UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@MauFundiElectronics11 ай бұрын
Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .
@abdulshakulahmed790311 ай бұрын
Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina
@mussaluhwago882911 ай бұрын
Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira
@twalebleboss968711 ай бұрын
Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....
@wolframmwalo243211 ай бұрын
Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo
@hamishalidy569611 ай бұрын
Watu wa mwakijembe tujuane hapa
@andrewemmanuel186111 ай бұрын
Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine
@user-pw8ml6ts8r18 күн бұрын
Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
@moyogems11 ай бұрын
Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni
@MauFundiElectronics11 ай бұрын
Kazi mzuri mtangazi
@InnohubGroup6 ай бұрын
Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.
@peninanicodemus270311 ай бұрын
He is the best ever
@nandyadam7211 ай бұрын
Mwakijembee...wao kwaktuu babu
@warren-zs6vv11 ай бұрын
Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge
@michaelsamson966311 ай бұрын
Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali
@raphaeljickson947611 ай бұрын
❤❤❤
@daudikatanga606410 ай бұрын
Mungu akutie nguvu boss
@emmanuelfari892411 ай бұрын
+MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏
@asiamerey908111 ай бұрын
Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko
Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi
@abdullayahya871711 ай бұрын
Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?
@chacha-255
11 ай бұрын
hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview
@yusufuzuberi98842 ай бұрын
Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali
@manchumaiddi76611 ай бұрын
Big deal big boss
@OLDSCHOOL-if7mi11 ай бұрын
Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?
@christopherkiswaga9270
11 ай бұрын
I appreciate your efforts!
@rahelmmari3751
11 ай бұрын
Kazenge ipo sehemu gani?
@zolongOne
4 ай бұрын
Kizenge ni mkoa gani?
@sennybrown858811 ай бұрын
Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage
@JosephBWAGIZO-fs5ig11 ай бұрын
MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid
@JosephBWAGIZO-fs5ig
11 ай бұрын
Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema
Пікірлер: 36
Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .
Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina
Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira
Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....
Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo
Watu wa mwakijembe tujuane hapa
Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine
Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni
Kazi mzuri mtangazi
Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.
He is the best ever
Mwakijembee...wao kwaktuu babu
Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge
Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali
❤❤❤
Mungu akutie nguvu boss
+MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏
Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko
@amanimanase8798
11 ай бұрын
Ajira gan waitaka kwake
@jamesmwenewanda5578
11 ай бұрын
@@amanimanase8798😂😂😂😂ndiyo mgosi muulize haswa ajira gani hiyo😊😊
@josephlorri431
11 ай бұрын
Dating...she's asking for
Hizo ajira tunapataje kaka 🤔
Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi
Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?
@chacha-255
11 ай бұрын
hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview
Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali
Big deal big boss
Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?
@christopherkiswaga9270
11 ай бұрын
I appreciate your efforts!
@rahelmmari3751
11 ай бұрын
Kazenge ipo sehemu gani?
@zolongOne
4 ай бұрын
Kizenge ni mkoa gani?
Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage
MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid
@JosephBWAGIZO-fs5ig
11 ай бұрын
Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema