Mitandao ya kijamii ilivyochangia maandamano Kenya

Mitandao ya kijamii imekuwa na mchango mkubwa katika kupanga maandamano ambayo yameshuhudiwa nchini Kenya.
-
Vijana wamekuwa wakitumia majukwaa ya Twitter spaces na pia Tiktok kuzungumzia masuala ya uwajibikaji katika uongozi.
-
Hata hivyo hii si mara ya kwanza kwa mitandao ya kijamii kutumika katika kuleta mabadiliko makubwa katika jamii kote ulimwenguni.
Huyu hapa Agnes Penda na taarifa kuhusu nyakati ambazo mitandao ya kijamii imetumika kushinikiza mageuzi.
-
-
#bbcswahili #vijana #mitandaoyakijamii #mageuzi #SARS #blacklivesmatter #Uongozi #kenya #tanzania #nigeria #marekani

Пікірлер

    Келесі