UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.

Пікірлер: 36

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics11 ай бұрын

    Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .

  • @abdulshakulahmed7903
    @abdulshakulahmed790311 ай бұрын

    Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina

  • @mussaluhwago8829
    @mussaluhwago882911 ай бұрын

    Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss968711 ай бұрын

    Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo243211 ай бұрын

    Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy569611 ай бұрын

    Watu wa mwakijembe tujuane hapa

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel186111 ай бұрын

    Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r18 күн бұрын

    Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @moyogems
    @moyogems11 ай бұрын

    Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics11 ай бұрын

    Kazi mzuri mtangazi

  • @InnohubGroup
    @InnohubGroup6 ай бұрын

    Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii. Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.

  • @peninanicodemus2703
    @peninanicodemus270311 ай бұрын

    He is the best ever

  • @nandyadam72
    @nandyadam7211 ай бұрын

    Mwakijembee...wao kwaktuu babu

  • @warren-zs6vv
    @warren-zs6vv11 ай бұрын

    Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson966311 ай бұрын

    Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali

  • @raphaeljickson9476
    @raphaeljickson947611 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @daudikatanga6064
    @daudikatanga606410 ай бұрын

    Mungu akutie nguvu boss

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari892411 ай бұрын

    +MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏

  • @asiamerey9081
    @asiamerey908111 ай бұрын

    Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko

  • @amanimanase8798

    @amanimanase8798

    11 ай бұрын

    Ajira gan waitaka kwake

  • @jamesmwenewanda5578

    @jamesmwenewanda5578

    11 ай бұрын

    ​@@amanimanase8798😂😂😂😂ndiyo mgosi muulize haswa ajira gani hiyo😊😊

  • @josephlorri431

    @josephlorri431

    11 ай бұрын

    Dating...she's asking for

  • @benancejohn1198
    @benancejohn119811 ай бұрын

    Hizo ajira tunapataje kaka 🤔

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr715011 ай бұрын

    Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya871711 ай бұрын

    Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?

  • @chacha-255

    @chacha-255

    11 ай бұрын

    hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview

  • @yusufuzuberi9884
    @yusufuzuberi98842 ай бұрын

    Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali

  • @manchumaiddi766
    @manchumaiddi76611 ай бұрын

    Big deal big boss

  • @OLDSCHOOL-if7mi
    @OLDSCHOOL-if7mi11 ай бұрын

    Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?

  • @christopherkiswaga9270

    @christopherkiswaga9270

    11 ай бұрын

    I appreciate your efforts!

  • @rahelmmari3751

    @rahelmmari3751

    11 ай бұрын

    Kazenge ipo sehemu gani?

  • @zolongOne

    @zolongOne

    4 ай бұрын

    Kizenge ni mkoa gani?

  • @sennybrown8588
    @sennybrown858811 ай бұрын

    Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig11 ай бұрын

    MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig

    @JosephBWAGIZO-fs5ig

    11 ай бұрын

    Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema

Келесі