Ndye bilionea naefata karbuni San kwa interview
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HHAHAHHA 👊🏿👊🏿
@damariszuckschwert9489
5 ай бұрын
Amen😅
@ahz6907
5 ай бұрын
Picha linaanza tuonyeshe meza ya milioni 20 😂
@user-br7sf6ey9t5 ай бұрын
Pia asante sana miledi 🎉🎉🎉🎉❤❤ nawewe auna kipengere umenyooooka kama mzungu mungu akukosea kukupa kipaji aseee kwenye mitandao tunapenda watusimati aidia kama papaaa mulokozi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-uz9mw1ie6z5 ай бұрын
Milionea umenikumbusha haso zng ktk kujalibu na kushindwa hd sasa nimekwama. You have inspired me bro
@RoncyMroki4 күн бұрын
Aiseee nimekua kiakili na kifkra kupitia huyu Brother,, mimi nimejikita kwenye kilimo ingawa ni mwanamke ila nijifunza pakubwa sana, mungu awabariki wote🙏🙏🙏
@christopherwalalaze3 ай бұрын
Hongera kwako Mlokozi, kwanza huna dharau bro umelonga vyema , Mungu aibariki kazi ya mikono Yako Amen
@lazaromaganga15775 ай бұрын
Sijajutia bando langu kwa nice interview hii Big up Auo TV na uthubutu wa mwamba anaeojiwa hakika ukiwa na malengo mazuri na ukiyafanyia kazi basi Mungu awezi kukuacha.
@user-wk1ix1gm1p5 ай бұрын
Nimejifunza vitu vingi sana , kwanza , uamijifu , watu wa kushirikiana nao ambao hawaoni leo wanaona mbali zaidi , bidii pia , hongera sana kaka
@josephmetu71915 ай бұрын
Great intensive and inspiration interview be blessed 🙏🇰🇪
@janethmutoka5 ай бұрын
Inspiring wale tunaotegemewa na familia hakuna kukata tamaaa God is always Good🥰
@millardayoTZA
5 ай бұрын
BLESSINGS JANETH !! MPAKA MWISHO
@machakuroger7068
5 ай бұрын
Always God is good
@godfreywilliam9673
5 ай бұрын
Hakika nitapambana hadi mwisho
@faidhamyovela1795 ай бұрын
Bora kwa mar ya kwanza amesem point nilianz,na mtaji wa 20million mamb ya kusem nilianza,na kuuza karang mtuache kwakwel mulokoz nimempenda😂😂
@hassanovajunior6972
5 ай бұрын
Bwanaweee😅😅😅😅😅😅😅
@millardayoTZA
5 ай бұрын
😀 AU SIO
@DativaMbowe
11 күн бұрын
😂😂😂
@amanimanase87985 ай бұрын
My brother millard uyu jamaa ananihamasisha sana kumbe maisha yanawezekana
@millardayoTZA
5 ай бұрын
KABISA NDUGU YANGU 👊🏿👊🏿 PAMBANA HADI PUMZI YA MWISHO
@faidhamyovela179
5 ай бұрын
Inatakiwa uwe siriaz usiyumbishwe na mtu sio mke wala bab wal mam inatakiwa uzibe sikio 😂😂
@ZuwenaSinde-hj9qg
5 ай бұрын
Ndo maana yake
@jacksonrusanyu55215 ай бұрын
Brother Millard Maswali unayouliza yanaonesha kwa uwazi sana jinsi ulivyojitoa kwa ajili ya wengine - kwakweli umetujali sana vijana kwani sio maswali marahisi kumuuliza mtu. Be Blessed Brother na Bwana akuinue zaidi.
@millardayoTZA
5 ай бұрын
AMEN, ASANTE SANA JACKSON
@kadivanoah17535 ай бұрын
Very Inspiring, Wonderful interview Millardayo
@wema36195 ай бұрын
Niitien Hao Wanaojiita Master Wenu Uko Tz Wakihojiwa Viinglishi Kibao Wakati Wakikutana Na Wadhungu You Know You Know Nyingii😏MmeMuona Mulokizi Amejua Interview Ni Yakiswahili Na Kaienzi Lugha Vizuri Kabsaa Na Nimuinglish Huyu Amkjaa Japan Ambako Wanatunga Makamusi YaVingiilishi👏
@fathiyahmuzney7367
5 ай бұрын
Kwel kabisa ingekua kina fulan u know u know km zote😂😂😂
@brightnjau6515 ай бұрын
Huyu Mulokozi is super smart na mfano mzuri kwa jamii nzima ya Afrika, open na open mimded hafichi kitu
@joshuamuro9494
5 ай бұрын
Kbsaa yupo wazi sanaaa
@Bobhov5 ай бұрын
Watu wengi sio waaminifu bora kusimamia mradi wako mwenyew, Thanks for this point🎉
@bilid41285 ай бұрын
Good ,nimejifunza mengi ,Asante sana kwa exclusive hii
@Excellent1Michael5 ай бұрын
Watu wa online media na utube channels wachukue madini kwa millard ayo jinsi ya kufanya interview. Huyu jamaa kahojiwa na media nyingi, ila hakuna hata moja ambayo unapata mtiririko mzuri wa maisha na kumjua mtu na mambo yake .. nyingi ni maswali tu ambayo hayana mpangilio mzuri...kudos Millard 👍🏿👏🏿
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA MICHAEL
@DpN-rk8xz5 ай бұрын
Kuna idea ni nzuri nikija natamani niuone musika Mungu hakubariki unawapa vijana wengiwasiwe wavivu
@Thadeus975 ай бұрын
Duuh huyu jamaa ni Genius kabisa, 👍👍👍
@fridakitemangu34465 ай бұрын
Kwa kweli haya mahojiano ni mazuri yanafundisha jamii na kunamafunzo ndani yake kwa asilimia zote kweli mimi kama mimi napata madini ,hongera sana brother millard ayo kwa kazi nzuri mungu akulinde
@hermanurassa5087
5 ай бұрын
Mm nimeipenda snaaaa aiseeee
@JacksonKanzira-wp3wt5 ай бұрын
Hapa nimejifunza kuwa katika maisha inabidi uwe mvumilivu ili kufikia malengo yako
@rithadonatus81105 ай бұрын
Ila mulokozi umesema ukweli kwakweli kama umeanza na mtaji wa million 20 .. vizuri sana
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Ni kweli wengne anasema lak 5 2
@RATELFX5 ай бұрын
Mawazo positive kama haya utia chachu ya mafanikio big up Millard
@shabanimzamilu86285 ай бұрын
Hongera sana ,MILAD FANYA MPANGO TUPATE EPISODE NYINGINE KWA HUYO JAMAA ,TUZIDI KUJIFUNZA , UMEHOJI viziri sana big up
@francismollel84345 ай бұрын
This guy is smart and humble. He has zero Tz mentality
@DennisDidas
5 ай бұрын
ili uwe tofauti lazima uwe tofauti na wengine maamuzi ni ya mtu binafsi. Yeye ameamua kuwa tofauti na wengine ndio maana kafika hapo alipo, kwenye jamii ya kitanzania ukiwa tofauti utahusishwa na mambo mengi sana na kufikiriwa tofauti.
@legacytrainingservices
2 ай бұрын
Then he is very positive
@laurentraphael54705 ай бұрын
Biashara mtu mwenyewe, siku hizi hakuna mwenye uchungu na biashara ya ya mtu ila mtu mwenyewe..MD maelezo yamenyooka sana.
@neemaneychricious64933 ай бұрын
Hii interview ni ya kipekee honger milard na kwa mulokoz nimechukua madin kidg hapo daaah
@liliangregory30675 ай бұрын
Very good to learn, Mungu amlinde tuendelee kujifunza
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
Interview nzuri, sema maswali yamekuwa random sana. Hapakuwa na mlolongo mzuri wa mahojiano. Mara tunaenda mbele mara tunarudi nyuma. Pia maswali ya miaka yamekuwa mengi utadhani anahojiwa na RITA, come on Millard... Natamani Mulokozi aje afanyiwe interview nyingine na Salama, there is alot to learn from this guy.
@wenceslauskubezya
5 ай бұрын
Au jabil saleh mzee kuvifact
@paulmushi2428
5 ай бұрын
Lakini si umeelewa? Kwani wewe Kila kitu chako Huwa kinaenda kama ulivyopanga?
@NgengeMkeni-uo5hq
5 ай бұрын
@@paulmushi2428 Ndio maana kukawa na uwanja wa maoni kama huu. Nimeitumia haki yangu ya msingi kutoa maoni yangu inatosha.
@AllyGibu-cz2vo
4 ай бұрын
Yaani wewe jamaa umenichekesha sana 😂😂😂😂
@bernardusrugaimukamu2844
2 ай бұрын
Nikweli kuna kwenda mbele na kurudi nyuma imejitokeza . Hii inaweza kuonekana kama ina kera kidogo lakini kwa upande mwingine inasaidia kuona UKWELI wa mhojiwa. Akiwa ni mkweli jibu la awali na la mwisho vinafafana, akiwa muongo vitakinzana. Kwa sehemu kubwa maswali yamejirudia na MAJIBU hayajakinzana = UKWELI umeelezwa. Hii pia inasaidia kukazia na kufanya mtazamaji naye asichoshwe na mahojiano, Pale Ayo anaposema turudi nyuma kidogo, ubongo unashtuka kidogo na kuwaza anarudi kwenye point ipi? Unakuwa active. Tena aya twendelee.....ubongo unashtuka tena kuwaza uliishia wapi. Mwisho unafika kila kitu kinakumbukwa vizuri. Siyo mbaya sana.....iko balanced
@joshuajustustz5 ай бұрын
Congrats Millard, nimependa jinsi unavyouliza maswali. Picha linaanza dak ya 5 Swali: Ulifaulu Form 4 kwa kiwango gani? Ivi kweli siku ukija kuni interview utaniuliza ulipata division ngapi form IV😂? Dak ya 13 Swali: Uko na mama wa mtoto wa kwanza?? Hapa angekuwa presenter mwingine angehoji kwa undani zaidi😂😂 mapaparaz. Kwenye Dak 49 amesema amawaeeka partners ambao ni share holders 2 mtoto wake wa kwanza wa kike pamoja na mama yake mzazi... Kwanini hakumuweka mke wake? Kuna kitu cha kujifuza hapo. Wife ana miradi yake mingine na hafatiliwi na mumewe. Daah noma sana. Bigup wajina Mr Mulokozi . Big up Millard Ayo Interview iko poa sana nimefatilia mwa mwi ❤❤🎉
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAAHAHHAHA PAMOJA SANA JOSHUA
@abdilahikimuja5777
5 ай бұрын
Sa à saa and
@lidyakitegwe8851
5 ай бұрын
P😂
@FransiskaJohn-fq1nf3 ай бұрын
Jamani tukifunze kushukuru kwa kidogo tulichojaliwa , huyu kaka mulokozi pamoja na kulipwa laki moja na point kipindi hicho lakini alishukuru hakulalamika 🙏
@user-ed1tm5re4j5 ай бұрын
Wakat unawaza upate milion ununue uwanja mwenzako anawaza hyo milion aendelezee bishara big point
@MoringiElsa5 ай бұрын
Vijana mjifunze hapo mnamuona mwenzenu katoboa kwa kuwa na nidhamu pamoja na kutokujiona msomi akawa anafanya kazi local.oneni na jinsi alivyoficha elimu yake aisee ,Mulokozi pokea maua Yako brother 🎉
@user-it7ih1it3m
5 ай бұрын
Wewe umeshatoboa?
@jonasntaguzwa6393
5 ай бұрын
We mzee?
@immaculatekessy49924 ай бұрын
Asante sana Millard kwa interview nzuri, imetufungua wengi, thanks for the efforts to bring this story onboard and thank you Mr Mulokozi for your willingness to share. Tulioweza kuisikiliza hadi mwisho ikawe chachu ya maendeleo tuongeze bilionaire wengine na tutengeneze utajiri kwa vizazi vyetu🙏🏼
@beatricemollel68985 ай бұрын
This interview is so inspiring u killed it MILLARD. Ua one good interviewer
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA BEATRICE, MUCH LOVE 🫶🏿🫶
@FilbertHabashi-zn1qu
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Milard Ayo, wish one day to meet you brother. Ur very potential in my inspiration.
@user-fy5xl7ec2q5 ай бұрын
Kaka millad upo vizuri kaka tunaitaji madini kama hayo sio mastaa wa bongo
@danielfesto66215 ай бұрын
Nimejifunza kitu kikubwa Sana big up brother utafika mbali zaidi ya apo
@Zubaiba15 күн бұрын
Hongera sana kk yng, mungu azidi kukufugulia riziki Mara elfu
@danielmakelemo23955 ай бұрын
Interview imekaa vizuri,tunajifunza mambo makubwa hakuna kukata tamaa
@revocatusmishelyludovick5 ай бұрын
Nimependa zaidi namna Millard amezidi kuuliza Kuhusu changamoto kwenye "Partnership za biashara" nimejifunza kitu. Ahsante Millard kwa kuuliza haya maswali kwa niaba yetu, ahsante Mulokozi kwa kufunguka.
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA REVOCATUS, TUKO PAMOJA SANA
@PetyJonasАй бұрын
Millard you're the best presenter in the world wide ♥️♥️ unauliza vzr adi msikilizaji anafrai
@hassanovajunior69725 ай бұрын
So inspiring,the interview is fully packages yani imeshiba kuna madini yakutosha aisee big up sana my brother from another mother Millard Ayo kwa kutuletea hiki kichwa kilicho sheheni madini👏👏👏👏👏👏👍
@millardayoTZA
5 ай бұрын
SHUKRANI SANA HASSAN
@RedmiPhone-ri2xt
5 ай бұрын
❤
@Mshuta5 ай бұрын
Kwa hapa sijaona mtangazaji Bora Kama milladi trust me
@wenceslauskubezya
5 ай бұрын
Jabil saleh nae yupo nondo sana
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA MSHUTA 🙏🏿👊🏿
@athumanimapande83944 ай бұрын
Millard ayo umeamua kuziua interview zote zilizowahi kufanyika katika nchi iih na ni ya karne sababu iih interview inadarasa kubwa sana. Alafu bilionea Mulokozi yupo humble sana anatoa madini mengi bila kuhofia kwamba kupitia interview iih inazalisha watu wengi desine yake..
@KS-iw7qv5 ай бұрын
Good job Milard.... wangekuwa.... wengine wangehoji ujinga ujinga... Thus y AYO TV is on the top..... INTERVIEW YA MAANA...
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA KS !! 🙏🏿
@bikoolaizer27375 ай бұрын
Mwamba ana madini sana 🧠🧠🧠
@robertkimaryo71785 ай бұрын
Huyu jamaa ana fanikiwa sababu yupo honest sana na yupo wazi kuelezea historia yake bila kuficha kitu. Mtaji mkubwa slionao ni uaminifu. Miliard kama kawaida…, umeuliza maswali muhimu sana. Shukrani sana !
@bobwhite92525 ай бұрын
The guy is doing what i dream of.
@witnessmallya51145 ай бұрын
The man is very humble and transparent! I gained great Courage 💪💪
@user-wh7gj9ug9s5 ай бұрын
Tajiri wa haki utamuona tu maisha yake ni mafanikio ya hatua kwa hatua nyinyi mnaotegemea uchawi amuwezi kutuelezea chochote kuhusu utajiri wenu
@user-rw1qg4gn5u
5 ай бұрын
Wanaanzia wap sasa😂
@user-wh7gj9ug9s
5 ай бұрын
@@user-rw1qg4gn5u msikilize utajua alipoanzia
@josephatjonathan40935 ай бұрын
Great interview and inspiration
@zawadimbacho88905 ай бұрын
Opportunity ya Malawi naioba Mzee wangu nikapige KAZI Millard Ayo naomba namba za Mzee mulokoz tupige KAZI pamoja kwa kweli
@patientlazaro69305 ай бұрын
Facts. Mulokozi nimemuelewa sana. Interview iko poa sana. Congrats @millard
@user-br7sf6ey9t5 ай бұрын
🙏🙏🙏💯💯💯💯💯💯💯🇹🇿 apo ndipo tunafer vijana mtu anaitaji apande alaka nikweri kabisa yn umepiga pointi tupu🎉🎉 aseee wewe nimtu muim kwangu nitakuja babati nione unipe aidia
@denismasele41305 ай бұрын
Hivi mmeusikia mlio wa Ferrari hapo au mnawaza crown tu❤❤❤ future Richie's ndo wameelewa
@user-qi4hn8lq1f
5 ай бұрын
😂😂nilijua ng'ombe mwenzako
@rosehaule67655 ай бұрын
Mungu nisahidie na.mm nipate uwigo mkubwa wa biashara nimependa.sana kaka.ongera sana Mungu ni mwema ongera miladiayo ❤
@noelngereja89715 ай бұрын
Ahsante sana kaka Millad Ayo..hii imetufungua akil,sio muhim kujenga kwanza ndo badae ufungue biashara..nimejifunza namna ya kusave pesa na kupanga mikakati wakati nunapesa yakutosha
@kekiplus1andonly5 ай бұрын
The guy is very humble mashaAllah 🙏🙏🙏🙏
@abibumbota5160
5 ай бұрын
Mwamba anapambana
@mdouharoon665 ай бұрын
Millard ayo bro keep it up hivi ulisomea wapi maswali yamenyooka sana asee ila vijana tujitumeni sana kila kitu kinawezekana god bless u broo
@deoluma17065 ай бұрын
Kumbe inawezekana? Jamaa kanishawish sana. ahsante Millard kwa mhojiano
@selinawayimba2505 ай бұрын
Aiseeee, when the Best interviewer meets the right interviewee Hongereni
@millardayoTZA
5 ай бұрын
THANKS SELINA !! MUCHLOVE
@cosmasjoel6310
4 ай бұрын
Sure mkuu. Hata haichoshi
@KS-iw7qv5 ай бұрын
MILARD UNAWAFUNDISHA WENGI.. NDIO MAANA MUNGU PIA ANAKUINUA.... UPO SERIOUS NA KAZI YAKO...... BIG UP.... BONGE LA INTERVIEW
@firexxlshakers40285 ай бұрын
Big up mlokoz ur are very smart .thanks we are learning
Wow Mungu akukumbatie mwanangu hongera sana ninakuomba kama utaweza unisaidie angalau niezeke nyumba yangu ambayo nimeshindwa kuimalizia kutokana na kuumwa asante sana❤
@antonymligo46234 ай бұрын
Hii interview itabadilisha asilimia kubwa ya vijana kuongeza juhudi kwenye upambanaji wao walau kupiga hatua mbele hata kama ni kwa kiwango kidogo but itaboost watu wengi sana kwa mtazamo wangu
@gemarhn44835 ай бұрын
Kwa kuhoji watu wengi waliofanikiwa, nakushauri @ Millard uandae kitabu cha "Principles of success" kinachoendana na mazingira yetu halisi ya Kiafrika hasa Tanzania,
@dayana5513story5 ай бұрын
March people 🙌 wako vyema sana congratulations bro
@CALVINHENRICK-uy6ox5 ай бұрын
Nime jifunza vitu kutoka kwa huyu bro ,no kuchagua kazi licha ya elimu ulionayo 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Пікірлер: 841
after 10 yrs hii interview itakuja kuzaa matajiri wengi inshaAllah
@diamondplatnumz.148kviews5
5 ай бұрын
Kwel kabisa
@josephkiwale374
5 ай бұрын
🎉🎉🎉
@piusprojestus3437
5 ай бұрын
Sawa bilionare rm
@hermanurassa5087
5 ай бұрын
Kabisa yan nimeisikiza mwanzo mwisho
@user-oy3dg3pq2v
5 ай бұрын
Inshaallah
I connect with this rich man, one day Millard will interview me and i will tell him do you remember mulokozi interview? That's inspiration ❤
@yuvenalalphonce5978
4 ай бұрын
Ww ni mtoto wa kapola bila shaka.!😂
@daisynyerere5730
4 ай бұрын
Same applies to me🎉
Millard viziwi wanatamani uwawekee mtu wa kutafsili apo chini 🙏🏼 God bless you
@millardayoTZA
5 ай бұрын
SAWA NDUGU YANGU, NIMEPOKEA MAELEKEZO
@fadhilibarnabas3438
5 ай бұрын
Tumelipokea hilo kaka tunalifanyia kazi Umeongozwa na Mungu❤
@mwami_the_don_
5 ай бұрын
@@millardayoTZA God bless you 🙏🏼🙏🏼
@mwami_the_don_
5 ай бұрын
@@fadhilibarnabas3438 🙏🏼
@mshamumachalila2138
5 ай бұрын
Wazo zuri kaka millard muekee hata kakitu kwa mpesa yake😂
The guy is so humble and smart. He doesn’t brag at all with all that he have, yani hajibu swali ambalo hajaulizwa hatoki nje ya topic. Very smart anajibu vizuri sana, hatambi.. 🔥🔥🔥🔥
@songweairport7602
5 ай бұрын
smart brain
@joshuajustustz
5 ай бұрын
Kuna Hawa wengine Sasa dah 😂
@mwalimuhakika9757
5 ай бұрын
My role model Bilionea Mulokozi
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Msomi huyo 100%
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Mashibe za billion 10 ndio hakili sio v8 , hammer gari ya shamba wewe unaliga nalo town
One day i will be a very successful business woman in my country BIIDHINILLAH
@OfficialMutrah
Ай бұрын
Mungu akutimizie hitaji la moyo wako inshaalah
@mulokozi anatufundisha jinsi ya kuwa na maono,jinsi kuyasimamia maono,kuwa na nidhamu na kila kitu unachokifanya...na kuacha ujinga ujinga... big up @millard kwa interview boraa kabisa kwa mwaka 2024
@leonardlunguya7112
5 ай бұрын
Exactly
@thomastemu9938
5 ай бұрын
Correctly broo ❤
Nimependa sana maelezo au historia halisi ya huyu mpambanaji wa maisha msomi David Mulokozi. Ni funzo zuri sana kwa vijana wasomi hasa wasio na kazi. Pia nimevutiwa sana na maswali ya magumu kutafuta story ya kweli ya Milad Ayo, kwakweli ni mwandishi wa kimataifa.
Brother wallah kma kijana hukuelewa hiii darasa la bure . Kila siku utalia maisha magumu. Vijana wengi mb zao zinaishia kwenye upumbavu. Blessings ayo blessings Brother hizi ndio interviews bora zaid .
Tajiri anasema anahitaji kuleta vijana wasomi kwenye Kampuni kwasababu anaamini wana mawazo mapya yatakayo kuza Kampuni? Yaani nikwamba tajiri yupo tayari kujifunza. Kuna kitu cha kujifunza kwa huyu mwamba! Ni mtu humble sana, pengine ndio sababu anafanikiwa sana. Bonge la Interview! 💯
Uko juu sana mungu akubaliki kwa kunifundisha jinsi ya kujituma na kuplani kazi yaani mtu achoki kukusikiliza wewe ni mlokozi wa kweli kama jina lako.
Am happy for Mulokozi,nilimfatilia miaka minne au mitatu nyuma alihojiwa na mwandishi wa Milard Ayo aiseee Mungu ni mwema amepiga hatua za hatari zaidi.
Nimeongeza lesson kwamba usikalili maisha, kuna watu wanadanganyana kwamba alie na elimu kubwa kama masters n.k hawezi kuwa tajiri. Utajiri inategemea na discipline yako, thanks @ayo TV.
@innocentmushi1550
5 ай бұрын
📌
Mawazo yakusema ilikufanikiwa lazima uwe freemason ni ujinga sana, hard work pays , smart mind, and intelligent
@millardayoTZA
5 ай бұрын
👊🏿👊🏿👊🏿
@damariszuckschwert9489
5 ай бұрын
Exactly 💯
Yaani mwanangu Milady nakupenda sana sana. Nakumbuka ulipoanzia mpaka hapa ulipo! Mungu azidi kukuinua kwa viwango vya juu!❤❤
Nimejifunza kitu kupitia hii story allah anipe uzima ishallah nitakuwa kama yy mungu ashindwi kitu ukimuomba.Mungu akubaliki kaka yangu muhaya mwenzangu .Asante sana Milad kwa kutuletea habali njema.❤
Najivunia Sanaa kuwa MATI SUPER BRAND, NAJIVUNIA KUWA MWANAFAMILIA YA MATI NI MENGI NIMEJIVUNZA , MUNGU AZIDI KUKUWEKA MD WETU, TUNAKUPENDA
@ahz6907
5 ай бұрын
Msimuibie tu mkafilisi kampuni 😂
Huyu jamaa ni mtu humble sana; ndiyo maana anafanikiwa. Anasema ukweli wote bila kumung'unya neno.
ebana eee!! leo uwanja wa comment ndio nimeufungua, sasa kama umependa hii interview ya MULOKOZ gonga like 👉
@millardayoTZA
5 ай бұрын
pamoja sana NQ
@imka2820
5 ай бұрын
Naomba maosiano na wewe kaka mollardayotza kama inawezika from comorien🇰🇲 nayechi 🇫🇷
@lameckmndeme1969
5 ай бұрын
@millardayo 🔥🔥
@jacquilenemeiseyeki
5 ай бұрын
@@millardayoTZA😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@jacquilenemeiseyeki
5 ай бұрын
1:37 1:41
Hongera Mulokozi,uko vizuri umesheheni kuanzia elimu,akili na uwezo wa kujieleza.Una kila sababu ya kujivunia.Hongera Millard Ayo kwa interview nzuri sana.
Huyu baba mstaarabu sana huwezi kumjua kama hajakuelezea chochote,abarikiwe sana
Mambo vipi brother mulokozi mim ni transport naomba kazi za kukusafirishia mzigo wako kwenda DRC duh uko vizuri Sana nimekusikiliza dah hongera Sana brother
Watoto wa pili kuzaliwa wanakuwaga blessed sana aloo nani mwingine kagundua hili 🙌
@SubiraKasyupa-bd6gz
5 ай бұрын
Hapana sio kweli😅
@sevenafrica
5 ай бұрын
Kwel ujue fatilia kwa asilimia kubwa ni ivo
@GODFREYKALINGA-ed2qq
5 ай бұрын
Kwer tuko blessed sana
@sylvesterjohn5345
4 ай бұрын
kama nilivo mimi mkuu umenisemea , soon b4 miaka 5 nitakuw billionaire na nitakuwa nahojiwa na millard
@vancy_crazy
4 ай бұрын
Always first born & last born ndo mwisho wa matatizo
Asante sana brother kwa bonge la interview nime jifunza kitu hapa much love from DRC🇨🇩🇨🇩
Dakika ya 10 hapo imesikika sauti ya farasi ,daaaah hadi jamaa amesmile😅 namim huku nimejikuta nasmile tu maisha haya 😂
@millardayoTZA
5 ай бұрын
😂😂 YES ANAWAFUGA
@geofreysadok4823
5 ай бұрын
@@millardayoTZAumejibu comment yangu bro!! Nascreenshot naenda kuprint
@ahz6907
5 ай бұрын
Tutafute hela 😂
@zezesecondary6016
4 ай бұрын
😊😊😊
Acha kujipangusa mauwa kichwani mulokozi izonineeema mungu Ana mwagilia ushatuokoa tayari jinalako mulokozi nijina lauokovu tayari ushatuokoa aseeee wewe niwetu broo 😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ mungu akutunze una ulooo moyoni mwako yan mimi umenikopa akili tayari 2024 sitakiwi kuferi nilikuwa naferi sababu sina marifa spirite
@millardayoTZA
5 ай бұрын
😅😅 AU SIO
Hammer ni kazi ya shambani. Damu ya kihaya hii😂😂😂😂
@franklinisaya4796
4 ай бұрын
Ndugu yako si umemuona😅😅😅
Best interview... Best representer Maswali mazuri Majibu mazuri Naam!.... Mulokozi anafanya vitu baada yakifanyia upelelezi Hapoo.... ninamadini yangu nayahifadhi ✊ MILLARD ishi sana brother!!.....
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA KAGENZI 👊🏿👊🏿
Kuzaliwa maskini sio mbaya ila kufa maskini ni zambi na ujinga wako mwenyewe.jamaa kapambana kweli,kweli.na kwepa mishale mingi.big up broo unaishi peponi kabisa.chini ya juwa yanawezekana,ila siyo yote.
Du, I`m a man of 59yrs, but I liked the way how this man passed through, he is real fighter,I wish, if possible to meet with him!
@devondonald421
5 ай бұрын
Hahahah..."am man of 59".
@kevinmary7129
5 ай бұрын
Jiajili sasa na wewe mana 60 years sio mchezo
@beatrice4780
5 ай бұрын
Asa unamcheka nini? It's never too late
@redemptervictor5006
5 ай бұрын
@@devondonald421fatilia historia ya mmiliki wa migahawa ya KFC. Utaona umri ni namba ndugu yangu
Ayo tv baada ya Mulokozi mm Ndye bilionea naefata karbuni San kwa interview
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HHAHAHHA 👊🏿👊🏿
@damariszuckschwert9489
5 ай бұрын
Amen😅
@ahz6907
5 ай бұрын
Picha linaanza tuonyeshe meza ya milioni 20 😂
Pia asante sana miledi 🎉🎉🎉🎉❤❤ nawewe auna kipengere umenyooooka kama mzungu mungu akukosea kukupa kipaji aseee kwenye mitandao tunapenda watusimati aidia kama papaaa mulokozi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Milionea umenikumbusha haso zng ktk kujalibu na kushindwa hd sasa nimekwama. You have inspired me bro
Aiseee nimekua kiakili na kifkra kupitia huyu Brother,, mimi nimejikita kwenye kilimo ingawa ni mwanamke ila nijifunza pakubwa sana, mungu awabariki wote🙏🙏🙏
Hongera kwako Mlokozi, kwanza huna dharau bro umelonga vyema , Mungu aibariki kazi ya mikono Yako Amen
Sijajutia bando langu kwa nice interview hii Big up Auo TV na uthubutu wa mwamba anaeojiwa hakika ukiwa na malengo mazuri na ukiyafanyia kazi basi Mungu awezi kukuacha.
Nimejifunza vitu vingi sana , kwanza , uamijifu , watu wa kushirikiana nao ambao hawaoni leo wanaona mbali zaidi , bidii pia , hongera sana kaka
Great intensive and inspiration interview be blessed 🙏🇰🇪
Inspiring wale tunaotegemewa na familia hakuna kukata tamaaa God is always Good🥰
@millardayoTZA
5 ай бұрын
BLESSINGS JANETH !! MPAKA MWISHO
@machakuroger7068
5 ай бұрын
Always God is good
@godfreywilliam9673
5 ай бұрын
Hakika nitapambana hadi mwisho
Bora kwa mar ya kwanza amesem point nilianz,na mtaji wa 20million mamb ya kusem nilianza,na kuuza karang mtuache kwakwel mulokoz nimempenda😂😂
@hassanovajunior6972
5 ай бұрын
Bwanaweee😅😅😅😅😅😅😅
@millardayoTZA
5 ай бұрын
😀 AU SIO
@DativaMbowe
11 күн бұрын
😂😂😂
My brother millard uyu jamaa ananihamasisha sana kumbe maisha yanawezekana
@millardayoTZA
5 ай бұрын
KABISA NDUGU YANGU 👊🏿👊🏿 PAMBANA HADI PUMZI YA MWISHO
@faidhamyovela179
5 ай бұрын
Inatakiwa uwe siriaz usiyumbishwe na mtu sio mke wala bab wal mam inatakiwa uzibe sikio 😂😂
@ZuwenaSinde-hj9qg
5 ай бұрын
Ndo maana yake
Brother Millard Maswali unayouliza yanaonesha kwa uwazi sana jinsi ulivyojitoa kwa ajili ya wengine - kwakweli umetujali sana vijana kwani sio maswali marahisi kumuuliza mtu. Be Blessed Brother na Bwana akuinue zaidi.
@millardayoTZA
5 ай бұрын
AMEN, ASANTE SANA JACKSON
Very Inspiring, Wonderful interview Millardayo
Niitien Hao Wanaojiita Master Wenu Uko Tz Wakihojiwa Viinglishi Kibao Wakati Wakikutana Na Wadhungu You Know You Know Nyingii😏MmeMuona Mulokizi Amejua Interview Ni Yakiswahili Na Kaienzi Lugha Vizuri Kabsaa Na Nimuinglish Huyu Amkjaa Japan Ambako Wanatunga Makamusi YaVingiilishi👏
@fathiyahmuzney7367
5 ай бұрын
Kwel kabisa ingekua kina fulan u know u know km zote😂😂😂
Huyu Mulokozi is super smart na mfano mzuri kwa jamii nzima ya Afrika, open na open mimded hafichi kitu
@joshuamuro9494
5 ай бұрын
Kbsaa yupo wazi sanaaa
Watu wengi sio waaminifu bora kusimamia mradi wako mwenyew, Thanks for this point🎉
Good ,nimejifunza mengi ,Asante sana kwa exclusive hii
Watu wa online media na utube channels wachukue madini kwa millard ayo jinsi ya kufanya interview. Huyu jamaa kahojiwa na media nyingi, ila hakuna hata moja ambayo unapata mtiririko mzuri wa maisha na kumjua mtu na mambo yake .. nyingi ni maswali tu ambayo hayana mpangilio mzuri...kudos Millard 👍🏿👏🏿
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA MICHAEL
Kuna idea ni nzuri nikija natamani niuone musika Mungu hakubariki unawapa vijana wengiwasiwe wavivu
Duuh huyu jamaa ni Genius kabisa, 👍👍👍
Kwa kweli haya mahojiano ni mazuri yanafundisha jamii na kunamafunzo ndani yake kwa asilimia zote kweli mimi kama mimi napata madini ,hongera sana brother millard ayo kwa kazi nzuri mungu akulinde
@hermanurassa5087
5 ай бұрын
Mm nimeipenda snaaaa aiseeee
Hapa nimejifunza kuwa katika maisha inabidi uwe mvumilivu ili kufikia malengo yako
Ila mulokozi umesema ukweli kwakweli kama umeanza na mtaji wa million 20 .. vizuri sana
@user-uo8xw9kr4b
5 ай бұрын
Ni kweli wengne anasema lak 5 2
Mawazo positive kama haya utia chachu ya mafanikio big up Millard
Hongera sana ,MILAD FANYA MPANGO TUPATE EPISODE NYINGINE KWA HUYO JAMAA ,TUZIDI KUJIFUNZA , UMEHOJI viziri sana big up
This guy is smart and humble. He has zero Tz mentality
@DennisDidas
5 ай бұрын
ili uwe tofauti lazima uwe tofauti na wengine maamuzi ni ya mtu binafsi. Yeye ameamua kuwa tofauti na wengine ndio maana kafika hapo alipo, kwenye jamii ya kitanzania ukiwa tofauti utahusishwa na mambo mengi sana na kufikiriwa tofauti.
@legacytrainingservices
2 ай бұрын
Then he is very positive
Biashara mtu mwenyewe, siku hizi hakuna mwenye uchungu na biashara ya ya mtu ila mtu mwenyewe..MD maelezo yamenyooka sana.
Hii interview ni ya kipekee honger milard na kwa mulokoz nimechukua madin kidg hapo daaah
Very good to learn, Mungu amlinde tuendelee kujifunza
Interview nzuri, sema maswali yamekuwa random sana. Hapakuwa na mlolongo mzuri wa mahojiano. Mara tunaenda mbele mara tunarudi nyuma. Pia maswali ya miaka yamekuwa mengi utadhani anahojiwa na RITA, come on Millard... Natamani Mulokozi aje afanyiwe interview nyingine na Salama, there is alot to learn from this guy.
@wenceslauskubezya
5 ай бұрын
Au jabil saleh mzee kuvifact
@paulmushi2428
5 ай бұрын
Lakini si umeelewa? Kwani wewe Kila kitu chako Huwa kinaenda kama ulivyopanga?
@NgengeMkeni-uo5hq
5 ай бұрын
@@paulmushi2428 Ndio maana kukawa na uwanja wa maoni kama huu. Nimeitumia haki yangu ya msingi kutoa maoni yangu inatosha.
@AllyGibu-cz2vo
4 ай бұрын
Yaani wewe jamaa umenichekesha sana 😂😂😂😂
@bernardusrugaimukamu2844
2 ай бұрын
Nikweli kuna kwenda mbele na kurudi nyuma imejitokeza . Hii inaweza kuonekana kama ina kera kidogo lakini kwa upande mwingine inasaidia kuona UKWELI wa mhojiwa. Akiwa ni mkweli jibu la awali na la mwisho vinafafana, akiwa muongo vitakinzana. Kwa sehemu kubwa maswali yamejirudia na MAJIBU hayajakinzana = UKWELI umeelezwa. Hii pia inasaidia kukazia na kufanya mtazamaji naye asichoshwe na mahojiano, Pale Ayo anaposema turudi nyuma kidogo, ubongo unashtuka kidogo na kuwaza anarudi kwenye point ipi? Unakuwa active. Tena aya twendelee.....ubongo unashtuka tena kuwaza uliishia wapi. Mwisho unafika kila kitu kinakumbukwa vizuri. Siyo mbaya sana.....iko balanced
Congrats Millard, nimependa jinsi unavyouliza maswali. Picha linaanza dak ya 5 Swali: Ulifaulu Form 4 kwa kiwango gani? Ivi kweli siku ukija kuni interview utaniuliza ulipata division ngapi form IV😂? Dak ya 13 Swali: Uko na mama wa mtoto wa kwanza?? Hapa angekuwa presenter mwingine angehoji kwa undani zaidi😂😂 mapaparaz. Kwenye Dak 49 amesema amawaeeka partners ambao ni share holders 2 mtoto wake wa kwanza wa kike pamoja na mama yake mzazi... Kwanini hakumuweka mke wake? Kuna kitu cha kujifuza hapo. Wife ana miradi yake mingine na hafatiliwi na mumewe. Daah noma sana. Bigup wajina Mr Mulokozi . Big up Millard Ayo Interview iko poa sana nimefatilia mwa mwi ❤❤🎉
@millardayoTZA
5 ай бұрын
HAAHAHHAHA PAMOJA SANA JOSHUA
@abdilahikimuja5777
5 ай бұрын
Sa à saa and
@lidyakitegwe8851
5 ай бұрын
P😂
Jamani tukifunze kushukuru kwa kidogo tulichojaliwa , huyu kaka mulokozi pamoja na kulipwa laki moja na point kipindi hicho lakini alishukuru hakulalamika 🙏
Wakat unawaza upate milion ununue uwanja mwenzako anawaza hyo milion aendelezee bishara big point
Vijana mjifunze hapo mnamuona mwenzenu katoboa kwa kuwa na nidhamu pamoja na kutokujiona msomi akawa anafanya kazi local.oneni na jinsi alivyoficha elimu yake aisee ,Mulokozi pokea maua Yako brother 🎉
@user-it7ih1it3m
5 ай бұрын
Wewe umeshatoboa?
@jonasntaguzwa6393
5 ай бұрын
We mzee?
Asante sana Millard kwa interview nzuri, imetufungua wengi, thanks for the efforts to bring this story onboard and thank you Mr Mulokozi for your willingness to share. Tulioweza kuisikiliza hadi mwisho ikawe chachu ya maendeleo tuongeze bilionaire wengine na tutengeneze utajiri kwa vizazi vyetu🙏🏼
This interview is so inspiring u killed it MILLARD. Ua one good interviewer
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA BEATRICE, MUCH LOVE 🫶🏿🫶
@FilbertHabashi-zn1qu
5 ай бұрын
@@millardayoTZA Milard Ayo, wish one day to meet you brother. Ur very potential in my inspiration.
Kaka millad upo vizuri kaka tunaitaji madini kama hayo sio mastaa wa bongo
Nimejifunza kitu kikubwa Sana big up brother utafika mbali zaidi ya apo
Hongera sana kk yng, mungu azidi kukufugulia riziki Mara elfu
Interview imekaa vizuri,tunajifunza mambo makubwa hakuna kukata tamaa
Nimependa zaidi namna Millard amezidi kuuliza Kuhusu changamoto kwenye "Partnership za biashara" nimejifunza kitu. Ahsante Millard kwa kuuliza haya maswali kwa niaba yetu, ahsante Mulokozi kwa kufunguka.
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA REVOCATUS, TUKO PAMOJA SANA
Millard you're the best presenter in the world wide ♥️♥️ unauliza vzr adi msikilizaji anafrai
So inspiring,the interview is fully packages yani imeshiba kuna madini yakutosha aisee big up sana my brother from another mother Millard Ayo kwa kutuletea hiki kichwa kilicho sheheni madini👏👏👏👏👏👏👍
@millardayoTZA
5 ай бұрын
SHUKRANI SANA HASSAN
@RedmiPhone-ri2xt
5 ай бұрын
❤
Kwa hapa sijaona mtangazaji Bora Kama milladi trust me
@wenceslauskubezya
5 ай бұрын
Jabil saleh nae yupo nondo sana
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA MSHUTA 🙏🏿👊🏿
Millard ayo umeamua kuziua interview zote zilizowahi kufanyika katika nchi iih na ni ya karne sababu iih interview inadarasa kubwa sana. Alafu bilionea Mulokozi yupo humble sana anatoa madini mengi bila kuhofia kwamba kupitia interview iih inazalisha watu wengi desine yake..
Good job Milard.... wangekuwa.... wengine wangehoji ujinga ujinga... Thus y AYO TV is on the top..... INTERVIEW YA MAANA...
@millardayoTZA
5 ай бұрын
ASANTE SANA KS !! 🙏🏿
Mwamba ana madini sana 🧠🧠🧠
Huyu jamaa ana fanikiwa sababu yupo honest sana na yupo wazi kuelezea historia yake bila kuficha kitu. Mtaji mkubwa slionao ni uaminifu. Miliard kama kawaida…, umeuliza maswali muhimu sana. Shukrani sana !
The guy is doing what i dream of.
The man is very humble and transparent! I gained great Courage 💪💪
Tajiri wa haki utamuona tu maisha yake ni mafanikio ya hatua kwa hatua nyinyi mnaotegemea uchawi amuwezi kutuelezea chochote kuhusu utajiri wenu
@user-rw1qg4gn5u
5 ай бұрын
Wanaanzia wap sasa😂
@user-wh7gj9ug9s
5 ай бұрын
@@user-rw1qg4gn5u msikilize utajua alipoanzia
Great interview and inspiration
Opportunity ya Malawi naioba Mzee wangu nikapige KAZI Millard Ayo naomba namba za Mzee mulokoz tupige KAZI pamoja kwa kweli
Facts. Mulokozi nimemuelewa sana. Interview iko poa sana. Congrats @millard
🙏🙏🙏💯💯💯💯💯💯💯🇹🇿 apo ndipo tunafer vijana mtu anaitaji apande alaka nikweri kabisa yn umepiga pointi tupu🎉🎉 aseee wewe nimtu muim kwangu nitakuja babati nione unipe aidia
Hivi mmeusikia mlio wa Ferrari hapo au mnawaza crown tu❤❤❤ future Richie's ndo wameelewa
@user-qi4hn8lq1f
5 ай бұрын
😂😂nilijua ng'ombe mwenzako
Mungu nisahidie na.mm nipate uwigo mkubwa wa biashara nimependa.sana kaka.ongera sana Mungu ni mwema ongera miladiayo ❤
Ahsante sana kaka Millad Ayo..hii imetufungua akil,sio muhim kujenga kwanza ndo badae ufungue biashara..nimejifunza namna ya kusave pesa na kupanga mikakati wakati nunapesa yakutosha
The guy is very humble mashaAllah 🙏🙏🙏🙏
@abibumbota5160
5 ай бұрын
Mwamba anapambana
Millard ayo bro keep it up hivi ulisomea wapi maswali yamenyooka sana asee ila vijana tujitumeni sana kila kitu kinawezekana god bless u broo
Kumbe inawezekana? Jamaa kanishawish sana. ahsante Millard kwa mhojiano
Aiseeee, when the Best interviewer meets the right interviewee Hongereni
@millardayoTZA
5 ай бұрын
THANKS SELINA !! MUCHLOVE
@cosmasjoel6310
4 ай бұрын
Sure mkuu. Hata haichoshi
MILARD UNAWAFUNDISHA WENGI.. NDIO MAANA MUNGU PIA ANAKUINUA.... UPO SERIOUS NA KAZI YAKO...... BIG UP.... BONGE LA INTERVIEW
Big up mlokoz ur are very smart .thanks we are learning
Millard tunakuomba uwakumbue viziwi.. saiv technology imekua nao smart wanazo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@mohamedimbinga7422
5 ай бұрын
Big point blood
Wow Mungu akukumbatie mwanangu hongera sana ninakuomba kama utaweza unisaidie angalau niezeke nyumba yangu ambayo nimeshindwa kuimalizia kutokana na kuumwa asante sana❤
Hii interview itabadilisha asilimia kubwa ya vijana kuongeza juhudi kwenye upambanaji wao walau kupiga hatua mbele hata kama ni kwa kiwango kidogo but itaboost watu wengi sana kwa mtazamo wangu
Kwa kuhoji watu wengi waliofanikiwa, nakushauri @ Millard uandae kitabu cha "Principles of success" kinachoendana na mazingira yetu halisi ya Kiafrika hasa Tanzania,
March people 🙌 wako vyema sana congratulations bro
Nime jifunza vitu kutoka kwa huyu bro ,no kuchagua kazi licha ya elimu ulionayo 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Humble man ✊🏾🇹🇿 You deserve all the success