USICHUKULIE POA, KILA JIWE NI MADINI UTAPISHANA NA MKWANJA...

USICHUKULIE POA, KILA JIWE NI MADINI UTAPISHANA NA MKWANJA...
Tanzania ni moja ya nchi ambayo imebarikiwa kuwa na madini mengi ya kila aina, Global TV imefanya mahojiano na muuzaji wa madini katika soko la madini Jijini Arusha na kuonesha aina tofauti za Madini..
GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982)
HABARI MPYA DAILY:
kzread.info?list...
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
kzread.info?list...
GLOBAL RADIO TV:
kzread.info?list...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
kzread.info?li

Пікірлер: 40

  • @emmanuelanael6934
    @emmanuelanael693423 сағат бұрын

    Arusha town. Karibuni.

  • @mikaayo10
    @mikaayo10 Жыл бұрын

    Global TV online nitawatafuta lazima mnigawie mkwanja

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78834 жыл бұрын

    Haya maisha tu

  • @salummpoto1600
    @salummpoto16002 жыл бұрын

    Mm ninayo hapa

  • @princeismail3636
    @princeismail36364 жыл бұрын

    Namba za mzee uyo plz nipatieni

  • @vivianwarnberg8642
    @vivianwarnberg86423 жыл бұрын

    Napenda mawe nitakutafuta Nikija Tanzania

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    23 сағат бұрын

    Karibu sana. ARUSHA Tanzania

  • @lonnie546
    @lonnie5464 жыл бұрын

    Nipe number za jamaaaa nimempenda sana

  • @danielnhoephreim5981

    @danielnhoephreim5981

    3 жыл бұрын

    Vp umepata namba kaka

  • @user-cr4xx8je3r
    @user-cr4xx8je3r10 ай бұрын

    Mm ninayo hapo

  • @iddoone1997
    @iddoone1997 Жыл бұрын

    Hilo soko liko arushaa sehemu gani

  • @mikaayo10

    @mikaayo10

    Жыл бұрын

    Soko lipo jirani na hospital ya AICC

  • @princeismail3636
    @princeismail36364 жыл бұрын

    Nashida na kito cha moss agate plz anyone

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    3 жыл бұрын

    kito cha moss ndio nini?

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    3 жыл бұрын

    Ukipata niambie na umepata kwa bei gani hata mie natafuta jiwe la agate kwa ajioi ya pete

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu14032 жыл бұрын

    Uyo Kamela Mani Nazani Mlevi So Bule Anatetemeka Kama Kanywa Gongo

  • @emmanuelanael6934
    @emmanuelanael69343 жыл бұрын

    Nakiona MZEE AYO, Wenye kuitaji MADINI aina zote, nawakaribisha, pia wenye kuitaji kuhuza MADINI yake niko hapa.

  • @maodotv

    @maodotv

    3 жыл бұрын

    Nipe namba yako ya WhatsApp

  • @mamajunienock4662

    @mamajunienock4662

    3 жыл бұрын

    Habari boss

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    3 жыл бұрын

    @@mamajunienock4662 salama habari kwako.

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    3 жыл бұрын

    Whatsapp +255 759 808 944

  • @ochujuma3650

    @ochujuma3650

    3 жыл бұрын

    @@emmanuelanael6934 inakuke ndugu unapatikana wapi

  • @ahjdiofu4057
    @ahjdiofu40573 жыл бұрын

    Mimi nina gren tomalin nyekundu nipenipesa

  • @salummpoto1600
    @salummpoto16002 жыл бұрын

    Hanapatkna wP huyo

  • @anjelamassawe8997
    @anjelamassawe89974 жыл бұрын

    Hayo ni mawe yakwenye moram

  • @lightnessmollel4355
    @lightnessmollel43553 жыл бұрын

    Rubi gram sh ngap

  • @emmanuelanael6934

    @emmanuelanael6934

    2 жыл бұрын

    Madini ya Vito hayanaga Bei mahalumu, ubora wake Ndio unaotengeneza thamani zaidi.

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Madini ya vito sio mawe ni gome stone

  • @ramsontv6675

    @ramsontv6675

    Жыл бұрын

    Mimi ninalojiwe ila cjui kama n madin maana sio normal

  • @anganilekajigilikajigili2641
    @anganilekajigilikajigili26413 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ayubumhamed2432
    @ayubumhamed24323 жыл бұрын

    Ninayo madin ya kijana na mekundu nipo katavi mwenye kuhitaj anitafute 0629231887

Келесі