Kemikali za sumu zinavyoathiri wachimbaji wa madini Tanzania

Kwa mujibu wa Shirika la Kazi Duniani (ILO), wakati uchimbaji madini unaajiri karibu 1% ya nguvu kazi duniani, sekta hiyo inasababisha 8% ya ajali zinazoleta vifo.
Hata hivyo watu wengi wanapata madhara ya kiafya ya muda mrefu kutokana na kazi yao ya uchimbaji madini katika maisha yao ya baadaye wakati mwingine hurithisha hadi kwa vizazi vijavyo.
Aboubakar Famau alitembelea mgodi wa dhahabu Kusini Magharibi mwa Tanzania ambapo wachimbaji wadogo hukimbilia dhahabu licha ya hatari kwa afya zao.
#bbcswahili #tanzania #ilo

Пікірлер: 5

  • @user-hi4zd7ko1z
    @user-hi4zd7ko1zАй бұрын

    Mungu awasaidie jmn wanajituma san kutafta mungu awafanyie wepesi nivzur mwajili kuwek msimamiz wa afya n usalam ili kuepusha hatar kwa wafany kaz

  • @user-hi4zd7ko1z
    @user-hi4zd7ko1zАй бұрын

    Wafanyakaz wapewe vifaa vya usalama ili kulinda afya zao na kuwaepusha na hatar za kifo na ulemavu mfano kuna kelele sana kuna hatar ya kupata ttzo la masikio sab y hizo mashine wapewe ear protection kuna hatar nying

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96632 жыл бұрын

    Uko siendi kama kuna hatal kwa kias icho

  • @martinymaryogo8753

    @martinymaryogo8753

    2 жыл бұрын

    Daaaaah hpa nlkuwa naangalia wap mgodi mpya upo niende lkn nmepata uoga maan daaah

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai93452 жыл бұрын

    Tatizo viongozi wanajua kukusanya mapato serikali haina msaada wowote