BBC News Swahili

BBC News Swahili

Video za habari na matukio kutoka BBCSwahili.com

Maandamano katika michoro

Maandamano katika michoro

BBC News Swahili

BBC News Swahili

Utumikishwaji wa watoto Afrika

Utumikishwaji wa watoto Afrika

'Mnashuhudia ninavyotukanwa'

'Mnashuhudia ninavyotukanwa'

Пікірлер

  • @om1735
    @om17355 сағат бұрын

    Pole sana😢

  • @stevechrisipiano4910
    @stevechrisipiano49106 сағат бұрын

    On est chez nous🎉

  • @AMOSEXAVERY-fm4qm
    @AMOSEXAVERY-fm4qm8 сағат бұрын

    Huyu mchambuzi anayeitwa Rabi, mimi sijawahi kumuelewa Hakukuwa na vita hadi pale HAMAS walipoishambulia Israel, dawa hapa ni kuwakomesha HAMAS kabisa. Netanyahu yupo sahihi

  • @mawlodafarida
    @mawlodafarida10 сағат бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @user-xj8vt6ur3x
    @user-xj8vt6ur3x12 сағат бұрын

    😂😂😂

  • @Pherrora
    @Pherrora12 сағат бұрын

    Asante sana

  • @patricemichael6743
    @patricemichael674317 сағат бұрын

    Semi finals hizi nitamu Ukraine 🇺🇦 vs 🇷🇺 Russia Na Palestine 🇵🇸 vs Israel 🇮🇱

  • @Martin-ju4fs
    @Martin-ju4fs18 сағат бұрын

    Ron,it's Donald Tusk (the "u" is read as "u" not "a".Just, by the way

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely847619 сағат бұрын

    Purtin,niwakuchukia,huyo ni ibilisi kamili.warusi hawamjui Yhwe elohim(Adonai)ndiko jeshi la mpinga Kristo litakalotokea,kupigana naYesu.nao watahiniwa kwa kinywa cha Yesu.,

  • @MusaNdonje
    @MusaNdonje17 сағат бұрын

    Acha ushamba

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely84768 сағат бұрын

    @@MusaNdonje Afadhari kuwa mshamba kwenye uovu.ili natembea ktk njia ya Adonai.endelea na uelevu wa uovu wako

  • @NASSORHAMAD-p5n
    @NASSORHAMAD-p5n19 сағат бұрын

    Subhanallah huyu putin hatari kubwa

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h19 сағат бұрын

    Shambulio la urusi ukrein ni shabaa Moja nzuri sana

  • @GodMushi-vm2bo
    @GodMushi-vm2bo19 сағат бұрын

    😂

  • @wilondjarama1427
    @wilondjarama142712 сағат бұрын

    Mweu ww kabisa

  • @user-gk8mm5qt2d
    @user-gk8mm5qt2d20 сағат бұрын

    Samuel my brother 🎉

  • @jonasmpita2206
    @jonasmpita220623 сағат бұрын

    Hawa vijana wanaomwaga damu ya wazee wanaleta laana kwa hilo eneo, wangejua wangeacha mara moja hayo mauaji sababu hata kama ni wachawi uchawi ni roho mtu hawezi kuuacha kwasababu umemkata mapanga, hata ukimuua anakufa mwili ile roho inabakia na ndo hatari zaidi sbb sasa inakuwa ni jeshi la wafu unapamba nalo bila kuliona

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777Күн бұрын

    Mtangazaji uko vzuri sn🔥maswali yenye mpangilio tumemwelewa vzr Eliud🥰💯🔥😂😂

  • @user-wt3jb4mp2x
    @user-wt3jb4mp2xКүн бұрын

    Nakukubali mwaisa

  • @tinasanta9920
    @tinasanta9920Күн бұрын

    Very sad

  • @carefree4271
    @carefree4271Күн бұрын

    😢😢😢

  • @hafidhhemed4109
    @hafidhhemed4109Күн бұрын

    P ppl

  • @rosebaraka8406
    @rosebaraka8406Күн бұрын

    Eliud! Tulekele imbafu syitu!

  • @muthomimunyua9062
    @muthomimunyua9062Күн бұрын

    🎉

  • @muthomimunyua9062
    @muthomimunyua9062Күн бұрын

    🎉

  • @jumaothman2092
    @jumaothman2092Күн бұрын

    Sim janja ndo nn hicho sio kiswahili fasaha

  • @azizayassin3623
    @azizayassin36232 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂 Hollywood movies 🎬 🎞 🎥 akuna mtu aliweza kwenda hko tumeshaona vidio za NASA after and before waongo wakubwa

  • @franktimothkisimbo5354
    @franktimothkisimbo53542 күн бұрын

    Nawapenda bbc swahili mbarikiwe

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 күн бұрын

    Huyu Mhe ana jambo kubwa saana, anajitolea mnooo. Mwenyezi Mungu ambarik na afike mbali zaid

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga53353 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam3 күн бұрын

    Democrasia safi yenyefuraha ndan yke

  • @yustomapande
    @yustomapande3 күн бұрын

  • @danikasembe1804
    @danikasembe18043 күн бұрын

    Nawapata aise nipo ni tano kwa tano

  • @ummufaru3012
    @ummufaru30123 күн бұрын

    Jee wale wakurugenzi wa kutoka jamii Moja kama inavyotandaa kwa mtandao atafanyaje?

  • @halimamwanga4083
    @halimamwanga40833 күн бұрын

    Hiyo rangi yako ndiyo rangi ya kiume Eliud na nahisi unatambua ndiyo sababu unaitaja kwa majivuno ila nakukubali sana sana ❤barikiwa mno

  • @MatikoTopiwo
    @MatikoTopiwo3 күн бұрын

    Poleni xanaa ndugu zetu

  • @user-un3un4nr3h
    @user-un3un4nr3h3 күн бұрын

    Tuko pamoja sana

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam4 күн бұрын

    Kenya sio Tanzania wapo vizuri kama taifa nawapa mauwayenu Kenya🎉🎉🎉🎉

  • @FrancisJames-i8f
    @FrancisJames-i8f4 күн бұрын

    Natamani sana eliud na profesa hamo kenya kubali sana

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын

    Uwe mwisilamu kweli tumekubali wapi tozo au mwigulu na wasila

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b4 күн бұрын

    Ongela mama sisi shida kwako ni tozo tu kwenye simu zetu na mahakama police imekua maduka ya watu na sisi tumekua biza zao Wana siasa hatuna ni chawa tu

  • @taharayassin6528
    @taharayassin65284 күн бұрын

    Na mie tayari

  • @Ndulaisu
    @Ndulaisu4 күн бұрын

    Ongera meaning mwenzangu

  • @ChristianSosella-zo1lt
    @ChristianSosella-zo1lt4 күн бұрын

    i wabunge Kenya kipindi hiki mtawaheshimu wenye nchi

  • @iSsaNyamaisa
    @iSsaNyamaisa5 күн бұрын

    Nashangaa muandishi anavyo sema ety uchaguzi huo utaathiri Dunia nzia kivipi ss mbn sisi africa tunapenda kujishusha jamani😢😢😢😢😂

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania5 күн бұрын

    Kabla hata sijamaliza kuangalia nimegundua hapa nilipo ninatembea na ukichaa wangu aisee😂 Nitatafuta mtaalamu kama Nadia kwakweli!

  • @FaridaBakari-p7u
    @FaridaBakari-p7u5 күн бұрын

    Oh man this guy is joking me are you hey Siri you don't like you Gally

  • @mwema5009
    @mwema50095 күн бұрын

    Ndugu zangu wabunge hongereni sana.wabunge wa Drc wanakubali ile wizi wa miongezi ya mishaara .wanasiyasa wa kongo na ruto ni wizi

  • @user-bm4pv2jw2e
    @user-bm4pv2jw2e5 күн бұрын

    Uko vizur bro

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard87615 күн бұрын

    😂😂 Nimempenda sana mtangazaji anacheka sana lakin kisomi kistarabu haboi kabisa ❤

  • @HASSANIBRAHIM-ui1fl
    @HASSANIBRAHIM-ui1fl5 күн бұрын

    Aisee hatali kwa kweli mungu isaidie Kenya

  • @EdwardKisota
    @EdwardKisota5 күн бұрын

    Edward kisota wa Zagreb hapa Croatia.Wakenya acheni ukabila😢 mtaleta maafa zaidi.

  • @IthamKudrack
    @IthamKudrack5 күн бұрын

    😂sio ukabila njaa

  • @user-im7wv1dn4w
    @user-im7wv1dn4w5 күн бұрын

    Eddy wa bk Bbc ni tv safe

  • @shabanisango6377
    @shabanisango63775 күн бұрын

    Raisi wa msumbiji anashukuru jumuia ya SADC eti imeleta usalama mchini msumbiji kwani vita imeisha cabo delgado kwa maana hadi sasa cabo delgado kuna vita acheni kuchaganya wana inchi